Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
@khalidmwakabuta50453 ай бұрын
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
@MamboMbuli3 ай бұрын
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
@ChobitzFadhili2 ай бұрын
Nakubali kk awo wachaw🎉
@josepahatmargwe65043 ай бұрын
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
@yohanalungwa79603 ай бұрын
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
@MnyorokaAhmadSimba-wk4gr2 ай бұрын
Hongera tutakupa kamati yadua
@TomasiklistophaMwinuka3 ай бұрын
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@khalidmwakabuta50452 ай бұрын
@@TomasiklistophaMwinuka Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
@kefamahenge51873 ай бұрын
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
@LupatuDaiya2 ай бұрын
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
@GodfreyJames-zt6ig3 ай бұрын
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@daudinyello40333 ай бұрын
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
@aminaomary55672 ай бұрын
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@FatmaHamad-g6s3 ай бұрын
Kweli wanawapiga misumari sana
@salimmalaka2563 ай бұрын
HIYO 100%
@patrickmohamed36393 ай бұрын
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
@KosovoNaiiem3 ай бұрын
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
@salimmalaka2563 ай бұрын
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
@MwajumaNgaruma3 ай бұрын
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
@MohamedChillo3 ай бұрын
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
@DonatelaSanga3 ай бұрын
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
@lemamolelilemamoleli77403 ай бұрын
Nakweli
@AbbasyMdabwa3 ай бұрын
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
@fidelismwakanyamale67873 ай бұрын
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
@upendofreddy64312 ай бұрын
Simba nguvu moja
@HamadSuleiman-e1x3 ай бұрын
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
@HauleBasuke3 ай бұрын
Umetufumbua macho blo
@marshangeka7122 ай бұрын
Kweli kabisa mwamba
@RamadhanKhasan-f6o2 ай бұрын
Gb yupo sahih
@abuuhassani4973 ай бұрын
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
@sedekiantibahoha22453 ай бұрын
We ndo huna akili sio gb
@SalhaSuleiman-y8m2 ай бұрын
Nasisitiza kazi ya upishi
@Bboy-ek8vn3 ай бұрын
Yanga wamemchukua tena pa jobe
@salimmalaka2563 ай бұрын
NDIO ZAO HIZO
@JohnMpemba-in1jm3 ай бұрын
Gb upo saw bro
@aminaomary55672 ай бұрын
Kweli kaka chama aende tu. Ila matola aondoke ataiharibu timu muda si mrefu
@samadady77953 ай бұрын
Mwanangu unaongea ukwely sana
@KosovoNaiiem3 ай бұрын
Mo oyeeee nguvu moja
@beatussoka95173 ай бұрын
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
@JosephTibu3 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA
@HamisiAthumani-vz1oi3 ай бұрын
Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏
@MohdRehan-v9l3 ай бұрын
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
@KosovoNaiiem3 ай бұрын
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
@salimmalaka2563 ай бұрын
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
@komboarts71103 ай бұрын
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
@SilivesterHasunu3 ай бұрын
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
@moseshaji11773 ай бұрын
Salute kwako mwana Movement
@danielpeter80853 ай бұрын
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
@salimmalaka2563 ай бұрын
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
@mtulivu-ir1nq3 ай бұрын
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
@daudinyello40333 ай бұрын
HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA
@ibrahimusagondo52282 ай бұрын
Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa
@RojaAbdul2 ай бұрын
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
@abuusadick98913 ай бұрын
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
@salimmalaka2563 ай бұрын
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
@Mwnashabani2 ай бұрын
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
@hamidudigogo58632 ай бұрын
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
@JohnAloyceSanane3 ай бұрын
Asa anamgombesha Nan huyo 😢😢😂😂
@salimmalaka2563 ай бұрын
WEWE
@dalalfundikila5073 ай бұрын
G waambie utopolo walozi sana
@salimmalaka2563 ай бұрын
TENA WANAUWABUDU
@godwillrichard70173 ай бұрын
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
@elishakayagwa93713 ай бұрын
Kweli aliyekupeleka jela alikuwa na akili sana 😂😂😂
@jitihadaharuna94483 ай бұрын
Kweli kabisa 😂
@amirihabibu88922 ай бұрын
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
@justinazakayo61523 ай бұрын
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
@THEOBALDNGOBYA3 ай бұрын
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
@eliadaimon8043 ай бұрын
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
@ezenaboniface25192 ай бұрын
Nikweli viongozi wa Simba amkeni lindeni wachezaji vipaji vyao maana upande wa pili wanawachezea wachezaji wetu wanaharibu vipaji vyao ok viongozi
@MayleenDonaldharris3 ай бұрын
Kweli yanga wachawi sana
@ambrosipaulo17323 ай бұрын
Gb bhana
@emmanuelthomas10782 ай бұрын
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
@feisalmohamed28483 ай бұрын
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
@JoisackSilwamba3 ай бұрын
Sema baba sema
@jumanneshego33083 ай бұрын
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
@AwadhiHashimu3 ай бұрын
Vp unawasifu tena kak
@yakoubaliy75593 ай бұрын
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
@Amonationtv45513 ай бұрын
Daah
@Daniel-u5q2 ай бұрын
Uko sahh mwamba
@upendofreddy64312 ай бұрын
Hahaha, kwelli uchawi upooo
@AshelyAbel-kg4kx2 ай бұрын
huyu mwamba anaona mbali
@isayamwite3075Ай бұрын
Ubaya ubwela
@Bboy-ek8vn3 ай бұрын
Pa omary jobe kaenda yanga
@simionluambano38283 ай бұрын
Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa
@alimohammedomar34123 ай бұрын
Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi
@RashidWatac3 ай бұрын
Kabisa mkongwe 64
@salimmalaka2563 ай бұрын
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
@shabanimzalla71083 ай бұрын
NAKUKUBARI SANA GB64
@Tupatupamuhamadi3 ай бұрын
Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa
@daudimchileg3073 ай бұрын
Mmmmh mtatafuta sababu saaana
@DanieliIbrahim3 ай бұрын
Bangi hzoooooo
@muhamedjaffar56533 ай бұрын
Bila Dhaka utakua utoporo
@salimmalaka2563 ай бұрын
BANGI KUNUNUWA KWA MAMAKO FISI WEWE
@MambukiIbrahim3 ай бұрын
Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily