FRIDA AMANI ISHU YA MAADILI, UTATA MAVAZI YA YAMMY KUSHIKANA NA BARNABA KUITWA BASATA, IDRIS SLUTAN

  Рет қаралды 7,197

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 25
@beatricekipela9100
@beatricekipela9100 8 ай бұрын
Thank you Jesus l receive 🙏🏼
@ChenchiKing
@ChenchiKing 8 ай бұрын
Frida Is My Favorite Kweli Namkubaligi Xana🔥
@lucymtuka6393
@lucymtuka6393 8 ай бұрын
Na kupenda sna Frida amani
@tegemeakyangenyenka6111
@tegemeakyangenyenka6111 8 ай бұрын
Mama yake anaheshiimika sana lakini mtoto wake sijui kawa kichaa au kuripuka, sijui mavazi yake yakoje huo sio ubunifu ni ujinga mtupu
@KamandaBee
@KamandaBee 8 ай бұрын
Nachekaga tu😂😂😂😂
@nindymuruga4798
@nindymuruga4798 8 ай бұрын
Wamemuonea bwana. ...mbona siku hizi watu wana vaa vichupi na wanatembea bila shida yoyote...
@trystanbertand1603
@trystanbertand1603 Ай бұрын
Basata yenu inachekesha! walimwita Barnaba ,Mbosso hakuitwa? Kwahuyo wimbo nanini al8kuwa kinyume n'a maadili.
@Mohaa4309
@Mohaa4309 8 ай бұрын
Ushamba tz,kwan pic zina nn
@iam_sami
@iam_sami 8 ай бұрын
Wamfungie abby Chams bac wanamuonea bure yammy
@ummySheikh72
@ummySheikh72 8 ай бұрын
Barnaba au Mohammed yeye na Yammi wamekosea kabisaa kimaadili na Dini na kama Mume wa mtu pia. Wako wrong💯
@mrsinia3064
@mrsinia3064 8 ай бұрын
Hawa basata wanayumba mbona platnumz yeye anatukana kila siku na kupiga picha mbali mbali na videmu lakin ajawahi kuitwa ili wamshauri
@OnlyRuky
@OnlyRuky 8 ай бұрын
BASATA kila anayetoka huko anakuwa chawa wao yaani cha kwanza ni kuwapamba sijui huwaga wanafinywa humo ndani na kupewa masharti ya kuwasifia😂😂😂Mixxsss
@frankmichael1968
@frankmichael1968 8 ай бұрын
Yani natamani siku moja nikutane na dada frida nina mengi sana ya kuongea nae... by the way mungu akubariki sana
@aishambagi7371
@aishambagi7371 8 ай бұрын
Phina jee
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 8 ай бұрын
Kwani wao wa kwanza
@Shadia544
@Shadia544 8 ай бұрын
Kwa kweli kile kichupi sio sawa mchupi uleee nyiee amuoni kama alikuwa uchi laana ya mke jamaniii 😢😢😢
@salmajuma1121
@salmajuma1121 8 ай бұрын
Shadia upo kila sehem chukua maua yako🎉🎉🎉
@Shadia544
@Shadia544 8 ай бұрын
@@salmajuma1121 🤣🤣🤣asante kipenzi wi-fi ya waarabu ndiyo maana natamba humu YOU TUBE KIPENZI 😅😅
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 8 ай бұрын
​@@Shadia544unatisha❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BlackKing89-l1u
@BlackKing89-l1u 8 ай бұрын
Kwahiyo sasa hivi BASATA ma producer wa picha pia😂
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 8 ай бұрын
Sisi kama mashabiki hatujaona kosa mbona wasanii ni wengi tu wanakosea na hawaulizwi waache ubaguzi sasa mfano mashabiki tunavaa magunia na wasanii nao wavae magunia sasa unafikiri kuna mtu anakaekuja kumshangaa kwamba yoo huyu ni msanii hakuna kitu kama hicho maana tutajiona wote tuko sawa. So tungeomba kua wasanii wafanye kitu ambao kina utofauti na sisi so tusiwaumize sana wasanii wetu wawe na ka uhuru fulani bhana
@omranalbarwani7190
@omranalbarwani7190 8 ай бұрын
Hivi jamani hawa wasanii kuwa Uchida ndio kuuza nyimbo?? Vitovu nje chupi nje nyie basata hamuoni? Kioo gani hicho cha Jamie?? Mbona zamani haikuwa hivyo?
@dreamfightertv-qj4zh
@dreamfightertv-qj4zh 8 ай бұрын
Frida we mwana chease eeee
@roccafella9873
@roccafella9873 8 ай бұрын
Nitatizo Farida km ni mtoto kw kisalim sio
@svt3
@svt3 8 ай бұрын
Waislam wenyewe wengejuwa wqo mi waislamu wala wasinge kuwa wasanii sio wa filamu sio wa muziki wangibaki huko madrasa ila waislamu ndio wanaongoza kwenye sanaa ya filamu na mziki tz ndio kusema wao wanaongoza kwa kuvaa uchi na ukosefu wa maadili, mujuwe dini hizi zililerwa na wageni acheni watoto wapige kazi
GIANT Gummy Worm #shorts
0:42
Mr DegrEE
Рет қаралды 152 МЛН
UFC 287 : Перейра VS Адесанья 2
6:02
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 486 М.
Zelensky is ready to talk with Putin / Border closure
13:18
NEXTA Live
Рет қаралды 736 М.