Fix You: Pressure ya kuoa/kuolewa, vijana hawa single wasimulia kinachowakuta, ndoa ndio mafanikio?

  Рет қаралды 19,194

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Kwenye episode hii ya #FixYou, Irene Kamugisha anazungumza na Rita Cuthbert pamoja na Barret Belton Mapunda ambao wapo single kuhusiana na pressure ya kuoa na kuolewa na jinsi jamii inavyochukulia suala la kuingia kwenye ndoa

Пікірлер: 124
@_evin711
@_evin711 2 жыл бұрын
Brother barrett deserves being motivational speaker 👏
@upendofancy1781
@upendofancy1781 2 жыл бұрын
Rita ...I like her attitude. Calm and fluent in thoughts. Keep shining girl
@neemasimba927
@neemasimba927 2 жыл бұрын
Nimempenda Rita..ana utofauti mkubwa ukimsikiliza kwa makini na ana vitu vingi vya kufundisha vijana(very matured).Nice show!
@Witnessvlog
@Witnessvlog 2 жыл бұрын
Hongera sana my friend barret. Unajua kujipambanua vyema. Unajua Mimi ni shabiki yako namba moja. Nakupenda Ndoa sio rahis sana.
@doricelugundiza4849
@doricelugundiza4849 2 жыл бұрын
Rita is amazing....I like her calmness, very classy 😘
@HayceFamilyKe
@HayceFamilyKe 2 жыл бұрын
We love fix you.Tunajifunza mambo mengi.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Mwenye wazazi ambao wanaupendo wao kwa wao, mkamtolee Mungu sadaka.
@rosehillary8742
@rosehillary8742 2 жыл бұрын
Barrett ASANTE SANA Ishi maisha yenu vijana msubiri wakati wa Mungu Msije mkarush kisa age mkaangukia Pua
@avitusa602
@avitusa602 2 жыл бұрын
wanawake wanapenda sana kuambiwa huongo we kuwa mkeli kuja kumpata wako itachukua muda,ila kuwa muongo utaona chap chap..
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
💯
@masangwamasangwa3069
@masangwamasangwa3069 2 жыл бұрын
Kiukweli tuache ushabiki, nikwamba, kwa msichana kuna umri wakuolewa ukipita huo umri, kuolewa unakuwA bahati, so tucjidanganye nakujifariji kwa maneno yakipumbavu, na Wana aply Bible verses kwenye hakuna uhalisia, but kwa kijana wakiume wao hawana muda mwafaka wa kuoa, so garante ya bint ni tofaut Naya kijana wa kiume
@kabuchekisumo7938
@kabuchekisumo7938 2 жыл бұрын
Tuletee mr and Mrs mapunda
@rachaelbomaniofficial_
@rachaelbomaniofficial_ 2 жыл бұрын
Kaka yangu Barrett .Ur shinning and keep shinning.
@salsalama9168
@salsalama9168 2 жыл бұрын
Super proud of you Irene my love... and Ritha darling 😘 you rock
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Ай бұрын
Asante sana madam i reen
@barakambeyale7207
@barakambeyale7207 2 жыл бұрын
Matured conversation God bless you appreciate 🥂
@nsiandumiulomi648
@nsiandumiulomi648 2 жыл бұрын
My Mentor Ritha..watching you right now..Ubarikiwe sana.
@jennytugara9470
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Hi discussion ni muhimu sana kwetu watoto wa generation za bongo. Mimi binafsi niliolewa lakini sikuwa tayari ila ni harassment ya jamii nikaona its time. Lakini pamoja na Watoto after 14yrs ndoa iliisha. Familia ilinikumbatia na Watoto wamekua and am happy Camper🙏🏾
@mageebwire922
@mageebwire922 2 жыл бұрын
Nimependa Mada Lakini mazungumzo yalivokua yanaendelea yametoka nje ya Mada husika, imeenda kua mada ya mahusiano. Mategemeo yangu. 1.Kwanini kuna hii pressure? 2.Je bado ni sahihi kwa wazazi na jamii kuendelea kuwapa presha hii vijana. 3.Vijana wafanyaje wanapokutana na hii presha Next time akiwepo Mwanasaikolojia,Mwalimu wa Dini ukristo na Uislam, Mzazi wa kiume na Kike na Vijana wawili labda mazungumzo yangekua mazuri zaidi
@irenekamugisha
@irenekamugisha 2 жыл бұрын
Noted
@Mcsceo
@Mcsceo 2 жыл бұрын
Ujengewe sanamu akili Kubwas.
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 жыл бұрын
Nimewapenda sana
@sarahsingombe
@sarahsingombe Жыл бұрын
So nice
@queenmunuo5269
@queenmunuo5269 2 жыл бұрын
Kwa kweli hilo swali huwa linakera sana
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 2 жыл бұрын
Wakati unangojea wakati wa mungu nae mwenyezi mungu anakungojea uweke nia na uwanze kutafuta ili akukute njiani akubariki , kila kitu kinaanza na nia, nimeona watu wengi waliokuwa na fikra kama hao unao wahoji sai ubri umeenda hawaana ndoa hawa watoto wanajuta. Kijana mwenyezi mungu anakungojea uwanze kitu...
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 жыл бұрын
Very nice conversation 👌 👏 👍
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 жыл бұрын
Sisi wadada bana 😂mapozi mengi sana,ni kwel dada unajua kingireza lkn sisi tusiosoma tunahitaji sana kjifunza zaidi lkn kwa lugha yetu pendwa..mbarikiwe
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 2 жыл бұрын
Mnakela Sana watanzania mahojiano ya ya kiswahili mnaongea swanglish,pumbavu kabisa wote
@homeandaway2811
@homeandaway2811 2 жыл бұрын
Inakera SANA host tafadhali jitahidi kurekebisha hili swala, linaboaaaaa hatari
@queenmunuo5269
@queenmunuo5269 2 жыл бұрын
Mm nadhani watu wawe busy na mambo yao na km mtu yy kaoa/kuolewa mapema basi asiwe kwazo kwa ambao bdo
@halimasaid4977
@halimasaid4977 2 жыл бұрын
Good girl
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 2 жыл бұрын
Mungu huyu usikute ndo mke na mume wa baadae mmekutana kweny interview ya kuwa single 😂😂😂
@pulikisia7963
@pulikisia7963 2 жыл бұрын
Hata mi niliawaza hivyohvyo 😂😂😂
@esidaiatelier
@esidaiatelier 2 жыл бұрын
🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 2 жыл бұрын
Kipindi pendwa 🔥❤️
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
bariet yupo vzuri anawaelezea vzuri sana wanaume
@nurukinyemi3676
@nurukinyemi3676 2 жыл бұрын
Mada nzuri!Hongera,Rita
@WTC492
@WTC492 2 жыл бұрын
Good
@EstherMedda
@EstherMedda 2 жыл бұрын
Barret you are the best.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Barret uko vizuri Rita anajieleza vizuri ila hapo kwenye review ya wanaume apo ataliwa sana kuja kugundua yuko 45yrz menopause 🤣🤣🤣🤣
@siamnyone8403
@siamnyone8403 2 жыл бұрын
Mawazo yko hyooo ....sio Kila mty anapenda ku sex
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
@@siamnyone8403 Nani hapendi kusex?
@esidaiatelier
@esidaiatelier 2 жыл бұрын
Menopause sio 45 bhn Hadi above 60 Wanaconceive
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
@@esidaiatelier 60yrz wanazaa watoto walemavu, akili nusu robo, nywele mbili, miguu mitatu, Figo saba na deformity kwa wingi..... labda kwa visaasili vya kidini ndio wanazaa
@kabuchekisumo7938
@kabuchekisumo7938 2 жыл бұрын
Bareth bwana akubariki
@Claimlorie
@Claimlorie 2 жыл бұрын
Tanzanians 👐Too judgemental yani sasa kwani mtu kuongea English ni vibaya? ni habit tu ya mtu hata kama ajaweza kutumia Kiswahili kote... Ni vizuri anajiamini ila nyie mnasema anajisikia na kuolewa sio kila kitu kwa kweli watu wanaact so uncivilized na izo ndoa kama ni accomplishment flani wakati sio life goes on
@dainessmbise5025
@dainessmbise5025 2 жыл бұрын
Kama nataka kuwa interviewed inakuwaje?😂😂😂😂 Nahisi hata mimi ninacho kidogo cha kuwapa kizazi kijacho na kilichopo 😂
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 Жыл бұрын
Usijali,mfollow Irene na umu Pm
@Zaburi-
@Zaburi- 2 жыл бұрын
Host is like what is she talking about, 33 years!
@selenganyagawa1358
@selenganyagawa1358 2 жыл бұрын
Mnapatikana wapi?👍
@OfficialEK17
@OfficialEK17 2 жыл бұрын
Rita, jaribu kuwa na tumia kiswahili zaidi 👀
@halimasaid4977
@halimasaid4977 2 жыл бұрын
Ni mazoea tu hats mimi sijasoma sijui kizungu vizuri ila nimezoea ku mix
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
This girl anasema yeye ndio anawafundisha wazazi wake kuishi, kabla ya kuzaliwa akakua wazazi waliishije? Mbona hawakuachana enzi hizo??? Anajieleza vizuri ila apo ametupiga uongo.
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 2 жыл бұрын
Ongea kiswahili bhana unachanganya kiswahili na kingereza sio poa
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
najua ii interview ni ya mda mrefu..... Ila naomba uyo jmaa apew interview yke tumskilze kw lisaa 1 ana madini yakutupa vijana wenzie
@queenmunuo5269
@queenmunuo5269 2 жыл бұрын
Kila mtu ana mda na wakati wake
@zainabhakizimana6990
@zainabhakizimana6990 2 жыл бұрын
Vingereza vingiiii ndio nini
@aishahassan9812
@aishahassan9812 2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
uyo dada anajifanya mzungu sana ndmaan aliachwaa vbay🤣🤣
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 2 жыл бұрын
Kua single ni poa lakn kuna muda upweke unaumiza sana kuna kafiling flan hivi kinakujia unatamani kua na mwenza sio kama tunapenda kua single lakn maumivu tunayo pata so poa
@francismngumi5125
@francismngumi5125 2 жыл бұрын
Acha tu usingo unatesa asee
@aishahassan9812
@aishahassan9812 2 жыл бұрын
Kabisa nyie acha tu😔
@florakibona8042
@florakibona8042 2 жыл бұрын
Usingle n mzigo jaman
@gloriasiara719
@gloriasiara719 2 жыл бұрын
@@philemonmagesa5548 yaan sana kuna mda una wish uwe na mtu wa kubadilishana mawazo ila ndo hivyo
@aishahassan9812
@aishahassan9812 2 жыл бұрын
Mkiongea lugha ambao twaelewana wote mnapungukiwa nini🤧 sasa hapa tunaelewa nn wengine
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Watanzania wote runaekewa kiingeteza. Kujibu ndio tabu. Hongeteni sana binti na kijana
@kennedymaster2000
@kennedymaster2000 10 ай бұрын
Haya bana mana wazazi wa jamaa wamekamilika asilimia 100 kitu ambacho syo lahic.
@happynessmbwambo9692
@happynessmbwambo9692 2 жыл бұрын
Kipindi sijakipenda Leo lugha imenishinda kma kila siku itakuwa ivi Basi Mimi naleft group
@roseruben3413
@roseruben3413 2 жыл бұрын
@leonardmadelemo3043
@leonardmadelemo3043 2 жыл бұрын
We lita huna akili miaka 25 bado hujajitambua pumbavu kweli,,.thn unajisifia miaka 33 huna ndoa?
@alsam4881
@alsam4881 2 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri ila huyo Rita ameharibu sana kuongea kiingereza zaidi kuliko lugha ya kiswahili, Kwasababu siyo watu wote wanajuwa kiingereza, Sasa fanyeni maamuzi sahihi kama hiki Kipindi ni cha lugha ya kiingereza au ni cha kiswahili ili tujuwe moja, lakini siyo mnachanganya lugha 😏
@yoramdogezah8000
@yoramdogezah8000 2 жыл бұрын
Gonga like kama umeona kucha ndefu all the fingers on both hands ... am thinking on how does she ......
@Mcsceo
@Mcsceo 2 жыл бұрын
Afu huyi dada ni very judgemental😅
@alsam4881
@alsam4881 2 жыл бұрын
Aina ya huyo mwanamke ni mvivu na hajuwi kupika na Ndiyo maana ana kucha za bandia, ukiona mwanamke anabandika kucha za bandia, ujuwe ni hasara kubwa kwasababu ni mvivu na hawezi kufanya usafi wa nyumba wala kupika.
@rodgersgregory7198
@rodgersgregory7198 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri.
@marcomandari
@marcomandari 2 жыл бұрын
Dada aache kuchangannya lugha
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Tatzo utajuaje kwamba msomi
@zenakhalfan1427
@zenakhalfan1427 2 жыл бұрын
Kwanini mnaongea kingereza wakati mnatoa mafunzo kwa watanzania jifuzeni kupenda lungha yenu haswa huyo dada
@philmonnem7294
@philmonnem7294 2 жыл бұрын
Ili neno. unaoa lini? mi sikuizi nawajibu unakufa lini?
@ibrahimmbilizi1726
@ibrahimmbilizi1726 2 жыл бұрын
Ibra apa Houston Texas uyodada ana tuongopea kwasababu yupo kwenye camera 📷 tu ila ajichunguze alipo kosea
@chunanachu2529
@chunanachu2529 2 жыл бұрын
Vingereza😏😏😏😏😏😏
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 2 жыл бұрын
Hicho kiswanglish hata nimekinai kuendelea kusikiliza japo hii mada inamguso wa pekee kwangu. Naimani mtalifanyia kazi jambo hili.
@yosamjoshua1721
@yosamjoshua1721 2 жыл бұрын
Hicho kingereza kinaboa sanaaa ,
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 жыл бұрын
Sana bn
@leonardmadelemo3043
@leonardmadelemo3043 2 жыл бұрын
Nyie wote hamna afya akili
@dannysengata2298
@dannysengata2298 2 жыл бұрын
Watu wakumbuke mada Kama hizi zinaenda kwenye jamii ya kitanzania...uliweka lugha ya kigeni unawafikia watu wachache tuu... all in all ni ushamba ...ukoloni mambo Leo.
@hamadgakwaya3466
@hamadgakwaya3466 2 жыл бұрын
Mwanaume yupo poa san kuliko mwanamke anazingua kingereza kingi
@directoremod8075
@directoremod8075 2 жыл бұрын
Sasa dada Adventure si uamue tu kama kingereza au Kiswahili 😂😂😂😂
@theopisterlucas1962
@theopisterlucas1962 2 жыл бұрын
😄😄😄
@siyamanda7073
@siyamanda7073 2 жыл бұрын
Sasa huyu Ritha kiswahili kinampa shida na kingeleza nacho kinampa shida sasa lugha gani yuko vizuri
@mkurungwaog5698
@mkurungwaog5698 2 жыл бұрын
Rudi shule
@siyamanda7073
@siyamanda7073 2 жыл бұрын
@@mkurungwaog5698 nani sasa
@homeandaway2811
@homeandaway2811 2 жыл бұрын
Topic nzuri sana, discussion imeenda nje ya topic, host umepata shida kuibana ibaki kwenye mstari, anyway discussion nzuri TATIZO kubwa hiyo kizungu ya bidada it's too much inaharibu ladha, please stick to Swahili na host wakumbushe wageni wako kuongea Kiswahili 95% ya maongezi, wabane unawalegezea sana. Nawe host stick to Swahili nawe unamixmix mnoo mnaharibu ladha
@arafasalim9948
@arafasalim9948 2 жыл бұрын
mwanamke kiengreza punguza unapunguza utam
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 2 жыл бұрын
Editor amefeli
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 жыл бұрын
Yabidi wazazi wako waletwe hapo wote kwa kweli
@bellabakera
@bellabakera 2 жыл бұрын
Mdada anashida fulani. She is perfecting herself as if amekuja kutafuta mchumba
@JoelKakizibaJK
@JoelKakizibaJK 2 жыл бұрын
Hahahha
@alsam4881
@alsam4881 2 жыл бұрын
Atasubiri sana kumpata mr. Perfect!
@sabrinaali9750
@sabrinaali9750 2 жыл бұрын
77
@sanaf8367
@sanaf8367 2 жыл бұрын
Huyu kiingereza cha nini anaboa hasa sijui nani alomwambia ukiongea kiingereza unaonekana mwerevu na msomi kumbe ushamba tu
@jonessalum6325
@jonessalum6325 2 жыл бұрын
Hapana so mshamba kashazoea kuchanganya so nivizuri Sana hata wewe jitahidi kujifunza
@marymaimu216
@marymaimu216 2 жыл бұрын
Huyu mdada mmh
@rukikomuingi6026
@rukikomuingi6026 Жыл бұрын
Wadada mchagua sana mnasubili wakati wa Mungu mbona mtasubili na ujio wa yesu namalika zake
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@mrs2918
@mrs2918 2 жыл бұрын
demu kingereza kingi ila bendera fata upepo na copy 🐈 jinga kabisa
@TheBlkk100mk
@TheBlkk100mk 2 жыл бұрын
Chizi unaweza Ku prove kipi kinakuambia bado bado bado
@florakibona8042
@florakibona8042 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri ila huyu dada anaboa jaman wabongo tunafail sanaa kama anakuaga hivyo kwa wanaume atasubiri sanaa
@masangwamasangwa3069
@masangwamasangwa3069 2 жыл бұрын
Mwache ajifariji kwa maneno ya kipumbavu, wac chana huwa ningumu kusarender, kuwa kunawakati tunakuwa tumefeli
@barakamsungu5260
@barakamsungu5260 2 жыл бұрын
Mtangazaji kwanini unaruhusu kiswanglisha jitahidi mzingatie hazira wasiojua lugha ya kigeni
@Mcsceo
@Mcsceo 2 жыл бұрын
Nice comment
@thomsanga7956
@thomsanga7956 2 жыл бұрын
Huyu dada malaya, huwezi ku date na watu kibao na hujapata mwenza, umalaya huu 😄
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 2 жыл бұрын
Aisee,ungemuelewa,mbona amefafanua vizuri tu,alafu mpaka unamtusi...... Safari bado ndefu kha!
@hekimamliga2139
@hekimamliga2139 2 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@siyamanda7073
@siyamanda7073 2 жыл бұрын
Muongo huyo Ritha kwani kila kitu kina wakati na ndio tunaaza shule tunamaliza na ukimaliza shule kinachofuata ni kazi na ukishafika wakati wakazi it means you are already in life and mutual it means you are woman or man and if you are in that situation then you are ready for everything
@masangwamasangwa3069
@masangwamasangwa3069 2 жыл бұрын
👍 they cheat us on mass!!
@charlesnyirenda2776
@charlesnyirenda2776 2 жыл бұрын
Dada wambie hao unaokua nao kwenye kipindi inatakia waongee kiswahili not English wakati wanajua wanasikilizwa na watanzania hata radha ya kipindi inapotea Asante
@esupatthomas5881
@esupatthomas5881 2 жыл бұрын
Waoane sasa Rita na Baret😅
@Besttentltd
@Besttentltd 2 жыл бұрын
Huyo dada wq katikati aachane na hiyo kingereza yake ujinga tuu
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 2 жыл бұрын
vingerez vingi, pointless
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 жыл бұрын
niwapata kutoka Iraq 🇮🇶 nikwel kabisa dada
@padilijamesmikomangwa519
@padilijamesmikomangwa519 2 жыл бұрын
Ngoja niwafunze leo. Mnakuza mambo kuhusu ndoa. Ikigoma, acha nayo, ikikubali achana nayo. Mnachukulia ndoa as if ni rocket science. Kwa wanaume wenye mhimili imara na akili - kwetu ni jambo la kawaida sana na halitonisumbua. Acheni ku-spew stereotypes na cliche kuhusu ndoa. Jiwekeni katika identity zenu na chukua hatua moja kila siku.
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
uyu jmaa ungetuwekea namba zke au instagram yke
@johwizboi4210
@johwizboi4210 2 жыл бұрын
SnS to the 🌎 Tambo za uchawa wa Juma lokole 😂👇😂kzbin.info/www/bejne/kJTdk4KQqLqLkLM
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
TAMAA YA KIFO
3:50:48
SIMULIZI FUPI by Simulizi Mix
Рет қаралды 19 М.
NILICHOFANYA BAADA YA KUOZESHWA KWA MWANAUME JOGOO HAWIKI..
4:17:16
SIMULIZI FUPI by Simulizi Mix
Рет қаралды 82 М.
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН