MWANASHERIA WA FIFA AISHUKIA TFF/GSM KUDHAMINI VILABU SABA SIO LA KUPUUZWA/SIMBA WANA HOJA

  Рет қаралды 47,704

Numbers Tv

Numbers Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 169
@hamisally9255
@hamisally9255 2 ай бұрын
Mwanasheria uko sahii tff wanapewa bahasha na huyo gsm
@HawaMkomwele
@HawaMkomwele 2 ай бұрын
TFF leteni kanuni inayoruhusu mdhamini mmoja kudhamino vilabi zaidi ya 6 maana mmesema hakuna kanuni inayomzuia mdhamini kudhamini vilabu 6
@mwana-dodomamedia9111
@mwana-dodomamedia9111 2 ай бұрын
Kwakawaida ukiona mashabiki fulani wanafurahia huu udhamini wa timu 7, ujue wanafaidika na hili
@HawaMkomwele
@HawaMkomwele 2 ай бұрын
Mwanasheria hao TFF wanapewa bahasha hao
@husseinmussa9471
@husseinmussa9471 2 ай бұрын
Nikweli
@maximillianmubashi7328
@maximillianmubashi7328 2 ай бұрын
Kwa jambo hili kusema kweli kwa akili ya kawaida tu lazima TFF walitazama. Hata kama sheria zao zinaruhusu itakuwa ni kati ya sheria mbovu ilekebishwe
@BorsaAktar-r6c
@BorsaAktar-r6c 2 ай бұрын
Young Ruth Davis Cynthia Gonzalez Brian
@KASSIMSHEHEMBA
@KASSIMSHEHEMBA 2 ай бұрын
Kuna upangaji wa matokeo ,ndio maana mtu anasema Yanga itakuwa bingwa Tena anajua ana uhakika kupata point 36 Kwa hizo timu kabla ya ligi kuanza rushwa hakuna ligi hapa
@pdaxofficial3144
@pdaxofficial3144 2 ай бұрын
Watanzania tuliowengi bendera fuata upepo bayarne Munich kule ujerumani wamedhaminiwa na tajiri mmoja timu kumi ktk ligi yao ya ujerumani, mnasema GSM kwa kuthamini timu saba mbona kawaida sana hiyo, Huyu ni mdhamini sio mmiliki wa Tim, Fuatilieni mpira wa wenzetu sio kupoteza muda na kutumalizia bando zetu kusikiliza ujinga..
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 Ай бұрын
Mwanasheria jiulize kama Yanga inamilikiwa na GSM ni Sawa ila GSM sio mmiliki wa yanga
@shabanmwegole189
@shabanmwegole189 2 ай бұрын
Andaa timu yako vizuri kupambana na yanga
@mwana-dodomamedia9111
@mwana-dodomamedia9111 2 ай бұрын
Tunaandaa timu ya kuchukua ubingwa wa shirikisho siyo kupambana na timu isiyowahi kuingia hata top ten Africa 😂😂😂😂😂😂
@titongholo6261
@titongholo6261 2 ай бұрын
Jibu sahihi la kwa nini Simba wanalalamikia udhaminiwa GSM ni kwamba Simba ndio mpinzani mkuu wa Yanga. Yaani unategemea hizo klabu zingine zitalalamika wakati si wapinzani halisi wa Yanga
@jumasuleymani
@jumasuleymani 2 ай бұрын
0:40 0:41 0:41 0:44 0:44
@mirajikawimba8648
@mirajikawimba8648 2 ай бұрын
Tff.apo mmebolongaa Sana .katba hiyo mmeipata wapi.?!
@justusn.timothy3587
@justusn.timothy3587 2 ай бұрын
TFF Wanatakiwa kujua kuwa iwapo hawana Kanuni za kusimamia Udhamini wa Club, zile za CAF na FIFA zinatumika kama "Mwongozo".
@FrankGabriel-ti7lw
@FrankGabriel-ti7lw 2 ай бұрын
Wanatualibia ligi yetu siyo sawa kuzamini timu saba
@NkondokayaJoe
@NkondokayaJoe 2 ай бұрын
Zile bilioni 1.5 za GSM kwa vilabu vya ligi kuu msimu wa 2021/22, ambayo SIMBA SC iligomea udhamini huo.GSM walitangaza kujitoa na kuomba kurejeshewa pesa yao,hilo suala liliisha vipi? Na vilabu vilivyokuwa vikilalamika kuhusu kutangaza logo hiyo vilipewa pesa hiyo?
@HenryNdaigaTanzania
@HenryNdaigaTanzania 2 ай бұрын
Mnataka timu zingine ziwe njaa ili ligi iwe yahovyo
@jumasuleymani
@jumasuleymani 2 ай бұрын
Tatizo kufungwa goli nyingi au? Vp na Clab Bingingwa Gsm amedhamini?
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 2 ай бұрын
Hatuna imani na tff hata kwenye swala la lawi wamechangia kisa wao ni costali
@DaudLucas-qj3mp
@DaudLucas-qj3mp 2 ай бұрын
Tff acheni kutuhalibia ligi mtu atazaminije timu saba
@AlonimwelemiJumla
@AlonimwelemiJumla 2 ай бұрын
Vilabu vingi havipingi kwasababu avina ushindani wakuchukua kombe isipo kua zinapingana kuto shuka daraja anae umia ni simba anae gombania ubingwa tff kunanuka hongo za gsm tu
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp 2 ай бұрын
Babu usieleze sana kiufpii GSM ananunua vilabu hakuna sheria hiyo kupata matokea na katoa rushwa TFF wanashirikiana lkn tumejiona ni jins gan anapat matokea
@RogersKusaga-d8u
@RogersKusaga-d8u 2 ай бұрын
Hicho kitu kinaniumiza kichwa yanga kudhamini timu 7
@munirramadhan4435
@munirramadhan4435 2 ай бұрын
Hii nchi ina ujinga mwingi sana Simba na yanaga walikua mzamini wao ni Sport pesa milikua wapi nyie wajuzi wa sheria
@CharlesNazi
@CharlesNazi 2 ай бұрын
Jee mbona hamuongei kuhusu Azam?
@LucianaJoachim
@LucianaJoachim 2 ай бұрын
Tatizo wote mlioandika maneno ya walaka wasenge wa jangwani hamna hoja ya msingi zaidi ya kuifunga simba, mnanunua kuhonga wachezaji wa timu, umenunua bidhaa za MO, atauza imeacha kununua atauza, sisi simba hatuna akili kama zenu za kususia bidhaa ya gsm, ila nyinyi wasenge malaya mtajijua wenyewe na Roho zenu mbaya kama sumu
@drjbmsige4098
@drjbmsige4098 2 ай бұрын
Yaani kama hamsajili wachezaji mnajificha kwenye uwekezaji wa GSM haki ya Mungu mtafungwa hadi mjambe moto
@SospeterJackson-v9o
@SospeterJackson-v9o Ай бұрын
Marefa na Tff wote ligi iongozwa kwa rushwa
@SaidiAlly-f4d
@SaidiAlly-f4d 2 ай бұрын
Azam anadhamini vilabu vingapi? Na ana timu yake pia ya Azam, Hivi mambulula wanaopiga kelele kuhusu udhamini wa GSM hili swali hamuwaulizi? Basi na Azam JE?
@janeshija6638
@janeshija6638 2 ай бұрын
Ujanja wa GSM ni kupata points 18 kwenye hizo timu. K.M. ziifunge Simba kwa nguvu zote kwa Yanga zilegeze isifungwe ili wachukue hizo points 18 kwa hizo timu 6. Huo no ujanja na kujifanya hizo timu zisiweze kusonga mbele. Huo ujanja SIMBA imeuona. Hizo timu jitahidini muifunge YANGA msikubali kifanywa MATEJA kwa YANGA.
@amourgwabananga1543
@amourgwabananga1543 2 ай бұрын
Kwahiyo nasimba ili rgeza maana hata yenyewe imewafunga!
@amourgwabananga1543
@amourgwabananga1543 2 ай бұрын
CHizo sio hoja gsm toeni uthamini acheni uswahili!
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c 2 ай бұрын
​@@amourgwabananga1543wezombi kwel
@ibrahimmtoni1863
@ibrahimmtoni1863 2 ай бұрын
Ajabu na ukweli Simba wameshindwa kuifunga yanga wanawaambia timu zingine zijitahd kuifunga yanga ujinga wa kiwango cha juu kbs
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
TIMU 7 SIO 6 POENTS 42 WASHENZI SANA MATOPOLO
@EdsonRaphael-l5x
@EdsonRaphael-l5x 2 ай бұрын
Kwakwel uzamin wa gsm kwanamna yoyote kuzamini liki yetu haufahi
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 2 ай бұрын
Hivi Ile Sheria ya kunyang'nywa point IPO?Kama IPO tff wasnze KAZI,Msimu huu😂😂😂
@munirramadhan4435
@munirramadhan4435 2 ай бұрын
Uwoga wenu ni Yanga sio kanuni wapuuzi Azam kazamin ligi yote mbona ubingwa unamtoa jasho achukue ubingwa kaweka bikin 360 na anatimu kwenye ligi vipi hapo wapiga kelele Azam hawamuoni😅😅😅😅
@drjbmsige4098
@drjbmsige4098 2 ай бұрын
Mwanasheria mpuuzi tuu naye kwanini mlalamishi ni simba tuu.. kwanini hajadiliwi azam?
@KASSIMSHEHEMBA
@KASSIMSHEHEMBA 2 ай бұрын
Tff hii imechoka imejaa rushwa uzamini timu sita aibu tupu
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 2 ай бұрын
Umetapeliwa Nini na wew mbona mihemko. njoo ue kiongozi wa simba
@JonathanMGAIWA-ow4py
@JonathanMGAIWA-ow4py 2 ай бұрын
Simba ndio mlengwa wa huu utapeli wengine wanatumika tuu
@mikidadmhando2504
@mikidadmhando2504 2 ай бұрын
KAMA TFF HAILIONI HILI NI RUSHWA,BASI GSM KALETA RUSHWA KIAINA ILI AWEZE KUPANGA MATOKEO KWA KUNUNUA MATOKEO
@salimmbilu4524
@salimmbilu4524 2 ай бұрын
Aanzishe ya kwake atuachie yanga yetu
@AndreaMsamche
@AndreaMsamche 2 ай бұрын
GSM stanunua amechi za mtu zote alizozami takukuru mko wap watu wanapeana rushes hazaran
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 2 ай бұрын
ALAFU HATA FIFA HIYO UNAYOSEMA UNAKUWA MUONGO MAANA FIFA WANAKATAZA MTU AU KAMPUNI MOJA KUMILIKI TIMU ZAIDI YA MOJA KTK LIGI MOJA NA SI KUDHAMINI....HIVY0 HAYA YOTE NI MANENO YA WAKOSAJI
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 ай бұрын
Huo ni ukweli kabisa, hapo kazima kuwepo na conflicts of interest
@johngerald4739
@johngerald4739 2 ай бұрын
Mbona simba hadhaminiwi na GSM lakini anapokea kipigo na azam pia
@ExpedithoThomas
@ExpedithoThomas 2 ай бұрын
Embu mtupe ufafanuzi na uzamini wa azam pia msiangalie kwa yanga pekee kama mnazijua sheria tupeni ufafanuzi na huo uzamin wa azam pia
@adewaleijele
@adewaleijele 2 ай бұрын
watu hawapendi ukweli maana hapo kwenye hoja ya mdhamini haipo sawa kuna conflict of interest
@Amosmakuba-r2k
@Amosmakuba-r2k 2 ай бұрын
uozo wa tff
@fidelisjoseph-tt9zl
@fidelisjoseph-tt9zl 2 ай бұрын
Kuna polisi Tanzania>jkt Tanzania moja tuu
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 2 ай бұрын
Tatizo la nchi etu kila sehemu watu wako kimaslai Tff wanajua wanajua wanachukua hela kwa Gsm ndomana wapokimya wameziba maskio
@edwardkishiwa3296
@edwardkishiwa3296 2 ай бұрын
Adidas ni sehemu ni wamiliki wa Bayern Munich, na bado ana fadhili vilabu vingine 10 7:23 je FIFA hawaoni ??
@RamadhanAlly-qg9hq
@RamadhanAlly-qg9hq 2 ай бұрын
Kuna watu kwenye coment wanabishana na sheria na ndioo maana sisi tunajua pale walio na akili wawili tu
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 2 ай бұрын
Hi yanga inasema yanga bingwa miaka5 wanajua wamefanya nini ndiyo maana wana uhakika
@RobertSiwavula-jj4pj
@RobertSiwavula-jj4pj 2 ай бұрын
Tunaomba wenye mpila wao watusaidie man tff hajaerwek mpl unapotez laz. Kam mpil tuachan namashabi wavilabu tuongee namashabik wampila
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
SHOGA MKUBWA WEWE 😂😂😂😂😂
@PaskaliEdimundi
@PaskaliEdimundi 2 ай бұрын
Mwanasheria kafafanua vizuri
@RamadhanAlly-qg9hq
@RamadhanAlly-qg9hq 2 ай бұрын
Shida yanga timu hii ni ya wahuni wengi
@HamisiMtengwa
@HamisiMtengwa 2 ай бұрын
Tunachotaka kujua upo uhalali mdhamini mmoja kudhamini zaidi ya klabu kimoja
@yusufufikiri5005
@yusufufikiri5005 2 ай бұрын
Kwanza matapeli tu. wezi wakubwa hawa. Wahuni tu GSM kwani ni nani mpaka anaisumbuwa tanzania?
@HarrisonFanuel-ir1kr
@HarrisonFanuel-ir1kr 2 ай бұрын
Hee!
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 2 ай бұрын
MwanasheriUmeongea VIZURI sana MPIRA WETU SASA RUSHWA IMEKITHIRI.MAZINGIRA YAPO WAZI TAZAMA SIKU YA KUTAFUTA MFUNGAJI BORA WA LIGI YETU.GSM,TFF SASA BINGWA HANAJULIKANA.
@josephatkajange8714
@josephatkajange8714 2 ай бұрын
TFF imewekwa mfukoni mwa Yanga! Hii ni Tanzania bwana!
@kazimotomaswi9700
@kazimotomaswi9700 2 ай бұрын
Ingekua ni Mo serikali ingeongea maana hawana shea
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 2 ай бұрын
Wamekamatwa pabayaaaaaa
@kazumarihokororo9153
@kazumarihokororo9153 2 ай бұрын
Ametulia kuongea lkn utumboo tupuuu Aeleweki yupo tu kishabiki
@BASHIRINAMYUNDU-dv5ff
@BASHIRINAMYUNDU-dv5ff 2 ай бұрын
Kwan GSM akikosa kuzizamini timu faida kwa nani tunaambiwa mpira ni kuekeza sasa wadau wanawekeza ili gape lisiwe kubwa kuna wapuuzi wanaona sio sawa kisa tu GSM Kwan moo nayeye si awazamini izo timu nyingine
@xadygenious414
@xadygenious414 2 ай бұрын
Jitahidi upate Elimu elimu elimu by Edward ngoyai lowasa
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 2 ай бұрын
Tupeleke FiFA hili swala huu ni uonevu
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 2 ай бұрын
Kumbe ndio maana Yanga anakusanya pointi nyingi za bure za matawi yake
@johnmwita9370
@johnmwita9370 2 ай бұрын
TFF ya tz yenyewe inasheria zao , ukichambua vzri Yani iko kirushwarushwa tu
@EstherMulinga
@EstherMulinga 2 ай бұрын
Wanasimba hangaikeni sn yangu bingwa itaendelea kuwachapa haiteteleki na vijimaneno
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Kwauchawi nakuzamini vilabu vingi mpange matokeo kwakuwa nimshamba enderea
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c 2 ай бұрын
Kwan mbona mnaumia kama haiwazuru nyie mtulie msubiri balaa la fifa mnaona sawa kwakua inawasaidia kupanga matokeo
@RajabuSongoro-ne7mc
@RajabuSongoro-ne7mc 2 ай бұрын
Hili suala!!!lipelekwe Kwa wenye mpira wao FIFA,,,,,,lkn sio wapenda rushwa WA pale karume
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 2 ай бұрын
Umeongea ukweli wale tff wala rushwa tuu
@patrickkazinja4435
@patrickkazinja4435 2 ай бұрын
Huyu kawaje mwanasheria wa FIFA?
@Kanyawela
@Kanyawela 2 ай бұрын
Mbona Azamu kila timu inatoa na kuipa fedha je Azamu anakuwa amenunua mechi?Usimba na Yanga usituharibie soka
@MadieMtimbuka
@MadieMtimbuka 2 ай бұрын
Azam yupo kwenye udhamini wa ligi na sio klabu au baadhi vilabu, jaribu kutofautisha
@Kanyawela
@Kanyawela 2 ай бұрын
@@MadieMtimbuka kwaiyo GSM aliwapa pesa simba ili yanga iwafunge nje ndani?
@MadieMtimbuka
@MadieMtimbuka 2 ай бұрын
@@Kanyawela hoja hapo ipo kwenye udhamini wa vilabu, simba na yanga wanafungana tokea kuumbwa dunia hata ss hatujazaliwa.wapenzi wa soka wanataka fair games
@othumanambae761
@othumanambae761 2 ай бұрын
Kwairi tff wamepuyanga inaonekana wamesha kura mzigowaoo
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 ай бұрын
Na Simba wapeleke mzigo kwa tff
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 ай бұрын
Adidas ana hisa Bayern Munich na pia anadhamini baadhi ya timu nchini ujerumani hapo vp?
@peterkandaya565
@peterkandaya565 2 ай бұрын
Muongo mkubwa wewe, Utopolo hawezi kucheza Mpira ikiwa Kuna fareness Toka Mpira umeanzishwa nchi hii
@renatusrevocatus3895
@renatusrevocatus3895 2 ай бұрын
Adidas hamiliki team.
@dentomedicalresourceslimit4602
@dentomedicalresourceslimit4602 2 ай бұрын
GSM hana Timu. Bado 49% hazijapata muwekezaji.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
MWAMBIE MAMAKO AWEKEZE.
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 ай бұрын
Huyu nae hajui caf champions league mdhamini mkuu ni 1xbet makubaliano yao hawataki kudhamini kampuni yogote ya betting na ndio maana sportpesa hawahitajiki ktk michuano hiyo
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 2 ай бұрын
Huenda suala hili TFF wamejificha ili ionekane ni Simba. GSM achana na Hivyo Vilabu kuvidhamini endelea na YANGA Nia Yao Vilabu viwe omba omba. Tunajua Hao walikuwa wanapa Vilabu hasa Wachezaji Wacheze chini ya kiwango Ndio nia Yao. TFF Muwe wawazi Mpira ni Biashara
@Farida-vg5ry
@Farida-vg5ry 2 ай бұрын
Mpila ni biashara ndio lakini hakuna biashara ilioluhusiwa kuzamini Wala unayokataza kwa maana hiyo hakuna biashara ya hivyo tff hawana kanuni inayomkataza mtu kuzamini Wala inayo mluhusu kuzamini kwa hiyo hakuna biashara GSM kajitengenezea mwanya wa rushwa ndo tafsri yake
@bihogorakaroli9691
@bihogorakaroli9691 2 ай бұрын
Mmmmmm
@chidampiri1012
@chidampiri1012 2 ай бұрын
Viongozi wa vilabu na wanasheria wa vilabu hawajui haya kama wanaijua hizi sheria kwanini wako kimya hivi
@AmanHamisi-q7t
@AmanHamisi-q7t 2 ай бұрын
Gongo wazi povu kama lote😂
@AbdallahMnyiwe-he2zu
@AbdallahMnyiwe-he2zu 2 ай бұрын
Kuna kupanga matokeo
@Kanyawela
@Kanyawela 2 ай бұрын
Simba tokeni adharani sema GSM aliwapa pesa Yanga ikawafunga nje ndani
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
@@Kanyawela mlitumia uchawi mwingi nakununua kilakiwezekanacho marefa baazi yawachezaji irimuifunge simba irikuficha huouozo wenu wauzamini watimu nyingi irimkiurizwa mseme simba pia tumeifunga chezeni mpila uwanjani tushindane
@hamidjuma2178
@hamidjuma2178 2 ай бұрын
Ww said ali una akili adidas ana time gani taja mbona nyinyi mnajifanya hamfahamu wakati unaona kwa nn watu hawakupiga kelele nbc sawa na ayo maneno uloandika😊
@GABRIELBAHANGARWA
@GABRIELBAHANGARWA 2 ай бұрын
Mbona kama kinachoongelewa ni wivu tu kwani hapa Simba anabinywa wapi? Ubunifu wa kimapato nao ukizuiwa maendaleo ya mpira yatapatikanaje?
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 2 ай бұрын
Wewe muulizaji asiyeguswa ataumiaje? Wengine waoga
@amanisebastiani2827
@amanisebastiani2827 2 ай бұрын
Nyie mafala😂
@BWILEMAKOYE
@BWILEMAKOYE 2 ай бұрын
Acheni ujinga yanga chezeni mupila xio vigisu
@SaidMana-dp4et
@SaidMana-dp4et 2 ай бұрын
T f f hawataki kusikia malalamiko ya wananchi kwa hiyo inaonyesha kuna jambo hapo haiwezekani mdhamini azamini timu zote hapo kuna ligi tena? Mbona azam au simba hawadhamini?
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
Simba wanahangaika wakati wanaongozwa na viongozi matapeli
@NasibuAlban
@NasibuAlban 2 ай бұрын
Acha povu mnapata point za mchongo mnadhamini timu ili mpate point za bure
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
@@NasibuAlban vipi hatanyee mlihongwa? Mbona mlitapika pts 6 mkafa magoli 7
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
@@robertphilip385 mbona mama Yako tapeli nahatusemi
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
@@Shemahonge-ku7xx msambaa utamjua tu wewe ni wale wale Hoya Hoya Yani hujui kitu Kila unachoambiwa na Ahmed Aly unaona nisawatu
@zawadiibrahimuseme1482
@zawadiibrahimuseme1482 2 ай бұрын
utakuwa unashida wewe sio bure
@motexmotwash6488
@motexmotwash6488 2 ай бұрын
Yanga anaharibu sn mpira wa bongo halafu Tff wanaangalia tu siku FIFA wakija kujua haya madudu madudu kutakuwa na madhara makubwa sn kwa yanga Tff na mpira wote wa bongo.
@danielmallongo6841
@danielmallongo6841 2 ай бұрын
Mwanasheria wa fifa anaongea kiswahili tena
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 2 ай бұрын
Swali je ? Kuna watu wanaweza kuthamini tim zisizo na afya kimichezo ? Hilo ndiyo swali kubwa kwangu au ndiyo mnategemia hao wakina mzee Magoma ? Kwa sababu kama wachezaji wa hizo zilizobaki wategemee zicheze na Simba au Yanga ndiyo zitegemee pesa za mlangoni wapewe wachezaji kiukweli mtauuwa mpira Tanzania itakuwa mechi zote zichezwe Dar tu ili zipatikane pesa za kulipa wachezaji hivyo
@wimranpatrick
@wimranpatrick 2 ай бұрын
Wasajili waache keleeele
@abujumanne7570
@abujumanne7570 2 ай бұрын
Hivi nimjinga gani hataelewa kua hiyo ni ujanja wa GMS...lhef ilikua inamfunga kila mwaka akaona achukue..ili isimfunge
@robertzamani5612
@robertzamani5612 2 ай бұрын
Gsm akijitoa kuzidhamini hizi klabu ushindani utakosekena kwenye ligi,pia Kuna baadhi ya timu zitashindwa kusafiri kwenda kwenye michezo mbali mbali
@kambalekambale541
@kambalekambale541 2 ай бұрын
Ngojeni vilabu vikose udhamini zitafungwa mpaka kumi
@RahimMahadi
@RahimMahadi 2 ай бұрын
B4 gsm hivyo vilabu vilijiendesha vp
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
WAFUNGWE HATA 20 USENGE MSITULETEE NGURUWE WALA MIHOGO NYIE
@selemanikazembe9134
@selemanikazembe9134 2 ай бұрын
Hivi huyu jamaa yuko vzuri kweli kwenye haya anayozungumza?suala la fedha chafu kamwe haliwezi kuwa kwenye jurisdiction ya tff,hatuwezi weka kanuni based on tuhuma,tofautisha udhamini na umiliki.unaongea kiingereza kingi lakini hoja huna. Huwezi compare biashara ya mpira kule epl na kwetu,tuko ktk stage ya transition,hivi mpira wetu totally ni professional?je sheria ya BMT inaiutambua mpira wetu kuwa ni wa ridhaa au professionals?
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 2 ай бұрын
Ubovu wa Simba hauwezi kurekebishwa na kanuni za TFF. Simba wanafigisu nyingi na TFF wameisaidia sana Simba kwa sababu viongozi wengi wa TFF ni mashabiki na wapenxi wa Simba na ukiona hili limeanza kuongelewa kwa nguvu namna hii ujue TFF wapo njiani kuwasaidia Simba na muda sio mrefu hii kanuni utaiona inaanza kutumika lakini jee TFF inauwezo wa kuwapa wadhamini timu ambazo GSM atalazimika kuziacha? Sheria za kupanga matokeo zipo na hakuna timu iliyo ilalamikia Yanga kuwa inapanga matokeo kwa sababu ya GSM kudhamini timu nyingi. Kifupi Simba peke yake ndio timu inayolalamika na hakuna timu nyingine inayowaunga mkono na hii ni wazi kuwa hii hoja ni ya kibiashara kati ya MO vs GSM kupitia Yanga na Simba, hii sheria haitasaidia soka letu bali itamnufaisha MO kwa vile vinywaji bidhaa zake zitendelea kuwa na soko kwani kwa sasa mashabiki wa Yanga hawanunui tena bidhaa za MO na wale wa Simba haWanunui bidhaa za GSM lakini matangazo ya biashara ya GSM yamepata wapenzi wengi na biashara zake zinasoko kubwa kuliko zile za MO. Kwa hiyo kinachotokea ni kulaximisha kupunguza kasi ya biashara za GSM na sio kweli kwanba ni kupanga matokeo na inawezekana hao wanaopiga makelele wanapewa kitu na MO. Azam,Simba zote zimefungwa na Yanga sio kwa sababu wanadhaminiwa na GSM bali ni kwa sababu ya kuzidiwa kiufundi na Yanga na bado Ihefu ikaifunga Yanga licha ya kudhaminiwa na GSM. Simba waache mpira wa chuki na hila na badala yake watafute viongozi wanaojua mpira. Kaizer chief, Gallaxy, Redarrows, Vital O, Azam, Simba nk. ndani ya mwezi mmoja zimefungwa na Yanga na hakuna timu hata moja inayodhaminiwa na GSM.
@desolz3809
@desolz3809 2 ай бұрын
Mgazeti wote huo mimavi mitupu
@IlhamKhalid-mt3jp
@IlhamKhalid-mt3jp 2 ай бұрын
Mavi ya mama yake msenge uyoo akafirwee na gsm
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
BINTI MAPUNDA AKILI ZAKO ZA KIPUNDA BORA UTOMBWE UTATULIYA UNA NJAA YA MBOO 😂😂😂😂😂😂 SUPU CHAPATI FC WEWE 😂😂
@hassanomar8157
@hassanomar8157 2 ай бұрын
Upumbav mtupu
@issaalfani1030
@issaalfani1030 2 ай бұрын
Mafanikio ya young African sport club yamekuwa nongwa kwao mbona GSM alikuwepo kipindi wanabeba ubingwa na mbona Mo aliwahi kudhanini Timu zaidi ya sita nani ali lalamika wamepata nongwa
@AmeMahmoud
@AmeMahmoud 2 ай бұрын
Mnaonaje gsm akaacha kudhamini mpira nchini si itakua vizuri kwa upande wa simba
@nbwchannel4997
@nbwchannel4997 2 ай бұрын
Daah itakua vzr sana wewe umenena
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
KWANI HUU USHENZI MNAMFANYIA SIMBA NGURUWE WALA MIHOGO NYIE.
@janiaoma7093
@janiaoma7093 2 ай бұрын
Watu kama Hawa ndio wanao rudisha nyuma maedeleo ya mpira
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 ай бұрын
Huyu simba anaonekana wazi
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 ай бұрын
Huyo ni mwanasheria wa fifa anachoongea ni actuality shida watz mnaushabiki wakipuuzi usio na maarifa hii iko kwenye mpira na hata siasa , Leo unaongea ivyo kwakua we yanga angefanya hivyo simba au azam na akawa bingwa na wewe usingekubaliana mko wepesi sana kusahau vitu kwa furaha ya Leo tu
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c 2 ай бұрын
Kwakua anasema ukwel naww pia yanga ndiomana unaona nisawa nampira wenu wakienyej sheria zikifanya kaz mtateseka mabwege nyie
@RahimMahadi
@RahimMahadi 2 ай бұрын
Mnataka kila dhambi yenu ionekane tukufu
@johngerald4739
@johngerald4739 2 ай бұрын
Acha ushabiki wa hovyo mbona azam ana miliki timu ya ligi kuu na amedhamini timu zote za ligi au azam hausiki ni GSM tu basi azam isitishe udhamini abaki na azam yake kama Mo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
MSHAMBA HUJUWI USEMALO WEWE
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 2 ай бұрын
Jiandaeni vzr tu,itakuwa atakae sema Singida kauza mechi ndo mana kapigwa2,unasubiliwa wewe then,unapigwa kono la nyani😂😂
"Nilihisi mimi ni sauti ya watu wenye sauti zisizosikika”
49:38
BBC News Swahili
Рет қаралды 16 М.
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 33 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 16 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН