Рет қаралды 2,217
Gereza la mahabusu la mjini Sumbawanga linakabiliwa na tatizo la msongano wa wafungwa, ambao ni mara nne zaidi ya kiwango halisi cha wafungwa kinachotakiwa kukaa kwenye gereza hilo lenye umri wa miaka 92.
Gereza hilo lilijengwa mwaka 1927, enzi za ukoloni, likiwa na uwezo wa kuhifadhi wafungwa 108 pekee. Kwa sasa lina wafungwa zaidi ya 400.
#AzamTVUpdates #BreakingNews, #AzamTVApp #AzamTV #AzamTWO #AzamTVHabari #Habari #UTV #UFM