Kwa kweli Mzee Pinda uishi maisha marefu mzee wangu! Mimi ni kijana lakini natamani sana kuinvest kama wewe ila changamoto ni mitaji
@joshuakusena7072 ай бұрын
Tupeane namba za simu hapa. Labda tutapata wazo kaka. Maana na Mimi shida hiyohiyo
@patricknamangoa64682 ай бұрын
That's Mzee Pinda, humble and caring. May God continue to strengthen you Mzee.
@omtuya58922 ай бұрын
Huwa namkubali sana huyu mzee. Very simple, cooperative na yuko available kwa yeyote kujifunza
@user-xb4qj5pd7x3 ай бұрын
Hongera sana mzee. Ikimpendeza Mungu, siku moja nitakutembelea shambani kwako.
@emmanuelmchome30712 ай бұрын
Mh. M.K.P.PINDA Umeonesha mfano mzuri Sana Bwana akubariki Sana. Nimejifunza Sana.
@lucymarandu47902 ай бұрын
OO wonderful inafutia kilimo fresh kina Tisha. I wish vijana wangejifunza na kuwezeshwa, wanywa gongo na madawa ya kulevya wangejiajiri wenyewe.
@igihamanuel13 ай бұрын
Hongera sana Mzee Pinda. Umekuwa mfano mwema, ubarikiwe
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
hongera sana baba yetu Mizengo pinda kwakutupatia elimu ya kujitegemea
@mamachris68113 ай бұрын
Wewe kweli ni kiongozi,unaonyesha kwa viyendo Ulichopata kwa halali,umekiwekeza Hongera sana
@user-mt2gc7mi5v3 ай бұрын
Mzee mugu hakuogeze maisha mema hira naomba unique namm nimeaza na kuku sabini nitume kiripu yangu
@user-uy3lo8oj5r2 ай бұрын
Mzee Linda Mnyezi Mungu akusimamie!!!!
@edithmushy1010 Жыл бұрын
Hongera baba. Napenda kilimo na nitafanya kwa ukubwa wa uwezo wangu. Natafuta tu Kama heka 5. Sehemu yenye maji na rutuba
@TENGAMSOGOYA3 ай бұрын
Hongeraa sanaaa mheshimiwaa natamani Sanaa niweee kamaaa wew
@rafaelikimati42762 ай бұрын
Safi sana Mkuu napenda sana hii kazi ila mitaji tu unanisumbua mimi ila naipenda sana hii kazi mimi kiukweli
@user-oy5dz5xl8s3 ай бұрын
Kweli mzee pinda we ni tofauti sana tutakuja kujifunza kwako baba yetu udumu na upendo wako
@amanmyolo5359 Жыл бұрын
Hongera baba mungu akutunze frm mwanao KISIWA BENEDICTO PAULO
@user-rs4vz2vt9z3 ай бұрын
Mzee pinda hongera sana,Ila mikopo ya halmashauri madiwani wanazila,wanavikundi vyao.
@paulm.kaponda23002 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wetu Pinda.
@AlexJunior-ls4ul2 ай бұрын
Saafi sana mheshimiwa Acha na sis tujifunze
@LeornadKiyungi3 ай бұрын
Hongera sana Mzee wetu.
@joycebenjamin60172 ай бұрын
Ni kweli kbs degree ni cheti,wasomi ndo wawekezaji wazuri sana hapa New jersey👍🏻👏🏽
@EmmanuelLubuva3 ай бұрын
Hongera sana mzee
@elineemamndeme56343 ай бұрын
Safi sn baba hongera
@johnsaningo2262 жыл бұрын
Great mind
@user-ig5yn4zp2u3 ай бұрын
Hongera sana mzee pinda tunapenda wazee aina yako sio wazee wasiokubali kustafu wanauchu wa madaraka mpaka kufa kwao
@ChachaNyahende3 ай бұрын
Hongera sana
@ezrakiduko61352 ай бұрын
Salut pinda
@shukranikikoti5261 Жыл бұрын
Congrats
@KaijageEvodius28 күн бұрын
safisana mzeepinda
@mwitawambura25482 ай бұрын
Hello Peter, Leo nimekuona bhana nakumbuka kipindi hicho ukiwa spika wa bunge la chuo flani Keep it up brother una kiu ya uongozi
@mudhihirumikidadi60664 жыл бұрын
Mzee hongera mzee naomba kukuwakula sikukuu
@ezekieljacob57953 ай бұрын
Acha omba omba
@josephineseruhere-cv4wc3 ай бұрын
Wewe ni malaika ulietumwa DODOMA Mungu akubariki
@josephnjella4919 Жыл бұрын
Hongera mzee nitakuja nikusalimia
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@charlesmwambinga43552 ай бұрын
Asset Yetu Ya Taifa....mkuu kamtaji ndo Shida vijana tunapendaa kilimo na ufugaji..ila vijana tuwezeshwee
@agastokissatu26672 ай бұрын
.......mwamba kama mwamba kweli kweli....!!!nadhani ni viongozi wachache wanaoweza kusema hapana(no) mheshimiwa
@mwerindejackson500111 ай бұрын
Hongera mzee ww kama muizraheli vile karibu same
@marcokaroje89804 ай бұрын
Wewe nakuhabarisha unasifia usichokijua wewe ni miongoni mwa wale wanaopenda kutawala wajinga ambao wanaendelea kupungua hapa TZ vyuo vikuu walivyovianzisha,sekondari zakata watu wanasoma uraia na ndiyo somo mhimu katika kuwatambua hawa na jamaa zetu halafu unaendelea kwenye kundi LA kusifia kwa taarifa utakuwa umechelewa utakosa hata kujisaidia haja ndogo itakuwa kwu au nachafua mazingira kwa jirani yako hiyo utaijua uzeeni sijui kama unakaa kwako au umepanga hawataki katiba mpya kwa sababu hata Mali za Watanzania kama viwanja vya mpira wa ni Mali ya chama chao wakati Watanzania wote wafanyakazi, wakulima , ndiyo waliojenga miundombinu hiyo bila kujua, bila walojenga kutambua kuwa wanatakiwa kujua kuwa ni Mali ya Watz siyo ya Chama cha siasa kama alichokitumikia hiyo mzee? Kuwa chanya kama unajitambua
@andreamathew45852 ай бұрын
Tutapata kazi kiongozi
@hassannjiku4 ай бұрын
Mzee pinda umenipa somo zuri nn nimepata pa kujifunza
@maselemaziku48752 ай бұрын
Saiv unKUMBUK na kukosea lkn vip kuhusu wapigwe tu ,AANA hakuna namna
@VincentKija2 ай бұрын
Aendelee kuwekeza kiongoz hana mambo mengi huyo.
@judicalosika7642 Жыл бұрын
🇮🇱Mzee Pinda NAKUPA HONGERA SANA SANA. INAONESHA KABISA TANZANIA SIYO NCHI YA KUWA NA NJAA.
@nixonjohnson4908 Жыл бұрын
Mmeiba vya kutosha sasa mnatufanyia msigizo ya ufugaji ..mbona haikuwa kabla ... kula hela kifo kipo karibu acha kujisemesha ..shida dodoma maji wkt ulikuw wazir mkuu
Naomba Mimi ni mstaafu nilipenda kujifunza kuhusu kilimo na ufugaji ni namna gani naweza fika hapo Kwa muheshimiwa Waziri Mkuu mstaafu Mimi Niko mwanza Nina mapenzi makubwa na kilimo naomba kupata utaratibu
@Egbethelneus-wj3bq2 ай бұрын
Tanzania siyo maskiniii ila watanzania tumekosa maalifa
@user-qb6dx2kv3z3 ай бұрын
Tatizo kubwa kwenye nchi yetu wanasiasa wanatuambia vujana twende kijijini tukalime kijana ataanzia wapi Hana pesa ya mtaji hana kila kitu ataanzia wapi,,wao wakiwa madarakani wanachuma pesa nyingi baada ya hapo wanaanzisha miradi mikubwa so vijana tufanyeje
@mtanganyikahalisi42862 ай бұрын
Kijana anamiliki simu ya Milioni mbili yupo mjini analalamika Hana mtaji anataka Serikali impe mtaji halafu hiyo simu haina kipato chochote inachomuingizia Zaidi ya kuji selfie Na kuwatambia watu unamiliki iPhone macho matatu mtasubiri sanaaaa
@user-mt2gc7mi5v3 ай бұрын
Mm mueshimiwa niko bukoba naomba msaada kwako nimeaza kufunga kuku hila sina mtaji naomba msaada kwako nitashukuru kwa kunifikiria
@ezekieljacob57953 ай бұрын
Duuu jamani watu tunaomba bila aibu...au Pinda katenga fungu la kugawa ? ,tuambizane
@amanilupembe97882 ай бұрын
Baba unajua wambie hao wanataka kukaa ofisini tu kuchezea kompyuta tu
@user-jx7ot4ru7l3 ай бұрын
Wakuu nyie wa nchi mnaogopa njaa Sanaa nyie wapiga dili sekalini nyie mmejipanga Sanaa nyie mapema mnachukua chakwenu
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@mabondolawrence18122 ай бұрын
Waliochuma mali kwa halali wanadhihirika pasi shaka.
@user-xh9ko2cs1r2 ай бұрын
Kulimo pesa buka pesa ngumu
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
ACHENI kutukana watu
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Umejirimikisha viyakutosha mbwa wewe sura kamatako nyambavu zako wewe
@martinegumbo7225 Жыл бұрын
Hivi kwanini watu mnapenda sana kutukana?,unadhani utaweza kujikwamua kiuchumi kwa kutukana?Tujifunze kutumia lugha za staha.
@ismailmdoe8616 Жыл бұрын
Mzee uwekezaji uwo niwagarama huwezi kumshauri mtu asiekua na kipato afanye uwekezaji uwo..hata ww umeweza kufanya baada ya utumishi.
Mbwa mkubwaaa wewe Tena ningekuona karibu yangu ningetanguliza kuzimu wewe
@salmanmagwe26123 ай бұрын
Mzee pinda alikuwa kiongozi mkubwa na ni mtu mzima kiumri,na ni mwekezaji mkubwa wa ndani,hufai kumtukana na kumkosea adabu mzee km huyu.jufunze tabia njema na namna ya kuwekeza kwa huyu Kiongozi badala ya kumtukana