"Seeking Justice: Calling on Legal Advocates to Stand with the Rastafari Community Against Discrimination. Your expertise can help us fight for equality and respect. Together, we can make a difference!"
@MuftyMageniАй бұрын
Inna diina iin,daLLAH al,islam❤
@carlvanlincoln2115Ай бұрын
Shida nini mkuu
@fadhilishabani4368Ай бұрын
Rasta ni imani tu sana sana feeling za bangi
@ndesafanamfala5800Ай бұрын
Ufahamu wako ni Mdogo sana Bwana Mdogo
@carlvanlincoln2115Ай бұрын
Ndugu jaribu kujifunza zaidi. Usipende kuropoka tu
@amanichaula1Ай бұрын
Rasta sio dini Rasta ni maisha na mtu mweusi toka kale na kale
@carlvanlincoln2115Ай бұрын
Rastafari ni Iman ni mfumo wa maisha na movement. Watu wengine wanashindwa kuelewa katika Rastafari Kuna vitu hivyo. Natumaini uendee kujifunza zaidi
@RasterImaniАй бұрын
mjuaji tena
@MWAMPAMBAАй бұрын
Shetani anatutesa sana
@zahornassor5420Ай бұрын
@@MWAMPAMBA😂😂😂sure
@mohammedbakhresa7139Ай бұрын
Sehemu za milimani Ndio bangi inaota vizuri
@zahornassor5420Ай бұрын
😂😂😂😂😂😅uuwwii ndo mana hatuendelei kwa ujinga😂
@IbrahimunyandaDanieliАй бұрын
Bangi mbaya sana kwenye ubongo wa mwanadamu utatukuza visivyo stahili
@carlvanlincoln2115Ай бұрын
Jitahidi kujifunza na kuwa open minded
@mokitaa8750Ай бұрын
😢😢😢 msiba HUU.. MUNGU ATUNUSURU
@msouthlizombe8375Ай бұрын
Mbona kama ripota anataka kulia
@JBPRICESOLUTIONАй бұрын
Jamaa anasema rasta ananguvu ametembea umbali mrefu wakati ni mibange inawapa ganzi😂
@BARAKAZUZEXАй бұрын
Kumbe ndy maana kibu hajakwenda pre season kisa shereh y mfalme
@zahornassor5420Ай бұрын
Wafuga uchafu tu asa mpaka wafuge manywele na midevu chafu hawazishuilikii
@mybabyarchive2104Ай бұрын
Wavuta bange
@justinejustine6154Ай бұрын
😂
@Kuminamoja1995Ай бұрын
😂😂😂😂😂 upuuzi mtupu
@athumanmbelako4317Ай бұрын
Wagwan rastarfalh
@nsabimanaabedi541Ай бұрын
Siamini kama rasta ni maisha ya muafrika hoja yanguni kwamba kwanini maneno Yao mengi ya kihibanda hutumiya misemoya kwa lunga ya kingereza . Hivyo basi nikundi ambalo limetengenezwa ili kudanganya.
@carlvanlincoln2115Ай бұрын
Hapana haipo hivyo Rastafari wanatumia lugha za kiswahili purely