Mwanasheria uko sahii tff wanapewa bahasha na huyo gsm
@HawaMkomwele2 ай бұрын
TFF leteni kanuni inayoruhusu mdhamini mmoja kudhamino vilabi zaidi ya 6 maana mmesema hakuna kanuni inayomzuia mdhamini kudhamini vilabu 6
@mwana-dodomamedia91112 ай бұрын
Kwakawaida ukiona mashabiki fulani wanafurahia huu udhamini wa timu 7, ujue wanafaidika na hili
@HawaMkomwele2 ай бұрын
Mwanasheria hao TFF wanapewa bahasha hao
@husseinmussa94712 ай бұрын
Nikweli
@maximillianmubashi73282 ай бұрын
Kwa jambo hili kusema kweli kwa akili ya kawaida tu lazima TFF walitazama. Hata kama sheria zao zinaruhusu itakuwa ni kati ya sheria mbovu ilekebishwe
@BorsaAktar-r6c2 ай бұрын
Young Ruth Davis Cynthia Gonzalez Brian
@KASSIMSHEHEMBA2 ай бұрын
Kuna upangaji wa matokeo ,ndio maana mtu anasema Yanga itakuwa bingwa Tena anajua ana uhakika kupata point 36 Kwa hizo timu kabla ya ligi kuanza rushwa hakuna ligi hapa
@pdaxofficial31442 ай бұрын
Watanzania tuliowengi bendera fuata upepo bayarne Munich kule ujerumani wamedhaminiwa na tajiri mmoja timu kumi ktk ligi yao ya ujerumani, mnasema GSM kwa kuthamini timu saba mbona kawaida sana hiyo, Huyu ni mdhamini sio mmiliki wa Tim, Fuatilieni mpira wa wenzetu sio kupoteza muda na kutumalizia bando zetu kusikiliza ujinga..
@lucymsheshi5871Ай бұрын
Mwanasheria jiulize kama Yanga inamilikiwa na GSM ni Sawa ila GSM sio mmiliki wa yanga
@shabanmwegole1892 ай бұрын
Andaa timu yako vizuri kupambana na yanga
@mwana-dodomamedia91112 ай бұрын
Tunaandaa timu ya kuchukua ubingwa wa shirikisho siyo kupambana na timu isiyowahi kuingia hata top ten Africa 😂😂😂😂😂😂
@titongholo62612 ай бұрын
Jibu sahihi la kwa nini Simba wanalalamikia udhaminiwa GSM ni kwamba Simba ndio mpinzani mkuu wa Yanga. Yaani unategemea hizo klabu zingine zitalalamika wakati si wapinzani halisi wa Yanga
@jumasuleymani2 ай бұрын
0:40 0:41 0:41 0:44 0:44
@mirajikawimba86482 ай бұрын
Tff.apo mmebolongaa Sana .katba hiyo mmeipata wapi.?!
@justusn.timothy35872 ай бұрын
TFF Wanatakiwa kujua kuwa iwapo hawana Kanuni za kusimamia Udhamini wa Club, zile za CAF na FIFA zinatumika kama "Mwongozo".
@FrankGabriel-ti7lw2 ай бұрын
Wanatualibia ligi yetu siyo sawa kuzamini timu saba
@NkondokayaJoe2 ай бұрын
Zile bilioni 1.5 za GSM kwa vilabu vya ligi kuu msimu wa 2021/22, ambayo SIMBA SC iligomea udhamini huo.GSM walitangaza kujitoa na kuomba kurejeshewa pesa yao,hilo suala liliisha vipi? Na vilabu vilivyokuwa vikilalamika kuhusu kutangaza logo hiyo vilipewa pesa hiyo?
@HenryNdaigaTanzania2 ай бұрын
Mnataka timu zingine ziwe njaa ili ligi iwe yahovyo
@jumasuleymani2 ай бұрын
Tatizo kufungwa goli nyingi au? Vp na Clab Bingingwa Gsm amedhamini?
@AbisinaRashidi-c8d2 ай бұрын
Hatuna imani na tff hata kwenye swala la lawi wamechangia kisa wao ni costali
@DaudLucas-qj3mp2 ай бұрын
Tff acheni kutuhalibia ligi mtu atazaminije timu saba
@AlonimwelemiJumla2 ай бұрын
Vilabu vingi havipingi kwasababu avina ushindani wakuchukua kombe isipo kua zinapingana kuto shuka daraja anae umia ni simba anae gombania ubingwa tff kunanuka hongo za gsm tu
@houmdmajid-ur9dp2 ай бұрын
Babu usieleze sana kiufpii GSM ananunua vilabu hakuna sheria hiyo kupata matokea na katoa rushwa TFF wanashirikiana lkn tumejiona ni jins gan anapat matokea
@RogersKusaga-d8u2 ай бұрын
Hicho kitu kinaniumiza kichwa yanga kudhamini timu 7
@munirramadhan44352 ай бұрын
Hii nchi ina ujinga mwingi sana Simba na yanaga walikua mzamini wao ni Sport pesa milikua wapi nyie wajuzi wa sheria
@CharlesNazi2 ай бұрын
Jee mbona hamuongei kuhusu Azam?
@LucianaJoachim2 ай бұрын
Tatizo wote mlioandika maneno ya walaka wasenge wa jangwani hamna hoja ya msingi zaidi ya kuifunga simba, mnanunua kuhonga wachezaji wa timu, umenunua bidhaa za MO, atauza imeacha kununua atauza, sisi simba hatuna akili kama zenu za kususia bidhaa ya gsm, ila nyinyi wasenge malaya mtajijua wenyewe na Roho zenu mbaya kama sumu
@drjbmsige40982 ай бұрын
Yaani kama hamsajili wachezaji mnajificha kwenye uwekezaji wa GSM haki ya Mungu mtafungwa hadi mjambe moto
@SospeterJackson-v9oАй бұрын
Marefa na Tff wote ligi iongozwa kwa rushwa
@SaidiAlly-f4d2 ай бұрын
Azam anadhamini vilabu vingapi? Na ana timu yake pia ya Azam, Hivi mambulula wanaopiga kelele kuhusu udhamini wa GSM hili swali hamuwaulizi? Basi na Azam JE?
@janeshija66382 ай бұрын
Ujanja wa GSM ni kupata points 18 kwenye hizo timu. K.M. ziifunge Simba kwa nguvu zote kwa Yanga zilegeze isifungwe ili wachukue hizo points 18 kwa hizo timu 6. Huo no ujanja na kujifanya hizo timu zisiweze kusonga mbele. Huo ujanja SIMBA imeuona. Hizo timu jitahidini muifunge YANGA msikubali kifanywa MATEJA kwa YANGA.
@amourgwabananga15432 ай бұрын
Kwahiyo nasimba ili rgeza maana hata yenyewe imewafunga!
Ajabu na ukweli Simba wameshindwa kuifunga yanga wanawaambia timu zingine zijitahd kuifunga yanga ujinga wa kiwango cha juu kbs
@salimmalaka2562 ай бұрын
TIMU 7 SIO 6 POENTS 42 WASHENZI SANA MATOPOLO
@EdsonRaphael-l5x2 ай бұрын
Kwakwel uzamin wa gsm kwanamna yoyote kuzamini liki yetu haufahi
@geraldbagole44942 ай бұрын
Hivi Ile Sheria ya kunyang'nywa point IPO?Kama IPO tff wasnze KAZI,Msimu huu😂😂😂
@munirramadhan44352 ай бұрын
Uwoga wenu ni Yanga sio kanuni wapuuzi Azam kazamin ligi yote mbona ubingwa unamtoa jasho achukue ubingwa kaweka bikin 360 na anatimu kwenye ligi vipi hapo wapiga kelele Azam hawamuoni😅😅😅😅
Tff hii imechoka imejaa rushwa uzamini timu sita aibu tupu
@AbisinaRashidi-c8d2 ай бұрын
Umetapeliwa Nini na wew mbona mihemko. njoo ue kiongozi wa simba
@JonathanMGAIWA-ow4py2 ай бұрын
Simba ndio mlengwa wa huu utapeli wengine wanatumika tuu
@mikidadmhando25042 ай бұрын
KAMA TFF HAILIONI HILI NI RUSHWA,BASI GSM KALETA RUSHWA KIAINA ILI AWEZE KUPANGA MATOKEO KWA KUNUNUA MATOKEO
@salimmbilu45242 ай бұрын
Aanzishe ya kwake atuachie yanga yetu
@AndreaMsamche2 ай бұрын
GSM stanunua amechi za mtu zote alizozami takukuru mko wap watu wanapeana rushes hazaran
@TwahirBurhan2 ай бұрын
ALAFU HATA FIFA HIYO UNAYOSEMA UNAKUWA MUONGO MAANA FIFA WANAKATAZA MTU AU KAMPUNI MOJA KUMILIKI TIMU ZAIDI YA MOJA KTK LIGI MOJA NA SI KUDHAMINI....HIVY0 HAYA YOTE NI MANENO YA WAKOSAJI
@malugukushaha67642 ай бұрын
Huo ni ukweli kabisa, hapo kazima kuwepo na conflicts of interest
@johngerald47392 ай бұрын
Mbona simba hadhaminiwi na GSM lakini anapokea kipigo na azam pia
@ExpedithoThomas2 ай бұрын
Embu mtupe ufafanuzi na uzamini wa azam pia msiangalie kwa yanga pekee kama mnazijua sheria tupeni ufafanuzi na huo uzamin wa azam pia
@adewaleijele2 ай бұрын
watu hawapendi ukweli maana hapo kwenye hoja ya mdhamini haipo sawa kuna conflict of interest
@Amosmakuba-r2k2 ай бұрын
uozo wa tff
@fidelisjoseph-tt9zl2 ай бұрын
Kuna polisi Tanzania>jkt Tanzania moja tuu
@TomasiklistophaMwinuka2 ай бұрын
Tatizo la nchi etu kila sehemu watu wako kimaslai Tff wanajua wanajua wanachukua hela kwa Gsm ndomana wapokimya wameziba maskio
@edwardkishiwa32962 ай бұрын
Adidas ni sehemu ni wamiliki wa Bayern Munich, na bado ana fadhili vilabu vingine 10 7:23 je FIFA hawaoni ??
@RamadhanAlly-qg9hq2 ай бұрын
Kuna watu kwenye coment wanabishana na sheria na ndioo maana sisi tunajua pale walio na akili wawili tu
@halimalachpat19272 ай бұрын
Hi yanga inasema yanga bingwa miaka5 wanajua wamefanya nini ndiyo maana wana uhakika
@RobertSiwavula-jj4pj2 ай бұрын
Tunaomba wenye mpila wao watusaidie man tff hajaerwek mpl unapotez laz. Kam mpil tuachan namashabi wavilabu tuongee namashabik wampila
@salimmalaka2562 ай бұрын
SHOGA MKUBWA WEWE 😂😂😂😂😂
@PaskaliEdimundi2 ай бұрын
Mwanasheria kafafanua vizuri
@RamadhanAlly-qg9hq2 ай бұрын
Shida yanga timu hii ni ya wahuni wengi
@HamisiMtengwa2 ай бұрын
Tunachotaka kujua upo uhalali mdhamini mmoja kudhamini zaidi ya klabu kimoja
@yusufufikiri50052 ай бұрын
Kwanza matapeli tu. wezi wakubwa hawa. Wahuni tu GSM kwani ni nani mpaka anaisumbuwa tanzania?
@HarrisonFanuel-ir1kr2 ай бұрын
Hee!
@hafidhnzota21422 ай бұрын
MwanasheriUmeongea VIZURI sana MPIRA WETU SASA RUSHWA IMEKITHIRI.MAZINGIRA YAPO WAZI TAZAMA SIKU YA KUTAFUTA MFUNGAJI BORA WA LIGI YETU.GSM,TFF SASA BINGWA HANAJULIKANA.
@josephatkajange87142 ай бұрын
TFF imewekwa mfukoni mwa Yanga! Hii ni Tanzania bwana!
@kazimotomaswi97002 ай бұрын
Ingekua ni Mo serikali ingeongea maana hawana shea
@MchungajiNzelani2 ай бұрын
Wamekamatwa pabayaaaaaa
@kazumarihokororo91532 ай бұрын
Ametulia kuongea lkn utumboo tupuuu Aeleweki yupo tu kishabiki
@BASHIRINAMYUNDU-dv5ff2 ай бұрын
Kwan GSM akikosa kuzizamini timu faida kwa nani tunaambiwa mpira ni kuekeza sasa wadau wanawekeza ili gape lisiwe kubwa kuna wapuuzi wanaona sio sawa kisa tu GSM Kwan moo nayeye si awazamini izo timu nyingine
@xadygenious4142 ай бұрын
Jitahidi upate Elimu elimu elimu by Edward ngoyai lowasa
@silvesterrichardhelenya13192 ай бұрын
Tupeleke FiFA hili swala huu ni uonevu
@emmanuelmasele95852 ай бұрын
Kumbe ndio maana Yanga anakusanya pointi nyingi za bure za matawi yake
@johnmwita93702 ай бұрын
TFF ya tz yenyewe inasheria zao , ukichambua vzri Yani iko kirushwarushwa tu
@EstherMulinga2 ай бұрын
Wanasimba hangaikeni sn yangu bingwa itaendelea kuwachapa haiteteleki na vijimaneno
Kwan mbona mnaumia kama haiwazuru nyie mtulie msubiri balaa la fifa mnaona sawa kwakua inawasaidia kupanga matokeo
@RajabuSongoro-ne7mc2 ай бұрын
Hili suala!!!lipelekwe Kwa wenye mpira wao FIFA,,,,,,lkn sio wapenda rushwa WA pale karume
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Umeongea ukweli wale tff wala rushwa tuu
@patrickkazinja44352 ай бұрын
Huyu kawaje mwanasheria wa FIFA?
@Kanyawela2 ай бұрын
Mbona Azamu kila timu inatoa na kuipa fedha je Azamu anakuwa amenunua mechi?Usimba na Yanga usituharibie soka
@MadieMtimbuka2 ай бұрын
Azam yupo kwenye udhamini wa ligi na sio klabu au baadhi vilabu, jaribu kutofautisha
@Kanyawela2 ай бұрын
@@MadieMtimbuka kwaiyo GSM aliwapa pesa simba ili yanga iwafunge nje ndani?
@MadieMtimbuka2 ай бұрын
@@Kanyawela hoja hapo ipo kwenye udhamini wa vilabu, simba na yanga wanafungana tokea kuumbwa dunia hata ss hatujazaliwa.wapenzi wa soka wanataka fair games
@othumanambae7612 ай бұрын
Kwairi tff wamepuyanga inaonekana wamesha kura mzigowaoo
@marcokaroje89802 ай бұрын
Na Simba wapeleke mzigo kwa tff
@SaidAlly-uh4qw2 ай бұрын
Adidas ana hisa Bayern Munich na pia anadhamini baadhi ya timu nchini ujerumani hapo vp?
@peterkandaya5652 ай бұрын
Muongo mkubwa wewe, Utopolo hawezi kucheza Mpira ikiwa Kuna fareness Toka Mpira umeanzishwa nchi hii
@renatusrevocatus38952 ай бұрын
Adidas hamiliki team.
@dentomedicalresourceslimit46022 ай бұрын
GSM hana Timu. Bado 49% hazijapata muwekezaji.
@salimmalaka2562 ай бұрын
MWAMBIE MAMAKO AWEKEZE.
@SaidAlly-uh4qw2 ай бұрын
Huyu nae hajui caf champions league mdhamini mkuu ni 1xbet makubaliano yao hawataki kudhamini kampuni yogote ya betting na ndio maana sportpesa hawahitajiki ktk michuano hiyo
@simonndunguru16292 ай бұрын
Huenda suala hili TFF wamejificha ili ionekane ni Simba. GSM achana na Hivyo Vilabu kuvidhamini endelea na YANGA Nia Yao Vilabu viwe omba omba. Tunajua Hao walikuwa wanapa Vilabu hasa Wachezaji Wacheze chini ya kiwango Ndio nia Yao. TFF Muwe wawazi Mpira ni Biashara
@Farida-vg5ry2 ай бұрын
Mpila ni biashara ndio lakini hakuna biashara ilioluhusiwa kuzamini Wala unayokataza kwa maana hiyo hakuna biashara ya hivyo tff hawana kanuni inayomkataza mtu kuzamini Wala inayo mluhusu kuzamini kwa hiyo hakuna biashara GSM kajitengenezea mwanya wa rushwa ndo tafsri yake
@bihogorakaroli96912 ай бұрын
Mmmmmm
@chidampiri10122 ай бұрын
Viongozi wa vilabu na wanasheria wa vilabu hawajui haya kama wanaijua hizi sheria kwanini wako kimya hivi
@AmanHamisi-q7t2 ай бұрын
Gongo wazi povu kama lote😂
@AbdallahMnyiwe-he2zu2 ай бұрын
Kuna kupanga matokeo
@Kanyawela2 ай бұрын
Simba tokeni adharani sema GSM aliwapa pesa Yanga ikawafunga nje ndani
Ww said ali una akili adidas ana time gani taja mbona nyinyi mnajifanya hamfahamu wakati unaona kwa nn watu hawakupiga kelele nbc sawa na ayo maneno uloandika😊
@GABRIELBAHANGARWA2 ай бұрын
Mbona kama kinachoongelewa ni wivu tu kwani hapa Simba anabinywa wapi? Ubunifu wa kimapato nao ukizuiwa maendaleo ya mpira yatapatikanaje?
@ismailhassan52092 ай бұрын
Wewe muulizaji asiyeguswa ataumiaje? Wengine waoga
@amanisebastiani28272 ай бұрын
Nyie mafala😂
@BWILEMAKOYE2 ай бұрын
Acheni ujinga yanga chezeni mupila xio vigisu
@SaidMana-dp4et2 ай бұрын
T f f hawataki kusikia malalamiko ya wananchi kwa hiyo inaonyesha kuna jambo hapo haiwezekani mdhamini azamini timu zote hapo kuna ligi tena? Mbona azam au simba hawadhamini?
@robertphilip3852 ай бұрын
Simba wanahangaika wakati wanaongozwa na viongozi matapeli
@NasibuAlban2 ай бұрын
Acha povu mnapata point za mchongo mnadhamini timu ili mpate point za bure
@@robertphilip385 mbona mama Yako tapeli nahatusemi
@robertphilip3852 ай бұрын
@@Shemahonge-ku7xx msambaa utamjua tu wewe ni wale wale Hoya Hoya Yani hujui kitu Kila unachoambiwa na Ahmed Aly unaona nisawatu
@zawadiibrahimuseme14822 ай бұрын
utakuwa unashida wewe sio bure
@motexmotwash64882 ай бұрын
Yanga anaharibu sn mpira wa bongo halafu Tff wanaangalia tu siku FIFA wakija kujua haya madudu madudu kutakuwa na madhara makubwa sn kwa yanga Tff na mpira wote wa bongo.
@danielmallongo68412 ай бұрын
Mwanasheria wa fifa anaongea kiswahili tena
@jimmymnuano71652 ай бұрын
Swali je ? Kuna watu wanaweza kuthamini tim zisizo na afya kimichezo ? Hilo ndiyo swali kubwa kwangu au ndiyo mnategemia hao wakina mzee Magoma ? Kwa sababu kama wachezaji wa hizo zilizobaki wategemee zicheze na Simba au Yanga ndiyo zitegemee pesa za mlangoni wapewe wachezaji kiukweli mtauuwa mpira Tanzania itakuwa mechi zote zichezwe Dar tu ili zipatikane pesa za kulipa wachezaji hivyo
@wimranpatrick2 ай бұрын
Wasajili waache keleeele
@abujumanne75702 ай бұрын
Hivi nimjinga gani hataelewa kua hiyo ni ujanja wa GMS...lhef ilikua inamfunga kila mwaka akaona achukue..ili isimfunge
@robertzamani56122 ай бұрын
Gsm akijitoa kuzidhamini hizi klabu ushindani utakosekena kwenye ligi,pia Kuna baadhi ya timu zitashindwa kusafiri kwenda kwenye michezo mbali mbali
@kambalekambale5412 ай бұрын
Ngojeni vilabu vikose udhamini zitafungwa mpaka kumi
@RahimMahadi2 ай бұрын
B4 gsm hivyo vilabu vilijiendesha vp
@salimmalaka2562 ай бұрын
WAFUNGWE HATA 20 USENGE MSITULETEE NGURUWE WALA MIHOGO NYIE
@selemanikazembe91342 ай бұрын
Hivi huyu jamaa yuko vzuri kweli kwenye haya anayozungumza?suala la fedha chafu kamwe haliwezi kuwa kwenye jurisdiction ya tff,hatuwezi weka kanuni based on tuhuma,tofautisha udhamini na umiliki.unaongea kiingereza kingi lakini hoja huna. Huwezi compare biashara ya mpira kule epl na kwetu,tuko ktk stage ya transition,hivi mpira wetu totally ni professional?je sheria ya BMT inaiutambua mpira wetu kuwa ni wa ridhaa au professionals?
@reginaldmapunda67022 ай бұрын
Ubovu wa Simba hauwezi kurekebishwa na kanuni za TFF. Simba wanafigisu nyingi na TFF wameisaidia sana Simba kwa sababu viongozi wengi wa TFF ni mashabiki na wapenxi wa Simba na ukiona hili limeanza kuongelewa kwa nguvu namna hii ujue TFF wapo njiani kuwasaidia Simba na muda sio mrefu hii kanuni utaiona inaanza kutumika lakini jee TFF inauwezo wa kuwapa wadhamini timu ambazo GSM atalazimika kuziacha? Sheria za kupanga matokeo zipo na hakuna timu iliyo ilalamikia Yanga kuwa inapanga matokeo kwa sababu ya GSM kudhamini timu nyingi. Kifupi Simba peke yake ndio timu inayolalamika na hakuna timu nyingine inayowaunga mkono na hii ni wazi kuwa hii hoja ni ya kibiashara kati ya MO vs GSM kupitia Yanga na Simba, hii sheria haitasaidia soka letu bali itamnufaisha MO kwa vile vinywaji bidhaa zake zitendelea kuwa na soko kwani kwa sasa mashabiki wa Yanga hawanunui tena bidhaa za MO na wale wa Simba haWanunui bidhaa za GSM lakini matangazo ya biashara ya GSM yamepata wapenzi wengi na biashara zake zinasoko kubwa kuliko zile za MO. Kwa hiyo kinachotokea ni kulaximisha kupunguza kasi ya biashara za GSM na sio kweli kwanba ni kupanga matokeo na inawezekana hao wanaopiga makelele wanapewa kitu na MO. Azam,Simba zote zimefungwa na Yanga sio kwa sababu wanadhaminiwa na GSM bali ni kwa sababu ya kuzidiwa kiufundi na Yanga na bado Ihefu ikaifunga Yanga licha ya kudhaminiwa na GSM. Simba waache mpira wa chuki na hila na badala yake watafute viongozi wanaojua mpira. Kaizer chief, Gallaxy, Redarrows, Vital O, Azam, Simba nk. ndani ya mwezi mmoja zimefungwa na Yanga na hakuna timu hata moja inayodhaminiwa na GSM.
@desolz38092 ай бұрын
Mgazeti wote huo mimavi mitupu
@IlhamKhalid-mt3jp2 ай бұрын
Mavi ya mama yake msenge uyoo akafirwee na gsm
@salimmalaka2562 ай бұрын
BINTI MAPUNDA AKILI ZAKO ZA KIPUNDA BORA UTOMBWE UTATULIYA UNA NJAA YA MBOO 😂😂😂😂😂😂 SUPU CHAPATI FC WEWE 😂😂
@hassanomar81572 ай бұрын
Upumbav mtupu
@issaalfani10302 ай бұрын
Mafanikio ya young African sport club yamekuwa nongwa kwao mbona GSM alikuwepo kipindi wanabeba ubingwa na mbona Mo aliwahi kudhanini Timu zaidi ya sita nani ali lalamika wamepata nongwa
@AmeMahmoud2 ай бұрын
Mnaonaje gsm akaacha kudhamini mpira nchini si itakua vizuri kwa upande wa simba
@nbwchannel49972 ай бұрын
Daah itakua vzr sana wewe umenena
@salimmalaka2562 ай бұрын
KWANI HUU USHENZI MNAMFANYIA SIMBA NGURUWE WALA MIHOGO NYIE.
@janiaoma70932 ай бұрын
Watu kama Hawa ndio wanao rudisha nyuma maedeleo ya mpira
@SaidAlly-uh4qw2 ай бұрын
Huyu simba anaonekana wazi
@FahadAbubakari2 ай бұрын
Huyo ni mwanasheria wa fifa anachoongea ni actuality shida watz mnaushabiki wakipuuzi usio na maarifa hii iko kwenye mpira na hata siasa , Leo unaongea ivyo kwakua we yanga angefanya hivyo simba au azam na akawa bingwa na wewe usingekubaliana mko wepesi sana kusahau vitu kwa furaha ya Leo tu
@BoniphasLukas-c3c2 ай бұрын
Kwakua anasema ukwel naww pia yanga ndiomana unaona nisawa nampira wenu wakienyej sheria zikifanya kaz mtateseka mabwege nyie
@RahimMahadi2 ай бұрын
Mnataka kila dhambi yenu ionekane tukufu
@johngerald47392 ай бұрын
Acha ushabiki wa hovyo mbona azam ana miliki timu ya ligi kuu na amedhamini timu zote za ligi au azam hausiki ni GSM tu basi azam isitishe udhamini abaki na azam yake kama Mo
@salimmalaka2562 ай бұрын
MSHAMBA HUJUWI USEMALO WEWE
@sallyeliya52132 ай бұрын
Jiandaeni vzr tu,itakuwa atakae sema Singida kauza mechi ndo mana kapigwa2,unasubiliwa wewe then,unapigwa kono la nyani😂😂