FATMA KARUME USO KWA USO NA KIKEKE, RUKII, YANAYOENDELEA UCHAGUZI TLS, KUHUSU MAISHA YAKE

  Рет қаралды 53,561

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Пікірлер
@georgenjoroge6243
@georgenjoroge6243 6 ай бұрын
As a Kenyan based in the states it's nice to have a media house that's interested in a variety of questions about our socities & to have all these discussions in Swahili. So tired of the usual celeb discussions. Nice to afford our present condition the gravitas it deserves and to deepen our grasp of Swahili, even for non-Tanzanians. Such channels help me teach my kids this beautiful language of ours.
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 6 ай бұрын
Sio kaz nyepesi kumfanyia mahijiano Shangazi Fatma..amenyooka kama rula.... Mdundo wa studio uko juu sana..punguzeni
@willianmackier8277
@willianmackier8277 6 ай бұрын
shangazi i love the fact ur very smart and straight
@InnocentCharles-hm3ff
@InnocentCharles-hm3ff 6 ай бұрын
Shangazi unajifahamu na unajua...swali la mwanaharakati ni nani wamelikacha kiaina ..coz watu wanadhani kuwa mwanaharakati ni kama uasi flani ivi....ni ufahari sana kuwa mwanaharakati c kuogopa wakati uonevu unapokithiri..big up Mwanasheria wetu wa ukweli...
@hollymore4904
@hollymore4904 6 ай бұрын
She's brighter & honest than Salim... Bravo🔥
@MalickZohan
@MalickZohan 6 ай бұрын
You can't beat me Salim,I'm a lawyer,I've been practicing for 25 years,don't even try 😅😅😂
@lynshamz
@lynshamz 6 ай бұрын
Ve been playing with words for 25 years
@MohamedKindambaAdjussah
@MohamedKindambaAdjussah 6 ай бұрын
Great interview Love mummy Fatma
@GilbertDamas
@GilbertDamas 6 ай бұрын
Nimeipenda hii Interview... Ni interview ambayo nimeenjoy kuliko zote nilishawahi kuzisikia duniani..
@Diplomat-x6q
@Diplomat-x6q 6 ай бұрын
Una akili sana ww🔥🔥🔥🔥
@lucasmartin431
@lucasmartin431 6 ай бұрын
😅😅
@Frankremishoy
@Frankremishoy 6 ай бұрын
Nimerudiya kuangalia mara mbili.very interest
@VORTEXAF
@VORTEXAF 6 ай бұрын
Na fatma hizo nywele mpaka uziweke hivo na ww jaji mzima
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 ай бұрын
Asante Salim kwa msukumo na ari ya kushtuashtua mwenendo na hali ya hewa ya nchi na mitazamo yake kwa manufaa yetu sote. Pia nimshukuru bi Fatma hapo kwa mchango wake wa mawazo na kisheria. Asanteni nyote tunathamini michango yenu. 🤝
@lynshamz
@lynshamz 6 ай бұрын
Damn!!!! She is hard core
@mohamediomari1614
@mohamediomari1614 6 ай бұрын
Hapa ni nyumbani, thank you so much Salimu kwa hz interview nzur sana
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 6 ай бұрын
I'm not an easy person to interview. Nimeipenda
@sweetnasra3613
@sweetnasra3613 5 ай бұрын
Bonge moja la interview big up Bro Salim big up Sis Karume i loved this 🎉
@gastonmakweta8036
@gastonmakweta8036 6 ай бұрын
Asante sana Adv. Fatma Karume, hopefully una mchango mkubwa hapa Tanzania. Adv. Mwabukusi atairejesha TLS kwenye misingi yake na wajibu wake mkuu wa kuwatetea wananchi, kuishauri serikali na kurekebisha sheria kandamizi zinazopoka haki za raia kulinda rasilimali za taifa lao.
