Hizo ndege za Zamani Sanaa miaka 60 toleo lake kuna ndege hatari sasa kilometres 300 Kwa saa moja
@WilliamMtangi5 ай бұрын
😂😂unaju km 300 kwa saa hata boda inatembea au unaongea tu 😂😂😂😂
@halimamwingu44785 ай бұрын
Tutajie ndege vita moja ya kisasa unayoifahamu 😂😂😂😂😂. Punguzeni midomo mengine yawapite😅
@VictoriaSamila5 ай бұрын
acha ujinga
@brayanphilipo18515 ай бұрын
👊🏼
@innocentrichard29455 ай бұрын
Unarmed aerial platform tunazhtaji
@EnockRubeto5 ай бұрын
🎉
@NancyKajiba5 ай бұрын
Mbona ndege nyingine niliziona kwenye vita vya pili vya dunia kwenye battle of Berlin ni zazamani sana jameni 😢 #wakenya wasizione😂
@Masterplan6965 ай бұрын
vita ya kwanza ya dunia tuko nyuma sana
@KELVINHENRY-j1k5 ай бұрын
Bado upande wa ndege bado naona zile za vita kangera bado tupo nyumaaa
@JesseJackson-l8q5 ай бұрын
Tunatakiwa tungeze juhuji kwenye swala la Ndege vita maana tulizo nazo niza kawaida tu kuna ndege hatari na bora zaidi za kivita lakn siyo mbaya tumejitahidi😊
@noahmdeka57835 ай бұрын
Mizigo ipo huwez onesha sirah zako zoote hadharan mambo ya kiusalama
@anoldpotentin24465 ай бұрын
Wengi wenu humu amna uelewa wa mambo yaa kijeshi yanavyofanya kazi, unaponunua silahaa mfano ndege vita unaangalia maadui zako wanasilahaa gani kwanza,sasa Tz atuna maadui wenye silahaa za kisasa sana ambazo na sisi itatulazimu tununue hizo silahaa kama za Urusi au USA, hizi silahaa zetu kwa mazingira ya Africa ni bora sana na zinatosha kwa ulinzi wa taifa letu. Ila kama tukipata vitisho vikubwa kutoka kwa maadui wakubwa na sisi ndio tutamiliki silaha za kisasa na kubwa zaidi otherwise tutanunua silahaa za bei kubwa alafu zote zinatuozea maana atuna sehemu ya kuzitumia. So muwe mnafatilia jinsi ulimwenge unavyoenda kabla ya kukoment
@CajerMomade5 ай бұрын
Waambie vilaza wanaboa kweli
@nassirali74995 ай бұрын
Huna ulichokichambua hapa. Unasema uongo tu, bora nawe unyamaze
@halimamwingu44785 ай бұрын
@@nassirali7499Embu tupe ufafanuzi wewe tusikie! 😂😂😂😂. Ameongea point mpka mmechukia
@ThomasMmary-r7w4 ай бұрын
Sasa unasubiri Hadi upate maadui inabidi ujiandae mapema