Kwa kweli Mzee Pinda uishi maisha marefu mzee wangu! Mimi ni kijana lakini natamani sana kuinvest kama wewe ila changamoto ni mitaji
@joshuakusena9 ай бұрын
Tupeane namba za simu hapa. Labda tutapata wazo kaka. Maana na Mimi shida hiyohiyo
@LazaroMetivoi10 ай бұрын
Hongera sana mzee. Ikimpendeza Mungu, siku moja nitakutembelea shambani kwako.
@violetcarroll49304 ай бұрын
Ah mzee umekaa vizuri Mungu akubariki sana
@LoitushulYamat10 ай бұрын
Kweli mzee pinda we ni tofauti sana tutakuja kujifunza kwako baba yetu udumu na upendo wako
@BashiruDauda-e1n10 ай бұрын
Mzee mugu hakuogeze maisha mema hira naomba unique namm nimeaza na kuku sabini nitume kiripu yangu
@omtuya58929 ай бұрын
Huwa namkubali sana huyu mzee. Very simple, cooperative na yuko available kwa yeyote kujifunza
@patricknamangoa64689 ай бұрын
That's Mzee Pinda, humble and caring. May God continue to strengthen you Mzee.
@mamachris68119 ай бұрын
Wewe kweli ni kiongozi,unaonyesha kwa viyendo Ulichopata kwa halali,umekiwekeza Hongera sana
@PaskaliCharles-pz8ds10 ай бұрын
Hongera sana mzee
@igihamanuel110 ай бұрын
Hongera sana Mzee Pinda. Umekuwa mfano mwema, ubarikiwe
@kambamazig02024Ай бұрын
Mizengo, we miss you! You are a model for leadership in Tanzania.
@LeornadKiyungi10 ай бұрын
Hongera sana Mzee wetu.
@elineemamndeme563410 ай бұрын
Safi sn baba hongera
@emmanuelmchome30719 ай бұрын
Mh. M.K.P.PINDA Umeonesha mfano mzuri Sana Bwana akubariki Sana. Nimejifunza Sana.
@claveryamede8919Ай бұрын
Ama kweli kilimo ni uti wa mgongo wa maisha ya mtanzania
@AlexJunior-ls4ul9 ай бұрын
Saafi sana mheshimiwa Acha na sis tujifunze
@NdyeshoboraHabib9 ай бұрын
Mzee Linda Mnyezi Mungu akusimamie!!!!
@AllySalum-j9y4 ай бұрын
Ongeraaa babaaa umenisisimuaaa
@amanmyolo5359 Жыл бұрын
Hongera baba mungu akutunze frm mwanao KISIWA BENEDICTO PAULO
@jeremiaaugustino71872 ай бұрын
Tatizo sio Bank ishu unawaelimisha na kuwaelekeza nini wafanye.................wengi vichwa vitupu
@DONALDMTOWE-u9g10 ай бұрын
Mzee pinda hongera sana,Ila mikopo ya halmashauri madiwani wanazila,wanavikundi vyao.
@ramadhanmahongole92932 жыл бұрын
hongera sana baba yetu Mizengo pinda kwakutupatia elimu ya kujitegemea
@edithmushy10102 жыл бұрын
Hongera baba. Napenda kilimo na nitafanya kwa ukubwa wa uwezo wangu. Natafuta tu Kama heka 5. Sehemu yenye maji na rutuba
@rafaelikimati42769 ай бұрын
Safi sana Mkuu napenda sana hii kazi ila mitaji tu unanisumbua mimi ila naipenda sana hii kazi mimi kiukweli
@paulm.kaponda23009 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wetu Pinda.
@ezrakiduko61359 ай бұрын
Salut pinda
@innocentlongino5664 Жыл бұрын
Hongera sana
@lucymarandu47909 ай бұрын
OO wonderful inafutia kilimo fresh kina Tisha. I wish vijana wangejifunza na kuwezeshwa, wanywa gongo na madawa ya kulevya wangejiajiri wenyewe.
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Usijeukalogwa,masoko hakuna utaumia na kilimo wanafaidi madalali
@mudhihirumikidadi60664 жыл бұрын
Mzee hongera mzee naomba kukuwakula sikukuu
@ezekieljacob57959 ай бұрын
Acha omba omba
@GodfredAlfredNgarama10 ай бұрын
Hongera sana mzee pinda tunapenda wazee aina yako sio wazee wasiokubali kustafu wanauchu wa madaraka mpaka kufa kwao
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Kilimo kila mtu anapenda,masoko yako wapi??tumeishia kuteketeza mitaji yetu tu tunaumia sana.
@mwerindejackson5001 Жыл бұрын
Hongera mzee ww kama muizraheli vile karibu same
@marcokaroje898011 ай бұрын
Wewe nakuhabarisha unasifia usichokijua wewe ni miongoni mwa wale wanaopenda kutawala wajinga ambao wanaendelea kupungua hapa TZ vyuo vikuu walivyovianzisha,sekondari zakata watu wanasoma uraia na ndiyo somo mhimu katika kuwatambua hawa na jamaa zetu halafu unaendelea kwenye kundi LA kusifia kwa taarifa utakuwa umechelewa utakosa hata kujisaidia haja ndogo itakuwa kwu au nachafua mazingira kwa jirani yako hiyo utaijua uzeeni sijui kama unakaa kwako au umepanga hawataki katiba mpya kwa sababu hata Mali za Watanzania kama viwanja vya mpira wa ni Mali ya chama chao wakati Watanzania wote wafanyakazi, wakulima , ndiyo waliojenga miundombinu hiyo bila kujua, bila walojenga kutambua kuwa wanatakiwa kujua kuwa ni Mali ya Watz siyo ya Chama cha siasa kama alichokitumikia hiyo mzee? Kuwa chanya kama unajitambua
@johnsaningo2262 жыл бұрын
Great mind
@mwitawambura25489 ай бұрын
Hello Peter, Leo nimekuona bhana nakumbuka kipindi hicho ukiwa spika wa bunge la chuo flani Keep it up brother una kiu ya uongozi
@joycebenjamin60179 ай бұрын
Ni kweli kbs degree ni cheti,wasomi ndo wawekezaji wazuri sana hapa New jersey👍🏻👏🏽
@josephineseruhere-cv4wc10 ай бұрын
Wewe ni malaika ulietumwa DODOMA Mungu akubariki
@KaijageEvodius7 ай бұрын
safisana mzeepinda
@andreamathew45859 ай бұрын
Tutapata kazi kiongozi
@agastokissatu26679 ай бұрын
.......mwamba kama mwamba kweli kweli....!!!nadhani ni viongozi wachache wanaoweza kusema hapana(no) mheshimiwa
@shukranikikoti52612 жыл бұрын
Congrats
@josephnjella49192 жыл бұрын
Hongera mzee nitakuja nikusalimia
@tanzaniampyakaulimbiu35532 жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@charlesmwambinga43559 ай бұрын
Asset Yetu Ya Taifa....mkuu kamtaji ndo Shida vijana tunapendaa kilimo na ufugaji..ila vijana tuwezeshwee
@TENGAMSOGOYA10 ай бұрын
Hongeraa sanaaa mheshimiwaa natamani Sanaa niweee kamaaa wew
@hassannjiku11 ай бұрын
Mzee pinda umenipa somo zuri nn nimepata pa kujifunza
@VincentKija9 ай бұрын
Aendelee kuwekeza kiongoz hana mambo mengi huyo.
