Hongereni jeshi la polisi kwa kazi mnazofanya. Mungu azidi kuwalinda kwa kazi mnazofanya.🙏🙏🙏🙏
@josephmadobho3024 жыл бұрын
Hawa jamaa noma had nimempenda rpc bigup police
@clememallya42574 жыл бұрын
🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
@belindasteve47494 жыл бұрын
Piga kelele kwa Arusha ake weeeweee!!!!Hongera sana kwa Askari wa A.town.
@linamacha76864 жыл бұрын
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
@frankenock36514 жыл бұрын
Hahaaaa afande umenifurahisha eti " shikamo mzee na chuma kinaitika" umetisha ,,hongereni sana jeshi la polisi
@dn.n49834 жыл бұрын
Polisi kweli mnafanya kazi hongera kazi si rahisi mungu hawalinde
@majaliwamsigwa39744 жыл бұрын
Hawafai kwenye Nchi yetu ya Tz,hongereni jeshi letu
@happysindani67084 жыл бұрын
Kazi nzur sana police wetu👏🏽mganga kawaingiza town
@mrtoshtosh47144 жыл бұрын
Happy sindani... Naomba kuzungumza nawe👋
@mungamichael93544 жыл бұрын
@@mrtoshtosh4714 😂😂
@oscarjoachim28894 жыл бұрын
Diamondback
@josephinekwaselema55664 жыл бұрын
Hiyo ni sanitizer yao 😁😁 Big up sana maaskari👏👏👏👏
@ababuumwanazanzibar49084 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@fetychina32734 жыл бұрын
😀😀
@hopekingoftz82084 жыл бұрын
Pongezi kubwa kwa askari shupavu. Majambazi noma hao wana mkasi unaitwa shikamoo mzee,
@respiciuskaijage2054 жыл бұрын
😂😂
@pericykiko61984 жыл бұрын
Hahaaaaa
@jtheophil54994 жыл бұрын
Mnafanya kazi nzuri sana,ongereni sana jamani
@jeremiadaudi57804 жыл бұрын
Mungu awalinde polis wetu na ujasiri huo natamani niwe nanyi ila nafasi sina
@marymlelwa84714 жыл бұрын
Shikamoo Mzee na marahaba ni balaaaa😂😂😂😂
@youngyayoo28054 жыл бұрын
😂😂😂
@niaanthony95884 жыл бұрын
😂😂😂
@issangyabertha57414 жыл бұрын
Gari liliwapita kama mshale,,,, ongeren polisi wetu
@pericykiko61984 жыл бұрын
Issangya hahaaaa
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
🤣🤣 kwa msisitizo
@mwanalikhamis98754 жыл бұрын
hongereni jeshi lpolisi poleni nakazi nnzito mungu atwasaidia
@orestpaul42734 жыл бұрын
Congratulations makamanda!
@khatwabmpinga86024 жыл бұрын
Safi Sana'a vijana kazi nzuri
@stephanojackson82804 жыл бұрын
Barakoa ya mheshimiwa nimeipenda.
@upendoamani50544 жыл бұрын
Stephano Jackson hunishindi Mimi nilivyoipenda
@pericykiko61984 жыл бұрын
Sana yani nzuri sana
@bjzee19814 жыл бұрын
Ya RC au
@stephanojackson82804 жыл бұрын
@@bjzee1981 ya kamanda
@upendovitarlees81404 жыл бұрын
Hongereni polisi kwa kazi nzuri
@Dm-yd1tl4 жыл бұрын
Gongalike kama umesikia sniper wazuri
@roseberryhamoud65424 жыл бұрын
Dm sniper ni mdunguaji. Hajakosea. Ulidhani kamaanisha sanitazer
@eliaskayegezi35854 жыл бұрын
@@roseberryhamoud6542 Mwenyewe nimeshangaa like zaombwa kwa kusikia neno sahihi kabisa sniper
@mursalseleman21744 жыл бұрын
R.P.G aliyo itaja hiyo ndo mwisho wa stori hta ndege inageuka jivu sekunde
@abubakaryomary39854 жыл бұрын
Big up"saluti kwa kazi nzuri sana mliyo ifanya jeshi la polis namiombea kila la kheli
@WitnessMwanga3 ай бұрын
Jamn tunaomba wafungwe maisha yao yot, hongeren kwa kaz nzur
@maryamm77654 жыл бұрын
Amepata sababu hizo barakoa kuziba uso 🤭😷😄
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Ooh hongereni sana kwa hili 🙌 Nimeipenda Pigeni kazi
@dizzboss75264 жыл бұрын
Munira mamb vp
@SamJux14 жыл бұрын
Kazi nzuri
@sadadololi45454 жыл бұрын
Mungu mkubwa 👏👏🙏🙏🙏
@RichardRichardAlfredynombo9 күн бұрын
Kunawatu natakakunihu Julie na angel na alfredy nombo na matrin ni watu baya wanasheliki kunitoa huwahiwangu Richard Alfred ynombo
@diltondilunga99154 жыл бұрын
Hongera sana jeshi la polisi Mkoa Arusha,na ni bidii za rais wetu mpendwa ,ktk kuimarisha uzalendo na uwajibikaji ktk kazi
@shailashaila69134 жыл бұрын
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
@Zainab-sq1tc4 жыл бұрын
Sanaaa ndo mana hatufanikiw awaafica
@DoricasJeremiaКүн бұрын
Hongera sana porisi wote hii nikazi kubwa
@emmanuelangoi69734 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi mliyofanya,majambazi hayo yabaki jivu
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
Mbona uyu babu kajiprotect sana kuliko hata wahudumu Wa afya.😂🤣
Hongera kwa majambazi..wanajitafutia..kazi ni kazi bhana.Majambazi ya kalamu hamuyaoni..wapo ofisin wanaibia raia kwa vyeo zao
@rukiamohammed50314 жыл бұрын
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
@jacksonmalolage94764 жыл бұрын
Kumbe na waganga wanasanitizer za kienyeji ili kukinga risasi😁😂😂
@abdikadirmohamed9684 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mliafanya kuwa kukamata wezi hawa bila shida "MUNGU awabariki kwa umri na afya wapolisi wetu". Asanteni sana.
@bjzee19814 жыл бұрын
Safi sana. Ninge waona hao askari ninge wanunulia chai . Ila wange wa rarua rarua badala ya ku wa acha wanapumua
@isdorimadoshi284 жыл бұрын
Kazi nzur mungu aendelee kuwapa nguvu
@gladistaemanueliy63363 сағат бұрын
Asante mh wetu
@joycesagga81314 жыл бұрын
Nmeipenda barakoa ya kamanda
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Asanteni polisi kwa kazi zuri
@shaabaniali98164 жыл бұрын
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
@dismassmariki69854 жыл бұрын
Hongereni sana hiyo ndio maana ya Ulinzi wa raia na Mali zao, Asanteni sana
@cheddykipingu80874 жыл бұрын
Huyo mganga mdudu Corona tu amemshinda so wanategemea ndy smg itamkosa.. 🤣🤣🤣
@jackboma71294 жыл бұрын
Big up papa
@fatmakigula86344 жыл бұрын
Huu utawala mwingine mzee magu anamungu uchawi haufai saiv huyu baba mtu wa mungu majambazi bora wakalime
@martinemazoya57004 жыл бұрын
Mshana hongera kwa kazi yako unayoifanya Arusha tunakukumbuka mwanza
@vickykwimbere99044 жыл бұрын
Hongera sana jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Mungu awalinde.
@shabansamwi98914 жыл бұрын
mnajitahidi sana ck hiz arusha arusha ilikuwa mbay sana hap nyuma walisha fanya ni kichaka chao cha kujificha
@saitotisaitoti67344 жыл бұрын
Mganga alijifanya kinjekitile ngwale,🤣🤣
@yasintakihwele14134 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hassanalaba72894 жыл бұрын
😂😂
@josephmaina25854 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@frolamazimba4654 жыл бұрын
Police fanyeni Kazi vizuri sana
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Hongereni vyombo vya usalama,wanarudisha maendeleo ya watu nyuma majambazi hao..adhabu kubwa inawapasa,..
@lucyathumani32474 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la police mungu awalinde sana
@mtaalamshekidele16614 жыл бұрын
Kazi nzuri makamanda
@stephanojackson82804 жыл бұрын
Serikali makini
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Mkasi wanaita shikamoo mzeee 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@JoyceRichard-qo4gn10 күн бұрын
Ongereni sana mapolisi kwakazi zuli ila wanatakiwa kuwawa kwasababu iwefuzo kwa wezi wengine
@immawachambuso67724 жыл бұрын
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
@marrynyagawa69974 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la police kwa kazi kubwa mliyoifanya
@policejamiimkumbwa94054 жыл бұрын
Kazi nzuri sahihi
@user-ui1qs9yl1n3 ай бұрын
shikamoo mzee hiyo ni noma
@salumumambosasa74464 жыл бұрын
Hao majambazi wana roho ya chuma nini? Watu tunaangaika na corona wao wanatuletea majanga mengine
@d.a.t33834 жыл бұрын
Hawaogopi wako hospital ss akiwekwa na mgonjwa wa corona si kajitakia
@samiraali55054 жыл бұрын
Hapo sasa
@didakassim86664 жыл бұрын
Nandio mana wakaitwa majambazi mana hapo imani ata hawanayo wanajali kaziyao
@ednajeremiah86714 жыл бұрын
Hongera asikari wetu
@ashulamusin98114 жыл бұрын
Nawapenda sn polic wetu kwa kazi nzuri
@bizuwena6234 жыл бұрын
Shukran kwa kazi nzuri jeshi la Polisi
@vibetz99914 жыл бұрын
MBONA dawa zenyewe Kama sanitizer .
@zuhuramwanga30434 жыл бұрын
Umeona eee. Walikuwa wanajikinga na korona pia
@furahatarimo48744 жыл бұрын
Itakuwa wameweka kwa bbo ya sanitize
@suzanfelix88574 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mwaka wa Mambo huu kumuomba tu mungu atujalie uzima tuzidi kuyaona
@naamohamed99644 жыл бұрын
😃😃😃😃jmn
@pericykiko61984 жыл бұрын
Hahaaaa Vibe
@maryamabdallah31404 жыл бұрын
Mh. Mkuu wa mkoa...barakoa yako...mmmh
@kenybenjiz78504 жыл бұрын
Kamanda Shana umetisha na mask hyo hahaha
@arafakiloli7494 жыл бұрын
Ngosha kawaingiza jelaaa🤣🤣🤣
@elmasroj97124 жыл бұрын
Asanteni sana kwa kazi nzuri
@frolamazimba4654 жыл бұрын
Peleka jela hao wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma bila kutumia jasho lao
@youngyayoo28054 жыл бұрын
😂😂 eti inaitwa shikamoo mxee
@mamakite85064 жыл бұрын
Mganga we msenge
@filbertmushi5484 жыл бұрын
Hongereni makamanda
@tausilazaro29894 жыл бұрын
Mungu awakumbuke maaskali wetu kwakukamata waaarifu
@pascalmstaarabu43724 жыл бұрын
Safi kamandaaaa
@rozinageorge18124 жыл бұрын
Nakukubali kamanda
@benjamadongo4 жыл бұрын
Safi sana JESHI LA POLIS
@abasanjayusufu72664 жыл бұрын
Et inaitwa shikamoh mzee hahahahhah
@rshidmwasa84934 жыл бұрын
Safi saaaana wazee,,tumewasoma maana hao washenzi wanaturudisha nyuma sana
@alextercisio Жыл бұрын
🤣🤣🤣eti Mgaga aliwaeleza hawawezi kamatwa duuh ...ujinga ngani huo
@grandmaempiresecret4 жыл бұрын
Hongereni Sana ,jeshi la police📢📢📢
@happyidama58364 жыл бұрын
1
@attusanga82104 жыл бұрын
hongereni kwa kazi nzuriiii
@fredytarimo91074 жыл бұрын
Hongereni sana police wauweni tu hao
@UzalendoNaUtu4 жыл бұрын
By the way ni nzuri coz huenda wangeua huko waendako
@TheRock-wo6mx4 жыл бұрын
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
@robertigohe74772 ай бұрын
Arusha kuna nini mrudieni Mungu Aliye Juu Bwana Yesu 🇮🇱🕎🔥⛪
@LOA_school4 жыл бұрын
mganga alikua anapunga madawa kwa mkono jamaa wakalamba vidole hahahaha
@meshacktimoth13704 жыл бұрын
Kazi njema nchi yetu tunailinda wenyewe . Hongera sana Askari wetu
@mwaswa18994 жыл бұрын
Hongereni askali wetu ,tunaomba serikali iwapatie siraha za kisasa
@tausilazaro29894 жыл бұрын
Afande mungu akupe miaka 200000
@cornelmichaelz4 жыл бұрын
MNAKUJA KUIBA KWENYE JIJI LA WAHUNI,ASKARI WENYEWE WAMEPINDA DAKIKA ZERO TU UNAENDA PEPONI.
@jumandutu22754 жыл бұрын
Shikamoo mzee
@agiasaidi52944 жыл бұрын
Marahaba 🤣🤣🤣🤣
@jumandutu22754 жыл бұрын
@@agiasaidi5294 😂😂😂😂 daah ule mkas noma
@zawadijuma96815 ай бұрын
Shikamoo mzee😂😂
@kenybenjiz78504 жыл бұрын
Hahaha Shana comedy sana hahah
@mwajumajumamwajuma64004 жыл бұрын
Majambazi ni wanatuludisha nyuma nibora ata mchawi yani hongereni sana policy kwa umoja wetu
@papayatnzania10054 жыл бұрын
Hivi vijambazi ushuuzi kuma sana hii ni awamu ya tano sio ya yule mzee wa vijembe eti umwambafaa polisi siku nyingine wapigeni na bunduki wafe kabisaa hao ni maadui wa watanzania na taifa kwa ujumla
@neemasanga32834 жыл бұрын
Hawatakiwi kutoka hao, wapotelee huko, hongereni sana jeshi la police kwa Kazi nzuri
@lilianwilfred32714 жыл бұрын
Thank you Jesus kwa kuwasaidia polisi kumkamata shetani akiwa kazini na watenda kazi wake
@stevenlugo81954 жыл бұрын
Hivi Hawa Majambazi Hizi Bunduki Huwa Wanazipataga Wapi? Wakati Hivi Vitu Vipo Chini Ya Utawala Wa jeshi la police??
@stevenlugo81954 жыл бұрын
Zina pita kwa njia gani Wakati Kuna mipaka?? Na hiyo mipaka inalindwa na jeshi la police..