GENIUS X66: S2KIZY, USIIGE NA WEWE, MIMI SI MBONGO, AJIBU KULIPWA MAMILION NA JAY MELODY
Пікірлер: 24
@DjissarHtown6 күн бұрын
I’ve been watching this kid aisee ni super talent trust me utafika mbali sanaa proud of you
@user-uf7oh5eu4v25 күн бұрын
Mtu makiniii😅😅
@SwifraKitemwe25 күн бұрын
Geniusjin ×66
@jamaaafrikatv659024 күн бұрын
Danzo Tabata boi, mtoto wa kanisani, kiongozi wa viwawa 😂, unatisha SANA Kaka, ithinking it's your time, keep up man
@kiatu20 күн бұрын
Binadamu wote hawatakiwi kusema uongo sio swala la udini
@Pemba68023 күн бұрын
Jamaa mkali sana
@chidi_don24 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Avibrtz25 күн бұрын
Watanzania tunahuruma sana hawa akina Genius si wakenya tunajua ila tumewapa ustar 😢 ila ingekuwa wakwetu kupata TU hii interview nikisanga
@chuchufplatnumz488824 күн бұрын
Acha ubaguzi ndugu. Wako ndugu zetu WA kibongo wengi Tu wanaopata Kenya. Mr Nice mpka leo Maisha bomba kuptia Kenya, Fredrick Muller ndugu yko kbsa WA Morogoro yko anafanya mziki Safi Tu, hkohko Kenya.
@DavalsonMarlony24 күн бұрын
@@chuchufplatnumz4888syo ubaguz kaongea ukwel tz inaupendo wa pekee
@cristaezekiel103620 күн бұрын
Ebu imba wewe tukuone 😂😂😂😂ww si mtz?ebu imba huku tz tukuone 😂😂😂😂 Acha wivu bwana ,tatizo nyota
@faxkeentv585011 күн бұрын
Fundi
@Samtellg25 күн бұрын
Jaman kuliza siyo ujinga hivi huyu Jini wanaundugu na huseni machozi?🙏
@MinisterElisha-d25 күн бұрын
Memi apa ndo ndugu yake
@SuedChuby25 күн бұрын
Acha ujinga😏
@Avibrtz25 күн бұрын
Hapana huyo nimkimbizi kutoka Kenya hana udugu na Huseni
@Fadhiljumanne25 күн бұрын
So ndungu ni wanatoka mkoa mmja
@Soundprobeats24 күн бұрын
Kuuluza ni ujinga acha kujitetea
@hostkayava676824 күн бұрын
it's jin ex dabo six
@user-cf3lt8ji4j25 күн бұрын
Naona kabisa gin×66 anavochukua mikoba ya S2kizzy siku chache zijazo
@Soundprobeats24 күн бұрын
Hujui ulisemalo
@user-cf3lt8ji4j20 күн бұрын
@@Soundprobeats sijui nilisemalo vipi Sasa kwani S2kizzy Si kapokea mikoba kutoka Kwa T-touch na queck rock Sasa Kuna ubaya gani ye kumuachia mikoba ginnix66 au mikoba unaichukulia ni uchawi au