Amen mtume wa yesu nambarikiwa na maumbiri yako,,,, i'm watching from saudia i'm blessed🙏🙏🙏
@izaknanyaro14113 жыл бұрын
Pastor nilianza kukuelewa sana tangu kwenye ule wimbo wa Muzina nakupenda sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
@Devothakimei3 жыл бұрын
Waoooooh. What a powerful teachings? Asante mtumishi wa Mungu. Nimekuelewa sanaaaa. Hili somo ni applicable sector zote za maisha. Asante mlezi wetu
@eutropiangido96843 жыл бұрын
Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia. Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo
@godwinmakomba27143 жыл бұрын
Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana Asante Apostle
@laurentiuschalles59253 жыл бұрын
Na Ahimidiwe Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wake Apostle Mtalemwa.
@samsonmgonja40143 жыл бұрын
Msumari wa inchi nane unaumaaa lakini tumepona,meseji sent,hata Roho mtakatifu kafurahi
@tumainimbogo54123 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....
@lissajeruto53733 жыл бұрын
Sure Ameen
@christinengule4718 Жыл бұрын
asante mtumishi nabarikiwa nkiwa apa🇰🇪
@betkyasio68483 жыл бұрын
Mwanangu atapona kwa Jina la Yesu
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Apostle,mahubiri haya nizaidi ya mwaka nimeyafuatilia leo,kweli yamenivusha ninako pita, Haleluuuuya 💪🙏
@junioraria3428 Жыл бұрын
Amen amen mutumishi Mungu akuzidishiye
@lydiamokeira60623 жыл бұрын
Napenda sana Mafundisho ya huyu Pastor. I always listen to your teachings 🙏🙏
@elwinushaule78053 жыл бұрын
я
@ahmadronald63893 жыл бұрын
pro tip : watch series at Flixzone. Been using it for watching loads of movies these days.
@kyeterrance62883 жыл бұрын
@Ahmad Ronald Yup, been using flixzone for years myself =)
@adrielpablo533 жыл бұрын
@Ahmad Ronald yea, I've been using flixzone for since december myself :)
@korbynpaxton4103 жыл бұрын
@Ahmad Ronald Yup, I have been watching on Flixzone for years myself =)
@isackmapuli97203 жыл бұрын
Hakika nimekukubari mtumishi was Mungu, karne hii inatakiwa iwe na mashujaa kama wewe. Barikiwa.
@dismasi74343 жыл бұрын
Amina
@esthercharles22103 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa MUNGU umenifundisha jambo sana hakika sitajisahau tena, Barikiwa sana Chief.
@davidpeter79263 жыл бұрын
Apostle ni mtu wa wap
@user-mr6ss8ex3f6 ай бұрын
Ameeen barikiwe sana mtumishi
@janetmulongo27312 жыл бұрын
AMEN..huu ujumbe umenibariki
@putgmedia3 жыл бұрын
Eye opener. Be blessed man of great God. Am watching from Kenya.
@dianasago92142 жыл бұрын
Huyu mtumishi nampenda Mungu azidi kumuweka hakika akifundisha Neno namuelewa
@jaredmayaka29933 жыл бұрын
Powerful teaching thanks may God bless you 🔥🔥🔥🔥
@wijopowertv32613 жыл бұрын
Powerful teaching, Asante mtumishi
@godianmande49203 жыл бұрын
A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!! God Bless you more Man of God.
@evelenev28773 жыл бұрын
I like the Apostle so much God bless your ministry 🙏🙏
@paulinalerise6843 жыл бұрын
Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda
@alanlugano33223 жыл бұрын
Very powerful teachings Bravo! Pastor
@gracedamas58833 жыл бұрын
Ameni
@episonfelician76703 жыл бұрын
Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa
@episonfelician76703 жыл бұрын
Amen Apostle Mtalemwa
@episonfelician76703 жыл бұрын
Mtumishi nimesoma ujumbe wako nakuuelewa lakin nataman kukutana na wewe nijue zaidi sijui unanisaidiaje kwa hili maana Naona moyon sijakaa swa
@episonfelician76703 жыл бұрын
Naweza kukupataje kesho nikuone maan ujumbe wako nimeusoma lkn bado ninayo ya kukuliza uweze kunisaidia Mtumishi naomba msaada wako
@erycahkiwale87573 жыл бұрын
Mungu akuongezee miaka ya kuishi mtumishi wa bwana
@leonbwenda19453 жыл бұрын
Powerful teaching Apostle Asante kwa mafundisho
@grolianentikwiza16973 жыл бұрын
Thank you so much apostle Mtalemwa God bless you so much my apostle
@janetfrancis71803 жыл бұрын
Asante sana Apostle nina barikiwa na neno lako nikiwa nchini Brazil
@lilianlubanga40103 жыл бұрын
Very encouraging and GOD BLESS you Apostle.
@mercykimani97412 жыл бұрын
Thanx. Coz of the revelation man of God.Nkr city Kenya
@priencedamdoek5083 жыл бұрын
Nashukuru sana Mtumishi 🙏 unacho hubiri ni sahihi kabisa leo umenifumbua macho nimejifunza uhalisia wa maisha Asante sana 🙏🙏🙏
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
Glory to God🙌🔥🙌Blessed Man of God the WORD PREACHED, HEAL RESTORE MY SOUL🤲🔥🤲🔥🙏🙏🙏
@eastersanga66323 жыл бұрын
Thanks very much postor i understand you.🖒
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi kweli IPO tuombe Mungu Sana tuchukue tahathari pia
@janethmukala863 жыл бұрын
Umenifanya nijue mengi juu ya Maisha yangu na napona na nitaendelea kupona .barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
@rashidshikombola2133 жыл бұрын
815
@elizabethchales26633 жыл бұрын
Amina 2tasimama tena kwa jina la yesu
@selinanyale5398 Жыл бұрын
Be blessed man of God
@happyhappy-ym2su3 жыл бұрын
Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi
@elizabethmambai20723 жыл бұрын
It's true man of God if u relax they come again thanks for gud mission
@sallygrace14953 жыл бұрын
Bwana Yesu Asifiwe Naamini kupokea in Jesus mighty name above every name 💞
@hellenkendi70783 жыл бұрын
Am blessed so much pst be blessed. .
@mercykimani97412 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu wanibariki Sana. Nakuru_Kenya
@lucymbone89743 жыл бұрын
Powerful teachings pastor
@mayalamashaka15263 жыл бұрын
Ninabarkiwa sanaàa namafundisho yako lkn naomba namm uniombee mtumishi Niko nachangamoto nying bwanaaa akuinue sana mtumishi
@joycemaige68383 жыл бұрын
Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi
@isaacnandasaba61903 жыл бұрын
Nimejazwa na mafundisho yako Mungu akuinue
@jamesdioniz32433 жыл бұрын
Powerful teaching God bless you Chief Apostle
@rahabnkya82763 жыл бұрын
Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..
@misssharonerasmus3 жыл бұрын
YATOSHA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Bless you Apostle
@fatumasaleh94912 жыл бұрын
Thank you Chife apostle mtalemwa, sema baba that is true
@ireneminja17213 жыл бұрын
I hear you APOSTLE....let's fight again ... Mungu wetu atatusaidia
@ireneminja17213 жыл бұрын
@@pastorseanpinder1928 kwendraaa
@florianmgata10453 жыл бұрын
one ofe postler that never listen before, 💪💪
@neemaadam92563 жыл бұрын
Hallelujah 🙏 upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu
@mellenmsomi69743 жыл бұрын
🙏🙏🙏Amen
@geofreykilasi73543 жыл бұрын
Shalom shalom chief Apostle 10G
@kansiimesecurity43473 жыл бұрын
Mungu akubariki umenena ukweli umetwambia
@noelmwikeve62553 жыл бұрын
Halleluya I learnt something even though am at school.
@aminamogan65473 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi karibu na kwetu Mbeya jmn
@catherinemosses51173 жыл бұрын
Nashukuru kwa kunifundisha kuwa shetani anarudi sintazembea kuomba
@jacobsimon78773 жыл бұрын
mungu ndio muweza yayote sisi tutaendelea kumuomba hatuepushe tena ktk ugonjwa huu
Amen in the mighty name of Jesus Christ Amen Hallelujah Glory be to God
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Asante mtumishi ni mafundisho ya leo imenibariki🙏🙏
@monicabh16683 жыл бұрын
Soooo 💥 powerful 🙏🙏it is done
@issamagabiro3162 Жыл бұрын
Pasta, ukweli napenda sana mafundisho maana yamebase kwenye biblia
@juenjuen75363 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@kombeonaumishenaritv6423 жыл бұрын
Vyemaa
@nelsonsalumuclovis7533 жыл бұрын
Amena. Mungu akubariki sana
@florakamuzora56693 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kweli
@evelynjohn27063 жыл бұрын
Powerful 🔥
@rosemarymallya44582 жыл бұрын
ALUTA CONTINUE TUNAENDELEA KUPAMBANA🔥🔥🔥
@esaumahundi50763 жыл бұрын
Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
Neno la MUNGU ni upanga ukatao kuwili
@TRIPLE_M_13k3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@jonsonnicholous12083 жыл бұрын
Dar mungu ana vyombo nimeamini be bresed
@alicekhamayo19913 жыл бұрын
Amen kweli More grace
@paulmbegu98123 жыл бұрын
Mungu akuzidishie hekima na maharifa
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia na kukutunza, sema tufundishe tupone
@aminam2673 жыл бұрын
Mimi ni amina mu Kenya 🙏🙏🙏🙏
@neyhmrs77042 жыл бұрын
AMEEN
@montteyfloki39533 жыл бұрын
Ninacho mpenda huyu baba ni mkali ktk mafundisho yake
@katewinniewandoe28633 жыл бұрын
Amina nimepata neno sitasahau kamwe kwa nn yanajirudia tu mambo
@gracekabigi96803 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa somo umenifungua
@evalinegodfrey2702 жыл бұрын
Amen
@varieties24773 жыл бұрын
Amen man of God
@josephclemence44413 жыл бұрын
Mtumishi uje na bukoba jamani
@julianlaurent21073 жыл бұрын
Hongera mtelemwa uko imara Sana maake watumishi wengi watia hofu waumini wao badala ya kuwapa moyo wa kua na Imani kamili
@williammathias12303 жыл бұрын
God bless you
@maxmiliannassary18353 жыл бұрын
Amen amen Hallelujah hallelujah hallelujah
@davidpeter79263 жыл бұрын
My.pastor
@jakee20412 жыл бұрын
Ameeen. Even former American President Obama looked for his generation home.
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
From nchi yambali tunakupata sana
@prisykj67273 жыл бұрын
Huyo ndio 10G bwana..teachcy chief.!
@siporajemes7733 жыл бұрын
Nimekukubari mtumishi
@oskarnyakunga68643 жыл бұрын
Umenifungua sitakiwi ku Relax
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Sema.sema.sema.una.neema.ya.ajabu.yaa.eti.midhambi.inaendelea.matatizo.yakome.tanzania kama dhambi.inaendelea.basi.na.matatizo.yapo.yanaendelea
@blandinasilas3 жыл бұрын
Kweli kabisa wengi hatutazami neno tunaangalia media upo sahihi barikiwa