Naomba sana tena sana story ya germany flight 2015 rubani kichaa alieangusha ndege na kuua watu 150
@MbarakSoud3 ай бұрын
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN sasa wazungu wanaangaika kwa nini wako mitume wanauwezo wa kumfufua mtu wamfufue wamuulize alafu arudi tena kwenye umauti wakristo mpo wapi jamani
@Msafirimakini2 ай бұрын
Umeongea upumbavu mtupu bro sijui unavuta bangi ya arusha
@MbeziAmos3 ай бұрын
wa 19leo😂 , em nipeni like zangu jaman
@vononlinetv63963 ай бұрын
Boss si siku 1 utuelezee mambo ya matrix
@ibrahimame98053 ай бұрын
Watu wanahangaika kitaka kumpiga marekani wakati wapo vijana wenye uwezo
@Khadijahamza-o2n3 ай бұрын
Wa kwanza leo nipeni like zangu
@massawemrlowprice39493 ай бұрын
Waliosikia msimuliaji akimtaja Bideni kama Rais wa zamani wa marekani tujuane kwa like hapa 👍
@eliuskamwelwe10183 ай бұрын
Ukisia paah ujue imekukosa ,alierenga Hana shabaha amefanya makosa😅😅
@japhetkarori52303 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@devisshirima67803 ай бұрын
Hivi kumbe Trump na yeye anatoka damu nlijua wanavuja diesel au mafuta ya ndege 😂😂😂😂😂
@azizayassin36233 ай бұрын
Uko na ujinga sna
@funganjiajustinselemani50672 ай бұрын
Ilo tukio sio feki Mkuu wangu 🇨🇩
@franssmoses67912 ай бұрын
Ipo wazi kabisa tukio ni la kutengenezwa
@ismailisuma10752 ай бұрын
Tukio la kutengenewza trump amenusurika kupasuriwa kichwa😢
@mussaidriss56623 ай бұрын
Please Brother Justen Shedy tueleze mambo ya MATRIX
@samwelsengati13693 ай бұрын
Vitoto vya elfu 2 vinasumbua hadi marekani
@josenyambeo35873 ай бұрын
Cyo kweli
@MichaelBernad-s3t2 ай бұрын
naomba hadithi ya princess diana na phia ule wimbo wa michael jackson wa dirty diana ulikuwa na uhusiano fln kuhusu huyo prncess diana j?? plz justin naomba maelezo
@albertkatuga24343 ай бұрын
Hayo ndio madhara ya raia kumiliki bunduki kirahisi
@devisshirima67803 ай бұрын
System!! System!! System!! Mfumo !! Mfumo !! Mfumo !!
@martinfrancis98083 ай бұрын
Ahsante Sana kaka tileteee nyingine
@sharifabahar99053 ай бұрын
Wamemuwa huyu wamejuwa atawataja walio mtuma
@Younomane2 ай бұрын
Iri hariingiyi kakirini
@funnytiktok09043 ай бұрын
Bro naoma video kuhusu historia ya kampuni ya FedEx toka kuanzishwa na namna inavyo fanya kazi🙏
@Ostaziytgames3 ай бұрын
Acheni kudanganya 😂😂😂
@Alexkipkorir-o4j3 ай бұрын
Kenya tuko Ndani 🇰🇪🇰🇪
@danielkombe17603 ай бұрын
Unyama
@haggaemkulungu94473 ай бұрын
Asingeuliwa huyo kijana ningeunga mkonio kuwa ni feki
@SaadSaad-iw2yu3 ай бұрын
Mbona hajaitwa gai
@nelsonnikodem11003 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 umeuliza swali la msingi
@mashanjepa92033 ай бұрын
Ila mwangoza Kamela uwenda alipitiwa na usingizi apa kunamkangayiko kidogo
@pauldotto78683 ай бұрын
Hili tukio sio feki . Angekufa frump mungu alikuwa upande wake
@MabulaMaguta3 ай бұрын
Afe wap katengeneza tukio
@jamesjoseph68253 ай бұрын
@@MabulaMaguta yaani katengeneza tukio na dogo auwawe pia?
@Mtumakini3 ай бұрын
Mbona ujatuambia aliwezaje kufika pale na ukaguzi wote ule
@chiefkibona73093 ай бұрын
Kichwa chako cha khabari ni chenye chuki juu ya Donald Trump. Donald Trump the man and half servant of GOD.
@nakeidepaulo27663 ай бұрын
Mtoto wa mwanasaikolojia Daah anyway mganga hajigangi
@Godwisdom23 ай бұрын
Asante
@ruubenjr-gr5qx3 ай бұрын
apa kama FBI na CIA Wamekosa majibu sie wabongo hatuwez kuota majibu kaka haha!!
@IddySimba-fp2cc3 ай бұрын
Dah umekosaje pale
@bladleyabdul51452 ай бұрын
Uu ni mchongo
@nikkimbishiunju24023 ай бұрын
We jamaa Joe Biden ni Rais wa zamani wa Marekani?Hebu kuwa serious kidogo!
@willymaulidi39913 ай бұрын
Bila uchunguzi usio kuwa huru.unategemea nini?
@ABDALLAHKAHITE3 ай бұрын
Wapili leo
@melichmahingule28963 ай бұрын
Huwezi kufanya tukio fake kwa kulenga kichwa
@AbdallahMihiko3 ай бұрын
Me mwenyew kama naanza kuamin kuwa ni tukio fek kwa maelezo uliyoyatoa kumuhusu huyo dog kwamba hakuwah kujihusisha na maswala ya ugaid
@ManJPaul3 ай бұрын
Sasa mzee Trumple ananjaa gan mpaka atengeneze inshu ya kuonewa huruma na watu wampe kula? Risasi ipite sikioni vp ingempata napo wangesemaje?....
@AbubakalMnubi3 ай бұрын
Sisi hatuezi kujua bali wew fatilia ili utupe majibu kamili maana tunakukubali sana
@abdizahimhajir21163 ай бұрын
Kuligana na unajimu,hii ni siasa tu dogo mwenyewe ni sniper namba moja.nikifanya hisabu kijana Yuko hai atafanyiwa upasuji yaani plastic surgery kumgeuza sura.FBI kwani hawana sayansi ya unajimu😅?
@NuruJara3 ай бұрын
Huyu alikurupuka tu ajaribu kama ana weza yeye ni mtu wa Chess ♟️
@JamesKimandu-pc6lh3 ай бұрын
Wasen uongo ikuwa imepagwa
@rogasianshayo37403 ай бұрын
Mzee wake kamponza😅😅
@nzurisanatv22853 ай бұрын
Raisi wa zamani?
@amanmaleko30853 ай бұрын
Hilitukio sifeki alizamiria huyo kijana
@mashanjepa92033 ай бұрын
Hilo tukio ni hualisia kabisa
@JohnbuhuruJohnbuhuru3 ай бұрын
Hapo naona ninjamatu za kisiasa ili trampo apate credit kwawatu ionekane anakaushujaa haya tumeyaona sana kwenye movie huwez pigwa risasi ubarazwe skio
@sharifali1783 ай бұрын
Ndio ni face sikiliza kauli alio kua anazungumza wakati anadunguliwa 2 sneper wa trample kwanini alikua sehemu yawazi nakwanini hawakuweka maaskari kwenye majengo marefu yalio kanibu na mkutano
@lambertkasomo55203 ай бұрын
Tukio hii siyo feck, Trump alikutana na kijana wapi? Ili deal hii ipangwe kama ilivyo Pangwa?
@issaismail40813 ай бұрын
Asee kwamba niishu ya kutengenezwa hapana kwasababu 1 ilikua ni sentmita chache ifumue ubongo ; sasa kawaida ya hotuba ya siasa ndio iliomnusuru tramp kutokua na utulivu jukwaani tofaut ubongo wa tramp ungeokotwa
@CristinahKimaro3 ай бұрын
sasa kama ni fake kwann wamemuua huyo kijana,,, haohao wana usalama ndo wanajua nn kinaendelea,,,,,mana kikulacho kinguoni mwako🙄
@OswaldSalvatory2 ай бұрын
Wanaficha ukwel nimefatilia source nyingi ila hakuna waliosema kwann kafanya hivyo BILA shaka serikal iliyopo madarakani
@EMANUELMUSHI-kk4df3 ай бұрын
Na mm nahisi ni fake, kwa maslahi yake
@josenyambeo35873 ай бұрын
Cyo fek bro
@nasibuahmedy24383 ай бұрын
SASA TWENDE KAZIIIIII
@JohnCeggy-vx2fr3 ай бұрын
N uhalisia mtupu
@Masanjapiter3 ай бұрын
Nifeki
@King_Of_Everything3 ай бұрын
✌️👊👍.
@saulomathayo3 ай бұрын
Haiwezi kuwa fake.
@DaudiHamisi-un2uu3 ай бұрын
Sio fake Serikali inahusika
@benOfficial363 ай бұрын
Huku kwetu bongo miaka 20 hana raman yoyote anawaza kulala kwa baba na mama pamoja na kuvuta bangi, Wenzetu wanawaza kumwaga ubongo wa Rais 😂😂😂
@wilondjarama14273 ай бұрын
😂😂😂
@Veronika-tg6yz3 ай бұрын
😂😂😂
@simontamba12852 ай бұрын
Yaaani hata ujuzi
@simontamba12852 ай бұрын
Yaaani hata ujuzi anakuwa hana
@emmanuelmasele49903 ай бұрын
like zangu nazitaka
@alchemytz5473 ай бұрын
Ilo tukio n Fake coz uchaguz uliopita alitoka kwa haibu ko analazimika afany ivo il ionekane anamadui weng