Рет қаралды 116,889
Kufuatia uteuzi wa aliyekuwa mhadhiri kwenye chuo kikuu cha Dar es Salaam, Dkt Bashiru Ally kuchukua mikoba ya Katibu Mkuu wa CCM kufuatia kujiuzulu kwa Abdulrahman Kinana, Tido Mhando amemtafuta Dkt Bashiru ili aweze kufunguka yale ambayo wananchi wasiyoyafahamu kuhusu yeye na siasa, yeye na CCM, yeye na Serikali na mengine mengi.
Ungana na Tido Mhando ndani ya FUNGUKA kupata majibu ya maswali yako.