WAZIRI MKUU AMFOKEA MKURUGENZI, MADUDU SUMBAWANGA - ''UNATAKA KUMHARIBIA MKUU WA NCHI? ''...

  Рет қаралды 65,030

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

WAZIRI MKUU AMFOKEA MKURUGENZI, MADUDU SUMBAWANGA - ''UNATAKA KUMHARIBIA MKUU WA NCHI? ''...
WAZIRI MKUU KassimMajaliwa amesema hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga na Kituo cha Afya cha Matanga mkoani Ruakwa ambapo tayari Serikali imeshatoa zaidi ya shilingi bilioni mbili.
Hivyo, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sumbawanga James Mbungano ahakikishe uchunguzi wa matumizi ya fedha za miradi hiyo unakamilika kwa wakati.
Miradi hiyo ni ya ujenzi wa hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga ambayo ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 1.5 ambao bado haujakamilika licha ya kujengwa chini ya viwango. Amesema kwa kiwango hicho cha fedha walichopokea walitakiwa wawe wamekamilisha majengo matano.
Waziri Mkuu amesema mradi mwingine ni wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Matanga ambacho mpaka sasa wameshapokea shilingi milioni 500 lakini ujenzi wake bado haujakamilika. “ Ujenzi wa Vituo vya Afya nchini ni shilingi milioni 400 na shilingi milioni 500 katika maeneo ya pembezoni. Hapa mlitakiwa muwe mmemaliza na kituo kianze kuhudumia wananchi.”
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 195
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@alexlipili9343
@alexlipili9343 Жыл бұрын
We baba unafanya kazi sana ya kizalendo,,, hongera sana Mheshimiwa daaa one day tutaona matunda ya kazi zako,,Mungu tu akusimamie Waziri Mkuu!!
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Жыл бұрын
Uyo mwenyewe kapiga pesa mpk zamabehewa kama kuna wazir mkuu mwizi huyu namba moja Mpk akimaliza Miaka Yake atakuwa tajir namba 2 Kwa viongoz WA serekali wa Kwanza kikwete
@mohamedkigwehe3561
@mohamedkigwehe3561 Жыл бұрын
@@wadhhasuleiman2621 unauhakika na unacho kisema? andaa nyaraka zako jisalimishe mwenyewe kituo Cha police chochote unachokijua kabla ya tarehe 20 ikifika tarehe 20 hujariport kituwo Cha police tunakutafuta popote ulipo ndani ya hii inchi.
@vivianvivian8585
@vivianvivian8585 Жыл бұрын
Sana aise nampenda anafanya kazi sana
@marymsele1743
@marymsele1743 Жыл бұрын
Sio uyu mama ana magumashi
@nahiriali1405
@nahiriali1405 Жыл бұрын
Sijapata kuona waziri mkuu kama huyu masha Allah 'Allah akuondeshee husda waziri Mkuu wa Tanzania 🇹🇿
@ramajuma5620
@ramajuma5620 Жыл бұрын
Wew ni maguful na nusu mzee nakupa hongera sana
@rishedkhalid50
@rishedkhalid50 Жыл бұрын
Hii nchi ina watumishi wengi wa hovyo sana kwakweli
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Жыл бұрын
Tumerudi kule kule😭😭😭🇹🇿 Watalamba asali, mpaka watakula na nyuki wenyewe 😢
@yudanziku6030
@yudanziku6030 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 Жыл бұрын
@Emmaculate Kasinsa yule mama kusema kila mtu ale urefu wa kama hakua na maana waibe ila alimaanisha kila mtu alidhike na mshahara wake😂😂sasa kwa kinachoonekana hapa ni kwamba watu wamekata kamba wanakula hadi kwa jiran😲
@TECHTZTV
@TECHTZTV Жыл бұрын
Namuombea kwa mungu siku moja awe raii wa nchi
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Yan mm 2025 bor asimame huy tutapat faid hanag maneno maneno 😏ni kazi
@anangisyejoseph925
@anangisyejoseph925 Жыл бұрын
Daaaah hiiii nchi ina watu wa hovyo san ukiwa kiongoz wawez kuf mapem
@tumbwenekilale6962
@tumbwenekilale6962 Жыл бұрын
Ahsante Samia Raisi wa jamhuli ya Muungano wa Tz.
@jovitusjonas985
@jovitusjonas985 Жыл бұрын
Mambo ya hovyo sana yaan mnazungushana na mtu mmoja nafadi yenyewe ya uteuzi si atenguliwe mara moja tu arudi uraiani shida iko wapi. Mambo mengine mnayasababisha wenyewe acha wavurunde tu
@CharlsLusambo
@CharlsLusambo 3 ай бұрын
Kazi nzuri mheshimiwa waziri mkuu hata wakikuchukia lazima wasimamie majukumu yao
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 Жыл бұрын
hongera saan majaliwa PM kwa kazi nzurr
@mwigafarajakawageme2155
@mwigafarajakawageme2155 Жыл бұрын
Wazili mkuu mungu akubariki sanaaaaa
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Жыл бұрын
Inasikitisha sana. Hakuna kabisa value for money. Magufuli alikuwa nasema yeye sio mkali lakini kwa hali hii ilibidi awe mkali. Mimi nimeumia sana kuona kodi za wananchi zinatumika ovyo. Imefika wakati sasa nafasi za wakurugenzi ziwe zinatangazwa.
@petromwashusa9948
@petromwashusa9948 Жыл бұрын
Huyu mchapakazi za watu. Safi sana anajua kazi yake.
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana BABA majaliwa
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 Жыл бұрын
Daaah kwa kweli nchi yetu balaa na tunasafari ndefu sana kufika yaaan kwa namna hii sijui laana gani iliyoachwa kwenye nchi hii
@rashidkalabi8212
@rashidkalabi8212 Жыл бұрын
Katibu mkuu yupo na good representation skills
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 Жыл бұрын
Sukuma ndani huyoo!!,, Inaumiza Sana Kwa kweli 😭
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Жыл бұрын
Safi sana waiti wetu wa Tanzania tunajivunia Mungu akulinde
@mohammedikingazi5109
@mohammedikingazi5109 Жыл бұрын
Safi sana waziri mkuu wetu
@davidkimaro1860
@davidkimaro1860 Жыл бұрын
Asante mh waziri.mkurugenzi huyo anatia mashaka na ufanyaji wake wa kazi.kamanda takukuru wajitathimini kwa hakika wanashindwa kumsaidia mh rais kusimamia utendaji wa watumishi waovu
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Жыл бұрын
Mm sina Mashaka na Kassim Majaaliwa unafuata nyao mbona wengine hawatumbui why🤔 Mkuuu endelea mm mtu wachini huku ninakufuatilia vzr saaaanaa big up 💪🏽🙏🏼 Mm nataka watu kama ww mtu akifanya vzr mpatiae heko yake na akiharibu toa out Baaaaaasi 🤗
@alexjackson5960
@alexjackson5960 Жыл бұрын
Kuna haja ya kutembea na fimbo kama hayati waziri mdogo na dc pia ktk awamu ya kwanza mh John nzunda ,NI kutandika tu
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Жыл бұрын
Hongera mh
@richardgervas2310
@richardgervas2310 Жыл бұрын
Tozo zetu zote wanakula wao ,,,maisha kwetu magumu wanakula wao
@muhenasaid1319
@muhenasaid1319 Жыл бұрын
Kwanza hapo wameweka mradi wakukamatia ng'ombe
@novatidamian7236
@novatidamian7236 Жыл бұрын
Hata Hao takukuru ni wapigaji kama wao
@kakamau0384
@kakamau0384 Жыл бұрын
TAKUKURU nao yani daah!!!
@user-nw8jk3et7l
@user-nw8jk3et7l 4 ай бұрын
Long live John Pombe Magufuli through Kasim Majaliwa,wewe Kasim waziri Mkuu bila kufikicha macho nafasi unayostaili ni ya Dr lsdore Mpango"
@saadyahaya5896
@saadyahaya5896 Жыл бұрын
Yes kazi iendelee,ila mheshimiwa njoo na huku dar maeneo ya chanika kumeoza sana sana kama umesikia kilio changu nitakushukuru sana,mungu akuongoze inshaallah
@magrthmakandi7224
@magrthmakandi7224 9 ай бұрын
Mkulungezi sukuma ndani nawengine iwe fundisho
@magrthmakandi7224
@magrthmakandi7224 9 ай бұрын
Hongera mazili mfano wa kuigwa aijaeahi tokea
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 Жыл бұрын
Upigaji hoyeeeeeee!!!!!!
@pyzzocatto1829
@pyzzocatto1829 Жыл бұрын
Nchi hii imesha shindikans kilasehem madudu Daaaah watu wanatafuna sana pesa
@adeliphinusgabone7431
@adeliphinusgabone7431 Жыл бұрын
Yani na viongozi wengine wangekuwa kama Majaliwa hii nchi ingekuwa mbali sana piga kazi mkuu Mungu akusimamie.
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Жыл бұрын
Uzuri Mama yupo zake marekani
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 Жыл бұрын
Ongela kwa kazi lkn punguza ukali kidogo
@johnmizunguofficial
@johnmizunguofficial Жыл бұрын
Huyo mkurugenzi ni mwizi saana alituzurumu pesa ya post code
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 Жыл бұрын
Waliweka kitambaa cha nembo ya taifa kumbe ndani madudu
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 Жыл бұрын
Safi sana wazir kazi nzuri
@aloycefrancis6003
@aloycefrancis6003 Жыл бұрын
Mbadala wa mzee wetu anafanya Kaz Sana mtetezi wawanyonge tusaidie baba na mikoa mingine Ni uozo unaendelea. Rip magufuri
@magrthmakandi7224
@magrthmakandi7224 9 ай бұрын
Sumbaeanga tu akuna docta vifaa vipo ilaawajui kufvitumia hosp tu ya mkoa ni zito watu wanakufa bila uduma jamani sumbawanga kweli😢😢😢tunadhukuru hosp za watu binafsi napo uwe na kipato
@imaima9181
@imaima9181 Жыл бұрын
Anacho kifanya Mh Waziri Mkuu kinawakera wapiga hela lakn ni faida ya watanzania wote. Eeh Mwenyezi Mungu ikikupendeza huyu Majariwa aje kua Raisi wa Nchi yetu Amina
@hanifa9153
@hanifa9153 Жыл бұрын
So sad aki😔😏
@ismailmasanilo7018
@ismailmasanilo7018 Жыл бұрын
Mawaziri wanao chaguliwa awafanyi kazi vzr mpaka wazir mkuu aende kujua changamoto sehem wenyewe wapo kimya
@pastorb.alaurent1006
@pastorb.alaurent1006 Жыл бұрын
@Baba waziri mkuu nakuombea sana piga kazi Mkuu dhawabu yako ipo
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
This is a disciplinary issue ma HR na wakili wa serikali mko wapi?? Msaidieni Mheshimwa Waziri Mkuu kuterminate hawa vilazaa. Walikosababisha hasara kwa mwajiri mkubaliane watakavyo fidia au kurejesha fedha...tuna wasomi kila kona but hamtumii elimu mliopata ipasavyo!
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Elimu gani hiyo unayosema kumbuka mitaara yetu yote ni ile ile ya MKOLONI ndio maana hata usome mpaka chuo kikuu huwezi kugundua au kutengeneza hata saa ya mkononi 🤣🤣😳😳 na kama unabisha jaribu kuchunguza kwa undani utakubaliana na mm kwa mfano watoto wetu mashuleni chekechea wanafundishwa jinsi ya kuchora CHURA,MENDE,JONGOO na SIAFU wakati watoto wa KICHINA wanafundishwa jinsi ya kuwa injinia wa ufundi wowote ule ndio maana namkubali MAGUFULI kwa kila kitu maana alikuwa na mipango ya kuifuta mitaara ya MKOLONI isiokua na maana yoyote RIP mzee baba Magufuli 😭🙏
@annamfinanga3944
@annamfinanga3944 Жыл бұрын
Matatizo ya upigaji!!! Paying without evaluation/certificate. Mh. Majaliwa unda team ya kufuatilia hizi kazi nchi nzima! Wakurugenzi hawako serious!
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Afukuz tu ukikutwa mrad haujatimia kaz hun na mshahar na kiinua mgong hupat wangenyook kuach wiz mrad wa million 500 unaib million 200 utatimia vip mrad million 500 iba million 2 au 3 sasa unaib nus ya mrad
@mankajuddy9856
@mankajuddy9856 Жыл бұрын
Aiseee. Hayaaa.
@omarmnungu5364
@omarmnungu5364 Жыл бұрын
Pole muheshimiwa Waziri Mkuu na Morogoro usiiche Kuna madudu ya ardhi
@OPERATORSGARDAWORLD
@OPERATORSGARDAWORLD Жыл бұрын
RITA temeke shida sana mama hafanyi kazi vyeti vina kaa mwezi na compyuta zote zimezimwa wanatumia compyuta za mitaani
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Жыл бұрын
Wazuri hawafii 😭😭😭
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Hii kauli kweli sijui alikuwa anamaanisha nn yule mzee ila tulimuelewa yani wazuri kama hawa wanaopiga Hela hawafi!!!
@stefanontandu2041
@stefanontandu2041 Жыл бұрын
Kopi ya mwenda zake mh. Majaliwa anafanya kazi yake iliyotukuka mwenyezi mungu amsimamie
@mannabu9333
@mannabu9333 Жыл бұрын
lakin alisema mwenywe kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake sasa iyo sasa
@fredrickjoseph2907
@fredrickjoseph2907 Жыл бұрын
Takukuru hapo wamehusika kula
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
SUKUMA NDANI WOTE HAO MUESHIMIWA MAJALIWA 🙏
@abelmkayala1573
@abelmkayala1573 Жыл бұрын
Aliye sikia unaijua asilimia 91 wewe agonge like
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 Жыл бұрын
Uwiii watu wanajua kujaza matumbo yao loh hilo jengo lenyewe sasa mmmh jamani jamani mkila na kipofu usimahike mkono hata kama kuiba ibeni kwa akili
@jeremiamaduhu2127
@jeremiamaduhu2127 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Жыл бұрын
Unamsaidia sana mama mheshimiwa kassim...waziru mkuu ndio anatakiwa kuwa hivi sio rais
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Pole waziri mkuu unapambana kweli binaadam ni mtihani
@alexandermilanzi9860
@alexandermilanzi9860 Жыл бұрын
Mtalitinya kayakanyagaaaaaa🤣🤣🤣🤣🙌
@majaliwaharuna4064
@majaliwaharuna4064 Жыл бұрын
Kweli mh waziri mkuu anafanya kazi yake sawa sawa lakini mama samia hayaoni haya?????? Ina maana waziri mkuu hamwambii rais juu ya wateuliwa wa rais madudu wanayoyafanya?? Au mama yupo upande wa Hawa wafujaji ??? Inaboa Sana aisee
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 9 ай бұрын
Lakini baadhi yetu Watanzania ni ukatili mkubwa sana mbona ufisadi unakuwa km ndio sera ya kuajiriwa na Serekali?
@mlekwalulinda6551
@mlekwalulinda6551 Жыл бұрын
Hata nyumba yangu siwezi kuluhusu fundi anijengee hivyo
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 Жыл бұрын
Ee mungu wangu Siku kasimu majaliwa akigombea urais kwa tiketi ya chama chochote Mimi nampa kura yangu😭😭
@paulthomas2748
@paulthomas2748 Жыл бұрын
Hivi hawa huwa wanapataje hizi kazi jamanii,,,,
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 Жыл бұрын
😭😭😭😭fedha za umma.
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Ndo maan kil siku shid haziishi hii kaz mag aliiwez angekuwep miak 10 tungeneemeka san
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 Жыл бұрын
Inatia hasira mkuu wangu mpaka hapo maamuzi ninayaona
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 Жыл бұрын
Sosiri nchii hiii 😳🤭😢🇹🇿
@jimpazclimpaz1794
@jimpazclimpaz1794 Жыл бұрын
Huyu Mkurugenzi hafai hata kuwa balozi hovyo kabisa Profesa Asad alisema asilimia 80 ya waajiri wa serekali Hawana uwezo nchi ina laana hii
@josephchilongani2057
@josephchilongani2057 Жыл бұрын
Kwakweli Waziri Mkuu anafanyakazi kubwa Sana. watendaji mumuunge mkono Kwa kutimiza wajibu wenu. Haiwezekani mtu mmoja apambane na uozo wooote nchi nzima!!!!
@varelianmwajombe4417
@varelianmwajombe4417 Жыл бұрын
Kwenye hii miradi kiukweli kabisa watumishi wanazipiga hela hizi ninyi cna hama.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 5 ай бұрын
Tatizo ni kuteua nje ya mfumo wakiutumishi nao wateule kutopata induction course
@yusuphemma9663
@yusuphemma9663 Жыл бұрын
Hii nchi tutafika tumechoka Sana
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Sio kuchoka tu. Tukiwa tumezimia.
@daudpatrick1173
@daudpatrick1173 5 ай бұрын
Yaan hao baada ya JPM kuondoka tutaliwa mpaka mwisho.
@user-uf4tz7gi6o
@user-uf4tz7gi6o 4 ай бұрын
Wanahujumu uchumi wawekwe ndani tunatoa kodi mshahara wanalipwa bado wanatuibia wawekwe ndani wapishe uchunguzi
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 Жыл бұрын
Nyie GlobalTv wapi huyo, mkurugenzi alipofokewa??
@georgemwakalindile687
@georgemwakalindile687 9 ай бұрын
Hii mijitu bana,inapewa jukumu la kusimamia tu wala sio kutafuta pesa....alafu inaboronga....aibu!!
@amirimadagala8967
@amirimadagala8967 Жыл бұрын
Kiufupi Rukwa pameozaaa....na hakuna siku huu mkoa utaendelea
@officialmkerewe
@officialmkerewe Жыл бұрын
Wazembe wote 😂😂😂😂 hawa fukuza wote
@kikongajoel5172
@kikongajoel5172 Жыл бұрын
Kazi ipo jamaani
@jumaabdala7530
@jumaabdala7530 Жыл бұрын
Duuh🤔🤔🤔mmh
@wozanawewoz979
@wozanawewoz979 Жыл бұрын
Alafu kujidai sasa ooh mimi ni injinia fulani uku UK kazi za umeneja watu wanazikimbia kwasababu, unawajibika kuliko wa chini yako
@tanzanitejoshua3681
@tanzanitejoshua3681 Жыл бұрын
Mungu akubarik ila usimpe sifa mtu hawajibik uozo unaanza kwake kuwalea mafisadi simamia wananchi siyo tunamuangusha mtu fulani wakati yeye ndo analea wezi hakuna hatua hadi wewe inakuwia ngumu kutumbua yaaaan napata hasira bhasi tuuu
@joshuabusiliye5172
@joshuabusiliye5172 Жыл бұрын
Brother yeye mwenyew anateuliwaa na Raisi ataachajee kumsifiaa ili arudii tenaaaah???Anapigaa kaziii kwelii ila ndio kmaa hvyo
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Hii nchi ni ngumu kuiongoza yani Rais anakazi kubwa kuongoza watu yani serikali inania njema na wananchi ila watendaji wa serikali sio waadilifu!!!
@mussakilo4916
@mussakilo4916 Жыл бұрын
Kiukweli namuonea huruma sana waziri mkuu hao watumishi hawana wered ni bora wapishe wawekwe watu wenye uchungu na nchi yao
@almujibually
@almujibually Жыл бұрын
Hao ndio wanaangusha jitihada za serikali majaliwa dili nao hao mashubamiti
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Viongozi wote kutoa mama kama wangekua wanafanya kama kaka mkuu mambo yangesonga sana.
@simonfrancisjr6591
@simonfrancisjr6591 Жыл бұрын
Wallai ktk viongoz wa siasa uyu ndo anaeupga mwingi kwel na wat hawasemi Wala kumwambia kma yy ndy mpgaji mwngi
@OPERATORSGARDAWORLD
@OPERATORSGARDAWORLD Жыл бұрын
MH waziri takukuru nae mla rushwa
@alexykalhimosile3439
@alexykalhimosile3439 Жыл бұрын
Mr majaliwa huwenda ukajakuwa president kwasa babu moto wa JPM ukondaniyako 🤞🤞🤞
@christophermrema5277
@christophermrema5277 Жыл бұрын
Kweli watu hawana aibu.huyu Ni mkandarasi kweli?hata hizo tiles zilivyowekwa Ni wizi mtupu
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 Жыл бұрын
Kuna wehu wanapiga pesa serekarini nyie 😀😀😀😀😀 aya ila waziri jitaidi huenda tukafikia lengo
@theophilojohn7331
@theophilojohn7331 Жыл бұрын
Huyu dada bonge Kama namuona vilee hahaaaaaaa
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 Жыл бұрын
Kwenye huo mkoa Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, kamanda wa mkoa wa TAKUKURU na kamanda wa TAKUKURU wa Wilaya wote ni majipu.
@theophilojohn7331
@theophilojohn7331 Жыл бұрын
Sema vimeumana sumbawanga na mkurugenzi
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 Жыл бұрын
Hatat
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Жыл бұрын
Watu wanakula nchi hii manina zaooooo.. yaan ujingaaaa mtupu,kabizi kwa takukuru hao mzeebaba!!
@shalumramadhan666
@shalumramadhan666 Жыл бұрын
Rip mjomba
@fatumashabani5260
@fatumashabani5260 Жыл бұрын
Mweshimiwa hamna adhabu zingine kuliko kuongea tu unachoka ety
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
Jengo zima na vifaa vyote humo havina ubora, mkandarasi gani huyu jengo limekaa hovyo hovyo,tiles si za viwango,kuta haziridhishi, na frem za milango hazina umadhubuti, rangi pia haina ubora,sijui mafundi niwa mitaani🤔
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 7 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 13 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 53 МЛН
MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!
10:57
Global TV Online
Рет қаралды 329 М.
Historia. Ya Kassim Majaliwa
8:03
USIKU TV
Рет қаралды 29 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 7 МЛН