PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 406,869

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

Жыл бұрын

#0788871769 #0766998994 #call0688199370 #0688199370 #

Пікірлер: 282
@user-xh1uu2bd9p
@user-xh1uu2bd9p 15 күн бұрын
Tlnisiongee sana ila ukweli ana ujua aliye umba mbingu na nchi , ambaye ukisoma Mwanzo 1. 1 hapo mwanzo kulikuwa na mungu amvae mungu aliumbabingu na nchi na vitu vyote vina vyoonekana na visivyooneka , Kwa hiyo yeye ndiye aonae sirini mwa wanadamu coz aliumba Kila kitu 🙏🙏🏿
@DavidMakvok
@DavidMakvok 4 ай бұрын
Licha ya kumchangia tafadhari aombewe sana wapo walio na habari hizi lakini hawathubutu kufungua midomo yao kwa kuwa hawako sawa na Mungu na hawaja chukuwa hatua za kumumfanya Yesu Kristo na kufanya kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao , wengine wanadhani muda bado wakusema hayo mambo.
@JenipherJoachimu
@JenipherJoachimu 4 күн бұрын
Mmh mtumishi unaonyesha unauchungu na watu wapotosha Imani ya kwel barikiwa
@Mjakazisafi8361
@Mjakazisafi8361 Жыл бұрын
AMEN AMEN 🙏 🙌 LAKINI BROTHER KUA MAAKINI NA HAWA WATU WA MEDIA KWA SABABU NDO WAMEANZA KUKUTAFUTA KWA WINGI HAO MAADUI WAKO WATATUMA WAO SASA KUA MAAKINI TAFADHALI
@alainmuhigirwa5151
@alainmuhigirwa5151 Жыл бұрын
Umeongea ya mana ndugu
@joycerehema9258
@joycerehema9258 Жыл бұрын
000⁰⁰⁰⁰
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 Жыл бұрын
Kama walishindwa kumuua kipindi kile bc hawawezi
@josephinmwanibanza6001
@josephinmwanibanza6001 Жыл бұрын
Mungu tu amtetee
@rachelmaina3476
@rachelmaina3476 Жыл бұрын
Amelindwa na damu ya Yesu kwa hivo atawatambua na hawatampata
@derickcowly6681
@derickcowly6681 Жыл бұрын
Asante sana kwa ukweli Mungu akubariki sana ktk kristo Yesu asante Yesu kristo kwa kumpa roho ya ujasiri kuokoa Dunia
@emilyrissling9703
@emilyrissling9703 5 ай бұрын
Amen and Amen, wewe Casian unawito mkubwa wa kufungua funiko wale wanataka kusikia na kuona watasikua, wenye kukupinga watapitwa ,nungu akulinde na akutie Nguvu usimame kwenye nafasi yako vizuri
@annewanyonyi-nb1zh
@annewanyonyi-nb1zh Жыл бұрын
Mungu wetu ni wa neema sana.Yeye hutuwazia mema kila wakati na hii ndiyo maana anamficha mtumishi wake katika kikundi cha maadui ili amfunulie uovu uliopo mle ndani na kisha kumpa ufahamu wa kutasimlia watakatifu wote ili isije hata siku moja wakakosa kubambanua ishara na uongo wa muovu huyo ambaye ni shetani kiongozi wa uasi wote duniani. Asante sana mtumishi wake Mungu kwa ujasiri wako na kwa kutuokoa sisi ambao hatuna uelewa wa hayo yote yaliyokusibu na kutusaidia ili tuepuke moto jehanamu kwa kutafuta umarufu duniani.🙏🙏🙏🇰🇪
@user-rn2ud7yh1q
@user-rn2ud7yh1q Жыл бұрын
Daaahhhhhh...!!! Nimeipenda hii habari inawafaa Sana waliopotea..,,,,!! Endelea mbele,walimpinga Musa,Elia,Yoshua,Paulo na wengine wengi,kwako isikusumbue hubiri tupone Mchg!!!!!
@paskalimichael3994
@paskalimichael3994 5 ай бұрын
We need power of JESUS to push to our destiny in everything
@mosesandera6970
@mosesandera6970 5 ай бұрын
the power is in the watchman...has been prepared by the Almighty father himself the most high Jah...be cool children's and lets keep on praying to the father and ask for change because the world is on crisis knows so we have to make the change or it will be no change #watchman
@AdamMathias-db2jq
@AdamMathias-db2jq 8 ай бұрын
God akujalie kaka akupe ulinzi wa kutosha. Tuna barikiwa sanaa!!.
@yesuanikumbukejanuary8363
@yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын
Ameeni MUNGU akutunze mtumishi MUNGU ni MUNGU haja wahi kushindwa lazima atushindie pia MUNGU ni mwema amekuponya kipindi ulikuwa una umwa pia MUNGU awakumbuke woote walio toa sadaka zao ukaenda kutibiwa.
@mitaocamilliusthegreatest7517
@mitaocamilliusthegreatest7517 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha kwa kweli dunia ina mambo mengi mno hakika!
@adamjulius9782
@adamjulius9782 Жыл бұрын
Nikushukulu Sana kwa kutoa sili za adui yetu maana umetaka kusaidia wengi. Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
@kamgishaisaya4763
@kamgishaisaya4763 7 ай бұрын
Amina, ni ufunguo tosha kwa mawaka mbalimbali katika sekita m alimbali
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Жыл бұрын
Hao wAtu wame nisumbua saana katika maisha yangu kamà kujiunga ningesha jiunga muda lakini atukuzwe yesu wambinguni Kwa kuniokoa 😢🙏🙏
@rowenalilie993
@rowenalilie993 Жыл бұрын
Ni YESU. SIO yesu
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Жыл бұрын
@@rowenalilie993 sija soma nimeishià lapili kwaiyo utaelewa ivyo ivyo mpaka hapo nimejitahidi saana wengine hawajui kabisa ivyo nashukulu MUNGU kwa yoote kwani neno lasema tushukulu kwa Kila jambo
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 Жыл бұрын
Say YESU Bro ✍️
@user-xq3xr9ui1w
@user-xq3xr9ui1w Жыл бұрын
Na we uliwavutia na nn?
@zaitunjuma870
@zaitunjuma870 Жыл бұрын
jee ulisaidik vip nina ndugu yangu wana mtisha sn kwa kumwambia wata muwan man yy aliwapigia cm na kupewa maelekezo yao lkn imekuwa ndo chanzo icho
@TosigwegeraisonMwakisenjele
@TosigwegeraisonMwakisenjele 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwenye mungu akulinde na kukuepusha nawatuwabaya
@bettymuhonja9967
@bettymuhonja9967 5 ай бұрын
Bwana yesu kristo akuwezeshe na neema yke ikutoshe ,,,Bwana Yesu kristo na. akulinde akufunike kwa damu yke takatifu mchungaji mie nakufuatila unahubili ukweli wale ambayo nivipofu macho kuelewa nivigumu muno but mungu azidii kutupa nguvu Ameni
@TheMvenTvfamily
@TheMvenTvfamily Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa kutuelezea ukweli uliopo,mungu ndiye njia pekee ya ukweli...
@gabrieljemawo7828
@gabrieljemawo7828 Жыл бұрын
Amen pia nakuomba ukuje kenya ubirihi huu ujumbe
@user-dh9gb8yn7y
@user-dh9gb8yn7y 8 ай бұрын
Daaah Mungu a2saidie akina sisi 2nayopitia kwenye maisha magumu mpaka 2naangaika mpaka kwa wachungaji ambawo upako wawo ni wa shetan
@johnemmanuel7805
@johnemmanuel7805 Жыл бұрын
Bwana Yesu aendelee kukulinda na kukupigania.Watapigana nawe lakini hawatashinda.
@ReginaMasalu-hk8ho
@ReginaMasalu-hk8ho 11 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kuwa thabit kwenye maamuzi yako, you are so strong! Stay connected always.
@Chekakidogo2
@Chekakidogo2 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana kwa ushuhuda kamanda wa Yesu,tunaomba mwendelezo.
@laninjeje8290
@laninjeje8290 6 ай бұрын
Kama unashangalia stori za Freemason wewe ni chizi
@Muislaelmumina
@Muislaelmumina 10 ай бұрын
Amen 🙏 barikiwa Sana mimi sina mali lakinitu niombee nipate mtumishi wamungu niko hali ngumu
@FistonMarc
@FistonMarc Ай бұрын
Yesu kriston skyline sana nanguvuyamungo idhidi kuwa pamoja nawewe amen
@MamaBarakha-no3bj
@MamaBarakha-no3bj Жыл бұрын
Safi mtumishi wamung usiogope Mungu yu nawe ata kulinda
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 Жыл бұрын
Hongera sana kaka Mungu baba ktk kristo amekuokoa kweli
@ByamunguErnest-jc7kd
@ByamunguErnest-jc7kd Жыл бұрын
Mungu akufunike na mukono wake🇨🇩👏🇨🇩.
@madam-florensialutego
@madam-florensialutego Жыл бұрын
Kweli tuliozaliwa familia za huko usukani elimu zagiza tunakuwa tukizijuwa natutakuwa tulikuwa nikaisha ya kawaida ila unapokuja kukutana na kikristo ndipo utajuwa kwamba elimu hiyo si sahihi na Mungu anapenda kutumia wafu wanaomba hiyo kwamba wanakuwa kweli yagiza kubwa niuwongo hakuna kweli hata moja ila Mungu pekee anaetusaidia nakubaki salama
@alainmuhigirwa5151
@alainmuhigirwa5151 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi. Nakusikiliza kwa makini nikiwa apa bondeni Johannesburg 🇿🇦🇨🇩
@veronikashija4979
@veronikashija4979 Жыл бұрын
🎉
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Nimeitwa na Mungu mwaka 2000, 1,1.tarehe moja mwezi wa kwanza mwaka elfu mbili.hapo ni mwisho wa utawala wa shetani duniani,na mwanzo wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,yaani habari njema ya ufalme,na Mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi nipo Tanga Handeni ninakuomba unipe nafasi ya kufundisha Neno la wakati huu, Malaki3:1-6. Isaya 41:1------.
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Ninakuelewa sana ila jua kuwa Mungu hawezi kufanya jambo lolote bila kuwajulisha watumishi wake, na hii ni saa ya mjumbe wa agano duniani nikaribisheni basi msikie alicho sema Mungu juu ya dunia.
@milkambithe4622
@milkambithe4622 Жыл бұрын
Uyasemayo ni ya kweli kabisa 👏👏,wale wanaotembea katika ulimwengu wa Roho wanaufahamu hiyo kabisa
@georgemerere6097
@georgemerere6097 Жыл бұрын
Mm naogopa
@peterodongo7847
@peterodongo7847 6 ай бұрын
amen!!! kwa Mungu Kila kitu kitakuwa wazi .
@RebeccaMwaja-je7jk
@RebeccaMwaja-je7jk Жыл бұрын
Barikiwa Sana napenda Sana watu wanaochana ukweli
@user-wi2vr4bt1t
@user-wi2vr4bt1t 4 ай бұрын
Mungu akusaidie ktk maisha yako
@yaduniamapitotz26
@yaduniamapitotz26 Жыл бұрын
Amina pamoja munguatuokoe
@RegineBuloze
@RegineBuloze Ай бұрын
Sio wote watakuelew baba amen ❤
@thomasamri
@thomasamri Жыл бұрын
In the might name of Jesus amen
@user-gk8vg4ow2i
@user-gk8vg4ow2i 3 ай бұрын
Hongera Kaka kwakumpokea yesu
@ElishaMwashiuya-rz4dn
@ElishaMwashiuya-rz4dn Жыл бұрын
Asante nimejifunza japo siwez kuerezea nilicho jifunza, usiache kusema endelea mungu akutumie zaid mana saut Yako Niyamungu , na mungu amekutumia wewe uje utufundishe
@mkojeragodsonofficial4664
@mkojeragodsonofficial4664 Жыл бұрын
Kaka NAKUPATA vizuri Sana ni kiwa hapa mjini Arusha I love the kind of your gospel❤
@marylauwo
@marylauwo Жыл бұрын
Master j alikuwa hakupenda ushinde
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Arusha sehemu gani
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 Жыл бұрын
Amen, Yesu tumain langu
@HebronMwasomola-iq1eg
@HebronMwasomola-iq1eg 2 ай бұрын
Ubariwe sana atadhibitika katika haki atakuwa mbali y kuonewa
@israelmlabwa9783
@israelmlabwa9783 Жыл бұрын
Mungu akutunze
@AgnessChalles
@AgnessChalles Ай бұрын
Asante kwanifumbua mim ninamadeni mengi sana nikua nataka kujiunga 26:21
@collinsmercy3971
@collinsmercy3971 Жыл бұрын
Mambo mazito kweli Asante kwa elimu
@JosueMumbereVasugha
@JosueMumbereVasugha Ай бұрын
Mungu akupe nguvu zaidi pasta.sio raisi kabisa
@issabaraka2850
@issabaraka2850 Жыл бұрын
Félicitations
@user-ll3zu8lz4y
@user-ll3zu8lz4y 6 ай бұрын
Ndugu haya simahubili mbona yesu hakuhubili maneno kama haya kwani unausiyano na mabo yakishetani juu unayaongelelea sana hubili ijili inayo tuwezesha kukaa imala katika Imani jameni Giza na Nuru zinakujia wapi uta zihubili zote kua na msimamo
@SmilingJellyFish-vf6xy
@SmilingJellyFish-vf6xy 6 ай бұрын
Amiiina nachukuru Mutumichi. Wamungu.
@AgathaPesambili
@AgathaPesambili Жыл бұрын
Umetisha brother kama movie naisubiri party 6
@magrethstany2032
@magrethstany2032 6 ай бұрын
Mtangaze Yesu itoshe
@user-rh9fd5or4r
@user-rh9fd5or4r Жыл бұрын
Eu Só Bernardo Filipe Tudo bem 🤲🤲
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 9 ай бұрын
Wonderful story
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 Жыл бұрын
Yesu tuokolee maisha yetu
@MayalaDieseloil
@MayalaDieseloil 2 ай бұрын
Aache uongo hawa wanakimbiria kwenye mafanikio ya haraka mwisho wa siku ndo wanakimbiria kwenye midia
@MariamElias-qz9tk
@MariamElias-qz9tk 3 ай бұрын
Dear Nice
@familykabange6328
@familykabange6328 6 ай бұрын
Katika ku katiliwa na Freemason ni kuna watu wanayo chapa ya MUNGU awa awakubaliwe,Wengine ni hawana Bahati,Wengine awana shuguli
@ElishamaseleKuhumwa
@ElishamaseleKuhumwa 3 ай бұрын
Chapa ya mungu
@Muislaelmumina
@Muislaelmumina 10 ай бұрын
Amen 🙏 apo sasa
@user-qt2mu1cn3t
@user-qt2mu1cn3t 4 ай бұрын
I love free mason💙💙💙💙akuna Alie wai kuwa mwanachama akatoka maana anapata manufaa makubwa sana yaakili naakili nimafanikio nahuwa awajitangazi kama uyu jamaa anatafuta ela za KZbin
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr Ай бұрын
Hujui usemalo MUNGU akusamehe VP na wewe umeshindwa Nini kutafuta hela KZbin
@WillBat-gc9ex
@WillBat-gc9ex 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana casim
@LeisaJonikaporua-lx4be
@LeisaJonikaporua-lx4be 11 ай бұрын
love you Jesus for the other two
@user-cg9df5nt1f
@user-cg9df5nt1f 2 ай бұрын
Mungu tusaidie
@philoteuslwena3082
@philoteuslwena3082 Жыл бұрын
Jamani mwendelezo bav
@florenceokullo6049
@florenceokullo6049 Жыл бұрын
Nakuamini sana mtumishi wa Mungu ila natamani sana nionge na wewe
@paulinewambui6763
@paulinewambui6763 Жыл бұрын
Chunga pia hizi Juice zao
@AndreaMsemwa
@AndreaMsemwa Ай бұрын
Kazana kumuomba Mungu maana dunia ipo mwishoni
@davibphilipo5425
@davibphilipo5425 10 ай бұрын
Naikumbuka sana bss 2009 stagen Michael Jackson wa bongo aliimba mpaka akachana fulana, lakin ulipopanda uliimba ukamficha na ulitunzwa sana pale stagen na ule wimbo wako wa shebeleza ulioukopi ktoka kwa marhem joe mafela, leo Mungu aliemgeza sauli muuaji kuwa paulo mtume amekugeuza na wewe, usrudi hko tena kama unavyoimba sku zote Mungu akushike mkono.
@ChalitoAssumaneAssumane
@ChalitoAssumaneAssumane Ай бұрын
Good afternoon master please ayuta mid-day Freemasons please.
@cobilmaster5221
@cobilmaster5221 Жыл бұрын
Tupe connection Sisi tukapige hela jombaaa
@okekemasimba9961
@okekemasimba9961 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@wannaproducts
@wannaproducts 10 ай бұрын
Aitoe wapi hiyo connection tapeli muongo huyu
@mikael1656
@mikael1656 Жыл бұрын
Amen
@abdallahsaidi7729
@abdallahsaidi7729 9 ай бұрын
elezea uliingiaje freemasons unaongelea mambo mengine unatumalizia bando ujinga mtu unaongelea aina aja kuongea ongea sana kaka atuuhitaji stor nyingine acha ushamba wew
@laninjeje8290
@laninjeje8290 8 ай бұрын
Huna lolote nyooo, wala sio mtumishi wa Mungu, bado Freemason😂😂
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 6 ай бұрын
Kabisa
@joshuacosmas681
@joshuacosmas681 Жыл бұрын
Mungu akubariki na akurinde
@zarizariboss4529
@zarizariboss4529 Жыл бұрын
Ok
@benjaminwafula
@benjaminwafula Жыл бұрын
13days ago ndio nimeiona Sasa hv mchungaji kama ulivosema shetani akikuitaji nawe ukampa nafasi hapo panaitaji neema ya kristo iwe nawe bwana atakupigania kama Kuna mtu namfatilia Sana ni wewe mungu yupo nawe
@frankdanford8245
@frankdanford8245 Жыл бұрын
Elimu kubwa sana hii
@maryncudo4526
@maryncudo4526 11 ай бұрын
What is Paschal talking about? Will someone translate the entire interview in English, please. Is Paschal, a member of the free mason and a preacher of the Gospel, at the same time, LORD helps us. I have listened to his songs for years now.
@edinamkomwa953
@edinamkomwa953 11 ай бұрын
No he's now a gospel singer.he was a member of the freemason but now he is in Jesus.
@KarenKetura
@KarenKetura 10 ай бұрын
His explaining how dark world is, he was there, first nobody is elected they have conditions, right now he's saved
@user-kn3ll6ju8b
@user-kn3ll6ju8b 10 ай бұрын
He was a member of a freemason but now he is saved by the blood of Jesus, and he sings gospel songs, so he gives the secrets of the freemason (he gives a testimony).
@bujamoviesonline8553
@bujamoviesonline8553 10 ай бұрын
He used to be a member but no longer a member. This is his testimony and now he's a preacher
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 9 ай бұрын
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.! kzbin.info/www/bejne/b5O7hZyta7aeosU. MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA. AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE. UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA. WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE. AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU. COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718. KARIBUNI SANA
@veronicahkhaikwa4929
@veronicahkhaikwa4929 Жыл бұрын
Weee watanzania hamtaki ukweli njoo Kenya cassian
@Crabtree1844
@Crabtree1844 Жыл бұрын
Ukweli gani wa Kenya wataka kushinda waTZ?
@ChalitoAssumaneAssumane
@ChalitoAssumaneAssumane Ай бұрын
Salve Luz.
@rosejoseph2093
@rosejoseph2093 Жыл бұрын
Uko Sawa nilishiriki kipindi cha misoji nkwabi nilikua mshindi wa kike peke yangu kutoka dodoma nakumbuka sana hapo hoterini uchawi ni baraaaaaaa nakumbuka nilikaukiwa sauti tukiwa tunaenda British council kuimba tulipofika BT tulienda toilet tukapiga maombi Mara tu sauti ikarudi
@mussathomas3661
@mussathomas3661 Жыл бұрын
Mhhh
@wannaproducts
@wannaproducts 10 ай бұрын
Chai hii haina tangawizi
@mohamedjamaly5246
@mohamedjamaly5246 10 ай бұрын
Aliekuwa anaongoza kwa ushirikina ni nani?
@samyjoseph2732
@samyjoseph2732 Жыл бұрын
Te encontro no meio de Moçambique e África do Sul
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Kazi ipo kweli kweli 😂😂
@manethmwiyanja2452
@manethmwiyanja2452 10 ай бұрын
samahani nirekebishe hapo hakuna mwanajeshi kuruta - kuruta ni mwanafunzi anaeanza mafunzo halafu anakuja service man kama ngazi ya jeshi anaanza na private ni mwanajeshi kamili kabisa na mwenye sifa zote za kijeshi ikiwa uvumilivu na zingine.
@jacksonjeizh2n353
@jacksonjeizh2n353 Жыл бұрын
Bwana yesu aendelee kukulinda
@frankjohn8706
@frankjohn8706 9 ай бұрын
Sura ni Cassian mikono ya mzungu
@GoldvanJackson
@GoldvanJackson 2 ай бұрын
Rais samia mwenyewe ni freemasonry kwahyo sisi wenyewe tunajiongoza kama makomando
@Ntomolapagu255
@Ntomolapagu255 9 күн бұрын
🎉🎉❤
@djoe8266
@djoe8266 Жыл бұрын
Ivi lile jengo Lao pale posta mbona lipo wazi sana alafu bado kunawatu wanatapeliwa mashetani sio wazur
@user-qy1fv6rm7v
@user-qy1fv6rm7v 3 ай бұрын
Mimi nataka kujiunga na chama cha freemason
@MayalaDieseloil
@MayalaDieseloil 2 ай бұрын
Msipende kumpongeza mtu bira kujua muurizeni aritumia sh ngpi kujuunga freemason akaambiwa kua freemason wanachagua mtu
@qpwisdomchengula8947
@qpwisdomchengula8947 Жыл бұрын
Inakuaje jina la yesu lina tumika kwa msisitizo ivyo
@annaspalika4771
@annaspalika4771 Жыл бұрын
Ulitaka amsisitize stetani
@sheilamaziku5980
@sheilamaziku5980 Жыл бұрын
​@@annaspalika4771😂😂😂😂😂😂Agent nini huyu mwenzetu
@user-be8es3bu4i
@user-be8es3bu4i 6 ай бұрын
YESU NO.1
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 11 ай бұрын
Nikweli kabisa
@RebeccaMwaja-je7jk
@RebeccaMwaja-je7jk Жыл бұрын
Sema ukweli ili na waliovipofu nao wafumbuliwe macho wasio wajua wachungaji wa uongo na wao wajue kwa majina wasiende usipo wataja watu wataendelea kwenda na kupote barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU
@user-ry9vx8yv7u
@user-ry9vx8yv7u Жыл бұрын
mimi nataka nijiunge
@Nyakyusa_Prince
@Nyakyusa_Prince 6 ай бұрын
Once you enter the rabbit hole there's no way back,acha uongo
@GoldvanJackson
@GoldvanJackson 2 ай бұрын
Freemasonry ni watu ambao sio watu wazuri tuepukenao ndugu zang
@iranangole7007
@iranangole7007 Жыл бұрын
Nilkuwa na mfananisha kumbe Yey
@bupemoreen9974
@bupemoreen9974 6 ай бұрын
Mm naona anaruka mSwali anatapatapa tu Hubiri Neno watu waokolewe
@MayalaDieseloil
@MayalaDieseloil 2 ай бұрын
Nawauriza swari hivi kunamtu hataki mafanikio
@francismomo7067
@francismomo7067 19 күн бұрын
Inategemeana ,wapo watu wenye kiasi.....lakin haraka nying kwenye mafanikio yanaweza kukpelkea hasara kwenye miisho yako
SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN
17:24
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 166 М.
MILANGO YA KUINGILIA MAPEPO MAJINI MSHETANI EV  PASCHAL CASSIAN
16:00
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 103 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 33 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 52 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 64 МЛН
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 34 М.
TAZAMA MCHUNGAJI NA MTOA USHUHUDA WAMEJICHANGANYA UTACHEKA
1:14
SIRI NZITO ZA MANABII WA UONGO ZA FICHULIWA  WAIBIKA  HAZARANI  EV PASCHAL CASSIAN
1:02:31
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 60 М.
NYIMBO HIZI ZA MASHETANI ZA IMBWA MAKANISANI KOTE TAZAMA. EV PASCHAL CASSIAN
45:59
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 358 М.
KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN
1:11:12
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 48 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 33 МЛН