Friji bovu kumiliki zaidi ya timu 7 kwenye ligi moja si sawa kwasababu inaleta conflict of interest katika football ya Tanzania. Tanzania ni nchi pekee ambayo kuna siasa katika kila sector ubabaishaji ni mwingi. Nakupa mfano mdogo mmiliki wa Crystal Palace alitaka kuinunua Everton wakamuambia inabidi auze share zake na alikuwa yuko tayari kufanya hivyo lakini hakuendelea na ununuzi. Je sheria za TFF zinaruhusu udhamini wa aina ya GSM?
@ANNAKISIGA-pc5qs2 ай бұрын
Friza mimi ika nakuelewa sana sana
@bakarimwachanga88032 ай бұрын
kwanini hatusajili kutoka uarabuniii
@emanuelmwampashi90092 ай бұрын
Uchambuzi wako kaka huwa umeshiba sanaaaa
@markmangaya49472 ай бұрын
Wana Simba inabidi tutulie tuachane na maneo ya mitadaoni,Tunaitaji striker ndio lakini Mukwara na wachezaji wote wanataji muda,Angalia Kai Haverts wa Arsenal washabiki walikuwa wana mdhiaki na Mikael Arteta alimwamini a akampa Muda angalia sasa yuko poa anatupia kila gemu tuwe wavumiivu..
@IlhamKhalid-mt3jp2 ай бұрын
Fact
@saidkasonta31742 ай бұрын
Sahihi kabisa! Tuache papara wanasimba! Tuwe na subra, tuwape muda wachezaji,kocha na benchi la ufundi!
@sebmalunde59452 ай бұрын
Mukwala ana kitu tumpe muda, Hata Mayele ndio ameanza Kuklick huko Pyramids.
@marthamsacky69732 ай бұрын
Yani Mungu atatuonesha soon ,wachezaji wetu wapo vzr na muda ukifika tuu si joshua mkwala tutashangaa Zaidi nikuwaombea Sana Sana wachezaji wetu
Friji bovu mbona kama unajijibu mwenyewe,sasa alalamike kagera, azam au namungo wakati hao wote sio washing ani kwenye NBC league?😅😅😅
@Shemahonge-ku7xx2 ай бұрын
Mo hatakikufanya hivyo kwasababu anajierewa
@mawazochaula36422 ай бұрын
SHIKAMOO PESA, HUGEUZA FIKRA ZA MTU.
@mahamudhadi67812 ай бұрын
English premier league hamna tajiri anamilika zaidi ya team moja that’s tajir wa Qatar alvo taka kununua team zaidi ya 1 alikataliwa hiyo ndio fact sio sahihi kuwa na team zaidi ta team moja hapo ume chemsha mwamba😅
Filiji bovu wewe ni mbovu kweli una lolote ni mjinga tu
@GodfreyJames-zt6ig2 ай бұрын
Wwe ni Kuma kabsa Yan nilikuwa nakufatilia sana kuanzia Leo wwe sitakufatlia Tena wwe ni Kuma tu nitajie ni nchigan ambayo mtu anaklabu yake usika kazamin klabu nyingine wwe ni ni msenge Tena Kuma la mama yako
@samelychesham33092 ай бұрын
Mshikaji huuu mpira mbona unamtukana mshika hana noma usifanye hivyo
@ibrahimally80732 ай бұрын
Sasa wewe unamtukania mama yake Kwa ajili Gani? Au we mwenzangu huna mama? vp ukitukaniwa mama yako mzazi utajiskiaje? au una pata faida Gani ukimtukania mama yake? Kama unaona umekosea basi futa tu hiyo comment yako..