Unataka kutuunga mkono? Unawezakutuchangia ukiwa popote pale duniani. Bofya hapa chini kutuchangia; flutterwave.co...
Пікірлер: 21
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Muwe munaweka data jinsi ya kujiunga na Wagner basi tupo wengi tunahitaji hilo
@ZuberySeleman Жыл бұрын
Hata mm
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@ZuberySeleman umeona ehh sisi tumechoka mambo ya bandari.Muda mwengine unakua upo sirias na nchi yako lakini nchi yenyewe haipo sirias.Acha tujiajiri vijana Wagner waanzishe tawi pande hizi za Mashariki tupo wengi sana
@Ebendentalclinic Жыл бұрын
nimefuatilia makala hii,nimeelewa vitu vingi ambavyo sikua navijua.
@bishweko8 ай бұрын
Hivi kati ya Russia na US nani tuwe nae ktk ulinzi Africa?
@AyubuIbrahim-u8v7 ай бұрын
Russia
@kizabushiri2082 Жыл бұрын
Sio kwamba putin anaisaidia Africa apana bali ameboresha mbunu za kuinyonya Africa tu! Hao wazungu ni multsystem sana katika kuinyonya Africa. Tunajifanya kufarijika kwasababu aliye tunyonya sana alifika mpaka kwenye mfupa ila ukweli nikwamba wote niwezi tu!
@BrianKibako6 ай бұрын
Hiii grup tunaiiitaji kujisajili Rasmiiii tupo2 na hiii Grup hatupooo tinaiiitaji waje uku Afrika Masharikiiii😂😂😂❤❤
@hmmarjabi428310 ай бұрын
Nilikua natazama wagnwr mara pap pap najikuta Nipo sudan saa nzima
@ShindanoDjumaMusindi Жыл бұрын
Good ila kwenye opération Granit , aukuweka sawa , umesema kama alikua ni mtu ila ilikua ni jina ya opération n'a iyo opération ndo iliyo tokomeza wana jihad , apa abibu anga hakufanya utafiti vizuri Lakini asante kwa mada 80%
@NdengaLaswai Жыл бұрын
Mimi hakokasauti tu heeeeeee najua kuna jambo laxima uwe makini kuskiliza
@theophilwisdom2308 Жыл бұрын
The Best Storyteller Ananias Edger
@thomangwanyama7122 Жыл бұрын
Mbona akuna sauti
@Baba_Ben. Жыл бұрын
Mwenye link ya makala ya CARGO 200 niwekee please
@fredyijumba1023 Жыл бұрын
Ananias una utafiti ulioenda shule
@MpalestinaPeter-bv8oh Жыл бұрын
Baraaa
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Yeye si usalama wa Habari
@dullkulucha5745 Жыл бұрын
Safi sana umeeleeweka mkuu
@sammysammy2001 Жыл бұрын
Uko vizuri broo❤❤🎉🎉🎉
@hansmsangi9828 Жыл бұрын
Nashanga kitu 1 hii story ndefu ya kuwa watu walikuwa wanatoka Africa kwenda Ukraine ina maana wenyewe walikuwa hawajui hili unalosena kuwa kuna watu wanakuja manake najiuliza ww umejuaje?