Рет қаралды 150
KUFIKIA 2030 ASILIMIA KUBWA YA MAKAMPUNI YA MAGARI DUNIANI YATAKUWA YAMESHAACHANA KABISA KUTENGENEZA MAGARI YANAYOTUMIA MAFUTA watakuwa kwenye teknolojia hii ya magari ya umeme.Takwimu zinaonyesha kutoka magari milioni 3 yaliyouzwa mwaka 2020 idadi hiyo itafikia magari milioni 66 mwaka 2040.
Karibu kwenye CHANEL YAKO PENDWA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.Usisahau kusubscribe.