UWEKEZAJI WA MIZENGO PINDA DODOMA NI BALAA EBU SHUHUDIA ALICHOKIFANYA

  Рет қаралды 105,302

Uhondo TV

Uhondo TV

4 жыл бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 70
@fikiliogambi5042
@fikiliogambi5042 3 ай бұрын
Kwa kweli Mzee Pinda uishi maisha marefu mzee wangu! Mimi ni kijana lakini natamani sana kuinvest kama wewe ila changamoto ni mitaji
@joshuakusena707
@joshuakusena707 2 ай бұрын
Tupeane namba za simu hapa. Labda tutapata wazo kaka. Maana na Mimi shida hiyohiyo
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 2 ай бұрын
That's Mzee Pinda, humble and caring. May God continue to strengthen you Mzee.
@omtuya5892
@omtuya5892 2 ай бұрын
Huwa namkubali sana huyu mzee. Very simple, cooperative na yuko available kwa yeyote kujifunza
@user-xb4qj5pd7x
@user-xb4qj5pd7x 3 ай бұрын
Hongera sana mzee. Ikimpendeza Mungu, siku moja nitakutembelea shambani kwako.
@emmanuelmchome3071
@emmanuelmchome3071 2 ай бұрын
Mh. M.K.P.PINDA Umeonesha mfano mzuri Sana Bwana akubariki Sana. Nimejifunza Sana.
@lucymarandu4790
@lucymarandu4790 2 ай бұрын
OO wonderful inafutia kilimo fresh kina Tisha. I wish vijana wangejifunza na kuwezeshwa, wanywa gongo na madawa ya kulevya wangejiajiri wenyewe.
@igihamanuel1
@igihamanuel1 3 ай бұрын
Hongera sana Mzee Pinda. Umekuwa mfano mwema, ubarikiwe
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
hongera sana baba yetu Mizengo pinda kwakutupatia elimu ya kujitegemea
@mamachris6811
@mamachris6811 3 ай бұрын
Wewe kweli ni kiongozi,unaonyesha kwa viyendo Ulichopata kwa halali,umekiwekeza Hongera sana
@user-mt2gc7mi5v
@user-mt2gc7mi5v 3 ай бұрын
Mzee mugu hakuogeze maisha mema hira naomba unique namm nimeaza na kuku sabini nitume kiripu yangu
@user-uy3lo8oj5r
@user-uy3lo8oj5r 2 ай бұрын
Mzee Linda Mnyezi Mungu akusimamie!!!!
@edithmushy1010
@edithmushy1010 Жыл бұрын
Hongera baba. Napenda kilimo na nitafanya kwa ukubwa wa uwezo wangu. Natafuta tu Kama heka 5. Sehemu yenye maji na rutuba
@TENGAMSOGOYA
@TENGAMSOGOYA 3 ай бұрын
Hongeraa sanaaa mheshimiwaa natamani Sanaa niweee kamaaa wew
@rafaelikimati4276
@rafaelikimati4276 2 ай бұрын
Safi sana Mkuu napenda sana hii kazi ila mitaji tu unanisumbua mimi ila naipenda sana hii kazi mimi kiukweli
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 3 ай бұрын
Kweli mzee pinda we ni tofauti sana tutakuja kujifunza kwako baba yetu udumu na upendo wako
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 Жыл бұрын
Hongera baba mungu akutunze frm mwanao KISIWA BENEDICTO PAULO
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 3 ай бұрын
Mzee pinda hongera sana,Ila mikopo ya halmashauri madiwani wanazila,wanavikundi vyao.
@paulm.kaponda2300
@paulm.kaponda2300 2 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wetu Pinda.
@AlexJunior-ls4ul
@AlexJunior-ls4ul 2 ай бұрын
Saafi sana mheshimiwa Acha na sis tujifunze
@LeornadKiyungi
@LeornadKiyungi 3 ай бұрын
Hongera sana Mzee wetu.
@joycebenjamin6017
@joycebenjamin6017 2 ай бұрын
Ni kweli kbs degree ni cheti,wasomi ndo wawekezaji wazuri sana hapa New jersey👍🏻👏🏽
@EmmanuelLubuva
@EmmanuelLubuva 3 ай бұрын
Hongera sana mzee
@elineemamndeme5634
@elineemamndeme5634 3 ай бұрын
Safi sn baba hongera
@johnsaningo226
@johnsaningo226 2 жыл бұрын
Great mind
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 3 ай бұрын
Hongera sana mzee pinda tunapenda wazee aina yako sio wazee wasiokubali kustafu wanauchu wa madaraka mpaka kufa kwao
@ChachaNyahende
@ChachaNyahende 3 ай бұрын
Hongera sana
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 2 ай бұрын
Salut pinda
@shukranikikoti5261
@shukranikikoti5261 Жыл бұрын
Congrats
@KaijageEvodius
@KaijageEvodius 28 күн бұрын
safisana mzeepinda
@mwitawambura2548
@mwitawambura2548 2 ай бұрын
Hello Peter, Leo nimekuona bhana nakumbuka kipindi hicho ukiwa spika wa bunge la chuo flani Keep it up brother una kiu ya uongozi
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 жыл бұрын
Mzee hongera mzee naomba kukuwakula sikukuu
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 ай бұрын
Acha omba omba
@josephineseruhere-cv4wc
@josephineseruhere-cv4wc 3 ай бұрын
Wewe ni malaika ulietumwa DODOMA Mungu akubariki
@josephnjella4919
@josephnjella4919 Жыл бұрын
Hongera mzee nitakuja nikusalimia
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 2 ай бұрын
Asset Yetu Ya Taifa....mkuu kamtaji ndo Shida vijana tunapendaa kilimo na ufugaji..ila vijana tuwezeshwee
@agastokissatu2667
@agastokissatu2667 2 ай бұрын
.......mwamba kama mwamba kweli kweli....!!!nadhani ni viongozi wachache wanaoweza kusema hapana(no) mheshimiwa
@mwerindejackson5001
@mwerindejackson5001 11 ай бұрын
Hongera mzee ww kama muizraheli vile karibu same
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 4 ай бұрын
Wewe nakuhabarisha unasifia usichokijua wewe ni miongoni mwa wale wanaopenda kutawala wajinga ambao wanaendelea kupungua hapa TZ vyuo vikuu walivyovianzisha,sekondari zakata watu wanasoma uraia na ndiyo somo mhimu katika kuwatambua hawa na jamaa zetu halafu unaendelea kwenye kundi LA kusifia kwa taarifa utakuwa umechelewa utakosa hata kujisaidia haja ndogo itakuwa kwu au nachafua mazingira kwa jirani yako hiyo utaijua uzeeni sijui kama unakaa kwako au umepanga hawataki katiba mpya kwa sababu hata Mali za Watanzania kama viwanja vya mpira wa ni Mali ya chama chao wakati Watanzania wote wafanyakazi, wakulima , ndiyo waliojenga miundombinu hiyo bila kujua, bila walojenga kutambua kuwa wanatakiwa kujua kuwa ni Mali ya Watz siyo ya Chama cha siasa kama alichokitumikia hiyo mzee? Kuwa chanya kama unajitambua
@andreamathew4585
@andreamathew4585 2 ай бұрын
Tutapata kazi kiongozi
@hassannjiku
@hassannjiku 4 ай бұрын
Mzee pinda umenipa somo zuri nn nimepata pa kujifunza
@maselemaziku4875
@maselemaziku4875 2 ай бұрын
Saiv unKUMBUK na kukosea lkn vip kuhusu wapigwe tu ,AANA hakuna namna
@VincentKija
@VincentKija 2 ай бұрын
Aendelee kuwekeza kiongoz hana mambo mengi huyo.
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Жыл бұрын
🇮🇱Mzee Pinda NAKUPA HONGERA SANA SANA. INAONESHA KABISA TANZANIA SIYO NCHI YA KUWA NA NJAA.
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 Жыл бұрын
Mmeiba vya kutosha sasa mnatufanyia msigizo ya ufugaji ..mbona haikuwa kabla ... kula hela kifo kipo karibu acha kujisemesha ..shida dodoma maji wkt ulikuw wazir mkuu
@user-wc6dl8kp9p
@user-wc6dl8kp9p 4 ай бұрын
Watu wanatafuta Degree wapate ajira Serikalini kisha wakaibe wapate mtaji kisha wakalime hapa kisa nl mitaji.
@josephmpanda2237
@josephmpanda2237 Жыл бұрын
Naomba Mimi ni mstaafu nilipenda kujifunza kuhusu kilimo na ufugaji ni namna gani naweza fika hapo Kwa muheshimiwa Waziri Mkuu mstaafu Mimi Niko mwanza Nina mapenzi makubwa na kilimo naomba kupata utaratibu
@Egbethelneus-wj3bq
@Egbethelneus-wj3bq 2 ай бұрын
Tanzania siyo maskiniii ila watanzania tumekosa maalifa
@user-qb6dx2kv3z
@user-qb6dx2kv3z 3 ай бұрын
Tatizo kubwa kwenye nchi yetu wanasiasa wanatuambia vujana twende kijijini tukalime kijana ataanzia wapi Hana pesa ya mtaji hana kila kitu ataanzia wapi,,wao wakiwa madarakani wanachuma pesa nyingi baada ya hapo wanaanzisha miradi mikubwa so vijana tufanyeje
@mtanganyikahalisi4286
@mtanganyikahalisi4286 2 ай бұрын
Kijana anamiliki simu ya Milioni mbili yupo mjini analalamika Hana mtaji anataka Serikali impe mtaji halafu hiyo simu haina kipato chochote inachomuingizia Zaidi ya kuji selfie Na kuwatambia watu unamiliki iPhone macho matatu mtasubiri sanaaaa
@user-mt2gc7mi5v
@user-mt2gc7mi5v 3 ай бұрын
Mm mueshimiwa niko bukoba naomba msaada kwako nimeaza kufunga kuku hila sina mtaji naomba msaada kwako nitashukuru kwa kunifikiria
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 ай бұрын
Duuu jamani watu tunaomba bila aibu...au Pinda katenga fungu la kugawa ? ,tuambizane
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 2 ай бұрын
Baba unajua wambie hao wanataka kukaa ofisini tu kuchezea kompyuta tu
@user-jx7ot4ru7l
@user-jx7ot4ru7l 3 ай бұрын
Wakuu nyie wa nchi mnaogopa njaa Sanaa nyie wapiga dili sekalini nyie mmejipanga Sanaa nyie mapema mnachukua chakwenu
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 2 ай бұрын
Waliochuma mali kwa halali wanadhihirika pasi shaka.
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 2 ай бұрын
Kulimo pesa buka pesa ngumu
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
ACHENI kutukana watu
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Umejirimikisha viyakutosha mbwa wewe sura kamatako nyambavu zako wewe
@martinegumbo7225
@martinegumbo7225 Жыл бұрын
Hivi kwanini watu mnapenda sana kutukana?,unadhani utaweza kujikwamua kiuchumi kwa kutukana?Tujifunze kutumia lugha za staha.
@ismailmdoe8616
@ismailmdoe8616 Жыл бұрын
Mzee uwekezaji uwo niwagarama huwezi kumshauri mtu asiekua na kipato afanye uwekezaji uwo..hata ww umeweza kufanya baada ya utumishi.
@user-lv1ki7nn7t
@user-lv1ki7nn7t 4 ай бұрын
Wewe mbwa ulaaniwe unaemtukana Mzee wetu Mzee PINDA
@user-lv1ki7nn7t
@user-lv1ki7nn7t 4 ай бұрын
Mbwa mkubwaaa wewe Tena ningekuona karibu yangu ningetanguliza kuzimu wewe
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 3 ай бұрын
Mzee pinda alikuwa kiongozi mkubwa na ni mtu mzima kiumri,na ni mwekezaji mkubwa wa ndani,hufai kumtukana na kumkosea adabu mzee km huyu.jufunze tabia njema na namna ya kuwekeza kwa huyu Kiongozi badala ya kumtukana
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 3 ай бұрын
Hongera sana mzee
@innocentlongino5664
@innocentlongino5664 Жыл бұрын
Hongera sana
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 96 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 54 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI | #MAVUNOTIMES
10:15
MAVUNO TIME
Рет қаралды 56 М.
Mh. PETER PINDA;ASALI NI UTAJIRI MKUBWA
10:43
TanTrade Tanzania
Рет қаралды 13 М.
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 96 МЛН