Hivi wanaume hizi sifa za kijinga zinawaisha lini? Unajitoa kwa mwanamke asiekupenda kisa akikudanganya tu unalainika...
Пікірлер: 394
@rodgersmwagu2398 ай бұрын
Tuliopenda joti alivokuwa kapanda kwenye boda tujuane🤣🤣🔥🔥🔥🔥
@fatmamdihiri41648 ай бұрын
😂 😂
@GatekaNene8 ай бұрын
Yani nimeceka hapa nilipo naonekana nikama naelekey kuwa punguwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ericluda8 ай бұрын
😂😂😂😂
@EDOSHINE-uc1ft8 ай бұрын
Tupo pamoja
@rodgersmwagu2398 ай бұрын
@@ericluda sana babaahh 🤣👊
@GatekaNene8 ай бұрын
Huum Joti ulivyo kaa kwaiyo boda mii hoi na kiceko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aki Joti wewe akili zako unazijuwa mwenyew eniweyi mimi nakupenda sana ❤❤❤❤❤
@Charleskulwa-hp5ow8 ай бұрын
Hongera sana joti kazinzuri 🔥🔥
@mwambiretv-m2u8 ай бұрын
Wa noma sana
@lucasbatano3338 ай бұрын
Kazi nzuri
@bestBernard018 ай бұрын
Sio kwa ubaya Kwa mtazamo wangu I think huyo boss asinge vaa sendo mguuni kwakuwa kawekwa nafasi ya uboss. Next time itabeba uhalisia wa cheo kama boss atavaa kiboss zaidi. 💪🏾kazi nzuri guys. We love it🎉
@avocadomatala28838 ай бұрын
Mabosi Huwa hawavaagi Sana wewe
@lvanyDaniel_pw7kk8 ай бұрын
Matajiri hawana muda na mavazi masikini ndo tuna sifa hao matajiri wamesha tokaga uko tembea uone
@JumaMussa-lp1md2 ай бұрын
Umeongea ukwel jamaa ang tatizo wabongo wanakitu kinaitwa mazoea unajua ukisha izoea kazi na ukisha jiona umewamiliki wateja unaweza ukaamka tu unaenda ofisini na chupi tu sema nini kama joti anatufatilia sisi watu wake basi hii kitu ataipeleka kwenye Management respect sana man ww ndo unajua kuangalia sio hawa makuma wanakuja kukudispoint af ukiangalia hawaja subscribe chanel yenyew 😂
@turiangolo93976 ай бұрын
Binafsi joti nakubari Sana kazi yako mungu akusimamie
@markmwaluanda75528 ай бұрын
Haha 😄 nishai mtomba..ngile wa kitwango leo umepata chance 🤣 ya kutoa dozi unaitumia nafasi vzr ngojea ifike zam ako haha 😄
@chrismuganwa86348 ай бұрын
Thank you Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮!!
@AllyPolly-g4r8 ай бұрын
Naomba like zang jmn
@lewimontaz13738 ай бұрын
Leo nilijua, mm ndio ndakuwa,wa kwanza,ila kuna watu ,wanarauka kweli 😂😂😂😂😂
Joti hujawahi kuferi kaka kila siku kitu kipya hongera sana kaka Mungu aendelee kukupa uhai uendelee kutuburudisha😂😂😂
@jamesluckson23678 ай бұрын
😂😂😂
@merrynancesimon15628 ай бұрын
Kata nyonga joti ita mvua 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤mkwala mingi kumbe toi 😘🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rodgersmwagu2398 ай бұрын
Babahhh mlewa sheweleeeee tunakukubare sana🔥🔥🔥🔥🔥
@mlewa_official8 ай бұрын
Asanteeee
@ritapiusnicolaus70688 ай бұрын
Joti numbar one comedy❣️🥰
@aishafrancis77148 ай бұрын
Nawapenda sana Joti TV❤❤❤❤❤❤❤❤
@giselemauwa44778 ай бұрын
Wakwanza from Canada ❤❤
@Chrm-sindano8 ай бұрын
Upo kanada sehemu gani nataka tuongee
@Smile.fox698 ай бұрын
Nishaiii the king of comedy
@CarlicTrevoh2 ай бұрын
Legend alindwe jmn joti 🔥
@MwanetukijhaMabulu8 ай бұрын
You are thé best Mr jotti
@perezkive14938 ай бұрын
💥💥🔥🔥NISHAI ninja.....haunaga kazi mbovu😅😅
@zarafimnyamafitv8 ай бұрын
nomaa
@Taloba_og18 ай бұрын
Leo namm nimewahi nipeni like
@frankbujiku94968 ай бұрын
Hii ya muuza madafu nilikuwa nimeisubiria sana kwa hamu hatimae umeigiza 😂😂😂
@Alpha-66668 ай бұрын
Legend mweyewe joti
@AlexSarota5 ай бұрын
Anajua sana apewee maua yake🎉
@rodgersmwagu2398 ай бұрын
Wangapi tumemic joti aigize kama mapema🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
@ErickmidoMsodock8 ай бұрын
From Japan Kuma I love u YANGA bingwa 24/25 😊😊😊
@AliMkumbukwa8 ай бұрын
Which opportunity occur Japan bro
@HamisMshana-rc4mc7 ай бұрын
Respect comedian
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs8 ай бұрын
Naombeni Likes Ndugu zangu na mungu atawabariki nimekaa nikisubiri hii video tangu saa kumi pongezi kwangu kwa kuwa ni msubirivu.🎉
@kelvinimwandala72848 ай бұрын
Mnafanyia nn hizo like nanyie kha
@homeboy23078 ай бұрын
Unatatizo gani
@cipladapretty86178 ай бұрын
@@homeboy2307😂😂😂😂😂😂 et una tatzo gan
@pendogwisu8 ай бұрын
Eti Mungu atawabariki..
@Fahimbisanga8 ай бұрын
We mjinga
@TamuzaKale8 ай бұрын
Leo umeshindwa kukimbia... hahahaa halafu? Mbona Zitto ametamani? teh teh teh!
@Basagamp48 ай бұрын
Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo miguno leo umeyatimbaa😊😊😊😊😊😊
@mouricegodfrey19718 ай бұрын
Misuguano 😅
@MILLFATULANGA-vx9ng2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@daudiniyonsaba11138 ай бұрын
Nimeivizia mwamba hapa. Yanga bingwa, dadeki!
@OmanOman-dn6dj8 ай бұрын
Simba Bingwa
@yusuphmdoe54518 ай бұрын
Mtaa mapenzi hahahaaaa wee jamaa ww hatali sana hahahahahaaaa unakuzimkazi leo hahahahaaaa nahapa ipo
@JamesReuben-gt8up8 ай бұрын
King of comedy tanzania joti official
@JacquilineNoah8 ай бұрын
Jotiiiiiiiiii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mapenz mapenz c ukaeeeeee khaaaa
@MhinaKulewa8 ай бұрын
Joti ukaaji gani huo kwenye boda utadhani mbwa anayekojoa😂😂😂
@JacobIsmail-gx7wb8 ай бұрын
nishaaaai 🔥
@joeldaniel33488 ай бұрын
Kwan izo like mnafanyiaga ñn
@jescobenward87773 ай бұрын
Hata mm huwaa najiulizaa😂😂
@matanobaya6198 ай бұрын
Mlewa (waiter) umemponza mwenzako broo 😂 . We ungekaba tu mwenzako nishai achukue point😂.ila nyote mumetisha na nawakubali nyote 😅.
@mlewa_official8 ай бұрын
Asanteeeee nduguu
@matanobaya6198 ай бұрын
@@mlewa_official 👏😀
@turiangolo93976 ай бұрын
Dada umetisha kwa kilio hicho
@CarbonProject-yh6ln8 ай бұрын
Joti😅😅😅😅you are the best
@BundalaShija-yb4vo8 ай бұрын
😂😂 mlewa kaunguza nyumba 😂😂😂😂😂😂😂
@mlewa_official8 ай бұрын
Hahahhahaha
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Ivi mwanamke unaitwaje unaenda tu bila taarifa maalum na wala hujui unaenda wapi😂😂😂😂😂😂
@besteva4998 ай бұрын
Joti ivi wewe kwel una stress kichwani mwako sio kwakuchekesha❤❤❤
@PrinceAmos-y8t8 ай бұрын
Movie nzuri sana master joti❤😂🎉😢😮😅😊😊
@ShafiiSoud-b3w8 ай бұрын
nataman sku moja nione clip ina title ya "The Don" alafu unyama uwe mwingi... pale #MlewaGodyMwambaZitoBaunsa na hku mzee Mbembe
@Gamba818 ай бұрын
Good good 👍🏾
@marwa28625 ай бұрын
Kumbe delilah wengi, muuzaji kamuuza Joti😂😂
@richardmtangi88038 ай бұрын
nmber 1
@bennylove60218 ай бұрын
Kama binduki😂
@joshualazaro16418 ай бұрын
Mlewa fala sana kila siku anamchoma Nishai 😂😂😂😂
@merrynancesimon15628 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti forever ❤❤❤❤
@emmanueljohn79526 ай бұрын
Joti bn😂😂
@abangaabanga46778 ай бұрын
Joti ana mikwala....eti ntakumwaga! 🤣🤣🤣
@markmwaluanda75528 ай бұрын
Hahah 😅 nishai nishai kila clip we ni kupigwa haha 😅 Team mtombangile haha 😄 tutambuane unabastora kwel ww
@Bakari_motors78 ай бұрын
Nitakumwaga hajaa😅😅😅
@azizayassin36238 ай бұрын
Kumekuchaaaa 😂😂😂😂😂😂 wnazengo mpooo
@harrymakongwa11478 ай бұрын
Joti na style mpya ya kupanda boda ni nomaa😅😅
@Mr.BrokeGuy8 ай бұрын
Hawakuezi Nishai Mtombangwile mkali wao
@EmanueliChrissАй бұрын
Respect
@boazygodfrey93716 ай бұрын
Ila Joti Huna Show Mbovu, Et Mguu Juu Unaenda Kwenye Tukio😂😂
@hassansammy10766 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka adi sasa bado na cheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 joti unatisha sana weye noma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abubakarykivo73668 ай бұрын
Sema joti we akili huna kweli sio comed tu😂😂😂😂
@Tunu-p6iАй бұрын
😅😅😅😅an mwanaume wangu anipambanie Kam joti naweza kuringa sana