Tlnisiongee sana ila ukweli ana ujua aliye umba mbingu na nchi , ambaye ukisoma Mwanzo 1. 1 hapo mwanzo kulikuwa na mungu amvae mungu aliumbabingu na nchi na vitu vyote vina vyoonekana na visivyooneka , Kwa hiyo yeye ndiye aonae sirini mwa wanadamu coz aliumba Kila kitu 🙏🙏🏿
@DavidMakvok4 ай бұрын
Licha ya kumchangia tafadhari aombewe sana wapo walio na habari hizi lakini hawathubutu kufungua midomo yao kwa kuwa hawako sawa na Mungu na hawaja chukuwa hatua za kumumfanya Yesu Kristo na kufanya kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao , wengine wanadhani muda bado wakusema hayo mambo.
@JenipherJoachimu4 күн бұрын
Mmh mtumishi unaonyesha unauchungu na watu wapotosha Imani ya kwel barikiwa
@Mjakazisafi8361 Жыл бұрын
AMEN AMEN 🙏 🙌 LAKINI BROTHER KUA MAAKINI NA HAWA WATU WA MEDIA KWA SABABU NDO WAMEANZA KUKUTAFUTA KWA WINGI HAO MAADUI WAKO WATATUMA WAO SASA KUA MAAKINI TAFADHALI
@alainmuhigirwa5151 Жыл бұрын
Umeongea ya mana ndugu
@joycerehema9258 Жыл бұрын
000⁰⁰⁰⁰
@beautyibrahim8428 Жыл бұрын
Kama walishindwa kumuua kipindi kile bc hawawezi
@josephinmwanibanza6001 Жыл бұрын
Mungu tu amtetee
@rachelmaina3476 Жыл бұрын
Amelindwa na damu ya Yesu kwa hivo atawatambua na hawatampata
@derickcowly6681 Жыл бұрын
Asante sana kwa ukweli Mungu akubariki sana ktk kristo Yesu asante Yesu kristo kwa kumpa roho ya ujasiri kuokoa Dunia
@emilyrissling97035 ай бұрын
Amen and Amen, wewe Casian unawito mkubwa wa kufungua funiko wale wanataka kusikia na kuona watasikua, wenye kukupinga watapitwa ,nungu akulinde na akutie Nguvu usimame kwenye nafasi yako vizuri
@annewanyonyi-nb1zh Жыл бұрын
Mungu wetu ni wa neema sana.Yeye hutuwazia mema kila wakati na hii ndiyo maana anamficha mtumishi wake katika kikundi cha maadui ili amfunulie uovu uliopo mle ndani na kisha kumpa ufahamu wa kutasimlia watakatifu wote ili isije hata siku moja wakakosa kubambanua ishara na uongo wa muovu huyo ambaye ni shetani kiongozi wa uasi wote duniani. Asante sana mtumishi wake Mungu kwa ujasiri wako na kwa kutuokoa sisi ambao hatuna uelewa wa hayo yote yaliyokusibu na kutusaidia ili tuepuke moto jehanamu kwa kutafuta umarufu duniani.🙏🙏🙏🇰🇪
@user-rn2ud7yh1q Жыл бұрын
Daaahhhhhh...!!! Nimeipenda hii habari inawafaa Sana waliopotea..,,,,!! Endelea mbele,walimpinga Musa,Elia,Yoshua,Paulo na wengine wengi,kwako isikusumbue hubiri tupone Mchg!!!!!
@paskalimichael39945 ай бұрын
We need power of JESUS to push to our destiny in everything
@mosesandera69705 ай бұрын
the power is in the watchman...has been prepared by the Almighty father himself the most high Jah...be cool children's and lets keep on praying to the father and ask for change because the world is on crisis knows so we have to make the change or it will be no change #watchman
@AdamMathias-db2jq8 ай бұрын
God akujalie kaka akupe ulinzi wa kutosha. Tuna barikiwa sanaa!!.
@yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын
Ameeni MUNGU akutunze mtumishi MUNGU ni MUNGU haja wahi kushindwa lazima atushindie pia MUNGU ni mwema amekuponya kipindi ulikuwa una umwa pia MUNGU awakumbuke woote walio toa sadaka zao ukaenda kutibiwa.
@mitaocamilliusthegreatest7517 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha kwa kweli dunia ina mambo mengi mno hakika!
@adamjulius9782 Жыл бұрын
Nikushukulu Sana kwa kutoa sili za adui yetu maana umetaka kusaidia wengi. Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
@kamgishaisaya47637 ай бұрын
Amina, ni ufunguo tosha kwa mawaka mbalimbali katika sekita m alimbali
@mosesmwailenge5192 Жыл бұрын
Hao wAtu wame nisumbua saana katika maisha yangu kamà kujiunga ningesha jiunga muda lakini atukuzwe yesu wambinguni Kwa kuniokoa 😢🙏🙏
@rowenalilie993 Жыл бұрын
Ni YESU. SIO yesu
@mosesmwailenge5192 Жыл бұрын
@@rowenalilie993 sija soma nimeishià lapili kwaiyo utaelewa ivyo ivyo mpaka hapo nimejitahidi saana wengine hawajui kabisa ivyo nashukulu MUNGU kwa yoote kwani neno lasema tushukulu kwa Kila jambo
@chrithicksambo2287 Жыл бұрын
Say YESU Bro ✍️
@user-xq3xr9ui1w Жыл бұрын
Na we uliwavutia na nn?
@zaitunjuma870 Жыл бұрын
jee ulisaidik vip nina ndugu yangu wana mtisha sn kwa kumwambia wata muwan man yy aliwapigia cm na kupewa maelekezo yao lkn imekuwa ndo chanzo icho
@TosigwegeraisonMwakisenjele5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwenye mungu akulinde na kukuepusha nawatuwabaya
@bettymuhonja99675 ай бұрын
Bwana yesu kristo akuwezeshe na neema yke ikutoshe ,,,Bwana Yesu kristo na. akulinde akufunike kwa damu yke takatifu mchungaji mie nakufuatila unahubili ukweli wale ambayo nivipofu macho kuelewa nivigumu muno but mungu azidii kutupa nguvu Ameni
@TheMvenTvfamily Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa kutuelezea ukweli uliopo,mungu ndiye njia pekee ya ukweli...
@gabrieljemawo7828 Жыл бұрын
Amen pia nakuomba ukuje kenya ubirihi huu ujumbe
@user-dh9gb8yn7y8 ай бұрын
Daaah Mungu a2saidie akina sisi 2nayopitia kwenye maisha magumu mpaka 2naangaika mpaka kwa wachungaji ambawo upako wawo ni wa shetan
@johnemmanuel7805 Жыл бұрын
Bwana Yesu aendelee kukulinda na kukupigania.Watapigana nawe lakini hawatashinda.
@ReginaMasalu-hk8ho11 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kuwa thabit kwenye maamuzi yako, you are so strong! Stay connected always.
@Chekakidogo2 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana kwa ushuhuda kamanda wa Yesu,tunaomba mwendelezo.
@laninjeje82906 ай бұрын
Kama unashangalia stori za Freemason wewe ni chizi
@Muislaelmumina10 ай бұрын
Amen 🙏 barikiwa Sana mimi sina mali lakinitu niombee nipate mtumishi wamungu niko hali ngumu
@FistonMarcАй бұрын
Yesu kriston skyline sana nanguvuyamungo idhidi kuwa pamoja nawewe amen
@MamaBarakha-no3bj Жыл бұрын
Safi mtumishi wamung usiogope Mungu yu nawe ata kulinda
@michaelmwalimu6057 Жыл бұрын
Hongera sana kaka Mungu baba ktk kristo amekuokoa kweli
@ByamunguErnest-jc7kd Жыл бұрын
Mungu akufunike na mukono wake🇨🇩👏🇨🇩.
@madam-florensialutego Жыл бұрын
Kweli tuliozaliwa familia za huko usukani elimu zagiza tunakuwa tukizijuwa natutakuwa tulikuwa nikaisha ya kawaida ila unapokuja kukutana na kikristo ndipo utajuwa kwamba elimu hiyo si sahihi na Mungu anapenda kutumia wafu wanaomba hiyo kwamba wanakuwa kweli yagiza kubwa niuwongo hakuna kweli hata moja ila Mungu pekee anaetusaidia nakubaki salama
@alainmuhigirwa5151 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi. Nakusikiliza kwa makini nikiwa apa bondeni Johannesburg 🇿🇦🇨🇩
@veronikashija4979 Жыл бұрын
🎉
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Nimeitwa na Mungu mwaka 2000, 1,1.tarehe moja mwezi wa kwanza mwaka elfu mbili.hapo ni mwisho wa utawala wa shetani duniani,na mwanzo wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,yaani habari njema ya ufalme,na Mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi nipo Tanga Handeni ninakuomba unipe nafasi ya kufundisha Neno la wakati huu, Malaki3:1-6. Isaya 41:1------.
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Ninakuelewa sana ila jua kuwa Mungu hawezi kufanya jambo lolote bila kuwajulisha watumishi wake, na hii ni saa ya mjumbe wa agano duniani nikaribisheni basi msikie alicho sema Mungu juu ya dunia.
@milkambithe4622 Жыл бұрын
Uyasemayo ni ya kweli kabisa 👏👏,wale wanaotembea katika ulimwengu wa Roho wanaufahamu hiyo kabisa
@georgemerere6097 Жыл бұрын
Mm naogopa
@peterodongo78476 ай бұрын
amen!!! kwa Mungu Kila kitu kitakuwa wazi .
@RebeccaMwaja-je7jk Жыл бұрын
Barikiwa Sana napenda Sana watu wanaochana ukweli
@user-wi2vr4bt1t4 ай бұрын
Mungu akusaidie ktk maisha yako
@yaduniamapitotz26 Жыл бұрын
Amina pamoja munguatuokoe
@RegineBulozeАй бұрын
Sio wote watakuelew baba amen ❤
@thomasamri Жыл бұрын
In the might name of Jesus amen
@user-gk8vg4ow2i3 ай бұрын
Hongera Kaka kwakumpokea yesu
@ElishaMwashiuya-rz4dn Жыл бұрын
Asante nimejifunza japo siwez kuerezea nilicho jifunza, usiache kusema endelea mungu akutumie zaid mana saut Yako Niyamungu , na mungu amekutumia wewe uje utufundishe
@mkojeragodsonofficial4664 Жыл бұрын
Kaka NAKUPATA vizuri Sana ni kiwa hapa mjini Arusha I love the kind of your gospel❤
@marylauwo Жыл бұрын
Master j alikuwa hakupenda ushinde
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Arusha sehemu gani
@hezronsanga5197 Жыл бұрын
Amen, Yesu tumain langu
@HebronMwasomola-iq1eg2 ай бұрын
Ubariwe sana atadhibitika katika haki atakuwa mbali y kuonewa
@israelmlabwa9783 Жыл бұрын
Mungu akutunze
@AgnessChallesАй бұрын
Asante kwanifumbua mim ninamadeni mengi sana nikua nataka kujiunga 26:21
@collinsmercy3971 Жыл бұрын
Mambo mazito kweli Asante kwa elimu
@JosueMumbereVasughaАй бұрын
Mungu akupe nguvu zaidi pasta.sio raisi kabisa
@issabaraka2850 Жыл бұрын
Félicitations
@user-ll3zu8lz4y6 ай бұрын
Ndugu haya simahubili mbona yesu hakuhubili maneno kama haya kwani unausiyano na mabo yakishetani juu unayaongelelea sana hubili ijili inayo tuwezesha kukaa imala katika Imani jameni Giza na Nuru zinakujia wapi uta zihubili zote kua na msimamo
@SmilingJellyFish-vf6xy6 ай бұрын
Amiiina nachukuru Mutumichi. Wamungu.
@AgathaPesambili Жыл бұрын
Umetisha brother kama movie naisubiri party 6
@magrethstany20326 ай бұрын
Mtangaze Yesu itoshe
@user-rh9fd5or4r Жыл бұрын
Eu Só Bernardo Filipe Tudo bem 🤲🤲
@gasparlubaga58669 ай бұрын
Wonderful story
@beatricefilbert1171 Жыл бұрын
Yesu tuokolee maisha yetu
@MayalaDieseloil2 ай бұрын
Aache uongo hawa wanakimbiria kwenye mafanikio ya haraka mwisho wa siku ndo wanakimbiria kwenye midia
@MariamElias-qz9tk3 ай бұрын
Dear Nice
@familykabange63286 ай бұрын
Katika ku katiliwa na Freemason ni kuna watu wanayo chapa ya MUNGU awa awakubaliwe,Wengine ni hawana Bahati,Wengine awana shuguli
@ElishamaseleKuhumwa3 ай бұрын
Chapa ya mungu
@Muislaelmumina10 ай бұрын
Amen 🙏 apo sasa
@user-qt2mu1cn3t4 ай бұрын
I love free mason💙💙💙💙akuna Alie wai kuwa mwanachama akatoka maana anapata manufaa makubwa sana yaakili naakili nimafanikio nahuwa awajitangazi kama uyu jamaa anatafuta ela za KZbin
@IMANIMWAITEGE-ve8grАй бұрын
Hujui usemalo MUNGU akusamehe VP na wewe umeshindwa Nini kutafuta hela KZbin
@WillBat-gc9ex7 ай бұрын
Ubarikiwe sana casim
@LeisaJonikaporua-lx4be11 ай бұрын
love you Jesus for the other two
@user-cg9df5nt1f2 ай бұрын
Mungu tusaidie
@philoteuslwena3082 Жыл бұрын
Jamani mwendelezo bav
@florenceokullo6049 Жыл бұрын
Nakuamini sana mtumishi wa Mungu ila natamani sana nionge na wewe
@paulinewambui6763 Жыл бұрын
Chunga pia hizi Juice zao
@AndreaMsemwaАй бұрын
Kazana kumuomba Mungu maana dunia ipo mwishoni
@davibphilipo542510 ай бұрын
Naikumbuka sana bss 2009 stagen Michael Jackson wa bongo aliimba mpaka akachana fulana, lakin ulipopanda uliimba ukamficha na ulitunzwa sana pale stagen na ule wimbo wako wa shebeleza ulioukopi ktoka kwa marhem joe mafela, leo Mungu aliemgeza sauli muuaji kuwa paulo mtume amekugeuza na wewe, usrudi hko tena kama unavyoimba sku zote Mungu akushike mkono.
@ChalitoAssumaneAssumaneАй бұрын
Good afternoon master please ayuta mid-day Freemasons please.
@cobilmaster5221 Жыл бұрын
Tupe connection Sisi tukapige hela jombaaa
@okekemasimba996111 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@wannaproducts10 ай бұрын
Aitoe wapi hiyo connection tapeli muongo huyu
@mikael1656 Жыл бұрын
Amen
@abdallahsaidi77299 ай бұрын
elezea uliingiaje freemasons unaongelea mambo mengine unatumalizia bando ujinga mtu unaongelea aina aja kuongea ongea sana kaka atuuhitaji stor nyingine acha ushamba wew
@laninjeje82908 ай бұрын
Huna lolote nyooo, wala sio mtumishi wa Mungu, bado Freemason😂😂
@melanialeonard40316 ай бұрын
Kabisa
@joshuacosmas681 Жыл бұрын
Mungu akubariki na akurinde
@zarizariboss4529 Жыл бұрын
Ok
@benjaminwafula Жыл бұрын
13days ago ndio nimeiona Sasa hv mchungaji kama ulivosema shetani akikuitaji nawe ukampa nafasi hapo panaitaji neema ya kristo iwe nawe bwana atakupigania kama Kuna mtu namfatilia Sana ni wewe mungu yupo nawe
@frankdanford8245 Жыл бұрын
Elimu kubwa sana hii
@maryncudo452611 ай бұрын
What is Paschal talking about? Will someone translate the entire interview in English, please. Is Paschal, a member of the free mason and a preacher of the Gospel, at the same time, LORD helps us. I have listened to his songs for years now.
@edinamkomwa95311 ай бұрын
No he's now a gospel singer.he was a member of the freemason but now he is in Jesus.
@KarenKetura10 ай бұрын
His explaining how dark world is, he was there, first nobody is elected they have conditions, right now he's saved
@user-kn3ll6ju8b10 ай бұрын
He was a member of a freemason but now he is saved by the blood of Jesus, and he sings gospel songs, so he gives the secrets of the freemason (he gives a testimony).
@bujamoviesonline855310 ай бұрын
He used to be a member but no longer a member. This is his testimony and now he's a preacher
@MkoiTvTz9 ай бұрын
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.! kzbin.info/www/bejne/b5O7hZyta7aeosU. MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA. AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE. UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA. WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE. AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU. COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718. KARIBUNI SANA
@veronicahkhaikwa4929 Жыл бұрын
Weee watanzania hamtaki ukweli njoo Kenya cassian
@Crabtree1844 Жыл бұрын
Ukweli gani wa Kenya wataka kushinda waTZ?
@ChalitoAssumaneAssumaneАй бұрын
Salve Luz.
@rosejoseph2093 Жыл бұрын
Uko Sawa nilishiriki kipindi cha misoji nkwabi nilikua mshindi wa kike peke yangu kutoka dodoma nakumbuka sana hapo hoterini uchawi ni baraaaaaaa nakumbuka nilikaukiwa sauti tukiwa tunaenda British council kuimba tulipofika BT tulienda toilet tukapiga maombi Mara tu sauti ikarudi
@mussathomas3661 Жыл бұрын
Mhhh
@wannaproducts10 ай бұрын
Chai hii haina tangawizi
@mohamedjamaly524610 ай бұрын
Aliekuwa anaongoza kwa ushirikina ni nani?
@samyjoseph2732 Жыл бұрын
Te encontro no meio de Moçambique e África do Sul
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Kazi ipo kweli kweli 😂😂
@manethmwiyanja245210 ай бұрын
samahani nirekebishe hapo hakuna mwanajeshi kuruta - kuruta ni mwanafunzi anaeanza mafunzo halafu anakuja service man kama ngazi ya jeshi anaanza na private ni mwanajeshi kamili kabisa na mwenye sifa zote za kijeshi ikiwa uvumilivu na zingine.
@jacksonjeizh2n353 Жыл бұрын
Bwana yesu aendelee kukulinda
@frankjohn87069 ай бұрын
Sura ni Cassian mikono ya mzungu
@GoldvanJackson2 ай бұрын
Rais samia mwenyewe ni freemasonry kwahyo sisi wenyewe tunajiongoza kama makomando
@Ntomolapagu2559 күн бұрын
🎉🎉❤
@djoe8266 Жыл бұрын
Ivi lile jengo Lao pale posta mbona lipo wazi sana alafu bado kunawatu wanatapeliwa mashetani sio wazur
@user-qy1fv6rm7v3 ай бұрын
Mimi nataka kujiunga na chama cha freemason
@MayalaDieseloil2 ай бұрын
Msipende kumpongeza mtu bira kujua muurizeni aritumia sh ngpi kujuunga freemason akaambiwa kua freemason wanachagua mtu
@qpwisdomchengula8947 Жыл бұрын
Inakuaje jina la yesu lina tumika kwa msisitizo ivyo
@annaspalika4771 Жыл бұрын
Ulitaka amsisitize stetani
@sheilamaziku5980 Жыл бұрын
@@annaspalika4771😂😂😂😂😂😂Agent nini huyu mwenzetu
@user-be8es3bu4i6 ай бұрын
YESU NO.1
@levocatuspjohn863811 ай бұрын
Nikweli kabisa
@RebeccaMwaja-je7jk Жыл бұрын
Sema ukweli ili na waliovipofu nao wafumbuliwe macho wasio wajua wachungaji wa uongo na wao wajue kwa majina wasiende usipo wataja watu wataendelea kwenda na kupote barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU
@user-ry9vx8yv7u Жыл бұрын
mimi nataka nijiunge
@Nyakyusa_Prince6 ай бұрын
Once you enter the rabbit hole there's no way back,acha uongo
@GoldvanJackson2 ай бұрын
Freemasonry ni watu ambao sio watu wazuri tuepukenao ndugu zang
@iranangole7007 Жыл бұрын
Nilkuwa na mfananisha kumbe Yey
@bupemoreen99746 ай бұрын
Mm naona anaruka mSwali anatapatapa tu Hubiri Neno watu waokolewe
@MayalaDieseloil2 ай бұрын
Nawauriza swari hivi kunamtu hataki mafanikio
@francismomo706719 күн бұрын
Inategemeana ,wapo watu wenye kiasi.....lakin haraka nying kwenye mafanikio yanaweza kukpelkea hasara kwenye miisho yako