FAHAMU KUHUSU WATU AMBAO HAWAWEZI KUAMBUKIZWA UKIMWI

  Рет қаралды 267,669

Afya Tips

Afya Tips

Күн бұрын

Kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya UKIMWI (VVU) na hawawezi kuona dalili za UKIMWI hata virusi vya UKIMWI vikiingia mwilini mwao.
Tazama video kufahamu zaidi

Пікірлер: 245
@makuach-u6f
@makuach-u6f 24 күн бұрын
Wenzangu na mimi mko wapi group 0+ kinga zetu ziko more powerful sijawai kwenda hospital wala kuumwa Mungu ni mwaminifu kwangu siku zote Amen
@SifunaIsaac-h3y
@SifunaIsaac-h3y 15 күн бұрын
😂😂 hata mm hushangaa kwa hili swala la kutogonjeka
@ZarinaMziray-gl2vl
@ZarinaMziray-gl2vl 8 күн бұрын
Oyooooo asante mungu
@IreneWanyonyi-ul5yd
@IreneWanyonyi-ul5yd 3 ай бұрын
Ukweli kabisaa Mimi pia Mme wangu aliaga miaka kumi na mbili iliyopita but nimepimwa mara kwa mara sina huyu mungu ni mtetesi kwa wanyonge
@johnoduor9370
@johnoduor9370 2 ай бұрын
Wewe ni carrier
@thomaspeter2540
@thomaspeter2540 2 ай бұрын
@@johnoduor9370naomba unieleweshe kuhusu carrier
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 2 ай бұрын
Exactly, Afrika tupo wengi tu kuliko hata hao wazungu
@janemumbua4683
@janemumbua4683 2 ай бұрын
God have mercy on you my sister
@TabizaAa
@TabizaAa Ай бұрын
im one of those ppo...me nmewai kuwa na mtu ako na ukimwi kabisa but akuna vle nmegonjeka na iyo ilikua 2012 nkiwa class 7 mpaka sai naitwa mama na adi nko gulf na suna chochote...aki mungu nu mkubwa..nko blood group O+ I thank God for that 🙏🙏🙏
@AnnaChambo-m4c
@AnnaChambo-m4c Ай бұрын
Nina amini hilo hata Tanzania yupo ambae ilitokea wanawake aliotoka nao baadhi walikufaga, na hata mke wake, lkn yeye aliumwa sana, tukajua na yeye amepata hilo tatizo, tulipoenda kumpima, ikaonekana hana hilo tatizo, hatukuamini, lkn mwisho wa siku Daktari alitupa maelezo kama hsya!! Oooh Mungu atubariki na wengine tuwe hivyo hivyo, atuepushe na maradhi yote makubwa ns mabaya, Amen.
@GodloveAloyce-qv2lb
@GodloveAloyce-qv2lb 28 күн бұрын
Ni kweli kuna watu wapo
@marryafam2842
@marryafam2842 3 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe 100%
@beatricekitapk2265
@beatricekitapk2265 6 ай бұрын
Nakubalii saana mi niko Tanzania, ila huyu Mungu aitwe Mungu tuu😢🙏🙏 mi niling'atwaa na pia nilishea mara mbili na mtu na pia kuna mifano ya watu pia wawili
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@Until835
@Until835 2 ай бұрын
Ulijisikiajee siku unagundua ?? 😅😅😅😅😅😅
@GreysonGasper
@GreysonGasper 2 ай бұрын
Allah akbar
@christabelimonje4964
@christabelimonje4964 6 күн бұрын
Nakubaliana na ww 100% juu nmewakua kua moja wao.wacha mungu apewe sifa
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 3 ай бұрын
Ugonjwa ulitengenezwa na binadamu. Mungu pia kaweka kinga yake kwa amtakae ndo ivyo amna ajabu tungeishaisha wote afrika
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@franciscanyangayi1269
@franciscanyangayi1269 2 күн бұрын
True 💯
@GodloveAloyce-qv2lb
@GodloveAloyce-qv2lb 28 күн бұрын
Ni kweli kabisa wapo watu wanamna hiyo.
@tabutabu8900
@tabutabu8900 16 күн бұрын
Group O mpo wapi🤲🤲
@LinaJoseph-t4t
@LinaJoseph-t4t 13 күн бұрын
Kwan group o.ndo hawapat?hiv?
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante,Ila ata hapa wapo,Kuna mwanaume ameishi na mwanamke mweny virus zaidi ya miaka 13 na ajaambukizwa
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@MussaEnock-x8o
@MussaEnock-x8o 17 сағат бұрын
Nikweli na Tanzania wapo wengi tu
@peterrobinson7093
@peterrobinson7093 2 ай бұрын
Tunaomba reference + evidence ya hao watu kwenye hizo nchi ulizotaja plz?
@Dickson-v1z
@Dickson-v1z 5 күн бұрын
Inachukua mda gan virus vya ukimwi kusababisha ukimwi?? please🙏
@johariNgeleza
@johariNgeleza 20 күн бұрын
Mm nimezalisha mwenye ukimwi kwenye kupimwa mm sijakutwa na nilikaa nae miaka miwili adi najua kuwa ni mwasilika adi Leo mm napima Kila baadae ya miezi mitatu
@user-ig1ch4gy7s
@user-ig1ch4gy7s 4 ай бұрын
No substances! But well spoken
@CatherineCatjoh
@CatherineCatjoh 4 ай бұрын
Mm navidonda mdomoni na kimoja kinauma sna km mito ni kipele na vidonda vipo vingine juu ya ulimi lkn nishapima km mara 2 sna kitu sna maambukizi yoyote na nasumbuliwa na madonda niliumwa mda mrefu sna vidonda vya tumbo km mwezi je vidonda ni vya homa au
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@faithwambua3350
@faithwambua3350 4 күн бұрын
Ukweli mtupu
@user-sm3up2fm5v
@user-sm3up2fm5v 11 күн бұрын
Yaaan naamini kabisa
@KennedyOwinyo
@KennedyOwinyo 2 ай бұрын
Je kati ya vikundi vya seli za Damu O,A,AB, B Kuna isiyo weza kuambukizwa kwa uraisi?
@adinaneyassinefelicianofel8110
@adinaneyassinefelicianofel8110 2 ай бұрын
O
@GreysonGasper
@GreysonGasper 2 ай бұрын
Hata mi naskiaga hiyo kitu
@JamilaMbau
@JamilaMbau 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@erastoonesmo6109
@erastoonesmo6109 4 жыл бұрын
🤔🤔
@RoseMeri-ce1ns
@RoseMeri-ce1ns 8 күн бұрын
Ukweli
@chantalndayishimiye9233
@chantalndayishimiye9233 4 ай бұрын
Nimekuunga mkono nina ushuhuda
@sufianially8497
@sufianially8497 Жыл бұрын
Ni kweli
@erickkagisa833
@erickkagisa833 3 ай бұрын
Nilifkr binadam wote ni sawa kumbe hamna!!
@emwanuelmapalala8099
@emwanuelmapalala8099 2 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@user-hy7sy5fo7l
@user-hy7sy5fo7l 9 ай бұрын
Je kama mtu amepata maambukizi ya vvu japo vipimo havijaonesha kuwa mtu ana vvu ,akijamiana na mtu mwingine anaweza kumwambukiza vvu?
@dadollary
@dadollary 3 ай бұрын
Hapana mpka awe na copies 50 ndo anaweza
@HappyFamily-qz9up
@HappyFamily-qz9up Ай бұрын
Copies 50 ndo nn
@user-gq7ys5yh2y
@user-gq7ys5yh2y 6 ай бұрын
Ukikadiriwa kuwa utaupata haijalishi upo Sweden au Zimbabwe utaupata hayo ni makadirio ya muumba kondom haizuii wa huna ujanja wa kukwepa ikiwa umekadiriwa kuupata. Tumuombe msaada wa ulinzi muumba wetu
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@RonaldMuongere
@RonaldMuongere 3 күн бұрын
Ntajua nko hiyo kitu
@olivaluseno9057
@olivaluseno9057 7 ай бұрын
Ukitumia condom alafu ipasuke ,Na ukuwe umemwaka spams utapata kwa huyo mtu mwenye ako Na viruses
@user-fe8tx5bo2f
@user-fe8tx5bo2f 2 ай бұрын
Doctor mm nimekwisha tembea na wanawake zaid ya watatu na Kila napo Pima sina
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 2 ай бұрын
Ko we ni mmoja wao
@user-ux1mq4zq5m
@user-ux1mq4zq5m 2 ай бұрын
Kuna watu hata wakitomba hawana huo ugonjwa hta...🇰🇪🇰🇪
@robertphilip385
@robertphilip385 29 күн бұрын
Wacha banaa
@ziadamapunda-yk8qi
@ziadamapunda-yk8qi 2 ай бұрын
asante
@saidmatikti2783
@saidmatikti2783 3 жыл бұрын
Nishawahi kabisaaa kuckia Habari hiiii
@HabibaIslam-rf4ev
@HabibaIslam-rf4ev 7 күн бұрын
Mimi ninaye nduguyangu amezanamutu ana ungojwa wawukimwi ilayeye muzimakabisa
@lutandulabahati4159
@lutandulabahati4159 Жыл бұрын
Inachukua mda ngan kuonyesha kuaunamaabukiz baadaya kutoka kushiliki na muasilika
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@segolinetingo2916
@segolinetingo2916 15 күн бұрын
Kuanzia miez 2 na kuendela
@user-sd5zf6fz4v
@user-sd5zf6fz4v 2 ай бұрын
Inawezekana mmoja mm hapa
@user-mu9cf1dj2z
@user-mu9cf1dj2z 21 күн бұрын
UWONGO saana.. mutufasiriye vizuri sana kusudi tuelewe. Kwa nini sasa munaanza towa siri zenu baada ya kuawangamiza maelfu ya watu wengi sana duniani ? Zaidi sana wa afrika ndugu wetu ? KWETU CONGO DRC TAYARI KUNA DAWA YAKUPONYA UKIMWI . MUJE WOOTE WA AFRIKA MUPONYWE MAGONJWA YA UKIMWI KWA GARAMA NDOGO SAANA. AHSANTE
@elizasulle775
@elizasulle775 2 жыл бұрын
Mmmmmh 🤔🤔🤔🤭
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 ай бұрын
Siku ya kufa ikifika utakufa tu,Ata ukae ndani ya chupa, nikumuachia mungu tu
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI 22 күн бұрын
Mbona unatoka nje ya mada mkuu?
@JasmineDoa
@JasmineDoa 6 күн бұрын
Hata Tanzania tupo
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 3 жыл бұрын
jaman
@ErickMollely-kp6jq
@ErickMollely-kp6jq 2 ай бұрын
Atari zana mungu awalinde watoto wake hakuna jis?
@AshuraChamwana
@AshuraChamwana 2 ай бұрын
Nikweli ninaushuhuda. Kaka
@andreamkono8028
@andreamkono8028 3 жыл бұрын
Hiii
@arcadomalik54
@arcadomalik54 3 ай бұрын
Wanotumia dawa wanaweza kuambukiza
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598 9 ай бұрын
kuna watu hawawezi kuaota ukimwi. mfano watu wa group la damu O- HAWA NIWACHACHE PIA DUNIANI yani. ningumu wana damu kali
@jgjf701
@jgjf701 3 жыл бұрын
Niko na swali mm kama nilipima na mpenzi wangu nikapata tuko sawa kumbe yy alikuwa na mwengine ambae ana virusi je mm Niko hatarini ama coz nilimpima nikampata yuko sawa
@magynzioka1122
@magynzioka1122 10 ай бұрын
Msijamiane Hadi miezi mitatu hihishe uku mkirudia vipimo
@GwakisaMwaisanga-th7uz
@GwakisaMwaisanga-th7uz 2 ай бұрын
Umuache maana huyo ni malaya
@abuuselemani6043
@abuuselemani6043 2 жыл бұрын
Hivi xax unaweza kujijua vip kama wewe cell zako azishiki maambukizi
@segolinetingo2916
@segolinetingo2916 15 күн бұрын
Huwez juwa jilinde
@Boaz-hr9pf
@Boaz-hr9pf 2 ай бұрын
Hao watu ambao hawana izo sehemu za kutunza virus ili baadae waende kushambulia cells wao wameumbweje au nin kipo hadi wawe tofauti na wale ambao wana izo sehemu za virus kujihifadhi before kushambulia cells?
@AnnaJeremia-pz7ux
@AnnaJeremia-pz7ux 3 ай бұрын
Danganya watu sasa
@rasmgz2367
@rasmgz2367 14 күн бұрын
Lakini virus vimeingia..!!!! Unasema awezi kuzaliana.
@happyjimmy7361
@happyjimmy7361 2 жыл бұрын
Nikweli Tanzania tupo
@masaganyambada4306
@masaganyambada4306 Жыл бұрын
Kwel happy au utani
@SANGOSAIDY
@SANGOSAIDY 2 ай бұрын
Achaumbea brother huoni Toto Naupuuzi ukimwi niukimwi
@segolinetingo2916
@segolinetingo2916 15 күн бұрын
Hadanganyi niliwahi kufanya kaz sehem flan ..wakaja wenza mke ana mimba ya 3 ..mume anao mke hana.baada ya kufuatilia mume alipata km miaka 7 iliyopita mke hana
@davidmguji4409
@davidmguji4409 Ай бұрын
Je, hapa Tanzania wapo watu wa aina hii. Ni vipimo gani vinavyogundua kuwa huyu mtu hana receptors yaani sehemu ya kujishikiza virusi vya ukimwi. Je, kuna programu ya serikali ya kuweza kufanya sensa kuwajua hawa watu hapa kwetu tz
@SANGOSAIDY
@SANGOSAIDY 2 ай бұрын
Tena achakabisa upuuzihuo
@hellaskarras1567
@hellaskarras1567 4 ай бұрын
sio nchi z ulaya tu hata duani kote wapo nikulingana na group ya damu aliyonayo huyo mtu wapo wote duani sio ulaya tu acha kudanganya watu
@segolinetingo2916
@segolinetingo2916 15 күн бұрын
Hakuna cha group km 0 yako ina receptor ambazo kirus anafit kwisha kazi
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 2 ай бұрын
Acha uoga mwandishi, Afrika ndio tupo wengi watu wa aina hii ikiwemo namImi, tatizo mnatumia takwimu za wazungu wanawatisha.tu, mbona Yesu alikuwa mwafrika lakini tukafanganywa alikuwa mzungu? Amkeni
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI 22 күн бұрын
😂😂kumbe yesu akiku mwafrica?
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI 22 күн бұрын
Wazungu sio watu wazur wajua
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI 22 күн бұрын
Naskia hata mtu wa kwanza adamu alikua mweusi
@herminachrispas888
@herminachrispas888 3 жыл бұрын
Ukilomance na muathilika Kuna uwezekano asilimia ngapi kuambukiza? Vvu?
@youngmoneyyoungmoney3487
@youngmoneyyoungmoney3487 Жыл бұрын
Kuna asilimia chache kwa sbb inategemea kama wote hamna michubuko mdomoni ambayo inatoa damu
@emanuelconstantino7251
@emanuelconstantino7251 Ай бұрын
Je mwenye gulupo o inakuweje
@user-lx3zm3cq3n
@user-lx3zm3cq3n 4 ай бұрын
mm nakauka koo
@satwanthoogan6746
@satwanthoogan6746 3 жыл бұрын
Wanasema ukimwi unapata kwa mchubuko, mfano ukiwa unafanya mapenzi... Sasa ukipaka mafuta wakati wa Kufanya mapenzi huwezi kupata ukimwi?!
@smarty1064
@smarty1064 3 жыл бұрын
we jichanganye tu uone balaa lake
@zuriathdasilver810
@zuriathdasilver810 3 жыл бұрын
@@smarty1064 hhahahahaha
@smarty1064
@smarty1064 3 жыл бұрын
@@zuriathdasilver810 anajitoa ufahamu ngoja ajichanganye tumpelekee matunda hosp
@GodfreyByamungu
@GodfreyByamungu 2 жыл бұрын
@@smarty1064 mwambie 😂😂😂
@sulainanamkasa165
@sulainanamkasa165 2 жыл бұрын
Mmh
@DamasKamani
@DamasKamani Ай бұрын
Kwanini wasioambukizwa wawe ni wasicandinavia wengi na sio wengine
@happynelson1180
@happynelson1180 2 жыл бұрын
Ni kweli kuna watu hawawezi kuambukizwa ukimwi lakini hao watu hawawezi kujijua na kuwa baadhi ya hao watu wako nchi za scandnavia inaweza kuwa kweli maana kwenye hizo nchi hazina maambukizi mengi kama Sweden wenye ukimwi hata 10 000 hawafiki
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 5 ай бұрын
Hakuna maambukizi mengi kwa sababu ni watu wastaarabu mambo ya ngono hawana muda nayo.
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y Ай бұрын
Kabisaa! True..Africa ngono wamefanya kama chakula..Tena wanakula hata kama hawana njaa!
@wiseproent8661
@wiseproent8661 23 күн бұрын
Kule maambukizi Ni machache kwasababu jamaa hawana utamadunj wa kutahiriwa
@fatumashehe361
@fatumashehe361 12 күн бұрын
Durupu o
@mikeotada1690
@mikeotada1690 Ай бұрын
Mbona wawe ulaya tu
@user-sj6rh6xl7t
@user-sj6rh6xl7t 2 ай бұрын
Hata mimi niliwai kuwa napenzi mwenye ukimwe lakini sikupata na yeye alikufa mwaka 2002
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHyknXduhq6Dec0si=X5wv4XdV2_e2GQF_
@scolaodeyo8110
@scolaodeyo8110 Жыл бұрын
Je, kuna kipimo cha kujua kama una receptance au huna???
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 5 ай бұрын
Kwani hao wa Scandinavia waliwatambuaje Ina maana Kuna vipimo vilifanyika.
@DonDallas
@DonDallas 2 ай бұрын
Unataka kujua upige Tako bila stress
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Жыл бұрын
Najuaje mtu ana hizo seli
@user-kz1qh4ds6p
@user-kz1qh4ds6p 14 күн бұрын
Wale ÷GROUP O
@user-oz7fm3ss5r
@user-oz7fm3ss5r 2 ай бұрын
Mimi nikona swali,ukilala na mtu mwenye akona ukimwi,na akose kukumwagia,ni lazima upate ama
@JumaAlly-zl1ze
@JumaAlly-zl1ze 2 ай бұрын
Ukimwi haupat kwa kumwagiwa una upata mchubuko pale mnapo kuwa mnajamiana au kushea vitu vyenye incha kali na mtu alie hasirika
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 3 жыл бұрын
Asee sijapata kuona jitu jiongo km ili da
@zuriathdasilver810
@zuriathdasilver810 3 жыл бұрын
Hahahahaha
@rukaiyamkiwa7865
@rukaiyamkiwa7865 2 жыл бұрын
😄
@celinejustine3930
@celinejustine3930 Жыл бұрын
Huu ni ukweli moja wapo ni mimi.... ila naona si kisayansi. Nahisi kuna nguvu ya mungu hapo. Kma ni ukimwi ningeshapata ila ni nguvu kubwa ya mungu nipo nayo. Siamini kma kisayansi uchomwe sindano ya mtu wa ukimwi na usipate. Ninachoamin ni nguvu ya mungu
@mfilipinomshana2405
@mfilipinomshana2405 4 жыл бұрын
Hivi kweli kondom inazuiya ukimwi?
@afyatips
@afyatips 4 жыл бұрын
Mfilipino Mshana ndio ikitumika kwa usahihi huwa inazuia
@abuuaiman9575
@abuuaiman9575 2 жыл бұрын
ungeelezea inatokana na nini mpaka asipate huku ukilinganisha na group yake ya damu au uongeze maelezo kindani zaidi kwani baada ya kusikia hii audio yako ndo mtu anazid kuwa na maswali meng
@scolaodeyo8110
@scolaodeyo8110 Жыл бұрын
Haitegemeani na group la damu! Kutokuwa na hyo receptance ni uumbaji wa Mungu tu
@omarijuma4115
@omarijuma4115 3 жыл бұрын
Doctor Mimi huwa nawahi kuis njaaa afu mwili wangu unachemka chemka Sana yaani yaani takuwa na na dalili zipi
@sherabomar6681
@sherabomar6681 2 жыл бұрын
Hahahahaa ww sasa unatak kujitisha, some time mwili unakua hivyo pale unapotaka kunenepa inatokeaga sana hivyo na kaucngz flan iv.
