Kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya UKIMWI (VVU) na hawawezi kuona dalili za UKIMWI hata virusi vya UKIMWI vikiingia mwilini mwao. Tazama video kufahamu zaidi
Пікірлер: 245
@makuach-u6f24 күн бұрын
Wenzangu na mimi mko wapi group 0+ kinga zetu ziko more powerful sijawai kwenda hospital wala kuumwa Mungu ni mwaminifu kwangu siku zote Amen
@SifunaIsaac-h3y15 күн бұрын
😂😂 hata mm hushangaa kwa hili swala la kutogonjeka
@ZarinaMziray-gl2vl8 күн бұрын
Oyooooo asante mungu
@IreneWanyonyi-ul5yd3 ай бұрын
Ukweli kabisaa Mimi pia Mme wangu aliaga miaka kumi na mbili iliyopita but nimepimwa mara kwa mara sina huyu mungu ni mtetesi kwa wanyonge
Exactly, Afrika tupo wengi tu kuliko hata hao wazungu
@janemumbua46832 ай бұрын
God have mercy on you my sister
@TabizaAaАй бұрын
im one of those ppo...me nmewai kuwa na mtu ako na ukimwi kabisa but akuna vle nmegonjeka na iyo ilikua 2012 nkiwa class 7 mpaka sai naitwa mama na adi nko gulf na suna chochote...aki mungu nu mkubwa..nko blood group O+ I thank God for that 🙏🙏🙏
@AnnaChambo-m4cАй бұрын
Nina amini hilo hata Tanzania yupo ambae ilitokea wanawake aliotoka nao baadhi walikufaga, na hata mke wake, lkn yeye aliumwa sana, tukajua na yeye amepata hilo tatizo, tulipoenda kumpima, ikaonekana hana hilo tatizo, hatukuamini, lkn mwisho wa siku Daktari alitupa maelezo kama hsya!! Oooh Mungu atubariki na wengine tuwe hivyo hivyo, atuepushe na maradhi yote makubwa ns mabaya, Amen.
@GodloveAloyce-qv2lb28 күн бұрын
Ni kweli kuna watu wapo
@marryafam28423 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe 100%
@beatricekitapk22656 ай бұрын
Nakubalii saana mi niko Tanzania, ila huyu Mungu aitwe Mungu tuu😢🙏🙏 mi niling'atwaa na pia nilishea mara mbili na mtu na pia kuna mifano ya watu pia wawili
Tunaomba reference + evidence ya hao watu kwenye hizo nchi ulizotaja plz?
@Dickson-v1z5 күн бұрын
Inachukua mda gan virus vya ukimwi kusababisha ukimwi?? please🙏
@johariNgeleza20 күн бұрын
Mm nimezalisha mwenye ukimwi kwenye kupimwa mm sijakutwa na nilikaa nae miaka miwili adi najua kuwa ni mwasilika adi Leo mm napima Kila baadae ya miezi mitatu
@user-ig1ch4gy7s4 ай бұрын
No substances! But well spoken
@CatherineCatjoh4 ай бұрын
Mm navidonda mdomoni na kimoja kinauma sna km mito ni kipele na vidonda vipo vingine juu ya ulimi lkn nishapima km mara 2 sna kitu sna maambukizi yoyote na nasumbuliwa na madonda niliumwa mda mrefu sna vidonda vya tumbo km mwezi je vidonda ni vya homa au
Je kati ya vikundi vya seli za Damu O,A,AB, B Kuna isiyo weza kuambukizwa kwa uraisi?
@adinaneyassinefelicianofel81102 ай бұрын
O
@GreysonGasper2 ай бұрын
Hata mi naskiaga hiyo kitu
@JamilaMbau3 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@erastoonesmo61094 жыл бұрын
🤔🤔
@RoseMeri-ce1ns8 күн бұрын
Ukweli
@chantalndayishimiye92334 ай бұрын
Nimekuunga mkono nina ushuhuda
@sufianially8497 Жыл бұрын
Ni kweli
@erickkagisa8333 ай бұрын
Nilifkr binadam wote ni sawa kumbe hamna!!
@emwanuelmapalala80992 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@user-hy7sy5fo7l9 ай бұрын
Je kama mtu amepata maambukizi ya vvu japo vipimo havijaonesha kuwa mtu ana vvu ,akijamiana na mtu mwingine anaweza kumwambukiza vvu?
@dadollary3 ай бұрын
Hapana mpka awe na copies 50 ndo anaweza
@HappyFamily-qz9upАй бұрын
Copies 50 ndo nn
@user-gq7ys5yh2y6 ай бұрын
Ukikadiriwa kuwa utaupata haijalishi upo Sweden au Zimbabwe utaupata hayo ni makadirio ya muumba kondom haizuii wa huna ujanja wa kukwepa ikiwa umekadiriwa kuupata. Tumuombe msaada wa ulinzi muumba wetu
UWONGO saana.. mutufasiriye vizuri sana kusudi tuelewe. Kwa nini sasa munaanza towa siri zenu baada ya kuawangamiza maelfu ya watu wengi sana duniani ? Zaidi sana wa afrika ndugu wetu ? KWETU CONGO DRC TAYARI KUNA DAWA YAKUPONYA UKIMWI . MUJE WOOTE WA AFRIKA MUPONYWE MAGONJWA YA UKIMWI KWA GARAMA NDOGO SAANA. AHSANTE
@elizasulle7752 жыл бұрын
Mmmmmh 🤔🤔🤔🤭
@robisonikadogo73712 ай бұрын
Siku ya kufa ikifika utakufa tu,Ata ukae ndani ya chupa, nikumuachia mungu tu
@MWINYIKADHI22 күн бұрын
Mbona unatoka nje ya mada mkuu?
@JasmineDoa6 күн бұрын
Hata Tanzania tupo
@malelabmalela50163 жыл бұрын
jaman
@ErickMollely-kp6jq2 ай бұрын
Atari zana mungu awalinde watoto wake hakuna jis?
@AshuraChamwana2 ай бұрын
Nikweli ninaushuhuda. Kaka
@andreamkono80283 жыл бұрын
Hiii
@arcadomalik543 ай бұрын
Wanotumia dawa wanaweza kuambukiza
@sashah_ace85989 ай бұрын
kuna watu hawawezi kuaota ukimwi. mfano watu wa group la damu O- HAWA NIWACHACHE PIA DUNIANI yani. ningumu wana damu kali
@jgjf7013 жыл бұрын
Niko na swali mm kama nilipima na mpenzi wangu nikapata tuko sawa kumbe yy alikuwa na mwengine ambae ana virusi je mm Niko hatarini ama coz nilimpima nikampata yuko sawa
@magynzioka112210 ай бұрын
Msijamiane Hadi miezi mitatu hihishe uku mkirudia vipimo
@GwakisaMwaisanga-th7uz2 ай бұрын
Umuache maana huyo ni malaya
@abuuselemani60432 жыл бұрын
Hivi xax unaweza kujijua vip kama wewe cell zako azishiki maambukizi
@segolinetingo291615 күн бұрын
Huwez juwa jilinde
@Boaz-hr9pf2 ай бұрын
Hao watu ambao hawana izo sehemu za kutunza virus ili baadae waende kushambulia cells wao wameumbweje au nin kipo hadi wawe tofauti na wale ambao wana izo sehemu za virus kujihifadhi before kushambulia cells?
@AnnaJeremia-pz7ux3 ай бұрын
Danganya watu sasa
@rasmgz236714 күн бұрын
Lakini virus vimeingia..!!!! Unasema awezi kuzaliana.
