MIRAJI, you are Good unajua sana kuuanalize mpira, ninashangaa kwa nini usiwe miongoni mwa wachambuzi wa soka wa kituo kikubwa cha AZAM MEDIA.
@perepetuajohnАй бұрын
Kweli Yanga ni kiboko na wako siriasi na priseson hongereni wachezaji wetu KOCHA na viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉
@user-rr9kv1cu7mАй бұрын
Raha ya miraji ni kuujua mpira halafu anachambua bila upendeleo na unafiki. Hongera sana kaka. Endelea hivyohivyo
@albertvalentino130Ай бұрын
Nakukubali MIRAJI -- MAX ni habari nyingine " weka mbali na watoto "
@abelimaganga417Ай бұрын
Hii combo ni hatar Sana nawakubali Sana wamba❤❤🦁🦁🤝🤝🤝
@AyoubSaid-b5nАй бұрын
Namkubali sn huyu mwamba anaongea mpira doh yan nikimsikiliza natulia kama nipo darasani vile😮
@allahisone6386Ай бұрын
HANA USHABIK KILA KWENYE DOSARI ASEM IWE KWETU SIMBA&YANGA
@RashidShidhaniАй бұрын
Nawakubali Sana Miraji na Mchome na Mzee Saidi
@hassanchiwambo687Ай бұрын
Young hii mmm! Ni mashaka yangu tu....timu zijipange vzr.
@PanchoValentino-wh7wtАй бұрын
MIRAJI unajua Sana blood Naqubare
@user-bt6ep3yb2hАй бұрын
Macho yako mabovuuuu, ila chama yuko safii sana na atawafunga 08/08, mchungeni sana msije mkaamsha kilio.
@user-qi3wv8sf5jАй бұрын
Safi sana,Nenda kamwambie na MZEE SAID MOTO ULE WA BALEKE
@mozahdadichimpele5719Ай бұрын
Brother miraji uko fire❤
@JolotaErastoJumaАй бұрын
Miraji anajua kuchambua 🎉🎉🎉🎉🎉
@AyoubSaid-b5nАй бұрын
Miongoni mwa shabiki nawakubali na wanajua mpira miraji ni zaid ya mtu na nusu
@jally1865Ай бұрын
Chagamba !! That’s soccer. Kudos Bro keep it up. Uko vizuri sana zaidi ya wengi wa wachambuzi uchwara wa TV/ Radio stations.
@vedatv-to4hgАй бұрын
Nakubari familia
@JumanneMahonaАй бұрын
Kaka ss bundasilig na sio lig tena mwambi mzee saidi asituwaze tena 😅😮😮😮😂😂
@RamadhanWaziri-jl6plАй бұрын
Miraji anaogeya kimpila na cyo ushabiki yupo vzur
@noahmwaitege8663Ай бұрын
Mwanang miraaaji daaaah bloo we mpiraa unaujua KAKA yaan uko vzr inabd to ukachaaambuage Azam pale
@bakarimasanga3634Ай бұрын
Miraji umeongea point sana kuh eneo alocheza Yao.
@malietamalietАй бұрын
Asante miraji kuna michambuzi walisema ety mmoja anaetumikaga top eleven ndo alianza ila wabongo🙌🙌🙌
@ushiwamarandu7433Ай бұрын
MIRAJI nakukubali sana kakaaaaaa...!
@dennismazanda7226Ай бұрын
Kaka miraji unajua sana hongera
@vi3ayo1622Ай бұрын
Anaestahili kuwa man of the match ni max mpia zengeli aliuwasha sana
@addomapunda957Ай бұрын
Nilitamani uwe kocha miraji nakubali mwamba
@jamesmsigwaАй бұрын
Miraji ipo siku utamvunja bega chagamba 😅😅😅😅maana
@FatumaSwaleh-it4qqАй бұрын
Chagamba mzee saidi usimsahau leo
@madukaj.j.6999Ай бұрын
Edit heating Man Of The Match
@veronicangwale7159Ай бұрын
Yanga oyeeeee
@KhalfanYahayaАй бұрын
❤❤❤nawakubali😊
@dianaemmanuel3471Ай бұрын
Namkubali sana mwamba
@barikilangoy4737Ай бұрын
Natamani wasafi wamchukue miraji awe mchambuzi kwenye sport arena, anajua mpira vzuri
@GucciJackson-sw6pgАй бұрын
Kolo linalo jitambua hili tu
@fatmaally5530Ай бұрын
Sanaa utooo sijawahi kuona mtu wa hivyo
@ronaldopanja59Ай бұрын
Kaka miraji ilaa max ni mtu na nusu
@PaulTango-he8qoАй бұрын
Wa kwanza leo like zangu
@HanafiKomboАй бұрын
Kaka unajua mpira kaka
@ZenaMkaliАй бұрын
❤❤❤
@mdalingwahassan8710Ай бұрын
Miraji we ni mwamba sana wewe sio shabiki Tu ila ni mwanamichezo pia
@faidapaul6275Ай бұрын
Miraji anajua moira bwana....😅
@maikoatufigwegemwakapoja8709Ай бұрын
Nakubalii chagamba
@fadhilykaduma3026Ай бұрын
Huyo Diarra wa CRDB nimempenda😅
@ayoubsanga315Ай бұрын
Chagamba umekosea Yanga Sio number 6 Africa ni 12
@perepetuajohnАй бұрын
POKEA 🎉🎉 Yako bro Miraji
@abdallayunnus3475Ай бұрын
Nakubali miraj chagamba
@NassonNgossiАй бұрын
Kaka we ni bora sana
@JohnMaginga-v9dАй бұрын
Sema maraji siku hizi kabadilika tunajua ni shabiki wa Simba ila akiwa anaongelea michezo aweke usawa la sivyo anaanza kupoteza mvuto mzee said safiii
@deonatusdaud4640Ай бұрын
so kweli..
@fatmaally7252Ай бұрын
Chagamba hupoi tunamsubiri mzee side
@malietamalietАй бұрын
Shabiki wa simba ninae mpenda kutokea yanga jmn mm man of the match ni diarra tungekula kono kama mtani😂😂 dube jmn miraji kajatibu ajapata fitness
@JeniphaRobertАй бұрын
Ukimleta miraji mzee saidi awe karibu tunamtaka😂😂
@user-rr9kv1cu7mАй бұрын
Uko vizuri miraji hongera sana
@amaniomar1755Ай бұрын
Hatareeh sana 🔥🔥🔥🔥🔥
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Bg sana yanga
@fahadfaraj6474Ай бұрын
Tatizo simba na yanga ni watu wanaodhani yani tunauwezo wa kucheza na mtu yoyote jamani timu kama augsburg wachezaji wao ni world class players, hakuna namna tukaona tunaweza kuwaweza ni kama tajiri wakijijini mwenye mashine ya kusaga na kiduka na bodaboda mbili nae aanze jiona yuko level za kina Bill Gates tz tuko kujitafuta tusijiongopee Kua tuwakubwa mnoooo
@user-ox3ij7ki3tАй бұрын
Mim wa 3 chagambaa mapema sana
@user-rr9kv1cu7mАй бұрын
Nawapongeza wachezaji wa wa yanga pamoja na uongozi mmetisha
Hata asingeanza hta mmoja bado ile ni ligi ya ujerumani na wote ni wachezaji wa timu hyo hyo na mshahara ni ule ule usijifariji
@saidially5892Ай бұрын
Chagamba tuletee mzee Said chap kwaaaa😂😂😂
@user-wl3sv2xn9eАй бұрын
Magoma 900 inapendeza😂😂😂
@rizwankiaze9264Ай бұрын
Hiki ni kilio Kwa MANDUNDUKA kila mtu moto
@husseynomar9523Ай бұрын
Miraji bwana 🎉🎉🎉🌷🌷🌷😂😂😂
@FatumaSwaleh-it4qqАй бұрын
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi
@FredyPeter-rq8hjАй бұрын
Milaji naye mdud😅😅😅😅
@rashidkhamisjuma3714Ай бұрын
miraji yko vzr
@viccentbenard3710Ай бұрын
mwambie miraji rasta man mtanzania na hati yakusafiria unaichukulia nchini kwak sasa uko kaenda kuchikua hat ipi tena? kibunda simba awajammalizia
@charlesmtamala4912Ай бұрын
familia nawakubal kichizi
@dullamuso6955Ай бұрын
Chagamba umerudi hapo 😂😂😂 Uliyamic Makofi ya Miraji eeehhh 😅😅😅
@sabasmbunda5018Ай бұрын
Ninachokijua gamond kwenye preseason haonyeshi mbinu za mojakwa moja ila baada ya preseason ndo utajua gamond ninani
@MuhozyaTMwangwaАй бұрын
kiukweli zengeli ni mtu na nusu ila wakumbushe wachezaji wa kibongo wajitume mtakuja anza lalamika hawapangwi kama sure awe makini
@nassoloabdala8836Ай бұрын
Wakwaza leo nikiwa🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@saidemuamedeali2678Ай бұрын
10:17 10:20 🎉
@kudramzee5769Ай бұрын
Salute kwako chagamba
@JamalSaidmfaumeАй бұрын
Miraji anajua mpira
@BADILIJUSTUS-fs3ooАй бұрын
Yanga alisamehewa tu wale walikuwa wanatest tu kikosi wangeamua wangempa 8 za uhakika, tatizo wachezaji wa yanga skills hawana manguvu mengi hasa mabeki skills hamna kabisa ata diara ni shati lipo mlangoni mbwebwe tu hawezi kudaka mipira ya mchezaji mwenye skills hawezi tena anfungwa kirahisi
@JamesNation-ji1jyАй бұрын
😂😂😂😂😂 loho mbaya inakusumbua
@JamesNation-ji1jyАй бұрын
Wewe umekula sita ujaongea mbona
@JamesNation-ji1jyАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@petro8010Ай бұрын
Hizo alizopangua hukuziona......au hukuangalia mpira.Diarra ni goalkeeper wa kiwango wewe
@worldhappiness1181Ай бұрын
Ile Yanga, nina uhakka 100% kuna team zitakuja kuchezea kumi kumi.
@georgettesaidi6809Ай бұрын
Tuletee mzee saidi nae chagamba 😂😂😂😂
@RashidKashindiАй бұрын
Chagamba nitumie namba za MJ na Majina kuna zawa…yake hapa nipo zangu us
@agnessgodfrey6557Ай бұрын
Mi niliwaambia kwa chama hamna kitu mkasema ooohhh wivu Kiko wapi😂😂
@user-ic9eo3fh1uАй бұрын
Hata hivo Bado una wivu ndo kwanza kacheze mchezo mumoja kwenye timu nyingine mda utaongea
@issackshayo7423Ай бұрын
😂
@salehkhamis3000Ай бұрын
Team zetu zije tu kucheza na kina namungo, coast union zitatamba lakin kw teams za EUROPE bado sana
@errydeo8865Ай бұрын
😂😂😂😂 kuongelea mpira, TZ KILA MTU mtaalam! WTF
@josephgalandu128Ай бұрын
Miraji we ni mtu wa Ball
@user-rf4wt6fj4eАй бұрын
Kaka nakubali siyonafiki higawa nisimba
@erickemmanuel9486Ай бұрын
Chagamba tunasubiri press na Mzee said😂😂
@stevensosipitaАй бұрын
MIRAJI WEWE NI BONGE LA MCHAMBUZI NA MSEMA UKWELI KIMPIRA.
@user-mx4vz3jt2nАй бұрын
Jana yanga walicheza ila kawa uchezaji ule wachezaji watapata majeraha sana
@mansoursaid8Ай бұрын
Saa mbovu mdudu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EvoniSangaАй бұрын
acheni roho ngumu mwenzio akifanya vzr mpongeze
@nimubonafreddy1077Ай бұрын
Chagamba unaweza kunipa number Miraji mtuwaman kbsa Miraj
@lucymsheshi5871Ай бұрын
Miraji sometimes unachemka Tatizo lilianzia kwa kiungo Shua boy alikuwa ndio source ya matatizo yote
@ChanganyaJaphetjrАй бұрын
✔️✔️✔️
@hammytototundu9292Ай бұрын
Milaji 😅😅😅😅😅😅😅
@NdevuKamdiniАй бұрын
Nice
@MosesKorekaАй бұрын
Wewe mchambuzi sana
@MartinJohn-eu5qrАй бұрын
Nambie
@jacksonmkuyu4263Ай бұрын
Huyu mwamba namwelewa sana anaongea vizur sana
@AbdallahMfilingeАй бұрын
Mzeee said mbona simuoniiii
@AsifuSuleАй бұрын
Jamanii hamjui mpira kwa iyo kuanza kwa mechi tu unatamani mtu akupe kitu hujui kama kuna leo Niko sawa kesho nitakua vibaya kwa chama makoloo mtakuja kujuta kwa nini hamujamsajili
@user-gn4cp2vq2yАй бұрын
Miraji hebu chunguza naskia yanga walicheza na tim namba 2 anayeanza alikuwa (1)