Wazindikwe wachezaji na moo Alena ikazindikwe visomo viwe vingi bro SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤
@BellaTuyi-hd7tw7 күн бұрын
Kaka GB64 Maisha marefu mungu azidi kukupa nguvu 💪 Hongera Sana kwa kulitambua hilo uchawi upo bro..ONANA yule kwel siku ya Simba day kafunga mbele ya mama samia bonge la goal..😢😢 Yanga wachawi sana. Ila kwa kuwa hilo mumelitambua jambo lakheriiii sana.. ✍️ Mabetu &Co
@user-xq8oo1qz3p6 күн бұрын
Gb Leo sio uongozi Tena imekuwa misumali Tena mbona ulikuwa unalia na uongozi
@user-lt2wb6hb9h6 күн бұрын
Wanasimba matola naye wanini kama kocha kaja na benchi lote la ufundi tunaomba aondoke,
@MamboMbuli7 күн бұрын
Kabda ya rigi kuanza wafanyiwe kisomo,,mapema sana,,na watuzwe na wale wanaofua JEZI za wachezaji watolewe nao wanatumika
@user-yw7uu6mc3m2 күн бұрын
Safi sana gb64 matola atuache
@OmarJoho2 күн бұрын
Tatizo yanga mnaimandi sana sima
@RashidKaoneka-bj8mm7 күн бұрын
Anakunja uso kama anavuta bangi utawakataa hawa ligi ikianza
@arthurmwakalukwa94714 күн бұрын
GB64 naomba tuongee nje ya mtandao umeongea vtu muhimu Nina la kukupa
@IddiHassan-mr3sb6 күн бұрын
Nakuona bado upo unalia lia tu
@user-kn7bo6iz4n7 күн бұрын
GB nakukubali sana
@mwinjilistielibarikismarar14806 күн бұрын
Ni kweli kabisa G64 uko sahihi
@barakajamalis7767 күн бұрын
Kaka sema,wachezaji wa simba,wanafaniwa ushenz
@RashidiAlly-et1sg7 күн бұрын
Number 9 timu ya taifa uganda 🇺🇬 mukwala GB anaunguluma
@nabiimgongolwa87287 күн бұрын
MH! KAZI IPO......FIKRA ZA KITUMWA
@PendoMatemba-ql1ng7 күн бұрын
Ata miraji Alishaongea kuwa kuna vitu wachezaji wanafanyiwa sasa ongeeni na kiongozi wetu Ajue cha kufanya wasije wakawa kama Aubini kramo kaja huku wamemzimisha
@HamzaMduda7 күн бұрын
Wachezaji tunawaacha krabu bingwa na shilikisho ambao tumewaona awa wote ware ware
@HamzaMduda7 күн бұрын
Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana
@upendofreddy6431Күн бұрын
Waache waendelee kutuita makoro .Ila hawajui .wamuulize Haji manara maanayake Sisi wajombazao ak.a mama zako tunawalea
@MikidadiNyangi7 күн бұрын
Kwann wanachukua wa chezaji we2 tulio waacha? Kuna ki2 ndan yake
@user-qw9zu3ly8m7 күн бұрын
😊😊NSSF FC
@KatongeOmari7 күн бұрын
😅😅😅😅mtu bad tunakukubali brother
@user-dy7pc4tm6u6 күн бұрын
Nilikua nakuamini sana lakini leo nimekuona chizi.karoge wewe tuone kama timu itakuwa mzuli
@FumaoFumao-d8w7 күн бұрын
Sisitiza sana Hili la dua
@andrewcharles20387 күн бұрын
Kikokotoo FC
@iddally10217 күн бұрын
Wewe Gb wewe sasa kama sio wabovu mmeawaacha kwanini, nabunasema mmestuka why usifanye mpango hiyo misumari wanayo pigwa wasipigwe tenaaaa!!
@AndreaAliseni7 күн бұрын
Gb uxhapewa ela ili uwe chawa
@PendoMatemba-ql1ng7 күн бұрын
Alafu mchome mwangalieni vizuri yule shabiki mandazi ndio mchawi wa wachezaji simba bwege yule mchawi mkubwa sijuhi kwa nini mnaruhusu Avae hile jezi mchawi wa simba wa kwanza mchome
@mariamemadoshi55407 күн бұрын
Unasemaje mwenzio mchawi kama wewe siyo mchawi alijaribu kuloga akashindwa ndiyo maana anahangaika sana makolo mtateseka sana
@user-lt2wb6hb9h6 күн бұрын
Uto walozi fc,
@dullamuso69557 күн бұрын
Subili Ligi ainze usije kana hiii clip yako. Ogopa Mungu na Technologia
@jumanneshego33086 күн бұрын
nyinyi wandishi amna kazi mnawaoji mpaka warevi uyo gb 1akiri ya mpira ana anajuwa majungu ana anachokijuwa wachezaji wa mchongo unataka ubingwa wa wapi ndiyo maana wenye akiri timam warikuweka rokap usije kureta maafa uwanjani
@JafariKanju6 күн бұрын
Mawazo mgando
@AndreaAliseni7 күн бұрын
GB muongo uxhapewa sukari ili uchawa viongoz
@OS-pf6op7 күн бұрын
Wewe tumia muda huu kufurahi, karibu furaha yako itatamatishwa ligi ikianza😂😂😂 We zobo kweli!
@OmarJoho2 күн бұрын
Simba hatuna ushamba kama yanga
@Esterkomba-ef7eb7 күн бұрын
Baleke Kwa mkopo
@barakajamalis7767 күн бұрын
Kamati ya ufundi,iwe makin
@RashidSaid-v8n7 күн бұрын
Ukosawabroo matola shobo
@eugeniuslugangira78997 күн бұрын
Kwani mchezaji akiwa MVP ni kwamba anaweza kuwa bora kwenye kila falsafa? Kuropoka kumbe nacho kipaji.
@user-qw9zu3ly8m7 күн бұрын
Wewe bwege ujui kitu kweeendraaaa
@RashidKaoneka-bj8mm7 күн бұрын
Asaivi ni wachawi ligi ikianza wananunua mechi
@OmaryAllykumba7 күн бұрын
😂😂 NSSF. fc
@HamzaMduda7 күн бұрын
Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana