Millard Ayo Sauti amaizing ya mvuto sijutii bando langu kabsa job is good😋📌✌🏻
@godwinegacharo90014 жыл бұрын
Roma ana ubongo mrefu sana Geniuz . "Mungu hashindwi"
@gracekanemile46074 жыл бұрын
Yeah kwa kumtegemea mungu brother umetujenga
@davidwalalason76304 жыл бұрын
Millard unajituma zaidi hadi unasafiri U.S kumhoji Roma, aiseee much blessings.
@jifunzekiitalianonajohnson91444 жыл бұрын
hongera kwa millard
@belak9994 жыл бұрын
Unaweza kuwa mkubwa lkn mjinga, hajamfuata, alienda kwa issue yake akaona amtafute
@brendashenis29774 жыл бұрын
Hata me am so surprised... Good job🥰🥰🥰
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
@@belak999 KAKA BELLA JAMAA YEYE AJAJUA KWAHIYO KUMUELEKEZA INATAKIWA UMFAHAMISHE NASIO KUMJIBU IVYO NDIO INAPENDEZA TUPENDANE
@albeleenalberto1583 жыл бұрын
@@belak999 😂
@nanjingasaidi12574 жыл бұрын
Nimependa hii interview gong@ like jaman cjapata hata 1
@rehemadani36004 жыл бұрын
Mwanamuziki msomi mwanaharakati wa ukweli viva Roma viva
@SirdickOmondi4 жыл бұрын
I like Roma interview yake NI ZA KI MTU MZIMA na pia Intelligent and Boldly.... Yaani Roma has a respectable Interview na pia Fun to Listen
@menaumemuacheabakimwaume2m3954 жыл бұрын
Ww bak
@menaumemuacheabakimwaume2m3954 жыл бұрын
Mwana harakat piga piga
@paulinakalayo84744 жыл бұрын
Nice tunataka ya lissu 2020
@tallmunyama52503 жыл бұрын
Kama unamkubali Roma gonga like
@pinahoscar67354 жыл бұрын
Kama unamkubali Roma na kazi zake gonga like hapa pia kama unaikubali sauti ya Millard gonga like twende sawa👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@fabianfacho88414 жыл бұрын
Walioona wazungu wanapenda kutembea wawiliwawili twende like apa√√
@josephsirikwa2004 жыл бұрын
Discussion wanazifanya break tym. Hakuna mda wa kukaa na kuongea
@jifunzekiitalianonajohnson91444 жыл бұрын
kweli kabisa ,hata italia
@nikolaslaurent6204 жыл бұрын
Ili iweje
@patrickpita55454 жыл бұрын
babalaoooo roma mkatolike
@motomoto12364 жыл бұрын
Chindo Mani
@glorytweve79924 жыл бұрын
Binadamu Bwana hawanaga jema,ukifanya watas3ma,ukikaa kimya watasena,ukisema bado watasema but kikubwa Bro Roma pambania unachokiamini,endelea kusema na Mungu pekee ndo kilakitu,Mungu hashindwi....VIVA ROMA VIVA...Hongera miradayo pongezi kubwa kwa Rais JPMagufuri ❤❤❤❤❤❤🙏
@enockjmtafya49574 жыл бұрын
Kama unamkubali MILLARD AYO like hapa. jamaa anajua
@elishaadam40324 жыл бұрын
OK inapendeza
@salimjuma98344 жыл бұрын
Gud
@rashidramadhan41294 жыл бұрын
Tuko wapi WANA HARAKATI ambao pia ni mashabiki zake ROMA tujuane hapa
@jerikopeter14404 жыл бұрын
topo pamoja roma
@ismaylmatle56344 жыл бұрын
tupo pamoja zana
@noahsalonick21074 жыл бұрын
Tuko pamojaaaaaa
@shadrackmhume88564 жыл бұрын
Nitumie nyimb mpya ya roma
@noeldickson70783 жыл бұрын
2p0
@prosperndelwa45604 жыл бұрын
Anayekubaliana na mimi kwamba #Roma mkari kimuziki agonge like kama zootee hapa down.
@ochutrendymwonekano26724 жыл бұрын
Dah kweli wamarekani wapo busy yani wanakunywa chai huku wanatembea 😅
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Hakuna mda wa kukaa
@salamamchingama30334 жыл бұрын
Hahahahaaaa
@bakariisack55374 жыл бұрын
brown hussein yeah kaka huku no time to west au eti kwenda kusikiliza mikutano ya hadhala wenzetu mnalili!! Kama hufanyi kazi unatupwa njee kwa kukosa kodi ya nyumba
@angelmasala95684 жыл бұрын
brown hussein sasa ww tembea tu unakula Hata mua ooh hili sjui lawapiiii
@ochutrendymwonekano26724 жыл бұрын
Angel Masala hahaha utaonekana mshamba et unalingisha
@osseaaroni24774 жыл бұрын
Millad ayo congratulations We ndo kijanaaaa unaye support mziki
@davidwalalason76303 жыл бұрын
The only best rapper alive from Tanzania who thinks out of the box, no cap.
