Napenda sana Okanga anavyojenga hoja ni mujarabu kweli kweli.
@letustraveltogether.2023Ай бұрын
If this is the spirit of Genz definitely you'll fail in Jesus name.
@martins.k3359Ай бұрын
Okanga hapo ume noa hatuna ukimwi wamama inafaa wanone.
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
Sio lazima uongee ikiwa huna chakuongea
@BonfaceOgwe-wq9nyАй бұрын
Juu sasa wewe ukona chakuongea ebu tuambie
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
@@BonfaceOgwe-wq9ny kwani mko wangapi ndio niwaambie? Nimeshaongea na ndio maana umewashwa
@Mohamed_Ali_BaghrabАй бұрын
Wewe kama ni kweli jaribu tu kuharibu Kenya hii kama unaweza!.. Ni domo tu na kimbelembele hauna lolote. Wewe mwanzo hauko katika team ya vija wa Gen-Z.. wewe uko na ukabila.
@arishi2021Ай бұрын
Nganga was chilling then boom 💥💥💥
@BRIANKITININDIАй бұрын
Huyu atapa E strong anajifanya ajua historia atapewa Tu kaswali kadogo kama Devonshire white pepper ajui ya Kenya ni paper 1
@WanjauKariukiАй бұрын
Very true bro Nuru
@ismailadan694Ай бұрын
Upuuzi sana
@benardmichael4004Ай бұрын
All American and the west should leave our continent.We say no to any American military base in our country.
@GiftWanjohi-n4zАй бұрын
Military hawana shida'infact they really help our military.
@user-nk2xh9ug8gАй бұрын
🤔🤔🤔 US Military Base iko more beneficial na iko na advantages zake ikiwa.
@GiftWanjohi-n4zАй бұрын
@@user-nk2xh9ug8g kabisa.like nanyuki camp helps alot hata kwa county growing. Kuna gen z wanaongea tu juu mtu hako exposed na haoni effect yeyote in this life hata waki fanya mambo ingine..mtu amezoea kuingia kwa stall ya estate na mtu huendea mali zake outsude country mentality ni different. I mean this like people ate bringing issues juu ya comments anasikia not based on what they know
@bahariawalkАй бұрын
Hapa nyumbani kuna aina ya bangi inaitwa Nuru Okanga
@philiplugalia3724Ай бұрын
Ruto was installed by the Americans but Kenyans don't need him as the president
@timothycheruiyot6795Ай бұрын
Point
@jameskiambati9816Ай бұрын
Kaunti zote ziliandamana
@geraldluiso6792Ай бұрын
Sniper wa USA age of Gen Z like Kenya Gen Z.
@user-tc9jq9fg6cАй бұрын
Ruto must go Okanga wacha kuchanganikiwa
@ElizabethMasitsa-pk9unАй бұрын
A then! U think your life will change after is gone or!??
Sasa nimeshangaa na watu wa Kenya,mlikuwa mnasema mambo ya bill na presdent akawasikia sasa mnaendelea tu maandamano na watu wanakufa, ni siku za mwisho isaya 8:21 Ruto hana shida
@martinnzau8453Ай бұрын
Sasa tunamaliza ujinga Na uwongo..
@wallaceunjorogeАй бұрын
sai muko serikali ,mkishiba msitabikie wengine bure kabisa just brokers
@decoloniz_afroАй бұрын
2:35 ukimwi...same wazungu manufactured that ukimwi..ebola.. corona etc bioweapon
@ajosartwork5148Ай бұрын
Kanga ushafugwa na rais tena?
@She_AfricaАй бұрын
ARVs very important 😂
@dzombokirazi9322Ай бұрын
Ww nliona kama uko na akili kumbe n mjinga tu sana hujui ss unaogea nn kumbavu ww hebu nenda shule kwanza maembe ww
@amalalazzam4053Ай бұрын
Munish asalimiwe 😂😂😂
@philomenamueni30Ай бұрын
Siku yenye nuru utaondoka kutakua salama.ukuangu na adabu kwa wajube wetu.usiwai tanja mutua afred
@moto-juniorАй бұрын
Alfred Mutumba ni Mjinga Sana
@marykinyumu6914Ай бұрын
Kwendeni uko waoga nyinyi,wenye wanapigania wakenya ni wanaume nyinyi wengine ni wanawake.kwanza hakuna mtu muoga kama omosh,ni mdomo Tu anakuanga nayo.
@mosesokoth5969Ай бұрын
Tuma bro wako ama mtoto wako huko auawe ndo uanze kuongea hivo. Ama we mwenyewe uende huko upigwe risasi. Hizi maandamano saa hizi tu ni za kuharibu mali hazina maana coz vitu hao magen Z walikuwa wanataka president ashakubali.
@AliSaid-cm2rwАй бұрын
Wewe mende nyama za zako mpumbavu mji nga saana
@muktarkassim6647Ай бұрын
Haha ndio maana mpira aiendelei kenya 😂 eti nababu na mwamba ndii waziri wa sports si ni corruption inaendelea tu ...
Mbona Ruto ana toa mfungwa kamiti anasema ni wa soweto.sisi watu wa Soweto hatujui huyo Mutu na hatujui nyumba ama ploti ana ishi
@denniskinanga9468Ай бұрын
Shame you ni matako ya 'ruth' 😮😮😮
@AngellaNdambukiАй бұрын
Nawewe ukonayo au😂😂😂😂😂
@helenarhobi1250Ай бұрын
Pumbavu achana na Munishi nyinyi ni wapumbavu sana. Hahahahaha! Ukabila ndo demokrasia mtakufa mtaisha vijana chokoraa wa Kenya Kama Nuru Okanga ambaye hana kisomo alichezea masomo. Wakabila wakubwa nyie tuacheni Watanzania tumejikalia na amani yetu tuliyojengewa na Baba yetu wa Taifa Mwl. J.K Nyerere!!!
@gregoryOdhiambo-zz8ilАй бұрын
Wafungue sava
@nivilleАй бұрын
Dawa ya ukimwi ikae 😂😂
@Kamanda.45Ай бұрын
People have to die for other to live so nuru okanga ni muoga