@MomEvance
@MomEvance 10 ай бұрын
Kapimw
@prettyfetty3731
@prettyfetty3731 8 ай бұрын
​@@sherabomar66814:20
@manchidomungik9865
@manchidomungik9865 2 ай бұрын
Nenda pima sukari ingawa sio dalili pekee ya sukari lakini kuna watu wamewah gundulika kwa dalili kama ya kwako
@TheePwaniFamily
@TheePwaniFamily 2 жыл бұрын
Huu urongo mtupu... Ukipatikana kuwa wewe huwezi kupata ukimwi inamanisha wewe ni carrier
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 Жыл бұрын
Jee ukingwatwa mtu mwenye ukimwi unaweza kupata
@faridasallum9572
@faridasallum9572 2 жыл бұрын
Je ukigusa dam ya mwasirika unaweza kupata
@topaviator
@topaviator 3 жыл бұрын
Dfh
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de Жыл бұрын
Je kwetu africa hao watu hawapo??
@sarabura8933
@sarabura8933 4 ай бұрын
Na zani ni MUNGU anatulindaga jamani mm niliishi na mgonjwa tena alikuwa anakoowa sana nimeishi naye miaka mitano na tulikuwa tunajubuana ila na mshukuru MUNGU sikupata nikaja nikaanza mausiano na mwengine tena na yeye alikuwa umekolea sana lakini MUNGU alinilinda jamani tena yule wa mala ya kwanza nilimpenda sana ataakawa anajisikia vibaya yeye anao mm sina nikaanza kufanya makusudi ili niupate na yeye alizike ikashindikana mpka badaye nilipo safili ndio tukaachana kwaiyo iyo ipo jamani MUNGU wetu ni mkubwa sana mm amenilinda kama ni yamini tulikula lakini wapi namshukuru MUNGU kwa kunilinda
@andreamkono8028
@andreamkono8028 3 жыл бұрын
Hv ukifanya namtu mapenzi hujavaa condomu utatumia mda gani upate ukimwi
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 2 жыл бұрын
Kama unae fanya nae ameathilika wewe ukichubuka tu na kugusa Yale majimaji au Damu basi itakuwa umeathirika Cha kukuokoa ukiona una wasiwasi na ngono mliyoifanya na humwamini uliye fanya nae wahi hosipitali kabla ya massa 72 hayajapita.
@Hunchotreez
@Hunchotreez Жыл бұрын
Asa utajuaje kama umechubuka?
@FuraziaPaul
@FuraziaPaul 9 ай бұрын
Ivi kupata siadi ote mchubuane au
@mwinyimadk.longwa6327
@mwinyimadk.longwa6327 4 ай бұрын
Wiki tatu tu
@suleimanabdallah5088
@suleimanabdallah5088 2 жыл бұрын
Uwongo acheni
@afyatips
@afyatips 2 жыл бұрын
Kuna uongo gani hapo?!
@happyjimmy7361
@happyjimmy7361 2 жыл бұрын
Nikweli weeee
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 Жыл бұрын
usimtukane mamba kabla hujavuka mto
@elizasulle775
@elizasulle775 2 жыл бұрын
Mbn Kama sikuamini vile na somo lako silielwi
@segolinetingo2916
@segolinetingo2916 15 күн бұрын
Kasome namna kirus kinaingia kwenye cell utaelewa
@milkakeya5993
@milkakeya5993 3 жыл бұрын
Na mtu akiwa na ugonjwa wa ukimwi ni lazima atambukiza mtu ana kuna wale hawawezi ambukiza mtu
@afyatips
@afyatips 3 жыл бұрын
Mtu ambaye hawezi kuambukiza UKIMWI ni yule ambaye ametumia dawa vizuri na kufanya virusi vipungue kiasi kwamba hata akienda kupima virusi vinakuwa havionekani kwenye damu
@joyceimani539
@joyceimani539 3 жыл бұрын
Vipimo vyote havionekan??? Au kipimo Cha pili ndio hauonekan???
