Mtangazaji Gardner G. Habash, rafiki wa karibu na mfanyakazi mwenza wa marehemu #Kibonde amezungumza nasi kuugua hadi kufariki kwa Ephraim Kibonde alfajiri ya leo.
Пікірлер: 46
@anithakalist61945 жыл бұрын
Pole sana gadna G abash pole na familia pia,mwenyezi mungu ndiye mtoaji kumlaumu atuwezi pumzika Kwa amani Ephraim kibonde😭😭🙏🙏
@hadijapazia6845 жыл бұрын
Daaah Gardner unaonekana umelia sn kaka!! Pole sn
@mohdyussah8255 жыл бұрын
Inah lillah raijuin poleni Sana Ni msiba wetu wote mungu atupe subra Amen. Na ampumzishe salama peponi Amen
@kareemlaayjr45455 жыл бұрын
Pole sana
@christinemangati18655 жыл бұрын
Simanzi is deadly. Maybe he didn't eat for a while which triggered his gastric issue further. But kusema hakuna dawa,the government should have some chemist working 24/7. Poleni sana. It shall be well.
@frankndibalema64895 жыл бұрын
pole bro.Gadner kwa kupoteza swahiba wako .Mungu kampenda zaidi
@emmyyahya83585 жыл бұрын
Polen wafiwa wote jaman clouds mmetoka kumzika boss wenu leo mfanya kz mwenzenu daa 😥 ata machungu hayajaisha polen wafiwa wote
@mamafatuma1385 жыл бұрын
poleni sana kazi ya Allah aina makosa
@maureenmwimano19735 жыл бұрын
poleni sana kaka
@shanimbaruku20715 жыл бұрын
Pole da umelia jmn alikuwa Rafiki yako wa kweli kabisa utapooza Sana gadinner da
@dinamicheal51545 жыл бұрын
Polen sana clouds na ndugu na jamaa wa kaka yetu kibonde, na upumzike kwa aman
@sarahmbise85505 жыл бұрын
Kweli inauma sana pollen sana
@tanzaniamycountry93085 жыл бұрын
Pole nying kwako Bro @ George bantu Mungu akutie nguvu kwa kuondokewa na swahiba wako
@OmanOman-cr2xz5 жыл бұрын
Pole sana kaka mungu awatie nguvu
@marywambuijamesnuuguna41875 жыл бұрын
Poleni mungu awape nguvu
@rehemaamon26925 жыл бұрын
Dah ww mungu ndo unajua watoto hawa wataishi vp maana ww ni baba wa yatima. poleni sana familia kwa ujumla. pumzika kwa amani kaka kibonde
@maryspeter27245 жыл бұрын
hayo maswali "alikuwa ni mtu Wa aina gani " ,muwe mnauliza Kabla MTU hajafa ili naye ajue , unafiki na umama mwing sana waandish
@jasmineshechambo34015 жыл бұрын
Pole sana kaka
@starrecordshancej10835 жыл бұрын
Poleni saaaaaaana ndugu, jamaaa na marafiki.
@margaretwambete12285 жыл бұрын
Pole WATZ.
@ayilarhoda25035 жыл бұрын
Inauma sana jaman poleni sana familia na wana CMG.
@tanzaniamycountry93085 жыл бұрын
Pole mingi pia kwako@Gadna
@heriethwilliamwilliam17815 жыл бұрын
poleni sana familia ya marehemu na clouds kwa ujumla rest in peace kibonde 👫👪😫😭😱😰
@najma32685 жыл бұрын
Polen sana wafiwa , nasi tumeguswa maana imekua pigo kubwa kweli
@alfredmwamba96175 жыл бұрын
Gardner pole sana kwa kumpoteza FM kabadigidajabadiggggidaaaaaa tutamkumbuka
@delabossreizer94715 жыл бұрын
Daaaa kama aligoma kuondoka mwanza huo muda naona alishaisi kitu flan ase inaumaaa
@hazelbrown47125 жыл бұрын
Dahh yani kama Rafiki yake Ruge ameenda nje ya Dar na Miguu yake anarudishwa ndani ya Dar akiwa ndanj ya Ndege Maiti... so sad wallah😢😢😢💔💔💔
@a.8565 жыл бұрын
Poleni sana rip baba kibs
@khalidikibakuli1325 жыл бұрын
cc tulimpenda ila mungu amempenda zaid
@semanasitv83035 жыл бұрын
kwa hakika nimeumia
@stellafinsky94675 жыл бұрын
Kindly take care of is young kids
@evelyneernest88545 жыл бұрын
HAYA YOTE MAISHA UIIIII🙆🏾♀️🙆🏿♂️
@rhodamalembo78735 жыл бұрын
Polen xana kwa familia ya marehem na clouds lkn tunaomba serikali liangalie hili swala la dawa mahospitalin haswa mikoan kiukwel dawa n shida xana asilimia kubwa wafarki kwa kkoxa dawa
@musafirikasha27655 жыл бұрын
Life is Nothing!!!
@alfanshonde24385 жыл бұрын
Daa r.i.p kibonde
@sabinaonline65755 жыл бұрын
Kwahiyo kumbe angepata hizo dawa bas asingekufa ee Mungu tusaidie,Tanzania hii dawa muhimu hakuna
@hizim66995 жыл бұрын
Alikua anaumwa tumbo nanini nanini ndo nini sasa yani hata ww akili yako kuna mtu anaumwa nananini hv hawa wabongo vp yani mtu kafa gafla namna hio alafu unasema alikua anaumwa tumbo nanini nanini km hujui sema hujui yani watu wanachezea kifo cha mtu alafu apo apo anasema amehuzunika Alo watu wanafiki apa tz ni atari au ni anti book,, kwa sababu mtu uwezi kujib tumbo nanini nanini ndo nini sasa ndo ugonjwa gn??
@syksyk72955 жыл бұрын
Rip kbonde
@olivershayo59205 жыл бұрын
jamani hospl hizi
@donalddominic89055 жыл бұрын
Rip ndg yetu kibonde
@sophicatesalim97575 жыл бұрын
Alipata mshtuko maskini
@babenealoyce8895 жыл бұрын
Kwahiyo hakupata matibabu bukoba? Au nimesikia vibaya
@halimamzanda62435 жыл бұрын
Mi nilijua kafa kwenye ile ajali daaa
@mwanadamtz12985 жыл бұрын
MTU PEKEE WA KUCHUKUA NAFASI YA JAHAZI NI KABWANGA . R.I.P KIBONDE