No video

JEMEDALI AWAVAA YANGA KUMSAJILI BALEKE/AICHAMBUA YANGA KUCHEZA NA KAIZE CHIEFS YA SOUTH AFRICA

  Рет қаралды 28,520

JEMBESPORTS

JEMBESPORTS

Ай бұрын

Пікірлер: 38
@Feitoto-rk1tv
@Feitoto-rk1tv Ай бұрын
Lingekua kwa Yanga,ungeongea adi mishipa ingekutoka
@SelemaniMarko
@SelemaniMarko Ай бұрын
Ingekua yanga tungeona makala mpaka yaliyoandikwa kwa kimakonde ila kwa makolo aaaah
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Mashabiki wa yanga kitendo Cha mumfata huyu jamaa kwenye mitandao yake na kumponda kinampa nafasi ya yeye kufanya anachota acheni kumtafuta itasaidia Sana kuliko kumjibu kama hivi msikilizeni mpuuzeni
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 Ай бұрын
Yanga wa kisajili roho inakuuma
@HappyKitindi
@HappyKitindi Ай бұрын
Mbona ya Yanga unaonaga sio sawa, ila ya simba umesema ni kama umeolewa ukubali kulala bila nguo kwahiyo hata kama inaumiza inabidi ukubaliane nayo. Kwa mantiki hiyo ww ni simba au umeolewa na simba kwahiyo chochote wanachofanya huwezi kuwapinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kutetea makolo tu, kusema mazuri kwa Yanga aaaaaah
@samsonmwaipaja5231
@samsonmwaipaja5231 Ай бұрын
simba wahun hawana shukran watakula kumi
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Ай бұрын
Ingekuwa yanga mngesikia maneno
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Ай бұрын
Huyu jamaa hujui lolote kuhusu soka ni upenzi tu alionao kwa simba
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Ай бұрын
Ikiwa Simba unaongea kwa adabu lakini ingekuwa wamefanya Yanga ungekenua mpaka gego la mwisho.
@hockingsshangali1747
@hockingsshangali1747 Ай бұрын
Jemadari hilo ni kwa simba na azam. Lingekuwa upande wa yanga ugelisema sana chawa wewe. Umesahau ulivyokuwa wayasema ya fei toto
@fadhilisalmu723
@fadhilisalmu723 Ай бұрын
Huyu ni shabiki wa Simba ndiyo maana anasema ninyonge, haijalishi vyovyote haipendi Yanga hata kidogo
@matiankomola2391
@matiankomola2391 Ай бұрын
Huyo hana jambo jema la Yanga!
@josephmwise3177
@josephmwise3177 Ай бұрын
Manura namuonea huruma, lkn kwa huyu Jemedar ni sawa tu, Natamani siku moja nisikie Manura kamtema Jemedar.
@adinanzacharia409
@adinanzacharia409 Ай бұрын
Kwani kakosea wap
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Ай бұрын
ingekuwa yanga ungetoa maneno .. haya ni maisha tu safari inaendelea.. lakin nibora ungekuwa shabiki tu kuliko kuwa mchabuzi wa kuchambua umeegemea mti fulani tu hivo kuwa shabiki hapo tutakubali wewe mtani tu kuliko unafki
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe Ай бұрын
Sema nyie simba mna vihoro sana
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Ай бұрын
Utakoma na wachezaji wako (Haishi Manula). Azam haendi utakoma.
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 28 күн бұрын
Naona ktk comments kumetajwa yanga ....hii ni studio au maana sielew....i
@NickmasGozi-tt2sh
@NickmasGozi-tt2sh 27 күн бұрын
ww jemedar acha upumbavu uo niusenge2 hiyo sio simba
@bennieoswald8140
@bennieoswald8140 Ай бұрын
Wachambuzi wengi Nanyi ni washabiki
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 29 күн бұрын
HUYO MCHAMBUZI AU NJA TU MUOKOSI WA YANGA
@robertchazya2351
@robertchazya2351 Ай бұрын
Pumbav ndo maana hamuendelei
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je Ай бұрын
Wewe umeendelea?
@AhmedMussa-q9f
@AhmedMussa-q9f Ай бұрын
Wacha maneno ya kishenzi wee ngedere
@MjMohammed-nt6fq
@MjMohammed-nt6fq Ай бұрын
Yaan huyu kumbe akiri hana yaaan anadai viongozi hawafati uweledi lkn yeye nae ni kiongozi amekiri boko kaisha lkn katumia uwongozi wake kumsajir boko jkt ambaye ameisha sasa uweledi wake upo wap mbwea wewe
@halson827
@halson827 29 күн бұрын
Sipendi taarifa zinatotumia clickbait ni ushamba...
@kasimumughuna201
@kasimumughuna201 Ай бұрын
Wapi alipowavaa yanga mwandishi????😮😮😮
@stephanSandika
@stephanSandika Ай бұрын
Uwezi kuwa kiongozi bila kuwa mshabiki
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Ай бұрын
Ww muongo sanaaa mpuuzi
@hellenmchomvu6296
@hellenmchomvu6296 Ай бұрын
Sura tu haina nuru😂kisa kuchukia yanga
@Dula707
@Dula707 Ай бұрын
Kama ww tu pia ni shabiki tu Ila unajikuta wewe umenyooka
@musamusa6213
@musamusa6213 Ай бұрын
Timu yako simba waseme kama unavyotoaga maneno machafu Kwa yanga
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Ай бұрын
Apumzike kama mudathir tu mwakani ataondoka bure. Kikubwa uhai na afya tu
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Ай бұрын
Tena huyu amendable kuiharibu crown
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz Ай бұрын
Kiba hapa amefeli bora angalimchukua. Mwanduke
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Ай бұрын
Hapo kwa simba unyooshi maneno wewe mchambuzi uchambuziwako ni wa kubabaisha tu sasa aish kukaajukwaani unaona sahihi semaukweli
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy Ай бұрын
Wewe mmakonde kua muazi tu ww ni chawa wa simba
@DENISURIO-r3v
@DENISURIO-r3v Ай бұрын
Hujielewi wewe
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 33 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 2,5 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 13 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 33 МЛН