ALI KARUME: NINAKUNYWA SIO MLEVI/MIMI BADO NI CCM/NINA NAFASI YA KUWA RAISI ZANZIBAR/MAPINDUZI

  Рет қаралды 76,874

ZamaradiTV

ZamaradiTV

5 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 142
@skjjsj1889
@skjjsj1889 5 ай бұрын
Ma sha allah huyu Kafanana sn na marehemu bb yake
@hakunamatata8065
@hakunamatata8065 5 ай бұрын
Mtangazaji unastahili kazi kubwa zaidi ya hii kipaji chako ni kikubwa zaidi ya hapo ulipo 👏
@rashidomar2771
@rashidomar2771 5 ай бұрын
Mimi ninakushukuru,,kwa kusema kweli kama CCM hamshindi urais hapa zanzibar,,hongera sana balozi Ali
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Hajasema hivyo.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 ай бұрын
Unayaamini maneno ya mkosaji?
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 5 ай бұрын
Aliwahi kusema ktk mahojiano take ya nyuma
@user-wb4jm5jl6d
@user-wb4jm5jl6d 5 ай бұрын
Mtangazaji Lambart ur the best. I love the way you present. Ila tu hii zamaradi hama bana
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Anaende wapi
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 ай бұрын
Wewe mlevi ushafukuzwa chama cha chukua chako mspema sawa.thanks
@abdallahally842
@abdallahally842 5 ай бұрын
Nina miaka 45 nishaona maraisi 5 Kwa uongozi wao katia Yao Alie Bora Kwa maendeleo ya kuona Tena Kwa mda mfupi wakwanza ni mwinyi wapili mwinyi watatu salmini na wengine abdulwakil amani sheni ni miaka 30 iliopotea Bure
@user-xl4io3or7r
@user-xl4io3or7r 5 ай бұрын
Ni Bora kwa vitendo kuliko wengine Ila tuzingatie kwamba watangulizi wake walitumia Sana mapato ya zenji pekee Ila yeye Ana mfereji unaotoka jamhuri kwenda zenji.
@nelsonlyimo1600
@nelsonlyimo1600 5 ай бұрын
Balozi Karume ana uwezo, akipewa atawaunganisha Wazanzibari, ni masomi wa kimatsifa
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 5 ай бұрын
Balozi utulieeee Dr Hussein Mwinyi anakuletea Treni Zanzibar
@khamisali9845
@khamisali9845 5 ай бұрын
Baadhi ya hoja ni za kufikirika sana . Hatari sana
@allanngowi7071
@allanngowi7071 5 ай бұрын
Very interesting interview.... 😅
@ayoubpapiy6692
@ayoubpapiy6692 5 ай бұрын
Mtangazaji namuelewa vilivyo questions zake😂😂😂
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 5 ай бұрын
Wamestarehe wapi wakat njaa kali
@iddimasika1173
@iddimasika1173 5 ай бұрын
Zingatia mimi mnywaji tuu na cyo mlevi
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 5 ай бұрын
🤦‍♂️😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@cyrilkessy3032
@cyrilkessy3032 4 ай бұрын
Msema kweli mpenzi wa Mungu 🎉
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 5 ай бұрын
Hizo habari za kunywa Angalia usije kufuru Kwa dhiraa Moja,tu. Ukashindwa kuingia peponi. Kumbuka. Dini inaelekeza Nini . Ni Hali ya Udini ni vizuri kufikisha Ujumbe.Amiina.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Hakika Ukhty
@mosaidi2633
@mosaidi2633 5 ай бұрын
Wanaotoa vibali vipi?
@bennyceaser8796
@bennyceaser8796 5 ай бұрын
😅😅😅
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 5 ай бұрын
Huyu Ameishi America. Hana Unafiki wa Maisha yake. Ameweka Wazi Anakunywa Mkono wa Firaun😂. Swiss Vodka.
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 5 ай бұрын
Ile Club ipo Zanzibar na hamtaki konyagi imekaaje hiyo.
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 5 ай бұрын
I DO BELIEVE, THIS IS THE BEST MAN OF ZANZIBAR ....Kanywa Pombe, hajaiba, hajatembea na mke wa mtu, hajakwenda kwa waganga, hajaiba, hajasema uongo, hajapokea rushwa! JE WEWE NA YOYOTE ULIYE MUISLAMU, JE PESA ZA WATALII ZINAZOTOKANA NA MAUZO YA POMBE HAPO ZANZIBAR, SI MIONGONI MWA KODI ZINAZOKULIPENI MISHAHARA HAPO ZANZIBAR NA KUJENGA SKULI NA HOSPITALI!
