NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥

  Рет қаралды 55,551

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

ZAIDI YA ABIRIA 1000 WAMESAFIRI KUTOKA DODOMA KUELEKEA DAR ES SALAAM KWA TRENI YA SGR

Пікірлер: 190
@kwisa4899
@kwisa4899 2 ай бұрын
Hongereni sana viongozi mliofanikisha hili,kuna kitu cha kujifunza kwamba kila kitu tukiamua kinawezekana viongozi wangu tuipende nchi yetu tuweke sheria kali za kutokomeza rushwa na wizi wa pesa za umma wananchi wakiona haya hakuna mtu atalalamika kulipa kodi.
@edwinraymond3404
@edwinraymond3404 2 ай бұрын
Umeongea kwa hisia sana
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 2 ай бұрын
safiii sanaa ukweli serikali iongezeee watendaji bora na ktk ajiraa zigawanywe kwa haki sikuhizi hakuna mbumbu tena
@kwisa4899
@kwisa4899 2 ай бұрын
​@@hemedrashid2921 wewe unavyo tizama kuna kiongozi wa sasa mwene maono makubwa kama hayo ,maana ramani yote JPM kaondoka nayo..ajira ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa watu wachini unaumeme mwingi kwanini usigeuze ajira kwa kupunguza gharama za unit iliumeme huo tutumie mashambani na kwene viwanda vidogo vya mikono majumbani ,lakini umeme unagoma kushusha unaimiza matumizi ya gas majumbani na unaimiza utunzaji wa mazingira,sera ya umeme vijijini inakua na tija ndogo .
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 2 ай бұрын
Kabisa Mkuu, umeongea ukweli mtupu
@gladysmsele4291
@gladysmsele4291 2 ай бұрын
Big up Madam president❤ samahani lkn mbona kama Iko juu sana wanapandaje watu wenye umri mkubwa
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 2 ай бұрын
JPM "Mtanikumbuka, si kwa mabaya, bali kwa Mazuri." Never forget you our Regend. Hongera Mama Samia Suluhu Hassani Ubarikiwe sana kwa kukimbiza kijiti ulichoachiwa pia. 🎉🎉🎉
@marabtourssafariszanzibar1040
@marabtourssafariszanzibar1040 2 ай бұрын
Baba weeee legend and sio Regend ( unabadilisha maana )
@josephgermanosanga9265
@josephgermanosanga9265 2 ай бұрын
Jpm 🔥 pumzika salama baba mam amekazia ulipoishia
@queenmapunda7868
@queenmapunda7868 2 ай бұрын
RIP Baba yetu JPM leo tunafurahia kazi uliyoianzisha
@NeemaKinemo
@NeemaKinemo 2 ай бұрын
Amina
@andygastony5051
@andygastony5051 2 ай бұрын
Najivunia kuwa Mtanzania🙌🏾🇹🇿
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 2 ай бұрын
Hongera sana jpm kazi yako tunaiona ngawa umetangulia mbele za haki
@farajakwilasa471
@farajakwilasa471 2 ай бұрын
Asante sana MUNGU MWENYEZI kwa zawadi kuu ya KING JPM 🙏🏿🤝🏿✊🏿✊🏿
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 2 ай бұрын
Hongera sana JPM ndoto yako imetimia baba Endelea kupunzika kwa amani
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 2 ай бұрын
Hakuna kupumzika huko
@fredducaunt
@fredducaunt 2 ай бұрын
​@@h.alshidhani8971kenge wa chooni lala huko
@rockeygarcia5865
@rockeygarcia5865 2 ай бұрын
Nampongeza sana Rais Samia kwa kuitimiza ndoto na malengo ya Legend Magufuli. ❤
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 2 ай бұрын
Hayo ni mabasi mengi sana ambayo ingebidi tutumie diesel toka nje, pesa za nyingi za kigeni tumeokoa
@mimiraia2531
@mimiraia2531 2 ай бұрын
Akili kubwa ya Magufuli hiyo
@marwawilliam3648
@marwawilliam3648 2 ай бұрын
Na spea
@mduda_i
@mduda_i 2 ай бұрын
@@marwawilliam3648kwani hayo mabasi hayatumii spea? watanzania sijui tunashida gani kwenye ufkiriaji wa mambo. Inshort ni kwamba tumeokoa fedha nyingi sana za kigeni na mafuta ndio huwa yanakula pesa nyingi sana
