BIBI ATUHUMIWA KUISHI NA MSUKULE WA KIZUNGU/UKWELI WOTE HUU HAPA

  Рет қаралды 1,107,564

Wasafi Media

Wasafi Media

3 жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 300
@victoriamkilya928
@victoriamkilya928 3 жыл бұрын
Mapenzi ya mama ni makubwa mnooo! Mama Mungu akupe uhai mrefu na akubariki uzee wako uwe na furaha! Nakuelewa sana!😭
@calvinloveambroce842
@calvinloveambroce842 3 жыл бұрын
Watanzania tuna shida kubwa sana ,,tunaacha kupambana na serikali inatuongezea makodi kila siku tunaanza kufuatilia maisha ya watu
@alinassor6956
@alinassor6956 2 жыл бұрын
Kwahakika ounayo yasema niukweli binadamu hafikiri yale yanayo mpasa afadhali washuhulikie nakazi zitakazo wasaidia maesha hata kazi ya mama nitile nikazi badala ya kukaa namawazo yakishetwani
@marthakibona
@marthakibona 5 ай бұрын
Kwelikabisa
@Ibuhkadugulu
@Ibuhkadugulu 4 ай бұрын
Hahaha kukuta ww
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
Wanamuonea donge bibi anawatoto wa kizungu bibi masha Allah unawatoto wazuri
@user-wv3th2ln4d
@user-wv3th2ln4d 3 жыл бұрын
Umeona ee
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
@@user-wv3th2ln4d yah
@user-wv3th2ln4d
@user-wv3th2ln4d 3 жыл бұрын
@@manasadunia3458 masha llah ana watoto wazuri
@lidyahaule5343
@lidyahaule5343 3 жыл бұрын
Amina
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
@@user-wv3th2ln4d Masha allah
@younginspired3899
@younginspired3899 3 жыл бұрын
Omg, kama huyu bibi anayosema nikweli watu wamuombe huyo bibi msamaha haraka sana 😭
@polytarimo324
@polytarimo324 3 жыл бұрын
Kweli mimi mwenyewe imeniuma
@shekhamohammed416
@shekhamohammed416 3 жыл бұрын
Yeah maskini
@marianamontoedi2333
@marianamontoedi2333 3 жыл бұрын
Nani kama mama
@mapenzikatana9990
@mapenzikatana9990 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@okelloowino7577
@okelloowino7577 3 жыл бұрын
Sana na ikiwezekana bibi akashtaki kwa kuzalilishwa ila sishangai manake ukimjuwa mchawi lazima unawanga nea this was so bad I wish ningekuwepo hapo karibu nimfinze huyu bibi hatua yakuchuwa kwa uzalilishaji huuu manake yangekuwa mengine kama srkali haingeingilia meneno hiii
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 жыл бұрын
Pole sana bibi kwa changamoto na mitihani ya maisha 😭 Masikini ya mungu mpaka unaitwa mchawi, bora ahame iloeneo awezi kukaa kwa Amani
@athumanihamisi5415
@athumanihamisi5415 3 жыл бұрын
Polesana Bibi
@athumanihamisi5415
@athumanihamisi5415 3 жыл бұрын
Waliokuita mchawi nibinadamu hawajakamilika wasamehe maishayaendelee sahau yaliopita
@sephramadhani4780
@sephramadhani4780 2 жыл бұрын
Bei I Think
@sephramadhani4780
@sephramadhani4780 2 жыл бұрын
Bei I Think It Is aa and construction of a good aa
@drrelaxation6911
@drrelaxation6911 3 жыл бұрын
Mzungu alichukua rafiki wa bibi akasepa. Hao wote wanae. Na si mzee kihivyo. Ni maisha tu jamani.
@aishayahya1856
@aishayahya1856 4 ай бұрын
Wabongo hatari
@davidmwombeki5633
@davidmwombeki5633 3 жыл бұрын
Jamani mm mama huyo namjua sana siyo mchawi kabisa namjua alishi kigboni maeneo ya Tungi na huyo Dadaye mwenye Asili ya kizungu namjuwa ni Watu wema sana sana
@loveelooh1964
@loveelooh1964 3 жыл бұрын
Huyo mzungu kabisa Hana mixed muangalie vizuri
@zulfahamissi4725
@zulfahamissi4725 3 жыл бұрын
Ila tusilaumu sana yy kuitwa mchawi pengine mungu alipanga iwe hivi ili aweze kupata msaada
@junaidybwanamkuu3175
@junaidybwanamkuu3175 3 жыл бұрын
Ni kweli Allah ndo mjuzi wa kilajambo na allh ndo mpangaji wa ridhiki atajua skupe vp ridhiki
@patrickherman1906
@patrickherman1906 3 жыл бұрын
kweli kila jambo lina sababu ila nimeumia sana
@elinorahmwadime1454
@elinorahmwadime1454 3 жыл бұрын
Mipango ya Mungu soo Kama ya wanadamu
@choggyslyymrisho5931
@choggyslyymrisho5931 3 жыл бұрын
ni kweli
@sharfahamiss8172
@sharfahamiss8172 2 жыл бұрын
Bibi yuko vizur aachwe huru
@joycechunga400
@joycechunga400 3 жыл бұрын
Muda mwingine mama zetu wanaaivishwa lengo tu kututetea sisi watoto,weka namba zako za simu tukuchangie wengine tumeguswa na haya yaliyo kukuta mama
@hajikishuwa1078
@hajikishuwa1078 3 жыл бұрын
Toto baya zuri kwa mama ye muheshimu sana mama ungali yupo hai 🙏
@bornifacecharles9555
@bornifacecharles9555 3 жыл бұрын
Kweli jamaa hakika
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
SubhanAllh jamani watu tusipende kuongea vitu ambavyo hauna uhakika navyo sio vizuli kabisa yani pole sana bibi kwa changamoto unazo pitia
@aguerowakujidai6509
@aguerowakujidai6509 3 жыл бұрын
Dotto mambo
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU
@aminaibrahim4148
@aminaibrahim4148 3 жыл бұрын
Subhhana Allah jamani tuacheni kuzua hiyo sio vizur masikini bibi bora uhame 😢😢
@nusuranusura4688
@nusuranusura4688 3 жыл бұрын
Maashaallah , mama alipata wazungu wake mwenyewe. Kazaa wanae wazuri. Ila.mtihani ummkuta, kijana ana stress anamtaka baba yake
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Awatafute mtt akitaka baba mpeleke
@leamajaliwa3076
@leamajaliwa3076 3 жыл бұрын
Subhanaallah binadamu tunamambo iko siku nasisi umri ukisogea tutaitwa wachawi
@momatv2019
@momatv2019 3 жыл бұрын
Ni kweli wajina
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 жыл бұрын
Shida hino ipo huku bongo tuuu. Mithiani wallahi
@lidyahaule5343
@lidyahaule5343 3 жыл бұрын
Kabisa
@annastaziamichael6344
@annastaziamichael6344 3 жыл бұрын
Yaan mpaka nimetoa machozi binadamu jamani kaah
@fridageorge2809
@fridageorge2809 3 жыл бұрын
Yaani Mungu atusaidie wamama na watoto wetu!
@circus2578
@circus2578 2 жыл бұрын
May Allah give you strength and longlife too,he's there for you he will protect your family Mama,Good luck Inshallah 🌹🤲♥️❤️♥️
@hassansaid2614
@hassansaid2614 2 жыл бұрын
Wadau wenye uwezo msaidieni hyu mama na vijana wake, Mungu atawalipa Insha'Allah
@ramadhanimbwana1763
@ramadhanimbwana1763 3 жыл бұрын
Mungu shahidi hii kitu kimeniuma huyu bibi namjua alishawahi kuishi kigamboni. Hana hatia. Mungu tusamehe ila sisi binadamu Daaahhh. Sema imeniuma sana sana tuuu
@user-pm4dm3vk3o
@user-pm4dm3vk3o 5 ай бұрын
Pore mama yangu kwamajukum yakiduniya yatapita mngu yupo pamoja na wewe atapona mwanao wanao sema nimusukure nawao siwao hawarijuwi waritedaro 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 3 жыл бұрын
Wabongo wana imani chafu, jamii ya kishenzi sana. Uchawi ndio mnawaza tu.
