Aziz ki ni Mwamba Sasa tutaonasoka hiii kiboko sana Sasa Tanzania tunaona mpira mkubwa sana
@khajihamisi505417 күн бұрын
Sisi wananchi hatuna jambo dogo! Sasa waambieni pamoja na huyo friji kichaa Azizi Ki miaka 2 !!!!
@user-cw2nj4io3v17 күн бұрын
Azizi Ki safi Sana!
@AllyBardan17 күн бұрын
Azizi ki anajua umahiri wake unahitajikuongezeka nalengola azz ki nikucheza ulaya
@sportsdatatv17 күн бұрын
ooh kabaki kwa sababu ya mapenzi na timu
@musamagulu202317 күн бұрын
Mimi ni Yanga lakin kwa umri wake sahivi ulaya haendi bro Umri miaka 28 kwenda ulaya hapana. Pia ukumbuke alikuwa huko na alifel ndo maan akarudi Africa. Hata Pacome alikuwa Sparta Prague huko ndo makuzi yake yalikoanzia so kurud huku ni kwamba hawakufuzu kuendelea huko ulaya.
@musamagulu202317 күн бұрын
@@sportsdatatvhuyo ni mfanya biashara hana mapenzi na timu sema ameangalia project yake na yanga vimeendana ana nafasi ya kucheza zaid miaka mingi yanga kuliko huko uarabuni Na wewe unajua waarabu walivyo kwenye wachezaji wetu weusi huwa hawawapi nafasi so wanawaua viwango vyao
@creedjey17 күн бұрын
@@musamagulu2023aende ulaya kufanya nn kama timu zingine za africa zimemtaka kagoma kwenda, kaamua kubaki mwenyewe
@hockingsshangali174717 күн бұрын
Friji bovu ,tunajua unaumia sana kwa unachokisema pole sana . Usimalize yote bskizs na kedho siku.
@EzekiaMichael-jn5np17 күн бұрын
Ni mapenzi makubwa mno Kwa K Aziz ni mapenzi ya dhat
@chrisantusnditi867017 күн бұрын
Azizi Ki kuna kitu anatafuta kupitia Yanga,ameona kuna mission ambayo akiikamilisha Yanga,atakuja kuvuna pesa nyingi zaidi.
Wewe jamaa ukiapata nafasi ya uongozi nchi hii utakuwa fisadi mkubwa kuliko walowahi kutokea. Unaweza hata kumuua mama yako mzazi kwa sababu ya pesa wewe. Yani, unathamini pesa kuliko utu na hata kuliko legitimacy katika maisha yako. Pia, unaamini sana katika kushindwa. Hivi Azizi Ki hawez kuwa wa moto katika umri wa Ronaldo, Messi, D. Bekham, Zinedine Zidane, nk. We vipiiiiii
@user-sl8pg1vr3j17 күн бұрын
Frij bovu ACHA uchaga, maisha ni upendo na sio pesa
@gracelema237416 күн бұрын
Ungetafuta kwanz interview ya mama yake Aziz 2 years ago i think usingekuwa nachakuongea
@creedjey17 күн бұрын
Apa Tff inabidi waweke waamuzi wazuri na viwanja viboreshwe kabla ligi haijaanza
@christianjohnmwalugaja809015 күн бұрын
Ni upuuzi mnachojadili eti friji bovu eti kaka yake feisal pumbavu tu.
@vaxminja905317 күн бұрын
Mbona mlikuwa mnasema ataondoka mmeanza kujikomba
@user-iz3hs8jl5p17 күн бұрын
wee aziz bado sana wee acha zako dogo ana utajiri ata wakala wake anatambua ilo na msije mroga shenzi zenu
@alexandernkwamah590517 күн бұрын
Si kweli kuwa hataki pesa. Aziz anazo. Anajua kwingineko atakuwaje. Hakubaki kwa ajili ya mapenzi peke yake. Anawazia project, umaarufu wa makombe na uwezo wake anaona ni karibu itatokea Yanga. Friji bovu unaogopa hicho kikitokea mtaaibika wengi. Hersi anapiga hesabu.
@user-wt8nt7pb2y17 күн бұрын
😂😂😂 ebu soma ulicho andika kwanza
@sadickjuma726417 күн бұрын
Kwahio hapa yanga halipwi hela anapewa mawe kachambe huko
@dullamuso695517 күн бұрын
Wewe friji Bovu pewa haina kikomo na pesa kila siku ni tamu, Azizi K karidhika na kiasi anachopata Hana tamaaa hizo unazofosi
@ErickJeremiah-ww3ez17 күн бұрын
Daaaah yani tulishaanza kufurahi ila awa jamaa awawezi kutuacha tukae na furaha sku mbili walau 😢
@user-vc8rk4qn5z17 күн бұрын
Acha ushamba uchambuIgani huo acha kumpandikiIa aziI ujingo
@seifmohammed916717 күн бұрын
Kusema Azizi Amekosea Hapo umec hemka kwani Angeenda Huko unapofikoria kumhemgonga Atanyeje? Bora kubaki uoma Mayele lengo Ni kufuja Sio kutaka mchezaji
@hockingsshangali174717 күн бұрын
Tunanua ulitamani sana aondoke Shindwa kwa wizu wako.
@hockingsshangali174717 күн бұрын
Hayo ya simba ni maumivu natamaa kama usemavyo. Huo tunauita umakolo.
@khajihamisi505417 күн бұрын
Si kumkubali tu! Huyu kavamia fani?
@khajihamisi505417 күн бұрын
Wewe friji kichaa ulikuwepo na ukaona hizo milioni 35?
@hockingsshangali174717 күн бұрын
Tujifunze ,wanavyo wachukua wzchexaji toka kwetu sio kwa nia njema ila ni kutusngusha tuu. Niyupi alie chukuliwa akenda aendako akafanikiwa ? Wanatunyanganya ili tu watushide nao wazidi kuwa wafalme wa afrika. Tushtukie hii tamaa ya kuuza tuu.
@user-vc8rk4qn5z17 күн бұрын
Kwaniumeeona Hana Hela?
@jimmymhina126417 күн бұрын
Huyo ni copy ya Ngasa tu ,sasa hivi Ngasa hakuna anaye mtambua
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts17 күн бұрын
Pasco kolo 100%
@AlfredRutaguza17 күн бұрын
Firiji bovu nimekukubali
@suleimanmwenyemvua99517 күн бұрын
Mikisone kachagua maisha na hey foot ball ikapoteae😅😅😅
@suleimanmwenyemvua99517 күн бұрын
Mikisone kachagua maisha na pesa nyingi zaidi yupo wapi kapotea😊😊
@upendoomary192117 күн бұрын
Kwaiyo ushauli wako ni nini
@deokibona283517 күн бұрын
Aziz ki usimlinganishe na wachezaji wengine, yeye ameshacheza hata huko Ulaya,. Kwahiyo ana exposure kubwa inapokuja suala la mafanikio. Haangalii hela tu kama unavyoangalia wewe friji bovu.
@Jarden-Mills17 күн бұрын
Malengo yake unayajua ww acha kuingilia plan za mtu
@halidijuma188417 күн бұрын
Kwani AZIIZ KI AMESAINI LEO ??
@ARFHONSIMGIMBA17 күн бұрын
AZIZI KI BADO YUPO SANA
@user-jx3yi9ci7g17 күн бұрын
Kwa hio hela aliopewa yanga ni ndg?
@hockingsshangali174717 күн бұрын
Nilijua hutaweza kumaliza bila kumzungumzia cha. Hayo ndo mapenzi. Hayo ya offer yanakuhusu wewe. Huo sio uchambuzi ni unazi na ushabiki wa simba.
@monicaMihangwa17 күн бұрын
Makolo wanaumia cn
@omarmakore691917 күн бұрын
Wachambizi. Wa. Bongo nyinyi niwanafuki Sana kumbuka wewe firiji bovu kumbuka ulichokisema Jana munajisemea hamuna akiri kabisa
@LetasKomba-br1xh17 күн бұрын
Hakupata ofa kama hiyo ni uongo tu huo mapenzi gani hayo kwan akishuka kiwango yanga watampenda? Achen uongo wenu
@paulmwandambo779917 күн бұрын
Aseme ni timu Gani ilimtaka Aziz kakataa huyu jamaa muongo sana
@musamusa621317 күн бұрын
Jamaa ww ni chizi kima ww Azizi anaakili kuliko ww mayele mwenyewe hana raha kwahiyo unataka na Azizi wakamfuje ridhika na kidogo kama kinatosha shukulu mungu.pesahazitosh
@user-hl9xu4vo1q17 күн бұрын
Pesa bila si chochote
@khajihamisi505417 күн бұрын
Sikuwambia Hilo zuzu! Pumba zake mnazisikia!
@paulmwandambo779917 күн бұрын
Huyu jamaa sijawahi mkubali , ameumia sana kuona Aziz kabaki , maana juzi TU alikuwa anasema anaenda Simba
@hockingsshangali174717 күн бұрын
Nilijua hutaweza kumaliza bila kumzungumzia cha. Hayo ndo mapenzi. Hayo ya offer yanakuhusu wewe. Huo sio uchambuzi ni unazi na ushabiki wa simba.
@EzekiaMichael-jn5np17 күн бұрын
Jaman siku akiondoka Injinia hers ndio itakua kushuka Kwa Yanga Afrika