😂😂😂 kwa kwel yaan mwanzo kakubali kafika uku kamkataa,
@user-ot5fl8vo4lАй бұрын
Sura kama kibuyu😅😅😅 Na domo lako nyoooo😂😂
@zenamohamedi20 күн бұрын
inaum hii😅😅
@aminamongela221Ай бұрын
😮😮Ni mpenz wangu...njoo ukae hapa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lizyjustin5153Ай бұрын
nchh!, me siji hapo
@mankalodi5796Ай бұрын
Kaka alitaka kusema mi sina mimba ya kumpa😂😂 Kavurugwaaa
@user-fk2yl9ef9mАй бұрын
Ila nimemuelewa uyo dada mwenye jezi wanawake kauli ni ile ile kabla ujabeba ujauzito lazima utesti mitambo
@user-fy9pw2zr8lАй бұрын
hivi wanawake si mtafute pesa yani niache kutafuta pesa😂😂😂 nigombanie mwanaume kweli mwanaume mwenyewe duuuu ebu
@Judy-dy4ztАй бұрын
Wahongo Kiki tu
@OmizohDangoteАй бұрын
Alafu huyo alichaguliwa anaonekana bibi yake mchawi sanaa maana anajiamin kinoma😅😅
@user-ny3sx6ru3tАй бұрын
Uishi na mwanaume anaitwa chichii useme una mpenz kwer 😂😂
@lukasjelamisanana6770Ай бұрын
Hahahaa
@NeemaDevothaАй бұрын
😂😂😂
@erca111Ай бұрын
Huyu wa kitenge mbwembwe nyingi ila matukio yanakuja wenda mvaa kitenge ndo mtoa matumizi ndomaana chichi kamkataa wa Asernal😂😂
@andrewpeter4321Ай бұрын
Wakitenge anajielew sana
@user-mb2ek2ds1hАй бұрын
😂😂😂😂😂huyo Kaka kanifurahisha et mi sina mimba
@AminaRamadhan-mg9ljАй бұрын
😅😅😅😅😅
@ReylaMalambo-qy6eiАй бұрын
Yani katika zote hizo leo nimecheka sana jamani😂😂😂
@halimashaban3858Ай бұрын
Nikimpenda mtu namsevu kweny cm sio kweny moyo mda wowot akiniuzi na delete 😂😂😂
@RagndivaAlando-nl4ukАй бұрын
😂😂😂😂😂
@SebastianPaulSwai-ox6gnАй бұрын
😂😂😂wanaume kama tulivyokubaliana 😂😂ukishakula pita hiv😂ila huyu demu jau eti anamimba tena kwisha😂😂😂😂😂
@official_neemamlay180tzАй бұрын
😂😂😂mwekundu is typing😂😂😂😂
@marryeliasmarryelias928926 күн бұрын
Ila huyu kaka kiboko sana😂😂😂😂
@ICEELECTRICCOMPANYАй бұрын
Kanuni ni moja tu mwanaume kataa mpaka mwisho 😂😂😂
@andrewtesha113224 күн бұрын
😂kbsaa yni
@MwasitiiIsaaАй бұрын
😂leo umepatikana kun watu walishajitoa maish kweny mapenz duu ,huyi dd anamoyo
@alberatuslinus9617Ай бұрын
Dah huyo mwenye gauni la wabibi analinga knoma 😂😂😂
@user-ot5fl8vo4lАй бұрын
😅😅😅
@calistachuwa105616 күн бұрын
Mbona gauni la wabibi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@rosemaryshine300813 күн бұрын
😂😂😂😂😂 khaaa
@rahmahamad5005Ай бұрын
Chichi muugizaji mzur😂😂😂😂 aya aaaaaaaaa sasa weww umewaleta wa nini huku😂😂😂😂😂😂🙌
@user-kk2sf4bt7jАй бұрын
Broo wewe ni mwanaume & mwanaume mwenyewe sasa👉👉 kama unataka niende 😂😂😂😂😂 mtoe yuli mwekundu 😂😂😂😂 kitenge mchezoooo😂😂😂
@ThomasBenedictoАй бұрын
😅😅😅😅😅😅
@user-ni6im2fj1dАй бұрын
Chichi shikamoo kwa drama 😂😂😂
@mchamwinyiame313911 күн бұрын
Mr uk Hv unawapaga nn hao mana wanakuwa wagumu mpaka wanalainika😂😂😂
@walizanasiri4963Ай бұрын
😂😂😂😂Eti sula kama kibuyu❤😂😂😂
@hajjkiua22 күн бұрын
Mh noma kweli.. 😂😂😂
@Mr.madwalker10 күн бұрын
Yani hzo tabia bhan tuondoe ubishi zipo automatic kwa wanaume 🤣✌️✌️
@zainabufeka87Ай бұрын
,,😅😅😅😅😅😅hayo mambo mshangazi hatuna hii michezo yawatoto wa 2000
@user-db1uy6hv9qАй бұрын
😂😂😂
@user-yv5iu4jv1zАй бұрын
Kweli❤?eee
@user-rf9ip9bc5dАй бұрын
Hujafwatilia mashangazi ndo wanaongoza hapo
@chrisstationary4648Ай бұрын
Hii movie gani inaitwa Mr kiredio...ila leooooo umetupangaaa😂😂
@leticiajohn4952Ай бұрын
Mungu wangu nimecheka mpaka basi da chichi
@user-dg9js4cb7eАй бұрын
We ni bongo movie tushakushtukia
@misstee102Ай бұрын
Na mimi niende Dar kutafuta mpenzi wapo vzr 😊
@mwakajumba25Ай бұрын
Haji manara alifundisha wanaume kukataaa mpaka mwisho😂😂😂
@Herly-nikaАй бұрын
Nmependa reaction ya chichi😂😂😂
@furahanorbert7843Ай бұрын
😂😂😂😂na domo lako hilo jamani wakaka
@joycethomas262Ай бұрын
Chichi anahidhuria vikao vya wanaume vizuri
@nicopaswedy102Ай бұрын
anazingatia
@Hery-tg5efАй бұрын
Kabisa
@AmanAlsen12 күн бұрын
Dah aisee nimecheka Sana uyu jamaaa n hatar na yupo serious kabsa dah kwel uyu jamaaa kichwa kwel
@SaidatyMubiru-od3vmАй бұрын
Nimecheka sana huyo bwana alikataaa gafla wakat anamjua safi sana kaka nimependa sana muachege shobo muda mwngine
@stevenjoshua5866Ай бұрын
Wanaumeeeeee kauli ni ile ile hata kama ukishikwa usikubali😅😅😅😅😅
@user-rh6qv5up6mАй бұрын
😂😂😂😂😂😂manina
@stevenjoshua5866Ай бұрын
@@user-rh6qv5up6m 😅😅😅
@GreatestSwordsmanАй бұрын
Mtatutoa roho😂😂😂😂😂😂😂
@MaveGladicianАй бұрын
😂😂😂😂
@jenifapaul3369Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅shenz
@musiliitv2888Ай бұрын
Namkubali sana mwambaaa😂😂😂😂
@JulianaNicholasiАй бұрын
Weee kaka mungu anakuona
@AnnahNgwakwa10 күн бұрын
😂😂😂ila wanaume wategwee
@BetinaKyando-kn6uvАй бұрын
😂😂😂 mchepuko oooh pole 💔
@user-rf6ot6yp7vАй бұрын
ila mmejya kunichekesha 😂😂😂
@DNAPetro-z4dАй бұрын
Mwamba katuwakilisha vyema kama inavyo takiwa aisee so poa kama tulivyo kubaliana hakuna kukubali hata kama umekamatwa live sema shetani alihusika basi🤣🤣🤣😂🫡
@adammakamba7168Ай бұрын
Kaka mkoa wetu usije 😂😂😂 utanivunjia mahusiano
@HasnaSawaidАй бұрын
Nimependa kaka anamsimamo pamoja namkewake wakopowa sanaa😘❤
@michaeljohn3324Ай бұрын
Haha hii couple inashda😂😂😂😂
@princessnaji2370Ай бұрын
😂😂jaman huyo dada haon hata aibu
@VictoriaJustine-g9uАй бұрын
We ndo mwanaume bhna umefany chaguo zur sana. Wadad tuache uongo
@Shinyg3lАй бұрын
Aseee mnisamehe buree siwez fanya huu ujingaa na mm navopenda kuwa free mm uwiiih mapenzii siyataki kabisaaa yan🙄🙄
@user-ys3kk5il2pАй бұрын
Yaani maigizo yanajulikana na ukweli unajulikana mxiewwww bora ata kiredio kwendraaaa 😏
Hii yaleo kali utoto tupu😂😂😂😂 chichi utoto tup nahuy mwekundu mtoto kabisa yan daah!
@RehemaAbou-jh7sp14 күн бұрын
😂😂😂😂huyu chichi comedy au 😅😅😅nimecheka kifalash😅😅
@Edithanicrausi12 күн бұрын
Jaman na huku mkoan muwe mnakija😂😂😂
@user-gy5fo6zv6wАй бұрын
Jamaa kidogo aseme mimi sina mimba 😂😂😂😂
@adammakamba7168Ай бұрын
😂😂😂😂 uyu jamaa kanifraisha
@user-pu5ow8jh8bАй бұрын
eti kijini mahaba🤣🤣🤣 na domo lako nyooo🤣🤣🤣 chichi shkamoo
@nadhifaabasiАй бұрын
😂😂heee ata kam hampend ndy amwamby sura kama tunguri kweliii😂
@ZainaHalifaАй бұрын
Ila wanawake 😂😂
@UmayyaNkya-ze3riАй бұрын
Wallah kujidhalilisha tuu kila cku mtu ukishamuona ana mambo mengi c ujikatae ama kama waeza kupambana na mtu wako mpk huku media kuja kujidhalilisha hivi na mtu hana ata malengo na ww😢😢
@Eagle-One.1501.Ай бұрын
huyo chichi ananifurahisha anavyoongea
@JacklineClement-b5zАй бұрын
Sasa ndo amwambie mwenzake sura ka kibuyu jaman🤣
@PendoMatemba-ql1ngАй бұрын
Hila huyu kaka hamjui😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jamani kanichekesha sana
@DM_15Ай бұрын
Jamaa mswazihuyu eti sura kamakibuyu na domolako hilo nyoooh uache uongo haoooh wakatokomea kusikojulikana.😂😂😂
@PrincessHellen-pg1oy15 күн бұрын
Dada wa kitenge salute 😊
@user-hd1uf6cb2cАй бұрын
😅😅😅😅😅 Yani haya mapenzi 💔💔💔 maanina 😂😂😂
@RobsonLugomiАй бұрын
Ila wanaumeeeee😂😂😂😂😂😂😂komweeeeeee lileeeeee
@gloryalfred515813 күн бұрын
mpaka kasema mimi sina mimba 😂😂😂wanaume
@MarthaMassawe-p2iАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha uongo sura ka kibuyu🤣🤣🤣🤣
@user-xl1wt7be3zАй бұрын
Mwanaume nimempenda
@user-tv2rm6ux8yАй бұрын
Mmmmh kweli iki kipindi ni maigizo wote apo nawajua mkitaka kuelezewa nambien😂😂😂😂
@MiriamMuenisyokauАй бұрын
Hata huyo mwanamke asichekelee wanaume wabaya sana na yy asubiri tukio mtu mwenywe ajaolewa unamshushua mwenzko
@user-qo8eu1br6fАй бұрын
Huyo alie chaguliwa siyo km ana chekellea hapana kwa nilivyo muelewa hayo matukio ni mengi ktk mahusiano yao, Yaani jamaa hatulia sema tu yy ana vumilia tuu coz Wana Pendana eti jamaa matamaa km yoteee 😂😂😂
@user-yn8rk4gp3hАй бұрын
Hahahaha Jamaal kajichanganya kasema ana mimba badala demu ana mimba duuh hiv mmesikia Kama mm au
@nurdinallymassagamohammed3939Ай бұрын
Dada wa kitenge kama jezi ya Yanga ni WIFE MATERIAL kabsa
@NasmaMfinangaАй бұрын
😂😂😂😂nimecheka jamn uwiiiiiiii sura kama kibuyu 😂😂😂😂
@user-pu5ow8jh8bАй бұрын
mr uk katika siku umenifurahisha ni hii ya Leo et sula Kaka kibuyu jamn🤣🤣🤣🤣
@user-pj4jw7jd6eАй бұрын
Mr uky huwa unadawa mdomoni??walaaaii😂😂😂
@andrewtesha113224 күн бұрын
Sura kama kibuyuu jmnnn 👐🤲
@KisangaAnniyahАй бұрын
leo mr uky na ww pia umechalengewa hana mimba😂😂😂😂😂😅 nimecheka sana jamn hapana😅
@samponews1689Ай бұрын
Prank za kufoji hizi 😅
@ShettaShabani-no5gm13 күн бұрын
Alaf mbona kama boda 😂
@adiahrashidy966813 күн бұрын
Bro me sina mimba😂😂😂
@NeemaMsuya-kk6bsАй бұрын
😂😂😂 mwendo niule ule ukikamatwa unakanaaaa
@williamFredy-wj4mqАй бұрын
Wa kwanza mim leo jaman kwenye coment🎉🎉🎉
@mohamedathman3310Ай бұрын
😂😂😂Aaaa weee mm sina sijampa mimba😅😅😅
@user-xv1nt9nr7dАй бұрын
Sasa mtu kaongea nae jana😂😂😂alafu tena hamjui😂😂😂embu jaman wanawake sjui waschana tufte pesa bhna
@nasmasaid9361Ай бұрын
Eeeh,eti mm yule simjuii simjui 😃😃😃
@Mr_S_Official_tzАй бұрын
Chichi 😂😂😂😂 umepigaje hapo 😅
@user-hd1uf6cb2cАй бұрын
Yan uyu kaka hafikilii mbinguni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mwanzo kasema anawajuwa wt ila mwisho anasema hamjuw..
@SaraUlaya-is2chАй бұрын
Umeona ee uyu Chichi lazima afike mbinguni amechoka Sana mwehu uyo
@JulithaOlivaАй бұрын
Chichi sasa😂😂 mnatoa wapi mda wakuchaguliwa na nguvu ya kusema nakupenda
@JacklineDonarthАй бұрын
Nacheka kama mazuri ila chichi et muone na domo lako mara pa pa oh muone sura ka kibuyu😅😅😅😅😅😅