Kama una amini kua hii ndio interview Bora ya mwaka huu kwenye hii channel nipe like zangu.🙏
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Wewe hifwatiliagi interviews ndio mana unasema hivyo
@JasminEddy-cc3tx9 ай бұрын
Ila vido alikuwa mbaaaaliiii kimawazo
@akhtarmohammed62339 ай бұрын
Dah jamaa amelia sana kwenye maisha yake aisee. maisha ni ya zamu na sasa ni zamu yake! Big up. Keep going!
@sadickchakka3147 Жыл бұрын
Daaah noma sana erfu tatu me nalipwa erf 20 kwa sku lakn wa2 2nalalmika ndogo ewe mungu tupe moyo w kulizka na tunachokipata ameen
@millymilly7244 Жыл бұрын
Kikwete is so handsome 😂😂😂, he looks so young
@rahmaawadh1695 Жыл бұрын
Kuna kubwa lakujifunza kupitia interview hii,Heshima,Kujua kunyenyekea na uvumilivu,Kusikiliza watu wazima nn wanakuambia...Mungu lazma atakupa tu
@chacha-255 Жыл бұрын
Mzee Kikwete anaishi maisha ya kawaida sana linapokuja suala la kuchangamana na watu,
@dottohami Жыл бұрын
Uvumilivu ndio kila kitu kwenye maisha upo vizuri sana kaka 🔥
@vickyshayo7880 Жыл бұрын
Hongera sanaaa kwa kweli umekutana na mtu sahihi Ally Kiba namkubali sana kwanza ni mnyennyekevu na mpole
@Oboss_billharvester Жыл бұрын
Dah, bonge Moja la elimu kubwa sana kwetu sisi vijana tunaopambana mungu tutie nguvu na ujasiri wa kuthubutu, Asante Millard ayo Kwa hii interview yenye kutufunza vijana wenzio.
@cyprianpetetmbonde63749 ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu mafanikio mema yeye, Ali Kiba na wote walioshiriki kumvusha kwenye majanga na machungu ya maisha huyo dogo🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sana.
@princemucho6067 Жыл бұрын
Dooooooh!!!Ebwana Hii Story ya Jamaa imenigusa mbaya na nimepata Elimu kubwa Sanaaa..Hii ni Elimu Hai Kabisa mfumo wa maisha kabisaaa...Bless up to You Brother and keep it up 🎉 One Love from Germany 🇩🇪 / Belium 🇧🇪
@vikramlufunyo5832 Жыл бұрын
Mama alikua anakata majani na kuuza 1000 hii mama zetu wa vijijini wamepitia Sana MUNGU wabariki mama zetu wametulea kwa shida sana
@m.mmarckus62988 ай бұрын
😢acha2 Mwenyezi Mungu aendelee kmrehemu mama yangu huko aliko
@oketofficial5073 Жыл бұрын
Denzel is a good trainer, as well a good being ongera kaka🙏💪
@joycedecostas7610 Жыл бұрын
Duhhh kaka mkarimu sana….I’m glad wewe na King ni marafiki kweli
@natamushi1894 Жыл бұрын
Story yako imeniliza Mungu amekutetea sana mpendwa uzidi kubarikiwa
@saumusulaiman4742 Жыл бұрын
Maashaalah hongera kaka kwa historia yako nzr ya maisha .Una mungu na kila hatua unamtaja mungu .mungu azidi kukubariki na kukupa ridhk zaidi inshaalah🤲
@fredyjamboi1493 Жыл бұрын
Respect sana alikiba kwaku ajiri watu
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Moja ya watu wakarimu wapole niliowahi kukutana nao huyu ni wapili nakufatia sana kaka your my best trainer ❤❤
@ngwelesalu8348 Жыл бұрын
Nakuangalia ungesema wa kwanza 😆
@abdallasarai6327 Жыл бұрын
THE PURPOSE OF THIS STORY LINE IS: wengi tunapitia maisha magumu, muhimu, make sure you win in life story yako itakuwa tamu kuskilizika.
@JoemanMuchineuta-hc6eb Жыл бұрын
Dah kweli maisha yanekwenda yaani sijawahi fikiria kama ningekuona hapa kaka ni kweli mikono yako salama nakumbuka jinsi ulivyo nijenga Kimwili nakukubali Sana mungu akubariki
@boscomtani1006 Жыл бұрын
Interview kali sana. Hongera kwa kupambana na maisha bila kuchoka
@kotadapotar5094 Жыл бұрын
Story mzuri sana ya life 🙏🇹🇿🇬🇷
@dramataizaplatnumz Жыл бұрын
Anasimulia yeye machozi yananilenga mimi😢😢 duuh
@BraytonMwaikasu-cl1lc Жыл бұрын
Aiseee kweli kukata tamaaa kwenye utafutaji ni zambi big up broo
@chrisbayona411 Жыл бұрын
Kwenye maisha discipline ni kitu muhimu ukiondoa Maombi na Uhai,
@mohamedfakili3376 Жыл бұрын
The real meaning of life.... umetisha sana classmate
@salomewandya7257 Жыл бұрын
True
@LeticiaMfugale-dj9jb Жыл бұрын
Hii ni interview ya pili VidoX huitendei haki unakuwa uko mbali sanaa,,ya kwanza ya Malow,,Vido unazingua
@monicacyprian9137 Жыл бұрын
Namjua huyu jamaa alikua anawafunza wafanyakazi wa Azania bank(Obama drive) yuko poa jamaa ni peace sana na mcheshi mno hongera kwake kwakweli
@stephenmsenga49729 ай бұрын
Dah uyu jamaa kaniliza… mungu aendelee kukubariki, bless up
@haidhabushiri9558 Жыл бұрын
Wazee wa kiislamu wana HURUMA sana
@issacksaimon-oy5sv9 ай бұрын
Acha kuleta udini kenge wew huyo Mzee ana mjua mungu sio Kila muislam ana huruma
@haidhabushiri95589 ай бұрын
@@issacksaimon-oy5sv most of them, acha Matusi we kila mtu unamjua humu unatukana tu dogo.
@petromsomba4523 Жыл бұрын
wakati wa mungu ni wakati sahihi hasa ukiwa mvumiliv nmejifunza vingi hapa
@showejikinjekitile5942 Жыл бұрын
Hii interview alitakiwa afanye milady ingekua kubwa sana nawangeongea kikamilifu zaidi najua munaweza msinielewa ila ndoukweri
@sifatiiman Жыл бұрын
kwenda we nae ata vido vidox yuko vizuri tu
@dunialucas6529 Жыл бұрын
Tumekuelewa vizuri sana vido ameichikulia powa sana
@Edgarally Жыл бұрын
Wewe jamaa nakukubari sana nakufatilia sana 100%
@a2comedy36 Жыл бұрын
Hakika hata kama ww hujatowa chozi mm langu limenidondoka Alikiba heshima kwako God pole kwa ulio yapitia maisha hayo tunaishi wengi ila hatujapata nafasi kama Yako
@alikomwandoto1258 Жыл бұрын
Duh huyu jamaa anatufundishe tusikate tamaa
@dua99kiba81 Жыл бұрын
Aidan kafanya kaz kubwa kwa mwamba big up
@adamhamisi6161 Жыл бұрын
The best trainer 👌
@allychikoko11 Жыл бұрын
Tumejifunza vitu vingi kaka kutoka kwako....big up mwanalizombe
@streetgenious4511 Жыл бұрын
Neno NIDHAMU❤
@allynguvumali4741 Жыл бұрын
Kwenye maisha Kuna watu wanakuja kukusaidia baadae wanaondoka usishanga huyo mzee baada ya we kufanikiwa akaondoka bila shida yoyote
@maryumamapunda8910 Жыл бұрын
Dah kwenye maisha akuna kukata tamaa hongera umepambana sana
@yusufmohamed8874 Жыл бұрын
BigUp sana kaka. Nimejifunza kitu hapa.
@abelmbilinyi1262 Жыл бұрын
King Kiba❤
@kherithewriter665 Жыл бұрын
Nimejifunza sana kupitia hii interview !
@EdgerChrisantus-vs4ik8 ай бұрын
Mwamba yaan wewe ni kamanda umejua kuyapambania Maisha yako yaan hii style inaitwa pigana bila kuchoka✌️💫✊✊✊✊
Nakukubali sana jamaa siku nikifanikiwa kuja Dar nitakutafta
@gchisunga Жыл бұрын
Kaz kaz 💪 King 👑
@nyamhangawambura6789 Жыл бұрын
Daaaah bonge la stor ayo nakubali sana me kama taarifa sijapata kwenu siwezi amaini kama ni kweli taalifa hy
@nessemmt Жыл бұрын
Duuh niatalii sana kaka mungu mkubwa sana
@racheljoshua3266 Жыл бұрын
Hongera kwa dada oliva
@salum.imran.44059 ай бұрын
Aise nimehisi kulia ama kweli mvumilivu hula mbivu
@user-fn1iv1hk6h9 ай бұрын
Hata mimi jamaa amedeki nyumba kumfulia mwanaume mwenzie nidhamu ya hali ya juu
@imanicharles936 Жыл бұрын
Dah wa kunyumba umepitia mengi hongera umepambana
@chingaacrobatc10 ай бұрын
Mwanangu hii story imenigusa sana jamaa ame pambana kweli na nimejitunza kitu kuwa ktk maisha usikate tamaa kizembe wakati kuna ushindi mbele By #Chinga_Acrobatc from #England
@NataliaKenny-vb6os9 ай бұрын
Naomba interview ingerudiwa maana uyu vido kama hayupo apa yaan kama yy ndo anahojiwa😂 millad naomba uirudie
@JamesJoackim-ys3fu Жыл бұрын
uvumilivu na kutokukataa tamaa heleta matokea sahihi ktk maisha big up lisaa zim nakusiliza
@mumyhendry2919 Жыл бұрын
Vido hujatendea hii Interview haki,...yaan haupo kabisa Kaka wawatu anajieleza vzr lkn you are not there🙇🙇🙇
@sailoo5722 Жыл бұрын
Kweli ameboa sana vido,hakufanya poa
@thabitdaudi9815 Жыл бұрын
Agree amezingua tun pin vip hii comment ikae juu kbis aisome huyu
@clarislema6960 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@whiteensign1407 Жыл бұрын
Nimeleon hilo.pia alf huyu kaka anaongea kwa unyenyekevu
@danielnyangasi8808 Жыл бұрын
Ni kweliiii hapo angekuwaa bro Sky SNS tungeenjoy
@sarahkeivaly3351 Жыл бұрын
Mwanaume Ni kujitambua kama huyu kaka; Sio mtu wa kukata tamaa kutokana na changamoto za maisha; Hili liwe Ni funzo kwa vijana wengine wanaopenda mteremko
@AyshaYassin-hm5xo9 ай бұрын
DAH MPAKA NIMELIA JAMAN WALLAH MAISHA HAYA MMH
@beatricemrisho84319 ай бұрын
Congrats
@allabout1783 Жыл бұрын
Nidhamu inalipa. I repeat, Nidhamu inalipa.
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Huyu Trainer angefanyiwa interview na Milard Ayo
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Nmejifunza vitu vingi sana hapa jamaa yuko muwaz na katupa elim
@meksonkunzugale Жыл бұрын
Umetisha Kaka
@barakamateru7615 Жыл бұрын
Better days .wakati wa Mungu ndo wakati sahihi
@saidipc7400 Жыл бұрын
Daaaah inaumaa sanaaa aisee
@SalamaNauthar9 ай бұрын
Mashaallah Kaka anaonekana mtaratibu sana'
@evankya1955 Жыл бұрын
great interview!
@henry1933 Жыл бұрын
Genius technique
@greenermichael20579 ай бұрын
Oooh Mungu akubariki hujasahau fadhila
@zuberimiraji42779 ай бұрын
Asante sana umetuinspire sana bro 🙏
@antfungal Жыл бұрын
@millard uyuu jamaa🙌
@babukitumbika60539 ай бұрын
Broo hii cleap imenigusa Sana mbaka saiz naichek🙏🙏🙏
@chinarogo9 ай бұрын
Gog tangu upo shule yamsingi ulikuwa mpambanaji mzee sikupingi🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@ngwacahnyagwaswa9979 Жыл бұрын
We all need a friend like Aidan 💜❤️💜💥
@saidymbagalla66229 ай бұрын
Kabisa
@souksoukeventsandmarketing653 Жыл бұрын
Uvumilivu,kujishusha,Nia,Lipa gharama kufikia malengo( Elimu kubwa hii)
@muclassic_commedy Жыл бұрын
Fighter man⚔️💪💪
@wanderenyeura9011 Жыл бұрын
Man fighter
@salminasalim5630 Жыл бұрын
Jamani uko vizuri na MMUNGU akubariki sana akuongezee ruzk jamani uko sehemu gani na mini mm nataka nije mwanangu tafadhali
@sumamelody6197 Жыл бұрын
Watu tuna toka mbali aisee
@FrankDarlington-lp9xh Жыл бұрын
Aisee
@tibakabanda65839 ай бұрын
Mtoto wa like haitwi uncle.
@saidkhamisi9592 Жыл бұрын
Huyo mzee Suleiman ulimuudhi ulipoingia kwenye matangazo ya ulevi (bia) kumbuka yeye ni muislamu tena msalihina ulimkoses sana ...muombe radhi
@geofreysadok4823 Жыл бұрын
Una akili sana.jamaa bafo hajajua sababu lakini wew umemsanua nadhani atajua sababu sasa ya mzee kumpotezea
@joyliciouskaduma712 Жыл бұрын
Hapo kwel mzee amuombe radhi tu kuwa tatzo n ukata
@allyjumakukulo3234 Жыл бұрын
Nimeikubali kweli hii story
@othmanmallya9424 Жыл бұрын
Big up boss
@ShabaniKakongo-gy4eb9 ай бұрын
Nakupenda sana jmn❤
@ombeniyohaneaustin8415 Жыл бұрын
Pole Sana kk
@issacksaimon-oy5sv9 ай бұрын
Kweli jamaa wa songea neno kugalauka Lina tumika sana kule
@greenafricatzorganization9 ай бұрын
Safari ya maisha ni fumbo sana
@zakayojeremiah6622 Жыл бұрын
Huyu mwamba tulikuwa Tunamwita (God Boroma ) Alikuwa halipendi hilo jina ila mwamba yuko peace sana, kasoma shule ya msingi Mfalanyaki, mabali na kutlein watu ila mwamba Alikuwa anajua sana mpila huyu.👏👏
@benjaminlukindo Жыл бұрын
Huyu jamaa Kwa ujumla kamaliza 1999 January sababu mtihani wa ulivuja! Mimi ndio nilikuwa naanza form RV sec school! Big up bro! Wap Anatoli Kagaluki, Focus kaka mkuu na wengine wengi
@benjaminlukindo Жыл бұрын
Mtihani wao
@alphoncealexander85369 ай бұрын
Aidan is the true friend 💪💪, Yule mwanamke aliyemtolea lugha mbovu anajisiakje😂😂😂😂 roho mbaya sio powah
@LacksonTungaraza Жыл бұрын
KUTHUBUTU BILA KUKATA TAMAA NDIO MPANGO MZIMA ❤❤
@user-pm7pj6zi6q9 ай бұрын
Congratulations to you and My congratulations to Aidan and congratulations to you my brother King kiba ❤️ yoooooooo
@haithambanga3245 Жыл бұрын
Nampenda huyuu mkaka ❤❤❤
@josephatjordan2150 Жыл бұрын
Mmeanza ngono😂
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
@@josephatjordan2150 😂😂 jamani ukorofi huo kwani kumpenda mtu mpaka ngono
Uvumilivu, Nidhamu na Kupambana bila kuchoka ni nguzo katika Mafanikio.
@user-uy4cs2yi7h9 ай бұрын
Namkubari sana huyu jamaa basi tyuu nimnyenyekevu the way anavoongea pamoja man
@yusrasalum Жыл бұрын
Mungu mkubwa mzee abarikiwe
@misschagga8042 Жыл бұрын
Story ni nzuri sanaa ila kwa maisha ya sasa msije kufanya kama hivyo kusaidiwa mpaka nauli chumba ada hii itakuja kukufanya uje kua shoga siku akikutaka unakataaje?japo ni story nzuri na inafundisha ila tuwe makini.
@steveabdul731 Жыл бұрын
We unaakili saaaana ni kwer kabsa saiv usikubar kufanyiw iv ad kitanda japo jamaaa alikuwa na juhud saan big up kwak
@lusajomwaipopo50429 ай бұрын
Watoto wa mboga mnawaza ushoga tuu,hamjawahi pata shida suburini yakute