Hivi wanaume hizi sifa za kijinga zinawaisha lini? Unajitoa kwa mwanamke asiekupenda kisa akikudanganya tu unalainika...
Пікірлер: 382
@rodgersmwagu2393 ай бұрын
Tuliopenda joti alivokuwa kapanda kwenye boda tujuane🤣🤣🔥🔥🔥🔥
@fatmamdihiri41643 ай бұрын
😂 😂
@GatekaNene3 ай бұрын
Yani nimeceka hapa nilipo naonekana nikama naelekey kuwa punguwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ericluda3 ай бұрын
😂😂😂😂
@EDOSHINE-uc1ft3 ай бұрын
Tupo pamoja
@rodgersmwagu2393 ай бұрын
@@ericluda sana babaahh 🤣👊
@bestsvin1823 ай бұрын
Sio kwa ubaya Kwa mtazamo wangu I think huyo boss asinge vaa sendo mguuni kwakuwa kawekwa nafasi ya uboss. Next time itabeba uhalisia wa cheo kama boss atavaa kiboss zaidi. 💪🏾kazi nzuri guys. We love it🎉
@avocadomatala28833 ай бұрын
Mabosi Huwa hawavaagi Sana wewe
@lvanyDaniel_pw7kk3 ай бұрын
Matajiri hawana muda na mavazi masikini ndo tuna sifa hao matajiri wamesha tokaga uko tembea uone
@rodgersmwagu2393 ай бұрын
Wangapi tumemic joti aigize kama mapema🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
@kekiplus1andonly3 ай бұрын
Ivi mwanamke unaitwaje unaenda tu bila taarifa maalum na wala hujui unaenda wapi😂😂😂😂😂😂
Nishai Mimi Anna kilungya from Kenya your follower..uniwacha hoyii kumbe wache na toy bastola
@turiangolo93972 ай бұрын
Dada umetisha kwa kilio hicho
@abubakarykivo73663 ай бұрын
Sema joti we akili huna kweli sio comed tu😂😂😂😂
@ritapiusnicolaus70683 ай бұрын
Joti numbar one comedy❣️🥰
@mohamedsheealom87453 ай бұрын
Badala watu kulike hii video kumpa motisha joti mijinga inaomba wao mi wakwanza mi wapili sasa zakusaidia nini hebu like hio video na subscribe ili joti apate haki yake ...
@divanamines55163 ай бұрын
Ninaangalia huku na soma comment, usiulize nafanyia nn? Likee zangu na jotii
@asifiwefungo163Ай бұрын
Nishai kaah😂😂😂.ana Mbwembwe
@danielmwakalinga60493 ай бұрын
Yaani Mlelwa namkubali sanaaaa
@mlewazitotv3 ай бұрын
Asanteeeeee
@JamesReuben-gt8up3 ай бұрын
King of comedy tanzania joti official
@ashasaid69853 ай бұрын
mlewa sitakusamehe kwa hilo ulofabya😂😂😂😂
@jumabulongo46733 ай бұрын
Siga zaujiga🤣🤣
@markmwaluanda75523 ай бұрын
Hahah 😅 nishai nishai kila clip we ni kupigwa haha 😅 Team mtombangile haha 😄 tutambuane unabastora kwel ww
@kayjuma26293 ай бұрын
Toy kama binduki 😂😂😂😂
@JacksonKimario-ig8dl3 ай бұрын
Power bank 😂😂
@sanciroandrea88263 ай бұрын
Nagawa wastani kwa idadi😊😊😅😅😅😅😮😮😢
@nickojunior23 ай бұрын
Joti anavyo panda piki kiki 😅
@sangachris81103 ай бұрын
#joti umenifanya nizipende kofia za madalali hizii😂😂😂
@FrankSamson-r6s3 ай бұрын
Chanzo me sijui chanzo😂😂😂😂😂
@mossiewiser3 ай бұрын
😂😂😂😂😂,ameyatimbaaaaaa
@eddysimba68293 ай бұрын
Oya mkipata like mkafanikiwa msitusahau 😂😂😂😂
@DanielSimon-s8c3 ай бұрын
mlewa ndio kila kitu yuko vizul sana
@mlewazitotv3 ай бұрын
Assntee
@jumasaidmalengo24333 ай бұрын
Kinondoni yangu
@dicksonrevocatus97113 ай бұрын
Ila jot 😅😅😅
@faridabeny-yi6du2 ай бұрын
😂😂😂😂😂maninaaa
@gloiremosantu38273 ай бұрын
Nafatilia kutoka America 🇺🇸
@aliysaid61623 ай бұрын
Eti takunyonya mate😂😂
@mambomganizi3 ай бұрын
😅😅😅😅 Nishai bhn ajawahi kosea
@MashakaZacharia-if9pm3 ай бұрын
Eti unajua Simba Yuko nafasi yangapi saiv
@edwardalexes70733 ай бұрын
Msenge wew
@judithnjunwa66683 ай бұрын
Hahaha kula mate
@mussaside68443 ай бұрын
❤❤❤
@captainjoseph81313 ай бұрын
😅😅😅😅😅 nishaiii
@MussageAiuba-k2b3 ай бұрын
Kumbuka kifo kipo
@RuthKasumba-ij9vw3 ай бұрын
Kinondon ni yang😹💔
@iddyhamis53303 ай бұрын
Simba alikuwa anacheza
@kibasamohamedi80293 ай бұрын
Nina njaa hapa naombeni like zenu niweze kushiba basi
@LazandaSweety3 ай бұрын
Iyo staili ya boda tuitaje
@FORDOSWARD3 ай бұрын
Mlewa kachoma😂😂😂😂😂
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs3 ай бұрын
Naombeni Likes Ndugu zangu na mungu atawabariki nimekaa nikisubiri hii video tangu saa kumi pongezi kwangu kwa kuwa ni msubirivu.🎉
@kelvinimwandala72843 ай бұрын
Mnafanyia nn hizo like nanyie kha
@homeboy23073 ай бұрын
Unatatizo gani
@cipladapretty86173 ай бұрын
@@homeboy2307😂😂😂😂😂😂 et una tatzo gan
@pendogwisu3 ай бұрын
Eti Mungu atawabariki..
@Fahimbisanga3 ай бұрын
We mjinga
@GatekaNene3 ай бұрын
Huum Joti ulivyo kaa kwaiyo boda mii hoi na kiceko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aki Joti wewe akili zako unazijuwa mwenyew eniweyi mimi nakupenda sana ❤❤❤❤❤
@markmwaluanda75523 ай бұрын
Dalali afu chawa haha 😄 umekwisha mchawi ndugu mlewa kakuuza haha 😄 mimi sio yuda eeg usaliti sio vitu vyangu aya yuda kafanya yake kwishaa sas ni zamu ya pirato umeona moto haha 😄 kata nyonga
@mlewazitotv3 ай бұрын
Hhhhh
@markmwaluanda75523 ай бұрын
@@mlewazitotv kaka mkubwa umenifurahisha kwakwel umenikumbusha sifa ya askari yote 😅🤣 mchawi ndugu ona zito nae baada ya kujua mtombangila hana bastola ya kweli alivo mshughulikia vzr kwakwel nimefurah sana kak mlewa shewere sijui ndio hivyo waitwa au nimepuyanga haha 😄
@markmwaluanda75523 ай бұрын
Haha 😄 nishai mtomba..ngile wa kitwango leo umepata chance 🤣 ya kutoa dozi unaitumia nafasi vzr ngojea ifike zam ako haha 😄
@latwibujuma3 ай бұрын
Joti hujawahi kuferi kaka kila siku kitu kipya hongera sana kaka Mungu aendelee kukupa uhai uendelee kutuburudisha😂😂😂
@jamesluckson23673 ай бұрын
😂😂😂
@MhinaKulewa3 ай бұрын
Joti ukaaji gani huo kwenye boda utadhani mbwa anayekojoa😂😂😂
@frankbujiku94963 ай бұрын
Hii ya muuza madafu nilikuwa nimeisubiria sana kwa hamu hatimae umeigiza 😂😂😂
@abdallahrajab8663 ай бұрын
rudia dakika ya 2:10 usikilze kwa makini
@ShafiiSoud-b3w3 ай бұрын
nataman sku moja nione clip ina title ya "The Don" alafu unyama uwe mwingi... pale #MlewaGodyMwambaZitoBaunsa na hku mzee Mbembe
@Basagamp43 ай бұрын
Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo miguno leo umeyatimbaa😊😊😊😊😊😊
@mouricegodfrey19713 ай бұрын
Misuguano 😅
@lewimontaz13733 ай бұрын
Leo nilijua, mm ndio ndakuwa,wa kwanza,ila kuna watu ,wanarauka kweli 😂😂😂😂😂
@noahnzelu-yp7ky3 ай бұрын
NAMTAFUTA SANA KIPANDE YUPO WAPI????
@CatherineNzeki3 ай бұрын
Mimi pia naulizia kila siku lakini sijibiwi,,,alikua mkali akiwa na sopa
@Taloba_og13 ай бұрын
Leo namm nimewahi nipeni like
@merrynancesimon15623 ай бұрын
Kata nyonga joti ita mvua 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤mkwala mingi kumbe toi 😘🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abangaabanga46773 ай бұрын
Joti ana mikwala....eti ntakumwaga! 🤣🤣🤣
@Alanshaamusic3 ай бұрын
mission ya nishai haijawahi kuishaa kikamilifu lazima azingue😂😂😂
@kekiplus1andonly3 ай бұрын
Muacheni amfuate😂😂😂😂😂😂😂😂chawa vipi lakini😂😂😂😂
@joshualazaro16413 ай бұрын
Mlewa fala sana kila siku anamchoma Nishai 😂😂😂😂
@BundalaShija-yb4vo3 ай бұрын
😂😂 mlewa kaunguza nyumba 😂😂😂😂😂😂😂
@mlewazitotv3 ай бұрын
Hahahhahaha
@Bakari_motors73 ай бұрын
Nitakumwaga hajaa😅😅😅
@magrethmbuma30453 ай бұрын
Ila Joti😂😂😂😂aaah
@shabanijuma48873 ай бұрын
Mlewa umemuuza mwenzako😂😂😂
@mlewazitotv3 ай бұрын
Hhhhh
@amanchuphichuphi47253 ай бұрын
Hahaha at sijui chanzo
@leonardmhagama58283 ай бұрын
😅😂😂😂sikijui chanzooo daaah🙌🙌
@michilita29593 ай бұрын
Mlewa wapenda kuchoma kweli
@mlewazitotv3 ай бұрын
Hhhhhh
@daudiniyonsaba11133 ай бұрын
Nimeivizia mwamba hapa. Yanga bingwa, dadeki!
@OmanOman-dn6dj3 ай бұрын
Simba Bingwa
@TamuzaKale3 ай бұрын
Leo umeshindwa kukimbia... hahahaa halafu? Mbona Zitto ametamani? teh teh teh!
@davidjoseph1143Ай бұрын
Nawaz hiv joti anavyochekesha nikiwaangalia na akina steve n ndaro wenye views kumzidi yni wanamzidi vipi aise
@boazygodfrey93712 ай бұрын
Ila Joti Huna Show Mbovu, Et Mguu Juu Unaenda Kwenye Tukio😂😂
@kayjuma26293 ай бұрын
Ukija bila guard nagawa wastani kwa idadi 😂😂😂
@sharoshine99843 ай бұрын
Ilo Kofi la kwanza alilo pigwa dolis nimesikia vibaya au?
@AllyPolly-g4r3 ай бұрын
Naomba like zang jmn
@AnnuSonjo3 ай бұрын
Joti ushaanza kufika mwisho wa akil yako babu tafuta watu wakupe new idea mpya babu haichekeshi hyooooo😮😮😮😮
@yassinmrishoyassinmrisho65733 ай бұрын
Kweli kabisa
@maimunaulotu20753 ай бұрын
Huyu ana maigizo ya kuchekesha na kufundisha tuuuu😢😢😢ndomn aliandika joti Tv co jot comedy
@Saidfela3 ай бұрын
😂😂😂
@Hiphop_tz3 ай бұрын
Nenda wewe umpe new idea kama utaeza
@slattyuziii12403 ай бұрын
Km rahisi fanya na wewe
@matanobaya6193 ай бұрын
Mlewa (waiter) umemponza mwenzako broo 😂 . We ungekaba tu mwenzako nishai achukue point😂.ila nyote mumetisha na nawakubali nyote 😅.
@mlewazitotv3 ай бұрын
Asanteeeee nduguu
@matanobaya6193 ай бұрын
@@mlewazitotv 👏😀
@rodgersmwagu2393 ай бұрын
Babahhh mlewa sheweleeeee tunakukubare sana🔥🔥🔥🔥🔥
@mlewazitotv3 ай бұрын
Asanteeee
@dullycris4843 ай бұрын
Guys mnaomponda joti you can't be serious jamaa hachoshi aseeh tumpemaua yake
@DavalsonMarlony3 ай бұрын
leo nimekuwa wa 46 like hata kdogo 😢 born town kapigwa Ila mlewa kamchoma nishai why
@lvanyDaniel_pw7kk3 ай бұрын
Kaka joti ishi maisha marefu ili uwe una Tupunguzia mawazo ya kudaiwa kodi😂
@alexjohnson38143 ай бұрын
Hawa watu wa mikopo bana eti apikesheni yan wao walivo ndo wanahitaji mkopo na wasidaiwe ila sasa