Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@JamesChrizestome2 ай бұрын
Marietha Minangi mwenyezi mungu akupe Afya njema boss
@ChristinaOnditi-el3xo2 ай бұрын
Hongera umewalea wanao vzr watoto kwa upendo wako na ushirikiano .live long mama Ameen
@annamussa1852 ай бұрын
Ni hv mkiwa na pesa upendo lazima sasa koseni pesa,utasikia huyu ana roho mbaya huyu mchawi huyu nyoko nyoko😂😂😂
@HamidaAhmad-jd5zi2 ай бұрын
😊
@MsNajma-j7e2 ай бұрын
Kabsaa ukiwa hauna pesa ata wajuku utawasikia kwa bomba msiende kwa bbi enu mchawi aiseee tutafuten pesa uzeni ture wajuku kwa eshima na upendo
@fettiemaganza1484Ай бұрын
Anaongea kma lucy hyu mama
@RoseLucas-u5i2 ай бұрын
Hongera sana wifi Yangu kipenzi
@nyamwiza.z6p2 ай бұрын
❤❤hongereni sana,♥️♥️
@archardadelina88962 ай бұрын
Hongera sana kiongozi Mungu akutie nguvu HBD rafiki yangu mpendwa
@lucymtui86802 ай бұрын
Lucy na lily🎉🎉
@denisngotezu2 ай бұрын
Hongera sana boss wangu kipenzi kwa kufikisha miaka 70 you're still strong enough my dear boss 🎂🎂🎂🎂💚💚💚
@joycebenedict95972 ай бұрын
Hongera sana mama Marietha,miaka iongezeke marabili.
@BrotherKaka-j4z2 ай бұрын
Sasa ushasema r p c kukonda lazima wameuwa watu wengi hao
@marymanoni55362 ай бұрын
Cheo chake kinatosha jina lanini
@deusdeditkakwesigabo14012 ай бұрын
Mbona humtaji jina
@JeremiahKavakule2 ай бұрын
Umri
@ramadhanishabani8072 ай бұрын
Mtaua watu kwa surprise, watu wana ma pressure wengne wagojwa magonjwa kibao wanatembea nayo mnawafanyia supeise
@DelightfulMacawBird-tl5hf2 ай бұрын
Mama amaefanana NA lusi
@deusdeditkakwesigabo14012 ай бұрын
RPC mstaafu Hana jina ?
@denisngotezu2 ай бұрын
Anaitwa Marietta Minangi SACP mstaafu
@annamussa1852 ай бұрын
Ndiyo Hana jina Yani hakuwahi kuwa na jina kati ya watu wenye majina kama jina lako😅
@sememakolo93602 ай бұрын
Mbona kijana wako wa kiume amefunga nywele kike au alishakuwa shoga huko kanada.
@JanethMadios2 ай бұрын
Njaa na taabu ulizokuwa nazo ndo zinasababisha haya yote !....... tafuta hela Pole sana
@marcynhumbi35342 ай бұрын
Na wew ndo utakuwa shoga mwenzie
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
Mbona mama kakonda sana jamani
@henricamikambi61472 ай бұрын
Ukisema kakonda ina maana ulikuwa unamjuwa akiwa mnene? Huenda huo ni mwili wake wa kimiss
@zuwenasalim27942 ай бұрын
Mazoezi hayo huoni 70 kama kabinti
@michaelbwoma27602 ай бұрын
Sema wabongo bwan huyu an afyaa njema sana sio kakonda
@josephlorri4312 ай бұрын
Hilo swali jibu analo Prof Janabi
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
@@josephlorri431 JANABI ni janga. Anadanganya watu wasile