Mov tamuuuuuu lakin et dk 10 hiii mov au kichekesh watuongezee dk angalau hata 20 bwan aaaaaaa😅😅😅😅😅
@samyabahatialhiani4018 ай бұрын
Nimependa kidore gumba na madebe ❤❤❤❤❤
@dolegumbafilm8 ай бұрын
❤love u tooo
@alfredmussa77638 ай бұрын
Haya bhana
@ZachariaKoroso3 ай бұрын
Hiyo song n latest alie imba ako best sana
@Gamba818 ай бұрын
Good good 👍🏾
@lunanyota29328 ай бұрын
Tuna subiri kwa hamu
@amina2044amin-zv2gh8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@amina2044amin-zv2gh8 ай бұрын
🙏😭😂
@psj15648 ай бұрын
UBUYUU NIMEIPENDA HII IMEKULA KWAKO BWANA KUOA KUACHA LEO KIMEKURAMBA
@brownbreezzy41363 ай бұрын
Huu wimbo wa ficho ni mzuri sana jamani.. anejua audio inaitwaje aniambie .
@aishaallyaishaally32208 ай бұрын
Tupo sanaaa
@dablejay64048 ай бұрын
ila huyu madebe aache tu kuigiza filamu maana n jamaa mnafki kwenye mafundisho yke y filamu maana uku kajifanya anajua maisha uku analiagai familia yke na kutelekeza mkewe akili sufuria kw kweli ww ikiwa waigiza vizuri hivi ila nyumbani kwako aujui kulinda basi ww nenda ukawe mvuvi tu nilidani ww n jamaa matata sn na pia mwenye busara kumbe upolo 2
@SaudaKhamisi-wm6xy8 ай бұрын
Waenza SEMA ni harusi ya movie kumbe ndio ameoa kweli mnafiki mm hata naanza kuchukua movie zake
@olivanooraladin54368 ай бұрын
Nyie mnaangalia mafundisho au mate do yake
@OmarKongo-dj5kn8 ай бұрын
Nenda ukaolewe ww basi
@SaudaKhamisi-wm6xy8 ай бұрын
@@OmarKongo-dj5kn mbona unamakasirko na umtoto wakiume tabia zakike 😏😏😏😏
@blaisekadhafi35598 ай бұрын
Haki ya Mungu Madebe wew ni bomba
@muhamedyunus91185 ай бұрын
Madebe ilo kanzuu unakimbia kama yesu alivokimbizwa na wana izrael..😅😅
@vincentogot62468 ай бұрын
Peleka motto huseni
@davidmutwiimutuku29988 ай бұрын
Harakisha hii movie madebe
@Tabora9998 ай бұрын
Madebe nimesha mshusha saman kabisa kwa mambo machaf anayo yafanya
@zuanshimchina22788 ай бұрын
Hawana jipya mchezo wa kifala sana dakika kidg palipoishia wameekaa humohumo aaaaaa shida