GEOFF LEA AMTOLEA UVIVU AHMED ALLY/ SIMBA SIO BORA KULIKO YANGA

  Рет қаралды 17,726

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Пікірлер: 79
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Күн бұрын
Jeff😂 inamana hukuona kiatu juu ya kichwa cha Musonda 😅 acha mapenzi
@kelvinwilfred-p2e
@kelvinwilfred-p2e 23 сағат бұрын
HAPAKUWA NDANI YA BOX BUT WALIKATWA MARA TATU NDANI YA BOX NA WATU WALIFAA KUPEWA YELLEW CARD INFACT YANGA WALIKUWA NA KADI MUHIMU TATU NYEKUNDU
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 22 сағат бұрын
@@kelvinwilfred-p2e hizo card usifikiri zinatolewa tu kama msaada,,
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 7 сағат бұрын
Hizo penati nashangaa ni zipi tatu mpaka nje ya box NI penati. Nimkumbushe mechi ya Yanga na Tim ya Ghana clab bingwa mchezaji alijiangusha ili apewe penati alikula kadi ya njano kwa uongo.
@DanielMasetta-u5u
@DanielMasetta-u5u Күн бұрын
Asante kwa ukweli wamuzi wameondoa utamu wa ligi
@DStarTz-if2ko
@DStarTz-if2ko Күн бұрын
Nyie wachambuz miyeyusho kama shida magoli Simba ana magoli mengi kama dabi yanga wamebebwa shida mna mapenz
@michaelcosmas774
@michaelcosmas774 17 сағат бұрын
Simba acha aseme amekutana na Yanga SC ambayo wachezaji wake walikuwa na uchovu wa kutoka kucheza timu za mataifa yao lakini wamemshinda mtani ngoja akutane tena na Yanga SC.
@TariqKununginoti
@TariqKununginoti 16 сағат бұрын
Wew ni shabiki wa simba duuuh nawe kumbe umelowaaaaa
@mabagamendez1156
@mabagamendez1156 21 сағат бұрын
Wachambuzi nyeee achan uongo simba anajenga timu toka mwaka 36 had leo anajenga hiyo timu 2024 kwel tanzania Sisi hatujui mpira
@MatokeoJoseph.Fonkol
@MatokeoJoseph.Fonkol Күн бұрын
hata yanga ngao ya jamii refa ange tenda haki zilikuwa sita
@fightermshamu2466
@fightermshamu2466 Күн бұрын
Ngao tena kweli wewe chura
@burtonmwanjela
@burtonmwanjela Күн бұрын
​@@fightermshamu2466kumbe nn ww koloo
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Күн бұрын
Kwani huyo Geoffrey hakuna Musonda hakuchezewa faulo ndani ya box? Vipi Dube hakuzuiliwa na mtu wa mwisho haikuwa red card?
@florianrweyongeza7458
@florianrweyongeza7458 Күн бұрын
Penalty tatu n zipi? Hawa makolo ukiwasikiliza alafu ukaangalia reply unabaki kusema mbona kama kuna uweledi umepungua Kwa walioaminiwa kupewa platform
@SISTICHUWA
@SISTICHUWA Күн бұрын
Kuna suala, kati ya kumwima penati na kupewa redi kadi ni kipi kilicho bora? Naomba mnisaidie kuchambua kati na penalties na kadi nyekundu kipi kina athari kubwa. Chambueni kikubwa
@usercabal
@usercabal Күн бұрын
Kwani timu bora inapimwa ktk Daby au 😂😂
@salamathadeusmushi504
@salamathadeusmushi504 Күн бұрын
Chambueni mpira Athenian siasa mpira haukohivyo .journey hajui kuchambua mpla
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Күн бұрын
Kwan mnaongea nn mbna mnaenda mbele na kurid nyuma😂 mshakubal kua ahmed yko sahh kua yanga ni bora lakin sio kiasi kikubwa sana juu ya simba kwmba ni bora lakin hawapishani sana . Na mnakubali hlo af bado manaendelea kugeuz maneno
@iddiramadhan
@iddiramadhan Күн бұрын
Majinga2
@GumboMakulo
@GumboMakulo Күн бұрын
Huyu jamaa cjawahi kumuelewa atachelewa sana kuamka
@DaviMaregesi
@DaviMaregesi Күн бұрын
Na wew hakubaliani na ww
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 Күн бұрын
Timu inatenhenezwa kwa mda gani acheni swaga wacheze mpira wamecheza shirikisho baso wanajitafuta nini wanatengeneza nini
@karimmakweta3530
@karimmakweta3530 Күн бұрын
LEA shida yako ni kupenda Simba unakwana hata kuzungumzwa red card ya Hamza mbona unaona tu hizo penati Tatu tuu. Endeleeni kuwa danga ya mtajua mwisho wa msimu
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu Күн бұрын
Kanyoko aliivuruga Simba kimchezo,na kuipa Hali yamotisha yanga.acheni umbea
@gsplundi1327
@gsplundi1327 Күн бұрын
Pamoja na hayo yote Simba ndo Wana vitabia vya kuwahonga wamuzi
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 Күн бұрын
Leah unasema penalt tatu yani mchezaji ajiangushe tu Ile ya Diarra si alicheza mpira Acha ushabiki
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 Күн бұрын
Wandishi wote tuwajua machawa tu wa GSM
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Күн бұрын
Kwahiyo wakisajili tu watafunga Yanga? Ile ngao kufutwa magoli matatu vipi? Yanga imeshinda ushindi wake sio wakujipiga kifua? Huyu jamaa bhanaa mnazi wa mandunduka.
@GumboMakulo
@GumboMakulo Күн бұрын
Watu waache lawama wawekeze kwenye mpira wawekeze kwenye mambo ya msingi waamuzi wetu bado lakini sio sehemu pekee ya kulalamikia timu zisajili tuache kulia Lia nyau.
@ndayi7
@ndayi7 Күн бұрын
KWELI SIMBA SIO BORA,BORA NI MAREFALII
@hayickgeorge2704
@hayickgeorge2704 Күн бұрын
Kwahiyo ile freekick hayakuwa makosa
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr Күн бұрын
AHAMED ALLY MUACHENI ANA MAPUNGIFU MAKUBWA SANA.. YAANI YANGA KTK MECHI 4 IMEWAPIGA SIMBA GOLI 9 BADO WANAIPIGIA YANGA KELELE ?
@givensikali959
@givensikali959 Күн бұрын
Ishu sio kupigwa ishu ni unapigwaje mkuu
@frankshirima4029
@frankshirima4029 Күн бұрын
Nenden mkajifunze sifa zawachambuz ninyi mnaongea kama mnawapigia sera watu fulan ,kuwen straight forward kaa kwenye position yako wewe kama professional na sio mpiga debe
@ayoubjuma7932
@ayoubjuma7932 Күн бұрын
Halafu hizo penalty walisema wamenyimwa 1, mara wakasema 2 na sasa wamefika 3? Wanaweza sema na red card 2 wamenyimwa sasa
@kelvinwilfred-p2e
@kelvinwilfred-p2e 23 сағат бұрын
kaangalie siuna device yenyeuwezo wakuingia YOU TUBE mzee kaangalie bacca, boca na mudathiri
@FrankFanuel-r3k
@FrankFanuel-r3k Күн бұрын
We teja usiitetee timu Yako mbovu
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 Күн бұрын
Bongo hakuna wachambuzi sikwiizi wamebaki machawa tu njaa tu. Kulikuwa wachambuzi wawili tu kashasha na mgine Ali mayayi tembele. Kwahiyo kabaki Ali mayayi tembele pekee ambaye anachambua mpira bila upendeleo. Lkn nyinyi wote munangalia upepo nani anatoa mpunga ukisifia timu yake
@EVALINAJames
@EVALINAJames 22 сағат бұрын
Hamna mchambuzi hapo wote ni yanga
@silvangabriel3592
@silvangabriel3592 Күн бұрын
Huyu jof hewa kbisa
@KamugishaMorice-i2i
@KamugishaMorice-i2i Күн бұрын
Hivi ninyi wachambuzi kwanini mtenatetea upuuzi wakayoko na gsm eb acheni uchambuzi wakikayoko
@musamagulu2023
@musamagulu2023 Күн бұрын
GSM alicheza namba ngapi? Kwann asicheze na Mo sasa
@iddiramadhan
@iddiramadhan Күн бұрын
Machawa kwenye ubora wenu
@mohammedgulamali8849
@mohammedgulamali8849 Күн бұрын
Yanga seio bora kuliko Simba. Yanga wana shinda kwa kuhujumu kwa mgongo wa Refa. Mechi zilizo pita zote yanga wame bebwa. Golkeepa wa J.K.T. ame sema yanga wana bebwa na Refa. Kama hii Dabi ya tarhe 19. Ileyo pita Simba wame hujumeya sana Simba walisha shinda.
@burtonmwanjela
@burtonmwanjela Күн бұрын
Polee😅😅😅
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Күн бұрын
Nadhani haki inapaswa kutendeka hata kati ya Simba na Dodoma jiji au hata na prison,goli che Fondo Malone halikupaswa kupasishwa --- kumbekeni kuwa Yanga nao walinyimwa Pernati ya Dube --- ok Madu wanatengeneza timu -- Yanga je,wamelala ? " derby mtaonyeshwa kuwa,hakuna aliyelala "
@laninjeje8290
@laninjeje8290 20 сағат бұрын
Goli la kumtomba mama yako mzazi chemalone hakupaswa kupewa ila goli la mpira wa miguu tayari Simba ana point 3
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 7 сағат бұрын
Wewe joff Vipi upande wa Yanga faul hazikuwepo EEE Reply mguu haukufika usoni kwa Msonda EEE? Penati kwa Msonda sio eee? Red card haikuwepo kwa aliye mshika dube EEE?? Waambieni waache upuuzi waambieni ukweli timu mbovu msiweke ushabiki
@emmanuelnyambo1945
@emmanuelnyambo1945 Күн бұрын
Wewe unayejibu mpumbafu ni mwana yanga tuu
@JossephMsumeno
@JossephMsumeno Күн бұрын
Wakati mwingine mlipaswa kumuita Ahmed Ally pia sio kumsemea yy hayupo, tunakosa uzani WA mjadala
@HamisiRamadhani-p2d
@HamisiRamadhani-p2d Күн бұрын
Geoff tatizo lako una tumia jicho moja embu fumbua jicho la pili dogo
@WISTONJOAS
@WISTONJOAS Күн бұрын
Acheni siasa chambuwa alichosema maana hata mtoto anaelewa
@saltechnologiesco.ltd.2377
@saltechnologiesco.ltd.2377 Күн бұрын
Waambieni na red card ambayo hakupewa Hamza acheni kuwajaza ujinga wa penati tatu je Musonda hakuangushwa na kipa ndani ya boksi?
@suwedwakil4392
@suwedwakil4392 Күн бұрын
Hata wewe kumbuka red card ya boka
@bacarmoinze
@bacarmoinze 5 сағат бұрын
we jef hujui lolote kuhusu mpira wa miguu kafirwe huko mshenzi mkubwa
@MatokeoJoseph.Fonkol
@MatokeoJoseph.Fonkol Күн бұрын
acha uongo bhana mcha mbuzj
@dhgraphix_
@dhgraphix_ Күн бұрын
Hapa hamna wachambuz mnatetea ujinga tu ila ipo siku tu ngoja tuwe wajinga ila mda ukifika mambo yote yatakuwa sawa
@FrankCharles-f1q
@FrankCharles-f1q Күн бұрын
Mchambuzi wewe apo,kaka tengeneza timu uje utambe siyo time hii,mbona ulipo kuwa Bora ulisifiwa acheni udunduka
@ErastoChilanza
@ErastoChilanza Күн бұрын
Yanga bora acha ushamba wewe simba hawana quality kama ya yanga
@musamagulu2023
@musamagulu2023 Күн бұрын
Wakati huo muda unafika speak current situation nani bora,we are not talking the future
@LinusKyando
@LinusKyando Күн бұрын
HUO NDIO UBAYA UBWELA
@JustinejJohn-gg1ch
@JustinejJohn-gg1ch Күн бұрын
Mnaongea pumba tu siku hzi
@fatmabakar4140
@fatmabakar4140 Күн бұрын
Kweli mwanzo walikuwa vizuri siku hizi wamebadilika hawako poa
@arsenalic23
@arsenalic23 Күн бұрын
Aina yako ya mashabiki si nzuri kwa afya ya mpira wetu. Mnaamini kwenye kusifiwa tu
@JustinejJohn-gg1ch
@JustinejJohn-gg1ch Күн бұрын
​@@arsenalic23sio kusifiwa hawa unao watetea wengne walienda mbali mpka kujiita majina ya wachezaji wa ahl tripol
@msungumwilapwa4234
@msungumwilapwa4234 17 сағат бұрын
mnanichekesha mnavyosema timu nzuri lakini wanaunda timu, wakishinda mnasema wamejipat wakitandikwa mnasema wanajenga team hebu chagueni moja, eti uwape free roll sasa kila mtu akicheza anavyotaka si itakuwa balaa, itakuwa sio team sasa hiyo ni genge wa wakimbiaji tu
@janerouhassanjanerou7933
@janerouhassanjanerou7933 Күн бұрын
Sasa haki hiyo itendeke kwa Yanga tu ikicheza simba ama maana ata simba akicheza na timu zingine hakuna haki
@fatherjaybadman
@fatherjaybadman Күн бұрын
Yanga akicheza na Tim nyingine jee??
@hamiduOmar-o8r
@hamiduOmar-o8r Күн бұрын
Haki zipo ktk timu za simba & young timu zengine hazina haki na wachambuz weengi wamebez simba asifungwe cz ndio timu yao pendwa na pia wajaona ktk ngao ya jamii young hao hao walinyimwa oenant ngpi na refa na magoli pia ya creare
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Күн бұрын
We lofa fc huna akili
@DIVINEPROMISE-c1n
@DIVINEPROMISE-c1n Күн бұрын
Uko sahihi kabisaa Dodoma jiji walinyimwa, Azam magoli yote mawili ni offside Simba walinufaika Coastal goli la tatu muamuzi hakusubiri akapuliza filimbi Hilo wao hawaoni
@DIVINEPROMISE-c1n
@DIVINEPROMISE-c1n Күн бұрын
​@@ramadhanmahongole9293mbumbumbu FC mtatoa wapi akili mpo kulalamika km watuhumiwa
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 Күн бұрын
Mimi naipenda Simba na kweli sasa hivi tuna wachezaji wazuri lakini ukweli unabaki kuwa Yanga inatuzidi ubora. Hii haina maana kuwa Simba haiwezi kuifunga Yanga la hasha. Mpira hauko hivyo naamini Simba inao uwezo wa kuifunga Yanga lakini Yanga ni bora. Simba bado inatakiwa kuboresha kikosi inahitaji kufanya sajili zaidi tena quality players.
@yudaogonyi2383
@yudaogonyi2383 Күн бұрын
Mjinga sana hyu…
@Burange666
@Burange666 Күн бұрын
Wajinga watupu nendeni mkanywe supu ya mapupu mbagala yanga wanauza kule maana hapo mnaongea ushuzi ushuzi
@musamagulu2023
@musamagulu2023 Күн бұрын
Lala utulie pimbi wewe
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 15 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 74 МЛН
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
KICHEKESHO! SENGA na PEMBE Waingia Studio Kuimba Bongo Fleva
11:54
Herman Mosha
Рет қаралды 314 М.
WAZEE WA SIMBA WACHAFUKWA| WAIPASUA BODI YA LIGI, TFF & GSM
9:57
MZEE KILOMONI AIBUKA, AWAJIBU SIMBA HADHARANI "MNAROPOKA TU"
28:56
Global TV Online
Рет қаралды 55 М.
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 15 МЛН