Kiberiti ni wimbo ninaoupenda kupita nyimbo zote kwenye album ya Ngosha, utofauti wake, imegusa maisha ya saikolojia zetu, yaani unasemwa ,unatetwa ili useme lolote, lakini mtu anayekufanyia hivyo hana chcochote cha kukutisha , huwa na-refer pale , sikuoni BET, MTV wakiplay tunes
Wanataka vitu rahisi minawapa vitu halisi hii kaka kweli ni fact kwa lugha ya kishkaji bonge la video
@macdee_tv76222 жыл бұрын
Mbuzi nzee hajaiangusha...mistari yenye elimu si haba
@diamond_killertz19952 жыл бұрын
Kama ww ni muelewa kunamsanii kanyooshwa humu🤣🤣🙌
@salimyanga92162 жыл бұрын
True mzee mbuzi aka ngosha ukijikuna tako haikikisha usikate kucha kwa meno
@salimyanga92162 жыл бұрын
Nko na mwanao wa mbavun sultan
@andrewkaingu83422 жыл бұрын
Asante sana Fid Q umenielimisha
@khalifasultan2677Ай бұрын
Nipo Humu 2024...Haiwezi Pita Siku 3 Sija Play Huu Wimbo Aisee!!🔥✊🏾
@kamuchidyblez21362 жыл бұрын
Fid Q mwana aliyee juuu 🔥🔥 gonga like Kama umekubal hii ngoma ya ngosha Farid kubanda
@zanzibartotheworld78262 жыл бұрын
Ima tell yu this tanzanian rappers will come and go but fid q is the one of the lyrical genius and hiphop influence
@babiesanimalshows472 жыл бұрын
Music is not only entertainment but also EDUCATION now this is what we need in reality
@kipendarohotv26692 жыл бұрын
haueleweki ata uki shine kwa panchline za face book auei fun ka rayvanny we ni fake tu 😂😂😂😂
@Yo_tune-tb5sn2 жыл бұрын
Dah jamaa kamchana sana CHIDBENZ
@ballisticsound47962 жыл бұрын
KING LUFFA'S BEAT
@niitemlela75192 жыл бұрын
Show nje ya town zina crowd ya kiwaki,kaza crown ibak ukikaza xana hawataki🙌🙌🙌
@bonifacemfaume97882 жыл бұрын
Kiberiti ni bonge la ngoma HipHop ni mkombozi wa fikra ina uhalisia kwenye maisha ya binadamu kiukweli FidQ we ni Goat#GoatFidQ #Kiberiti #SaidaKaroli
@chechetv96682 жыл бұрын
Maana halisi ya msanii na sanaa ndo hiiii
@almasially65092 жыл бұрын
hii art kumamake daah.🥾🐐🔥
@nuruhassaniddy85292 жыл бұрын
,,,,, umetishaaa video kali
@mbenamdudu78562 жыл бұрын
Babu ngosha hii binge la video sijawaikuona kama hii Dunia nzima hip-hop
@barakamwasapi4086 Жыл бұрын
Heshima yako mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lukasmunduwi67822 жыл бұрын
Daah badala ya yoooh yoooh nyingi na kushika chini ya trouser ,,hii mpya🙏💥💥
@TanzaniaExpert2 жыл бұрын
GOAT video 🔥 music 🔥
@AbedyNalbert Жыл бұрын
We thank God for Fidq
@nuruhassaniddy85292 жыл бұрын
Video kaliiii ile kinyamaaa
@mutahafrica90782 жыл бұрын
Moja kati ya ngoma zilizowahi nijenga katika ukuaji wangu kwenye mziki na Utamaduni wa Hiphop ✊🏿
@peterkichochi75102 жыл бұрын
Fid PHD yako ninzuri ila ulivyo ongea umeleta ukakasi. Ila tungo za ki PHD
@yakeemkitukuu95052 жыл бұрын
Nakupa cheooo kk
@davinewton63752 жыл бұрын
hii video ndo maana halisi ya GREATEEST OF ALL TIME
@lenniekim2 жыл бұрын
Maupendo kutoka 254 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪
@princetygah_inspiration59122 жыл бұрын
Hapo tu ndo unapowaacha wasanii wote Tz
@izvibez68232 жыл бұрын
Hatimaye tumepata nafasi ya kumuona MZEE MBUZI LIVE🔥😁
@mangaramafwimbo22202 жыл бұрын
Yea ngoma imesimama sana lkn kama umemchana simba kwa upande frani hivi😆🚶♂️
@macochal44232 жыл бұрын
Nooo u have the wrong idea me njua imeguswa kwa nan kaka....hahaha
@fredrickkakila93926 ай бұрын
❤❤❤bro
@dngmusic56752 жыл бұрын
Nooma💊💊💊💊💥💥
@johndela74352 жыл бұрын
The first day i started listening to Fid q to this day i never stopped. This guy right here deserve respect and i do respect him 100%
@adamakyoo30032 жыл бұрын
Farid kubanda the definition of hiphop tz
@neviyuzzle39052 жыл бұрын
Neipenda hii nikali na hii ndo hip hop
@bennylove60212 жыл бұрын
Hujawah kukosea Ngosha
@MohamedMtupa5 ай бұрын
Ujumbe mzur sana 2024
@fredmkama80352 жыл бұрын
Nimejfunza k2 mkuu...Salute mwamba wa kaskazin
@MalickMazikublood-gq2fs8 ай бұрын
Huyo sio mwamba wa kaskan😂😂
@DemusTheGD2 жыл бұрын
#siogopi kukosea, ndio maana wananiita mbunifu #Mzeembuzi
@mtemimagema61762 жыл бұрын
Haipingwi bro
@lilpaff932 жыл бұрын
Nakukubali sana
@Hashdough2 жыл бұрын
VIDEO TUU NI HIP HOP TOSHA..PUNCH LINES WOOOOOOOOOOOOOOW
@DonSompo2 жыл бұрын
Nice way of visualizing thoughts
@digonzakeimbe8435 Жыл бұрын
Tukutane hapa 2023 Ngoma kama Imetoka Jana yaan ni 🔥🔥🔥
@paulonjozi16382 жыл бұрын
Utofauti ndio utam wenyewe video yakinyama sanaaa🙌
@Everything-series.2 жыл бұрын
Goat 🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🔥🔥🔥🔥🔥🔥 and goddess saida
@hajimaster76242 жыл бұрын
Ila hii video daah🤐
@TamuzaKale2 жыл бұрын
Wimbo uliotafsiriwa na msanii mwenyewe ndani ya wimbo wake!
@emmanuelmwansasu3472 жыл бұрын
Km umesikia kiba piga lake
@jaystarkenya2 жыл бұрын
Q aka mr International 🔥
@joshuadaniel83822 жыл бұрын
Ongea uskike aw kaa kimya usidharaulikee😼🤐🤔🤔🤔.. ticha fidQ🤞🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sosomokobiasharamgaya30202 жыл бұрын
Nakuitaga Baba ya muziki Tz
@isayaisaya16972 жыл бұрын
Ngumu nyeusi
@azaboicomedy2 жыл бұрын
CHEUSI DAWA 🔥🔥🔥
@ray45king842 жыл бұрын
Finally the real MBUZI... thanks for the visuals. This was an instant classic when I heard it, it's still a classic.
@elishakijjah65842 жыл бұрын
My brother Fid Q Mungu akuinue kama ilivyo ahadi yake . Kazi nzuri sana
@venturelugho90282 жыл бұрын
Hatulali tunalinda accound ya fid, wakirusha bom tunalipuka nalo
@dytmnyama46612 жыл бұрын
Faridi hizi floor ni kali mno
@Kika-nf4zh Жыл бұрын
Kila kilicho ng'aa ujue kiling'alishwa but kwa upande wako umejing'alisha mwenyewe muda mwingine tutafute Manati kwa ajiri ya kuwapigia kunguru kwasababu ni waharibifu
@michaelmallya56222 жыл бұрын
One of the finest masterpieces. Thank God for Fid Q
@muletv74892 жыл бұрын
Wataelewa wachache wanaofahamu mziki mzuri ❤️
@edwincharles76782 жыл бұрын
Ww sio kichwa, ww unaweza fichwa... Ikichorwa hiphop sio sura yako kwa picha✊💥
@salim02tv242 жыл бұрын
Fid maarifaQ
@directormitindo17652 жыл бұрын
Sa hii video mbna kubwa sana mamaqe
@RamadhanJuma-k7h3 ай бұрын
Nakubal fid q
@maximusalnono64252 жыл бұрын
Wee sio kichwa wewe unaweza fichwa Nikichora hiphop sioni sura yako kwa picha ✌🏼 🐐
@nyamarungujr78342 жыл бұрын
Yupo duniani tangu August 13…..Acha awashe moto aseee mwamba ni KIBERITI🔥🔥
@luhajufilmstanzania2 жыл бұрын
Sawa Mwalimu
@donald70222 жыл бұрын
Shots fired 🔥🔥💥 Simba 😂😂
@hamzermahundu6371 Жыл бұрын
We ni fundi ...mamaaaae
@aminanassoro68612 жыл бұрын
My favourite artists of all time Kendrick Lamar and Fid Q
@shawngoalztunkya1272 жыл бұрын
What about j Cole?
@thomasclement59092 жыл бұрын
Kila iitwayo leo flow zako zinazidi kujenga ubongo wangu “genius of rap”
@macochal44232 жыл бұрын
REAL GOAT by THE WAY NIMEPITA SAN KATKA COMMENTS NIMEONA SHOUT-OUTS NYING SAN KUPITIA HII NGOM KUFANYIWA VIDEO FROM 2 OR 3 YEAR SS UMETUTOLEA VIDEO ACTUALLY IT'S EDUCATIVE HIP-HOP AND ALSO THE FLOW OF PUNCHLINE TOUCHES THE FEELING OF THE LISTER,,SOME HOW KUNA UJUMBE PIA AMBAO UNAWAFIKIA THE OTHER SINGERS DOING THE GAME,,, THAT'S WHY I CALL THE REAL GOAT DAH UMENIRUDISHA NYUMA TENA TANGU NLIPO ISIKILIZAGA,,, NOW ON TRENDING BRO MUCH RESPECT YOU TO,,,YOUR THE FATHER OF HIP-HOP IN TANZANIA,,,,I DONT KNOW IF THERE IS ANY SAY FROM THIS CREATIVE VISUAL......🔥🔥🔥🤝
@ntungifrancisco33232 жыл бұрын
Mzee mbuzi makini sana
@Lamarttown.2 жыл бұрын
Dah ebhan video kali sana mwana umetisha we mbuzi sasa....
@jmaccoe2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Lyrics zimekosa dialog 👇🏿 baada ya HOOK: Fid Q nikuulize, hivi siri yako nini kuishi kwenye game muda mrefu, eh? Kwanza unajua, mi' huwa sichukulii vitu personal Ukiniponda sichukulii personal, ukinisifia sichukulii personal Ni'chojifunza ni kwamba usichukulie kila kitu personal Na zaidi, ufunze ubongo wako kung'amua jema kwenye situation yoyote ile Na hivi ndio vitu ambavyo Don Miguel kwenye kitabu chake cha The Four Agreements ameviongelea Kwa mfano, nikikutana na wewe sokoni au kokote na nikakuambia, "Wewe ni mjinga" Wakati hata sikujui, na siku hiyo hiyo ndio mara ya kwanza tumeonana Anaekua amevurunda hapo sio wewe ni mimi So kwa wewe kuchukulia personal na ku-react Ni sawa kuwa umekubaliana kihisia na jina hilo la mjinga Na huenda ukanifanya nijione mimi ni muoteaji mzuri Kuchukuria kitu personal ni kukubaliana moja kwa moja na kilichosemwa Na kama kweli umekubaliana inamaana kimekuingia Na kinapokuingia husambaza sumu ambayo huziua zile fikra chanya Ulizokuwa nazo na kufanya usichukue maamuzi sahihi Kila mtu anafanyanya vitu kwa ajili yake na kwa faida anazozijua yeye mwenyewe Ni mara chache sana wewe kuzing'amua hizo faida binafsi za watu Wengine utaona ni kwa ajili ya attention Wengine ni kwa sababu inawaingizia kipato Wengine iyo kitu huwaacha tu na furaha ya moyo Na vitu kadhaa wa kadha Kila mtu ana ndoto zake na pia hupendelea kufanya vile akili yake inamtuma Na pengine dunia tunayoishi sisi sio dunia wanayoishi wao Hivyo tunavyochukulia vitu personal ni sawa na kuwa- Kuwaaminisha ya kwamba tupo kama wanavyotufikikiria Na tunaota kuwa na utulivu kama walionao wakati sio kweli Na hata tusi liwe la nguoni kiasi gani Ni vyema ukajua na kuamini ya kwamba halikuhusu Kumbuka limjaalo mtu ndilo limtokalo Wengine wameathiliwa na malezi waliopitia pamoja na makuzi kwa ujumla So, hata mtu akiniambia we, yani Kwa mfano mtu akikwambia, "We Saida ni mshamba kuliko wasanii wote Tz" Ni vyema ukamsamehe tu! He! Lakini kumbuka kumsamehe mtu inamaana alikukwaza Uka-mind ndio maana ili usimfugie chuki na hasira Ndio maana inabidi umsamehe Na kumkasirikia inamaana uliruhusu ile sumu ikuingie Kwa hiyo kwenye hili mtu akikwambia, "Wewe ni mshamba kuliko wasanii wote" Tunashauriwa kumuacha kama alivyo tu Kwa sababu hizo ni hisia, imani na maoni yake yeye binafsi Na dawa pekee ya kuituliza iyo sumu Ni kuwapotezea tu ili waendelee kupambana na hali zao Watu wengi huwa wanashindwa kumjaji mtu kama alivyo Kutokana na vitu alivyonavyo Cha ajabu mentality hii imetupelekea sisi kuacha au kusahau kabisa Kuchukulia vitu kama vilivyo na kuanza kuvichukulia kama tulivyo.
@patrickcalton62682 жыл бұрын
Mtaalam tupe Link tusikilize zako
@plusabracadabra51662 жыл бұрын
Acha wivu Kijana 😉😉
@kelvinniwagila14822 жыл бұрын
dude u need to learn more about music
@abou_hamrad2 жыл бұрын
@@plusabracadabra5166 dogo kaflow na lyrics za Fid Q nadhani hamkuuskiza wimbo
@frankmare17082 жыл бұрын
@@patrickcalton6268 kawasaidia kuweka hiyo dialog maana kwenye lyric haijawekwa nyie mna mdisi😂😂😂
@tinnymarty2 жыл бұрын
.this song huwa inaniiinua sana nikiwa najisikia niko down...🔥🔥🔥🔥 #the 4 agreement ✅✅
@rizikirichard30962 жыл бұрын
good vibes
@CoachHafidh2 жыл бұрын
Mbna inakaa kama sample hivi....well kabla sijahukumu sana ningependa kumskia @fid Q mwenywe akieleza kwann kaamua kuifanya kwa style hii video yake
@geffects114111 ай бұрын
Kubandaaaaa ❤❤❤❤❤❤
@richadshirima6562 жыл бұрын
Saluti sana mzee mbuzi ujawaii kosea Ngosha the don... hip hop
@jumambuma11012 жыл бұрын
Umeua fiq Q,
@allisuleiman76262 жыл бұрын
Idea Kali sana
@zahertanzanian8583 Жыл бұрын
Meaning of hiphop
@MpuyaMayunga6 ай бұрын
Mzee mbuzi
@mbenamdudu78562 жыл бұрын
Inabidi upate muda utuelezee hii michoro ndani Mimi nimeelewa iyo ya got tu
@officiallucasnyogu2 жыл бұрын
"Ukisema Chini Hapana 🙅!! Ina Maana Fanya Unyanyuke 🧎..// Na Ukiamini Umesimama 🏃!! Mwana Komaa Usianguke 👩🦽..".."💪👊🔥 Ngoshaaaaaaaa🔥🔥🔥👊🙌
@paulbahati87782 жыл бұрын
🤛🏻
@erickngulo28412 жыл бұрын
Lil wayne.how to love
@amanarts255Ай бұрын
Hiyo intro sio poa 🎉🎉🎉🎉
@jesuslove22052 жыл бұрын
Hapa kamjibu Rado
@ahishakalypse232 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@noxiousmashairi2 жыл бұрын
mzuka huu hapa
@dansonmwamburi41508 ай бұрын
Masterpiece 100%
@plusabracadabra51662 жыл бұрын
Ukijikuna tako usikate kucha kwa Meno 😁😀😁😀
@flashtvke2 жыл бұрын
Let's all embrace peace and appreciate the beautiful talents we've got