@milkakeya5993
@milkakeya5993 3 жыл бұрын
@@afyatips Asante sana coz mm nko nazo but huwa siambukizi mtu na ni muda tuko wote Kwani sasa hata tuko na mtoto naye but Jamaa anajua mm nko nayo
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Жыл бұрын
@@milkakeya5993 Kweli????
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y Ай бұрын
Uongo..
@SalumPius-xw4dr
@SalumPius-xw4dr Жыл бұрын
Kuna uwezekano wa kukakua mwili wangu una receptors au hauna
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y Ай бұрын
Ili iweje?
@monicerz
@monicerz 4 жыл бұрын
🤒🤒
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
Utajuaje km auwezi kuambikizwa vvu
@user-is2vr2xo6m
@user-is2vr2xo6m 4 ай бұрын
Unabidi ujaribu na mutu mwenye ukimwi
@gracejonh4022
@gracejonh4022 4 ай бұрын
@@user-is2vr2xo6m jaribu na wewe
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y Ай бұрын
​@@user-is2vr2xo6m😂😂😂😂😂
@user-ic7felix
@user-ic7felix Ай бұрын
Kiss ndio mbaya lakin mboro hakuna ,, sperm haina ungochwa
@HellenMdogo-yj6bq
@HellenMdogo-yj6bq 2 ай бұрын
In boxx nikwambie
@angelurioh5383
@angelurioh5383 2 жыл бұрын
Mume wangu ana ukimw na kumuacha cwez nifanyeje
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
Watu wengine bwana akili zenu zimeingia unga wa muhogo! 😛
@sherabomar6681
@sherabomar6681 2 жыл бұрын
We endelea kumpa mzigo tu mtafanana haitaleta shida
@neemaegnatio7725
@neemaegnatio7725 2 жыл бұрын
Usimiache mume wako kisa muathirika , maana aujui kesho yako awo wanaokushauri cjui kama Afya zao wanazijua jinsi zilivyo
@jamilatamba2877
@jamilatamba2877 2 жыл бұрын
Usimuache fuata maelekezo tu mtaishi
@daudidaudi5342
@daudidaudi5342 2 ай бұрын
Nina mademu wawili na wote wanao rkn Huwa nakula kavu mwaka wa 5 huu
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y Ай бұрын
Endelea! Ongeza wengine...
@deeneejm5846
@deeneejm5846 Жыл бұрын
Na wale weny group 0 wanawwza pata
@afyatips
@afyatips Жыл бұрын
Ndio anaweza kupata
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 2 жыл бұрын
Mboni ueleweki
@miurenokomol6172
@miurenokomol6172 2 жыл бұрын
Je unaweza pata ukimwi ata kama mwanaume yeye hakumwaga ndani🤔🤔
@dadollary
@dadollary 3 ай бұрын
Ndio dada
@tboymanyota
@tboymanyota 3 ай бұрын
Darasa la ngapi?
@wiseproent8661
@wiseproent8661 23 күн бұрын
Inasadikika watu hawa wwngi wao ni group 0- na 0+
@segolinetingo2916
@segolinetingo2916 15 күн бұрын
Hapana km receptor kirus anaweza kujishikiza unapata
@maryamkokani4683
@maryamkokani4683 2 ай бұрын
Ukiwa 0 positive sirahisi kupata ukimwi.tupo tele africa kwataarifa yako
DALILI ZA MWANZO ZA HIV NA UKIMWI
10:39
bongoclassafya
Рет қаралды 58 М.
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 13 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
AINA ZA MBO,OO NA UTAMU WAKE
6:34
Betty Chanzi katuku
Рет қаралды 240 М.
DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
9:26
MASOMO YA KARNE
Рет қаралды 13 М.
ANIKA MAJI JUANI upate baraka za ULIMWENGU, milango ya mafanikio itafunguka
14:40
DALILI ZA GONO (KISONONO/ GONORRHEA)
5:13
Afya Tips
Рет қаралды 61 М.
WALIMDHARAU KWASABABU YA KINYAGO KUMBE NI MTOTO WA MFALME | MOVIE KWA KISWAHILI
28:46
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 13 МЛН