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 2 ай бұрын
@@vintagemusicgroup9236 leoo ndioo umejuaaa hasara ya diesel kinyongaa mkubwa wakati mnabezaa na kusema haiwezekani leo mmekubali nguchiluuuu mkubwaa
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 ай бұрын
Kabisa,good point👍👍
@queenmapunda7868
@queenmapunda7868 2 ай бұрын
Hongereni sana viongozi wetu mkiongozwa na rais wetu Mama Samia Hassan Suluhu kwa kazi hii nzuri.Kazi iendelee
@justinealistides5146
@justinealistides5146 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awape hekima viongozi wetu ili wawe na nia thabiti ya kutoa huduma bora kwa watanzania
@justinealistides5146
@justinealistides5146 2 ай бұрын
Tunategemea usafirishaji wa mizigo kwa SGR uanze ili kupunguza msongamano wa malori unaopelekea kuwepo kwa ajali nyingi barabarani
@mimiraia2531
@mimiraia2531 2 ай бұрын
Hongera sana Magufuli. Kama HUDUMA hii itadumishwa, maono ya Magufuli ni kuwa: 1) TRC watawapa PESA Tanesco (PESA itabaki nchini). 2) Kama nchi tutapunguza uhitaji wa PESA za kigeni (MADOLARI YA MAREKANI) kununua mafuta huko nje na kuyaleta TZ. 3) Nauli hazitaponda hovyo hovyo, kwani treni hizi hazitegemei mi-mifuta
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 2 ай бұрын
hongeraaa mama samia magufuli sio alieazisha mpago huoo uliratibiwaa mda mrefu sana
@mduda_i
@mduda_i 2 ай бұрын
@@hemedrashid2921akili huna ndomana upo hapo ulipo. hao wengine waliasisi tu na wala sio kuanzisha ujenzi. tumia akili af kamskilize kikwete anavyosema afu ukakojoe ulale
@BabuGga-td3mg
@BabuGga-td3mg 2 ай бұрын
​@@hemedrashid2921😂😂😂
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 2 ай бұрын
​@@hemedrashid2921😂😂😂
@edwardntamaboko3414
@edwardntamaboko3414 2 ай бұрын
​Sawa,lakini Magufuli ndiye aliyelazimisha hanse kutekelezwa,wengine ilikuwa ni maneno tu bila vitendo
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 ай бұрын
Yani magufuli angekuwepo naamini treni hii ingefika mkoa wa katavi kupitia dodoma tabora mpanda naamini jembe angeweza yanibasitu magufuli hukouliko mungu akulehem ubalikiwe mwamba wa tanganyika
@SaidCannal
@SaidCannal 2 ай бұрын
Hapa niseme viva CCM viva John Pombe Magufuli viva Rais Samia Suruhu Hassan viva Tanzania . Viva TRC viva Masanja viva prof Makame.
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 ай бұрын
Hongera serikali kwa miundo mbinu na mradi mkkubwa dunia nzima inaona kazi nzuri wamenuna haswa😂😂😂
@salimrajab3984
@salimrajab3984 2 ай бұрын
Barabara yenyewe kutoka Dodoma Hadi Iringa Mbovu
@GabrielMassawe-sd6yp
@GabrielMassawe-sd6yp 2 ай бұрын
Kazi nzuri Sana,ongereni, pia msiweke foleni katka ukataji wa timeti.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 2 ай бұрын
Mazingira ya nje maiyasahau mwagilieni maji majani na mpande miti mazingira yapendeze
@AllaudinMeghji
@AllaudinMeghji 2 ай бұрын
Sipandi tena mabasi wakati upo usafiri wenye usalama wote kuliko hayo mabasi yanayoendeshwa na vichaa..hongera mama yetu
@peternyagonde5524
@peternyagonde5524 2 ай бұрын
Watanzania wengi wanafiki Sana,Sasa washuudue Mama anachofanya Mambo mazuri.Bravo Raisi wetu.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 2 ай бұрын
Kazi iendelee mama. Tumkumbuke pia jembe la taifa JPM kwa uthubutu wake kuanzisha mradi huu ambao ulikuwa on the drawing board for so long.
