GB 64 DEBORA FERNANDES NI MASHINE KATILI VIBAYA MNO, SIMBA TUNASHUSHA VYUMA

  Рет қаралды 90,569

Ngwale Sports HD

Ngwale Sports HD

Күн бұрын

Debora fernandes

Пікірлер: 191
@MamboMbuli
@MamboMbuli 3 ай бұрын
Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
@khalidmwakabuta5045
@khalidmwakabuta5045 3 ай бұрын
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
@MamboMbuli
@MamboMbuli 3 ай бұрын
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
@JoramKinyuko
@JoramKinyuko 2 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@FatmaAli-i8g
@FatmaAli-i8g 3 ай бұрын
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
@ChobitzFadhili
@ChobitzFadhili 2 ай бұрын
Nakubali kk awo wachaw🎉
@josepahatmargwe6504
@josepahatmargwe6504 3 ай бұрын
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
@yohanalungwa7960
@yohanalungwa7960 3 ай бұрын
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
@MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
@MnyorokaAhmadSimba-wk4gr 2 ай бұрын
Hongera tutakupa kamati yadua
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 ай бұрын
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@khalidmwakabuta5045
@khalidmwakabuta5045 2 ай бұрын
@@TomasiklistophaMwinuka Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
@kefamahenge5187
@kefamahenge5187 3 ай бұрын
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
@LupatuDaiya
@LupatuDaiya 2 ай бұрын
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 3 ай бұрын
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@daudinyello4033
@daudinyello4033 3 ай бұрын
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 3 ай бұрын
Kweli wanawapiga misumari sana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
HIYO 100%
@patrickmohamed3639
@patrickmohamed3639 3 ай бұрын
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
@KosovoNaiiem
@KosovoNaiiem 3 ай бұрын
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 3 ай бұрын
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
@MohamedChillo
@MohamedChillo 3 ай бұрын
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
@DonatelaSanga
@DonatelaSanga 3 ай бұрын
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
@lemamolelilemamoleli7740
@lemamolelilemamoleli7740 3 ай бұрын
Nakweli
@AbbasyMdabwa
@AbbasyMdabwa 3 ай бұрын
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 3 ай бұрын
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
@upendofreddy6431
@upendofreddy6431 2 ай бұрын
Simba nguvu moja
@HamadSuleiman-e1x
@HamadSuleiman-e1x 3 ай бұрын
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
@HauleBasuke
@HauleBasuke 3 ай бұрын
Umetufumbua macho blo
@marshangeka712
@marshangeka712 2 ай бұрын
Kweli kabisa mwamba
@RamadhanKhasan-f6o
@RamadhanKhasan-f6o 2 ай бұрын
Gb yupo sahih
@abuuhassani497
@abuuhassani497 3 ай бұрын
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
@sedekiantibahoha2245
@sedekiantibahoha2245 3 ай бұрын
We ndo huna akili sio gb
@SalhaSuleiman-y8m
@SalhaSuleiman-y8m 2 ай бұрын
Nasisitiza kazi ya upishi
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 3 ай бұрын
Yanga wamemchukua tena pa jobe
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
NDIO ZAO HIZO
@JohnMpemba-in1jm
@JohnMpemba-in1jm 3 ай бұрын
Gb upo saw bro
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Kweli kaka chama aende tu. Ila matola aondoke ataiharibu timu muda si mrefu
@samadady7795
@samadady7795 3 ай бұрын
Mwanangu unaongea ukwely sana
@KosovoNaiiem
@KosovoNaiiem 3 ай бұрын
Mo oyeeee nguvu moja
@beatussoka9517
@beatussoka9517 3 ай бұрын
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
@JosephTibu
@JosephTibu 3 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA
@HamisiAthumani-vz1oi
@HamisiAthumani-vz1oi 3 ай бұрын
Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏
@MohdRehan-v9l
@MohdRehan-v9l 3 ай бұрын
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
@KosovoNaiiem
@KosovoNaiiem 3 ай бұрын
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
@komboarts7110
@komboarts7110 3 ай бұрын
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
@SilivesterHasunu
@SilivesterHasunu 3 ай бұрын
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
@moseshaji1177
@moseshaji1177 3 ай бұрын
Salute kwako mwana Movement
@danielpeter8085
@danielpeter8085 3 ай бұрын
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
@KuchbyMskude
@KuchbyMskude 2 ай бұрын
Shabiki mwenye akili hold up broah
@YahyaMndevu
@YahyaMndevu 2 ай бұрын
Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba
@SalhaSuleiman-y8m
@SalhaSuleiman-y8m 2 ай бұрын
Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
❤❤
@YohanaSanga-bo5up
@YohanaSanga-bo5up 2 ай бұрын
Ameongea kwerii lakin kaongea sana yan daaa gb3 bhnaaa😂😂
@Shija.c.milele
@Shija.c.milele 3 ай бұрын
😂😂😂GB bana
@4gfashion
@4gfashion 3 ай бұрын
Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA
@MamboMbuli
@MamboMbuli 3 ай бұрын
Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta
@josepahatmargwe6504
@josepahatmargwe6504 3 ай бұрын
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq 3 ай бұрын
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
@daudinyello4033
@daudinyello4033 3 ай бұрын
HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA
@ibrahimusagondo5228
@ibrahimusagondo5228 2 ай бұрын
Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa
@RojaAbdul
@RojaAbdul 2 ай бұрын
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
@abuusadick9891
@abuusadick9891 3 ай бұрын
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
@Mwnashabani
@Mwnashabani 2 ай бұрын
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 2 ай бұрын
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
@JohnAloyceSanane
@JohnAloyceSanane 3 ай бұрын
Asa anamgombesha Nan huyo 😢😢😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
WEWE
@dalalfundikila507
@dalalfundikila507 3 ай бұрын
G waambie utopolo walozi sana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
TENA WANAUWABUDU
@godwillrichard7017
@godwillrichard7017 3 ай бұрын
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 3 ай бұрын
Kweli aliyekupeleka jela alikuwa na akili sana 😂😂😂
@jitihadaharuna9448
@jitihadaharuna9448 3 ай бұрын
Kweli kabisa 😂
@amirihabibu8892
@amirihabibu8892 2 ай бұрын
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
@justinazakayo6152
@justinazakayo6152 3 ай бұрын
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
@THEOBALDNGOBYA
@THEOBALDNGOBYA 3 ай бұрын
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
@eliadaimon804
@eliadaimon804 3 ай бұрын
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
@ezenaboniface2519
@ezenaboniface2519 2 ай бұрын
Nikweli viongozi wa Simba amkeni lindeni wachezaji vipaji vyao maana upande wa pili wanawachezea wachezaji wetu wanaharibu vipaji vyao ok viongozi
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris 3 ай бұрын
Kweli yanga wachawi sana
@ambrosipaulo1732
@ambrosipaulo1732 3 ай бұрын
Gb bhana
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 2 ай бұрын
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
@RajabuRamadhan-cy4cj
@RajabuRamadhan-cy4cj 3 ай бұрын
Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba
@KABIBIPETER
@KABIBIPETER 2 ай бұрын
lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba
@hansmkumba3774
@hansmkumba3774 3 ай бұрын
Huyu akili Hana
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 3 ай бұрын
chuki yanini sasa
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 3 ай бұрын
Huyu kashalewa mbona
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO
@maikomatayo2794
@maikomatayo2794 3 ай бұрын
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
@feisalmohamed2848
@feisalmohamed2848 3 ай бұрын
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
@JoisackSilwamba
@JoisackSilwamba 3 ай бұрын
Sema baba sema
@jumanneshego3308
@jumanneshego3308 3 ай бұрын
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
@AwadhiHashimu
@AwadhiHashimu 3 ай бұрын
Vp unawasifu tena kak
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 3 ай бұрын
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
@Amonationtv4551
@Amonationtv4551 3 ай бұрын
Daah
@Daniel-u5q
@Daniel-u5q 2 ай бұрын
Uko sahh mwamba
@upendofreddy6431
@upendofreddy6431 2 ай бұрын
Hahaha, kwelli uchawi upooo
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx 2 ай бұрын
huyu mwamba anaona mbali
@isayamwite3075
@isayamwite3075 Ай бұрын
Ubaya ubwela
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 3 ай бұрын
Pa omary jobe kaenda yanga
@simionluambano3828
@simionluambano3828 3 ай бұрын
Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 3 ай бұрын
Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi
@RashidWatac
@RashidWatac 3 ай бұрын
Kabisa mkongwe 64
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
@shabanimzalla7108
@shabanimzalla7108 3 ай бұрын
NAKUKUBARI SANA GB64
@Tupatupamuhamadi
@Tupatupamuhamadi 3 ай бұрын
Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa
@daudimchileg307
@daudimchileg307 3 ай бұрын
Mmmmh mtatafuta sababu saaana
@DanieliIbrahim
@DanieliIbrahim 3 ай бұрын
Bangi hzoooooo
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 3 ай бұрын
Bila Dhaka utakua utoporo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
BANGI KUNUNUWA KWA MAMAKO FISI WEWE
@MambukiIbrahim
@MambukiIbrahim 3 ай бұрын
Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily
@Licky_boy_tz
@Licky_boy_tz 3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@abujumanne7570
@abujumanne7570 3 ай бұрын
Gb 64 umeongea ukweli
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 3 ай бұрын
Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu
@mkudembeteni4075
@mkudembeteni4075 3 ай бұрын
Kaka umesema tume kusikia wata amua!!
MCHUNGAJI WA SIMBA AWAKA MATOKEO YA SIMBA, SUB ZA KOCHA AMEKOSEA
8:39
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 4,2 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН
GB 64 AMGOMEA ZUNGU
11:53
Kaje Tv
Рет қаралды 50 М.
GB 64 AMLIPUA HAJI MANARA KISA AHMED ALLY, ANAZUNGUKA TU ZAIY LISSA
12:06
MZEE WA UTOPOLO PAMBA JIJI TUMEWAFANYIA OPERATION, HIZI NI SALAM TAREHE 19
10:42