@daviddsouza735
@daviddsouza735 6 ай бұрын
Salim kama vile unajifanya mjinga au mwonekano ni kwamba hujafanya homework na research kabla ya kuingia kwenye kipindi. Halafu huo mziki wa disco kwenye background ni ya kazi gani? Inasumbua.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 6 ай бұрын
Relevant and vibrant TLS on the offing
@ramadhaningalemba3614
@ramadhaningalemba3614 6 ай бұрын
Crown hii interview is very impressive 🔥
@jmuhomeadi
@jmuhomeadi 6 ай бұрын
This is Top Notch, lazima tumwelewe Salim analinda ugali .. akimruhusu anti afunguke sana kituo kinaweza kufungiwa... Muulizeni Tirdo ilikuaje pale TBC. Mmejitahd kdg kwny umahiri wa lugha 👏🏾👏🏾
@BenardLucumay
@BenardLucumay 6 ай бұрын
Many people in this country do not even know that activism is a synonym for advocacy!
@cmsa1r
@cmsa1r 6 ай бұрын
Women like her will always remain single. She is over the top with her analysis..
@starlily07
@starlily07 6 ай бұрын
Always
@erickmmbando1909
@erickmmbando1909 6 ай бұрын
Yani hataki kurekebishwa..Ana matatizo kwelikweli
@starlily07
@starlily07 6 ай бұрын
@@erickmmbando1909 yani anaongea yeye Mimi naona aibu
@mkadammkadam
@mkadammkadam 6 ай бұрын
Kivipi kaka unaona aibu?​@@starlily07
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 5 ай бұрын
@@erickmmbando1909 una chose ma ni pumba tupu. Anaonglea taaluma ambayo a Sifahamu na kuijua na kuiheshu na kuisimamia fika.Anajitambua na hababaiki na hababaishwi. She is above average understanding , na hiyo inampa nguvu. Smart person who happened to be a woman. Na wengi wanaume wanamwogopa . Hachezi na mtu. Shupavu. She is one of the very few.
@ULIRCKTARIMO
@ULIRCKTARIMO 6 ай бұрын
Hii interview nimeirudia mara mbili kuisikiliza,hope nimejifunza mengi sana,all in all big up shangazi uko vizuri
@ashirafkatabazi6061
@ashirafkatabazi6061 2 ай бұрын
kikeke interview zako ni nzuri sana Big up to you bro
@crawfordngubi4464
@crawfordngubi4464 6 ай бұрын
Shangazi Yupo straight mbaka kikeke kaingia Ubaridi... 😂😂😂
@asiliyetuonlinetv5063
@asiliyetuonlinetv5063 6 ай бұрын
Splendid🔥🔥🔥
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 6 ай бұрын
HIZI NDIO STUDIO ZA KUJIFUNZA KITU THANKS FOR GOOD WORK
@BraxedaDomina-xn4zc
@BraxedaDomina-xn4zc 6 ай бұрын
Sio studio za kina fulani wanachoongea utapishi mtupu mie nimeacha kuwasikiliza unaweza kupata presha bure
@bas2823
@bas2823 5 ай бұрын
VERY TRUE DEAR👌 LAWYER👍
@hamzasimbar3465
@hamzasimbar3465 Ай бұрын
Salim kikeke sio mcezo kwa maswali we need more people like king kikeke in East africa crown media in Burundi 🇧🇮
@sadiqrifay5448
@sadiqrifay5448 6 ай бұрын
Tukipata watu kam fatma karume watatu tu nchi inanyooka hii😂😂😂😂😂
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 6 ай бұрын
Pia kumbuka ushoga ndo utakuwa ndo habar ya mjini
@Jane-l5z
@Jane-l5z 2 ай бұрын
​@@athumaniamani9905umri huo unaogopa ushoga?