@PatrickMapinduzi-q5d10 ай бұрын
Tatizo kubwa kwenye nchi yetu wanasiasa wanatuambia vujana twende kijijini tukalime kijana ataanzia wapi Hana pesa ya mtaji hana kila kitu ataanzia wapi,,wao wakiwa madarakani wanachuma pesa nyingi baada ya hapo wanaanzisha miradi mikubwa so vijana tufanyeje
@mtanganyikahalisi42869 ай бұрын
Kijana anamiliki simu ya Milioni mbili yupo mjini analalamika Hana mtaji anataka Serikali impe mtaji halafu hiyo simu haina kipato chochote inachomuingizia Zaidi ya kuji selfie Na kuwatambia watu unamiliki iPhone macho matatu mtasubiri sanaaaa
Saiv unKUMBUK na kukosea lkn vip kuhusu wapigwe tu ,AANA hakuna namna
@josephmpanda22372 жыл бұрын
Naomba Mimi ni mstaafu nilipenda kujifunza kuhusu kilimo na ufugaji ni namna gani naweza fika hapo Kwa muheshimiwa Waziri Mkuu mstaafu Mimi Niko mwanza Nina mapenzi makubwa na kilimo naomba kupata utaratibu
@Egbethelneus-wj3bq9 ай бұрын
Tanzania siyo maskiniii ila watanzania tumekosa maalifa
@BashiruDauda-e1n10 ай бұрын
Mm mueshimiwa niko bukoba naomba msaada kwako nimeaza kufunga kuku hila sina mtaji naomba msaada kwako nitashukuru kwa kunifikiria
@ezekieljacob57959 ай бұрын
Duuu jamani watu tunaomba bila aibu...au Pinda katenga fungu la kugawa ? ,tuambizane
@amanilupembe97889 ай бұрын
Baba unajua wambie hao wanataka kukaa ofisini tu kuchezea kompyuta tu
@HajiMakame-m8l10 ай бұрын
Wakuu nyie wa nchi mnaogopa njaa Sanaa nyie wapiga dili sekalini nyie mmejipanga Sanaa nyie mapema mnachukua chakwenu
@judicalosika76422 жыл бұрын
🇮🇱Mzee Pinda NAKUPA HONGERA SANA SANA. INAONESHA KABISA TANZANIA SIYO NCHI YA KUWA NA NJAA.
@VENANCEAUGUSTINO9 ай бұрын
Kulimo pesa buka pesa ngumu
@mabondolawrence18129 ай бұрын
Waliochuma mali kwa halali wanadhihirika pasi shaka.
@tanzaniampyakaulimbiu35532 жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@nixonjohnson49082 жыл бұрын
Mmeiba vya kutosha sasa mnatufanyia msigizo ya ufugaji ..mbona haikuwa kabla ... kula hela kifo kipo karibu acha kujisemesha ..shida dodoma maji wkt ulikuw wazir mkuu
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Af tunadanganywa et vijana changamkieni fursa,kwanza mitaji vijana hawana,masoko hakuna,madalali ndo wanafaidi mkulima anaumizwa nchi hiiiiii
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
ACHENI kutukana watu
@babuloliondo742 жыл бұрын
Umejirimikisha viyakutosha mbwa wewe sura kamatako nyambavu zako wewe
@martinegumbo72252 жыл бұрын
Hivi kwanini watu mnapenda sana kutukana?,unadhani utaweza kujikwamua kiuchumi kwa kutukana?Tujifunze kutumia lugha za staha.
@ismailmdoe8616 Жыл бұрын
Mzee uwekezaji uwo niwagarama huwezi kumshauri mtu asiekua na kipato afanye uwekezaji uwo..hata ww umeweza kufanya baada ya utumishi.
Mbwa mkubwaaa wewe Tena ningekuona karibu yangu ningetanguliza kuzimu wewe
@salmanmagwe261210 ай бұрын
Mzee pinda alikuwa kiongozi mkubwa na ni mtu mzima kiumri,na ni mwekezaji mkubwa wa ndani,hufai kumtukana na kumkosea adabu mzee km huyu.jufunze tabia njema na namna ya kuwekeza kwa huyu Kiongozi badala ya kumtukana