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 5 ай бұрын
Umeandika utumboo mwingi ila pole
@sammarley1413
@sammarley1413 4 ай бұрын
Karume katili
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 ай бұрын
Hapo ndipo
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 ай бұрын
Huyu mzee anaongea ukwel kabisa ndo maana hawampendi
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 5 ай бұрын
Kwani ni lazima Ally Karume awe Rais wa Zanzibar kwa historia ya Mzee wake?
@iddymshana2059
@iddymshana2059 5 ай бұрын
Jamaa nimependa sana anaongea kitu kitoka kwake moyoni kabisa na sio kupamba anajiamini sana.
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 5 ай бұрын
Hakuna kitu humo^^
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 5 ай бұрын
Ni ukweli mtupu hata yupo tayar kupelekwa mahakaman ushahidi anao
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 5 ай бұрын
Huyu kafanana na sana na baba yake Sheikh Abeid Aman Karume
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 5 ай бұрын
Babake dhalimu muuwaji
@hamzaalawy6694
@hamzaalawy6694 5 ай бұрын
Shemegi yangu kumbe hahahaha Nimesoma na nimeridhika Kwa kiasi chakutosha Chechei bwanshemegi?
@felixsanga
@felixsanga 4 ай бұрын
Uko sahihi,nitafute Balozi.Kula,kunywa sio dhambi.Hata kuku wanakunywa kupoza kiu!
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 5 ай бұрын
Nakukubali kiongozi unaongea point ccm kweli haidhindi hata wajenge angani ila kwaupande mwengine huyo rais jamaa anajitshid kulinhanisha na wengine kuazia salmin
@cyrilkessy3032
@cyrilkessy3032 4 ай бұрын
🎉kunywa sana haki yako
@ahmedhamdan8526
@ahmedhamdan8526 5 ай бұрын
❤ safi
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 5 ай бұрын
Anamfanana babaake kwelikweli 🎉🎉🎉🎉
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 5 ай бұрын
Kwa sura tu ! Lakini akili 0.0! 🤷‍♂️😂😂
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
100% Copy© ya baba yake isipokuwa yeye mtoto ni light skin
@hassanadam2708
@hassanadam2708 4 ай бұрын
KUNA MTU ANAKUNYWA LAKINI SIO MLEVI, NA MLEVI ATAKUWA MLEVI BILA KUNYWA???????? TUMCHE ALLAH ULEVI NI HARAMU NA UNASHUSHA HADHI YA MTU. ALLAH ATUONGOZE SOTE KTK HAQQ
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 ай бұрын
Wewe katika kisiwa cha Pemba hupati hata kura 1 sawa.thanks
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 5 ай бұрын
Hao hawahitaji kura wala usihangaike. Kura yake moja tu inamtosha
@user-oo4qm6oj7i
@user-oo4qm6oj7i 4 ай бұрын
Huyu Mtu ana akili kubwa sana,maoni yake ni yanaongelea mazingira ya halisi,ana mawazo huru ni kipaji kisichotumika. Mambo binafsi hayana athari za kiutendaji.
@user-su2iz4yo7e
@user-su2iz4yo7e 5 ай бұрын
Mwinyi hafai watu wa Zanzibar hawamtaki kwanza si mzanzibar pili hakubaliki kule Zanzibar
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 4 ай бұрын
Huyo sio mnafiki amefunguka na ndio ukweli lakini CCM kuna mtu maalum anae fitinisha kujizolea mali na kufanya njama kuumiza wenzake hasa imejitokeza awamu ya nne
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Kwa kweli huyu Mh Balozi anaenguliwa kwenye michakato kunasemekana kuna kitu kibaya alikifanya ujanani mwake pengine ujana ulipelekeya hayo. Kama si hilo Ali ni mtu mzuri sana ni CCM kindakindaki.
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 5 ай бұрын
Kuna comment moja humu humu KZbin inasema Alivyokua mdogo alimuua mtu kwa kumtupa ghorofani ndio Baba wake akamuamisha akampeleka mawali sasa sijui kweli
@saidrashid5972
@saidrashid5972 5 ай бұрын
Ushauri wangu mzee usikate tamaa ww just Muamini Mungu. Usimuangalie mtu yeyote Allah ndie mpangaji ikiwa leo Allah hakukujaalia leo usikate tamaa kwani hata kesho ni siku ambayo inamilikiwa na Allah
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👍👊✌️.
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 5 ай бұрын
Km familia yenye heshima kubwa na historia kubwa nisingependa huyu baba afanye mahojiano😢
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 ай бұрын
Usipende wewe nani???
@mataypanga5262
@mataypanga5262 5 ай бұрын
Halafu ulinyimwa urais kwa sababu mkubwa wako alikuwa rais mda mchache uliopita,sasa iweje wakupe wewe tena haraka?!.
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 5 ай бұрын
Shalbat - kamnyweso
@justinmashala6944
@justinmashala6944 5 ай бұрын
heheheh
@evarist2112
@evarist2112 5 ай бұрын
Akili hana huyu
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 5 ай бұрын
Ana Akili tele
@hassanadam2708
@hassanadam2708 4 ай бұрын
Mwinyi bora visiwani bhana, hawa wengine washaleta slogan za pombe!!!!!!
@user-wr1iu5re2c
@user-wr1iu5re2c 5 ай бұрын
30:20 tatizo maji umegonga kimaharibi lazima sauti ikwame gonga mkono wa kulia kwa kila unachokila
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 4 ай бұрын
Siasa
@hashimjaku8142
@hashimjaku8142 5 ай бұрын
Kabisa mwinyi kweli anastahiki sifa kubwa kiutendaji kulinganisha na tawala zilizopita,
@bonabonala5559
@bonabonala5559 5 ай бұрын
mapinduzi yenu yamekua tabu kwetu wanaichi na pia hamjawai shinda uchaguzi toka mwaka 1995 nawala hamji sahihishi kwa dhuruma ya wapiga kura wenu??? kwani hiyo au huo sio wizi na nizambi kwa mungu au hamjuii wizi ni zambi?? au zambi ni kuiba cm na pesa tuu??
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 4 ай бұрын
Utajaza mwenyewe
@Jal210
@Jal210 5 ай бұрын
Upewe kazi kwa lazima sijaona mtu mjinga kama huyu eti kwa sababu ulikuwa mtoto wa Rais, hufai kuwa kiongozi wewe
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Muelewe alichosema. Kiukweli ana sifa za kupewa nafasi japo kuongoza Bodi, kiumri hawezi kuwa mtumishi.
@Jal210
@Jal210 5 ай бұрын
@@hajihassan5433 Nakuelewa ila huyu anajaribu kulazomisha na pia ni muongo na mlevi
@nassoribrahim2192
@nassoribrahim2192 4 ай бұрын
Mgombea mwenye mvuto na sio mwenye uwezo hapa mimi sijamwelewa, baba yako hakusoma lkn alikuwa na uwezo mkubwa IQ , stay your position achana na tamaa , na unaonekana hata ukila kiapo utatoa siri za serikali.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Ali AA Karume na Aman AA Karume, Ali alikuwa mkorofi lakini Amani alikuwa mpole
@comraderashid_nuru_m5260
@comraderashid_nuru_m5260 5 ай бұрын
Utamkuta pale CCM Club anapiga konyagi
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 ай бұрын
Sawa sigara pia haramu wangapi wavuta
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 5 ай бұрын
Sasa kama Zanzibar unasema ccm haijawahi kushinda urais kumbe hata kaka yako Amani hakushinda mbona hukutoka hadharani kumpinga? Wewe shida yako ni urais LAKINI siyo lazima uwe wewe usifikiri eti kwa kuwa baba yako na kaka yako walikuwa rais na wewe uwe rais. Mwache Hussein Mwinyi afanye kazi naye atamaliza muda wake.
@ahmedalismaily151
@ahmedalismaily151 4 ай бұрын
Mapinduzi ya Zanzibar yaliiongozwa na ukelo
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 ай бұрын
Okello ni nani?
@sammarley1413
@sammarley1413 4 ай бұрын
Kinacopatikana kwa damu matunda yake ni laana tu
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 ай бұрын
Huyu mpumbavu Tu.hana mojo walilofanya wizi Tu yeye na Chai jaba.sasa pesa za wizi na zulma zishamaliza wanatapatapa tu
@GoldenchipsChips
@GoldenchipsChips 4 ай бұрын
😂😂sikupenda iishe hi interview mzee amechangamka mnoo😂naimeona ana wivu kidogo lakini pia mbinafsi kwa mbali 😂na mwenye majigambo ila pia ana elimu kubwa mno kichwani 😂😂mzee wa sharubati 😂😂 mnywaji na sio mlevi😂😂😂🚶😅😅
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 5 ай бұрын
Mm mpk sasa hivi namuona huyo mwinyi ndio rais bora ktk visiwa hivi kwa wale waliongoza wakati mm nna akili zangu yani kuanzia aman shein na mwinyi .
@alhajjkassim2648
@alhajjkassim2648 5 ай бұрын
Nakuunga mkono
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 5 ай бұрын
Ni sahihi sana ingawa sie tuwalalamishi na watu wakupinga kila jambo .
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 5 ай бұрын
Fanyeni tafiti zakutisha ubora wa RAISI sio majengo au ujezi wa barabara
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 5 ай бұрын
@@user-gd2xj3xd1b tafiti zipi hatuna ujinga huo wakutojua kipi Bora na kipi si Bora we have lived enough tumeenda nchi za watu tumeona ivyo hatuhitaji kuambiwa kipi Bora na kipi si Bora wakati twaweza ona na kujua without being told.
@harizhamad8260
@harizhamad8260 5 ай бұрын
@@user-gd2xj3xd1b Inawezekan na skupingi maana huo ndo uelewa wako unapofikia na kla mtu husema kile anachokifkiria ndan ya akili yake kikiwa sahihi au hata km sio sahihi
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 5 ай бұрын
Nilicho Kielewa hapo ni kwamba angekuwa mgombea angeli peleka mkewe na watoto kwenye Kilili Pemba ili kuthibitisha kuwa hakuna uunguja na Upemba.🤣 Balozi tungepigwa
@azizamri1522
@azizamri1522 5 ай бұрын
Unatupotezea wakati kumleta huyu mlevi. Hana maana senti moja
@user-pf6yw7vh1p
@user-pf6yw7vh1p 5 ай бұрын
Mazungumxo yako yamejaa ubinafsi kaa kwa kutulia babako alikaa kwa mabavu ndugu yako magube matupu weww ndio hufai kabbisa
@user-gt4hx9ew5m
@user-gt4hx9ew5m 5 ай бұрын
Huna lako jambo ccm hatutaki wanafki ww ni mnafiki
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 5 ай бұрын
Hilo swali la mwisho nani aliongoza mapinduzi 1964 mbona historia ipo wazi kimaandishi aliyekuwa kinara wa kumpindua sultani usiku huo anatajwa na aliyekuwa anaongoza vikao vya baraza anatajwa. Ali Karume hajaeleza vema kuhusu hilo.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Tueleze mbona hutupi story tuongeze uelewa!
@tahiyasaeed
@tahiyasaeed 5 ай бұрын
Huyu copy ya marehem baba yake. Ila huyu mkorofi sana 😂😂😂😂😂
@sammarley1413
@sammarley1413 4 ай бұрын
Ndio kawaida yamakatili huzaa watoto wenye copy zao
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 5 ай бұрын
Mimi nipo pamoja na wewe kwenye harakati zote za kisiasa nipo tayari kukusapot mzee.
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 5 ай бұрын
Huyu angepewa uraisi tungeisoma namba
@sulleyally5040
@sulleyally5040 5 ай бұрын
Hili dume sio mchezo linajiamini bwana
@fatmasaid9074
@fatmasaid9074 5 ай бұрын
ilo dumeee na vya kumfanya hawana sasa
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 5 ай бұрын
Ndiyo Faida ya Kuishi katika Nchi Tofauti Tofauti Duniani. Unajihamini Kupitiliza..... Alafu Baba alikuwa Rais. Utamfanya Nini? Mwananchi wa Aina hii.
@rastapeace9616
@rastapeace9616 5 ай бұрын
Viber kwa mistar
@Vuvuzelaz1
@Vuvuzelaz1 5 ай бұрын
Anakula kiti moto huyu mtu balaa
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 5 ай бұрын
Kwani wewe huli?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 ай бұрын
Urais utausikia tu redioni,,,,!!!
@iddimasika1173
@iddimasika1173 5 ай бұрын
Tambua neno sharubatiiiii😂😂😂😂
@hashimali9549
@hashimali9549 5 ай бұрын
Sharbat maji🇰🇪😢
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 5 ай бұрын
Okello mgeni ni lzm alikuwa kwenye uongozi wa Karume
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Zanzibar mwenyeji nani, hata Karume ni kutoka Nyasaland sasa Malawi.
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 5 ай бұрын
Waarabu ndo wageni Zanzibar, mwafrika hawi mgeni Africa
@user-ff5vk1sn6d
@user-ff5vk1sn6d 4 ай бұрын
Muache dhulma mana mwisho ni kaburuni
@arnoldmambali3770
@arnoldmambali3770 5 ай бұрын
sharubati
@user-ds9cn9eu3t
@user-ds9cn9eu3t 5 ай бұрын
Mlevi mkubwa ana uchuu wa urais huyu utausikia jina urais
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 ай бұрын
Kabisa!
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 5 ай бұрын
mbn hueleweki kw vijana wa kileo wa zanzibar
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 4 ай бұрын
Humjui wewe kwasababu ni mtoto wa juI halafu umezaliwa shamba mjini umekuja juzi na hukuwa ma mashorokiano ma loloye isipokua kula kulala. Kwahiyo huwezi kumjua kale ukalale
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 5 ай бұрын
Balozi Karume: Kama chama kimekufukuza, hamia chama kingine mbadala kwani bado una karama ya kuwa rais wa nchi. Ccm si baba wala mama yako unang'ang'ania nini?
@user-ff5vk1sn6d
@user-ff5vk1sn6d 4 ай бұрын
Acheni dhulma
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 5 ай бұрын
Tatizo la huyu Mwamba anaongea sana
@asaomantv8977
@asaomantv8977 5 ай бұрын
Kwaiyo hata DR. AMANI nae alimkataaa au curlews?
@saidabdala4980
@saidabdala4980 5 ай бұрын
Chaguzi zooooooote al MARHUM MALIM SEIF. Ndio alochaguliwa na WAZANZIBAR kwa CHAGUZI zoote zilopitwa. Hapa naona tunaongeya unafik. Subirini mfe. Mtajuwa nini maana ya kula haram mwana wa ndani HUKO.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 5 ай бұрын
Karume wewe ni mkorofi na mtu mmenye kujiamini.Sasa huwezi kukaa na watu wanaosema ndiyo na hapana kwa wakati mmoja 😂
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 5 ай бұрын
Bonge la interview
@mustafaismail5622
@mustafaismail5622 5 ай бұрын
Wewe umekosa madaraka ndo unaropokwa.kumbe wewe shida yako madaraka
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 5 ай бұрын
Unajinasibu na pombe
@Ahdall
@Ahdall 5 ай бұрын
He sounds too desperate, poor guy
@user-ht6wt6kt5f
@user-ht6wt6kt5f 5 ай бұрын
Uyu jamaa anafaa kua rais
@Jal210
@Jal210 5 ай бұрын
Hiyu mlevi mpumbavu Karime hina lolote
@JumaAli-dw3kc
@JumaAli-dw3kc 5 ай бұрын
0
@SurprisedOmbreSky-qg6dk
@SurprisedOmbreSky-qg6dk 5 ай бұрын
Mtu mwenye mvuto Nini wewe
@allanngowi7071
@allanngowi7071 5 ай бұрын
... kwa busara nafikiri ingependeza ukaachana na Uraisi Zanzibar hasa kwa kuwa Kaka yako alikuwa Raisi sio muda mrefu sana uliopita... kingine ulipewa nyadhifa muhimu sana pia... human beings haturidhiki mmmmh 😢
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 5 ай бұрын
Gonga Tano kwa Mh. Ali Karume....Vitu viwili tu kama hujui porotocol na alcohol wewe huwezi kuwa timamu kusimamia mambo ya nchi, sasa wajinga tu ndiyo hawataelewa na kubisha falsafa hii...
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 5 ай бұрын
😂😂😂 Mhe. Balozi Amenizima Data hata mimi. Protocal + Alcohol=Balozi wa Nchi. Ama Kweli Upole Siyo Ulemavu. Mtu Mkimya Siyo Dhaifu kama tunavyodhani.
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey 5 ай бұрын
NAMSIHI NDUGU YANGU MH HUSSEIN ALI. H MWINYI AWE KARIBU KAKA YAKE ALI KARUME UKIONDOA UONGOZI HUYO NINDUGU DAMU NIWATU WA. FAMILIA KWA UPANDE MAMA HAKUCHUKII KAANAE ATATUSAIDIA MAPINDUZI DAIMA
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR
2:26:36
Bin Seif
Рет қаралды 77 М.
Откуда эти паучки??? @zackdfilms - автор анимации.
0:29
Время знаний
Рет қаралды 3,6 МЛН
Они не знали, почему он так поступил, пока
0:39
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 11 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,5 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
0:30
FASH
Рет қаралды 14 МЛН
All creatures are from God #jesus #jesuschrist #jesuslovesyou
0:19
Jesus By Your Side
Рет қаралды 8 МЛН
Rang Pi Liya Mama 😂 #shorts #tiktokvideo #funnyshorts #comedy #ytshorts
0:46
Sukhasan Ka Rahman Bhai
Рет қаралды 22 МЛН