The Story Book : Yesu Alipotelea Wapi Miaka 18 Ambayo Maandiko Hayamuongelei?

  Рет қаралды 1,046,177

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 1 500
@sporthighlights9563
@sporthighlights9563 2 жыл бұрын
Uishi Sana brother Jamal uendelee kutupa maarifa God bless you 🙏 tujuane tunayemwombea miaka mingi brother jamar miaka mingi kwa like hapa.
@Metusi
@Metusi 2 жыл бұрын
Sasa like za nn..!? Tujuane kwann..!?
@sporthighlights9563
@sporthighlights9563 2 жыл бұрын
Tujuane tunayemkubal professor
@DavieArmsty
@DavieArmsty 5 ай бұрын
ℌ𝔞𝔨𝔲𝔫𝔞 𝔪𝔞𝔞𝔞𝔯𝔦𝔣𝔞 𝔥𝔞𝔭𝔬 𝔦𝔳𝔶𝔬 𝔥𝔱𝔞 𝔫𝔶𝔦𝔢 𝔪𝔫𝔞𝔧𝔲𝔞 𝔪𝔴𝔦𝔰𝔥𝔬 𝔴𝔞 𝔡𝔲𝔫𝔦𝔞 𝔶𝔢𝔰𝔲 𝔫𝔡𝔦𝔢 𝔞𝔱𝔞𝔪𝔞𝔩𝔦𝔷𝔞 𝔨𝔴𝔞 𝔨𝔲𝔯𝔢𝔧𝔢𝔞 𝔨𝔴𝔞𝔨𝔢 𝔪𝔢𝔞𝔫𝔦𝔫𝔤 𝔥𝔢'𝔰 𝔞 𝔰𝔲𝔭𝔢𝔯𝔫𝔞𝔱𝔲𝔯𝔞𝔩 𝔟𝔢𝔦𝔫𝔤 𝔨𝔴𝔞𝔫𝔦 𝔥𝔞𝔡𝔦 𝔶𝔢𝔶𝔢 𝔞𝔰𝔬𝔪𝔢 𝔫𝔢𝔫𝔬 𝔞𝔲 𝔶𝔢𝔶𝔢 𝔫𝔡𝔦𝔬 𝔞𝔣𝔲𝔫𝔷𝔢 𝔥𝔢𝔢𝔢𝔢𝔢𝔯 𝔪𝔨𝔬 𝔤𝔯𝔢𝔢𝔢𝔫 😢😢😢😢
@martinhit400
@martinhit400 2 жыл бұрын
Kama unaamini mungu Yupo basi nipeni like 🙏
@officiallcoolest_khid3223
@officiallcoolest_khid3223 2 жыл бұрын
afu utazila au
@alphabusara8710
@alphabusara8710 2 жыл бұрын
We likes zinakusaidia nn mzee😂😂
@alphabusara8710
@alphabusara8710 2 жыл бұрын
Ushamba huo bobuuu
@jumaabas6837
@jumaabas6837 2 жыл бұрын
Zinakusaidia nn
@mastaplan
@mastaplan 2 жыл бұрын
Acha kuwapa watu zambi je unataka kuniambia hizo like zako na views ni sawa???? Acha kutupa zambi za namna hiyo....Futa hii comment hakika utaulizwa ulikuwa na maana gani KUANDIKA MANENO HAYO?
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 2 жыл бұрын
Amen Amen Amen nina imani kua Mungu yupo nakilasiku namuona kupitia matendo na makuu yake 🙏🙏kama unaamini kama mimi like hap jmn
@eddy_dejongeddie1431
@eddy_dejongeddie1431 2 жыл бұрын
Kama unaamini Mungu yupo nipe like na weka neno Ameni🙏🙏
@blandinemasilya9889
@blandinemasilya9889 Жыл бұрын
Amina
@amabokochaloo-ql9mk
@amabokochaloo-ql9mk Жыл бұрын
Mungu yupo milele ndio mkuu wa wakuu mfalme wa waflme mungu mkuu
@ZENIZER9797
@ZENIZER9797 Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN
@stellazawadi1088
@stellazawadi1088 Жыл бұрын
Ameni
@josephnjoroge1533
@josephnjoroge1533 11 ай бұрын
Amen
@bensonbarnaba1431
@bensonbarnaba1431 2 жыл бұрын
KAMA UNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO BINADAMU , Gonga like👍
@blandinemasilya9889
@blandinemasilya9889 Жыл бұрын
Ndiyo! Na amini ivo kbs
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 Жыл бұрын
Yesu ndio tegemeo langu
@rayyanothumanmohammed8261
@rayyanothumanmohammed8261 9 ай бұрын
Hata mm na ww pia ni mwana wa mungu kwa mujibu na maneno ya Yesu Yohana 20:17
@saddybrezzy9777
@saddybrezzy9777 6 ай бұрын
Mungu akusamehe
@InnocentMikhailo-k2b
@InnocentMikhailo-k2b 5 ай бұрын
@mamuoman7849
@mamuoman7849 2 жыл бұрын
Kama unaamini Yesu ni nabii toa like tujuane waumini wa kweli👍
@danielmlwafu4380
@danielmlwafu4380 2 жыл бұрын
Unabii unatoka kwake
@naweytagawa
@naweytagawa 2 жыл бұрын
Na'am masii Issa bin mariam
@sumayimahule2748
@sumayimahule2748 2 жыл бұрын
Yesu mwana wa Mungu aliye hai
@mamuoman7849
@mamuoman7849 2 жыл бұрын
@@sumayimahule2748 sisi waislam tunajua kama Yesu hayupo hai Alishapaa mbinguni long time... Uhai wake ni upi ndug wakat mnasema aliuliwa msalabani
@simeonmimuofjudahfirstmedia
@simeonmimuofjudahfirstmedia 2 жыл бұрын
He is not just a prophet ,,,but almasihi
@issamakau5841
@issamakau5841 2 жыл бұрын
Hata ikiwa ni ukweli Yesu aliwahi kusafiri nchi hizo ila sio kwa ajili ya kutafuta elimu sababu tayari alikuwa mwenye upeo wa juu aliojaaliwa na Mungu hata alipokuwa mchanga alipomtetea Mama yake kwenye shutma za uzinzi...Mungu ndiye aliye mkhiari na kumpa elimu hiyo angali mtoto na hivyo kwenye usafiri aloufanya,Mungu alikuwa yuathibitisha ubinadamu wake na na si eti alikuwa yuaitafuta elimu...Naomba upafanyie research zaidi hapo ili usijejipata ukipotosha wengi kwa kupitia vitabu vya watu wasomjua Mungu na kuwafanya kama mashahidi wa Historia ya Yesu... Shukran kwa research Ila usiegemee sana vitabu walivyoandika watu unaposimulia visa vya Manabii
@yesuyuhaipectv9176
@yesuyuhaipectv9176 2 жыл бұрын
Ninashukuru sana kwa ushauri uliotoa ( kwa hiyo anataka kusema Yesu alisomea kutembea juu ya maji.)
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 2 жыл бұрын
hata sasa hivi tunaona wasomi wakubwa hapa duniani bado wanaitafuta elimu, unapo zani wajua ndipo unajikuta ujui, pia hakuna sehemu inayo sema alikua akitafuta elimu tu badi alikuwa akiwafundisha pia, umelewa?
@castorymagehema8429
@castorymagehema8429 2 жыл бұрын
Nimependa ulicho andika
@Markhomestz
@Markhomestz 2 жыл бұрын
Ukimsikiliza vizuri Kwanza hajabase na nadharia yoyote Pili hajasema alikuwa anajifunza bali alikuwa anawachallenge na kila alipo pita wanashangazwa na upeo wake
@jacksonsimbibalegana7758
@jacksonsimbibalegana7758 2 жыл бұрын
@@sleeprelaxation8431 😀
@richardkonzo5717
@richardkonzo5717 2 жыл бұрын
Ushauri wangu kwako Jamal! Achana na story za Yesu kwenye story book. Waachie Theologians, na wahubiri.zungumzia story zingine kabisa.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Yes u are right, watu wengi ana wapotosha
@Ezammwakisambwe
@Ezammwakisambwe Жыл бұрын
Anahitaji ashuhudiwe Mana hajui kilicho Cha roho hakitafsiriki kilimwengu/kimwili fixion story
@AlkadoNkundwe-wb3of
@AlkadoNkundwe-wb3of 10 ай бұрын
Waoga wa kweli,, muovu huogopa kweli
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 5 ай бұрын
Kwanini unaogopa changamoto? Hata yeye ajataka kwenda deep kwakukataa mambo kama haya usemayo wewe, Ila soma saana ufunuliwe.
@IsackIsacksamson
@IsackIsacksamson 4 ай бұрын
Wala theologia hawana majibu halisi kumzungumzia Yesu kristo Yesu ni spiritual all of us no one will understand him except who he believe spiritually Yesu hamilikiwi na wanatheologia ni wa kila mtu atakaye amin kuwa Yeye ni Bwana
@thevoiceofdeliverance6061
@thevoiceofdeliverance6061 2 жыл бұрын
Yesu alizaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu aliongozwa na Roho mtakatifu alifundishwa kila kitu na Roho mtakatifu na mwisho wa yote Yeye Ni Mungu ambae alijuwa MAMBO yote ndiyo maana katika umri mdogo miaka kumi na miwili aliwashangaza viongozi wa Dini waandishi na wanazuoni kwa akiri kubwa alikyokuwa nayo.
@kilalasalu361
@kilalasalu361 2 жыл бұрын
Nadhani bado upo gizani
@msangiramadhan1911
@msangiramadhan1911 2 жыл бұрын
Kwaiyo mungu alikuwa anafundishwa
@mastaplan
@mastaplan 2 жыл бұрын
Hiyo miaka mingine alikuwa wapi? Ila Issa ni mtu poa sana
@naahnicky4682
@naahnicky4682 2 жыл бұрын
@@kilalasalu361 ww ndo upo gizan
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
@@kilalasalu361 wewe na Jamal wenu ndo mpo gizani
@tranqyiltranqyil7822
@tranqyiltranqyil7822 Жыл бұрын
Eee Mungu wangu uliye hai,E Yesu kristo ee Roho mtakatifu ikikupendeza funua neema yako anaesoma na ataesoma ushuhuda wangu akujue na akupokee,Amen
@saddybrezzy9777
@saddybrezzy9777 6 ай бұрын
Pole sana NA mungu akusameh
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs 2 жыл бұрын
Nachoamini YESU NI MWANA WA MUNGU❤️😍
@Baharia92
@Baharia92 2 жыл бұрын
Wewe umesema yeye muhusika anasema ni mwana wa adamu
@philipojohn191
@philipojohn191 2 жыл бұрын
😍😍
@violetsangamysongs1815
@violetsangamysongs1815 2 жыл бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu aliyejuu
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
@@Baharia92 wewe unaamini nini... mbili Jamal ni jina la kikristu au kiislam. ...povu ruksa
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@flova7022 jamal ni jina lenye asili ya kiarabu,Kuna majina yenye asili ya kiarabu lakini wenyewe siyo waislam ukitaka kujua hili labda fuatilia nchi za mashariki ya kati mfano Lebanon,Siria,Palestina na Iraq.Kuhusu hilo la Issa(yesu)kuwa mtoto wa Mungu ni suala la imani ya kikristo ambalo siwezi kuliingilia.Kwa sababu naheshimu imani ya wengine,Kwa sisi Waislam tunaamini vingine kuhusu yesu na Kwa upande wa wakristo pia wanaamini vyengine kuhusu yesu(Issah)mlengwa ni mmoja huyo.Kwa waislam pia Tunamuamini yesu(Issah) kama nabii wake na ni moja ya nguzo ya imani ya kwenye uislam,zipo sita mojawapo ni hiyo kuamini mitume na manabii wake,Ukisema mimi yesu(issah)simtak lakini Mussa(moses) ama wengine nawataka automatical utakua umetoka kwenye uislam.Hatubishani ni kupeana tu ama kufahamishana.Mwisho sisi ni watanzania kumkashifu mtu kwa imani yake siyo miongoni mwa jadi ama asili yetu,muasisi wa taifa letu Nyerere alitujenga tuishi kwa umoja mpagani mkristo,muislam na wengine ndiyo maana tumeishi kwa amani mpaka leo.Sema kuna baadhi tu wapo kwenye kuhatarisha amani kama tuonavyo nchi nyengine za wenzetu.🙏🙏🙏🙏
@josephatsebastian6910
@josephatsebastian6910 2 жыл бұрын
Wajumbe leo na mm nimewah nipen like zangu wajumbe
@rehemajohn3553
@rehemajohn3553 2 жыл бұрын
Sawa bhn
@allydavy6919
@allydavy6919 2 жыл бұрын
Kutoka Burundi but naishi Nairobi nampenda huu jama kupitiliza mnipee like plz
@Gospel2Youth
@Gospel2Youth 2 жыл бұрын
Mtoto wa kiume unaomba like,dada ako ataomba nini?
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kiningashukran5177
@kiningashukran5177 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@fadhililipegea4173
@fadhililipegea4173 2 жыл бұрын
Ila we jamaa ni critically thinker
@mpmp3195
@mpmp3195 2 жыл бұрын
🇧🇮
@petermaroaofficial
@petermaroaofficial 2 жыл бұрын
Yesu ndiye njia kweli na uzima wa milele hakuna mwingine tena
@violetsangamysongs1815
@violetsangamysongs1815 2 жыл бұрын
That is very very true
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 2 жыл бұрын
Rudi shule ukasome
@mcmc3445
@mcmc3445 Жыл бұрын
Akasome nn? Yesu ndio ukweli na uzima ,ukimuamini yeye hutaangamia, akasome nn tena
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 Жыл бұрын
Yesu ndio njia
@saddybrezzy9777
@saddybrezzy9777 6 ай бұрын
Lete andiko
@geographicalworld1994
@geographicalworld1994 2 жыл бұрын
Hii kazi anayofanya prof. Jamal ni ngumu sana, just imagine kila wiki inabidi afanye research juu ya story flani mpya, then katika hiyo story anachimba sana. Hata wahadhiri wa vyuo vikuu kazi zao sio ngumu kama hii maana wao hurudia topics zilezile zilizofundishwa mwaka uliopita. Hakika huyu jamaa anahitaji pongezi sana👏
@saidissa4741
@saidissa4741 2 жыл бұрын
Saaaaaaana
@valentinekigahe9707
@valentinekigahe9707 2 жыл бұрын
Alishakusanya material na kwenda kupeleka kwenye TV it means hadithi zote anakuwa nazo kinachobaki ni kutoa tu
@Jitu_Lisilofikirika.
@Jitu_Lisilofikirika. 2 жыл бұрын
@@valentinekigahe9707 ila si tayari umesema alikusanya.? So bado amefanya kazi kubwa, bila kujali ni lini amefanya.
@Officialpiejotv
@Officialpiejotv 2 жыл бұрын
Hakika😍
@Officialpiejotv
@Officialpiejotv 2 жыл бұрын
@valentine kigahe sio kweli bhana, hawezi Sanya kila kitu. Me ntakataa katukatu.
@OmegaNelson-ho1no
@OmegaNelson-ho1no Жыл бұрын
move hizi n nzuri sanaaaaa zinafundisha zaidi katika njia ya imani endeleeni kuzirusha ili tujengwe kiroho kupitia move hizi za Yesu mwana wa Mungu
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 2 жыл бұрын
BWANA YESU CHRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI APEW SIFAA TENA Yeye Ni Bwana Mpaka Usio Kuwa Nakipimo🥰🥰🔥🔥
@foncetec
@foncetec 2 жыл бұрын
Amen
@violetsangamysongs1815
@violetsangamysongs1815 2 жыл бұрын
Amenii
@kifarumathiasm8051
@kifarumathiasm8051 Жыл бұрын
Amen
@rayyanothumanmohammed8261
@rayyanothumanmohammed8261 9 ай бұрын
Yesu alikataa kusifiwa lkn nyie kina nani usifie ? Hebu soma Yohana 17:3 ndiyo utamjuwa mungu wa kweli
@ShaskaMakota
@ShaskaMakota Жыл бұрын
Yesu. Mwana wa daudi. Mfalme wa wayahudi. Aliyewakomboa watu wake na dhambi zao. Ni neno aliyeshuka akakaa kwetu.
@saddybrezzy9777
@saddybrezzy9777 6 ай бұрын
Kumbe sio watanzania😅
@osodojunior3436
@osodojunior3436 2 жыл бұрын
I really love this Man like nothing else 💝💝
@johndingi2504
@johndingi2504 2 жыл бұрын
Nchi zote hizo yesu alitumia usafiri gni kufika
@hellenjelimokiplagat5615
@hellenjelimokiplagat5615 2 жыл бұрын
Now I can agree that the Bible was truly corrupted.
@osodojunior3436
@osodojunior3436 2 жыл бұрын
@@hellenjelimokiplagat5615 yes indeed
@mainabenson5173
@mainabenson5173 Жыл бұрын
Unapenda aje mwanaume mwenzako....He dsav respect not love
@naimabdul1231
@naimabdul1231 11 ай бұрын
Huyu jamaa unaweza ukasema hakunaga...ni wachache sana wenye kipaji kama hiki mfano wakr kama othman maalim vile anakuhadithia kitu mpaka unaijengea picha ile story anakuhadithia, may allah bless and protect you Jamal we proud for you brother...❤
@MariaShehemba
@MariaShehemba 2 ай бұрын
Ndio kabisa anajua kupangilia uongo mtamu mpaka watu wanakubali kudanganyika kama unataka kujua Yesu ni nani soma biblia Yesu alitabiriwa kuzaliwa kwake kuishi kwake kufa kwake na kufufuka pia. Isaya 9:6-7, yer 23:6Mika 5:2-4, isaya 53 sasa ukweli wa Yesu usome biblia tena kwa lengo la kujifunza Mungu atakusaidia kuelewa na uchaguzi utakuwa juu yako
@FestoLucas-lv9ig
@FestoLucas-lv9ig 5 ай бұрын
Yesu miaka 18 alikuwa ana pewa mafundisho na alifanyiwa majaribia mengi ambayo wewe nami atuyawezi atunaaja yakuyajua ila jua yesu alishinda naalikuwa teyari kukuokoa sisi kiroho na akawa teyari kubeba dhambi yawe nami jambo ambalo sisi limetushinda kama unaungana nami like comment yesu ndio mshindi naanapaswa kuabdiwa kama mungu alivyo mwamin amina
@kdloon2030
@kdloon2030 4 ай бұрын
Yesu sio mungu na hafai kuabudiwa,anae faa kuabudiwa pekee ni Mungu muumba wa mbingu na ardhi!Kipindi Yesu yupo tumboni mwa mamaake,nani alie abudiwa?
@mselledamas9078
@mselledamas9078 Ай бұрын
YESU ndie MUNGU na anastahili ibada hata wewe kuna siku utamuabudu​@@kdloon2030
@siriyamwanamkemkakamavu
@siriyamwanamkemkakamavu 2 жыл бұрын
I don’t like Wasafi TV, but because of you, i am watching. Endelea kuleta story kama hizi. Stay blessed indeed 🙏🏾💕
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Жыл бұрын
Ndio maana unaambiwa wasafi ni kama maji usipo yanywa utayaoga
@yangatv2264
@yangatv2264 Жыл бұрын
Hupendi mbona unafatilia sasa hayo ni maswal wazungu wanatuzungusha kma kichwa maji utajikuta unachuki moyoni kisa dini kumbuka tumeletewa ili tuibiwe africani amkaaa ww
@amourworldbeats
@amourworldbeats 2 жыл бұрын
Hakika mimi Naamini Mungu Yupo Na Ni Mmoja Hana Mshirika Wake,Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Wala Hana Mfano Wake Na Ndo Maana Tunamuabudu Kwa Sababu Anasifa Za Kipekee Zisizofanana Na Kitu Kingine chochote.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
HUO NDIO UKWELI WALA HAKUZAA WALA KUZALIWA.
@mamafifi-or6ou
@mamafifi-or6ou Жыл бұрын
Amiin allahumma amiin
@MosesOklan
@MosesOklan 22 күн бұрын
Mungu ni uwepo
@MosesOklan
@MosesOklan 22 күн бұрын
Kawni tunayeoneshwa hapo ni yesu au ni mcheza filamu na je sura halisi ya yesu ikoje??
@michelinebosibori4027
@michelinebosibori4027 2 жыл бұрын
God bless you Jamal 🙏 you are the best stories teller 🥰🤝
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Story fake
@nigananurunjema
@nigananurunjema 2 жыл бұрын
Narudia Yesu siyo Isa na wala hakuwa muislamu. Msimuingize Yesu Kristo kwenye dini zinazokubali kuwa majini ni rafiki zake. Yesu hakuwa na urafiki na majini. Mnapenda sana kuingiza Imani ya kistaarabu ya Kikristo na taratibu zenu jlimradi tu muweze kujifanya mko sawa lakini kwaujumla na uhalisia kila kitu kijulikane YESU KRISTO atabaki kuwa Mwana wa Mungu.
@boscomwanisongole9173
@boscomwanisongole9173 2 жыл бұрын
🤣🤣
@barakashaban9698
@barakashaban9698 2 жыл бұрын
Toa ushahidi ww kuwa alikuwa mkristo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
YESU SIO MUNGU NA MAPEPO NA MJINI TUNAYAONA.MAKANISANI 2 MISKITINI HAKUNA UJINGA HUO FALA WEWE TAFUTA MUME AKUOWE KANISANI DINI YAKO INAKURUHUSU.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@barakashaban9698 ANATAKA KUOLEWA HUYO.
@barakashaban9698
@barakashaban9698 2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 kweli kabisa nakubali
@Mlangira1993-ge9es
@Mlangira1993-ge9es 10 ай бұрын
Mimi Kwa akili yangu ndogo sana ya elimu ya kidini nasema kwa confidence zote Kuwa Yesu ni Mungu halisi aliyeziumba mbingu na nchi na kila kitu kilichomo. Alijifanya mtu akaiacha enzi yake akaja mwenyewe kutuokoa watu wake hivyo alizaliwa kama binadamu wote lkn kwa kuthihirisha Umungu wake mimba yake haikutungwa Kama zetu binadamu hivyo alizaliwa kwa uwezo wake mwenyewe (Roho mtakatifu ambaye bado ni yeye Mungu mwenyewe😀) akaishi kama binadamu akatufundisha yote tunayopaswa kujifunza ili tumjue kisawasawa na ndio maana miujiza yake haijawahi fanana hata Kidogo na ya mtume yoyote yule hapa ulimwenguni kwasababu yeye ni Mungu halisi. Na kuthibitisha ubinadamu wake alijaribiwa na ibirisi kama Sisi binadamu wengine tunavyojaribiwa na kubwa kuliko aliteswa akafa kabisa akazikwa kabisa Lakini kwa utukufu uliotukuka wa Kiungu alifufuka ambapo hakuna mtume mwanadamu aliyeonja mauti na akawa hai tena hivyo yeye sio mtume yeye ni Mungu halisi na baada ya ufufuko akawasihi sasa mitume aliowaacha kueneza habar njema zake yaani za Yesu kristo ambaye ni Mungu. Na akawaambia hatowaacha peke yao ila atawaachia msaidizi wake ambaye ni roho mtakatifu ambaye ni yeye Mungu mwenyewe ambaye hatotenda tena katika umbile la ubinadamu ila katika Roho tu na anaishi na kutenda kazi zake mpaka Leo katika Roho hahahahaha nyie kumjua Mungu ni Raha Sana. So conclusively, Mungu ni mmoja tu ila ametenda kazi zake katika nafsi tatu ambazo ni Baba, mwana(inadhihirishwa baada ya kuzaliwa na mwanadamu so Maisha yake ya ubinadamu lzm aitwe mwana kama Sisi tulivyo wana wa adamu (wanadamu), Roho ambaye kwasasa anatenda kazi zake katika Roho hivyo Mungu ni mmoja na watu wote tunatakiwa kulijua hili bila ya kujali Dini zetu maana hazitotupeleka mbinguni na hakuna dini bora zaidi ya nyingine ubora ni wako wewe mwenyewe wa kumuamini Mungu. Natamani Sana Kama wanadamu tungemtafuta Mungu kwa bidii zetu zote na tukaacha kuzitumikia Dini maana mbinguni hakuna dini wala dhehebu kinachoangaliwa ni moyo wako tu. Tuzidi kutenda mema na tumtafute Mungu kwa bidii Nawapenda nyote tubarikiwe sote na me I should tufike mbinguni Amina🙏
@thevoiceofdeliverance6061
@thevoiceofdeliverance6061 2 жыл бұрын
Yesu hakuwahi kusoma dini yoyote na mbaya zaidi wabudha Ni Imani potofu ya mashetani . Lakini Yesu siyo Isa Bari kwa lugha ya kiyahudi Ni Yeshua yaani Mungu mwenye kuokoa jina Isa linatumiwa na wapinga Imani na kupotosha ukristo.
@feisaldasilvajr311
@feisaldasilvajr311 2 жыл бұрын
Atakuwaje mungu ambaye amesurubiwa na wanadamu wake?
@barakashaban9698
@barakashaban9698 2 жыл бұрын
@@feisaldasilvajr311 👍👍 Good question
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
@@feisaldasilvajr311hivi vitu kama huvielewi sasa utaelewa baadae
@alfredkayabu3210
@alfredkayabu3210 7 ай бұрын
Yeshua ni mwana wa #Haruni toka ukoo wa #ibrahim baba wa imani. Na yesu ni mwana wa mungu kiimani aliyezaliwa kwa uwezo wa roho mtaka hai(mtakatifu). Yesu sio mungu bali anaonekana katika utatu mtaka hai(mtakatifu). Yesu pia alitukana wanadamu kwa majuto wa namna alivyojitoa kwajili yetu na bado tukawa tunawaza mabaya ""baba naomba kikombe hiki kiniepuke" imeandikwa bibliani. Budha sio imani ya kishetani bali ni watu wanaomba kwa uzingativu na ukimya kama anavyosema muumba kuwa ""muombe kwa utulivu na uzingativu pasi kelele" wao hufuata hivyo. Mungu hakuumba dini na wala dini haikupeleki peponi bali kukufanya kuwa na utaratibu wa kuwa karibu na muumbaji wako kwa kuongozwa na dini kutenda yampendezayo. Na kwa haki. Asante
@bernadvincent6608
@bernadvincent6608 2 жыл бұрын
Kaka yangu Jamal wee ndo king wa the story, ila plz keep it up, coz nilikuwa nakunywa pombe, kuona story hii hata bila kuisha kiu ya pombe yote imekata Kisha ninekaa kuangalia the story book yako but iyo story ya yesu kwenda India😂 nilicheka,na izo nchi zingine za uwongo but niko kawaida2 nakunywa zangu Pepsi not (jokes) sio tena pombe kama before but, God is Great for all peoples in the World, Bro ur the Best 🙏🏽🌍. 100% Mungu yupo pia ndo King Wetu.
@jacksonsimbibalegana7758
@jacksonsimbibalegana7758 2 жыл бұрын
😃🤣
@maryamsadik3411
@maryamsadik3411 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@philipoloo9780
@philipoloo9780 2 жыл бұрын
Mungu yupo ndiyo yesu mwana wamungu
@meshackmlaki2066
@meshackmlaki2066 2 жыл бұрын
Yesu Mambo aliyoyafanya ni mengi San yasingeweza kuandikwa yote. Ata kama mbigu ingekuwa kratasi, miti iwe kalamu bahari iwe wino hakika wino ungekwisha
@masungamatumbi7212
@masungamatumbi7212 Жыл бұрын
Hio sasa kufuru
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 2 жыл бұрын
Hii inanifanya niamini kwa kazi za watu wenye kipaji Cha kuonyesha makubwa kwa vitendo zaidi bila kuangalia vyeti wala historia. Kweli hii Ni kazi ya Professor
@JeremiahKazungu
@JeremiahKazungu 10 ай бұрын
Congratulations JAMAL una story yenye uzito mkubwa kweli mungu azidi kukuongeza ujuzi kaka nataman sana kuwa kama wew
@mkuudaudi1880
@mkuudaudi1880 2 жыл бұрын
First Kenyan here🇰🇪🇰🇪
@charlesmwai9418
@charlesmwai9418 2 жыл бұрын
Am always here bro .
@danielpauljoho4949
@danielpauljoho4949 11 ай бұрын
Jamal April hujui ni roho gani uliyo nayo. Utasema mimi nipo kazini na bla bla zote lakini nakuhakikishia kama kuna kitu utakijutia kabla ya kuondoka hapa duniani ni kuupotosha ukweli kuhusu Kristo iwe kwa kujua au kwa kuto kujua. Naomba Mungu wa mbinguni kwakupitia kifo cha huyo Yesu unaejaribu kumfanya aonekane wakawaida kwa watu AKUREHEMU na huo upofu wa fikra ukutoke Kwa jina la Yesu.
@hindujuma6524
@hindujuma6524 2 жыл бұрын
Story ya Leo nzur 💋😘
@rehemajohn3553
@rehemajohn3553 2 жыл бұрын
Nan kasema mbaya
@nancyg8664
@nancyg8664 2 жыл бұрын
Nzuri sana hindu
@joachimlema
@joachimlema 7 ай бұрын
Hapa naona kuna ubishan mkubwa wa kidini ila naomba kila mtu aendelee kuamin imani yake mradi tu inampa mabadiliko kwenye maisha yake
@Gerardirankunda2885
@Gerardirankunda2885 2 жыл бұрын
Nilukua nimegukumbuka San aca nisikiliz mambo yako🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿
@shadrickmwanjabala4681
@shadrickmwanjabala4681 2 жыл бұрын
Nilitaka nishanga kweli bro ata kakufungia mwaka hautupi. Nimefurahi Sana shukrani 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@festosungura5251
@festosungura5251 2 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba yesu hakuwahi kwenda darasa lolote wala kufundishwa na mwalimu yoyote Yesu alikuja duniani neno analijua Tena, kwa muda mwingi ambao haukuzungumzwa Yesu alikuwa akifanya kazi ya useremala kazi aliokuwa akiifanya Mzee Joseph mume wa Maria mama yake na Yesu habari hizi hazikuandikwa ama hazikuzungumziwa kwa maana hazina muhimu sana katika ukombozi wetu wanadamu
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 7 ай бұрын
kwani ukisema babake utapungukiwa nin hadi useme mume wa mamake
@SichaliJuan
@SichaliJuan 6 ай бұрын
Glory to God 🙏🙏❤
@bashiryusuph7109
@bashiryusuph7109 2 жыл бұрын
kazi nzuri Jamal, Yesu alikua Mtume wa Mungu na sio Mungu, kingine lazima muelewe kila mtu Mungu kampa atakavyo yeye, kusema Yesu alizunguka kutafuta elimu Sijambo la kubishana sababu Hata Mtume Mussa aliambiwa aende ktk makutano yabahari mbili atakutana na mtu mwenyeelimu zaidi yake, Lamsingi Mitume wote inatakiwa tuwakubali na kuwaheshimu, lamwisho Jamal hajatumia maneno yake yeye kafanya research ktk vitabu tofauti vya kale. kwaiyo kama unataka kujua zaidi nawewe unanafasi ya kwenda kusoma.
@raphaelonyango5690
@raphaelonyango5690 2 жыл бұрын
Umenena vyema, lkn Ili ujue nafasi ya YESU katika uungu ni mpaka u some sana na kuuamini utatu mtakatifu. Nitakuacha na swali, Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; And God said, Let us make man in our image, after our likeness: Je hapa MUNGU BABA, aliposema "Tumfanye"..... " Wetu" Hapa tunaona nafsi zaidi ya moja, Je hawa wengine ni wakina nani? Katika kulitafuta jibu, utapata mwanga.
@jglaiser
@jglaiser 2 жыл бұрын
Kasimp tena
@yhwh353
@yhwh353 2 жыл бұрын
Emmanuel God with us ✝️🕊️🔥 Yesu Ni Mungu take it or leave it.
@salsashmomy
@salsashmomy 2 жыл бұрын
@@yhwh353 astaghfirrllah
@yhwh353
@yhwh353 2 жыл бұрын
@@salsashmomy When "ALLAH -- The all knowing" got the "TRINITY" wrong!!! And when Allāh will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allāh?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen. - Saheeh International (5:116) --- Surah Al -Maidah :116
@moses7802
@moses7802 2 жыл бұрын
Yesu aliishi maisha ya mwanadamu kwaiyo kufanya hayo yote hakuna ubaya kwa kuwa yeye ni mwana wa mungu, anastahilo kufanya hayo yote kwasababu alipitia njia ya kua mwanadamu ili afikishe ujumbe wa mungu kwa mwanadamu, 🙏
@gospelman3720
@gospelman3720 2 жыл бұрын
"Waeseni walikaa jangwani ili kujitakasa wakimsubiri Masihi, na mmoja wa wanafunzi wa Waeseni ni Yohana Mbatizaji". Father Ricardo Maria (2014).
@yhwh353
@yhwh353 2 жыл бұрын
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. Isaya 9:6 Kama mfalme Suleiman hakusoma chuo chochote na alikuwa na hekima kuliko watu wote Sasa Yesu Kristo ✝️ Ana hekima kuliko mtu yoyote aliwahi kuishi duniani kuwepo
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 2 жыл бұрын
Wampenda kristo like💋💋
@kinasaba
@kinasaba 8 ай бұрын
Prof. Jamal, your research and reporting type is great than many others. Katika Tanzania upo juu kabisa. Unajua kuwianisha mambo mbalimbali hata ya kidini ambayo ni very sensitive. Your, research questions, are perfect than ever. All the BEST
@saimonjmai801
@saimonjmai801 2 жыл бұрын
Kila mtu abaki na Imani yake na moja ya sifa ya kuamini ni kutokuwa na mashaka, ndiomana hata msimulizi kasema kila mtu abaki na yake anayo ya amini.
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq Жыл бұрын
Eyesu uliyejifanya binadamu ukiwa sehemu ya nafsi tatu tunakuomba utende miujiza kama ilivyo kawaida yako ww ndiye ujuaye ukweli kuhusu hilo nakuomba katika jina lako takatifu jifunue kwangu japo ninadhambi ilikuondoa huu upotoshaji unaotendeka juu yako japo mm sina hofu na ww namini ww ni mungu tenda ilikuondoa huu unafiki amina
@bernadvincent6608
@bernadvincent6608 2 жыл бұрын
God is the King 👑🙏🏽😇. Wish u Good Morning from Dubai 5:32 am👑.
@benjaminjackson8567
@benjaminjackson8567 2 жыл бұрын
Hapa Kuna kitu ndani yake maana kwa Mim Profesa mdogo Kuna kitu nakiona kwa mbali sana juu ya Yesu na kimefichwa lkn nashindwa hata kidogo kukielezea Ila Mungu mwenyewe anajua maana mwanadam naona anakwenda lkn Kuna sehemu anakwama yaan kama Kuna pazia hivi na siku ikiwa wazi tu basi Yesu karudi, lkn big up Jamal April, Professor 🙏🏿🙏🏿
@Bondea-zj2yf
@Bondea-zj2yf Жыл бұрын
1. Kwani ninyi hajui kwamba Yesu alikua mwana pekee wa Mungu? 2. Kwani ninyi hajui kwamba Mambo Yote Yesu alifundisha alitowa kwa Baba Yake Mungu alie juu zaidi? 3. Kwani ninyi hajui kwamba Yesu alikuako kabla ya ABRAHAM na aliishi Mbinguni? 4. Kwani ninyi hajui kwamba Biblia ni Neno au barua kutoka kwa Mungu wa muingu , Yehova. Basi msikengeushwe na watu wasio chukua mda na kuisoma Biblia na kuitafakari.
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 Жыл бұрын
Once am with Jesus I will never die
@S1rb0ny
@S1rb0ny 2 жыл бұрын
Hakuna amjuae Baba Wala hakuna amjuae Mwana isipokua yule tu ambae mwana amependa kumfunulia ujui chochote kuhusu Yesu.
@MarryMush-j8u
@MarryMush-j8u 5 ай бұрын
i believe in jesus jamal thanks 4 give us a lot of story about jesus
@christonchristian7448
@christonchristian7448 2 жыл бұрын
from Missouri U.S.A much lovee watz wenzangu
@wambuamwinzi
@wambuamwinzi 2 жыл бұрын
Kenya twakupenda💗💟
@yurisongoro2895
@yurisongoro2895 2 жыл бұрын
Kwa sababu nna amini technology ina dumu🥰 nampenda Allah
@Im__hdmi
@Im__hdmi 2 жыл бұрын
Ameen
@com5766
@com5766 2 жыл бұрын
We jamaaa daah! Utakuwa unajua mambo mengi sana2 sema hutak kuharbu iman za watu respect sana brooh
@zacharykuria5789
@zacharykuria5789 2 жыл бұрын
Iko sawa sana nipeeni hizo likes pls
@stephenmasawe1602
@stephenmasawe1602 Жыл бұрын
Ingefaa jamal mustafa kuwa mkristo kweli kweli maana siku ya mwisho hukumu yako itakuwa kubwa zaidi maana uliijua kweli ya Yesu kristo
@gu-away5246
@gu-away5246 2 жыл бұрын
Mukubwa 💙 vraiment 🤗 Nakupa kumi juu ya kumi (10/10) Niko fan wako wakwanza kufata vidéo zako zote, Niko nafata elimu nisio ijuwa kwa kila atua 💪 👏🤝
@YAMUNGUKULWA-i4b
@YAMUNGUKULWA-i4b 19 күн бұрын
Mungu awabaliki mnaotangaza habali za yesu hakika Mungu atawabalik
@Hussein-ol4wn
@Hussein-ol4wn 2 жыл бұрын
Itikadi yetu Waislamu kuhusu Yesu ni kuwa hajawahi kufa wala hakufufuka na wala hajawahi kusulubiwa Wala Yesu sio mtoto wa Mungu. Bali Ni Nabii wa Mungu aliyeletwa kupitia uzao wa Maryam(Maria) bila ya Baba Kilichotokea ni kuwa wakati Watu walipotaka kumuua Mwenyezi Mungu alimpaisha mbinguni(na ndipo alipo hadi sasa). Baada ya kupaishwa Mungu akampa sura ya Yesu mmoja kati ya wale watu na ndie waliemsulubu na akafa
@janaleokesho8374
@janaleokesho8374 2 жыл бұрын
Yesu wa waislamu na wa wakristu ni tofauti kuanzia kuzaliwa na pia malezi.
@Hussein-ol4wn
@Hussein-ol4wn 2 жыл бұрын
@@janaleokesho8374 Yeah Hata kiitikadi. Sisi tunamuamini Yesu Kama Ni Nabii wa Mungu, wakristo wanamuamini kivyengine
@philipojohn191
@philipojohn191 2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
wakristo Mohammed hatumjui kabisa
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 2 жыл бұрын
Jamal your the best teacher in world, God bless you
@Metusi
@Metusi 2 жыл бұрын
Leo nimependa content sababu mimi ni mkristo na naipenda sana dini yangu Na ninapoona muislamu kama jamal anapoongelea ukristo bila kukosoa bali kwa mema nafurah sana na ni kuonyesha kujal na kiheshimu iman ya mtu mwingne
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
ANA ZUNGUMZIA STORI YA ISA (JESUS) HATA QUR'ANI IMEMZUNGUMZIA PAMOJA NA MANABII WENGI WENGINE.
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 Quran haijamuandik hivo imemuandik tofauti
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@madetetv6576 QUR'ANI IMEMUANDIKA KAMA YEYE NI NABII NA HAJAFA M'UNGU KAMCHUKUWA YUKO MBINGUNI NA YUKO HAI NA ATARUDI TENA DUNIANI UNAPOSEMA QUR'ANI HAIJAMUANDIKA HIVYO UMEMAANISHA NINI?? ULITAKA IMU ANDIKE KAMA MTOTO WA MUNGU AU YEYE MUNGU??? YEYE NI NABII KAMA MANABII WENGINE 2.
@yhwh353
@yhwh353 2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 Qur'an imechanganya vitu apo ukisoma vizuri utajua Kuna vitu haviko sawa ndugu imechanganya kuhusu story ya Mariam Mama yake Yesu na story ya Mariam wa kipindi Cha Musa
@yhwh353
@yhwh353 2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 na pia Kuna kitu akikosawa katika Qur'an yaani Allah aliwadanganya wayahudi kwa kumfanya mtu Kama Yesu asisulubiwe na sio wayahudi, wayahudi na Mama yake Yesu Kristo wote wanajua Yesu amesulubiwa na si vinginevyo.
@younglunya-vy3xb
@younglunya-vy3xb 5 ай бұрын
Kama unaamini yesu nibwana weka like
@jameskinuthia4480
@jameskinuthia4480 2 жыл бұрын
Safi kabisa professor
@mohamedriziki1985
@mohamedriziki1985 2 жыл бұрын
Jamal Nakupenda sanaaa... Yani hauja wai kufeli kabisaaaa... Nakukubali sanaaa
@mariaalmack3686
@mariaalmack3686 2 жыл бұрын
Unamkubali!!!!
@aisha_mohammed5825
@aisha_mohammed5825 2 жыл бұрын
prof jaamal♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@jumamstapha9558
@jumamstapha9558 Жыл бұрын
Namshukuru Kwa kujua kumbee yesu alikuani mwisilam inshaallah kama unaupeo wakutosha basi utakua umeelewa apo
@suzanrichard3648
@suzanrichard3648 2 жыл бұрын
Thnks for story Bro Jamal🥰🥰🥰🥰🥰
@Habaritrending.tanzania
@Habaritrending.tanzania 2 жыл бұрын
Dunia iko na mambo mengi sana nyuma ya pazia ambayo binadamu wengi atuyajui ayo unayoyajua yanatosha ukitaka kujua kila kitu kuhusu dunia utachanganyikiwa na utapoteza imani.. we amini kuna mungu tu inatosha
@ymsumi1918
@ymsumi1918 Жыл бұрын
Mnafundshwa muamke mmepotezwa mnaanz kusema mnachanganyikiwa😂😂
@msifunimasawe215
@msifunimasawe215 2 жыл бұрын
Ilove story of Jamal 💥 unanfanya niipende xna ,na io biti haswaaa
@wllsntim5740
@wllsntim5740 2 жыл бұрын
Thank you for your education but always is JESUS,BIBLE,AND CHRISTIANITY now we want to be educated on MTUME MUHAMMAD S.A.W,QURAN AND ISLAMIC THANKS
@christiandayisenga3773
@christiandayisenga3773 2 жыл бұрын
Jamal kama unamwamini Mungu basi nafurahi🙏
@orestsanga6294
@orestsanga6294 2 жыл бұрын
Kusudi la kutunga vitabu zaidi ya hamsini vya injili na kutangaza uwepo wake, ni kudhoofisha vitabu vinne vya injili ya kweli na kuingiza udanganyifu uliokusudiwa na wapinga Kristo.📖📖📖
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 2 жыл бұрын
Indeed you're a professor. Thanks jamar one day we gonna meet! InshaAllah.
@yakoboesenga5754
@yakoboesenga5754 2 жыл бұрын
JAMAL thenks 2 much love from usa Portland Oregon
@edgaramiani
@edgaramiani 2 жыл бұрын
Thanks again i was waiting to hear from you
@annehaysanday9214
@annehaysanday9214 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kutuletea taarifa nzuri
@budaboss8435
@budaboss8435 2 жыл бұрын
Nakuombea uishi maisha marefu sana kaka Na Ubarikiwe sana ❤👍
@icon_masanaa
@icon_masanaa 4 ай бұрын
Imeandikwa,Mungu akasema Yousouph mchukue Mkeo na Mwanao Mkimbilie Misti,Maana Herode anataka Amuangamize, Kwahyo Yesu Alikimbilia Africa
@darkdhmafia8666
@darkdhmafia8666 2 жыл бұрын
!!!!?😎💎🔥 Mungu ni mkubwa sana katika dunia
@DicksonMchapo
@DicksonMchapo 5 ай бұрын
Erimu ya Yesu ni erimu ya kimungu mambo ya mungu ukitaka kuyachunguza yaitajika roh mtakatifu akushukie kweli kweli mungu achunguzwi ata kidogo yani
@dnx_Gr
@dnx_Gr 2 жыл бұрын
Mambo ya imani ukiyafutilia ni🤯🤯 ko yaacge kama yalivyo!! Be blessed bro🙏🏽🙏🏽
@bitishoriziki1113
@bitishoriziki1113 Жыл бұрын
Asante sana njamani ahimidiwe kbs 🤗🥰 anaweza yote ubarikiwe mumishi wa mngu mpasha habari muzuri🎉
@moshantoj
@moshantoj 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kuelezea History ya yesu kulingana na Elimu ya msikiti.
@nasramuhammad2046
@nasramuhammad2046 2 жыл бұрын
Tumkimbilie Mola yy ndo alituleta duniani na yy ndo atatutwaa jina Lake litukuzwe,praise to God
@kilogreek4050
@kilogreek4050 2 жыл бұрын
Nakukubari jamal super story🙏🙏🙏🇹🇿🇬🇷
@elizabethndaile8984
@elizabethndaile8984 2 жыл бұрын
Aimen ubarikiwe 🙏🙏
@annachales9623
@annachales9623 2 жыл бұрын
Kwa kweli nikisikia habari kama hizi nafurahia sana kwa kweli...
@samuelosembo3028
@samuelosembo3028 2 жыл бұрын
Kazi nzuri kufanya utafiti lakini tambua kuwa maisha ya yesu yamezungumziwa katika bibilia yote Kwanzia GENESIS .... REVELATION...so yesu ni mwenye upeo na hakuna shule aliohudhuria...
@jumamfinanga6867
@jumamfinanga6867 2 жыл бұрын
Mashaallahh pr jamaal allah akuzidishie elmu na umrireefu wenye manufaa💓
@MasoudNyoni-g8o
@MasoudNyoni-g8o Жыл бұрын
Ahsante sanaaa tuuuu Kwa ujumbe kutoka The story book.
@clinton_leen
@clinton_leen 2 жыл бұрын
Ila yesu aliwahi kufikia hadi kenya "fort Jesus" 😃
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
AKAPIGA KANGETA PALE MAKADARA AU 🤣🤣🤣🤣🤣
@tanzaniatourismboard8395
@tanzaniatourismboard8395 2 жыл бұрын
AHSANTE JAMEEL. Ufafanuzi Mzuri, Ufafanuzi Makini.
@josephmkutu5228
@josephmkutu5228 2 жыл бұрын
More congratulations to Jamal to make us aware 🙏🙏
@graceanthony3870
@graceanthony3870 2 жыл бұрын
Mimi nakubaliana na wewe , mambo megi hayakuandikwa kwenye bible. Endelea kutupa story Mungu akupe maisha marefu
@vema_tv
@vema_tv 2 жыл бұрын
My best role model n story teller, I appreciate your skills Brother
@alostar477
@alostar477 2 жыл бұрын
Jamal we ni hatari sanaaa.....hakuna kama wewe.... naomba pitia na Mimi makala zangu kaka....mashabiki sapoti yenu Tafadhal
THE STORY BOOK | LIKO WAPI SANDUKU LA AGANO!?
16:08
Minister Peter Mchalo
Рет қаралды 24 М.
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
Keeping the Heart | John Flavel | Christian Audiobook
3:49:36
Aneko Press - Christian Audiobooks
Рет қаралды 302 М.
The Story Book: MFALME ALIYEULIWA NA MBU KISA ALITAKA VITA NA MUNGU
24:56
The Story Book : Kweli Kula Nguruwe Ni Haramu Au Uzushi Tu !?
37:44
Wasafi Media
Рет қаралды 554 М.
THE STORY BOOK : Yamepotelea Wapi Mawe ya Amri 10 za Mungu ?
24:55
Wasafi Media
Рет қаралды 956 М.
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.