No video

EXCLUSIVE: NYUMBANI KWAO ZUCHU ALIPOKULIA KAKA YAKE AFUNGUKA/TULIISHI MAISHA YA SHIDA SANA/NILIMPIGA

  Рет қаралды 381,148

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 327
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 3 жыл бұрын
Khadija kopa ni mtu mwenye imani sana na mkareem saana ..Allah ampe afya na furaha yarabb
@mouzarashidd
@mouzarashidd 3 жыл бұрын
Ameen yarabi
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Amin
@fatumabaraza6997
@fatumabaraza6997 3 жыл бұрын
Ook and I
@omarimwangemi4470
@omarimwangemi4470 3 жыл бұрын
Amin rabby amin
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 жыл бұрын
Mashallah kaka yake zuchu ume fana na mama yako kweli
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
Jamaa kaongea fresh Sana ndio Maisha Binadamu tunatoka Mbali sio nyie tupo wengi tumeanza kula ngumu lakini Mungu ni mwema saivi Afadhali kidogo
@benjamineuronu2142
@benjamineuronu2142 3 жыл бұрын
Safi sana.
@mwanaishaalfan3145
@mwanaishaalfan3145 3 жыл бұрын
Mashaallah bro mungu akuzidishie umrii mrefuuu
@salemkambuteh1409
@salemkambuteh1409 3 жыл бұрын
Mungu ajaalie siku moja mufanye maamuzi ya kuacha kuimba, mziki mtihani.
@nassirmohamed8492
@nassirmohamed8492 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hassanallyrajabu777
@hassanallyrajabu777 3 жыл бұрын
Kivip
@jamalhaidar4317
@jamalhaidar4317 3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 3 жыл бұрын
Kbs
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Kabiasa waache wamtumikoe mungu tu
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
Mtoto anamzungumzia vizuri sana mzazi wake Good thing ana appreciate mama yao kapambana kuwalea
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Ndio Suma kitambo sana mwanangu Salute from🇩🇪🇩🇪
@sibonikesarikie42
@sibonikesarikie42 3 жыл бұрын
mshikaji nimemkubali,hana shobo anajieleza vizuri yaani safi sana kaka
@NehemiahRotich
@NehemiahRotich 3 жыл бұрын
Wah ! Am learning alot of Swahili ..Shobo ni show off ama ? Haki Tanzania
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Haaa haaaa Shobo mimi sijuwi nini maana yake neno jipya hilo kwenye Kiswahili...
@jumahamis227
@jumahamis227 2 жыл бұрын
@@NehemiahRotich its street language which means being too erratic and flattery 😆.
@NehemiahRotich
@NehemiahRotich 2 жыл бұрын
@@jumahamis227 Wow thanks
@mohddalali1008
@mohddalali1008 3 жыл бұрын
Nimependa jinsi anavyojibu maswali
@mahmoudvuai8017
@mahmoudvuai8017 3 жыл бұрын
Big up to Suma....mshkaji yuko real....Nimeinjoy sana interview
@esthermhavile1566
@esthermhavile1566 3 жыл бұрын
Kafanana na mama yake kabisa
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 жыл бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu¿ukumbusho kwa waislamu wote na hasa kwa ndugu za wa Kizijibar,nafuteni njia yoyote ile ya kutafuta risk za halali lakini msijiingize katika hambo ya gharamu katika kutafuta kwenu risk kama vile kuimba na mambo mengine hizo ni aamali shaitwan ,tufanyeni wema na dumuabuduni Muumba wetu kama alivyo tusimulia kwenye Qur'an tukiuchezea tuu huu wakati aliotupa tutakwenda kulia kilio kisichonyamazika,tunako elekea kuna mawili tuu Janaah au Jahanamu,Shukran..
@official_yuram6711
@official_yuram6711 3 жыл бұрын
Umenena booo wa malhayatu ddunya
@jidahrajabu5837
@jidahrajabu5837 2 жыл бұрын
Hakika kaka
@Swahili14
@Swahili14 3 жыл бұрын
Young Zuchu is so beautiful 🤩
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Mungu amhifadhi
@eppiemodest
@eppiemodest 3 жыл бұрын
Kaka kamfanana sana na mama yake Hadija Kopa.
@zulfasihaba5097
@zulfasihaba5097 3 жыл бұрын
Sana yn
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 4 ай бұрын
Duniani hakuna mkamilifu, mkamilifu ni Mungu tu. Tuache kuhukumu kila mtu ana dhambi yake. Kaka wa watu yuko vizuri, mashallah. utapata mke usijali. Muda ukifika utapata.
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Tumefurahi sana kuona story ya Zuchu Mchabga Og Shukran
@papaamasauti5964
@papaamasauti5964 3 жыл бұрын
Nakupenda sister duu Legendary of zenji flava
@dewjikitumbu4957
@dewjikitumbu4957 3 жыл бұрын
Jama anajieleza vizuri sana
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 жыл бұрын
Hadija Kopa Mama etu mzuri sana wa Kizinjibar mwenye roho thabiti lakini tamu is ishafika tena ya kuacha mambo ya kidunia sasa hivi inshaallah lazima to focus na Ahera okay¿thanks
@lulually5209
@lulually5209 3 жыл бұрын
Hamna mtu mwembamba shida tu zinatuendesha lkn Allah kareem one day yes
@victormartin9208
@victormartin9208 3 жыл бұрын
Smart Guys Tuliobaki Tanzania Kama Sio Afrika ni Mimi Na Huyu Mwamba..! We Do Live Our Life
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 жыл бұрын
Jamaa yuko Real ukizingatia alikuwa anakula jani watu wa hivi hata wakiacha uwa wanakua straight😀😀😀😀
@mweucchunda4244
@mweucchunda4244 3 жыл бұрын
Hahahaa
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 3 жыл бұрын
Kaka unasautii y utangazaji ❤️❤️
@erminaruizo6993
@erminaruizo6993 3 жыл бұрын
Ndy
@abdiooolhassan7822
@abdiooolhassan7822 3 жыл бұрын
Haya mambo mengine hata hayaeleweki au mama hakuwa makini,Zuchu alipozaliwa bi Khadija alikuwa super star so Zuchu alitakiwa kuwa mtoto wa ki-sure
@rahmaidd6277
@rahmaidd6277 3 жыл бұрын
Mziki zaman ulikua haulipi
@salmaabdull9872
@salmaabdull9872 3 жыл бұрын
Taarab ilikua hailipi kihivyo ndugu yangu
@jabirnext
@jabirnext 3 жыл бұрын
Tatizo umeanza kufuatilia mziki Diamond ameshakuwa Star.
@aminasuleiman6402
@aminasuleiman6402 3 жыл бұрын
@@jabirnext 😂😂😂Ni kwelii itakua hivyoo!!
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 жыл бұрын
@@jabirnext kwakweli hahahahaha
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 3 жыл бұрын
Gang Star wa Zanzibar 🤗💯🔥
@maulidmtaji3767
@maulidmtaji3767 3 жыл бұрын
Leo hii malkiya wa bng fleva zuchu
@natasha7969
@natasha7969 3 жыл бұрын
Ñimempenda Sana.....mkweli hana maringo💙
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Sasa yeye kasema ukweli interview yake...watu wengine wamewatafsiri vibaya.... Dunia hii....
@suleimansalim7194
@suleimansalim7194 3 жыл бұрын
Namafahamu San huyo Dogo asitusahau tukija hko Dare-eslam
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Jamaa Yuko vizuri Sana 👍🏼👍🏼👍🏼
@hafidhsaid2435
@hafidhsaid2435 3 жыл бұрын
Home sweet home Kwaalinatoo,Melanin media @suma kopa 🤩🥰💯💥🙏
@allyfatma7359
@allyfatma7359 3 жыл бұрын
All the best.
@ramlatumba3965
@ramlatumba3965 2 жыл бұрын
Mashallah Allah Barik Family Ya Babu Yangu.
@joookahjokah8430
@joookahjokah8430 3 жыл бұрын
Zuchu 🔥🔥🔥
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
ZUCHU 🤩💖
@annagasper3795
@annagasper3795 3 жыл бұрын
💅🙏
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 жыл бұрын
Nyumbani ni nyumbaniii😍😍😍
@zubeirislam9068
@zubeirislam9068 3 жыл бұрын
Nic
@erastotoshz4672
@erastotoshz4672 3 жыл бұрын
Kusema ukweli huyu jamaa anajibu maswali vizuri kuliko korosho
@jusitusigidioni480
@jusitusigidioni480 3 жыл бұрын
Mtnt
@joellengine4348
@joellengine4348 3 жыл бұрын
Sharot sana Broo numekukubali Bure 💯🙏💯💯💯
@MaadamAisha-qx5pu
@MaadamAisha-qx5pu 8 ай бұрын
Familia nzima haijielewi,murudi kwa Allah kama sio ivo moto wa Allah unawasubiri
@sniper93999
@sniper93999 3 жыл бұрын
Kaka km kaka 💪💪💪💪💪
@MohammedAhmed-ob8dq
@MohammedAhmed-ob8dq 3 жыл бұрын
I see ile nyimbo ya Sister duu hadi leo nimetoka kuiangalia... 🙏
@mankamasswe5478
@mankamasswe5478 3 жыл бұрын
Kwaiyo zuchu anauri gani
@saidali3557
@saidali3557 2 жыл бұрын
Hata mim bro..Ile ngoma naikubal Sana haichuji
@nervenb2831
@nervenb2831 3 жыл бұрын
Zuchu 💓
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
Pitia na hapo bomani kwetu usalimie majirani 😉😁❤🇨🇭🇹🇿
@tumababy8194
@tumababy8194 3 жыл бұрын
Umehama bomani?
@nurually8466
@nurually8466 3 жыл бұрын
Jamani na me bomani nimekaa
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
@@nurually8466 oooh pia mimi baba yangu alikuwa polisi
@tumababy8194
@tumababy8194 3 жыл бұрын
@@nurually8466 ata mm pia
@khatibbinhaji9804
@khatibbinhaji9804 3 жыл бұрын
mchizi li2tesa na ile ngoma ya "sister duu" big up @sumakopa
@jennytugara9470
@jennytugara9470 3 жыл бұрын
We are enjoying exposing People. This is all about!!!!!!
@swalehkhamis508
@swalehkhamis508 3 жыл бұрын
Hilo Neno, Uwaa. Mjamaa hakushika kitu. Kiswahili kitamu sana, ukikielewa.
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 жыл бұрын
nimemkumbuka classmate wng Asha apo nyuma kwa mzee masoud
@47mtv7
@47mtv7 3 жыл бұрын
Asha chifu 🤣🤣
@khadijashaban3218
@khadijashaban3218 3 жыл бұрын
Mashallah
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 жыл бұрын
Safi sana wasafi mko juu
@ulfatis-haq6009
@ulfatis-haq6009 3 жыл бұрын
sister duu ni hit song kwenye zenji flavour
@ashrafrajabu6464
@ashrafrajabu6464 3 жыл бұрын
Pga fagio sana ila si kwa ubaya 😂😂😂
@allysarha1317
@allysarha1317 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hamisaomar5828
@hamisaomar5828 3 жыл бұрын
Mwanangu nakukubali maneno mazima kabisa
@edwingwesso6818
@edwingwesso6818 3 жыл бұрын
Zuchu nmetembea nae kipind nakaa jran yake ila kwa sasa nipo mwanza hata namba zake sina alafu DM hajibu sms zangu na nikikumbuka hatujawah kukosana 😭😭😭😭😭
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 3 жыл бұрын
Weee kweli msenge,kwa hiyo Kama umetembea nae unataka iwe matangazo? fala weweeee
@sangajestina5461
@sangajestina5461 3 жыл бұрын
Bado uNaweza temBeaaa naeeeeee mbnah
@leahfanuel254
@leahfanuel254 3 жыл бұрын
😅😅😅daah nacheka lkn naumia
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 3 жыл бұрын
@@leahfanuel254 😀😀😀, imebidi mimi nicheke comment yako et
@judithkatembwe277
@judithkatembwe277 3 жыл бұрын
Yaaaani we huna akili ata kidogo
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 жыл бұрын
Kweli kabisa kila kitu kina mwisho kikubwa kupambana na kuwa na iman natuzid kumuomba Allah
@official_yuram6711
@official_yuram6711 3 жыл бұрын
Waach na kuimb mziki ni haram
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 жыл бұрын
Polen sana maana chote mumeangamiya hakuna hata wakumsomeya mwezake duwa maisha ya duniya yamewahadaa sana km c waislam namenye aklzake tmamu hamuozeshi mwazawe ukoo huo
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 жыл бұрын
Tuombeane mwisho mwema tuu. Hata ukimuona mwenzako anakosea dhahir shahir, jukumu LAKO la kiimani ni kumuombea Dua na kujiombea na wewe ILI usikutwe na Hilo Jambo baya. Aijuae kesho ni MUUMBA tuu 🙏
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 жыл бұрын
@@ALIMOHD-bk9lr nkwel ila wamezd daima mama huwaongoza watt wake njiya njema ya kwenda pepon ilaajabu ya huyu bb yy anasimama kdete kuwapoteza watt wake inaskitsha sana
@official_yuram6711
@official_yuram6711 3 жыл бұрын
Sahihi
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 жыл бұрын
@@official_yuram6711 umeonaee
@tatusaidi7451
@tatusaidi7451 3 жыл бұрын
Ww unaehukumu utajua Kama utaenda pepon?.achen kuhukumu mungu ndo atajua mwisho wake
@nannakhamis5350
@nannakhamis5350 3 жыл бұрын
Khoo nimependa bureee sasa kashaoa au bado na hao walokuwa wanakataa posa washamba wajui maana ya usanii
@moshimgaza5642
@moshimgaza5642 3 жыл бұрын
Kafanana na mama yke hafi jicho
@DeborahBalveer
@DeborahBalveer 5 ай бұрын
Hivi Khadija kopa ana watoto wangapi
@shamomar629
@shamomar629 3 жыл бұрын
Enzi zangu za utotoni tulikuwa tunachota maji hapo jirani kwa khadija kopa
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Kaka una sauti ya kua mtangazaji kipaji icho kitumie kaka suma
@ahmadsureboy7623
@ahmadsureboy7623 2 жыл бұрын
Baba nilikuwa naikubali sana kazi yko ya Sister du yn kpnd kile ww ni Star Suma kopa pembn kira kirami Umeupiga mwingi
@herysabur7747
@herysabur7747 3 жыл бұрын
Kweli namuelewa kwasababu nilimsomesha skuli ya Rahaleo.cema hawezi kunijuwa miaka mingi sana ss kaishi katia maisha magumi.acha ajidai .m.mungu hamtupi mja wake.
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 жыл бұрын
Suma Kopa 👍
@donpablo2651
@donpablo2651 3 жыл бұрын
Suma nimesoma nae mwembe shauri skul
@benjamineuronu2142
@benjamineuronu2142 3 жыл бұрын
Mungu ni MWEMA
@TerryTeicy-or4db
@TerryTeicy-or4db Жыл бұрын
Twapenda vitu positive
@ommyzokassim7617
@ommyzokassim7617 3 жыл бұрын
Big up brother
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 жыл бұрын
my lovelly county .........zanzibar ma home
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 жыл бұрын
noooooooo
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 жыл бұрын
Zanzibar kubaya
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 жыл бұрын
@@nilansaid2927 hhh kwani nani kakwita
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@nilansaid2927 Tunashukuru na ubaya wetu
@mbishkula1875
@mbishkula1875 3 жыл бұрын
@travelstylish nurse Sikushangai Hujui Ukisemacho ZANZIBAR Tuna Rais Wetu Mawaziri Wetu Baraza letu la Wawakilishi( BUNGE) Mahakama KUU Vitambulisho Vya Mzanzibari na Katiba ya ZANZIBAR So Ukerewe na Mafia ndio Visiwa Zanzibar ni Nchi
@sylivanusmutayoba4349
@sylivanusmutayoba4349 Жыл бұрын
Safi kijana unajua kujieleza
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 3 жыл бұрын
NAMPENDA SANAAAAA.....#ZUCHU...Maashaallah
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
Hahaha kakataliwa posa khadija kopa balaaa 😂😂🤣
@rizikingao3648
@rizikingao3648 3 жыл бұрын
Kaka mzuri na mkweli
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
maa shaa Allah
@youngbob9761
@youngbob9761 3 жыл бұрын
Zanzibar...
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Dah maisha jmn watu wanatoka mbali
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Mashaallah
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 жыл бұрын
Zanzibar kama 🇴🇲
@umakramzahor4836
@umakramzahor4836 3 жыл бұрын
Mh
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
@@umakramzahor4836 😀😀😀😀😀😉😀
@omarimwangemi4470
@omarimwangemi4470 3 жыл бұрын
Hahaha kama suwaq
@elizabathfabian8997
@elizabathfabian8997 3 жыл бұрын
Zuu mzuriii
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Amefanana na Mama yk
@rahimalewe2835
@rahimalewe2835 3 жыл бұрын
sana mamake mtupu
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
@@rahimalewe2835 😊😊
@khadijashaban3218
@khadijashaban3218 3 жыл бұрын
Huyu kk mzur km mm yake
@kitomondo
@kitomondo 3 жыл бұрын
Jamaa amekaa kilaini sana yani kama naniliu vile ...
@ubahalfan105
@ubahalfan105 3 жыл бұрын
@@kitomondo 🤣🤣🤣si ameiga mwili wa mazaa
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 3 жыл бұрын
Hahaa mpe K basi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
@@kitomondo 🤔🤔🤔
@kurwaroti3449
@kurwaroti3449 2 жыл бұрын
Jaman maixha yana badilika
@munnahsaid7329
@munnahsaid7329 3 жыл бұрын
Mm nipo na hadija kopa ni mama kma mamangu so cmuogopi baly na muheshimu...leteni iyo posa kenya 🥰
@fatumahassan1371
@fatumahassan1371 2 жыл бұрын
Ushayamaliza ww ailete uku kwetu Kenya😂😂
@munnahsaid7329
@munnahsaid7329 2 жыл бұрын
@@fatumahassan1371 kabsa
@zamzamkhelef8916
@zamzamkhelef8916 3 жыл бұрын
Bi Zuwena, Bi Zuhura, Bi khadija kopa, Bi Zuuuuuu ZUCHU hahahaha
@mzenjikichaa8695
@mzenjikichaa8695 3 жыл бұрын
Gansta wa Zanzibar
@mussajuma8535
@mussajuma8535 3 жыл бұрын
sistaduu hee kali hio ngoma
@user-jg5xb4kp6e
@user-jg5xb4kp6e 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@Crokfarm_Hse
@Crokfarm_Hse 3 жыл бұрын
Nzuri sana
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 3 жыл бұрын
Kafanana sana na baba yake kibwana
@suleyhaji5313
@suleyhaji5313 3 жыл бұрын
Yes real bro tuwakilishe kitaani kwetu kwaalinatu
@killayzone7256
@killayzone7256 3 жыл бұрын
Wapi alipo sema awasaidi
@maryamhadid7753
@maryamhadid7753 3 жыл бұрын
Itapendeza Zaid zuchu na mama hadija muiboreshe nyumba iko poua Nawapenda mnoo
@hassanmagali6098
@hassanmagali6098 3 жыл бұрын
Hiyo nyumba ameijenga Bi Khadija peke yake wakati Zuchu bado ndio kwanza mchanga mpaka ime maliza Zuchu bado hajaanza ata kuimba bado mdogo .
@dianamonyo1960
@dianamonyo1960 10 ай бұрын
Anaishi Dar, hii amepangisha
@user-xh7vw4kk7o
@user-xh7vw4kk7o 3 жыл бұрын
Mashaallah kaka yake zuchu
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 3 жыл бұрын
Mashallah sura yake kama ka kibwana.
@furahajonas7425
@furahajonas7425 3 жыл бұрын
Akojenga nyumba wakaa kwa mzee wko
@MukizoWizo
@MukizoWizo 3 жыл бұрын
Iyo begi ya muhoji si ni ya wanawake bana 🙆‍♂️ ati huo ndo mnyamwezi 🤣 dunia inaisha kueli
@ramadhanidaudihaji2174
@ramadhanidaudihaji2174 3 жыл бұрын
🤣🤣
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
yani nishida
@hansykabisama5183
@hansykabisama5183 3 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 q
@doubleimpact9749
@doubleimpact9749 3 жыл бұрын
Ni kwa Ali Natu na siyo Ali Natu unaanza na neno "Kwa Ali Natu"
@balqisabdullah6200
@balqisabdullah6200 3 жыл бұрын
Suma nakukumbuka tulikua jirani nyumba yenu jirani na na bimwana kwao nyanyaa kundembaa.. unaongea ukweli mlitoka mbali......
@ulfatis-haq6009
@ulfatis-haq6009 3 жыл бұрын
ungemwambie akupe laza jamaa anaimba sana uyoo
@lulually5209
@lulually5209 3 жыл бұрын
Babu umekuwa bonge mashallah
@victoriaokindo9716
@victoriaokindo9716 3 жыл бұрын
Eish kiswahili!🙏
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 3 жыл бұрын
Suma umenenepa sana umekua mbaya nakukumbuka kipindi kile ulipokua unakuja d/bovu unampigia misere Anisa
@melkionpaulhaule
@melkionpaulhaule 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 bongo ukitoka kdogo wauni mnatupa maboko
@melkionpaulhaule
@melkionpaulhaule 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 bongo ukitoka kdogo wauni mnatupa maboko
@47mtv7
@47mtv7 3 жыл бұрын
🤣 anisa yupo yule
@47mtv7
@47mtv7 3 жыл бұрын
Nifollow insta sumakopa_
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
🤣🤣🔥
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 1,7 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 32 МЛН
BIBI ATUHUMIWA KUISHI NA MSUKULE WA KIZUNGU/UKWELI WOTE HUU HAPA
12:33
Wasafi Media
Рет қаралды 1,1 МЛН
ZUCHU AKIMZAWADIA GARI MPYA MAMA YAKE KHADIJA KOPA
3:20
Wasafi Media
Рет қаралды 1,2 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН