Рет қаралды 1,683
"Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza."
"Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea."
"Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, Bwana asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza."
"Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena." 2WAFALME 2:19-22
Welcome to all our Online Family who are joining us from around the world. This is your Home and Altar.
KZbin @PROHET NICOLAUS SUGUYE
Instagram@Prophet_Nicolaus_Suguye
Facebook @Prophet Nicolaus Suguye
Twitter@Prophet Nicolaus Suguye
We are praying for you. Every blessing declared on this Altar is YOURS. GOD BLESS YOU.
Share Your Testimony through WhatsApp Video on +255 673 117 117
CONTACT US: E-mail: info@wrm.or.tz
Usisahau! Share, Like, Comment, na Subscribe video zetu ili uwe wa kwanza kupata mafundisho ya Chief Prophet Nicolaus Suguye.
We are receiving your prayer requests. Chief Prophet Suguye will pray for you. Every blessing declared on this Altar is YOURS. God bless you!