Рет қаралды 57
Wakati Wiki ya mazingira ikizinduliwa rasmi Juni 3 na Naibu Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko, Tanzania ina fursa lukuki vya #NishatiSafiYaKupikia.
Je, umewahi kufikiria thamani ya kinyesi kama chanzo cha Nishati? CAMARTEC ni Taasisi ya serikali ambayo imepewa dhamana ya mafunzo na kuunda mifumo ya nishati hiyo.
Msikilize hapa Mhandisi Nicholous Mwakisambwe