@hamidbhos8297
@hamidbhos8297 2 жыл бұрын
Omba yasikukute tu
@akibahshabani9589
@akibahshabani9589 2 жыл бұрын
Kabisaaa
@rehemahayongo4159
@rehemahayongo4159 2 жыл бұрын
Ndio mana watazidi kua maskini
@jeniffermageto8952
@jeniffermageto8952 2 жыл бұрын
Kudhiirisha ujinga ambao unaleta umaskini,,watu waende kazi
@joventmushwaimi3681
@joventmushwaimi3681 2 жыл бұрын
Ni akili ya mtu maskini ndo inawaza hivi
@wegorokibajiro9098
@wegorokibajiro9098 3 жыл бұрын
Pole bibi Mungu akusimamie na wananchi kabla ya kujaji ulizeni kwanza
@ghatititus7136
@ghatititus7136 3 жыл бұрын
Yaani wabongo wakiamka asubuhi badala awaze atapataje riziki anawaza wapi apate tukio asambaze umbea,ee Mungu tufundishe kunyamaza hasa kwa yasiyotuhusu.
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Huyu mama anaitaji kusaidiwa kwakweli bona binadamu tuko hivi bona wanamtia huyu mama aibu tu mungu anawaona.
@victoriasfamilytalkandcoun6016
@victoriasfamilytalkandcoun6016 2 жыл бұрын
This is shocking! Some people's mindsets are messed up! No empathy! What has gone wrong with today's society? This is wicked!this mother is trying big time she's old and worn out and she needs support but too bad the same people who should be helping out are the ones crucifying her. Shame on the society !
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 жыл бұрын
Watamuharibia hata biashara watu waogope kula unga wake wa muhogo acheni wivu wabongo ndo maana mnachelewa kupata maendeleo 😭😭😭😭😭😭
@personcriticalthinking7162
@personcriticalthinking7162 3 жыл бұрын
Acheni umang'aa aki mtto wake. Angalieni mama mwenye mnamuuliza maswali jameni.
@leonjuly8242
@leonjuly8242 3 жыл бұрын
Damn,story kama hii najiweka mwenyewe af nawaza nipate shida haki mamaangu hawez niacha kabisa.!Pole mama nimekuelewa vzur sana
@paschalntambiwe3120
@paschalntambiwe3120 2 жыл бұрын
Nisawa
@hamadiselemani1110
@hamadiselemani1110 3 жыл бұрын
Pole Bibi sisi tulioachwa Na baba zetu wa nchi za nnje tunaishi Kwa shidaaa sana Kwa kukosa malezi ya baba,mungu atulinde tu Ameen,
@reginasawe3356
@reginasawe3356 3 жыл бұрын
😔😔pole
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 жыл бұрын
Watanzania tunapenda sana kuzuliana mambo yahovyo
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
My dear sema baadhi ya Watanzania hawana akili timamu.
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 жыл бұрын
Walivyojazana na Corona hii
@turibamweali8661
@turibamweali8661 3 жыл бұрын
Muzungu=muskule? Ni mtu kama wengine kama ni mzungu na wenu anaweza kuwa mugonjwa
@rechorichard6140
@rechorichard6140 2 жыл бұрын
Kwelii kabisaa
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 жыл бұрын
Yani Watanzania Mungu atukumbuke tumezidi kwa unafiki
@christopherkanyalakc8941
@christopherkanyalakc8941 3 жыл бұрын
Mama bora God bless you 🙏
@edwardphillipkimaro3598
@edwardphillipkimaro3598 3 жыл бұрын
Huyo sio msukule huyo ni Mama yake kweli na mshikaji anaitwa Robert tumesoma naye Mafinga Iringa 1999-2000 ndio akaondoka.
@annethmungure8936
@annethmungure8936 3 жыл бұрын
Kumbe
@ebraniacosmosy2072
@ebraniacosmosy2072 3 жыл бұрын
Wabongo tunakurupuka sn ndio mana tunadungwa sindano ovyo.
@tasokwamichael2433
@tasokwamichael2433 3 жыл бұрын
Mafinga shule gani?
@hawahabibu661
@hawahabibu661 3 жыл бұрын
Maskini wee bibi wa watu wanamuonea kwan ni lazma mtu mtoto wako ufanane nae
@kibalabibisha6778
@kibalabibisha6778 3 жыл бұрын
@@ebraniacosmosy2072😭🇰🇪
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Bibi 🙏🏾
@samuelwange7643
@samuelwange7643 3 жыл бұрын
Watanzania nakuhisihisi watu....ndomana mkonyuma sikuzote
@stellamongi8811
@stellamongi8811 3 жыл бұрын
Uyu mama ninoma watoto wote tutawapeleka ubalozin
@dhaharanijongo9700
@dhaharanijongo9700 3 жыл бұрын
we upo kwhyo
@zuhurazuhura6336
@zuhurazuhura6336 2 жыл бұрын
Wamuombee msamahaa uyo Bibi da!
@elizabethsjoberg5734
@elizabethsjoberg5734 3 жыл бұрын
Watanzania wenzangu tumsaidie huyu kijana ili apate sehemu ya kuishi na matibabu 😭
@zainabmbarak1043
@zainabmbarak1043 3 жыл бұрын
Atafutiwe baba ake akatibiwe kwao bibi hana uwezo
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 жыл бұрын
Kabisa
@lidyahaule5343
@lidyahaule5343 3 жыл бұрын
Huyo ni binadamu mwenzetu ana hitaji mmsada
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 3 жыл бұрын
Bibi alikua ahojiwe vzr aseme uyo baba Raia wawapi iliifuatiliwe ubalozini anaweza kupatikana baba yao kama bado yupo hai
@kitengegaston6946
@kitengegaston6946 3 жыл бұрын
acheni ivo alafu kama baba yake ayupo
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
Pole sana mama Mungu akufanyie wepesi
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Pole sana mama walimwengu wanapenda kuhukumu polee. Wasamehe hawajui walitendalo. MUNGU akufanyie wepesi na Mzungu wetu apone
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 жыл бұрын
Watanzani wakti mwengine tuna fanya mambo ya ajabu sana. Sasa Bibi maskini shida yake ipo wapi. Tuwache kumzulia mtu kabla ya Uhakika. Bibi nakuombea Allah atakusaidia InshaAllah. 🙏
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
🚮🚮
@beatricemboya5771
@beatricemboya5771 3 жыл бұрын
Mungu amtie nguvu, watu hata awakumbuki korona a
@silyvya2408
@silyvya2408 3 жыл бұрын
Pole Bibi Mungu akupe nguvu pamoja na yote wewe NI mpambanaji
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 жыл бұрын
Wabongo nimewavulia kofia wallah 🙌🙌
@renildevenerand9473
@renildevenerand9473 3 жыл бұрын
Usihofu bibi inawezekana Mungu ametaka watu wakujue upate msada wa mtoto wako.
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 3 жыл бұрын
Kweli
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 жыл бұрын
Kabisa
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
Pore sana mama yangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@righton19
@righton19 3 жыл бұрын
Roho imeniuma huyu Bibi nahis anaonewa
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
Pole sio pore🚮
@wardasaid3269
@wardasaid3269 3 жыл бұрын
Kakosea bb huo cyo utaratibu wa kumsaidia haki haijatendeka huwezi kumfungia binadam kwa miaka yoote
@zulfahalily6095
@zulfahalily6095 2 жыл бұрын
@@wardasaid3269 sasa ulitaka afanyeje na Ni mfanya biashara angekua anamuachia Nan naatatizo la akili
@ameniameni617
@ameniameni617 3 жыл бұрын
Waswahili kazi Yao kubwa uongo ndio tatizo tunakufa masikini kisa kufatilia maisha ya watu pasipo kujua chanzo cha matatizo aliweza kumlea tangu Mdogo akumuua pole mama nimapito Mungu atakusaidia
@zulfahamissi4725
@zulfahamissi4725 3 жыл бұрын
Subhanallah muombeni radhi huyu bibi acheni fikra potofu. Oneni nahawo wa2 walivyo jazana utafikiri kuna maonyesho
@athumanihamisi5415
@athumanihamisi5415 3 жыл бұрын
Musmzalilishe bb siovizuri
@superherocolin7564
@superherocolin7564 3 жыл бұрын
Huyo jamaa sio mzukule huyo anamatatizo ya akili alishapelekwa kanisa lipo pale magengeni nilishawahi mkuta pale kanisani
@adamumsimamo5620
@adamumsimamo5620 3 жыл бұрын
Mmmh
@mottomajidshipande8237
@mottomajidshipande8237 3 жыл бұрын
Pole bib!wananch tuache kutuhumu Mambo pasipo ku chunguza
@lulujumanne7623
@lulujumanne7623 2 жыл бұрын
Mm jamani msukule gani msafi hiv
@dainesszuber7404
@dainesszuber7404 3 ай бұрын
Pole sana mama hata mimi nikizeeka nitaambiwa mchawi kizazi cha sasahivi ukizeeka sana unaambiwa mchawi pole sana mama angu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Duh bibi ana zali eeeeh,anipe namba ya mganga wake,watoto sita wa kizungu na kila mmoja na baba ake🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Bibi alidangaaa
@laurarose1521
@laurarose1521 3 жыл бұрын
Huyu bbi...nyakati zake alikua wa moto sana
@upendolema9809
@upendolema9809 3 жыл бұрын
Sasa zali wakati wote walimtelekeza???🤣🤣🤣
@yeyothegreat8277
