Utaweza kufanya hii kazi kwa masaa 12 kwa siku, malipo mpaka million kila siku ( marekani )

  Рет қаралды 50,030

Dnyota usa

Dnyota usa

Күн бұрын

Пікірлер: 259
@SATZ-news
@SATZ-news Жыл бұрын
Hongera sana kijana usokuwa na Roho mbaya kama wengi hada watz Mungu akutangulie ila tu usije kuingia tamaa ya kudhulumu pesa ya mtu yeyote. Napenda unachokifanya Hongera sana!!! ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@nyikumbarasylvester8505
@nyikumbarasylvester8505 Жыл бұрын
Unamilioni tisa unashindwa kufanya kazi bongo unataka uende marekani ukawe kibarua huo ni ubazazi kwa fulsa zilivo jaa hapa bongo
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 ай бұрын
Hizo kazi anazofanya hela ya uhakika, na hizo za Bongo ni nyongeza, Yuko sahihi ndugu Tena saaana hiyo hela anayoingiza kwahiyo kazi ni mkweli
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 Жыл бұрын
mfumo wamarekani kifedha ni nzuri,sahani ya chakula dola 20, au30 mlo kwa siku matumizi nikama dola mia ukiwa na matumizi sipo maisha yapo sana pamoja nimekuelewa mkuu
@davidtayari2477
@davidtayari2477 Жыл бұрын
Jumla ya gharama ya Visa shingap na inahitajik education qualification
@allyfatma7359
@allyfatma7359 Жыл бұрын
Hii nilikuwa naitaka sana.somo zuri sana.endelea kutupa uhalisia. Thx bro.
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Sawa sawa
@DivineJoaoByemba
@DivineJoaoByemba 10 ай бұрын
Namba kaka plz
@ab5u6ll8y-ku9vk
@ab5u6ll8y-ku9vk 10 ай бұрын
kwely ukiwaudumia vizur wanakupa Asante yako brother naomba unisaidie na Mimi nipate viza nije bro Tanzania hakuna ki2 naomba sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😩
@abdultimoc4625
@abdultimoc4625 Жыл бұрын
Broo kila mtu ana ndoto za kufik uk marekani shida pesa kuipata kibongo bongo ni kazi broo angekuwa na njia mbadala ya kutusaidia utusaidie broo dulla
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 Жыл бұрын
Bro acha kuishi maisha ya USA uyafananisha na Tz kiukweli dolla 500 au 1000 kwa life la USA kila baada ya wk 2 haina uwezo wa kukufanya wewe uishi vizuri maana unakuwa ni wale watu wa low income hapa USA bwana. Pia hauwezi kupata hela ya dolla unaifananisha na ya tz bwana wewe tueleze hiyo milioni unayoipata unawezaje kukusaidia hapo USA ili utimize ndoto yako na sio kuwazia tz bwanaaa Hizi ni akili duni sana kutuambia unapata milioni kila siku
@elibarikimaganga9571
@elibarikimaganga9571 4 ай бұрын
Umesema kweli ndugu Hekima Mtazamo, watu wa huko sijawahi sikia anasema naingiza Dola kadhaa kwa mwezi, matumizi ni dola kadhaa, nasave dola kadhaa. Ninasikia tu tunaingiza milionunkwa siku, ndo hayo ya kuwazia hela ya Tanzania wakati huko Marekani.
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Ww kwa bongo umefanya nn kwa izo pesa acha kufanya watt vijana kutaman maisha ya siyo ya kweli una miaka 10 bado una tembelea basket, na uko kwenu tuoneshe kwanza umefanya nn acha kuwa tapeli et vissa milion 9 na M6 Hao wateja wenyewe unawowapa wenyewe masikini tu, onyesha marekan ya wale wa nalala barabaran acha kutapeli watu utapatikani tu hapo marekan sio sehem ya kujifichia, tuoneshe wangapi ushawafikisha marekan zaidi ya kuwatapel
@wariobamussa2462
@wariobamussa2462 Жыл бұрын
Well done Dnyota unafanya jambo jema sana..
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Asante
@fadymoses4994
@fadymoses4994 Жыл бұрын
Allamdulilah 🙏 nko nakazi ya Truck USA maisha ni simple sana Ukiwa na conetion
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Kweli kabisa 😊 pamoja kaka
@johnshio8387
@johnshio8387 11 ай бұрын
Naomba tuwasiliane Fadymoses🤝
@muna1165
@muna1165 Жыл бұрын
Mimi ni Binti na nipotayari kugaramia kila kitu je vp ninaweza kupata mchongo huko
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 Жыл бұрын
Mfano unapiga mishe hiyo harafu English language chenga vipi customer service inakuwaje au nitakuwa naongea kwa ishara😂😂🤔
@one4real189
@one4real189 Жыл бұрын
You me zinakua za kutosha😂😂
@mashanjepa9203
@mashanjepa9203 Жыл бұрын
Nimeipenda kama utojari Mimi sina Hera IRA ukikubari kunifikisha uko miezi3 mshara wangu asimia 75utachukua wewe naitwa baraka kulwa Niko mwanza
@mchungajifredypetermwasung6651
@mchungajifredypetermwasung6651 Жыл бұрын
Maisha ya nje yanchi ni mazuli sana mtu akiwa anakuadisia. Lakini ukishaenda unakutana na kitu tofauti na ukicho ambiwa. Mimi nimesafili sana nje ya nchi mbali mbali. Najua ayo mambo mnao enda uko mjipangage vzr namna ya kwenda na kulidi usije ukakulupuka ukaenda jela. Au ukawa mkimbizi. Kumbukeni ukouko malekani kuna watu wana maisha magumu wengi tu......
@mossesrashid1552
@mossesrashid1552 Жыл бұрын
Tushaur mchungaji kwasbb kila m1 anaanglia unafuu wa kupambana atobor
@ngaribaonlinetv
@ngaribaonlinetv 10 ай бұрын
Huo ukimbizi watu wanautaka ndio maana wakifeli ktk maojiano plan B ukimbizi yote ni kusaka pesa...... Bongo nyoso
@africanboy3714
@africanboy3714 Жыл бұрын
Hiyo pesa unavyosema nahisi before tax so waambie ukweli kiasi gani unapata after tax, hiyo kazi ni kwa wengi wakiofika abroad mana unatumia nguvu nyingi malipo ni duni kwa level ya abroad, ni nyingi ikiwa unafanya kazi abroad na unalala Bongo, ila sio kwa 10 years na unaendesha bike, Hendry Ngozy Sweden 🇸🇪
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Unaongea utumbo. Maisha marekani yapo uwezi kufananisha na ulaya
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 8 ай бұрын
Big up my Brother, God bless you 🙏
@mrbig2181
@mrbig2181 Жыл бұрын
Mjomba tafuta njia ya kutusaidia Kwa makubaliano ata ikiwa Kwa mkataba mpka ela itapo ludi lkn n baada ya SS kufika uko ...maana apo Kwa wiki unaweza ingiza zaidi ya 20m za bongo asa uoni ndan ya wiki tunaludisha ela Yako bro ,,maana as wabongo kama tunaweza beba zege siku nzima sembuse kusambaza ivoo na ka kabike 😁😁😁🙌 bro tushike mkono na sio kututamanisha bro
@ridhwanlongo9113
@ridhwanlongo9113 Жыл бұрын
Zege masaaa 24 af vibox kwenye ka bike masaa6
@mrbig2181
@mrbig2181 Жыл бұрын
Umeona mzeee
@tanzaniaprogress
@tanzaniaprogress 11 ай бұрын
Ila kumbuka kaka unaweza lipwa dola 20 kwa saa lakini sahani 1 ya chakula ni dola 20, na huko kuna baridi balaa, baridi la huko linaleta njaa, unajikuta unakula mara 5 kwa siku, dola 100 apo imeenda, bado maji ya kunywa, na bills zingine, unakuta ni kama bongo tuu, mtu analipwa laki 6 sahani ya chakula ni Tsh. 3,000/= huko sahani dola 20 au zaidi. Matumizi ni yale yale tuu, afu kitu kingine ni upweke, hichi watu wa huko wengi hawasemi. Maisha ya upweke huna wa kuongea naye.
@ngaribaonlinetv
@ngaribaonlinetv 10 ай бұрын
Chakula unapika unabeba! Upweke mitandao ya kijamii yote hiyo au unaogopa kulala peke Yako? Ktk kutafuta hakuna starehe Wala kujiurumia! Maisha kupambana mwisho wa siku malengo yatimie....!!!!