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Safi sana Roma usisikilize wachawi wanaouza mihogo ya kukaanga coco Beach hao ni wachovu wanaoshindia ofa za konyagi,Piga kazi mwanzo mgumu kitaeleweka hilo nyimbo zako mbili ulizozitowa kuweko kwako huko safi ti tutakuelewa Don't giva up✌✌✌.
@mwangosikennedy96433 жыл бұрын
Ayo ktk interview nilizo zielewa kwa wasanii ni ya bro Roma. jamaa anaelewa nn anazungumza , big up sana Roma kwa interview yako
@SirdickOmondi4 жыл бұрын
I like Roma interview yake NI ZA KI MTU MZIMA na pia Intelligent and Boldly.... Yaani Roma has a respectable Interview na pia Fun to Listen
@godfreylekasango37894 жыл бұрын
Bado sijaona toyo wala bajaji asee Millard Ayo 👌 good job!
@davidcurtis85563 жыл бұрын
Kama hujaona toyo ama bajaji lakini wapo wasio na kazi, wapo wasio na pakukaa wanalala sehemu zisizo rasmi, wapo wanaoishi hata kwa mlo wa siku ni mtihani, wapo vibaka na wapo pia mateja, je ikitokea watu Tanzania wanazuiwa kuingia mjini na bajaji pia mtasema raisi hawajali watu wa hali ya chini, hata stand ya dodoma wapiga debe wamekatazwa lkn watu wanalalamika je lipi jema?
@rogerslaurence26034 жыл бұрын
Roma pole sana tatizo watanzania waliowengi kipindi cha awamu zilizopita ulivyokua unafikisha ujumbe. Kwahiyo wanangalia historiya Asante kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa kaka
@haysanhassan26854 жыл бұрын
Millard Ayo Mmeru wa kwanza Superstar kuchana anga. From Mount Meru Akeri to Worldwide respect Kaka
@allymejatz46374 жыл бұрын
Gonga like kama zote kuonesha upendo kwa wasanii wetu wa Tz
@jifunzekiitalianonajohnson91444 жыл бұрын
pamoja
@denismgimba39644 жыл бұрын
Lucky dube alisema "If you stand for the truth always you will stand alone" So Roma ww simamia miiko yako usibadilishwe mawazo #Nakubali.
@kambibakari99104 жыл бұрын
Ameen.
@masaijeuri23434 жыл бұрын
Kwel
@ellypou91814 жыл бұрын
Ndio
@innocentcp8454 жыл бұрын
Ni kweli Roma endelea kuwa na misimamo yako uwe kama luck dube.
@victoriakasiani15293 жыл бұрын
Ni God given naamini hawezi change
@kelvinbenard35044 жыл бұрын
Adi mbele kun IST alieziona agonge like tuondoke😂😂😂😂
@josephnyamba79624 жыл бұрын
Nakukubali xna roma xema ivin na aivani pya na mkeo kakumc lud bwna
@ricklifefun71844 жыл бұрын
Hizo wao wamewek km baiskel za watoto. 😂😂😂
@frenzylyrics23904 жыл бұрын
Izo sio za japani😁
@mbegesdigita51824 жыл бұрын
Kweli unaitwa Roma unae mwelewa gonga like
@lilbobi23474 жыл бұрын
Wazungu hawapendi kuingia camera but ingekuwa afriq noma, all along from Atlanta Georgia
@andrewmagwila16024 жыл бұрын
Kama umesikia mh jpm akiuliza Roma yule wa chadema? gonga like.hongera kwa kupafom chato nyumbani kwa mh rais jpm
@mnomoonetz5093 жыл бұрын
Kama umegundua marekani ni mwendo wa makoti gonga like
@fatmafeisal43284 жыл бұрын
nimependa alivoweka sawa kaka roma ... mungu aendelee kukusimamia ... watoto tulozaliwa 80’s gonga like
@chezarygeorge26664 жыл бұрын
anaitwa romaaaaaaaa
@neemamwakatika124 жыл бұрын
Bigup sana Young wangu Roma.
@Devilinintungwawc2vkАй бұрын
Hihi kaka Roma nimecherewa sana brother ku comment na kukubali sana naomba like tatu roma
@justinjustin7099 Жыл бұрын
Am a malawian guy,, but I love the guy so much,, nakukukbari sana roma
@godfreymahavile46884 жыл бұрын
Respect kwa millard ayo na roma 👏
@jesekamugishamumainibwana1997 Жыл бұрын
Ñakubali mkuu
@aniveaderickson41744 жыл бұрын
The interview is more logical ....I love it.
@sospeterkedmonchitema Жыл бұрын
Moja kati yavipaji vikubwa kuwahi kuwapo Tanzania 👍
@josephmayanki Жыл бұрын
Mungu akulinde kaka kila hatua dua
@neemajeofrey21844 жыл бұрын
Nakupenda kaka unajitambua
@mayumageorge52934 жыл бұрын
Dah! Bonge la interview ila no drink hahahaha! Big up kwa Roma na Millard
@karimchindema98233 жыл бұрын
Bei juu
@Kilibaondskwetunusa77714 жыл бұрын
Roma mimi ni fans wako wa kwanza tangu ni ngali African, ivi niko apa usa Vermont, nakuomba usirudi Tanzania na sijakuona plz
@vivianmbiro68664 жыл бұрын
Roma wa Cadema Unajielewa mnoo, Big Up sana
@samsonphilmon67574 жыл бұрын
Roma you are brilliant for real,,,,,,, am here UKONGA listening the tune of MKOMBOZI.
@evelynmon94234 жыл бұрын
Daaah! Nimependa sana wazungu wanavyo respect wanapita kwa nidhamu kabisa safi sana mko nchi za watu lakini mmejimwaga tu hadi raha kweli ubaguzi umekwisha
@user-sq7pz9ex5g3 жыл бұрын
Washenzi Tu ubaguzi bado wanao.mi staki hata kuwasikia na Mimi staki waniskiee,kila MTU awe kivyake.
@pepyeddy80174 жыл бұрын
Watu wanakujadili sana wote niukweli tu huwoo mungu yupo pamoja na ww broo chapa kazi wazidi kuumia
@nicolausnicolaus7344 жыл бұрын
Roma nimwamba sana 100%
@ngosha_tzngosha_tz69384 жыл бұрын
Kiukweli maelezo ya Roma ya naeleweka san nakama unaelewa kama me gonga lake hap
@seifsaleh87403 жыл бұрын
Nakubali roma
@yaseenjanja54204 жыл бұрын
Roma watu wengi wankua mwili sio akili
@basumegembotwa41673 жыл бұрын
Uko vizuri kisekorojia Mungu akulinde
@zubedasammy Жыл бұрын
Roma usivunjike moyo 🫀💔 sawa unafanya kazi nzuri mashaallah 🙏😇 keep it up 🥰
@raphaelhitler64114 жыл бұрын
Roma kizuri nachokukubali unaishi maisha real,, hufeki life brother ipo siku utakuja kuwa mtu mkubwa sana haya ni maneno yangu,, leo naomba uhifadhi ujumbe huu na one day utakuja ikumbuka kauli yangu.. I'm Raphael Hitler,,,.
@franktimothkisimbo53544 жыл бұрын
Ingekuwa bongo hapo asee...... Watu wangejaa ktk kamera 😂😂
@pennybaraka36894 жыл бұрын
Hahahaha
@jimmiejr95314 жыл бұрын
Alafu mnasema WENZETU WAZUNGU WAME.... (Wenzenu kwa lipo? 🤣)
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
Hahahahahahah
@tausirashid11964 жыл бұрын
wangejaa atarii 🤣🤣🤣
@davidcurtis85563 жыл бұрын
Acha umbumbumbu wako na kujidharau au wewe mkimbizi nini ni nani hapo anaemjua? Angalia vzr watu maarufu wapoingia madukani huko kwao wanafungiwa madukani mpaka wamalize shopping kwa sababu ya raia wanavyokumbana kwa ajili ya watu maarufu au uko mbali na tv nini? Tumia cm yako au pia unatumia cha tochi nini.
@jacquriciouslusekelo78234 жыл бұрын
always much respect to uu all ayo the way you do as well as roma babaa nancy also ivy's & ivan's dady move foward bro always i apriciate you ..............# jacfor realllllllll......%
@annaphaustin67013 жыл бұрын
Big up Roma. Mungu akulinde na kuwa kuwa mzalendo kwa Taifa
@ricklifefun71844 жыл бұрын
Kama umetamani kuishi mbele kama na unaamin Mungu atabless gonga like tujuane 😄😄😄😄😄
@victoriakasiani15293 жыл бұрын
Aisee wewee
@neemaemmanuel49424 жыл бұрын
Roma u are too smart and insightful,why usiingie kwenye politics.
@mnasaeules68574 жыл бұрын
Aspo ingia kwenye siasa usinge mjua huyu
@leythslam48014 жыл бұрын
Neema Emmanuel kweli kabisa
@jocety44264 жыл бұрын
Millard big up San , Mzee baba👊👊
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Roma huwa anatalk fact sana na ni +prain sana.🌹
@Mpembuzi4 жыл бұрын
Kweli
@abrahamufelix16604 жыл бұрын
Ila we munira unasura nzr sana dah jamaa anafaid san
@shaphyvuai68054 жыл бұрын
Umetisha sana Mr count down have a blessed forever...unajua sana sana
@aminamohamed99554 жыл бұрын
Jaman Roma watu wana kusema vibaya hawajielewi mm nishabiki yako nakupenda mmno
@daudpillah35914 жыл бұрын
Solut mkal nilikumisi sana mwanangu long life
@asifamwenga53104 жыл бұрын
Good oral interview! Keep it up
@Hiphobongo4 жыл бұрын
Kuna mzungu bonge kapita mzuri uyo
@manyakuulaompondelo44194 жыл бұрын
Ohhh safi Millard umefanya vema kutujulisha mambo haya. Big up Roma kwa maelezo mazuri.
@abednegomhamba1471 Жыл бұрын
Safi sana, hii imekaa vizuri, tumeelewa ukweli kwani baadhi ya wanasiasa walitumia fursa kupitisha yao.
@kinglunda_best76164 жыл бұрын
Kama unamkubali uyu mnyamwezi roma like👇
@emmanueljackson18634 жыл бұрын
Brother Roma big up sana....kwa iman yako
@jaydon33614 жыл бұрын
Nimependa wazungu walivyo kwepa camera
@graytonndamgoba48054 жыл бұрын
Noo man .these guys are standing in the walk way.sikufichi wanakwepa lakini wana nashangaa sana.
@glorytimonyengo41484 жыл бұрын
Wange kua wabongo wange kua wame jaaa
@khadijaomar84274 жыл бұрын
@@glorytimonyengo4148 🤣🤣🤣
@ombenmichael34734 жыл бұрын
@@glorytimonyengo4148sure
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Usinianbie umejifunza kitu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 maana wabongo kazi kujifunza kitu kwa wazungu tu. Ila kwa wabongo wenzao hamna chakujifunza
@dastansimpanzye55584 жыл бұрын
Ahsante sana Millardy Ayo! huwa napenda sana sana Interview zako, Ahsante sana pia kaka Roma unaijibu vyema na una hofu ya Mungu
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Viva Roma
@joycelugano22284 жыл бұрын
Roma upo vizuri saaaaana Mungu akubarikie sana sana
@majaliwacharles93404 жыл бұрын
Me nasoma coment 2 leki kwa wingi
@elishankhambi6244 жыл бұрын
Mzee baha
@aiqasamo20854 жыл бұрын
Kiukweli mim namkubali sana Roma 🔥🔥🔥🔥
@josephmukasa67544 жыл бұрын
Kaka zangu Miladi na Roma hongereni sana sana nawakubali sana- Karibu sana Tennessee 🇺🇸
@audaxprotas22733 жыл бұрын
Nakukubali Roma mungu akulinde100%
@jmvuna27924 жыл бұрын
Big up Mirrad Ayo and Roma for excellent interview!
@giftstarmwanri26374 жыл бұрын
I like this...❤❤
@danmarinyanchagac60512 жыл бұрын
tunakumic sanaaa brooo ROMA
@ajibumnyama12493 жыл бұрын
Wanao mkubali Roma wa like
@BM_Smart2-64 жыл бұрын
Wazungu hawapendi udaku
@moreenmichael74824 жыл бұрын
Kama umemwona mzungu ameshikilia demu weka like twende sawa
@doktamathew4 жыл бұрын
Demu maanake nini?
@moreenmichael74824 жыл бұрын
@@doktamathew pita hv Kama haujuw maana yk
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Uku lazima umshike mkono mpenzi wako Mara zote sehemu yeyote ni ishara ya upendo umeelewa
@shukurunzenzule59634 жыл бұрын
wimbo umekaa vema sana tunaupenda kweli
@edwinalexander11704 жыл бұрын
@Moreen Michael mbona jambo la kawaida huko? Wewe unashangaa? Bongo ndo ngumu ?
@jafaribori6014 жыл бұрын
Roma nakupenda zaidi kwa uwazi na ukweli wako, nasikuzote muadilifu huonekana machoni na kile anacho kizungumza nakama sivyo ramda awe ni mtu maalum alepitie elimu ya ujasusi ambae anaweza kuficha uhalisia wake na kufaa uhalisia mwingine.
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Daah! Roma una akili sana ndiomaana wenye akili za kuazima na kushikiwa wanashindwa kukuelewa na siku wanajikuta wanaropoka na kukuchukilia mlengo hasi. Hongera sana na Mwenyezi Mungu akulinde dhidi ya wale wote wenye nia mbaya na wewe.
@josperchriss89554 жыл бұрын
Broo nyimbo zako znahitaj wat wenye akili kusikilza
@samsonndasa50664 жыл бұрын
Yuko poa sana vina zaidi
@ayubleo4 жыл бұрын
Kabisa broo
@amiriramadhan77534 жыл бұрын
Kumbe unaelewa bro hawa watoto wa mwaka 2004 ndo hawaelewi hizi flow
@fatmafeisal43284 жыл бұрын
Amiri Ramadhan ndio nilichosema watoto tulozaliwa 80’s ndio tunaweza elewa anachokiimba .. ila watoto wa sasa ni tabu tupu
@tumamapishi21844 жыл бұрын
Roma kibaraka wewe kwa wasaniii
@jalimashauli69744 жыл бұрын
Mimi ni muumini mzuri sana wa fasihi, Roma ujumbe wako kwenye wimbo uko wazi na unaeleweka sema maranyingi ruling party huwa hawapend kukosolewa wanapenda wasifiwe tu lkn kiukweli hip hop kwa asili yake haitaki ukasuku katika mashairi yake, na kitu kingine kila mtu anamtazamo wake kwahiyo chamsingi piga kazi kutokana hisia zinazoibuka kutokana na matendo yanayoendelea ktk jamii yetu na siyo kufurahisha kila MTU, (KEEP IT UP!!!!)
@janeerick9184 жыл бұрын
Much respect to you brother
@AnibreezyKurwa3 жыл бұрын
Roma rudi bongo tusha kumiss sana brother nimess song zako
@robartifabiani65724 жыл бұрын
Simple life
@andrewkimwagaa97224 жыл бұрын
Mbona sjaona mama ntilie wakipita na sufulia kichwani wakienda kuuza majungu
@wizyjunior57714 жыл бұрын
daaaa!!!! unachagua nyimbo za parfomance JPM na yeye Roma ni CHADEMA. ana masihara sana President😁😌☺️ Vivaroma by Wizy Junuor
@fatmafeisal43284 жыл бұрын
Roma Kaka am ur fan naomba utoe nyimbo ingine tuna kiu tena
@hermanbonitus8664 жыл бұрын
VIZUR naupenda mziki wake. wwll done millard Ayo
@joycekwilasa36754 жыл бұрын
Kama unaona mirad anachati kwa kuibia gonga like yako tujuane
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Yqp😂😂😂
@martinsilwimba42824 жыл бұрын
Roma umeenda kusoma na chadema wako nyuma yako kukusapoti, Lakini pia maoni yangu naomba Roma ugombee ubunge tanga plz unaweza kufanya jambo.
@renatusking35804 жыл бұрын
Roma we noma ila binafs naon kam rostam kuna kichwa kinakoseka ili squred ikamilik amna trecer 9 nabii jeremiah kafanye mpang
@saidielimu44444 жыл бұрын
mambo vp
@tinahissore50053 жыл бұрын
We unamwona Roma ni chadema wakati kaenda kikazi ya serikali
@saidmambo2721 Жыл бұрын
I like u guys, , , nice interview sanaaa wazito
@godsosmukama59583 жыл бұрын
Nice interview nimeipenda.
@nikiflavour38844 жыл бұрын
Mina comment hiv ukija unaingia mjengoni,nimeota tu lakini.
@zagaronondo81304 жыл бұрын
pamoja dogo tumekumis itumbi makongolos chunya
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Millard Ayo yuko poa sana,I like how spending more time kufanya vitu vya maana👏👏👏
@mahamuduliwangwalivetv71854 жыл бұрын
Duuuh. Ni nomaa Sanaa pia thanks much for news update.
@maigathomas23534 жыл бұрын
Roma Roma Roma anaitwa Roma
@munguanaishitv4 жыл бұрын
Big up
@salimjuma98344 жыл бұрын
Braz uko vizuri sana
@frenkiefrenize68914 жыл бұрын
Bro namkubali sana roma mkatoliki binafsi hakuna rapper km huyu