Lingekua kwa Yanga,ungeongea adi mishipa ingekutoka
@SelemaniMarkoАй бұрын
Ingekua yanga tungeona makala mpaka yaliyoandikwa kwa kimakonde ila kwa makolo aaaah
@michaelthobias9967Ай бұрын
Mashabiki wa yanga kitendo Cha mumfata huyu jamaa kwenye mitandao yake na kumponda kinampa nafasi ya yeye kufanya anachota acheni kumtafuta itasaidia Sana kuliko kumjibu kama hivi msikilizeni mpuuzeni
@twahakabajemi9716Ай бұрын
Yanga wa kisajili roho inakuuma
@HappyKitindiАй бұрын
Mbona ya Yanga unaonaga sio sawa, ila ya simba umesema ni kama umeolewa ukubali kulala bila nguo kwahiyo hata kama inaumiza inabidi ukubaliane nayo. Kwa mantiki hiyo ww ni simba au umeolewa na simba kwahiyo chochote wanachofanya huwezi kuwapinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kutetea makolo tu, kusema mazuri kwa Yanga aaaaaah
@samsonmwaipaja5231Ай бұрын
simba wahun hawana shukran watakula kumi
@yunusimchala6569Ай бұрын
Ingekuwa yanga mngesikia maneno
@mohdkhatib223Ай бұрын
Huyu jamaa hujui lolote kuhusu soka ni upenzi tu alionao kwa simba
@reginaldmapunda6702Ай бұрын
Ikiwa Simba unaongea kwa adabu lakini ingekuwa wamefanya Yanga ungekenua mpaka gego la mwisho.
@hockingsshangali1747Ай бұрын
Jemadari hilo ni kwa simba na azam. Lingekuwa upande wa yanga ugelisema sana chawa wewe. Umesahau ulivyokuwa wayasema ya fei toto
@fadhilisalmu723Ай бұрын
Huyu ni shabiki wa Simba ndiyo maana anasema ninyonge, haijalishi vyovyote haipendi Yanga hata kidogo
@matiankomola2391Ай бұрын
Huyo hana jambo jema la Yanga!
@josephmwise3177Ай бұрын
Manura namuonea huruma, lkn kwa huyu Jemedar ni sawa tu, Natamani siku moja nisikie Manura kamtema Jemedar.
@adinanzacharia409Ай бұрын
Kwani kakosea wap
@Evance-op4jwАй бұрын
ingekuwa yanga ungetoa maneno .. haya ni maisha tu safari inaendelea.. lakin nibora ungekuwa shabiki tu kuliko kuwa mchabuzi wa kuchambua umeegemea mti fulani tu hivo kuwa shabiki hapo tutakubali wewe mtani tu kuliko unafki
@rasakakaombweАй бұрын
Sema nyie simba mna vihoro sana
@christianjohnmwalugaja8090Ай бұрын
Utakoma na wachezaji wako (Haishi Manula). Azam haendi utakoma.
@rashidmaulid731228 күн бұрын
Naona ktk comments kumetajwa yanga ....hii ni studio au maana sielew....i
@NickmasGozi-tt2sh27 күн бұрын
ww jemedar acha upumbavu uo niusenge2 hiyo sio simba
@bennieoswald8140Ай бұрын
Wachambuzi wengi Nanyi ni washabiki
@saidmbarouk355329 күн бұрын
HUYO MCHAMBUZI AU NJA TU MUOKOSI WA YANGA
@robertchazya2351Ай бұрын
Pumbav ndo maana hamuendelei
@JUU-lw2jeАй бұрын
Wewe umeendelea?
@AhmedMussa-q9fАй бұрын
Wacha maneno ya kishenzi wee ngedere
@MjMohammed-nt6fqАй бұрын
Yaan huyu kumbe akiri hana yaaan anadai viongozi hawafati uweledi lkn yeye nae ni kiongozi amekiri boko kaisha lkn katumia uwongozi wake kumsajir boko jkt ambaye ameisha sasa uweledi wake upo wap mbwea wewe
@halson82729 күн бұрын
Sipendi taarifa zinatotumia clickbait ni ushamba...
@kasimumughuna201Ай бұрын
Wapi alipowavaa yanga mwandishi????😮😮😮
@stephanSandikaАй бұрын
Uwezi kuwa kiongozi bila kuwa mshabiki
@yunusimchala6569Ай бұрын
Ww muongo sanaaa mpuuzi
@hellenmchomvu6296Ай бұрын
Sura tu haina nuru😂kisa kuchukia yanga
@Dula707Ай бұрын
Kama ww tu pia ni shabiki tu Ila unajikuta wewe umenyooka
@musamusa6213Ай бұрын
Timu yako simba waseme kama unavyotoaga maneno machafu Kwa yanga
@shaameshaame2837Ай бұрын
Apumzike kama mudathir tu mwakani ataondoka bure. Kikubwa uhai na afya tu
@yunusimchala6569Ай бұрын
Tena huyu amendable kuiharibu crown
@B.M-ix4rzАй бұрын
Kiba hapa amefeli bora angalimchukua. Mwanduke
@LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын
Hapo kwa simba unyooshi maneno wewe mchambuzi uchambuziwako ni wa kubabaisha tu sasa aish kukaajukwaani unaona sahihi semaukweli