🛑FRIJI BOVU: STRIKER JIPYA LA SIMBA NI MASHINE BALAA LEONEL ATEBA KUTOKA USM ALGER , FREDY BYE 👋

  Рет қаралды 30,445

MFALME WA SOKA

MFALME WA SOKA

Күн бұрын

Пікірлер: 50
@pinomjata678
@pinomjata678 2 ай бұрын
Friji bovu kumiliki zaidi ya timu 7 kwenye ligi moja si sawa kwasababu inaleta conflict of interest katika football ya Tanzania. Tanzania ni nchi pekee ambayo kuna siasa katika kila sector ubabaishaji ni mwingi. Nakupa mfano mdogo mmiliki wa Crystal Palace alitaka kuinunua Everton wakamuambia inabidi auze share zake na alikuwa yuko tayari kufanya hivyo lakini hakuendelea na ununuzi. Je sheria za TFF zinaruhusu udhamini wa aina ya GSM?
@ANNAKISIGA-pc5qs
@ANNAKISIGA-pc5qs 2 ай бұрын
Friza mimi ika nakuelewa sana sana
@bakarimwachanga8803
@bakarimwachanga8803 2 ай бұрын
kwanini hatusajili kutoka uarabuniii
@emanuelmwampashi9009
@emanuelmwampashi9009 2 ай бұрын
Uchambuzi wako kaka huwa umeshiba sanaaaa
@markmangaya4947
@markmangaya4947 2 ай бұрын
Wana Simba inabidi tutulie tuachane na maneo ya mitadaoni,Tunaitaji striker ndio lakini Mukwara na wachezaji wote wanataji muda,Angalia Kai Haverts wa Arsenal washabiki walikuwa wana mdhiaki na Mikael Arteta alimwamini a akampa Muda angalia sasa yuko poa anatupia kila gemu tuwe wavumiivu..
@IlhamKhalid-mt3jp
@IlhamKhalid-mt3jp 2 ай бұрын
Fact
@saidkasonta3174
@saidkasonta3174 2 ай бұрын
Sahihi kabisa! Tuache papara wanasimba! Tuwe na subra, tuwape muda wachezaji,kocha na benchi la ufundi!
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 2 ай бұрын
Mukwala ana kitu tumpe muda, Hata Mayele ndio ameanza Kuklick huko Pyramids.
@marthamsacky6973
@marthamsacky6973 2 ай бұрын
Yani Mungu atatuonesha soon ,wachezaji wetu wapo vzr na muda ukifika tuu si joshua mkwala tutashangaa Zaidi nikuwaombea Sana Sana wachezaji wetu
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 ай бұрын
Simba tupunguze miemuko wachezaji mbona wapo vizuri,, tuwape mda ,tusipotee kwenye mstari
@melchiorrweikiza4517
@melchiorrweikiza4517 2 ай бұрын
Wewe umetumwa au Kuna kitu umepata kutoka Yanga
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 2 ай бұрын
No.2 na 3 pia bado hakujaaminika napia no.10
@fahadKorit
@fahadKorit 2 ай бұрын
Mh
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Usijikanyage simba kulalamika inajierewa haowengine fuata upepo
@selemanmaona5812
@selemanmaona5812 2 ай бұрын
SAWA ANAITAJIKA STREKA SIMBA LAMSIGI KULIDWA MASTREKA MPIRA UNACCHEWZA NJEFRIJI BOVU
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Mi mwenyewe namkubali huyu mwamba ni mkweli sana
@mkizafelix8426
@mkizafelix8426 2 ай бұрын
Friji bovu mbona kama unajijibu mwenyewe,sasa alalamike kagera, azam au namungo wakati hao wote sio washing ani kwenye NBC league?😅😅😅
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Mo hatakikufanya hivyo kwasababu anajierewa
@mawazochaula3642
@mawazochaula3642 2 ай бұрын
SHIKAMOO PESA, HUGEUZA FIKRA ZA MTU.
@mahamudhadi6781
@mahamudhadi6781 2 ай бұрын
English premier league hamna tajiri anamilika zaidi ya team moja that’s tajir wa Qatar alvo taka kununua team zaidi ya 1 alikataliwa hiyo ndio fact sio sahihi kuwa na team zaidi ta team moja hapo ume chemsha mwamba😅
@PeterJustin-ke5mk
@PeterJustin-ke5mk 2 ай бұрын
Wanayanga naona mnakula zauso
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Wewe friji hebuniambie ninchi Gani inauzamini kamahuo
@SalehOthman-e7q
@SalehOthman-e7q 2 ай бұрын
Jmn mbna mm naona mukwala wanahita mda
@thabitmgeni8775
@thabitmgeni8775 2 ай бұрын
Sasa wana simba utulie mihemko itatupoza utulie huu ni upepo itatupa tu
@jaydenkaleshi
@jaydenkaleshi 2 ай бұрын
GSM ni shabiki kabisa wa Yanga how can you say hoja hiyo Haina mantiki. Also how watapinga je wakati wanamilikiwa na huyo GSM. Be serious my brother.
@BenardSambilo-h2h
@BenardSambilo-h2h 2 ай бұрын
Kabla haujaingia kwenye platform tathimin unachoenda kuongea
@nickdr_tv
@nickdr_tv 2 ай бұрын
HAHA NA MPANZU PIA ULISEMA ANATAMANI KUCHEZA SIMBA HAHAHA....
@StanleyHyera
@StanleyHyera 2 ай бұрын
Ilo tatizo uakika amuna tatzo ilo
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
😂
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Basilabda unataka uwechawa wake
@KosovoNaiiem
@KosovoNaiiem 2 ай бұрын
Winga ya kulia pia hamna
@GablieliMasumbuko
@GablieliMasumbuko 2 ай бұрын
Wewe muongo Sana wew siyo firiji bov no friji mzima kaogo wew
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Hatutaki atoe uzamini wake
@jaydenkaleshi
@jaydenkaleshi 2 ай бұрын
Friji bovu wewe hujui mpira kabisa.
@coolsinare8824
@coolsinare8824 2 ай бұрын
wewe unasema haina mashiko????unaishi dunia ipi aiseee????
@PeterJustin-ke5mk
@PeterJustin-ke5mk 2 ай бұрын
Mukwala hanashida tuache mihemko mtakuja kumshangaa
@RashidMilanzi-ht1wb
@RashidMilanzi-ht1wb 2 ай бұрын
Filiji bovu wewe ni mbovu kweli una lolote ni mjinga tu
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 2 ай бұрын
Wwe ni Kuma kabsa Yan nilikuwa nakufatilia sana kuanzia Leo wwe sitakufatlia Tena wwe ni Kuma tu nitajie ni nchigan ambayo mtu anaklabu yake usika kazamin klabu nyingine wwe ni ni msenge Tena Kuma la mama yako
@samelychesham3309
@samelychesham3309 2 ай бұрын
Mshikaji huuu mpira mbona unamtukana mshika hana noma usifanye hivyo
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 2 ай бұрын
Sasa wewe unamtukania mama yake Kwa ajili Gani? Au we mwenzangu huna mama? vp ukitukaniwa mama yako mzazi utajiskiaje? au una pata faida Gani ukimtukania mama yake? Kama unaona umekosea basi futa tu hiyo comment yako..
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 2 ай бұрын
Acha upuz ww wa kutukana watu
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 2 ай бұрын
tahila ww
@charlesmashauri3704
@charlesmashauri3704 2 ай бұрын
Unakazwa
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Nisheria Gani inaluhusu hivyo
MBWADUKE: SIMBA, YANGA MTIFUANO MKALI CAF
11:49
Mbwaduke Stats
Рет қаралды 1,5 М.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 14 МЛН
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 15 МЛН
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 351 М.
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU, 25 OKTOBA, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1 М.
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MCHOME, ANASEMA SINA AKILI?
20:24
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 74 М.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 14 МЛН