@JaziraMustafa-g9p
@JaziraMustafa-g9p 2 ай бұрын
Wewe umekuwa Muungwana kwa kusema ukweli wengi wao humtaja Magu tu .Wakati Magu kafa kauwacha mradi huu ukiwa na asilimia 25 tu 75 kamalizia mama lakini wala hapongezwi
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 2 ай бұрын
​@@JaziraMustafa-g9psio kwel moro dar kaacha karibu 75%
@ImmanuelSeuta-zi2gh
@ImmanuelSeuta-zi2gh 2 ай бұрын
Apongezwe nn bajet ilishawekwa na serikali ya magufuri kama anaweza anzishe wakwake tumsifie ​@@JaziraMustafa-g9p
@franciscobalenga7710
@franciscobalenga7710 2 ай бұрын
Wekeni behewa moja au mawili kwa ajili ya mizigo, mtu aweze kusafiri na mizigo yake.... Mizigo itengwe kulingana na inaposhukia ili iwe rahisi kuishusha bila kupoteza muda Kama inawezekana kwenye ndege kwenye train haiwezi kushindikana
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
Haha iyo ngumu
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 2 ай бұрын
Ngumu sana kaka, watadelay sana hasa kwenye ile ya kusimama kila kituo... Hakuna conductor... nadhani wameona itakuwa usumbufu sana
@emauf
@emauf 2 ай бұрын
Za mizigo tupu zinakuja.
@nimbetebwangabwa8521
@nimbetebwangabwa8521 2 ай бұрын
It's was just a Dream,, God bless tz God bless Africa,Rip magu,
@deborasalumtwa
@deborasalumtwa 2 ай бұрын
Wekeni ratiba ya kutoka dodoma kaenda dr sàa kumi na moja sàsa mnaaza safar kutoka dodoma sàa tano soup hiyo inatakiwa tufike dar asbh tufanye mambo yetu jion turud
@jaroszakalia8947
@jaroszakalia8947 2 ай бұрын
Hakuna mwanaume kama magifuli daraja la jpm bwawa la mw nyerere frai over ukuta wa merelani kuhamishia selekali dodoma yan mbaka nishindwa kuongea nitamkumbuka jpm mbaka dunia iyakuja kufika mwisho mm jayros ndwaza kutoka chigandu dodoma 😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Sema nn keep bongobongo pongezi kwenu
@AbubakariMalinza
@AbubakariMalinza 2 ай бұрын
Hongera JPM Hpngera SSH Hongera Watanzania
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 2 ай бұрын
Hongera Mhe Rais kwkukamlish ujenz kwnz zinatunz mazingra kwkuepuka matumiz makubwa ya mafuta nguvu ielekezwe bwawa la kuzalisha umeme Nchi inaenda kubadilika kbs.
@rukiyahassan
@rukiyahassan 2 ай бұрын
😍😍😍
@paschaliganana8482
@paschaliganana8482 2 ай бұрын
Acheni kutumia mabox kubebea vinywaji ndani ya train.wahudumu tumieni tray za kisasa kubebea vinywaji
@Martin-w2l9p
@Martin-w2l9p 2 ай бұрын
Treni iwekewe ulinzi wakutosha isije ikahujumiwa. Wabaya wapo.
@marysona9999
@marysona9999 2 ай бұрын
Jamani dodoma sasa kuna zile ngazi za kujizungusha!!!!!!?😂😂😂😂😂😂😂😂😂mimi nitakwenda stesheni ili nikapande hizo ngazi tu!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Hongereni watanzania
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 2 ай бұрын
JPM
@JaziraMustafa-g9p
@JaziraMustafa-g9p 2 ай бұрын
Haya hayakuwa maoni ya Jpm bali yalikuwa maono ya Mkapa na Kagame wa Rwanda.Ok?
@mcback4384
@mcback4384 2 ай бұрын
​@@JaziraMustafa-g9phata mbuzi ana mipango
@kss1113
@kss1113 2 ай бұрын
Maoni Yao ilikuwa ni ya diesel sio ya umeme
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 ай бұрын
​@@JaziraMustafa-g9pndoto bila vitendo ,it's a complete waste of time
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 2 ай бұрын
​@@JaziraMustafa-g9pmustafa unakamdudu kabaya ka chuki wewe uliwaza ndege tungenunua km mtu anunuavyo Ist...Bwawa la umeme lilikuwa ono la Nyerere si wamepita marais wangapi hawakufanya Acha bana ugaidi mpe mauwa mwenda zake na mama yetu Samia😅
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Mungu ibariki SGR yetu. Hatuna haja kuiuzia wageni ila tahadhari tuitunze kama ndege. Kamera za kutosha zifungwe.
@ANRAHIMKADUMA
@ANRAHIMKADUMA 2 ай бұрын
Wanao sema Tanzania haijaendelea warudi 1980 wajasema bado na watasema sana Aluta kunuwa MAMA
@starjay3052
@starjay3052 2 ай бұрын
sema mfumo wa kukatia tiketi bado wa kiboya kila ukienda unakuta mtandao una sumbua adi unakosa tikeki unagaili unabadilisha mda wa kusafili kama leo morogoro nimepata tabu kino kutoka saa 8 nimeuja kusafili saa 1 usiku
@abdulkarimshabanmhandeni847
@abdulkarimshabanmhandeni847 2 ай бұрын
Wanashauri kukata online. Mimi kwa Moro-Dar huwa ninakata leo ninasafiri kesho. Kadiri ukikata mapema ndiyo unajihakikishia safari.
@dullamkumba860
@dullamkumba860 2 ай бұрын
​@@abdulkarimshabanmhandeni847ne unakataje maana wanataka kumbukumbu namba
@starjay3052
@starjay3052 2 ай бұрын
@@abdulkarimshabanmhandeni847gud
@israelsimba4954
@israelsimba4954 2 ай бұрын
TRC tumieni drones kama wenzuni wa Zimbabwe kulinda reli
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 ай бұрын
Awesome point 👏, natamani viongozi wa TRC wasome hii na watekeleze mara moja.
@fredducaunt
@fredducaunt 2 ай бұрын
Fafanua zaidi hii pointi
@starjay3052
@starjay3052 2 ай бұрын
tuwekeeni mfo ukikata tiketi mala moja siku zengine unakua unalipia tu au mbadilishe mfumo mana ni usumbufu mbaka kelo
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 29 күн бұрын
Unapanda train unakamzigo kadogo lakini ukikaguliwa mzigo unabaki, hivi sukari kilo 3 na mchele kilo 3 nikiviweka kwenye mkoba wangu huwa vinasumbua kwenye train? Mwanangu nilimpatia hivyo vitu train ya kwenda dar na mtoto ni mwana chuo IFM hapo dar na mnajua watoto wanaokaa kwenye nyumba za kupanga inabidi tuwape hata vitu vya kwenda kuanzia, ukiangalia maisha yalivyo. Halafu unapigiwa simu kuna kamzigo kako hapa Getini uje kuchukua mtoto amekaguliwa amekutwa na hivi vitu na kwenye train ni marufuku kuingia na vitu hivyo. Inaumiza sana ni kheri upande basi kuliko hiyo train inayokataa hata kamzigo kadogo tena kamefichwa kwenye mkoba wa kushika
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 2 ай бұрын
Ulale kwaaman mbeba maono wetu Jonh Pombe Magufuli
@JaziraMustafa-g9p
@JaziraMustafa-g9p 2 ай бұрын
HAYO HAYAKUWA MAONI YA MAKUFULI BALI YALIKUWA MAONI YA MKAPA NA KAGAME WA RWANDA.
@salamSalehhhhh
@salamSalehhhhh 2 ай бұрын
Amiina
@lakasid3860
@lakasid3860 2 ай бұрын
​@@JaziraMustafa-g9p Acha husda na wivu huu mradi maua anapewa Magufuli kama mkapa alikuwa na maono basi angeujenga huu mradi acha wivu mzee
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 2 ай бұрын
kikubwa hao wote sio wenye mali hii ya tren hii nimali yetu ss watazaniaaa na ndio utakaoulipa mkopoo huoo acha mawazo ya ubaguziii au wewe mkimbiziiiiii😂😂😂😂
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 2 ай бұрын
Kuna kaudini kananyemelea nchi yetu kwa hakika Abinger anzisha mwenda zake tungekuwa na story yote kwa yote tunamshukuru mama kwa kuendeleza maono ya ccm😅
@JoachimPhilipo-zh4vg
@JoachimPhilipo-zh4vg 2 ай бұрын
Congratulations TRC.🎉
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 2 ай бұрын
Bila kiongozi kariba ya Magufuli hii nchi tutabaki kuwa nyuma sana
@JamesSichimata-w1u
@JamesSichimata-w1u 2 ай бұрын
Kwa hili MUNGU awe nanyi
@AishaKassim-fh3fz
@AishaKassim-fh3fz 2 ай бұрын
Dodoma stesheni yake ipo maeneo gani?
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 2 ай бұрын
Ikifika kigoma mwanza na Rukwa uchumi wa nchi na wananchi wake utaongezeka
@AtwaaussalaamKaluta
@AtwaaussalaamKaluta 2 ай бұрын
Pia tungeomba mboreshe mtandao wa kukatia ticket. kwa sababu mtu anaweza kufika stesheni na kufeli kukata ticket kwa sababu ya mtandao. hivyo mara nyingi sana treni inaondoka kabla ya kujaa ilhali abiria wako wamebaki wengi sana.
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 2 ай бұрын
SWALI KUBWA JE, MABASI YANAENDELEA DAR - DOM????
@Samweli-vw8ji
@Samweli-vw8ji Ай бұрын
Juzi nimeenda kukata tiketi kwenda Moro nikaambiwa Treni imejaa nikakuuliza Treni inajaa kweli au watu wakiwa wengi unaongeza mabehewa mengine maana huwezi huo upo duuuuu biashara zinawashinda,angaliaa idadi ya watu ongeza behewa nyingine SIo Tren imejaa SIo kweliiiiii
@Mtenda-eq3jp
@Mtenda-eq3jp 2 ай бұрын
Dom to dar nauli ni kiasi gani cha fedha
@queenmapunda7868
@queenmapunda7868 2 ай бұрын
Jamani watanzania wenzangu tutunze rasilimali zetu.Mabehewa,reli zetu ziwe katika hali nzuri na usalama.tusiaribu miundo mbinu.hatu ufadhiri wa mzungu ni kodi zetu zinahusika.
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 2 ай бұрын
Waiting rooms zote bado sio za kutosha
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 2 ай бұрын
Hongera sana wahusika, sasa na nje ya jengo mngeweka mazingira ya kuvutia kwa miti na mauwa bila hivyo jengo litaharibika na vumbi
@petermakubi
@petermakubi 2 ай бұрын
Yeah watengeneze garden nzuri hapo ili mazingira yaendane na jengo.
@paschaliganana8482
@paschaliganana8482 2 ай бұрын
Wekeni ndo za kisasa za uchafu kwenye train
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 ай бұрын
Sasa nchi yetu Tanzania inang'aa sana
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
Ongezeni behewa acheni maneno
@dullamkumba860
@dullamkumba860 2 ай бұрын
mbona ukitaka kununua tiket online inadai kumbukumbu namba msaada please
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 2 ай бұрын
Ansbert Ngurumo upoooo ? Haya nayo ni mafanikio pia katika nchi yetu. Usiwe na mitazamo hasi pekee hata haya nayo uyaseme na kuwapongeza watanzania.
@godwinmrema8239
@godwinmrema8239 2 ай бұрын
Pongezi kwa serikali na viongozi
@edwinraymond3404
@edwinraymond3404 2 ай бұрын
ALAFU CAG AJE ATUAMBIE TUNAENDESHA MRADI KWA HASARA SAFARI HII TUTAMUACHISHA KAZI
@komandowainjiliyayesu
@komandowainjiliyayesu 2 ай бұрын
Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ushauri tutunze Mali zetu pia Natuleni ya mizigo iletwe
@godwinmrema8239
@godwinmrema8239 2 ай бұрын
Safi sana.
@abubakarjumakhamisi370
@abubakarjumakhamisi370 2 ай бұрын
Tutunze sas miondo mbinu......uzalendo uwepo
@deohaule8161
@deohaule8161 2 ай бұрын
Toeni punguzo la kukata ticket online ili kupunguza foleni ya kukata ticket madirishani. Pia wekeni ongezeko la nauli pale ticket inakatwa karibia na muda wa kusafiri ili kupunguza foleni za kukata tiketi kwenye train station
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
Congratulation TRC for accomplishing such an audacious feat thought as an impossible task! Only gripe with that station is the surroundings, we need to see greenery on either side of the train track, trees 🌳 grass and shrubbery so the place looks welcoming & easy on the eye, that is all but congratulation once again!
@mcback4384
@mcback4384 2 ай бұрын
Dodoma is semi arid, you can't dictate nature
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
@@mcback4384 lol it’s 2024 dummy! They are greening Saudi Arabia, go figure!
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
@@mcback4384 I said, Green up the place! It’s semi arid not arid, use sprinklers it’s not rocket science!!
@mkude
@mkude 2 ай бұрын
Hongera mama Samia hongera TRC
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 2 ай бұрын
Sasa begi Zina scanning ili iweje na hizi ni safari za ndani?
@goodluckeliahu3046
@goodluckeliahu3046 2 ай бұрын
Scanning ni sababu za kiusalama
@goodluckeliahu3046
@goodluckeliahu3046 2 ай бұрын
Watu wa mabasi tunawaombeni please msije mkahujumu treni hii, mambo yalishabadilika, tufikirie namna ya kwenda na wakati,
@TuntufyeBrayson
@TuntufyeBrayson 2 ай бұрын
Na ikiwezekana litandazwe nchi nzima
@kss1113
@kss1113 2 ай бұрын
Mimi naulizia yale mabehewa ya doble decker mbona hayaanzi kazi au kuna tatizo?
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 2 ай бұрын
Hivi mnasimamiaje mfano mtu akikata ticket ya Dar to Ruvu halafu asishuke ili afike Dodoma kwa ujanja ujanja?
@emauf
@emauf 2 ай бұрын
Kwanini mlikwama Morogoro saa zima?
@papaamasauti1973
@papaamasauti1973 2 ай бұрын
Kampuni za mabasi ni bai bai
@ignatusrogerslema8650
@ignatusrogerslema8650 2 ай бұрын
Tuwe waangalifu hata Kenya SGR Train ilipo anza watu walipanda sana kupiga picha ili na wao waonekana wanapanda treni baada ya miaka 2 imebaki ikibeba watu wachache sana..
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 ай бұрын
Rip dady jpm
@othumanomari1589
@othumanomari1589 2 ай бұрын
❤️❤️🇹🇿🇹🇿💪💪
@aliyahmed9328
@aliyahmed9328 2 ай бұрын
Wapuuzi wakubwa wekeni treni za kutosha acheni ushamba ,wekeni machine za ticket ,wekeni mawakala huko mitaani...
@logicmusic9899
@logicmusic9899 2 ай бұрын
Mpuuzi wewe na Domo lako baya ka kibakuli cha wahazabe
@abuubilal2646
@abuubilal2646 2 ай бұрын
Mbona hasira
@MichaelDanny-ge2qz
@MichaelDanny-ge2qz 2 ай бұрын
Nauli bei gani
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 2 ай бұрын
Safi hongereni sana
@ShirazySong
@ShirazySong 2 ай бұрын
🇹🇿 tunajivunia na maendeleo Tanzania
@dundoguselia
@dundoguselia 2 ай бұрын
nauli ni sh ngap dom to dar?
@KennyJuakali
@KennyJuakali 2 ай бұрын
Huduma nzuri sana
@felickngao1167
@felickngao1167 2 ай бұрын
JPM daima nawe
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 2 ай бұрын
Online system ipo down au imerudi... tangu kuzinduliwa safari ya Dom to Dsm
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 2 ай бұрын
Kulinda ndo kitu juzi ilibidi train isimame kulikuwa na mwingiliano na kifaa cha matengenezo sijui km kulikuwa na mawasiliano kwa sababu ngozi zetu nyeusi..kuwe na mfumo wa kuangalia njia ya SGR tusipofanya hivyo sitaki kumalizia kwa sababu ya uafrica tulionao umakini wa hali ya juu unatakiwa ufnyike mapema
@eliudmbange2278
@eliudmbange2278 2 ай бұрын
Nataman iringa pia mpaka mbeya iwepo reli ya Sgr
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 2 ай бұрын
Mirimaa mingii..pandeni mchape..ngaselee na Nani kaonaa😂😂😂😂
@wilsonjoshua6209
@wilsonjoshua6209 2 ай бұрын
​@@charlesmwambinga4355 iliyopo ni sgr ila si treni ya umeme ...sgr ni standard ya njia ya treni yani reli
@ceciliaonyango5367
@ceciliaonyango5367 2 ай бұрын
Magufuli hoyeee !!
@oklahommy9838
@oklahommy9838 2 ай бұрын
Kuna watu walisema hayo mabehewa plus vichwa ni mabovu yaani sio mazuri wakati yanashushwa bandarini sasa sijui ilikuwa ni sababu ya ushamba au chuki binafsi
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 2 ай бұрын
Utunzaji ni muhimu sana
@AllychumaIssa
@AllychumaIssa 2 ай бұрын
Nauli mpaka Dodoma sh ngap
@ParokoMosinyori
@ParokoMosinyori 2 ай бұрын
Mama Samia hoyeeeeeeee
@shukranismaely6045
@shukranismaely6045 2 ай бұрын
Bei gani Dodoma tu dar
@frankmnyaga9699
@frankmnyaga9699 2 ай бұрын
Hii ndo faida ya mikopo sasa
@jrlamar8925
@jrlamar8925 2 ай бұрын
ABOOD ATAFUTE RUTI SASA
@patrickndizeye2190
@patrickndizeye2190 2 ай бұрын
Stesheni nzuri sana❤🎉😂❤🎉🎉🎉🎉
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Shabiby sasa wamekosa wateja
@mimiraia2531
@mimiraia2531 2 ай бұрын
Keshatuvuna sana WaTZ, mpaka kajenga ghorofa kubwa sana pale Morogoro
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
@@mimiraia2531 yani,acha tuifadishe na serikali sasa
@magorymara5515
@magorymara5515 2 ай бұрын
​@@mimiraia2531hawez kukosa watu ni wengi Tanzania
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 2 ай бұрын
Mbona Kuna mwanamke amebeba begi (Shangazi kaja,,,) 😢
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 2 ай бұрын
Shida haizoweleki Kila mtu anapenda Raha. Mtu hatizami Pesa anataka Roho ipowe kupunguza Stress.
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
ONGERA MAMA SAMIA KAZI NZURI UMEWEKA HISTORIA
@mimiraia2531
@mimiraia2531 2 ай бұрын
Kaweka historia mbeba maono Magufuli,
@dork8749
@dork8749 2 ай бұрын
Kazi nzuri sana. Ila Wekeni ofisi za kutosha kukata Mfumo.wa online unasumbua Tunakosa nafasu
@GulatoneMasiga
@GulatoneMasiga 2 ай бұрын
Tunajivunia
@paschaliganana8482
@paschaliganana8482 2 ай бұрын
Ongezeni viti vya kukalia kwenye station na kuwasha Viyoyonzi wakati wa Pick hours mfano hapo morogoro wakati wa pick hours hakuna hewa.
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 85 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 7 МЛН
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 4,7 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 24 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
KADANGANYA
10:21
Joti TV
Рет қаралды 347 М.
This $10M U.S. Army Laser Melts Drones With $3 Beams | WSJ Equipped
6:12
The Wall Street Journal
Рет қаралды 931 М.
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 85 МЛН