@jumajumashabani8665
@jumajumashabani8665 Жыл бұрын
Nakubali sana kaka
@zanjrahamhammad9250
@zanjrahamhammad9250 Жыл бұрын
SASA WEWE UNAINGIZA KIASI HICHO KWANINI UNATAKA ADVANCE YA 6M KWA NDUGU ZAKO WANYONGE ? AMBAO WANAOHITAJI KUJIKWAMUA ? MIMI NAAMIN HELA IPO KWA SABABU INATAFITWA ILA SIAMINI KM UNAINGIZA M1 PER DAY, 20 DAY 20 M , ITS IMPOSSIBLE , IT DOESN'T COMPATIBLE THE WAY YOU SAY YOU CAN'T HALP YOUR BRODHES MPAKA UPATE 6M
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 Жыл бұрын
Ni kweli hiyo pesa anayo sema tena kuna kazi nyengine unapata zaidi ya hiyo mpnz ni juhudi zako za kujituma tuu
@mrbig2181
@mrbig2181 Жыл бұрын
Eeeh bwana atusaidie tufike uko then yy aandae mkataba ambao ata wabongo tutautumikia Kwa muda alafu mamboa mengine yaendelee maana hii vidio hawez angalia mtoto wa bakheles Wala wa muiguru nchemba Bali n SS hoihae ndio tuna ndoto za kufika ukoo ,,Kwa bro D iyoo ela ya visa hatuna bali tunataman kuja ukooo
@SATZ-news
@SATZ-news Жыл бұрын
Hapana hiyo haikubaliki hata kidogo toa pesa yako ili ikuume !☹
@jovenarynduka340
@jovenarynduka340 Жыл бұрын
@@SATZ-news ntakutafuta Sana Asante sana
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
@@rubenprince8990 vp bro
@OmbeniIbrahim
@OmbeniIbrahim 3 ай бұрын
kaka uko poa unatwamsha wadogo zako mungu akutangulie
@RajabuKitalambo-q2u
@RajabuKitalambo-q2u 11 ай бұрын
Kaka fanya mpango utuletee mahojiano ya watu uliowasaidia kwenda uko kama wanavyofanya wengine
@OmarVuru
@OmarVuru 10 ай бұрын
Mimi ninayo pesa kidoogo nisaidie nitapofika uko nikanzakazi utachiukua aki Yako Mimi sichagui kazi kwanza una uongo tusaidie ili tuwe pamoja mungu akubariki
@anasjelani8186
@anasjelani8186 Жыл бұрын
Milioni 6 siotatizo ila mawasiliano hutoi napia hujib msg
@hdhdhdhdhdh3264
@hdhdhdhdhdh3264 Жыл бұрын
Ata mimi niko tayari lakini sjui vile nitaanza
@kipyegontitus145
@kipyegontitus145 Жыл бұрын
Tumia Dolla ndio tuelewe bro am from.kenya ukisema milioni moja Niko confused juu 10000 us dollars them same as 1 m ksh
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 Жыл бұрын
Huyo anazungumzia watz si wakenya ndio maana anataja Tzs
@SamwelChacha-w6l
@SamwelChacha-w6l 7 ай бұрын
naomba unifanyie mpango nami nije tufanye kazi bro naitwa emanueli
@joycemalisa5703
@joycemalisa5703 Жыл бұрын
6miil kwa mishahara ya tanzania ndgu nilini utaipata?
@InnocentFaustin-fw7bs
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Brother mimi nipo tayal kuja tatizo pesa kwa sasa nyumbani uku hali aiko sawa ... mimi naitaji nipo tayar nifanye kazi alafu mshala unachukua nipo tayar
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Mitaa kama ya karikoo.
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 Жыл бұрын
Aliyobeba hyo maan naon maelezo tu but keep it up!
@thobiaskayange9302
@thobiaskayange9302 Жыл бұрын
Mwanangu nataka lG YAKO nitakublock sauti mbona kubwa 🙌🙌🦺🦺🦺🤣🤣🤣
@morjanoman5181
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Akifanikiwa kufika uko Una akikisha wewe unamkata mshaalawake Yani unakuwakitukimoja na. Boss. Wezenu nchi za kiarabu ndivo wanavofanya
@boniphacesylivester2541
@boniphacesylivester2541 Жыл бұрын
Milioni kaka hiyo ni hela ya kutosha sana nataman sana nipate mchongo wa kuja huko
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Жыл бұрын
Hi
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Жыл бұрын
Tutumie namba yako
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Жыл бұрын
Naitaki kazi hiyo
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Жыл бұрын
Nitumie nambayako nahitaji hiyokaz
@morjanoman5181
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Ongera. Sana. Kaka. Ila tz. Mtu binafus kuipata milioni tisa shuguli fanya msaada kwa anaetaka kuja uko tafuta. Boss atoe pesa alafu unamfanyia mpango mtu
@boniphacesylivester2541
@boniphacesylivester2541 Жыл бұрын
Uko juu sana man na unachokifanya kinafanya nivutiwe sana na wew kwan nina ndoto ya kufanikiwa ughaibuni
@flavianfabian9507
@flavianfabian9507 Жыл бұрын
Nakubari sana mtu anaetumia akili naguvu zake kutafuta pesa ya halari , Asante Kwa kutufungua macho vijana wenzio 👍
@mohdseif2593
@mohdseif2593 Жыл бұрын
Hongera babu life nikupambana
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 Жыл бұрын
Mbona ha reply necessary comments??? Lkn zahovyo anajibu?
@hamisasaidi9697
@hamisasaidi9697 Жыл бұрын
Sometimes namuamin sometime namuona mrongo
@ngaribaonlinetv
@ngaribaonlinetv 10 ай бұрын
Kupanga kuchagua
@BegiMitumba
@BegiMitumba 11 ай бұрын
Nilijuwa marekani majengo yote yanalift
@jacksonmbaji9676
@jacksonmbaji9676 Жыл бұрын
Kaka nakupataje,naihitaji visa na mwongozo wako,hela ipo brother,naomba mwongozo
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
+15167783253 whatsapp
@sund2553
@sund2553 4 ай бұрын
Visa million tisa 😂😂😂😂😂😂😂😂haloow watu mnaibiwa haki😅 wakati embassy before covid ilikuw usd 150 sa hivi inaweza kuwa laki 4/5 hivi
@magrethpeter6049
@magrethpeter6049 4 ай бұрын
😅😅😅😅 Tena inategea Na msimu
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Жыл бұрын
Wewe unataka ml 6 mimi ntakupa ml.15...mpaka nifike nianze kazi...
@tashaomamo
@tashaomamo 5 ай бұрын
CONMAN
@RajabuKitalambo-q2u
@RajabuKitalambo-q2u 11 ай бұрын
Milion 9 du!!!kweli sio poa
@yusufukaima-yi8lp
@yusufukaima-yi8lp Жыл бұрын
Nipo fiti kikazi nipe sapoti ndugu
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Nipo fully Kila kitu nipo nacho ndugu nipe maelekezo
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb 7 ай бұрын
Mimi nipo America Delaware napenda hii kazi unanishaulije??
@ab5u6ll8y-ku9vk
@ab5u6ll8y-ku9vk 10 ай бұрын
naomba unisaidie bro 🙏🙏
@octavianjerry7958
@octavianjerry7958 Жыл бұрын
Safiii broh jinsi ya kuwasiliana sasa fanya msahada bass
@Osmarnkanjo
@Osmarnkanjo 9 ай бұрын
Sema bhna dunian Kuna hela jmn
@EdimundiNgitu
@EdimundiNgitu 2 ай бұрын
Jamani ni kweli
@hdhdhdhdhdh3264
@hdhdhdhdhdh3264 Жыл бұрын
Mimi nataka visa plz mimi ni mkenya🇰🇪🇰🇪
@azizakombo376
@azizakombo376 Жыл бұрын
Dnyota kka nasie wadda tunataka tufkirie utufanyie tukifika uko tunakulipa tuhurumie tz kugumu bbaa
@SHAFIIAbdully
@SHAFIIAbdully Жыл бұрын
Safisana kaka namimi naitaji kazi je nitafanyaje
@soundmale
@soundmale Жыл бұрын
Baridi Sana broo.au mafua tu.maana kiila vd unaumwa mafua.
@robertmgori8165
@robertmgori8165 9 ай бұрын
respect brother
@abudabdulkarim4825
@abudabdulkarim4825 Ай бұрын
Unabeba nini au chakula.?
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Nataka hiyo nafasi, nipe number hebu tuyajenge
@goodluckythomas1093
@goodluckythomas1093 Жыл бұрын
Mwaka wa 10 uko marekani Bado ni delivery guy 😂😂
@mussaabobakar7537
@mussaabobakar7537 Жыл бұрын
Ss hapa mm ndowananiumiza akili kwa siku milion moja alf mtu yupo mwaka wa 20 ulaya na kaz ya kubeba mabox ujue nipesa nyig sana ukizipga isabu vo kwa miaka 10
@mussaabobakar7537
@mussaabobakar7537 Жыл бұрын
Nikarbun b1 uko ss pesa zote izo yann tena kuhagaika kama ivo
@africanboy3714
@africanboy3714 Жыл бұрын
Huko sahihi na hiyo ni kazi ya level ya chini sana, kwa miaka 10 😀😀😀 hata hasinge sema
@TajiBarnabas
@TajiBarnabas Жыл бұрын
Yaan cjawahi kumwamini huyu Kaka namuonaga kama Tapeli
@mkingaempire418
@mkingaempire418 11 ай бұрын
Kwa siku milioni 1 kwa mwezi milioni 30 kwa mwaka milioni 360 kwa miaka kumi bilion 3.6 tuoneshe ayo majengo uliyo wajengea watu unaosema tutakamilisha ndoto zao kwa miezi mitatu na nyumba zako unazo miliki bongo
@fatmasaid9115
@fatmasaid9115 6 ай бұрын
Habari yako mimi nipo marekani natafta kazi
@hemedhemed8590
@hemedhemed8590 Жыл бұрын
How to apply viza am intereset job mybest
@ZahraIsmail-t9j
@ZahraIsmail-t9j Жыл бұрын
Uko vizuri.ri
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb 7 ай бұрын
Nitakupataje kaka nisaidie vigezo vya kazi ninavyo tayari,nisaidie
@01_Gada
@01_Gada Жыл бұрын
unyama mwingi mtaa wa thamanini🔥😂
@AbdallahKawambwa-lk4pl
@AbdallahKawambwa-lk4pl 5 ай бұрын
Tanzania hakuna ya kufanya kwa wiki ukapa milioni nane
@VicentJohn-tg9yp
@VicentJohn-tg9yp 11 ай бұрын
Daah nimeipenda hiyo
@mussachipeta297
@mussachipeta297 Жыл бұрын
Nakubali kaka unajitaidii kutuelezea
@yahayahanafi3234
@yahayahanafi3234 Жыл бұрын
Kaka iyokazi. Ilkalmaza. ,Masaa. ,sita unalipwa. ,apoapo. ,auunalipwa mwishp wamwezi
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Mm nahitaj safar ndugu
@joycemalisa5703
@joycemalisa5703 Жыл бұрын
Mmmmh jaman jaman mi nimechoka kusikia ivo
@geofreysimpepo9945
@geofreysimpepo9945 Жыл бұрын
Duuh tusio jua kiinglishi SASA 😂😂😂fulsa tunazikosa hivi hivi
@InnocentFaustin-fw7bs
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Mimi naweza nafanya kazi ya uber uku bongo ivyo nipo tayal
@omanhh2875
@omanhh2875 Жыл бұрын
Honger broo
@twahirmohd1058
@twahirmohd1058 Жыл бұрын
Upumbavu tu ndo uliokua nao. Sasa kwanini ushindwe kuwasaidia hao wabongo wenzio. Nyooo kuwatia tamaa tu mkundu wee . Huna lolote ushamba mtupu ulionao
@shithyomar3828
@shithyomar3828 Жыл бұрын
Dulla mnyama huna roho mbaya mwanangu wengi tulikuwa hatujui michongo hiyo wabongo wengi wanaficha code halafu huna mbwembwe unapiga mzigo nitakujoin soon nipe in box yako yako ya face book salute
@shithyomar3828
@shithyomar3828 Жыл бұрын
Homeboy milioni tisa usaidiwe dah halafu unatukana mwana itakuchukuwa muda kutoka homie
@InnocentFaustin-fw7bs
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Naomba Kaka naitaji kuja
@kakakuona57
@kakakuona57 Жыл бұрын
Unaendesha Nini baskeli?
@mgenisaleh4205
@mgenisaleh4205 Жыл бұрын
Kitambo saana nunda ndan ya Zanzibar
@Mazoea
@Mazoea Жыл бұрын
Bro upo state gani.Shukurani
@MarimOmari-gw3te
@MarimOmari-gw3te 10 ай бұрын
Mimi nataka kuja malekani
@ZubeirZohoro
@ZubeirZohoro 11 ай бұрын
ebwana naitaji unifanyie mpango ila pesa changamoto
@nailaty
@nailaty Жыл бұрын
Mie nipo oman je na kutoka oman ni hiyo milion 6?
@andrews_kodeson
@andrews_kodeson Жыл бұрын
Sasa unatembea na baiskeli?
@InnocentFaustin-fw7bs
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Nipe location mimi nipo tayari
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Жыл бұрын
Maisha magumu huko jaman Tanzania tamu tu Kila mmoja ridhiki anampangia mungu
@ngaribaonlinetv
@ngaribaonlinetv 10 ай бұрын
Umeshawahi kwenda! USA Ndugu? Alafu unatuambia Tz tamu acha masghara au wewe sio mbongo!!??
@bishopruvunira3528
@bishopruvunira3528 Жыл бұрын
VIP beskeli hiyo Ina ingini so?
@zengomwiru6315
@zengomwiru6315 Жыл бұрын
HONGERA kaka pambana na inapendezaaa kuwavuta WATU waje kufanya KAZI.
@janemakemo5635
@janemakemo5635 Жыл бұрын
Naomba saana unitengenezee visa iyo visa inachukuwa mda gani mpaka kkamilika piaunitafutie kazi nzuri ya kufanya
@JeanClaudesabiyaremye
@JeanClaudesabiyaremye 11 ай бұрын
nakupeda sana maicha amerika
@MakavetiFalion
@MakavetiFalion 5 ай бұрын
Bro nawezaj pata
@mchungajifredypetermwasung6651
@mchungajifredypetermwasung6651 Жыл бұрын
Mh Watanzania.....😢
@erickjonas4382
@erickjonas4382 Жыл бұрын
Kaza kaka
@dollarjohn9292
@dollarjohn9292 Жыл бұрын
Milioni 9 visa na nauli ama ,na wanawake kazi zetu zipo
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Visa tu, kazi zipo za kila aina
@omarimkettoomari576
@omarimkettoomari576 Жыл бұрын
Mtotoshamba sana kuwa marekani ndio nini
@saadysaidzahaze5980
@saadysaidzahaze5980 Жыл бұрын
I like it bro
@saadysaidzahaze5980
@saadysaidzahaze5980 Жыл бұрын
Good job bro
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 Жыл бұрын
Tusaidie tuje bro...🙏
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Pesa yako tu
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 Жыл бұрын
Good mzazi
@petermarwa3871
@petermarwa3871 Жыл бұрын
Mwizi tu wewe mtu anakupaje hiyo pesa wakati visa naenda kuomba mimi mwenyewe nikikosa na pesa nishaa kupatia?unatoa somo mazuri ila tafuta utalatibu mzuri wa watu kutoa pesa ili waje huko
@rizikikomonywa7452
@rizikikomonywa7452 Жыл бұрын
Nipe ramani mkuu kupata viza
@daudilumato-kk8nq
@daudilumato-kk8nq Жыл бұрын
Naweza kufa ase tuwekee namba nanamna yakufika huko
@gervasmwijage8657
@gervasmwijage8657 2 ай бұрын
Yani TIP unaitamka kama mndengereko mzee
@rosemkude4804
@rosemkude4804 Жыл бұрын
Saidia ndugu zako na wewe.....hiyo bei wapoozee bwana
@mussachipeta297
@mussachipeta297 Жыл бұрын
Kaka unawezaa kutembea na raman
Maisha ya Marekani kipindi cha SNOW kali (Winter)
23:48
EBM SWAHILI
Рет қаралды 11 М.
Kazi kibao marekani kila aina
29:37
Dnyota usa
Рет қаралды 4,5 М.
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 118 МЛН
Unanunuaje Nyumba USA ukiwa mhamiaji? Mbinu hizi lazima uzijue
9:56
NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI
1:22:20
MAISHA YALIKUA MAGUMU NILIPOFIKA USA | NASOMEA UIGIZAJI | CHANGAMOTO KUBWA NI KUKATALIWA
57:20
Nyumba za kupanga maisha ya Ughaibuni mji wa Newyork
28:17
Dnyota usa
Рет қаралды 2,5 М.
Jinsi ya kununua vitu used marekani kwa bei rahisi
12:02
Dnyota usa
Рет қаралды 9 М.
Nyumba za kupanga marekani mjini NewYork
17:51
Dnyota usa
Рет қаралды 3,4 М.
Jinsi ya kutegea kazi marekani usiteseke sana
7:47
Dnyota usa
Рет қаралды 6 М.