@yeyothegreat8277 3 жыл бұрын
Hahahahahahah
@aminasaidi7096
@aminasaidi7096 3 жыл бұрын
Keki plus umenifurahisha😁😁😁
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 жыл бұрын
Wa Mama mko wapi... Hongera kwa upendo wenu kwetu sisi Watoto... Bibi huyo Ni kielelezo... Vile vikindi vya umoja wa Amina mama, vya kijamii, kidini, n.k. Jitokezeni Sasa Ni wakati wa kumshika Bibi Mkono na mwanae kumfikishia baraka za Mwenyezi Mungu na kumsaidia kumpata baba wa mtoto... Sheria itungwa kwa wageni wanaowapa mama zetu mimba na kukwepa majukumu ya Jules Watoto... Kwa Sasa wimbi la Watoto wa kichina na wazungu waliotelekezwa Ni kubwa Sana... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 3 жыл бұрын
Mimi katika woote alonichekesha ni mjumbe na magwanda 😂😂😂
@jasice6792
@jasice6792 3 жыл бұрын
Mwenyekiti Sasa anaongea balaa
@amosbigirimana5469
@amosbigirimana5469 4 ай бұрын
Tunaliliya kuishi myaka mingi ayo ndiyo matokeyo yakuishi myaka mingi.ukiwa mzee utakutana na mithani mingi saana.mungu atupe mwisho mwema
@reginaphillipo8758
@reginaphillipo8758 2 ай бұрын
Mungu anapima imani ya binadam kumshusha ili ampandishe juu ubarikiwe sana bibi
@khadijakiba3587
@khadijakiba3587 3 жыл бұрын
Makubwa pole bibi yangu 🥲🥲
@karamanazareno1556
@karamanazareno1556 3 жыл бұрын
bibi mshitakie Mungu t
@rajabadriano9741
@rajabadriano9741 3 жыл бұрын
Daah polen xana wanafamilia yote ni chngmoto za maisha tuu pole Bibi mwnyezi mungu anajua nn lakkulipa
@RehemaMlila-yt8hd
@RehemaMlila-yt8hd 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu amjaaliye na amjalie pia apate wajukuu wa kizungu insha allah
@jacklinejohn222
@jacklinejohn222 3 жыл бұрын
Jamani jamani acheni kuwa jaji watu vibaya me nimeumia sana huyu bibi amepitia mengi 😭 naomba niulize inamana ata sisi tukizeeka tutaitwa wanga jamani tuoneane huruma wazazi wanapitia mengi😭😭😭
@zaharaamdilah6602
@zaharaamdilah6602 2 жыл бұрын
Kweli mungu atu saindie nawatoto wetu waweze kuepuka balaa za nduniani
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 3 жыл бұрын
Masha Allah...ilaa pole bibi
@alykhan9054
@alykhan9054 3 жыл бұрын
Kizzo all the way from Moro bibiii Hana shidaaa huyoooo kashasema mwanaeee
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU.
@dottocharles1636
@dottocharles1636 3 жыл бұрын
Kabisa lazima mama amlinde mwanae .uchungu wa means aujuae mzazi
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 3 жыл бұрын
Serikali imsaidie kumpata Baba yake jamani wee unadhani stress mchezo
@kitengegaston6946
@kitengegaston6946 3 жыл бұрын
kama ameshaga fariki ili iweje
@hawahabibu661
@hawahabibu661 3 жыл бұрын
@@kitengegaston6946 umeonaee? Mama kama mama awezi kukubali mtoto kamzaa kamlea peke ake alaf leo ampeleke kwa baba ake wkt huu ni mda wa yeye kuwa karib na watoto wake ili apewe mahitaj yake kama mama umri huo umtafute baba wa kaz gan usikute uyo baba mwenyew kashajizeekea na yy anahitaj msaada asaidiwe
@hawahabibu661
@hawahabibu661 2 жыл бұрын
@@kitengegaston6946 Uyo mama namshaur aendelee kukataa uko wenzao wataenda kumgeuza mwanamke na hivyo alivyo mh!!! Watu weupe wengi wana roho mbaya
@bintrobert4952
@bintrobert4952 3 жыл бұрын
Waswahili tukikosa kumzoea mtu na kujua undani wake yanayo Fata ni hayo MUNGU akutie nguvu
@mokohratino9052
@mokohratino9052 3 жыл бұрын
Jmni uyu mkka nlimjuaga mda nadda ake mzung ilamda Sana tukawa atuwaongi kumbe waliama jmni duu🙏🙏🙏 pole mma wawtu yanamkuta mazito
@julithamlay4558
@julithamlay4558 3 жыл бұрын
Hongera Sana mama yangu. Endelea kumuomba Mungu atakusaidia
@lydianasambuwanjala8849
@lydianasambuwanjala8849 3 жыл бұрын
Surely, wee wa kuleta Habari ya uongo, pole bibi tu Sana,, wanaume waaaaa 😭😭😭😭😭
@mariamufungo9619
@mariamufungo9619 3 жыл бұрын
Jamani jamani tusiwalaum sana majirani kwani kukosa hao majirani hata sisi tusengejua kuwa bibi hapo zamani alikuwa akigawa jimbo kwa wazungu..na pia hayo yote tusingeyajua.
@zulfahalily6095
@zulfahalily6095 2 жыл бұрын
@@mariamufungo9619 usiseme ayo maneno monz ujui kesho yako .....mzee alikua anajarib pengine atapata wa kumtuza na familia yake ila wote wakawa mtihan n kumuomba Mungu tu
@johnchuwa2888
@johnchuwa2888 3 жыл бұрын
Huyu bibi nimkweli kabisaa niliwahi mku.wona kwa mzee wa yesu swala lakumuuliza yeye ni nani kwa huyo bibi?
@doricelihumbo4696
@doricelihumbo4696 3 жыл бұрын
Asaidiwe jmn
@safariautoservice7032
@safariautoservice7032 3 жыл бұрын
Bibi usikate tamaa. Mungu yupo nanyi. Nasi tupo ili tusaidiane. MUNGU akinijalia mimi nitakuja kuwaona. Tutaongea mawili matatu. Na Baba Mtoto kama bado yupo mimi nakuwahidi. Nitamutafuta najuwa shida ya kutokuwa na Baba.
@ashankusa1514
@ashankusa1514 3 жыл бұрын
Dah mpaka tumbo limeniuma uyo sasa ndio mama mwenye uchungu na mwanae anatamani Angekua na uwezo angemlinda zaidi
@manuelarene2645
@manuelarene2645 3 жыл бұрын
Aki watu wadaku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa hapo kukirushwa boom 💣💥... Pole bibi kwa majukumu 🙏🏾
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 3 жыл бұрын
Ivi watu mkoje mnakosa kazi?
@alphageorge5563
@alphageorge5563 3 жыл бұрын
Wabongo kwa kuzua mambo, washamnyima raha bibi wa watu.
@alykhan9054
@alykhan9054 3 жыл бұрын
Bibiii hanaaa shidaaa mizengwee yenuuu tyuuu bibiii hanaaa shidaaa
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU
@furahinidaudi7851
@furahinidaudi7851 2 жыл бұрын
Pole Mama Mungu akufariji...
@kamanda007
@kamanda007 3 жыл бұрын
Wee mtoto a acha kumlaumu mama yako, kama baba hayupo hawezi kulazimisha awepo, na dogo ni bangi zake tuu wengi hawawajui baba zao wanaishi vizuri tuu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Ila watanzanua jamani mbona ukiwaangalia tu unaona wanafanana jamani!!!!MSUKULE!!!! kha
@ibrahimnadir4490
@ibrahimnadir4490 3 жыл бұрын
Kwa ufupi wabongo muelewe uyu kijana alijihisi toka utotoni mbona mimi si wa hapa, sasa mama kama umechepuka si unioneshe mzee baba nisepe zangu ma sweden, kwa ufupi mtoto wa kizungu kazaliwa bongo alafu akaona sipo pakamtia stress sasa tujifunze
@goodhelpnolland6792
@goodhelpnolland6792 2 жыл бұрын
Pole sana Bibi watanzania tuache mihemko Jambo hamlijui kiundani mnakurupuka acheni Imani za kichawi fanyeni kazi
@merynjau5614
@merynjau5614 3 жыл бұрын
Alieanza kutoa izo shutma inabidi akaomuombe uyu bibi msamaha jmn dah!
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 3 жыл бұрын
Apana uyo yupo sahihi kwani wanae wameongea vizuri kabisa hivyo uwezi ukawa unamfungia mtu ndani wewe unaondoka hivyo wameelewa
@mwashambakipanga4528
@mwashambakipanga4528 3 жыл бұрын
Ila inauma sana mtu anakuachia mtoto au mimba alaf baadae umemlea kwa tabu baba ht akumbuki likikuwa linamtaka baba ake duuuuuuh Bibi pole mungu atakusaidia sikieni tu ivyoivyo ukiwa single mother mtoto alikuwa umepitia mengi muache aende kwa baba ake kishakuwa
@Miriam760ful
@Miriam760ful 3 жыл бұрын
Pole mama pole mama yangu..umeniliza ....mwenyeezi Mungu akusaidia ...nawapenda sana
@bern1229
@bern1229 3 жыл бұрын
Kweli si vchwa vya wendawazim..mnaksanyika kshangaa ktu kdg badala ya kupiga Kaz ..pmbav mliokusanyika hapo kwa ajili ya umbea
@lilwiz5414
@lilwiz5414 3 жыл бұрын
Kazi yko ngumu mchaga
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU
@hawahabibu661
@hawahabibu661 3 жыл бұрын
Cyo kwamba mama ni mbishi hapana uchungu wa mwana aujuae mzaz aiwezekana mtoto kamzaa kamlea peke ake alaf leo akubali kumpeleka mtoto wake uko mbal na usikute baba mwenyew huko kashajizeekea anahitaj msaada asaidiewe au hana hata mpango wa mtoto mwenyew maana kule kaoa yupo na watoto wake wengine hana abar alaf kwan yeye si anajua uku kama alimuacha mtoto kwann asimfatilie mtoto wake alaf leo bibi akubali kumpeleka hata mm nisingekubali miaka 1000000
@ednamasud2613
@ednamasud2613 3 жыл бұрын
Duuuh pole sana Bibi Mungu akutie nguvu 🙏🙏
@tangamedia4729
@tangamedia4729 3 жыл бұрын
Daaaah Wakati Unamuita MAMA wa mwenzio MCHAWI Fikiria Wewe MAMA AKO akiitwa MCHAWI unajisikiaje ROHONI #Mama anauma Trust me 😥😥😥😥
@circus2578
@circus2578 2 жыл бұрын
Allah atawafanyia wepesi,atafungua njia zote,atazidisha kipato chako,nawaombeni Mashirika yakuhusika na kesi kama hizi, shughulikeni upaswavyo,huyu kijana ywahitaji huduma,arudi Hali zake za kawaida,wanamziki Mashirika na wadau wote,Kwa pamoja mwaeza kutimiza ndoto za huyu kijana,kila la heri nyote mliojitolea kumpa chochote huyu mama,anatuhitaji soteni Kwa pamoja, Inshallah 🤲✌️👍♥️
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 3 жыл бұрын
sema apo bibi anaitaj kusaidiwa sio kushtakiwaaa watz apo ndo tunafeli 😢
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 3 жыл бұрын
Bibbi pole sana
@priscalorinius9368
@priscalorinius9368 3 жыл бұрын
Oooh maskini pole yake sana huyu kaka jamani, naomba nipate namba ya hiyo familia au majina ha baba yake nimsaidie huyo kijana mimi ninaishi hapa Sweden.... pia ana haki zake huku Sweden jamani huyo kaka
@AdethaAdroph
@AdethaAdroph 4 ай бұрын
Pole bibi mungu akupe maisha malef akuepushe na maneno wanadm
@justblackcode
@justblackcode 2 жыл бұрын
One thing i hate about Tanzanians is that they follow other people's life more than their own ☹️. God bless you mama
@lucykiwango3869
@lucykiwango3869 2 жыл бұрын
Narrow minded
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 2 жыл бұрын
All Africans are like this
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Watu hawajuii maana ya msukule msukule ni mtu aliekufa na baadae kuonekana sasa huyu anaishi vipi aitwe msukule?? binaadamu acheni majungu ch kumuhoji huyo mzungu ni mwanae mtoto wa ndugu yake au??
@davidmwombeki5633
@davidmwombeki5633 3 жыл бұрын
Mama ni mwangaikaji sana mjasilia Mali sana namfaamu hadi nilishawai kula Chakula chake ni msitarabu sana
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema wasamehe bule bibi Mungu atakulipia
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Mashallah watoto wazuri .
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 3 жыл бұрын
Mashaallah
@genovevakilawe3018
@genovevakilawe3018 2 жыл бұрын
Hongera bibi Mungu akupe neema zaidi uweze kumtunza
@kajugaa4537
@kajugaa4537 3 жыл бұрын
Kuna mda Mungu anaileta kheri kupitia kwenye shari na huenda ikawa kheri kwa bibi huyu Allah amsaidie
@tangamedia4729
@tangamedia4729 3 жыл бұрын
Fact Sana Kaka 😥😥
@munaamohd2260
@munaamohd2260 3 жыл бұрын
Mkaka mzuri jmny allah amponye Inshaallah
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Amin Allah ampone ajalie àje awe mumeo kama hujaolewa
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
Mpelekeni ubalozi wa Sweden jamani.
@gracemunguisaidietanzaniam9340
@gracemunguisaidietanzaniam9340 3 жыл бұрын
Sawa kabisa,na namshangaa huyo mswidi kumsahau mtoto kiasi hicho,Mungu amsaidie huyo kijana na Mama yake,inatia huruma kwa kweli
@siwetusafari8624
@siwetusafari8624 3 жыл бұрын
Pole sana kwa kuuguza mungu akunusuru kwa maneno ya watu
@jeziyamaua7196
@jeziyamaua7196 2 жыл бұрын
Apelekwe kwa babake anangangania mtoto kulea hawezi
@AmmyKurunge
@AmmyKurunge 5 ай бұрын
Nyie jaman hao watu weupe kuacha mtoto kitu Cha kawaida mm Dada yangu alikutana na wachina wakati wanatengeneza barabara akawa anawapikia chakula kwenye starehe zao wakapata mtoto tangu mimba had mtoto Sasa hivi ana miaka 25 hajawah kumuona Bab yake useme tumpeleke kwa baba yake haya hatupajui ni China sehem gan yaan acha tu
@majidabas3843
@majidabas3843 2 жыл бұрын
MAJITU YA DAR ES SALAAM MAPUMBAVU PUMBAVU MALIMBUKENI HAYAFANYI KAZI UNAFIKI TUU HAYANA LOLOTE UONGO UONGO TUUUU. BIBI HUYO NI MPAMBANAJI(MTAFUTAJI) INSHALLAH ALLAH ATAMSAIDIA MAZUSHI ZUSHI
@saidyshabani9146
@saidyshabani9146 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusaidie mama pole saana
@younginspired3899
@younginspired3899 3 жыл бұрын
Hongera sana mchaga OG for this coverage..
@omariiddi1254
@omariiddi1254 3 жыл бұрын
...
@sayunicasmiry4365
@sayunicasmiry4365 3 жыл бұрын
Pole Sana mama,MUNGU akutie nguvu.
@josephsambaja1455
@josephsambaja1455 3 жыл бұрын
Uyo bibi namfaham kindaki ndaki,,,Uyo jamaa tunamuita zungu yupo Dada ake nimesoma nae kivukon sec school,,,Tulikua tunaishi nao kigambon Tungi stand,,,akuna asie wajua,,,,uyo bibi sio mchawi n watoto wake wa kuwazaa
@johnezekiel3909
@johnezekiel3909 3 жыл бұрын
Pole sana mama yangu, ila kwanini walimwengu tunaamini ushirikina lakini, mtakeni mama huyu pole
@unkown2429
@unkown2429 3 жыл бұрын
Jamani upendo wa mama kwa mtoto hata kama hana kitu ni mkubwa mno. Amefanya jambo kubwa mno hapaswi kulaumiwa
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 2 жыл бұрын
Pole sana Mama yangu jamani Mungu azidi kukupigania Ubarikiwe sana nimejisikia uchungu sana
@abramo08
@abramo08 3 жыл бұрын
Asante mchaga og kwakuwa karibu na jamii.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 20 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 130 МЛН
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
Dina Marios tv
Рет қаралды 3,2 МЛН
VIDEO YA MAKONDA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE ARUSHA
2:20
masta tz
Рет қаралды 7 М.
KILIMO BORA CHA BAMIA KANGETAKILIMO
6:20
Kangeta kilimo
Рет қаралды 9 М.
Это реально работает?!
0:33
БРУНО
Рет қаралды 3,3 МЛН
头还可以刷卡买东西的吗?#海贼王#路飞
0:26
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 23 МЛН
Смотреть до конца!
0:19
Привет, Я Ника!
Рет қаралды 1,9 МЛН
ToRung short film: 🙏save water💦
0:24
ToRung
Рет қаралды 101 МЛН
Waka Waka 💦💃😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 20 МЛН