MAMBO YA SABATO NA JUDAISM HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AMETUELEZA KWA KIREFU UMUHIMU WA SABATO NA JINSI ILIVYO NGUMU AFRICA KUWA MSABATO
Пікірлер: 332
@Ayyub_Semtawa7 күн бұрын
Naamini majibu yako ndio akili yako ya mwisho kufikiria Ukiulizwa swali jibu kwa kujenga hoja yenye ushahidi wa maandiko
@JanethAnton-fx1mk7 күн бұрын
Naomba muweke mdahalo na mwalimu Ndacha sio unajificha kwa kichaka
@zaidiissa37147 күн бұрын
Huyo ndacha mwenyewe chizi Yani wakristo wote wamechanganyikiwa waisilamu wanaabudu kilasiku acheni kudanyanyana mbona mnaipenda uwongo sana kwani hamtuoni tukianda msikitini kilasiku yanikilakitu kweni niubishitu kitu mnakiona pia lakini bado tumtabusha yesu anasema yeye nimwana wa a damu nyinyi mnasema hapana wewe nimwana wa mungu kazi mnayo
@user-mw3oq4vz6k7 күн бұрын
Ndacha ndio unae mwamin sana kwamba yeye ndio anajua kula k2 acha izo ww
@petromachanga55386 күн бұрын
Ndasha chiZi
@Wamisangi6 күн бұрын
Ndacha anaijua kuran kwa msaada wa majini wema.
@user-wi8og3sv4j6 күн бұрын
@@zaidiissa3714 kasome vizuri bibilia
@josykogei76475 күн бұрын
Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato
@filexbenefits56122 күн бұрын
Andiko?
@ackimackim1880Күн бұрын
UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.
@yugemasanza10086 күн бұрын
Mzee Hananja umegusa pabaya. Tafuta masomo mengine. Achana na somo la Sabato
@nyansilujoseph-pm8imКүн бұрын
Mbona unaenda chaka sana ,,,, SABATO kumbe huijui hata hoja hazina mashiko kabisa
@AbdallahMpwatileКүн бұрын
Nakuelewa sana mzee rich billionaire
@KOLASCLASSICDESIGNS4 күн бұрын
JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH
@user-wg6pg9bg8v3 күн бұрын
Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?
@RichardMachuki2 күн бұрын
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
@VascoKasambala3 күн бұрын
WASABATO WANAONGOZA KUA NA ROHO MBAYA TANZANIA FANYENI UTAFTI WAO WAMESHIKA SKU TU SIO MENNGINE WANAIJUA AMRI MOJA TU
@KelvinOmbeniMathew3 сағат бұрын
Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12
@sabatomafwele14953 күн бұрын
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
@sospeterlaurent4428Күн бұрын
Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko
@laickwilinerd53753 күн бұрын
Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu
@AlfaMwahasanga-j1q3 күн бұрын
Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi
@erastuskajuna812Күн бұрын
Neno la Mungu linasema kuwa kile mtakachobadilisha duniani kitabadilishwa na mbinguni.
@mkoyitz24486 күн бұрын
Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu
@prochesernest54396 күн бұрын
Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada
@aquinomsigwa69985 күн бұрын
Acha dhambi
@aquinomsigwa69985 күн бұрын
Iabudu siku
@prochesernest54394 күн бұрын
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
@judithminja7704 күн бұрын
@@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah
@josejosepg66013 күн бұрын
Leo mzee wangu kachemka hapo kumbe biblia nipana sn tiketi ya kuonyesha iri uingie peponi ni amri kumi za MUNGU na ukishindwa moja umeharibu zote 🙆
@ivanbusumbiro642920 сағат бұрын
Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.
@user-px7qw3hs2h2 күн бұрын
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
@user-tr2mf3hp5sКүн бұрын
Nakubali Sana mzee wng
@japhetndoro65336 күн бұрын
Wewe potosha wenye hawajui maandiko
@denismugisha23 күн бұрын
Haya twambie wewe unayesoma na kujua neno, mitume walisali sabato ipi na wapi baada ya BWANA kufufuka na kupaa mbinguni
@lwezaurawilliam44985 күн бұрын
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada WAKOLOSAI 2:18 YOHANA 2:21-22 YEREMIA 31:31-34. WAEBRANIA 10.
@pascopaul909Күн бұрын
nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko
@kambaragemuya81676 күн бұрын
Ukifuata maandiko, hakuna aliyekuwepo wkt dunia uumbaji, wala kalenda hazikuwepo, kwa hiyo majina ya siku yametungwa hivi karibuni na siku za mwaka zimekuwa established juzijuzi, hivyo siku yoyote inaweza kuwa siku ya saba, huko nyuma kulikuwa hakuna week wala mwezi, ilikuwa majira tu!
@memorataedson78955 күн бұрын
pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi
@JohnMashamba2 күн бұрын
Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.
@albertvalentino1306 күн бұрын
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
@chillogeorge13836 күн бұрын
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili. Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
@georgesamweli98526 күн бұрын
Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.
@solomonmugao47333 күн бұрын
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
@ahz69072 күн бұрын
@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.
@PaulRuben-eu5nh6 күн бұрын
Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu
@Abudulungazah-zf8iiКүн бұрын
Watu wangu watapotea kw kukosa maarifa
@njiasalamatv47943 күн бұрын
WE PASTOR WEWE ACHA UONGO UJUE FATA MAANDIKO SIYO UTASHI WAKO PLEASE....
@ahz69072 күн бұрын
Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote. Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.
@machindafadhili31866 күн бұрын
KWAIYO UMEAMUA KUVUNJA AMRI YA MUNGU? KWA NINI MSIVUNJE AMRI YA 5 YA WAESHIMU BABA NA MAMA ILI SIKU ZAKO ZIPATE KUONGEZEKA. HACHENI UPOTOSHAJI MZEE
@sospeterlaurent4428Күн бұрын
Hakuna amli iliyovunjwa ilabiblia imegawanyika ko jitaidi kumuelewa mzee
@jacobnghwani1891Минут бұрын
Umesaidia wengi sana hasa uliposema wanadamu kitu hasa tunatakiwa ni tumwamini zaidi siyo kumdodosa, wasabato punguzeni ubishi hakuna aliewahi kufa akarudi
@AlexMungathia2 күн бұрын
Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu
@JanethAnton-fx1mk7 күн бұрын
Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 күн бұрын
kbs kbs umenena
@venancenkoronko92507 күн бұрын
Na utajuej kama unafuata kilicho sahihi?
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 күн бұрын
@@venancenkoronko9250 mm najuwa maana mm na amini biblia pekee yake
@rickiefisher108519 сағат бұрын
kama unaamin dini zililetwa unapataje Imani kwenye Mungu na dhambi
@MeshackMisungwi-w8q3 күн бұрын
Pole sana mzee somo gumu kwako
@JoshuaSalimu7 күн бұрын
Shida huna andiko
@user-wi8og3sv4j6 күн бұрын
Type wewe andiko
@Jonathankaghese7 күн бұрын
Mungu awabariki
@user-jc1do5gf3w7 күн бұрын
Amina
@msemakweli2437 күн бұрын
Sasa hapo inabidi ujiulize wakati yesu yupo hai amri na sheria alizitii nyinyi shangwe baada ya kufufuka aingii akilini
@JohariLozano7 күн бұрын
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
@Wamisangi6 күн бұрын
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote. 1Wakorintho 15:14 Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma. Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
@dicksonkilupa22585 күн бұрын
SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.
@ramahzedon6688Күн бұрын
Kanisa Katolic wanasema Sunday is mark of our authority je Kuna uhusiano gani kati ya siku ya jumapil na ukatoriki?
@meshacknyandongo57713 сағат бұрын
Mzee unatudanganya Yesu alivyozsliwa dunia haikua na lugha moja lugha zilivurugwa toka pale kwenye ujenzi wa mnara wa babeli Wewe una stori nyingi tu zingine za kufikiria tu sisi hatuna mtazamo wetu ila tuna mtazamo wa biblia hatutumii akili zetu
@meshacknyandongo57713 сағат бұрын
Jambo la kufurahisha ni kwamba mada imekua ngumu kwa mzee mpaka jasho linamtoka tu anafuta tu majasho
@MaryBuzingo6 күн бұрын
Mzee umechemka,hiyo amri inasema mungu alistarehe,aliibariki,Sasa mbona unapingana naye,Rudi kwenye maandikoa.
@josykogei76475 күн бұрын
Usimpinge hananja maandiko Inatuambia yesu NDIYE BWANA wa sabato Sasa kila siku ni siku ya MUNGU
@josykogei76475 күн бұрын
Anasema ROHO ni Moja ila utendaji ni tofauti amen amen
@m.m.tvmbebamaono5 күн бұрын
Wasabato wamechemka .
@m.m.tvmbebamaono5 күн бұрын
@@josykogei7647wasabato wote ni vichwa maji ,
@johnwoshi34597 күн бұрын
Waislamu wanaabudu majini na Allah ni Giza sisi ni Nuru ijumaa ni yao sisi haitihusu
@user-wi8og3sv4j6 күн бұрын
Ni giza kwa lugha gani?
@ashrafnuru64026 күн бұрын
Kafiri ni kafiri tu ndo maaana anaenda chooni na makaratasi,
@josephlorri4315 күн бұрын
Hata ukitawaza kwa dawa na kupiga perfume kinyeo chako..bado kitazikwa ardhini.. dini ni imani,usafi wa roho yako ndo muhimu @@ashrafnuru6402
@GeorgeMjemaКүн бұрын
Huyu tunamjua kwa comedian zake.
@Abudulungazah-zf8iiКүн бұрын
Kutatokea makrisot wa uwugo
@kjb_user007713 сағат бұрын
Duh kumbe kuabudu siku ya jumapili nikwa mtazamo wa watu tu?!
@mwoso5 күн бұрын
Kwa hivyo yesu anabaki kua mwana na mungu anabaki kua baba yake. Hatuwezi kuwachanganya kua mungu mmoja. Wenye utatu watupe maelezo mazuri ili tuelewe. Tunacho jua ni yesu alikua na uungu wa baba yake lakini sio kwa nafsi. Aliridhi uungu wa baba yake na akampa mamlaka hapa duniani. Lakini anabaki tu kua mwana wa mungu.
@JosephMpangala-wd5mp16 сағат бұрын
Hivi alieagiza amri ya kukumbuka siku ya Sabato ninani? Na amri kumi zipo kwaajili ya nani?
@williamgabrielmassawe36547 күн бұрын
Mchungaji Hananja ni Mgodi unaoishi
@PaulChambala5 күн бұрын
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
@GasparKyambala16 сағат бұрын
Nimekuelewa sana ila kwa maelezo yoko
@georgesamweli98526 күн бұрын
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
@leoncebenjamin81075 сағат бұрын
Upo sahihi hananja
@MagrethMallya-we8uiКүн бұрын
Yaani mpaka muelewe, someni biblia sana lakini mjue mbingini tutaendakwa matendo yetu.
@PaulRuben-eu5nh6 күн бұрын
Amina sana
@PaulChambala5 күн бұрын
We nae acha uxhabiki
@emmanuelpeter67425 күн бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza
@emmanuelpeter67425 күн бұрын
Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato
@mpjozzegalvanize49266 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza naona mzee wetu anapanic 😂, mzee umenikata leo😢
@elishampoki87517 күн бұрын
Wasabato wanaikosea sana siku ya sabato waliambiwa na Mungu wapumzike baada ya kufanya kazi siku sita wasabato hawapumziki ila wanakwenda kusali kwenye nyumba za ibada , hapo upumziki umeabudu ,
@msemakweli2437 күн бұрын
Kwenda kusali ni kufanya kazi?
@DannyJoseph-dr1ep7 күн бұрын
Mzee unasoma maandiko nusu nusu , sabato ni siku ya kusanyiko takatifu ndio siku ya kufanya ibaada na sio kazi
@PaulChambala5 күн бұрын
Miongon mwawatu hawaelewi niwewe ipo iv Mungu alixema tupumzike kwakaz zetu lakin kwakaz ya Mungu tunapiga
@DannyJoseph-dr1ep5 күн бұрын
@@PaulChambala . Mzee tofautisha kati ya kaz zako na kaz ya Mungu ,siku zote huwez kukusanyika kwa ajl ya ibada ,sasa swal kwako ni siku ipi n ya ibada na sio kaz ?
@panduafricangiant49022 күн бұрын
Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu
@hassanmpemba57476 күн бұрын
Mchungaji hananja kwa mengine uko sahihi na ndio imani yetu sisi waisilamu na hio iko sawa kabisa
@joseaugust28057 күн бұрын
Hesabu 15:32-36 Mathayo 12:1-21 Wagalatia 2:1-21 Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,. Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu , Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
@JajiZakayo-fw9mk6 күн бұрын
Wasabato ndio wanaongoza kuwaendea waganga wa kuenyeji na kuweka tumaini Lao katika mambo ya bima ya maisha wamesahau kuwa Yesu ndiye bima na tabibu mkuu
@PaulChambala5 күн бұрын
Lakin jamaa siunamsikia mchungaji wako nae hana hoja af pia madhehebu ya jumapili ndo yanaongoza Kwa mambo ya kishililina nakufundisha mapokeo ya watu
@DavidMujimba6 күн бұрын
uko sawa mchungaji
@user-rk6wu2gw1n7 күн бұрын
This one is a believer of sun worship(shetani)....
@GodfreyMwendawila-ff7on3 күн бұрын
Nakuelewa sana
@VenanceMgema-xu6bq6 күн бұрын
Unatakiwa usaidiwe kidogo tu Kuna mahali hujui mtumishi.
@isaiahkimathi40046 күн бұрын
Toa ushahindi wa bibilia mch acha pangang'a
@JonasMathias-s6m6 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@MageniDaniel-jl5nh6 күн бұрын
Et siku bora kwako ni ipi siku ya ushindi swali ni maelekezo ya Mungu??
@danielndusilo47236 күн бұрын
Dah waongo wanatia huruma kweli
@BenardPaul-t4x5 күн бұрын
Mungu akubali mch hananja
@MbendaHalfan6 күн бұрын
Wakristo wanaabudu masanamu,waislam wanamwabu mwenyezi Mungu mmoja tu na wanamwabudu kila siku siyo siku moja tu,lazima uelewe we katili uliosema waislam wanaabudu majini pumbavuuuu
@DaimonMwapelele5 күн бұрын
Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9
@isaacwafula77926 күн бұрын
siku sio siku tu Bali kunasiku imebarikiwa kuliko zote na ni jumanozi uwezi jiwekea siku kwani ni yako mungu aeshimiwe na Sheria zifuatwe ,huyu mchungaji tunamtaka Kwa mdhalo 19-16yesu anasema ukitaka kuenda binguni lazima ushike amri,na yakobo 2,10 ukivunja Moja umezivunja zote
@joseaugust28057 күн бұрын
Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake , Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style , Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,. Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini
@mpandandaki7 сағат бұрын
Hananja Acha kupotosha watu elezea uhalisia WA biblia ulivyo,sabato NI Dini ya Mungu na ndiyo daraja la kukufikisha Kwa Mungu hiyo ni amri ya Mungu unayoongea hayo unapitosha watu,wapi biblia inasema jumapili NI siku ya ushindi? Tupe andiko Acha kubwabwaja
@njiasalamatv47943 күн бұрын
DINI UMELETEWA NA WATU KWAHIYO HAKUNA NENO LA MUNGU ?
@mwamrasahamaro84736 күн бұрын
Katika watu ambao ninaamini wanapotea kabisa ni wasabato ni wabishi na hapa nashangaa zaidi kumbe nap wanatukana km wale wa mudi, na kumbe hata biblia hawasomi, eti wanaomba andiko lisemalo usiende mbali zaidi ya kurusha jiwe, Yani wanakataa hakuna neno Hilo, eti wanahifadhi sabato, na wanaenda mbinguni eti, enyi wasabato jueni hakuna mbingu ya wajinga,wabishi, to Biblia inasema hakuna atakaye hesabiwa haki kwa matendo ya Sheria.
@denismugisha23 күн бұрын
Constantine alitangaza jumapili wakati huo mitume wa Yesu walishaanza kuumega makate siku ya kwanza ya juma huku wakisakamwa na wayaudi wazee wa sabato, kwa hiyo ukisema costantino unakosea
@AneckAdronico-p2k4 күн бұрын
Somo zuri mch.
@emmanuelpeter67425 күн бұрын
Maandiko yanasema sabado ni Kwa waisrael na vizazi vyao vyote,pia mungu ni mmoja tu, ila anatenda kazi kupitia mwana , na roho takatifu
@SuleimanSamwel-bg6dz3 күн бұрын
Endelea kuwa mchekeshaji biblia waachie wengine,
@obedilizer3412Күн бұрын
Endelea kujidanganya.wee sema hakuna sabato shauri yako.ila ni vyema kutokuwapotosha wengine maana ni mbaya sana huko unapotea.Mungu akisema Jambo usitafute uchochoro.Kumbuka hata gharika iliwakumba watu kwa kua hawakutaka kumsikiliza wakapona 8 kati ya watu zaidi ya billion 11 Sasa wewe endelea kushangilia kufufuka wakati hakuibadilisha
@user-wm9hr7fx9l4 күн бұрын
😂😂😂 unajificha kwenye shina la karanga wakirsto ndio huwa wanapotezwa na wachungaji acha kupotosha
@user133757 күн бұрын
😮
@prmaotolalumbetv7992 күн бұрын
Naomba mdahalo na mzee huyu waandishi ili mtende haki muiteni na msabato ana kwa ana na hananja ili nitumie biblia tuu kuitetea sabato
@Life100615 күн бұрын
BABA USIWE NA KUKUMBUSHIA KILA WAKATI KUHUSU MTOTO WAKO KUAWA ,BASI TU SAMEHE RUHUSU MUNGU MPE NAFASI YAKE MUNGU ,WEWE SIYO KESI YAKO TENA HIYO ..UKIMUACHIA MUNGU INAKUWA KESI YA MUNGU NA WALIO UA MTOTO WAKO
@obedlwinga91946 күн бұрын
Mzee uko sahihi sana Siku haziwezi kumuokoa mtu wewe katika tafakali ya kawaida tu mtu in muuaji au mzinzi. Halafu ameshika sana sabato inamsaidia nini kama atakufa atakufa na dhambi yake na huku ameshika Siku je siku inaweza kumponya Siku ya hukum?
@jofreymlowoka79723 күн бұрын
Ananja mswahili sana anajibu kiserah sana
@paulmutuajustus52776 күн бұрын
Umepoteza wengi baz.
@m.m.tvmbebamaono5 күн бұрын
Mbinguni hatuendi kwa kuabudu siku.Ufunuo wa Yohana 21:8 [8]Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
@japhetndoro65336 күн бұрын
Hana maandiko maneno mengi
@edwingunamla4200Күн бұрын
Je Yesu yeye alikuwa akisali siku gani?
@onkobawesley34776 күн бұрын
Mwalimu bibilia si gazette unatafsili jinzi upendavyo
@stewardlwimbo39444 күн бұрын
Unashangilia kwa ushindi kwa maagizo ya nani mch. Unadanganya watu unaongea kwa mtizamo na siyo maandiko
@meshacknyandongo57713 сағат бұрын
Mchungaji unajichanganya maana wewe unasema hizi dini tumeletewa tu na sasa mbona unasema unaiamini biblia wakati wenzako walioisoma zamani na wakaleta imani hauwaamin