Mex yupo kwenye top 5 ya Fd na amefanya naye kaz 🔥🔥🔥🔥🙌🙌 gonga like kwa mex
@mikemawala51755 ай бұрын
Nmeona watu wengi hapa wame comment katika mtazamo wa ku judge nani kamfunika mwingine.. Ila kiuhalisia wale ni watu watatu tofauti na kila mmoja ana mtindo wake wa ku deliver ujumbe wake na kila mmoja ana heshima na mchango katika tasnia nzima ya hiphop.. Nadhani tungezingatia katika message zaidi. Wote wangekuwa na style moja sidhani kama wimbo ungekuwa mtamu. Hiphop haiko kimasindano nanhata wao walipowaza kufanya wimbo wa pamoja siamini mioyoni mwao walikuwa na hisia za kufunikana bali LOVE, UNITY AND RESPECT. Fid na Lord washafanya ngoma nyingi pamoja na upendo umedumishwa. Tubakie kwenye hivyo vitu vitatu nlivovitaja hapo juu... Blessings 🙏🙏
@frankkajoba83724 ай бұрын
mashabiki wasiojielewa ndio huwa wanahukumu nani kamfunika mwingine. lakini jamaa wote kila mtu ame- deliver kimpango wake na ngoma ni kali sana.
@swagaton-ke5 ай бұрын
Wapi like za Mex Cortez hapa young lunya hafiki this dude is at another level ukiacha khaligraph Jones this is the next big east Africa kwa hip hop 💥💥💥
@HamisiHamisi-xo2uo5 ай бұрын
Sasa kwani lazima muweke ubishani hapa au ndio lazima ili mtu umuone mkali umtaje lunya
@Morgansoultz5 ай бұрын
Young lunya wa nin tena hizi level😅
@nsangalufujoel52425 ай бұрын
KJ hamuwezi Mex mzee, jamaa ni shida
@IvanKihwelo5 ай бұрын
Mnafananisha Sana adi mnaharibu game ya hip hop bongo sio lazima kufananisha ndo awe rapper mkali Kama rapper mkali we support kazi zake mna wasema wakali amuwa support Ila mnao sema ma rapper wabovu ndo wan mashabiki wengi
@Adimin2545 ай бұрын
😂@@Morgansoultz
@paulerick61415 ай бұрын
Nimependa Mawazo ya Lord eyez - focusing on current country situations - most def 💯💯
@Jukwaa-75 ай бұрын
Kabisa
@victormaina64075 күн бұрын
@@Jukwaa-7kwamba Pastor tonny na maombii yaliyo Jaa ujuzi
@adolfmathew96985 ай бұрын
Nako 2 nako. Fid q. Mex kitu moja Kali sana imetoka hakuna mambo ya nani kakalisha wote wametisha 🔥🔥
@mpjozzegalvanize49265 ай бұрын
Chemistry ya Ngosha na Eyez bado ni sunami
@ShedrackLawrence-u3p5 ай бұрын
Yeah man! Nakubaliana na wewe
@VoiceofpeopleotzАй бұрын
Huyu mexcortez media zinasubiri nini kumpeleka mbali akawakilishe nchi asee🎉🎉
@Azizi_Texeas5 ай бұрын
Real hip hop is not on the radio, this is hip hop itself, sir
@malimanyanja5625 ай бұрын
Lord kafanya vizuri,kwenye froo akuna alicho andika kipya ningefurahi sana apo mwisho angekaa msukuma mjanja aisee
@joshuadaniel83825 ай бұрын
Kaka mkubwa umetupiga sijui ki hispaniola🙌🏻🔥🔥🔥🔥fiidq mtu mbaya kabisa🐐👏🏻🫂
@Loismo5 ай бұрын
🔥🔥🔥 #MexCortez kama alitaka kukalisha WAKULUNGWA #Simba #Terror ⚡️🔥⚡️✊🏿
@darhustler5 ай бұрын
Kila napotaka comment nahisi is not enough lakini kwa hii its enough. UCHAWA UMEKUA RASMI BRO!!! Shouts to mex cortez ila mbuzi ni mzee baba ngosha.
@bensonkariuki58435 ай бұрын
Fid q the only best raper in Kenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@REVOLUTIONARYLYRICS5 ай бұрын
"You win some, you lose some hivo ndivo uendaga, na sio kila ninacho kilenga nina nia ya kukipata..🔥🇰🇪
@richadshirima6563 ай бұрын
🔥 🔥 asiye kujua hakuthamini n anae kujuaa aku amini na amna bifu
@kilimax3963 ай бұрын
QUOTE OF THE DAY GREAT! "WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA, TZ INGAANGAMIA KWA KUKOSA TAARIFA"
Niishie kusema "HAPPY BIRTHDAY TO YOU #FID_Q BIG UP ✊✊✊ Kwa Washereheshaji #MEXCORTEZ & #LORD_EYEZ 🎤🎵💣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sznj728512 күн бұрын
Haaaaaa even flat earthers wananisphere ? 🔥🔥🔥
@hagailema53665 ай бұрын
Pastor Tony na maono yaliyojaa maujuzi/ Na si ndo zetu kuwakilisha na siyo jana au juzi/ 🔥🔥
@emmanuelsamson51585 ай бұрын
Fid and King Eyez..... I'm sorry to mention that, Kijana Mex kawapania sana humu. The good thing about his verse amerap vizuri Kiswahili kuliko Kiingereza acha na wordplays amefanya mwishoni... The guy is good nazidi kuona Hip Hop ipo mikono salama. Best line "Nikijitoa ufahamu usiombe ninyanyuke".
@emanuelkisanga34295 ай бұрын
Hajaongea issues
@samkatondo94645 ай бұрын
Real classic. ! Tanzania 🇹🇿 to the world. Swahili nations...
@yassinuddi5 ай бұрын
Content-wise, Fidq and Lord ni wanoma 🔥🔥. Fidq kagusia maisha ya kuhustle mtaani ambayo yana majungu na chuki na bado inahitajika kupambana kwa nguvu ile ile. Lord Eyez…kaua sana, kwa kuzungumzia siasa na maisha ya mtaani, akakebehi tabia ya uchawa, akazungumzia namna nchi za magharibi zinaingilia maswala ya kitaifa
@makejaffar81195 ай бұрын
Deeeeeng!!! Wueh Geniuses met now its massacre in our brains 🧠🧠 Mex man!!!🙄🙄🙄🙄🙄 My boyfrend Lod Ize🤣🤣🤣💪🥰🥰 Babaa Fareed we love you From Kenya💪🥰🥰🥰
@petersimon21155 ай бұрын
Happy Birthday Fid Q,,, Mex kasema ni sawa na pusha aliyetaka ajinyonge hafu avute😂
@EinsteinFromEastern-vh6lo5 ай бұрын
Aisee huyu Cortez ana njaa kama yule One mwenzake na Nikki 🥶
@nassoSchneiderlin5 ай бұрын
ILA WANANGU LEO MMENIFURAHISHA 🎉🎉NGOSHAAAAAAAA
@eliamushi16785 ай бұрын
Sio kila ninachokilenga nina nia ya kukipata..💥
@IssaMoh-yn2zi5 ай бұрын
Masterpiece....🔥🔥🔥 1. Mex 2. Fid 3. Lody Eyez
@MartinPatrick-g6c5 ай бұрын
Master ni master tuu fid q the pachi line zako ni zamoto broh
@DanielPeter-vh9rj5 ай бұрын
Mex is another level and this is hip hop yeah real hip-hop is not on a radio
@Dickcheney-b1h5 ай бұрын
JAMANI huyu mzee mbuzi ni noma sana more blessings to big bro 👑🙌
@shabanbuchu21305 ай бұрын
Lord eyes always brings the best in Fid q
@The_Mad_Philosopher5 ай бұрын
Hip hop........NGOSHA🔥🔥🔥🔥. Alafu unamfananisha na mtt mdg anayepiga kelele kwny beat kwa kujicfia cfia tu😂😂
@japhsam_simulator5 ай бұрын
hii ndio real hip truck ss sio hao ndugu zenu sifa nying af wakipewa vennue maiti
@saidseyyid17505 ай бұрын
1: mex Cortez 2: fid q 3: lord eyez 🔥
@emanuelkisanga34295 ай бұрын
vice versa is true...lord ndo kakimbiza....achana na kuangalia kingereza angalia content mzee, lord katema mistari ya kiharakati sana very deep.....hyo mex anabwabwaja tu...nothing significant there.
@saidseyyid17505 ай бұрын
@@emanuelkisanga3429 hicho kingereza ndicho chenye huelewi na mex Cortez ameongea bars tupu so ni muhimu kujua lugha zote mbili
@EinsteinFromEastern-vh6lo5 ай бұрын
-Tajiri anazikusanya tu Kila siku -Masikini analia hajaona mchana hajaona.usiku mzee mbuzi 🔥
@emmanueljuma58515 ай бұрын
Kaka una jimbo lako mwanza gombea chukua jimbo. GOAT GOAT GOAT the real Mbuzi
@RapperTyger-vv1vt5 ай бұрын
Kumamamakeee hii beat kapiga Dr dree au niaje 😂😂😂😂 au na mim naangamia kwa kukosa maarifa na taarifa njema kama wesenge wa Tanzania 😂😂😂😂 hiii ni nyoko sana wakuuu
@yombokasonga81615 ай бұрын
Hii bit kweli nilevo nyingine kabisa
@SuleimanMasankala5 ай бұрын
Oyaaaaaaaa beat ya Dunia ya kwanzaaaaa huku kwetu imekuja kama zali na wana wameishinayo kiroho safi ngosha is something else wallahi
@Nyangembinde5 ай бұрын
Cortez you got magnificent talent. Style ya viwango vya juu sana . Keep it up 👍
@mosesdavid-vm5hk5 ай бұрын
Hahaha manimendra kapita fresh sanaa dadeki mnoma uyu mwamba..🙌🙌🙌🙌🙌🔥
@mbarakasaidi82435 ай бұрын
Uyu fiq sio poa kabisa Asiekosea ajawahi jaribu jambo jimpya
@cooljoethecoolboy5 ай бұрын
Oya mlikua wapi kuandika na kudondosha goma kama hili nyie wakali ... Gaddam it
@jayfarsaga49355 ай бұрын
Angeia na vina humu 🔥😁😁
@djhdscratchmaster41104 ай бұрын
Cha kwanza hii beat ni dope sana aiseee🙌🙌 after that "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, Tanzania wanahangaika kwa kukosa taarifa, "
@kijokombao53455 ай бұрын
Oya Lord eyes ameamua kuua kabisa🙌🏽
@nevillekalinganevo_25125 ай бұрын
Bars on bars . Mex came to eat #255totheworld #OldNgoshaBack🔥🔥🔥
@JoxeOdejr-ou4ds5 ай бұрын
Fid q mnyamaaaaaaaaaa MWANZA MWANZA KUBALI SANA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@chesterbrand67235 ай бұрын
Sacramental criss crisswell the price of change pusha aliye waza kujinyonga kisha avuteeee ngosha on the prime ...... Tanzania inaangamia machawa waanzushe mutaala... Real definition of hip hop chimbo . .....
@fredvikotta20955 ай бұрын
Bonge la ngoma….ngosha mkaliiiii na anatishaaaaa
@MpuyaMayunga5 ай бұрын
Mex umetisha ngosha hujawahi kuotea naomba umkuze Mex ni msanii moja mkubwa Sana lkn kama hawajamfahamu
@tumainmasuki71105 ай бұрын
Hi Ngoma ni kwere 🔥🔥 Kila mtu kauwa kinyamaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@chungalumo8635 ай бұрын
There is something missing in this song and that's King Kong "Chid chichiii..." Mtoto wa Ilala. Ngoma imesima mazee
@shaburnbarkar59025 ай бұрын
Wana hawali madawa kama chichi chid Benz hapo ni +vibes 2
@SuleimanMasankala5 ай бұрын
Sahihi anahitajika humu
@dakeeog5855 ай бұрын
Oya LORD EYEZ kafanya huu wimbo niurudie huyu CORTEZ ni mzuri ila hata yeye hajui anachana kuhusu Nini HIP HOP is real Life na vyote kaviimba LORD
@DONY-kz5 ай бұрын
This one deserved onyly 2 guys Fid q there last guy you added for friendship 😊😊😊
@fedlob45 ай бұрын
🎉 fid q the goat 🐐
@onesmomwakasege52155 ай бұрын
Duh wazee mbona mmepanic sana iyo ni hiphop atari sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Kombs-cr2mj5 ай бұрын
So finally big brotherz gave this boy a gig. Respecr
@hamisibakari3425 ай бұрын
Huu ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Mendeslyrics-u8x5 ай бұрын
Mex aisee tunakuomba ukaze sana upindue huyu mbuzi anatuchefua san mashabk wa hiphop
@MustaphaChimbalanga5 ай бұрын
Lord Eyes 🔥🔥🔥🙌
@lwidikoedward81155 ай бұрын
“Hata Flat earthers wanani SPHERE”🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 fire bar!
@mrswagz1005 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 fire bro. Best bar, it flew above many heads
@lwidikoedward81155 ай бұрын
@@mrswagz100 NI HATARII.. kuna line ingine ya "Manzi ya Tanga, Afu Na MUHEZA"👑👑 levels ni zingine
@mrswagz1005 ай бұрын
@@lwidikoedward8115 i feel you 🔥🔥🔥🔥
@saluuhans5 ай бұрын
#Fid_Q is fire 🔥
@mosesdavid-vm5hk5 ай бұрын
Hili dundo litakuja pigwa Simba day mwaka ujao😂😂😂🙌
@abditech145 ай бұрын
Bongo hip-hop ni Yako fid maana hili dude ni nouma🙌🙌
@ndoxmafia5 ай бұрын
Kitaaolojia mitaa inaelewa 🙌🙌💥
@chachasagara19855 ай бұрын
Combo ya Ngosha na Isaac ni #Full ile laana Cortez ni Matatizoo👑💯💯
@DavalsonMarlony5 ай бұрын
wamektana magaid wa rapp big up sana 🦾🦾🔥🔥🔥🔥
@hamzamsafiri34185 ай бұрын
Jamani jamani hapa hii sio amapiano rudieni hii kitu mrudi shule💣💣
@sosomokobiasharamgaya30205 ай бұрын
Fareed Qbanda unatisha sana🎉🎉🎉🎉nyota 3 zimekutana
@amanintevi82495 ай бұрын
Oya we Mex sio mtanzania wazee 😂🔥
@PatrickJulius-uy3yb5 ай бұрын
Daaah nilikuwa nimemisi sanaaaa fid Akifanya kwa hasira kama kapigwa kofi na prifunk majani nomaaa
@mimibusarachibu5 ай бұрын
Hii hatariii sana, hivyo vijijimbo vyenu vya Young Lunya hamna kitu, humu anazama na hatoki
@IvanKihwelo5 ай бұрын
Kuanzia flow mbaka mistari ni fire🔥🔥🔥💥💥
@victorpetermasebo8225 ай бұрын
From 265🇲🇼🇹🇿 Mex nimkali ,ngosha the don mnyama
@innocentkimweri21835 ай бұрын
Lordeyes now amekua preacher real preacher and we happy for dat 🥶
@dicksongeorge63545 ай бұрын
for those who didn't know mex cortez, go and listen to his songs for me these are my favorite songs:barbender 4-6, holy flow, let it burn, barcode vii, god did freestyle, alabama ft nasty c and manimendra this guy is the best rapper for me
@saluuhans5 ай бұрын
Asie kosea ajawahi jaribu jambo jipya #hiphop
@michaelollinga13975 ай бұрын
Depth 🎉🙌🙌
@AlfoncAndreq5 ай бұрын
Honger bro ngoma kal sn,🎉 like zake apa🎉
@Mtamaduni145 ай бұрын
Justice has been served kwenye hilo beat🔥
@mcbartonkesh36645 ай бұрын
Watching from Kasulu to Kigoma ❤❤❤
@nicokamily17495 ай бұрын
Wazee hii ni noma, thanks for food for thought
@mosesdavid-vm5hk5 ай бұрын
Mex🙌🔥🔥🔥🔥
@kasongokusova19055 ай бұрын
Mamamamaeeeeee bonge la dude yule kondoo mwambie aje ashike hii kama anaweza
@juanmbise32005 ай бұрын
Masterpiece 🔥🔥 hey Kings
@georgekarazewilbroad65715 ай бұрын
wazeee wa cake Tuko Realy na Hizi Barz ,anaekujua hakuamini na Hamna beef
@JeronimoSimon655 ай бұрын
Terrroooooor Lord Eyes 🙌🙌
@emmanuelnkwabi86105 ай бұрын
Ngosha bonge la jiwe mzee mbuzi
@NICKSONMWAMAHONJE5 ай бұрын
Wale tuliomsikiliza fid zaidi wote 👍
@husseiniddy30405 ай бұрын
This is HIP HOP. Big up Mex umeua kinoma🔥
@silamnyama16425 ай бұрын
Wametisha sana hawa wana.sion mahind sare sare
@Arapmisemo5 ай бұрын
Fid q , spits the truth , Awakens a boy child 💯
@ladhahalisi5 ай бұрын
"Mi wa dunia, even flat earthers wananisifia (sphere)" - Mex 🔥🔥🔥
@MariamuMwalongo5 ай бұрын
💥💥💣
@fredrickkakila93925 ай бұрын
❤
@stonestz88155 ай бұрын
Mex ❤
@jasintakazimoto89945 ай бұрын
Wimbo wa taifa 🔥🔥
@michaelmfinanga9975 ай бұрын
Goma kali sna, nilimis sana hi HIPHOP, Nmempata Lord eyes wa Nako 2 Nako, Fid wa professional, Mex umetisha San.