Mwakahuu mungu pamoja nasi ushoga ni chukizo kwa mungu
@Shafikimanga73 ай бұрын
Ukweli umeanza kujulikana baada ya propaganda za us kuwa na nguvu kwa miaka mingi.
@chrispinmkanda60973 ай бұрын
USA Awana vitu km hv sio!?
@Shafikimanga73 ай бұрын
@@chrispinmkanda6097 hawana
@KassimAlly-xp4dz3 ай бұрын
Na anajipanga ku2mia mbinu zengine 2mechelewa kushtua mbinu zao
@paulhema57133 ай бұрын
Ila mwanang una material...ivi huwa unatoa wap material yote haya ...solute kk🤙
@uwimana65333 ай бұрын
Hatari sana
@caesargrams3 ай бұрын
Whoever reading this, I prayy that whatever you’re going through gets better and whatever you’re struggling with or worrying about is going to be fine I wish you the best of what life has to offer.💯
@salimwanga3 ай бұрын
Habari njema.🎉
@hassangaddafi23473 ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@erastosanga16943 ай бұрын
Keeping up putin with excellent innovative of the high technology of war ships .
Ally una chambua vizuri sn inaeleweka ila. Hauzami Kwa uundani zaid kuelisha mtu mweusi. Mwafrika dj smaa anafanya ivyo. Ila Kila mtu analza yake
@GabrielSky643 ай бұрын
Wazungu wote ndio wale wale tu. Africa tushtuke tuache umavi ulio tujaa kichwani
@hunstonjuliusmkonyionlinetv3 ай бұрын
meli zaifu na za kizamani
@ALLYLUKONGE-ve2ci3 ай бұрын
Mt Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@goodluckdamian95213 ай бұрын
Nevi sio Navi (Navy)
@african_channel3 ай бұрын
Kuna tofauti gani kati ya navy na marine soulders
@daprince75453 ай бұрын
Lote ni jeshi moja, linalokua kua na uwezo wa kupigana ndani ya maji na ardhini.
@thefactbook...16073 ай бұрын
Marine ni jinamaalum la wanajeshi wa maji wa marekani ambao ni sehemu ya jeshi la navy.
@charlesmwambinga43553 ай бұрын
Umesahau jambo muhimu Inauwezo wa kujificha kwenye Rada...yaani inaweza kupita sehemu na isionekane kwenye Radaa..
@thefactbook...16073 ай бұрын
Nini bosi kama ni submarines zinatumia mfumo wa sonar.
@IsayaSosolo-nx8zk3 ай бұрын
Ulisemaga au ulizungumzia?
@hemedjackson22613 ай бұрын
Huyu bwana hachambui Ally masubi, amekuw kama anasom kitabu sasa hatupati uhondo mzuri km Dj sma
@ShawnBeatz3 ай бұрын
kwasababu hana hushabik
@niffonlinetz72143 ай бұрын
@@ShawnBeatzUSHABIKI GANI ANKO ??? UNATAKA ULETE HISIA ZAKO ZA KIDINI KWENYE FUSE?? HUKU NI FACTS AND LOGIC'S HUTAKI NENDA BBC KULE
@ShawnBeatz3 ай бұрын
@@niffonlinetz7214 dini tena mm mpagan anko! hana facts wala logic apo
@niffonlinetz72143 ай бұрын
@@ShawnBeatz KWANI UMELAZIMISHWA ANKO KUMSIKILIZA USIWE KINGANGANIZI KAMA LOKOLE
@GorbyWilliam3 ай бұрын
Tunarudi kuleee kwenye Cuba missiles crisis.
@steavmcper73223 ай бұрын
Tyson Vs Paul
@msukumamnywamaziwa27853 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@mtzhalisi22323 ай бұрын
Sasa mlisema meli tatu... Sasa hivi meli moja
@abdallahibrahim2803 ай бұрын
Daah ni zaidi zama za vita baridi lkn nauliza si rahisi saba kwa waamerika kuzishambulia na kuzizamisha na kuwapa urusi hasara kubwa?
@LumumbaFarhani3 ай бұрын
Wanaziogopa kama sumu ndio maana hawajazigusa
@jamessiame51693 ай бұрын
Amuna kitu apo
@shaurimtanda82853 ай бұрын
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
@shaurimtanda82853 ай бұрын
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
@MAHAN-SMART3 ай бұрын
Hawa warusi ni hatari
@PaulEbby-n4r3 ай бұрын
Uuraaaaaaa
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Wacha mfusi awape kampani wa quba wameteseka sana
@NdovuDentalClinic_3 ай бұрын
Corona ilianza kimasiahara hivihivi . Tujipange na Sisi 😂😂
@josepheriah59773 ай бұрын
Ukraine mbabe
@josepheriah59773 ай бұрын
Ukraine anazilipua
@BenjaminMetanyau3 ай бұрын
Hapo smaa naye amekaa anajifunza kwa Ally🤣🤣 maana huku pamoto🧐 kuvichambua vifaa kazi yake tena kwa uhalisia ? Hapana wazee wangonjera msubirieni taalifa inayofata anakuja 🤣
@jkifutu79363 ай бұрын
Msulimoto 🇷🇺
@erastosanga16943 ай бұрын
Heko putin propaganda kwisha
@elinathanbanka54853 ай бұрын
Inaonekana hujaanda mpango Kaz wako vzr mzee yaan Bora mkurugenzi bundala awe anatuwekea tu yeye maana Ile mashine ikiongea hata kama unasinzia utaamka
@AmosFocus-jd9qo3 ай бұрын
Vita visikie kwa jirani acheni uchochez kiki nuka dunia itakuwa kama kitongoji
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Putin kaza baba
@salemaliy19633 ай бұрын
Muongo ww mara 5 mara 6 muongo
@thefactbook...16073 ай бұрын
Uongo ni upi bosi..?.
@godfreyfrugence41763 ай бұрын
Nipo Russia hap kwenye kumbukizi ya Yevgen prigozin na nakupata kinoma