@happyjimmy73612 жыл бұрын
Nikweli Tanzania tupo
@masaganyambada4306 Жыл бұрын
Kwel happy au utani
@SANGOSAIDY2 ай бұрын
Achaumbea brother huoni Toto Naupuuzi ukimwi niukimwi
@segolinetingo291615 күн бұрын
Hadanganyi niliwahi kufanya kaz sehem flan ..wakaja wenza mke ana mimba ya 3 ..mume anao mke hana.baada ya kufuatilia mume alipata km miaka 7 iliyopita mke hana
@davidmguji4409Ай бұрын
Je, hapa Tanzania wapo watu wa aina hii. Ni vipimo gani vinavyogundua kuwa huyu mtu hana receptors yaani sehemu ya kujishikiza virusi vya ukimwi. Je, kuna programu ya serikali ya kuweza kufanya sensa kuwajua hawa watu hapa kwetu tz
@SANGOSAIDY2 ай бұрын
Tena achakabisa upuuzihuo
@hellaskarras15674 ай бұрын
sio nchi z ulaya tu hata duani kote wapo nikulingana na group ya damu aliyonayo huyo mtu wapo wote duani sio ulaya tu acha kudanganya watu
@segolinetingo291615 күн бұрын
Hakuna cha group km 0 yako ina receptor ambazo kirus anafit kwisha kazi
@melichmahingule28962 ай бұрын
Acha uoga mwandishi, Afrika ndio tupo wengi watu wa aina hii ikiwemo namImi, tatizo mnatumia takwimu za wazungu wanawatisha.tu, mbona Yesu alikuwa mwafrika lakini tukafanganywa alikuwa mzungu? Amkeni
@MWINYIKADHI22 күн бұрын
😂😂kumbe yesu akiku mwafrica?
@MWINYIKADHI22 күн бұрын
Wazungu sio watu wazur wajua
@MWINYIKADHI22 күн бұрын
Naskia hata mtu wa kwanza adamu alikua mweusi
@herminachrispas8883 жыл бұрын
Ukilomance na muathilika Kuna uwezekano asilimia ngapi kuambukiza? Vvu?
@youngmoneyyoungmoney3487 Жыл бұрын
Kuna asilimia chache kwa sbb inategemea kama wote hamna michubuko mdomoni ambayo inatoa damu
@emanuelconstantino7251Ай бұрын
Je mwenye gulupo o inakuweje
@user-lx3zm3cq3n4 ай бұрын
mm nakauka koo
@satwanthoogan67463 жыл бұрын
Wanasema ukimwi unapata kwa mchubuko, mfano ukiwa unafanya mapenzi... Sasa ukipaka mafuta wakati wa Kufanya mapenzi huwezi kupata ukimwi?!
Kwanini wasioambukizwa wawe ni wasicandinavia wengi na sio wengine
@happynelson11802 жыл бұрын
Ni kweli kuna watu hawawezi kuambukizwa ukimwi lakini hao watu hawawezi kujijua na kuwa baadhi ya hao watu wako nchi za scandnavia inaweza kuwa kweli maana kwenye hizo nchi hazina maambukizi mengi kama Sweden wenye ukimwi hata 10 000 hawafiki
@VeronicaMacha-pl3xt5 ай бұрын
Hakuna maambukizi mengi kwa sababu ni watu wastaarabu mambo ya ngono hawana muda nayo.
@user-hy9hh1zg4yАй бұрын
Kabisaa! True..Africa ngono wamefanya kama chakula..Tena wanakula hata kama hawana njaa!
@wiseproent866123 күн бұрын
Kule maambukizi Ni machache kwasababu jamaa hawana utamadunj wa kutahiriwa
@fatumashehe36112 күн бұрын
Durupu o
@mikeotada1690Ай бұрын
Mbona wawe ulaya tu
@user-sj6rh6xl7t2 ай бұрын
Hata mimi niliwai kuwa napenzi mwenye ukimwe lakini sikupata na yeye alikufa mwaka 2002
Je, kuna kipimo cha kujua kama una receptance au huna???
@VeronicaMacha-pl3xt5 ай бұрын
Kwani hao wa Scandinavia waliwatambuaje Ina maana Kuna vipimo vilifanyika.
@DonDallas2 ай бұрын
Unataka kujua upige Tako bila stress
@wilbatnyato4679 Жыл бұрын
Najuaje mtu ana hizo seli
@user-kz1qh4ds6p14 күн бұрын
Wale ÷GROUP O
@user-oz7fm3ss5r2 ай бұрын
Mimi nikona swali,ukilala na mtu mwenye akona ukimwi,na akose kukumwagia,ni lazima upate ama
@JumaAlly-zl1ze2 ай бұрын
Ukimwi haupat kwa kumwagiwa una upata mchubuko pale mnapo kuwa mnajamiana au kushea vitu vyenye incha kali na mtu alie hasirika
@is-hakayussuf99813 жыл бұрын
Asee sijapata kuona jitu jiongo km ili da
@zuriathdasilver8103 жыл бұрын
Hahahahaha
@rukaiyamkiwa78652 жыл бұрын
😄
@celinejustine3930 Жыл бұрын
Huu ni ukweli moja wapo ni mimi.... ila naona si kisayansi. Nahisi kuna nguvu ya mungu hapo. Kma ni ukimwi ningeshapata ila ni nguvu kubwa ya mungu nipo nayo. Siamini kma kisayansi uchomwe sindano ya mtu wa ukimwi na usipate. Ninachoamin ni nguvu ya mungu
@mfilipinomshana24054 жыл бұрын
Hivi kweli kondom inazuiya ukimwi?
@afyatips4 жыл бұрын
Mfilipino Mshana ndio ikitumika kwa usahihi huwa inazuia
@abuuaiman95752 жыл бұрын
ungeelezea inatokana na nini mpaka asipate huku ukilinganisha na group yake ya damu au uongeze maelezo kindani zaidi kwani baada ya kusikia hii audio yako ndo mtu anazid kuwa na maswali meng
@scolaodeyo8110 Жыл бұрын
Haitegemeani na group la damu! Kutokuwa na hyo receptance ni uumbaji wa Mungu tu
@omarijuma41153 жыл бұрын
Doctor Mimi huwa nawahi kuis njaaa afu mwili wangu unachemka chemka Sana yaani yaani takuwa na na dalili zipi
@sherabomar66812 жыл бұрын
Hahahahaa ww sasa unatak kujitisha, some time mwili unakua hivyo pale unapotaka kunenepa inatokeaga sana hivyo na kaucngz flan iv.
@MomEvance10 ай бұрын
Kapimw
@prettyfetty37318 ай бұрын
@@sherabomar66814:20
@manchidomungik98652 ай бұрын
Nenda pima sukari ingawa sio dalili pekee ya sukari lakini kuna watu wamewah gundulika kwa dalili kama ya kwako
@TheePwaniFamily2 жыл бұрын
Huu urongo mtupu... Ukipatikana kuwa wewe huwezi kupata ukimwi inamanisha wewe ni carrier
@fatihiyadossa375 Жыл бұрын
Jee ukingwatwa mtu mwenye ukimwi unaweza kupata
@faridasallum95722 жыл бұрын
Je ukigusa dam ya mwasirika unaweza kupata
@topaviator3 жыл бұрын
Dfh
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de Жыл бұрын
Je kwetu africa hao watu hawapo??
@sarabura89334 ай бұрын
Na zani ni MUNGU anatulindaga jamani mm niliishi na mgonjwa tena alikuwa anakoowa sana nimeishi naye miaka mitano na tulikuwa tunajubuana ila na mshukuru MUNGU sikupata nikaja nikaanza mausiano na mwengine tena na yeye alikuwa umekolea sana lakini MUNGU alinilinda jamani tena yule wa mala ya kwanza nilimpenda sana ataakawa anajisikia vibaya yeye anao mm sina nikaanza kufanya makusudi ili niupate na yeye alizike ikashindikana mpka badaye nilipo safili ndio tukaachana kwaiyo iyo ipo jamani MUNGU wetu ni mkubwa sana mm amenilinda kama ni yamini tulikula lakini wapi namshukuru MUNGU kwa kunilinda
Kama unae fanya nae ameathilika wewe ukichubuka tu na kugusa Yale majimaji au Damu basi itakuwa umeathirika Cha kukuokoa ukiona una wasiwasi na ngono mliyoifanya na humwamini uliye fanya nae wahi hosipitali kabla ya massa 72 hayajapita.
@Hunchotreez Жыл бұрын
Asa utajuaje kama umechubuka?
@FuraziaPaul9 ай бұрын
Ivi kupata siadi ote mchubuane au
@mwinyimadk.longwa63274 ай бұрын
Wiki tatu tu
@suleimanabdallah50882 жыл бұрын
Uwongo acheni
@afyatips2 жыл бұрын
Kuna uongo gani hapo?!
@happyjimmy73612 жыл бұрын
Nikweli weeee
@davidsaibu2930 Жыл бұрын
usimtukane mamba kabla hujavuka mto
@elizasulle7752 жыл бұрын
Mbn Kama sikuamini vile na somo lako silielwi
@segolinetingo291615 күн бұрын
Kasome namna kirus kinaingia kwenye cell utaelewa
@milkakeya59933 жыл бұрын
Na mtu akiwa na ugonjwa wa ukimwi ni lazima atambukiza mtu ana kuna wale hawawezi ambukiza mtu
@afyatips3 жыл бұрын
Mtu ambaye hawezi kuambukiza UKIMWI ni yule ambaye ametumia dawa vizuri na kufanya virusi vipungue kiasi kwamba hata akienda kupima virusi vinakuwa havionekani kwenye damu
@joyceimani5393 жыл бұрын
Vipimo vyote havionekan??? Au kipimo Cha pili ndio hauonekan???
@milkakeya59933 жыл бұрын
@@afyatips Asante sana coz mm nko nazo but huwa siambukizi mtu na ni muda tuko wote Kwani sasa hata tuko na mtoto naye but Jamaa anajua mm nko nayo
@suleimansalym7537 Жыл бұрын
@@milkakeya5993 Kweli????
@user-hy9hh1zg4yАй бұрын
Uongo..
@SalumPius-xw4dr Жыл бұрын
Kuna uwezekano wa kukakua mwili wangu una receptors au hauna
@user-hy9hh1zg4yАй бұрын
Ili iweje?
@monicerz4 жыл бұрын
🤒🤒
@gracejonh40222 жыл бұрын
Utajuaje km auwezi kuambikizwa vvu
@user-is2vr2xo6m4 ай бұрын
Unabidi ujaribu na mutu mwenye ukimwi
@gracejonh40224 ай бұрын
@@user-is2vr2xo6m jaribu na wewe
@user-hy9hh1zg4yАй бұрын
@@user-is2vr2xo6m😂😂😂😂😂
@user-ic7felixАй бұрын
Kiss ndio mbaya lakin mboro hakuna ,, sperm haina ungochwa
@HellenMdogo-yj6bq2 ай бұрын
In boxx nikwambie
@angelurioh53832 жыл бұрын
Mume wangu ana ukimw na kumuacha cwez nifanyeje
@rastafare8782 жыл бұрын
Watu wengine bwana akili zenu zimeingia unga wa muhogo! 😛
@sherabomar66812 жыл бұрын
We endelea kumpa mzigo tu mtafanana haitaleta shida
@neemaegnatio77252 жыл бұрын
Usimiache mume wako kisa muathirika , maana aujui kesho yako awo wanaokushauri cjui kama Afya zao wanazijua jinsi zilivyo
@jamilatamba28772 жыл бұрын
Usimuache fuata maelekezo tu mtaishi
@daudidaudi53422 ай бұрын
Nina mademu wawili na wote wanao rkn Huwa nakula kavu mwaka wa 5 huu
@user-hy9hh1zg4yАй бұрын
Endelea! Ongeza wengine...
@deeneejm5846 Жыл бұрын
Na wale weny group 0 wanawwza pata
@afyatips Жыл бұрын
Ndio anaweza kupata
@ufugajiwetu77822 жыл бұрын
Mboni ueleweki
@miurenokomol61722 жыл бұрын
Je unaweza pata ukimwi ata kama mwanaume yeye hakumwaga ndani🤔🤔
@dadollary3 ай бұрын
Ndio dada
@tboymanyota3 ай бұрын
Darasa la ngapi?
@wiseproent866123 күн бұрын
Inasadikika watu hawa wwngi wao ni group 0- na 0+
@segolinetingo291615 күн бұрын
Hapana km receptor kirus anaweza kujishikiza unapata
@maryamkokani46832 ай бұрын
Ukiwa 0 positive sirahisi kupata ukimwi.tupo tele africa kwataarifa yako