@Jane-l5z
@Jane-l5z 2 ай бұрын
Shule nzuri mana mtu unajielewa
@andersonadolph101
@andersonadolph101 6 ай бұрын
Kikeke kakutana na Kikokotoo😂😂😂
@christinamselle4490
@christinamselle4490 5 ай бұрын
Asante kwa kwa ufafanuzi Dr. Fatma, wewe ni super hero women's be blessed 🙏
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 6 ай бұрын
Ukweli na uhakika.SHANGAZI YUPO VIZURI ANATOKA ROYALE FAMILY LAKINI ANAWAFUATA WANYONGE KULE VIJIJINI WATU WA Hali ya chini.wewe Pepo yako keep it up Shangazi
@bas2823
@bas2823 5 ай бұрын
VERY TRUE👌!
@AllayeTan
@AllayeTan 6 ай бұрын
Such a great interview. Nadhani inabidi hii interview irudiwe. Salim umeuliza maswali mengi na mazuri ila umemkatisha sana Fatma wakati anajibu na umetukosesha faida nyingi ambazo tungeweza kuzipata. She is so smart and brave lady. Pia ametoa elimu ya jinsi ya kuuliza maswali, kusikiliza na kuelewa majibu 😅 🇹🇿🇹🇿
@حكايةغد
@حكايةغد 6 ай бұрын
Kikeke anaogopa kwakua tayari anashutuma za kuikosoa serekali kupitia uandishi from yuko BBC so huwa anajilinda mapema sana hampi mgeni wake uhuru wa kueleza akiona anaelekea kwenye kuikosoa serekali
@JanethGeorge-gc5oc
@JanethGeorge-gc5oc 6 ай бұрын
KIKEKE MWENYEWE TU WEWE HAPO UKO UPANDE WA SERIKALI UNAOGOPA HAKO KAREDIO KAKO KUMINYWA . KWA HIYO WENZIO WASIOGOPE .
@sundaybarongo7226
@sundaybarongo7226 2 ай бұрын
Dada ujui kuuliza maswali kaa kimya😂😂 fatma shangazi
@Johnsonkayila
@Johnsonkayila 6 ай бұрын
Duh huyu Fatma🔥🔥😂😂🫡
@rejobu9723
@rejobu9723 6 ай бұрын
Kikeke kura chuma hicho 🎉🎉 tukipata watu100 wenye misimamo kama ya fatma karume bac tz tutakuwa tumepona %100
@christinamselle4490
@christinamselle4490 5 ай бұрын
Exactly wasikuchanganyie habari Dr. Fatma big up uko makini sana for your talking 😁 I love you
@oam14l
@oam14l 6 ай бұрын
Hongera Fatma
@WannaBe-Camper
@WannaBe-Camper 4 ай бұрын
She is brilliant and confident - well done Fatma 🎉
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 2 ай бұрын
The First Daughter
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 5 ай бұрын
Hapa kekeke alijichanganya. 19:10 Salim aliteseka sana. Hii interview ilikua nzuri sana.
@innocentnyabeyondbeyond0ng940
@innocentnyabeyondbeyond0ng940 6 ай бұрын
Wonderful Presentation shangazi. Kikeke ujipange 😂
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 6 ай бұрын
Shangaz km shangaz Napenda Confidence ya Fatma Karume🎉🎉
@FahmiAbdallah-x9w
@FahmiAbdallah-x9w 6 ай бұрын
MY Dear SISTER THANKS (INSHAA ALLA MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA ATUFANYIE WEPESI)AMEEN
@richardnyarugenda9769
@richardnyarugenda9769 6 ай бұрын
Nimejofunza mambo mengi sana toka kwa Madam Fatuma Karume.
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 6 ай бұрын
Kama umemwona kikeke kamgwaya karume gonga like hapa!
@godfreysudi7264
@godfreysudi7264 4 ай бұрын
Kamgwaya ndo nn
@hanslii1296
@hanslii1296 6 ай бұрын
Hongera Fatma karume you are smart.
@husseinamar6334
@husseinamar6334 6 ай бұрын
Nice interviews
@enyasmazaba3362
@enyasmazaba3362 3 ай бұрын
Salim apunguze kidogo uoga halafu akae na Masoud Kipanya media moja wamualike tena Shangazi. All in all Salim atafanya mapinduzi makubwa Sana kwenye media hapa Tz.
@kinjekitilew
@kinjekitilew 6 ай бұрын
Asante fatma kalume, weji toka makambako Town hapa
@bas2823
@bas2823 6 ай бұрын
I REAL LIKE HER THE WAY SHE STAND IN HER LAW STUDIES AS A FAITHFUL LAWYER ALWAYS SHE TALK THE TRUTH WITHOUT TO SURPORTS THOSE WHO EVER WANTS HER TO BE ON THEIR BESIDE OF WRONGS"! N NOT WRIGHTS"! JUST BY THE WAY THEY WANT"! BUT BEC. SHE IS A FAITHFUL N HONEST TRUE LAWYER!" SHE ALWAYS FOLLOWS THE LAW N REGULATIONS OF IN LAW OF LAWYERS THE WAY NEED TO BE WITH👍👌"! KEEP IT ON MY DEAR FAITHFUL LAWYER YOU ARE👍 SUPER GREAT👌
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Shida ya Fatuma hajui kiswahili😅😅😢😢
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 5 ай бұрын
Fatma Ana Akili na Ni Mathubuti Kuliko Wengi Wanavyofikiria na Ni Mnyenyekevu sana
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 5 ай бұрын
Kikeke leo umepatikana Fatma ni level nyingine
@SawayaNm
@SawayaNm 6 ай бұрын
Kikeke you did a very good job! She failed really bad answer simple questions! She very incorrectly about US legal system! All federal judges including US Supreme court judges appointed by president but they go through Congress and Senate houses for vigorous scrutiny questions before approval! Now, depending with president at times when this judge retires or quit the job! Currently 6 justices are appointed by Republican presidents! During scrutiny they ask several questions to see where they lean to either Democrat or Republican policies! Republican has tendency to pick moderate conservative or conservative! While democrat tends to pick liberal judges! Now, States have their own way to choose their judges! So, States has their own rules and laws but most of them are similar to Federal laws! A lawyer doesn’t act like that bragging I got barrister from UK! No wonder why she can’t answer simple questions and be very rude, she might don’t know UK laws and TZ laws are 2 different things! 🫳🏽🤦🏻‍♂️😢🤣😂
@Burner_Acc
@Burner_Acc 6 ай бұрын
Background sound Ipo juu sana. Shangazi is very confrontational hataki kabisa maoni tofauti na yake, anaamini yeye anajua kila kitu kwenye law, but she's smart nonetheless.
@Wanisimbula
@Wanisimbula 6 ай бұрын
Moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kutokea kwenye kasri la kikeke..hongereni
@wellsaid7337
@wellsaid7337 6 ай бұрын
Bravoo👏🏼👏🏼👏🏼shangazi
@DavidNgalowoka
@DavidNgalowoka 6 ай бұрын
Sheria tamu sana, Naenda kusomea
@zaloycealoyce4354
@zaloycealoyce4354 6 ай бұрын
Nimependa sana interview hii. Natamani ningepata contact ya Hon. Fatma ili anisaidie ushauri wa kisheria kwani strong people kama hawa ndio nawahitaji ktk kipindi kigumu ninachopitia. Nakupenda sana Advocate Fatma❤
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up 5 ай бұрын
Nampenda sana Fatma Karume. Dada ni mstaarabu sana huyu.
@damasiuspetro5178
@damasiuspetro5178 3 ай бұрын
Ahahahahahahahahahahahahahahahhahahhahah! I lobe Fatma Karume Hili neno harakati linapotoshwa Aliwahi kusema ni to be active Activism Kuwa mwanaharakati inabidi uwe active Kasoma Degree Ulaya huyu Kikeke lazima miwe makini Mmjeitahidi kumuhoji Kipendi kizuri sana Hongereni sana kwa kazi nzuri
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 6 ай бұрын
We need to have media like this to learn basic things and not gossip all the time
@Diplomat-x6q
@Diplomat-x6q 6 ай бұрын
Fatma is 🔥🔥🔥🔥
@TheShebbybiboze
@TheShebbybiboze 6 ай бұрын
Shangazi yuko vizuri sana madini ya leo makubwa sana.
@tataLil-i3v
@tataLil-i3v 4 ай бұрын
Ningependa kipindi,ningependa mualikwaa
@kwisa4899
@kwisa4899 6 ай бұрын
Shangazi ni hazina
@albertkamala6843
@albertkamala6843 5 ай бұрын
Wakili msomi mahiri mwenye msimamo! Naye arudishiwe leseni yake kama bado..aingie mahakamani..asaidie watu..alisaidie taifa!
@albertkamala6843
@albertkamala6843 5 ай бұрын
Hatari kubwa sana muhimili wa sheria kwa maana ya mahakama kutokuwa huru! Ili TLS iweze kutimiza malengo yake mahakama inapaswa kuwa huru..kufikia huko mabadiliko ya Katiba hayakwepeki!
@dorothyronald2445
@dorothyronald2445 6 ай бұрын
Shangazi uko juu
@m___ck799
@m___ck799 6 ай бұрын
DO Not Ever tell a Woman to Calm down ....Kikeke😅😂
@misskiwela0249
@misskiwela0249 6 ай бұрын
😂😂
@charlesngowi6904
@charlesngowi6904 4 ай бұрын
She is brilliant and brave advocate. Big up Fatma.
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 6 ай бұрын
Shangazi anapendeka sana nchi hii
@sassboy9360
@sassboy9360 5 ай бұрын
Salim has authority interesting that why …..
@davidkabuche1927
@davidkabuche1927 3 ай бұрын
Aisee Fatma Karume, ni Mwanaharakati. Tetea maslahi ya wananchi mama.
@zebedayobiswalo1924
@zebedayobiswalo1924 6 ай бұрын
I love this woman she knows her game very well.
@GilbertDamas
@GilbertDamas 6 ай бұрын
Sijuitii kusoma sheria Mwakani naenda kusomea masters Kabisa kuzidisha confidence
@gibbs1320
@gibbs1320 6 ай бұрын
Heri uanze kutetea wananchi kwa kuwaelimisha juu ya haki za sheria zao kuliko hiyo Masters.
@lucasmartin431
@lucasmartin431 6 ай бұрын
Sheria sio Masters.....You know You Know😅😅😅😅
@sharifaal-masroori2238
@sharifaal-masroori2238 6 ай бұрын
Shukran kwa kusema kweli shangazi
@shakiru-y7g
@shakiru-y7g 6 ай бұрын
uko vizuri Fatma Karume
@kingwandeinvestment8002
@kingwandeinvestment8002 6 ай бұрын
Kikeke usiingie kwenye mtego wa kutetea serekali wa tz watakuchukia
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 6 ай бұрын
Atafanyaje nae ccm mi nilishamchukia tayari
@WARDAKHALID2024
@WARDAKHALID2024 6 ай бұрын
HUYI AUITE FATMA KARUME IGEKUA RAIS UNGUJA INGEENYOKA SHE FANTASTIC
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 6 ай бұрын
Aaagh wapi, haha Ruth manzoni alikuwa poa sana laminitis alipokuwa raising tu amebadilika, huyu angekuwa raisi ndio ingekuwa hovyo kabisa.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 6 ай бұрын
Kuna siku atakuwa, ni jambo na subira?
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
👊👍✌️.
@binmwalimuomari5774
@binmwalimuomari5774 5 ай бұрын
Napenda mazungumzo kihakika yanajenga
@MgishaFerd
@MgishaFerd 5 ай бұрын
Dankie madam
@elizabethbenedict3049
@elizabethbenedict3049 6 ай бұрын
Moja ya vitu vinakera ni mwandishi wa habari anaeogopa serikali, kiasi cha kuitetea wazi wazi kwenye inter muhimu kama hii 😢
@EdenHazrd-g6l
@EdenHazrd-g6l 6 ай бұрын
Fatuma uko vizur sna sheria
@ramadhaningalemba3614
@ramadhaningalemba3614 6 ай бұрын
Dada kagoogle kaja na jibu reprimand "Karipio"😂😂
@joykapaya1970
@joykapaya1970 6 ай бұрын
Ukorofi huo😂😂
@mkadammkadam
@mkadammkadam 6 ай бұрын
Reprimand ni Karipio na ndio maana yake halisi.
@Tizzo009
@Tizzo009 6 ай бұрын
Salim kaonyesha he's too shallow when it comes to interviewing learned folks. Alafu no preparation whatsoever. And then kumjibia swali Rukii wakati Rukii ndio kauliza that just screams shallowness on their part. FATMA wiped the floor with them. Also, Fatma has a bit of an ego problem and an elitism attitude. I guess being the presidents daughter and a lawyer comes with that chip on the shoulder. Either way, informative interview. Crown media; either mfanye interview nyepesi nyepesi kwa wasanii wasio na akili au mkifanya such interviews like these, then MJIANDAE VIZURI!
@Estarr-qj1gx
@Estarr-qj1gx 6 ай бұрын
Kikeke hadi aibu jameni😂😂😅😅😅😅
@willianmackier8277
@willianmackier8277 6 ай бұрын
you can not play me with word... 😀😀😀😀😂
@kennethlutego1527
@kennethlutego1527 6 ай бұрын
Our Media
@johanesthobias8742
@johanesthobias8742 6 ай бұрын
😢Plies huo mziki unasikika kwambali sio mzuri umaharibu umakini wakipindi hatujsupenda ( back grauund music ).
@ANTHONYMWINGWA
@ANTHONYMWINGWA 6 ай бұрын
Shangazi ❤
@nyucletkikonamaluhe2274
@nyucletkikonamaluhe2274 6 ай бұрын
Maoni yangu kuwe na siku maalum ya kuadhimisha uhuru wa mawakili kitaifa iendane na Ile ya kidunia kama ipo, iheshimiwe kama ilivyo kwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari
@zingeboy
@zingeboy 6 ай бұрын
Mafundi mmekutana❤❤
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 6 ай бұрын
Shangazi Nakuelewa sana
@Jane-l5z
@Jane-l5z 2 ай бұрын
Sio kosa lako,,umaskini wa fikra
@Jane-l5z
@Jane-l5z 2 ай бұрын
Shangazi safi.
@bas2823
@bas2823 5 ай бұрын
U CONGER THE WORLD MY DEAR U"
@yusuphitambu3405
@yusuphitambu3405 6 ай бұрын
Huyu mama yuko vizur mno
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 6 ай бұрын
Indeed 🎉
@erickulomi2105
@erickulomi2105 Ай бұрын
Mb zangu nimezitumia vizuri nimechoshwa na story za p didy zisizo na faida kwangu
@OnlyRuky
@OnlyRuky 6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣Hapa ndiyo ninapompendeaga Shangazi no Cape🧢🧢🧢Education 🎓Education 🎓huwezi pata hii confidence y Shangazi🤣🤣Kikekee anaogopa Radio kufungiwa that's why anajaribu ku m_bana Shangazi asijiachie saana Na shangazi akubaliiii🧢🎓
@piusmwesiga7402
@piusmwesiga7402 6 ай бұрын
Salimu uelewa wake wa mambo una mapungufu sana. Hata akielezwa haelewi.
@JanethGeorge-gc5oc
@JanethGeorge-gc5oc 6 ай бұрын
Kikeke acha kuwa upande wa pili unaogopa kiredio chako kuminywa.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,7 МЛН
Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1
41:43
YahStoneTown
Рет қаралды 126 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН