MCH. HANANJA ATOA SOMO KUHUSU SABATO YA JUMAMOSI AUNGANA NA USTADHI DANIEL KUMPA SOMO MCH. NDACHA

  Рет қаралды 24,819

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

9 күн бұрын

MAMBO YA SABATO NA JUDAISM HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AMETUELEZA KWA KIREFU UMUHIMU WA SABATO NA JINSI ILIVYO NGUMU AFRICA KUWA MSABATO

Пікірлер: 332
@Ayyub_Semtawa
@Ayyub_Semtawa 7 күн бұрын
Naamini majibu yako ndio akili yako ya mwisho kufikiria Ukiulizwa swali jibu kwa kujenga hoja yenye ushahidi wa maandiko
@JanethAnton-fx1mk
@JanethAnton-fx1mk 7 күн бұрын
Naomba muweke mdahalo na mwalimu Ndacha sio unajificha kwa kichaka
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 7 күн бұрын
Huyo ndacha mwenyewe chizi Yani wakristo wote wamechanganyikiwa waisilamu wanaabudu kilasiku acheni kudanyanyana mbona mnaipenda uwongo sana kwani hamtuoni tukianda msikitini kilasiku yanikilakitu kweni niubishitu kitu mnakiona pia lakini bado tumtabusha yesu anasema yeye nimwana wa a damu nyinyi mnasema hapana wewe nimwana wa mungu kazi mnayo
@user-mw3oq4vz6k
@user-mw3oq4vz6k 7 күн бұрын
Ndacha ndio unae mwamin sana kwamba yeye ndio anajua kula k2 acha izo ww
@petromachanga5538
@petromachanga5538 6 күн бұрын
Ndasha chiZi
@Wamisangi
@Wamisangi 6 күн бұрын
Ndacha anaijua kuran kwa msaada wa majini wema.
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 6 күн бұрын
@@zaidiissa3714 kasome vizuri bibilia
@josykogei7647
@josykogei7647 5 күн бұрын
Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 2 күн бұрын
Andiko?
@ackimackim1880
@ackimackim1880 Күн бұрын
UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 6 күн бұрын
Mzee Hananja umegusa pabaya. Tafuta masomo mengine. Achana na somo la Sabato
@nyansilujoseph-pm8im
@nyansilujoseph-pm8im Күн бұрын
Mbona unaenda chaka sana ,,,, SABATO kumbe huijui hata hoja hazina mashiko kabisa
@AbdallahMpwatile
@AbdallahMpwatile Күн бұрын
Nakuelewa sana mzee rich billionaire
@KOLASCLASSICDESIGNS
@KOLASCLASSICDESIGNS 4 күн бұрын
JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH
@user-wg6pg9bg8v
@user-wg6pg9bg8v 3 күн бұрын
Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?
@RichardMachuki
@RichardMachuki 2 күн бұрын
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
@VascoKasambala
@VascoKasambala 3 күн бұрын
WASABATO WANAONGOZA KUA NA ROHO MBAYA TANZANIA FANYENI UTAFTI WAO WAMESHIKA SKU TU SIO MENNGINE WANAIJUA AMRI MOJA TU
@KelvinOmbeniMathew
@KelvinOmbeniMathew 3 сағат бұрын
Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12
@sabatomafwele1495
@sabatomafwele1495 3 күн бұрын
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
@sospeterlaurent4428
@sospeterlaurent4428 Күн бұрын
Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko
@laickwilinerd5375
@laickwilinerd5375 3 күн бұрын
Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu
@AlfaMwahasanga-j1q
@AlfaMwahasanga-j1q 3 күн бұрын
Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi
@erastuskajuna812
@erastuskajuna812 Күн бұрын
Neno la Mungu linasema kuwa kile mtakachobadilisha duniani kitabadilishwa na mbinguni.
@mkoyitz2448
@mkoyitz2448 6 күн бұрын
Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 6 күн бұрын
Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada
@aquinomsigwa6998
@aquinomsigwa6998 5 күн бұрын
Acha dhambi
@aquinomsigwa6998
@aquinomsigwa6998 5 күн бұрын
Iabudu siku
@prochesernest5439
@prochesernest5439 4 күн бұрын
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
@judithminja770
@judithminja770 4 күн бұрын
@@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah
@josejosepg6601
@josejosepg6601 3 күн бұрын
Leo mzee wangu kachemka hapo kumbe biblia nipana sn tiketi ya kuonyesha iri uingie peponi ni amri kumi za MUNGU na ukishindwa moja umeharibu zote 🙆
@ivanbusumbiro6429
@ivanbusumbiro6429 20 сағат бұрын
Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.
@user-px7qw3hs2h
@user-px7qw3hs2h 2 күн бұрын
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s Күн бұрын
Nakubali Sana mzee wng
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 6 күн бұрын
Wewe potosha wenye hawajui maandiko
@denismugisha2
@denismugisha2 3 күн бұрын
Haya twambie wewe unayesoma na kujua neno, mitume walisali sabato ipi na wapi baada ya BWANA kufufuka na kupaa mbinguni
@lwezaurawilliam4498
@lwezaurawilliam4498 5 күн бұрын
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada WAKOLOSAI 2:18 YOHANA 2:21-22 YEREMIA 31:31-34. WAEBRANIA 10.
@pascopaul909
@pascopaul909 Күн бұрын
nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko
@kambaragemuya8167
@kambaragemuya8167 6 күн бұрын
Ukifuata maandiko, hakuna aliyekuwepo wkt dunia uumbaji, wala kalenda hazikuwepo, kwa hiyo majina ya siku yametungwa hivi karibuni na siku za mwaka zimekuwa established juzijuzi, hivyo siku yoyote inaweza kuwa siku ya saba, huko nyuma kulikuwa hakuna week wala mwezi, ilikuwa majira tu!
@memorataedson7895
@memorataedson7895 5 күн бұрын
pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi
@JohnMashamba
@JohnMashamba 2 күн бұрын
Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.
@albertvalentino130
@albertvalentino130 6 күн бұрын
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
@chillogeorge1383
@chillogeorge1383 6 күн бұрын
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili. Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
@georgesamweli9852
@georgesamweli9852 6 күн бұрын
Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.
@solomonmugao4733
@solomonmugao4733 3 күн бұрын
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
@ahz6907
@ahz6907 2 күн бұрын
​@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.
@PaulRuben-eu5nh
@PaulRuben-eu5nh 6 күн бұрын
Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu
@Abudulungazah-zf8ii
@Abudulungazah-zf8ii Күн бұрын
Watu wangu watapotea kw kukosa maarifa
@njiasalamatv4794
@njiasalamatv4794 3 күн бұрын
WE PASTOR WEWE ACHA UONGO UJUE FATA MAANDIKO SIYO UTASHI WAKO PLEASE....
@ahz6907
@ahz6907 2 күн бұрын
Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote. Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.
@machindafadhili3186
@machindafadhili3186 6 күн бұрын
KWAIYO UMEAMUA KUVUNJA AMRI YA MUNGU? KWA NINI MSIVUNJE AMRI YA 5 YA WAESHIMU BABA NA MAMA ILI SIKU ZAKO ZIPATE KUONGEZEKA. HACHENI UPOTOSHAJI MZEE
@sospeterlaurent4428
@sospeterlaurent4428 Күн бұрын
Hakuna amli iliyovunjwa ilabiblia imegawanyika ko jitaidi kumuelewa mzee
@jacobnghwani1891
@jacobnghwani1891 Минут бұрын
Umesaidia wengi sana hasa uliposema wanadamu kitu hasa tunatakiwa ni tumwamini zaidi siyo kumdodosa, wasabato punguzeni ubishi hakuna aliewahi kufa akarudi
@AlexMungathia
@AlexMungathia 2 күн бұрын
Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu
@JanethAnton-fx1mk
@JanethAnton-fx1mk 7 күн бұрын
Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 7 күн бұрын
kbs kbs umenena
@venancenkoronko9250
@venancenkoronko9250 7 күн бұрын
Na utajuej kama unafuata kilicho sahihi?
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 7 күн бұрын
@@venancenkoronko9250 mm najuwa maana mm na amini biblia pekee yake
@rickiefisher1085
@rickiefisher1085 19 сағат бұрын
kama unaamin dini zililetwa unapataje Imani kwenye Mungu na dhambi
@MeshackMisungwi-w8q
@MeshackMisungwi-w8q 3 күн бұрын
Pole sana mzee somo gumu kwako
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 7 күн бұрын
Shida huna andiko
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 6 күн бұрын
Type wewe andiko
@Jonathankaghese
@Jonathankaghese 7 күн бұрын
Mungu awabariki
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w 7 күн бұрын
Amina
@msemakweli243
@msemakweli243 7 күн бұрын
Sasa hapo inabidi ujiulize wakati yesu yupo hai amri na sheria alizitii nyinyi shangwe baada ya kufufuka aingii akilini
@JohariLozano
@JohariLozano 7 күн бұрын
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
@Wamisangi
@Wamisangi 6 күн бұрын
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote. 1Wakorintho 15:14 Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma. Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 5 күн бұрын
SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 Күн бұрын
Kanisa Katolic wanasema Sunday is mark of our authority je Kuna uhusiano gani kati ya siku ya jumapil na ukatoriki?
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 13 сағат бұрын
Mzee unatudanganya Yesu alivyozsliwa dunia haikua na lugha moja lugha zilivurugwa toka pale kwenye ujenzi wa mnara wa babeli Wewe una stori nyingi tu zingine za kufikiria tu sisi hatuna mtazamo wetu ila tuna mtazamo wa biblia hatutumii akili zetu
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 13 сағат бұрын
Jambo la kufurahisha ni kwamba mada imekua ngumu kwa mzee mpaka jasho linamtoka tu anafuta tu majasho
@MaryBuzingo
@MaryBuzingo 6 күн бұрын
Mzee umechemka,hiyo amri inasema mungu alistarehe,aliibariki,Sasa mbona unapingana naye,Rudi kwenye maandikoa.
@josykogei7647
@josykogei7647 5 күн бұрын
Usimpinge hananja maandiko Inatuambia yesu NDIYE BWANA wa sabato Sasa kila siku ni siku ya MUNGU
@josykogei7647
@josykogei7647 5 күн бұрын
Anasema ROHO ni Moja ila utendaji ni tofauti amen amen
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 5 күн бұрын
Wasabato wamechemka .
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 5 күн бұрын
​@@josykogei7647wasabato wote ni vichwa maji ,
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 7 күн бұрын
Waislamu wanaabudu majini na Allah ni Giza sisi ni Nuru ijumaa ni yao sisi haitihusu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 6 күн бұрын
Ni giza kwa lugha gani?
@ashrafnuru6402
@ashrafnuru6402 6 күн бұрын
Kafiri ni kafiri tu ndo maaana anaenda chooni na makaratasi,
@josephlorri431
@josephlorri431 5 күн бұрын
Hata ukitawaza kwa dawa na kupiga perfume kinyeo chako..bado kitazikwa ardhini.. dini ni imani,usafi wa roho yako ndo muhimu ​@@ashrafnuru6402
@GeorgeMjema
@GeorgeMjema Күн бұрын
Huyu tunamjua kwa comedian zake.
@Abudulungazah-zf8ii
@Abudulungazah-zf8ii Күн бұрын
Kutatokea makrisot wa uwugo
@kjb_user0077
@kjb_user0077 13 сағат бұрын
Duh kumbe kuabudu siku ya jumapili nikwa mtazamo wa watu tu?!
@mwoso
@mwoso 5 күн бұрын
Kwa hivyo yesu anabaki kua mwana na mungu anabaki kua baba yake. Hatuwezi kuwachanganya kua mungu mmoja. Wenye utatu watupe maelezo mazuri ili tuelewe. Tunacho jua ni yesu alikua na uungu wa baba yake lakini sio kwa nafsi. Aliridhi uungu wa baba yake na akampa mamlaka hapa duniani. Lakini anabaki tu kua mwana wa mungu.
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 16 сағат бұрын
Hivi alieagiza amri ya kukumbuka siku ya Sabato ninani? Na amri kumi zipo kwaajili ya nani?
@williamgabrielmassawe3654
@williamgabrielmassawe3654 7 күн бұрын
Mchungaji Hananja ni Mgodi unaoishi
@PaulChambala
@PaulChambala 5 күн бұрын
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
@GasparKyambala
@GasparKyambala 16 сағат бұрын
Nimekuelewa sana ila kwa maelezo yoko
@georgesamweli9852
@georgesamweli9852 6 күн бұрын
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 5 сағат бұрын
Upo sahihi hananja
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui Күн бұрын
Yaani mpaka muelewe, someni biblia sana lakini mjue mbingini tutaendakwa matendo yetu.
@PaulRuben-eu5nh
@PaulRuben-eu5nh 6 күн бұрын
Amina sana
@PaulChambala
@PaulChambala 5 күн бұрын
We nae acha uxhabiki
@emmanuelpeter6742
@emmanuelpeter6742 5 күн бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza
@emmanuelpeter6742
@emmanuelpeter6742 5 күн бұрын
Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 6 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza naona mzee wetu anapanic 😂, mzee umenikata leo😢
@elishampoki8751
@elishampoki8751 7 күн бұрын
Wasabato wanaikosea sana siku ya sabato waliambiwa na Mungu wapumzike baada ya kufanya kazi siku sita wasabato hawapumziki ila wanakwenda kusali kwenye nyumba za ibada , hapo upumziki umeabudu ,
@msemakweli243
@msemakweli243 7 күн бұрын
Kwenda kusali ni kufanya kazi?
@DannyJoseph-dr1ep
@DannyJoseph-dr1ep 7 күн бұрын
Mzee unasoma maandiko nusu nusu , sabato ni siku ya kusanyiko takatifu ndio siku ya kufanya ibaada na sio kazi
@PaulChambala
@PaulChambala 5 күн бұрын
Miongon mwawatu hawaelewi niwewe ipo iv Mungu alixema tupumzike kwakaz zetu lakin kwakaz ya Mungu tunapiga
@DannyJoseph-dr1ep
@DannyJoseph-dr1ep 5 күн бұрын
@@PaulChambala . Mzee tofautisha kati ya kaz zako na kaz ya Mungu ,siku zote huwez kukusanyika kwa ajl ya ibada ,sasa swal kwako ni siku ipi n ya ibada na sio kaz ?
@panduafricangiant4902
@panduafricangiant4902 2 күн бұрын
Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 6 күн бұрын
Mchungaji hananja kwa mengine uko sahihi na ndio imani yetu sisi waisilamu na hio iko sawa kabisa
@joseaugust2805
@joseaugust2805 7 күн бұрын
Hesabu 15:32-36 Mathayo 12:1-21 Wagalatia 2:1-21 Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,. Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu , Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
@JajiZakayo-fw9mk
@JajiZakayo-fw9mk 6 күн бұрын
Wasabato ndio wanaongoza kuwaendea waganga wa kuenyeji na kuweka tumaini Lao katika mambo ya bima ya maisha wamesahau kuwa Yesu ndiye bima na tabibu mkuu
@PaulChambala
@PaulChambala 5 күн бұрын
Lakin jamaa siunamsikia mchungaji wako nae hana hoja af pia madhehebu ya jumapili ndo yanaongoza Kwa mambo ya kishililina nakufundisha mapokeo ya watu
@DavidMujimba
@DavidMujimba 6 күн бұрын
uko sawa mchungaji
@user-rk6wu2gw1n
@user-rk6wu2gw1n 7 күн бұрын
This one is a believer of sun worship(shetani)....
@GodfreyMwendawila-ff7on
@GodfreyMwendawila-ff7on 3 күн бұрын
Nakuelewa sana
@VenanceMgema-xu6bq
@VenanceMgema-xu6bq 6 күн бұрын
Unatakiwa usaidiwe kidogo tu Kuna mahali hujui mtumishi.
@isaiahkimathi4004
@isaiahkimathi4004 6 күн бұрын
Toa ushahindi wa bibilia mch acha pangang'a
@JonasMathias-s6m
@JonasMathias-s6m 6 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@MageniDaniel-jl5nh
@MageniDaniel-jl5nh 6 күн бұрын
Et siku bora kwako ni ipi siku ya ushindi swali ni maelekezo ya Mungu??
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 6 күн бұрын
Dah waongo wanatia huruma kweli
@BenardPaul-t4x
@BenardPaul-t4x 5 күн бұрын
Mungu akubali mch hananja
@MbendaHalfan
@MbendaHalfan 6 күн бұрын
Wakristo wanaabudu masanamu,waislam wanamwabu mwenyezi Mungu mmoja tu na wanamwabudu kila siku siyo siku moja tu,lazima uelewe we katili uliosema waislam wanaabudu majini pumbavuuuu
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 5 күн бұрын
Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9
@isaacwafula7792
@isaacwafula7792 6 күн бұрын
siku sio siku tu Bali kunasiku imebarikiwa kuliko zote na ni jumanozi uwezi jiwekea siku kwani ni yako mungu aeshimiwe na Sheria zifuatwe ,huyu mchungaji tunamtaka Kwa mdhalo 19-16yesu anasema ukitaka kuenda binguni lazima ushike amri,na yakobo 2,10 ukivunja Moja umezivunja zote
@joseaugust2805
@joseaugust2805 7 күн бұрын
Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake , Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style , Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,. Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini
@mpandandaki
@mpandandaki 7 сағат бұрын
Hananja Acha kupotosha watu elezea uhalisia WA biblia ulivyo,sabato NI Dini ya Mungu na ndiyo daraja la kukufikisha Kwa Mungu hiyo ni amri ya Mungu unayoongea hayo unapitosha watu,wapi biblia inasema jumapili NI siku ya ushindi? Tupe andiko Acha kubwabwaja
@njiasalamatv4794
@njiasalamatv4794 3 күн бұрын
DINI UMELETEWA NA WATU KWAHIYO HAKUNA NENO LA MUNGU ?
@mwamrasahamaro8473
@mwamrasahamaro8473 6 күн бұрын
Katika watu ambao ninaamini wanapotea kabisa ni wasabato ni wabishi na hapa nashangaa zaidi kumbe nap wanatukana km wale wa mudi, na kumbe hata biblia hawasomi, eti wanaomba andiko lisemalo usiende mbali zaidi ya kurusha jiwe, Yani wanakataa hakuna neno Hilo, eti wanahifadhi sabato, na wanaenda mbinguni eti, enyi wasabato jueni hakuna mbingu ya wajinga,wabishi, to Biblia inasema hakuna atakaye hesabiwa haki kwa matendo ya Sheria.
@denismugisha2
@denismugisha2 3 күн бұрын
Constantine alitangaza jumapili wakati huo mitume wa Yesu walishaanza kuumega makate siku ya kwanza ya juma huku wakisakamwa na wayaudi wazee wa sabato, kwa hiyo ukisema costantino unakosea
@AneckAdronico-p2k
@AneckAdronico-p2k 4 күн бұрын
Somo zuri mch.
@emmanuelpeter6742
@emmanuelpeter6742 5 күн бұрын
Maandiko yanasema sabado ni Kwa waisrael na vizazi vyao vyote,pia mungu ni mmoja tu, ila anatenda kazi kupitia mwana , na roho takatifu
@SuleimanSamwel-bg6dz
@SuleimanSamwel-bg6dz 3 күн бұрын
Endelea kuwa mchekeshaji biblia waachie wengine,
@obedilizer3412
@obedilizer3412 Күн бұрын
Endelea kujidanganya.wee sema hakuna sabato shauri yako.ila ni vyema kutokuwapotosha wengine maana ni mbaya sana huko unapotea.Mungu akisema Jambo usitafute uchochoro.Kumbuka hata gharika iliwakumba watu kwa kua hawakutaka kumsikiliza wakapona 8 kati ya watu zaidi ya billion 11 Sasa wewe endelea kushangilia kufufuka wakati hakuibadilisha
@user-wm9hr7fx9l
@user-wm9hr7fx9l 4 күн бұрын
😂😂😂 unajificha kwenye shina la karanga wakirsto ndio huwa wanapotezwa na wachungaji acha kupotosha
@user13375
@user13375 7 күн бұрын
😮
@prmaotolalumbetv799
@prmaotolalumbetv799 2 күн бұрын
Naomba mdahalo na mzee huyu waandishi ili mtende haki muiteni na msabato ana kwa ana na hananja ili nitumie biblia tuu kuitetea sabato
@Life10061
@Life10061 5 күн бұрын
BABA USIWE NA KUKUMBUSHIA KILA WAKATI KUHUSU MTOTO WAKO KUAWA ,BASI TU SAMEHE RUHUSU MUNGU MPE NAFASI YAKE MUNGU ,WEWE SIYO KESI YAKO TENA HIYO ..UKIMUACHIA MUNGU INAKUWA KESI YA MUNGU NA WALIO UA MTOTO WAKO
@obedlwinga9194
@obedlwinga9194 6 күн бұрын
Mzee uko sahihi sana Siku haziwezi kumuokoa mtu wewe katika tafakali ya kawaida tu mtu in muuaji au mzinzi. Halafu ameshika sana sabato inamsaidia nini kama atakufa atakufa na dhambi yake na huku ameshika Siku je siku inaweza kumponya Siku ya hukum?
@jofreymlowoka7972
@jofreymlowoka7972 3 күн бұрын
Ananja mswahili sana anajibu kiserah sana
@paulmutuajustus5277
@paulmutuajustus5277 6 күн бұрын
Umepoteza wengi baz.
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 5 күн бұрын
Mbinguni hatuendi kwa kuabudu siku.Ufunuo wa Yohana 21:8 [8]Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 6 күн бұрын
Hana maandiko maneno mengi
@edwingunamla4200
@edwingunamla4200 Күн бұрын
Je Yesu yeye alikuwa akisali siku gani?
@onkobawesley3477
@onkobawesley3477 6 күн бұрын
Mwalimu bibilia si gazette unatafsili jinzi upendavyo
@stewardlwimbo3944
@stewardlwimbo3944 4 күн бұрын
Unashangilia kwa ushindi kwa maagizo ya nani mch. Unadanganya watu unaongea kwa mtizamo na siyo maandiko
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 13 сағат бұрын
Mchungaji unajichanganya maana wewe unasema hizi dini tumeletewa tu na sasa mbona unasema unaiamini biblia wakati wenzako walioisoma zamani na wakaleta imani hauwaamin
@isayalemberua9195
@isayalemberua9195 5 күн бұрын
kwa kweli unajibu sawasawa
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 54 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 114 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 35 МЛН
JAMANI AMKENI TAYALI SIRI IPO WAZI  KIFO CHAJA KWETU EV PASCHAL CASIAN
1:25:54
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 72 М.
MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI
31:52
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,9 МЛН
NDACHA ASHIDWA KUDHIBITISHA IBADA YA WAKRISTO
1:32:13
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 42 М.
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 54 МЛН