KAMA UMESIKIA ATAKUPA TENA MKONO NA UKAJUA KM LIMESETIWA HIVO KWA UJINGA BASI GONGA LIKE
@hilalkhalfan14524 ай бұрын
Hilo sanamu wanatupumbaza. Mzungu atupe roboti waafrika tokea lini. Hilo Ni sanamu tu Kama sanamu za mashine. Hakuna jipya
@HashimYahya-cl3tx4 ай бұрын
Duuuuuh mungu azidi kumrehem magufuri maana sio kwaa huu ujinga na ukosefu wa maarifa
@AngelBaraka-bo2bl4 ай бұрын
Yan hii nchi sijawahi ona vituko kama hivi..kama wanataka mapokezi Si Kuna vijana kibao hawana ajira wangewaweka hapo Ili wawapokee..
@festovenas5024 ай бұрын
Kwann Lakin mnatufanyie ivi wana nchi MUNGU awape mnacho sitahili😭😭😭😭😭 mnaacha kufanya kaz ya maendelea kwa wana nchi mnafanya ujinga ujinga tu
@judithlejalearnmore22364 ай бұрын
Neno latimia, bi siku za mwisho,bible yasema siku za mwisho maarifa ya wanadamu utazidi kufikia kutengeneza mwanadamu ila walishindwa kutoa punzi,.Tukiona mambo hayo hujui Yesu yukaribu, ilaniwale wenye ufahamu wa bibla
@AbiaWilliam-s1s4 ай бұрын
Bora umeruona ilo
@samboreeadam42734 ай бұрын
Kwahy unahisi mwisho wa dunia utakuwa lini man,ili nile vyakwangu mapema😂😂😂
@PericyKiko4 ай бұрын
@@samboreeadam4273si muda mrefu sababu yaliyonenwa km ndio dalili za kurudi kwa Yesu yametimia kilichobaki ni njaa haijawahi kutokea, watu watakatazwa kumuabudu Mungu wa mbinguni aliyeziumba mbingu na Nchi na kuabudu miungu na dhiki kuu
@mjaweathman65194 ай бұрын
@@samboreeadam4273😂😂😂😂😂😂Tusivunjane mbavu pumbavu zako 😅😅😅😅😅😅 Wataka umalize kila kitu usiache kitu duniani 😅😅😅
@GodfreyLukoo-c4y4 ай бұрын
Mwenyezi mungu atawapa adhabu yenu
@joycemashikolo90964 ай бұрын
Upuuzi mtupu Afrika tupo wengi sana hakuna sababu ya kuelekeza pesa za watanzania wanyonge kutengeneza misanamu ya kuwa karibisha hospital madawa hakuna watu wanakufa ya kukosa huduma wazee wanateseka mitaani n.k inatia uchungu sana kuona tunaviongozi wa hovyo namna hii
@BenjaminAyo-p4i4 ай бұрын
Kikokotoo😅😅
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@BenjaminAyo-p4i😢😢😢😢😢😢😢
@thefinalstand20224 ай бұрын
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
@TamuzaKale4 ай бұрын
@@thefinalstand2022 Ukisoma komenti unajua kabisa kama umasikini ni mbaya. Mtu anachukia teknolojia kwa vile yeye hajui. Aisee! Roho mbaya hizi.
@AngelBaraka-bo2bl4 ай бұрын
Roho mbaya kuliko waajiri vijana hapo Kwa ajili ya mapokezi wanaweka sanamu iwapokee😅😅
@BrunoNjonjo4 ай бұрын
hilo dude sh ngapi
@IbrahimunyandaDanieli4 ай бұрын
M50
@hadharaally65234 ай бұрын
Huu ni mtihan sasa ajira zinaenda Kwa masanamu sasa wakat majumba wasomi wamejaa tele hawana ajira jee kwenye nafasi hii wange waajiri watanazania hata mm naitaka nikaribishe watu na kuwapa mikon ili mwisho wa mwezi nipate chochote 😢😢😢
@lilyrose79834 ай бұрын
Kumbe we ushaelewa kama mm.Tunaanza kuzoeshwa mapema.Badae ajira zote zitafanywa na maroboti
@pulikisia79634 ай бұрын
Duh!! Ndio unanifungua macho yani Dah!!
@lilyrose79834 ай бұрын
@@pulikisia7963 Huko tunakoenda ni kubaya zaidi.Mungu atusaidie Watanzania 😪
Sasa hiyo roobt ya kaz gan yan watu wasomi kabis lakn akili kam za watu ambao hawajasoma 😢😢
@merckmdamu29424 ай бұрын
Wasomi lakini akili kisoda, watu wanakufa maospila mnaooteza hela kumlipa mzungu kuwatengenezea ufyuz,, Rip jpm😢😢
@rayaalhabsi17254 ай бұрын
Kweli kabisa maneno yako
@abdulrahmanally14124 ай бұрын
Utopian conservative theory has to come to an end, you people, you need to understand that everything has two sides negative and positive, the perfect on is ONLY THE ALMIGHTY ALLAH, you need to adjust yourself from anthropological concepy and beliefs, the World is not standing still, it always moves and you have to move on, otherwise you will stand still as you are
@danielishachiluge83014 ай бұрын
Umesema ukwel
@NassourBimkubwq4 ай бұрын
Inasikitisha kweli Hawa mayahudi tusipokuwa makini watatupoteza
@rayaalhabsi17254 ай бұрын
@@NassourBimkubwq kabisa Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab
@aziza90934 ай бұрын
Mnaacha kufunya mambo ya wanaichi mnatuletaa upuuzi
@levinaernest43644 ай бұрын
😄😄😄😄
@mayaally40684 ай бұрын
Eunice kavaa nguo za heshima
@doreenmsafari29454 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@DevotaMachite-io9nk4 ай бұрын
@@mayaally4068😂 miguu sasa inabidi avaehivyo
@domymerinyo81654 ай бұрын
Mnapotea njia mkiwa mnaona kabisa mnatuletea aibu
@robikachembeho52844 ай бұрын
Aisee JEHOVAH aturehemu Tanzania tunakoelekea sio sahihi kabisaaa.
@ivonaevarista46544 ай бұрын
Mimi n Bwana Mungu wako usiabudu miungu mingine Wala kuitumikia kwakua Mimi Bwana n Mungu mwenye wivu,napatiliza Wana Maovu ya baba zao.tubuni tubuni tubuni Tanzania,msifikiri Mungu amekufa Kama nyie,na mizaha mnayomfanyia hakika mtalipwa,kiburi Cha pesa kisiwadanganye hata shetani alikuaga Lucifer kwaiyo nenda taratiibu Tanzania kubali kuongozwa na Yesu Kristo, Mungu atuhurumie Sana.
@islamyasin72034 ай бұрын
Watu ambao tunawategemea nchini hao wametoa pesa mingi Kwa kitu ambacho akina manufa nchini
@carlosmzena5484 ай бұрын
Nchi ya ovyo sana hii Hawa ndio tunawategemea 😅
@ngwacahnyagwaswa99794 ай бұрын
😂😂😂😂 Yaan
@TatuCharles-f5m4 ай бұрын
Wengine tumekosa mkopo tunaambiwa hela hamna watu wanakatisha masomo kumbe mnatengeneza robot 😭😭😭😭daah hii nchi ngumu sana
@hilalkhalfan14524 ай бұрын
Na Wewe umesoma Nini Hilo Ni sanamu unaamini Ni roboti😂. Wameuziwa mkenge watupumbaze
@malietamaliet4 ай бұрын
😢😢😢nchi yangu Tz watu wasomi Awana kazi wapo vijijin baada ya kuwasajili mkatengeneza robot aina ata matako
@JosephMroki-gg9nc4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@hilalkhalfan14524 ай бұрын
Hilo sanamu Ila Kwa kuwa binaadamu mweusi kaanzia kima 😂😂😂, acha tu watupumbaze
@obrigadoofficial15064 ай бұрын
Bunge tukufu la Tanzania linaheshimika Sana na Wabunge wamebeba dhamana kubwa sana ya kwenda kuwasemea wananchi wao na kuwaletea maendeleo kwenye miji na mitaa yao swali langu jeee robot hili ni kwaajili ya nini kwenye bunge letu tukufu....? Mungu ibariki Tanzania.
@mwanyongamama44074 ай бұрын
Ni ghalama Sana si ajabu
@SaraMathew-xd2vp4 ай бұрын
Ni maajabu san hii nchi imefka hapa sasa inchi inapotea . Hyo ni mbinu ya upelelezi ya wazungu wanataka kuitawala ten Tanzania. Maana mambo yote ya nchi yanayojadiliw bungeni uyo robot atayajua je icho si kifaa cha wazungu. Wanaleta robot alafu wanasema inch aina income. Kwel tutamkumbuka magu
@thefinalstand20224 ай бұрын
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
@rehemayona22234 ай бұрын
Alafu wanachekelea to baada ya kuwa saidia wanachi
@nellywizz96314 ай бұрын
Dah unaongelea nini?@@thefinalstand2022
@LouisianaRiri4 ай бұрын
Kubababakee iyo ni Copy tu/ iyo robot ya mchongo inachua kingereza tu: inatumia Uwezo wa Google yani apo walichofanya ni kuiwekea Bando tu hamna mtaalam
@fadhilimbotela10494 ай бұрын
Tunakoelekea ni kubaya sana watanzania hii bajet ingetumika ata kwenye vituo vya mayatima wakasoma hata kwa kodi zetu kuliko huu upuuzi
@bahatibushiri16104 ай бұрын
Wajinga sana nyie munajichekesha km mazuri
@MamuMamu-u4c4 ай бұрын
Ujinga wa mwisho huu robot halifumbuw mdom moja pili hizo pesa mlonunua hilo katuni mgenda kununua dawa mkajaza mahosptali au hizo pesa mgetoa kweny vituo vya watoto yatiam na kina mam waso jiweza ah
@abednegomawalla87474 ай бұрын
Mungu tusaidie Mambo ya ajabu sana!.Tunaacha kuwajali watu tunaangalia vitu vya ajabu ambavyo naona tu mkono unakwenda na kurudi!.
@FatumaMuya4 ай бұрын
😂😂😂
@JasmineMasiga4 ай бұрын
Adi linatia kichfchfu😂
@hilalkhalfan14524 ай бұрын
Si tunachezea sanamu 😂, Yaani wazungu washawapumbaza watoto Kwa masanamu Na SASA tunaletewa watu wazima tuchezee sanamu😂😂😂. Huku viongozi WA kupambania nchi wamedanganywa ati ilo ni roboti 😂😂😂. Wabunge Kama mtu Hana master Bora asipewe nafasi maana naona wanatupumbaza Kwa ujinga walio Nao. VIPI SIE KIMA WA AFRICA TUSITAWALIWE?😂😂😂
@MichaelLinda-vd8rx4 ай бұрын
Hili bunge la mchongo ndo wanavoingiza mabomu ya milipuko nchini
@khamisswalehe4 ай бұрын
ALLAH NI MKUBWA HAYO MASANAMU HAYAWEZ KUFANANISHWA NA VIUMBE
@thefinalstand20224 ай бұрын
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
@kombidin..25834 ай бұрын
😂@@thefinalstand2022
@alexchamy22894 ай бұрын
Acha ujinga. Kama Kuna Mungu basi jua Kila anachoweza kufanya mwanadam kakiruhusu. Kuna vitu ambavyo asili hairuhusu mwanadam kuvifanya kama kusafiri kwa Kasi ya mwanga na kujua muustakabali wa chembe ndogo kama electron.
@alexmatt95044 ай бұрын
@@thefinalstand2022 Elewa mada,hapa kinachojadiliwa ni matumizi bora ya pesa ya walipa kodi,siyo kukataa teknolojia. Hapa tulipo tuna madeni lukuki na tunatakiwa kulipa,halafu hiyo pesa unayokopa unaitumia kwenye vitu ambavyo havitazalisha, hapo hapo tuna uhaba wa ajira,vijana wetu wahitimu ni wengi na kazi hamna halafu unaleta robotic- technology? Hizo nchi zenye kutumia robotic- technology kwenye uzalishaji zimeisha jitosheleza kiajira.Kuweni welewa na muangalie maslahi ya nchi kwanza.
@kuyengamoris41404 ай бұрын
MAGUFULIIIIIIIIIIIII😢😢😢😢😢😢 WAPI BABA NJOOOO UONE VIJANA ULIYO WACHA WANACHO KIFANYA HAPA DUNIANI
@mwangosikennedy96434 ай бұрын
Wanafanya mambo ya kipumbavu sana, ee Mungu tuanagalie sisi waja wako maana hatujui nchi yetu inaelekea wapi... Magufuli baba amka amka amka uone yanayojiri maana hukuacha upumbavu huu uliacha maendeleo ya nchi kwa asilimi kubwa...😢😢😭
@mfalmekaitaba24254 ай бұрын
Kwa nn halijaitwa sami.. na likaitwa Eunice?? Na veep linafaida gani ktk taifa letu?
@nabiilucas85764 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu
@mfalmekaitaba24254 ай бұрын
@@nabiilucas8576 usicheke maana kuna vitu vinafikirisha sana
@NgukiJulius4 ай бұрын
Jaman jaman inaniuma Sana, Vijana tunahangaika mtaani hatuna Ajira, halafu kazi ambayo tungefanya sisi wanapewa Robots! How comes? Kuna maana gani ya kusoma ICT ikiwa Kuna Robot wa kufanya kazi hiyo! Mbona inauma Sana jaman Watanzania? Tanzania Ina Watu weng na Wenye Elimu ya kuendesha kazi au mifumo mbalimbali bila kutumia Robots, Nchi za Ulaya Zina watu wachache that's why wanatumia Robots as an alternative way..... Kwa Hali hii ya Robots Hakuna haja ya kuendelea Kuongeza Wasomi wa kada mbalimbali, Tuwe na Wasomi wachache tuu kuliko kuwa na Wasomi Maelfu wanaohangaika mtaani😢😢 Eee Mwenyezi Mungu tusaidie kwa hili🙏🙏, tunakoelekea ni kubaya Sana tena Sana! 😢😢😢 #Nchi yangu Tanzania!
@SamsoniRuhasha74 ай бұрын
Robot limetengenezwa VETA 😂😂
@majumaatieno56404 ай бұрын
Si mngenipa iyo kazi..nifanye kazi ya kukaribisha wabunge badala ya kumpa roboti ..hata akiuliza swali zingine hawezi jibu😂😂 swali kama😂😂😂...nasema ..roboti zisivuke mpaka 😂😂
@TwahaKahatan-pt9hg4 ай бұрын
Ndo mjuwe yakuwa sio kila anaefunga tai anaakili timamu. Huu ni ugonjwa wa mwisho na WA juu zaid kutokea karne 21 unasalimia SANAMU
@johnsonphilliminus41994 ай бұрын
Wengi naona mnaponda na mna complicate sana. Hii ni technoligia tu na wale waliosoma au wanaotegemea kwenda kusoma Computer Science watakutana na hii course inaitwa *Artificial Intelligence.* Ni kitu cha kawaida kabisa na wala hamkutakiwa kwenda Far na kuona watu kama wanamtukuza robot, wanamkufuru Mungu au wametumia pesa katika vitu visivyofaa. Tufike mahali tuwe wachunguzi wa mambo bila kuropoka na kuongea vitu msivyovijua
@thereziaaloyce34304 ай бұрын
Roboti ni mbadala wa mtu, wenzenu wanatengeneza roboti idadi Yao ni ndogo kufanya Kazi , hakuna sababu ya roboti Tanzania, bunini teknolojia kwenye maeneo mengine siyo kuigaiga tu mnasingizia teknolojia. Halina maana Hilo roboti hapoo
@Melchizedek_4 ай бұрын
Unatengeneza robot na hakuna hospitali watu wanasafiri umbali mrefu wanafia njiani, hakuna vifaa tiba watu wanafika hospitali na hawapati huduma wanakufa, barabara mbovu ajali kila leo watu wanakufa. Unawekezea kwenye mdoli ambae anasema hajawa trained kwenye kiswahili anaulizwa kwa kiingereza halafu anajibu kwa kiswahili. Hayo mambo unayosema tuchunguze, haina haja ya kuchunguza kama unashindwa kusolve mambo yaliyohadharani, unahangaika na mambo ambayo hatuhitaji.
@annamussa1854 ай бұрын
Eunice yuko na English nzuri kawazidi mpaka wakenya na English yao Kama chapooo😂
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@HappyHiker-nz9vg4 ай бұрын
Wapi.. magufuli mungu akuhifahdi inshallah 😢😢😢😢😢
@dubai85944 ай бұрын
SHETANI NI MBAYA SANA SASA NINI HIKI YAANI NI ZAIDI YA UPUMBAVU
@NdageKitahama4 ай бұрын
Hivi kweli Hawa ndio wabunge wetu kweli tutamkumbuka magufuli hivi ni vichekesho hivi kweli mnachukua Kodi zetu mnaenda kununua upuuzi hiyo sanamu inasaidia nn hapo bungeni naona hamjui Hali ya watanzania maskini mnashiba Hadi mmejisahau ndio maana mnachukua pesa za watanzania mnaenda kununua huo upuuzi hata mungu kakataa kuabudu sanamu Leo sanamu mnaikeka ndani ya bunge mungu anawaona mwisho wake utafika
@Ejbl3zt4 ай бұрын
Technology sawa ila upuuzi badala ya kuwawezesha vijana wa Tz wakaboresha katika ubunifu mpo nmashangaa robot
@Datius-z5o4 ай бұрын
MTukuzeni Bwana Mungu Wetu kwa uhumbaji wake hacheni kumkosoa hiyo furaha mnayoionyesha kwa huyo sanamu mungekuwa munaionyesha kwa mnaowahudumia Mungebarikiwa sana na Bwana Yesu.
@theresiagideon21784 ай бұрын
Ndugu yangu umenena mambo makubwa sana ubarikiwe, ndio siku za mwisho hizi Biblia haijadanganya
@Datius-z5o4 ай бұрын
Barikiwa sana Dunia hii hipo ukingoni kabisa lakini bado watu wanakimbizana na ulimwengu Badala ya kumtafuta Bwana Yesu
@SaraMathew-xd2vp4 ай бұрын
Taifa limepata maafa ya mafuriko wananchi awana makazi wanaleta roboti sasa linatusaidia nn . Alafu wanataka kupigiwa kura
@thefinalstand20224 ай бұрын
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
@kwangahudispensary72384 ай бұрын
@@thefinalstand2022akili za hovyo sana hizi,,,je umepata vyote vya muhimu hd kufika huko?
@Sebastianmichael-v9x4 ай бұрын
Hapa Nala Kuna Viwanja Zaidi ya 5000 vimepimwa Toka 2018 Hadi Leo 2024 Kwamtazamo ukipaangalia kama hapajapimwa kisa barabara hazijachongwa Tukiuliza Tunaambiwa Mashine Zipo HAZINA MAFUTA Sisi Wanachi tuchange Hera ya Mafuta tuchongewe hizo barabar Swali Je Huyu Roboti Amegarimu Bei gani? Kwann hio hera Tusichongewe Barabara za mitaa???
@marychuwa81594 ай бұрын
Yaani wanapigia makofi kweli kazi tunayo
@remmysbrand2 ай бұрын
Kweli nchi inaongoza na watu wenye akili nyingi..... Do you speak English??? Hilo ni livuvuzela la kitangaza mitumba limerekodiwa likavalishwa kinyago! Hii creativity iliyojaa ubabaishaji imetoka Kwa Nani?? Limegharamiwa bilioni ngapi Hilo?😅😅😅
@josephjamesdagharo4 ай бұрын
Binafsi sijaelewa bunge tukufu ni jengo au wabunge ndiyo wamejipa utukufu? Badala ya MUNGU kwa anayefahamu vzr
@michaelhancy67594 ай бұрын
Kasome historia ya mapunduz ya ulaya ndio utaelewa aya mambo
@mwawekomiuda97794 ай бұрын
@@michaelhancy6759non sense!
@michaelhancy67594 ай бұрын
History aidanganyi mna akuna jipya dunian
@yusuphmalonja4 ай бұрын
Mnapoelekea itabidi wabunge wachaguliwe wengine maana sidhani kama kuna kitu cha umuhimu hapo zaidi ya kuchezea pesa za Watanzania wanaoteseka nyie mnanunua toy ambalo halina mchango wowote katika maendeleo
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd4 ай бұрын
Wabunge ni wapumbavu kama wapumbavu wengine tu ....na mnaingizwa kwenye kundi la hao walioingilia kazi Allah katika uumbaji kufuru imepewa jina zuri kwamba ni teknolojia ila teknolo kiama itafika ... ALAAH ATUONGOZE KATIKA KUTENDA MEMA NA ATUJAALIE KUWA NA MWISHO MWEMA
@piusmapunda59004 ай бұрын
ZABURI 1:1 - 2 1 Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. 2 Bali sharia ya BWANA ndiyo impende zayo, na sheria yake huitafakari mchana na usiku. MINAZI 1:7 7 Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
@salehwaziri50624 ай бұрын
Kama mungu aliwaazibu wanadamu kwakuaabudu Masanamu vipikuhusuhuu ujingatuno ushadadia ndiomaa mwakahuuMajanga nimengi Tusamehemungu usituazibu kwaujingawawatuwachache
@ChristinaGomisi4 ай бұрын
Kabisaa yani wamethamini marobotii kulikoo watu Magu wetu wetu aamkee aonee nchii ilivyotekwaa uwiiiii
@Prosperkisama4 ай бұрын
Sina la kuandika ila Kwa atakaye soma hii post na kuangalia video hii ajue kuwa Dunia sio salama na hiyo ndio mifumo ambayo Kwa Sasa watu wanacheka bila kujua madhara yake na wapi inapeleka Dunia. LENGO NI KUJA KWA MAMLAKA YA KUMPINGA KRISTO.
@jazilambaji27894 ай бұрын
Limeukizwa how are u?nalo linasema habar ya asubuh mheshimiwa mbunge,,upuuz mtupu lime karirishwa kwenye hizo spika
@Theo-r4l4 ай бұрын
😂😂😂😂
@Teddy-z4i4 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@HashimYahya-cl3tx4 ай бұрын
😂😂😂😂 Kweli kabisa yani ni ujinga usio na kifani
@lmpinga4 ай бұрын
Acheni kupoteza pesa za walipa kodi KUNA MAMBO MENGI YA KUFANYA KWA AJILI YA MAENDELEO YA WANANCHI MASIKINI
@Japanese-lz1or4 ай бұрын
Mbona mbaya na kichwa chake kama gongonada
@mariammulumba24894 ай бұрын
😅😅😅😅
@icclcharters33894 ай бұрын
Euinice anazingua,Lipo programmed sio kama marobot ya wenzetu,Mi nadhani tuendelee na SUALA LA NYUSI,Nani aliedesign mbona kama hana uhalisia wa kitanzania?Na mbaya zaidi bado kanajifunza kiswahili na akiongeleshwa english anajichetua kwenye bajeti😂
@DhulkifliMkiji4 ай бұрын
Uongozi sio vyeti tu hekma pia iwepo
@noninmaduhu34764 ай бұрын
Ila hawa wabunge wanatuona wananchi ni mazwazwa haswaaa eee
@ChristinaGomisi4 ай бұрын
😢😢😢
@leejems1424 ай бұрын
Vijana mtaan hatun kaz mnafany mamb yas na maan mnazib rizk za wat mungeniwek mm je ap ingekuaj
@AllyMaya-yj3xd4 ай бұрын
Yaan dunia ndio inaenda huko wewe kama huna kazi pambana
@EzekiaMichael-jn5np4 ай бұрын
Inasaidia Nini Kwa mfano au ndio maendeleo ya Tanzania Kwasasa waziri mzima na akili zako duuu aibu
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Hapo lishachukua ajira ya mtu 😢😢😢😢😢😢😢
@HidayaHamisi-q4l4 ай бұрын
Upuuzi mtupu 😢yaani akili zao ziko ovyo kabsa kama wehu
@chidi_don4 ай бұрын
Dah sio poa kabisa yani sio poa 💯
@MosesLubely4 ай бұрын
Wabunge wetu.mna PhD ila akili 0 mh masikini nch yetu
@avocadomatala28834 ай бұрын
Wabunge wanaongea na maroboti ndio maana hata bungeni wanaongea upuuzi kumbe Wana akili ya kiroboti robot tu Mungu tusamehe sana
@MonaLis4184 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosetreffert41794 ай бұрын
Yaani upuuzi kweli 😂😂😂
@awadhrajabu14034 ай бұрын
Mtu Uliesoma Na Kupata Cheo Cha Kutumikia Watu Na Watu Wanaitaji Elimu Yako Itumike Kwao Kama Azina Kwao Leo Hi Wanatoka Wazungu Na Kuleta Ujinga Kama Uo Nanyi Mnajaa Apo Wasomi Wakati Mambo Kama Ayo Yapelekwe Kwa Watoto Wacheze Nayo Midoli Iyo Hi Hatar
@hoseakavubu28444 ай бұрын
Nafikiri kuna shida sehem
@jacobezekielhoya16264 ай бұрын
SHIDA SIO NDOGO,, NI KUBWA
@jacksonmtazama28214 ай бұрын
Mlifikili tutawasifia mnapoteza ela kwa mambo ya hovyo robot hamjampa tention yoyot hapo maneno yanapishan anafikilia san hzo pesa simngepeleka shulen kuwatunza watoto wakike kwakuwa stili na peds......Yani daah RIP JPM
@ndiiyolazaro11254 ай бұрын
Upuuzi mtupu hakuna la maana
@jimmypicks92484 ай бұрын
So sad, mbona typical machine, atleast ingekuwa human bodied kama za Elon musk ningesema kitu nice, but what is this? Kwan hatujui hiz machine jmn? EEH! EEH !
@aliissahaji334 ай бұрын
Yaani watu wanakuga njaa huku mitaani, haya Mungu anaona yote hayo.
@rogerabdallah4394 ай бұрын
Unataka tukuletee chakula au pambana
@ChristinaGomisi4 ай бұрын
Wanatutozaa Kodi kibaoo umeme hakuna mara maji hakuna vijijini watu wanakunywa maji pamojaa na ngo,mbe na fisi mara wawafutiee wanchuo bumu afuu ujingaa ndo huoo afuu mtegemee watu waajiliwee heeeeeh heeeh
@dentomedicalresourceslimit46024 ай бұрын
HUKO WENZENU WALISHA HAMA SIKU NYINGI. JITAHIDINI KUBUNI VYA KWENU KULIKO KUIGA IGA. FUFUENI KILIMO NA VIWANDA VIDOGO VIDOGO, PANUENI ELIMU YA MAFUNZO STADI ( VETA) KULIKO KUHANGAIKA NA SOFISCATED TECHNOLOGY. TANZANIA HATUJA FIKA HUKO. JAMII YETU 90% NI MASKINI.
@avituskatunzi11804 ай бұрын
Yaan baada ya kufanya mambo ya maendeleo mnadili na Midori tupeni faida ya iyo lobot😢😢
@FahymaIsmail-m4q4 ай бұрын
Litakuwa linafanya operation eti mloganzila😂😂
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@FahymaIsmail-m4qwewe acha utani bac😢😢😢😢😢😢
@rosetreffert41794 ай бұрын
U@@FahymaIsmail-m4qhuu upuuzi mtupu hii ni kucheza pesa
@thereziaaloyce34304 ай бұрын
Wenzenu wanatumia robotii kwa sababu idadi yao ni ndogo kazi nyingi. Mnaiga mambo ya maroboti huko ni kupoteza muda na pesa zetu wananchi. Kwani mmekosa mtu wa kuajili mpaka mnajiundia masanamu na kuyapigia makofi, wakati watu halisia hamwapongezi hata kwa kidogo wanachofanya ila dude la kutengeneza binadamu mnalishangilia. Endeleeni kushangilia kila kitu mnacholetewa hadi siku mkinyanyuliwa kwenye viti vyenu myaache maroboti yaendeshe vikao ndo mtajitafakari upya. Mnachokishangilia ni cha maana au siyo. Stop imitating each and everything. Hiyo teknolojia yenu ileteni kwenye shughuli halisi za mtanzania hasa mkulima apate unafuu wa kulima. Na siyo kutengeneza madudu ya kuwapokea hapo
@AbuuThabiti4 ай бұрын
Kuanzia leo nimewashusha daraja mnazingua mnatumia vibaya kodi zawatanzania
@christinamgeni92284 ай бұрын
Baadae mnasema tunaongea mambo ya ajabu balabala hazitengenezwi mnaleta midoli na nyie mnafurahi kweli MUNGU ANAWAONAA Sema baba yangu hayupo bungeni
@eliudezekiel86154 ай бұрын
Mnacha mambo ya msingi mnatumalizia Kodi zetu kwenye ujingaaa
@Magdalene-er2ur4 ай бұрын
Kwa hiyo mmetuletea robot na mnamchekelea wananchi wakiendelea kuteseka nyie mnanunua robot anayewakaribisha kwenye hutuba zenu.yaani sijui nisemeje niridhike.sisi wengine hata barabara hazipitiki watu wanachekelea robot eti teknojia.magufuli amka ujioneerobot😢😂
@FrankSamson-r6s4 ай бұрын
Yaaaani ina faida gani sasa me sijaelewa na haijavutia
@nkelyasahani50904 ай бұрын
😊😊8i😊😊😊😊😊😊😊😊❤❤❤
@neemakerefu48764 ай бұрын
Hebu Naomba Waziri atwambie kazi kubwa atakayokuwa anafanya huyo roboti maana mpaka sasa hatujaambiwa Alafu hiyo fedha iliyotumika kununua hiyo robori zingetumika kuwajengea uwezo vijana wetu wawezekutengeneza hizo roboti.ili tuweze kujivunia wenyenywe badala yakununua
@christomlyezia4 ай бұрын
Millard Ayo,,,Nitafurahi Sana ukizionesha hizi Comment kwa Baadhi ya mitandao.🤣🤣🤣
@EbiaElton4 ай бұрын
Haieleweki kabisa ni ujingaaa huuu
@leonardyona14624 ай бұрын
Robot uchwara, hili ni roboti la miaka ya 90 limetupwa huko baada ya kumaliza research tumeletewa bungeni, kweli kaazi kweli kwel..
@PauloLeonard-ol5oo4 ай бұрын
What is the reason for this robot to be at the Parliament? Hakuna vitu vyakufanya sikuizi wakati wa magufuli mawazili na wabunge walikua bize xana sio sikuizi wanapata muda wakupiga picha na robot.
@lucymtui86804 ай бұрын
Ndo matumizi ya Kodi zetu😢😢
@RamadhaniOmary-z3p4 ай бұрын
Hahahahaha
@Mariam-w9s3b4 ай бұрын
Watu wazima ovyo ndio iyo
@isayashayo47774 ай бұрын
😂😂😂 waheshimiwa wanashangaa kitu kilichojengwa na mwanafunzi alieishia la tatu 😂😂😂😂
@pastorzakariatv17864 ай бұрын
Kwenye milioni 50 hapo ndo panapo niumiza Tanzania tutaendelea lini? Mbona tunaiibia sana nchi
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
Soon hii nchi itakuwa skeleton 😢😢
@neemakalugila76744 ай бұрын
Na ukute ni mihela mingi imetumika !!!!!
@hassanadam27084 ай бұрын
Subiri kwanza tuje kutega sikio kwa CAG
@christianchando70414 ай бұрын
Wenzenu wanawatumia hao robot viwandani kwaajili za kuzalisha mali. Nyie mnanunua roboti kwa gharama kubwa kwaajili ya maonyesho tu?? Nape unafeli wapi?
@samiusiraj45874 ай бұрын
Naona bunge limegeuzwa sehem ya ,kulelea wa toto sasa maana uyo mdori siyo mchezo 😂😂duuh!😂 Basi na sisi watuletee makatuni tukachezenayo😂 maan wakuu kama wameanza tuletewa midori nasisi tujiandae kupokea makatun🤣🤣😂🫡
@PendoPogwa4 ай бұрын
Hii nchi kwakwel Sasa watu tunasoma ili iweje? Na Mungu alipoumba watu aliamin tunaweza kla ktu jaman ktk yeye atutiae nguvu.wenzetu wanafanya hayo kwa sababu wameshajipata jaman tujihurumie mda mwingine
@EnockAdam-h1l4 ай бұрын
Wabunge hivi kweri mnahakili Mungu ichukue tu tz hata utuwe wote tu...mm naumia malipa kod halafu upuuzi kama huu ndio hununuliwa then mwaka huu first year tumepewa asilimia 18 za ada hivi hii pesa si bora watuongezee
@fadhilisule4 ай бұрын
sasa robot anajifunza kiswahili kha!! katokea wapi kwani uyo ,havichelewagi ivo kitageuka kijini kianze sumbua watoto wetu mkifungie na minyororo kisituletee balaa sisis
@MaheHema-cr9px4 ай бұрын
Changamkeni ×4wakristo na wananchi maana taifa laenda kuanguka maana maovu yetu yamefika mavhoni pa mungu,tuwaomnee wasimamizi wetu rehema maana hatujui wanakotupeleka,mungu turehemu,tusaidie
@MaheHema-cr9px4 ай бұрын
Changamkeni ×4wakristo na wananchi maana taifa laenda kuanguka maana maovu yetu yamefika mavhoni pa mungu,tuwaomnee wasimamizi wetu rehema maana hatujui wanakotupeleka,mungu turehemu,tusaidie
@diamondplatnumz55984 ай бұрын
hilo robot linaongozwa na mtu kwa sim yupo hayo maeneo yan ameconnect kama bluetooth haraf anatype maneno kwenye sim huku linatoa saut tu daaaah tumepigwa paakubwa😂😂😂😂😂😂
@ValerianaKilumile4 ай бұрын
Wapumbavu wakubwa mutatuingiza kwenye mikataba ya kishetani hivi hivi naserikari ndiyo malimbukeni wa kilakitu lakini sishangai kwasababu yametabiliwa serikali mtakuwa namba Moja kutuingiza kwenye freemason
@edithminja42824 ай бұрын
Hivi na shida zoooote, na vijana wengi wasiokuwa na ajira, wananunua robot badala ya kutoa ajira. Viongozi acheni kufurahia ujinga! Ooooh! Tanzania yetu
@petermwanyondo53704 ай бұрын
Wacha tuwangalie wasomi wetu manako tupeleka lakini nchi hii tunashida nyingi kuliko sijui Kama iki kipao mbele kinamsaidia mwananchi mwenye shida Zaid yafulaa kwawenye nacho mungu ibaliki Tanzania rakini twaomba fikra zakusadia wasio jiweza nawenye shida mbalimbali wapate kutatuliwa haja zao
@moriskalegeleshusha26194 ай бұрын
Msijasahaulishe thamani ya robot haiwezi fikia thamani ya binadamu maana naona mnalisalimia kwa heshima na kutitisha tuone ni kitu cha ajabu,robot lenyewe ni kazi ya mikono ya mwanadamu MUNGU aendelee kuheshimiwa
@jamesjoseph68254 ай бұрын
Hawa ndo wasomi wetu, tutafanyeje sasa, robor linaongelea mbavuni, kwa wenzetu linaongelea mdomoni, wallah mambo mengine ni aibu kumanina
@rithaurassa4 ай бұрын
Mtukuzeni muumba wenu achen kabisa.Afrika sasa tunaelekea mwishowakupoteza maadili yetu kabisaaa.Na ndio kitu kilichotokea hapo.
@TulamonaMbutwa-xk2yr4 ай бұрын
Mtuajili watanzania wote ndio muanze kuleta hayo....tupo mtaani miaka nenda rudi leo muanze kuleta robot aje afanye kazi ya mtu ambaye hana kazi tena....basi mtuonee huruma nimechoka kutembea na bahasha waleta robot
@bushbabytz4 ай бұрын
UPUUZI KABISA MIBUNGE MIJINGA INAONGEA NA MDOLI HAKUNA KITU CHOCHOTE HAPO UJINGA KABISA LI ROBOTI LENYEWE NINACHAPIA LIMEJAZWA UJINGA TU HAKUNA KITU HAPO
@PeterJohn-sg4oe4 ай бұрын
Wajinga wengi hapa wanakosoa, eti siku za mwisho, kila kitu siku za mwisho, Acha ujinga unaposema siku za mwisho wenzako wanakimbia katika maendeleo na mafanikio, wewe utaanza kutumia technology wakati wenzako wako mbali sana
@saracosmas25484 ай бұрын
😂😂😂kwahiyo hii ndo kazi ya kura za wananchi jmni. Hiyo hela ya kuleta hiyo roboti mngekarabati hata barabara za Singida jamni. Mwakani mtalia na kusaga meno mkiwa mnatafuta kura kwa wananchi🤣🤣🤣
@zondomartine4 ай бұрын
ifike muda tujue kutofautisha roboti na Mdoli,huu ni ujinga Mwingine,Vijana ajira Hakuna mtaani mahangaiko pesa mnanunulia Makorokoro.
@humphreykiwia98144 ай бұрын
Mi naomba kujuzwa,hilo roboti limenunuliwaaaa au ni mmoja wa mtanzania kalitengeneza?kama limenunuliwa je nilakazi gani?mmmm kweli kuchamba sana mwisho.....😢
@madaniel92904 ай бұрын
Hizo pesa zingepelekwa Hosp kuokoa maisha ya watu walio letwa na MUNGU watu na akili zao timamu wanashabikia huo upuzi tukazane kuzaa inch yetu isitawaliwe na maroboti
@victormbagga18214 ай бұрын
LinLipwa mshahara au ndio mshahara wa mtu likanunuliwa likae jaman mtanzania mmoja ana uwezo wa kuongea ayo iweje...mi naona fikirin zaid kwanini wenzet wanalo na sababu ni nini. Japo ni technolojia...ila imemnyima mtu fursa ya ajira hapo .halikai bure hapo
@aishaalbalushaishabalush82914 ай бұрын
yaani rais wa hovyo huyu hajawahi tokea dunian kote wananchi wamemaliza vyuo kazi hawana unaenda poteza matillion kwa ajili ya kumkufuru Mungu kwa lisanam jamani angetoa hizo pesa wajengewe nyumba waathirika wa mvua na vyakula na dawa mahospitalin nasio kuchezea pesa za watanzania hivi 😢😢😢