GOODLUCK GOZBERT-SABABU ZA GARI KUCHOMWA MOTO,FIESTA-PART 2 Exclusive Interview

  Рет қаралды 303,493

Gozbert Ministries

Gozbert Ministries

Күн бұрын

Пікірлер: 2 700
@IsackDajaredy-j2o
@IsackDajaredy-j2o 10 күн бұрын
Alie muelewa minister good luck gosbert Nini kilicho mpelekea mbaka kuchoma Gali siyo wanadam wanavyo dhania gonga like hapa
@emanuelmaya4667
@emanuelmaya4667 10 күн бұрын
😂 minister sio
@LameckMichael-r3h
@LameckMichael-r3h 10 күн бұрын
Yule Bishop hafai
@RehemaMbeta
@RehemaMbeta 10 күн бұрын
Amina YESU ana kupenda sana atakae elewa ni yule alie na loho mtakatifu tu
@IsackDajaredy-j2o
@IsackDajaredy-j2o 10 күн бұрын
@@emanuelmaya4667 🤣🤣🤣
@GoodSilas
@GoodSilas 10 күн бұрын
Amina mungu akuongoze Kaka angu❤❤❤❤ kuwa na yesu nilaha akiona tunakosea hutuvuta ili tutubu ubarikiwe sana Kaka angu
@LuckySinkala-d5x
@LuckySinkala-d5x 9 күн бұрын
alie barikiwa kupitia interview eee gonga like apaaa
@suesuzzy9990
@suesuzzy9990 10 күн бұрын
Kama unaamini huyu unaemwona si mwimbaji tu Bali pia n mhubiri nipe like ❤
@edgarrich9895
@edgarrich9895 9 күн бұрын
Sio muhubiri tu ni Mwalimu mzuri wa NENO la Mungu
@happnessjocktan4127
@happnessjocktan4127 9 күн бұрын
@justinemulele4579
@justinemulele4579 9 күн бұрын
Mikora
@BeaSHAYANAHunterson
@BeaSHAYANAHunterson 9 күн бұрын
hakika ni mpakwa mafuta na mbeba maono..Mungu endelea kutenda miujiza kwa watu wako tunakuamini Mungu😢😢 amina..kaza mwendo mdogo wangu tupo pamoja na wewe
@lusogo_albert_1
@lusogo_albert_1 8 күн бұрын
Aminaa 🎉
@Sardis_church
@Sardis_church 8 күн бұрын
This is not Goodluck speaking. This is the spirit of God speaking
@andrinisrael9289
@andrinisrael9289 8 күн бұрын
You are very right
@ibrahimwigina
@ibrahimwigina 8 күн бұрын
HAKIKA
@NeemaJohnson-u5m
@NeemaJohnson-u5m 8 күн бұрын
Exactly
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
Absolutely correct.
@chantalshimi9619
@chantalshimi9619 6 күн бұрын
I agree 🙏
@calvincypriano2956
@calvincypriano2956 9 күн бұрын
TANGU KUZALIWA KWANGU Sijawahi kusikiliza interview au podcast ya masaa mawili mfululizo bila ku skip a word but hii nimesikiliza hakika Mungu ni mkuu sana roho wa bwana yuko juu yako🙌🏾
@godfreymchomvu9951
@godfreymchomvu9951 9 күн бұрын
HAYA NI MAHUBIR I KABISA UAANI HAPA NI DOCUMENGTARY MAHUBIRI PLUS INJILI JUU
@mercyakech
@mercyakech 9 күн бұрын
AMEN AMEN AMEN 🙌🙏
@suesuzzy9990
@suesuzzy9990 9 күн бұрын
@@calvincypriano2956 Tena aliye m interview alimpa mda wake na roho wa Mungu nae akashuka ndani ya good luck ili nasi tufunguke macho ya kiroho na tubarikiwe....c Mungu atukuzwe jamani🙏
@PetronilaShao
@PetronilaShao 8 күн бұрын
Amen
@robertsanga6511
@robertsanga6511 8 күн бұрын
Amen
@bellakombo
@bellakombo 10 күн бұрын
I know where you’re coming from YESU AMESHINDA 🔥🔥🔥
@isayamelamiofficial6468
@isayamelamiofficial6468 10 күн бұрын
Amin dah!!!
@angelamdakilwa-g7p
@angelamdakilwa-g7p 10 күн бұрын
Hakika Yesu ameshinda sasa naona neema ya utumishi ndani yakee
@Peaceman-S
@Peaceman-S 10 күн бұрын
Ameeeen
@Rose-kg9ip
@Rose-kg9ip 10 күн бұрын
Ameni🥰 ❤
@tinasimon9706
@tinasimon9706 10 күн бұрын
Kwelii
@SamMziray
@SamMziray 10 күн бұрын
KUMSIKILIZA GOODLUCK KWENYE HII INTERVIEW NI DARASA TUPUU🙌🙌 ... MUNGU ATUPE NEEMA🙌
@koffianodi9453
@koffianodi9453 10 күн бұрын
Kabisa kaka
@faithdimoso5366
@faithdimoso5366 10 күн бұрын
Sanaaa
@angelamdakilwa-g7p
@angelamdakilwa-g7p 10 күн бұрын
Hakika ni fundisho
@monjemghalu1734
@monjemghalu1734 10 күн бұрын
Hapa panafundisho kubwa sana ukimsikiliz kwa makini wakati wa mungu ni wakati sahii kabisa subra na uvumilivu ni nguzo kubwa sana kwa binadamu
@cleopatradaniel-w1q
@cleopatradaniel-w1q 10 күн бұрын
Kindy,Tunaweza kuandika majina ya Mungu wetu mzuri kwa herufi kubwa unapoanza ,kama vile (Mungu,Yesu,God,Jesus,nk.)kwa bibilia hakuna ambapo Mungu mkuu aliandikwa kwa jina la hivyo.please,Thank you🙏🏾
@Sarasheba
@Sarasheba 10 күн бұрын
Brother Goodluck, you are not only being interviewed, bro you are preaching😊
@DosHandoz
@DosHandoz 10 күн бұрын
Sure he is anatema madini ambayo watu sio rahisi kudhani kabisa
@Karama-14
@Karama-14 9 күн бұрын
Kbsaa haf madini mtupu
@nasranasry1115
@nasranasry1115 9 күн бұрын
Me ni muislamu ila kwa hii interview umenikumbusha niwe karibu na Mungu jmn 😢hongera sana asantee umetufungua macho
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 9 күн бұрын
Karibu, Yesu anakupenda Dada....hata Mimi nilikuwa huko!!!!
@petermalema5702
@petermalema5702 8 күн бұрын
Halelujha Sanaaaa
@lusogo_albert_1
@lusogo_albert_1 8 күн бұрын
Aminaa 🎉
@JosephineWiliam
@JosephineWiliam 8 күн бұрын
Laaaa Mungu ni Mkuu sanaa mwanangu Bwana azidi kuinua viwango vya na zaidi 🎉🎉🎉
@ibrahimwigina
@ibrahimwigina 8 күн бұрын
HUYU NDIYE MUNGU WETU KATIKA YESU KRISTO. KARIBU SANA❤❤❤
@ahmadomary-xy3sn
@ahmadomary-xy3sn 9 күн бұрын
Kiwango changu cha kumpenda Goodluck kimekua. Nimebarikiwa sana100%
@rebecakibipi2631
@rebecakibipi2631 10 күн бұрын
Mbona kama namuona muhubiri hapa na sio mwimbaji tena Mungu akupe kibari zaidi
@JudithMgonja-jt7zj
@JudithMgonja-jt7zj 10 күн бұрын
Nimeona hilo pia asee
@meryciananyeula2587
@meryciananyeula2587 10 күн бұрын
Hakika
@SELINENYANGARESI
@SELINENYANGARESI 10 күн бұрын
Mungu akuhinue
@naomysalim6477
@naomysalim6477 10 күн бұрын
Mi mwenyewe nimeona🙏🏼🙏🏼Ya Mungu ni mengiMungu ampe kibali
@Sultani-Lyimo
@Sultani-Lyimo 10 күн бұрын
Ongezaaaa volume kwa hili
@PhilipoMabula-ky9vs
@PhilipoMabula-ky9vs 10 күн бұрын
Kama na ww umebarikiwa kupitia maneno ya gudluck like hapa 🙏🏾
@pascalmlaga
@pascalmlaga 10 күн бұрын
'Chukua Nyota yangu nitatumia ya Yesu' This is deep🙏🏼
@judypaul667
@judypaul667 10 күн бұрын
Mungu ni mwaminifu kila wakati
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw 10 күн бұрын
Kuhusu nyota anasemaga pastor Tony...ila watu tunamshambulia😢😢😢😢😢..Mungu tufungue macho
@nduwimanaelias
@nduwimanaelias 10 күн бұрын
😂😂
@Sultani-Lyimo
@Sultani-Lyimo 10 күн бұрын
Kabisaaaaaaaa…… jamaaa kang’oa live wire ya watuuu fulani
@DosHandoz
@DosHandoz 10 күн бұрын
Nyota ni ibada ya kisgirikina kabisa nyota sio uungu so he is right kabisa
@mtumuhimu6793
@mtumuhimu6793 8 күн бұрын
Lete part 3 we jamaa ukiwa mchungaji waumini wako watakufaidi sana sichoki kukusikiliza tafadhali lete part 3 ata ya mahubiri tu watu tukombolewe ❤❤😂😂
@maryannndichu1470
@maryannndichu1470 8 күн бұрын
The confidence this man has in God..camooon! Glory to God for showing Him mercy and grace. Love and respect from Kenya. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
Surely thing
@HellenKitsao-zk5vg
@HellenKitsao-zk5vg 10 күн бұрын
Kama macho yako ya kiroho yamefunguka gonga likes tukiendelea kujengeka
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
Surely
@katapilashow
@katapilashow 10 күн бұрын
Mimi huwa si comment saana ila kwa namna nilivyosikia unasema, Mimi sio mtabiri ila nukuu hii comment yangu na uitunze Ili ije kuwa ushahidi. Majira kama haya mwaka 2027. Mungu atakuinua kwa viwango ambavyo vitaushtua ulimwengu Wala sio Tanzania TU au Africa. Utakuwa baraka kwa wengi hakika Amini ninakwambia
@HawaHamis-l4i
@HawaHamis-l4i 10 күн бұрын
Amina
@ElizaEdward-t7d
@ElizaEdward-t7d 10 күн бұрын
Amina ikawe ulivyonena
@bennyblancotz
@bennyblancotz 10 күн бұрын
Amina
@JoshuaOswald-jp
@JoshuaOswald-jp 10 күн бұрын
Amina
@JuliethMshiu
@JuliethMshiu 10 күн бұрын
Imekuwa
@bensonpaul3672
@bensonpaul3672 10 күн бұрын
"Chukua nyota ya Yesu ndio nyota yangu", I like that.
@olivermfinanga9387
@olivermfinanga9387 9 күн бұрын
Kwa sasa chuma kimenoleka wow yuko very spiritual kuliko kawaida
@GoshenPcgt
@GoshenPcgt 9 күн бұрын
If you focus deeply in this interview you will notice it was God's plan to sent a certain message to his people through Godluck, if you believe in this and you have already receive the message like as a sign of AMEN
@GrowRichSpace
@GrowRichSpace 9 күн бұрын
YOU GET ITTTTT!!!!! INDEEEED…..I GET EVERY SINGLE WORD!!! GOD IS GOOD!!! 🙌🏽
@glorykweka2380
@glorykweka2380 8 күн бұрын
Si ungetumia tu kiswahili🤣🤣
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
​@@glorykweka2380 Kwani hujasoma bibie?
@glorykweka2380
@glorykweka2380 7 күн бұрын
@@humbleshoalsikufundishwa broken ya ivo
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 10 күн бұрын
Hii Ni zaidi ya interview! Kiu ya watu tuliokuwa na maswali ya kile kinachoendelea kwa ukimya wako na kuhusu kuchomwa kwa gari imekatwa kwa maelezo Yenye tija na yaliyojaa Neema ya kutosha toka kwa Mungu! Ubarikiwe Sana na Mungu azidi kukulinda na kukuongoza!
@beatricemwasunda5027
@beatricemwasunda5027 10 күн бұрын
Ana sauti ya utiisho ya mamlaka ya kimbingu,aisee ze way unavyoongea tuu,naona Nuru ya Mungu juu yako pastor Gozbert
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
Jamani huyu mkaka sijui nimtafute anioe tu, yaani nimependa bure na utii wake kwa Mungu
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 9 күн бұрын
Huyu alikuwa kwenye shule ya Mungu ndio mana anaupako wa kutosha
@Rehobothreconciliation
@Rehobothreconciliation 9 күн бұрын
He is deep ooh my God watu mbona wanashindwa kumuelewa
@VAIRETHGABRIELCHAMANGA
@VAIRETHGABRIELCHAMANGA 9 күн бұрын
Kwa kweli si kwa upako huo duuh!
@annefidelis6931
@annefidelis6931 8 күн бұрын
Baptist secondary school Mwanza
@ibrahimwigina
@ibrahimwigina 8 күн бұрын
UPAKO HASWAA
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
​@@Rehobothreconciliation Sijui tuseme hawajasoma au akiri zao wamepofushwa wasiamini!
@Karama-14
@Karama-14 9 күн бұрын
Nmejarbu kupitia comment nimegundua kumbe watu wanamjua Mungu Weee nmejiskia vzr kuona wengi wanauelewa ukwel Mungu akubariki
@KarmelChurchDSM
@KarmelChurchDSM 10 күн бұрын
Suala la madhabahu umenena somo zuri sana, Mungu akubariki sana. Hongera.
@LoyceDaniel-q8k
@LoyceDaniel-q8k 10 күн бұрын
Jamani me ni mvivu kusikiliza story ndefu ila hii nimesikiliza part 1 &2 bila kuchoka na nimemuelewa si kumuelewa tu nimejifunza kitu na si kujifunza tu sasa Nina ujasiri wa kuanza safari yangu ya uokovu…ameongea kwa Hisia sana… wimbo wako wa nakushukuru kila siku nausikiliza na kamwe sijawahi uchoka kila siku nauona mpya kwangu🙏
@upendomwasipu7952
@upendomwasipu7952 9 күн бұрын
Kama mimi aiseee nimejikuta nasikiliza zote
@BeaSHAYANAHunterson
@BeaSHAYANAHunterson 9 күн бұрын
nimesikiliza nazidi kumuona MUNGU😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 ohhhhhh GOD😢😢😢😢😢 Asante MUNGU
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 9 күн бұрын
Tupo wengi sana
@olomy13
@olomy13 10 күн бұрын
Kama Umemuelewa Goodluck Gosbert weka Like Hapa ❤❤
@young_brother27
@young_brother27 10 күн бұрын
kuna kitu nimekigundua hapa, Goodluck anatumia hekima kubwa sana katika mazungunzo yake, Nimefuatilia part 1 hadi hii nikisubiri amtaje GEORDAVIE lakini mpaka huku hajamtaja kwa jina, ni hekima kubwa mno, hata wakati anamfafanua meneja wake hajamtaja kwa jina, Hii ni hrkima kubwa sana Waliyoikosa watumishi wengi na wachungaji wa kilokile hasa akina PASCHAL CASSIAN na MBARIKIWA MWAKIPESILE. Wanatakiwa wachukue mfano kwa huyu kijana, wajifunze hekima, masuala ya kutajana majina katika mitandao ni kukosa Hekima na kuzua machafuko zaidi, Mponde mtu wako kwa sifa zake mpaka ajishitukie mwenyewe, ili hata akikushitaki uweze kujitetea kwamba "Sijamtaja". GOODLUCK ANAINUKA TENA NA NAJUA HATARUDI CHINI KWA JINA LA YESU.. AMEN🙏🤣
@DjTashtz15
@DjTashtz15 10 күн бұрын
Na wewe hekima huna unawataja mbona😂
@young_brother27
@young_brother27 10 күн бұрын
@DjTashtz15 Nimewataja ili muwajue.
@AmelitaKadudu
@AmelitaKadudu 10 күн бұрын
😅​@@DjTashtz15
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 10 күн бұрын
Umeonaee watu wamesubiri aseme gari lilikuwa chui weee hakuna tumepata neno lenye upako safi sana mtumishi
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 10 күн бұрын
​@@kanankirannko6174Dah ametumia busara sana
@saimonmizingo7485
@saimonmizingo7485 9 күн бұрын
Haya maneno ni ya ulimwengu wa roho sio wasomi wa elimu ya kawaida tu kuyaelewa ubarikiwe mtumishi Good luck
@KelvinMwanjile
@KelvinMwanjile 10 күн бұрын
Eeeh Mungu kama ulivyomrehemu mtumishi wako naomba na mm unirehemu. Amina
@estherwilliam5125
@estherwilliam5125 9 күн бұрын
Ameen ikawe kwangu pia
@willz1017
@willz1017 9 күн бұрын
@@estherwilliam5125Amina!! Pokea kwa jina la Yesu
@sostinersosten3073
@sostinersosten3073 9 күн бұрын
Soma maombelezo 3;22-23
@Esther-j1o
@Esther-j1o 9 күн бұрын
Ikuwe kwa pia
@AlvinKhim-lc1jo
@AlvinKhim-lc1jo 10 күн бұрын
Imani yako ndo imekuponya never give up
@LissaTitus
@LissaTitus 10 күн бұрын
Wapi like za mtangazaji aliemfanyia interview❤❤❤❤
@consolataconsolata1250
@consolataconsolata1250 10 күн бұрын
Yaani umeitwa kaka na Mungu atakuinua zaidi na zaidi. Nyota zetu zimefichwa ndani ya Kristo wakitaka kuiba itabidi wamkabili huyo aliye ndani yetu Bwana wa mabwana na mfalme wa wafalme. Ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu na hizo nguvu ni za KIROHO. Mungu ametukuzwa hapa ❤❤❤
@miriammichael5528
@miriammichael5528 10 күн бұрын
@nyahururumrdiaservices
@nyahururumrdiaservices 9 күн бұрын
Ita mungai eve asome hapa
@PatienceMwikali-gh9ps
@PatienceMwikali-gh9ps 9 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/iouzXqKFjdqIiLssi=YuzNhDx3s1Y46899
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 9 күн бұрын
Ni dem angu
@Chrisblaq254
@Chrisblaq254 10 күн бұрын
Leo ni juma pili nmekutana na hii message ni zaidi ya kwenda kanisani❤❤❤
@talentshow2024
@talentshow2024 10 күн бұрын
Mimi pia
@AlbertMsafiri-b8d
@AlbertMsafiri-b8d 10 күн бұрын
Kama me mpka saiv bdo natazama
@HappinessJustine-h1v
@HappinessJustine-h1v 10 күн бұрын
Na sijaenda church ..niko hapa😂
@jacksonmkuye7739
@jacksonmkuye7739 10 күн бұрын
Hiyo ni aina nyingine ya upagani tu inayokutafuna na inakupa hoja za kipuuzi ili ikuue vizuri Kwan ungeenda kanisani na ukirudi utazame clipi hii ungepungikiwa nn ama ungepata zaidi
@HappinessJustine-h1v
@HappinessJustine-h1v 10 күн бұрын
@jacksonmkuye7739 eeeh jaman..😂
@FadhiliMungure
@FadhiliMungure 9 күн бұрын
Chukua nyota yangu ntatumia nyota ya yesu Point kubwa san hii kaka Yesu Ameshinda 🙌
@HappynessNdunguru-x5x
@HappynessNdunguru-x5x 10 күн бұрын
This is the confidence of a person who dwells in the secret place of the most high GoD😊.... Standing in awe of his deeds, jehovah Glory to God ❤
@GrowRichSpace
@GrowRichSpace 9 күн бұрын
EXACTLY!!!
@andrewnyamwaro5174
@andrewnyamwaro5174 8 күн бұрын
He is fallen. His next fall is death. Hana chochote.
@Mwasame_Official1
@Mwasame_Official1 10 күн бұрын
Amejazwa roho mtakatifu kweli kweli mtumishi wa mungu amen 🙏
@estherdavidjohn-py7hh
@estherdavidjohn-py7hh 10 күн бұрын
Hata mimi nimeona na hekima yakiMungu imemjaa
@DeborahLusekelo
@DeborahLusekelo 10 күн бұрын
Hakika Mungu akubalriki, nimepiga hatua kupitia interview hii.
@frednandmathew608
@frednandmathew608 10 күн бұрын
Jamaa yuko Smart sana aisee binafsi nimemuelewa sana.
@willz1017
@willz1017 9 күн бұрын
Mnooooo!!! He is very smart!! Na Mungu azidi kumtumia
@victormkello9575
@victormkello9575 10 күн бұрын
Thanks 🙏 sasa tumeelewa sio kwamba zawadi uliyopewa ina shida kwa sababu ya Nabii Mkuu, bali huduma ya nabii huyo ingechafuliwa, endapo kama #Goodluck ungekufa ukiwa unaendesha hiyo gari. Mwenye ufahamu na mwenye utulivu wa kumsikiliza #Gozbert amekwisha elewa background ya story nzima. Ni vizuri kumsikiliza Mungu anasema nini na sisi, haswa unapokuwa kwenye maombi.
@milkajm4762
@milkajm4762 10 күн бұрын
Kweli kabisa
@drgeraldcubwa481
@drgeraldcubwa481 10 күн бұрын
...........kwa sababu anamhusiano na vitu vyetu......sijui kama nimesikia vibaya? 😂😂😂😂😂😂
@rosamairusya-dk6eb
@rosamairusya-dk6eb 9 күн бұрын
💪💪💪 Wakati wa Mungu Umefika Hongera Sanaa Tunakuombea UDUMU Ktk Utume .
@martinmligo302
@martinmligo302 9 күн бұрын
GoodLuck mtu wa Mungu!! Hii kwangu sijatizama kama mahojiano bali ni ibada kamili....Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu sawa sawa na mapenzi yake kwako..Amen.🙏🏻
@NyamtondoCharles
@NyamtondoCharles 7 күн бұрын
Hii ni ibada kwa kweli Mungu ni mkubwa siku zote
@ruthkalinga7154
@ruthkalinga7154 6 күн бұрын
Huyo ndiye Mungu anayepaswa kuabudiwa ni Mungu alitaka dunia yote ipay attention juu yako na kisha wafikiwe na injili ya kweli isiyogoshiwa ktk majira haya ya hatari na siku za mwisho. Gosbert Mungu akutumie zaidi na zaidi.
@zachbula624
@zachbula624 10 күн бұрын
Goodluck ninakuombea neema ya MUNGU izidi kwako... Wewe ni chombo cha BWANA hakika chombo cha BWANA hakiwezi kuaibika.. kitapitia mengi lakini hakita angamia... Endelea na MUNGU akufanikishe amen.
@miriamkidulile8282
@miriamkidulile8282 10 күн бұрын
Mtumishi Gooluck, nakuelewa sana. Ni watu wa rohoni tu ndiyo watakuelewa. MUNGU aendelee kukulinda kwa ajili ya kumtumikia MUNGU sio wanadamu. Ulicho nacho ni kikubwa mbele za MUNGU
@carolynekioko222
@carolynekioko222 10 күн бұрын
Isolation Period 😔😔😔 i thank God for your Encounter with Him Goodluck. Roho wa Mungu azidi kuzungumza nawewe
@suleymanosman1788
@suleymanosman1788 9 күн бұрын
Aisee mie ni muislamu ila nimejifunza vitu vingi toka kwako God bless u bro..!
@TumainiJosephJ
@TumainiJosephJ 6 күн бұрын
Goodluck Gozbert, wewe ni ushuhuda tosha wa mabadiliko makubwa ambayo MUNGU amekusudia kuleta katika Music industry. MUNGU azidi kukuinua na kukuongoza katika njia yake. Umeongea kwa hekima na uelewa mzuri wa ulimwengu wa Roho. Be blessed 🙏🏾
@atuganilembonge
@atuganilembonge 6 күн бұрын
Sasa na kulewa kwamba wewe ni mtumishi yesu lnjili yako lko hai
@ArianaHosa
@ArianaHosa 10 күн бұрын
Nlkua nimekata tamaa leo ni jpili lkn kupitia ww mtumishi nimepata nguvu mungu akulinde ❤❤❤❤❤🙏🙏
@EdinaMwaisumo-cg3mi
@EdinaMwaisumo-cg3mi 10 күн бұрын
Kupitia wewe nimegundua kuna wale Mungu anawatafuta na kuna wale wanaomtafuta Mungu, wewe Mungu alikutafuta my love, Usimuache Mungu wako❤
@jessicahonore
@jessicahonore 10 күн бұрын
Am glad you've clarified! Na ninakuelewa by experience, na vile Mungu amenipitisha kunificha na kunifanya atakavyo,Yesu azidi kukutia nguvu katika utumishi.
@jessicahonore
@jessicahonore 10 күн бұрын
As fore me,kwakua mzee G sio point of problame,na instruction ni kutokutumia,wala kumpa mwingine wala kuuza mwingine kutumia,kuheshimu protocol ya kitumishi kwa wazee wetu wa imani,ningemrudishia.all in all mwana akikuweka huru unakuwa huru kwelikweli.
@humbleshoal
@humbleshoal 7 күн бұрын
​@@jessicahonore Ni yake anaweza kuifanyia chochote
@jessicahonore
@jessicahonore 7 күн бұрын
@@humbleshoal barikiwa
@AbdallahIddy-i8f
@AbdallahIddy-i8f 10 күн бұрын
Mimi Muslim lakin nimemuelewa mtumish goodluck, huyu ni zaidi ya muimbaji kipo kitu zaidi ya hapo
@sostinersosten3073
@sostinersosten3073 9 күн бұрын
Ni kweli
@Manyanya8551
@Manyanya8551 9 күн бұрын
Wewe ni muislam lkn usie jitambua
@Manyanya8551
@Manyanya8551 9 күн бұрын
Halafu jina lako haliendani na ujinga ulionao futa hiyo posti
@petermalema5702
@petermalema5702 8 күн бұрын
EXACTLY
@atuhezron7628
@atuhezron7628 8 күн бұрын
​@@Manyanya8551 Kosa lake lipi
@leonardusmpanju3953
@leonardusmpanju3953 10 күн бұрын
Hekima ya Kimungu hii.Ufafanuzi wako uko under control ya Roho Mtakatifu.Umevipiga Vita vilivyo vizuri.Ubarkiwe sana Mtumishi.
@alicekashumba3032
@alicekashumba3032 10 күн бұрын
Oh my God...Mtumishi wa Mungu is on another Levels Aisee... powerful powerful
@yamungungendu4839
@yamungungendu4839 10 күн бұрын
yaa jamaa ameamua kuzama😂
@estherwilliam5125
@estherwilliam5125 10 күн бұрын
yani am proud of him, namuonea wivu that level
@Mimiy4
@Mimiy4 10 күн бұрын
So deep! nimepata nalia machozii😭👏its not him talking..Roho anaongea ndani yake..2025 Mungu ana expose vya Giza na kuonyeshana vyake!Kama hujasoma Chochote kwa haya mazungumzo unashida!Tumtafute Mungu❤
@mordekaimsenga9447
@mordekaimsenga9447 10 күн бұрын
Mungu anisamehe niliwaza na kusupport nisicho kijua😢 MUNGU akutunze zaidi
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 10 күн бұрын
Ameni
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 9 күн бұрын
Mungu anisamehe pia kwakweli
@Bashdweezy
@Bashdweezy 9 күн бұрын
Mwenye Macho ya kiroho ataelewa haya na si mwenye macho ya Mwili.. Ubarikiwe Goodluck Gozbert kwa mafundisho mazuri sana🙏🏻🙏🏻
@ELIREHEMADANIELKISSUU
@ELIREHEMADANIELKISSUU 10 күн бұрын
Uko sawa bro, naamini umesoma huu mstari na ukaamua kusafisha kituo chako, Kum 23:14 SUV [14] kwa kuwa BWANA. Mungu wako, yuatembea katika kituo akuokoe, na kukutolea adui zako mbele yako; kwa hiyo na kiwe kitakatifu kituo chako; asije akaona kitu kwako kisichokuwa safi, akageuka na kukuacha. Kuchagua kuachwa na Mungu ndio kukosa hekima, hii ulofanya ni kwamba no matter what umeamua Mungu awe best yako.Bigup
@LuciaMwashala
@LuciaMwashala 10 күн бұрын
Aisee hili ni darasa tosha! Mwenye akili na hafahamu😢🙏🏽
@Kibaadvocate
@Kibaadvocate 10 күн бұрын
Ni zaidi ya ibada
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 10 күн бұрын
Mi nimeacha kazi kabisa namsikiliza pat 1 nimemaliza sahii pat 2....Namsubiri kama kuna pat Nyingine...kunayakujifunza ndani yake.
@maamercy
@maamercy 10 күн бұрын
I see a pastor in you. May the Lord birth that which He wants in you in His due time. Kenya loves you bro.
@WillfineMideva
@WillfineMideva 9 күн бұрын
Ni kweli mtu akitubu kila kitu kina rudishwa watu wa Mungu hawatuambi kweli huyu hajasema uongo....❤❤
@lamekelandry6943
@lamekelandry6943 8 күн бұрын
Wenzangu wa konko , kama mume muelewa goodluck basi tujiwane kwa macopa , natuombeye inchi yetu ya Congo 🇨🇩🇨🇩 kwa vita tunayo pitiya
@AmosSniper
@AmosSniper 10 күн бұрын
Huyu dogo hakuna anachosema kw kuongopa! Amekua na muona namfahamu toka anazaliwa huyu ni mdogo wngu' wamtaa Mmoja.. Dogo siyo mgomvi, siyo mbishi, na dogo amekua katka kumcha Mungu, pale Kona ya bwiru Kuna kanisa pale Pabtist,, Dogo rngu Big-up sana! Najina lake halisi anajulikana kw Babuu...
@RehemajuliusJulius
@RehemajuliusJulius 10 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@annapallangyo6435
@annapallangyo6435 10 күн бұрын
Hv Kona ya bwiru ni kule unaingilia buzuruga unapandisha then utapita hyo Kona na kushukia national? Ile Kona ndo ya bwiru or
@shadyashaaban6757
@shadyashaaban6757 10 күн бұрын
@@annapallangyo6435Kona ya bwiru ni hii barabara ya kwenda airport yaan ukitoka rockcity mall kwa mbele kdg tu ndo Kona ya bwiru
@feyxalbarry4595
@feyxalbarry4595 10 күн бұрын
Asa mbona anaongea kma mmasai kwani ni mmasai huyu​@@shadyashaaban6757
@tambwesamueltambwe933
@tambwesamueltambwe933 10 күн бұрын
Kuwa na heshima kwa watumishi wa Mungu wewe sio dogo yako
@marthaigogo18
@marthaigogo18 10 күн бұрын
"Kama Mtu Anaplan kuiba Nyota Yangu IBA, Tutatumia ya YESU KRISTO". TUTUBU TUMRUDIE MUNGU TUWE VIUMBE VIPYA. VERYYYYYYYYYYYYY POWERFUL.🙌
@KyaruziInvestment-te6jr
@KyaruziInvestment-te6jr 10 күн бұрын
Ameeen
@janethjosephat6986
@janethjosephat6986 9 күн бұрын
Sooooooooo powerful 🙏🙏🙏🙏🙏
@victoriajanira6668
@victoriajanira6668 9 күн бұрын
Wise man
@EsterNdaru
@EsterNdaru 9 күн бұрын
Tukitubu na kumrudia Mwenye MUNGU wa kweli hakuna hata mtu wala miungu yeyote ya kuchuka nyota zetu wakija wanakutana na moto wa YESU Kristo usiozimika milele
@chrisscollinsshao2862
@chrisscollinsshao2862 10 күн бұрын
Mungu akutangulie kwenye hii new season Goodluck. Kuna namna unaongea kwa mamlaka hadi mtu anaogopa. Mungu amekuchagua tena kwa ajili ya wengi. UBARIKIWE SANA
@ruthaloyce1012
@ruthaloyce1012 9 күн бұрын
Mungu amekutengeneza rafikiangu, umekua, unazungumza kikubwa Sana, hongera kwa hatua, Mungu aendelee kuwa upande wako❤❤🎉🎉
@emmanuelenock4531
@emmanuelenock4531 8 күн бұрын
Miaka yote nlikua sikujui na nlikua nakuchukulia kawaida..ila leo nimejifunza mengi sana kupitia hii interview...ni ndefu ila haijachosha kusikiliza yote..kweli roho ya Mungu yuko pamoja nawe.. endelea kumtumikia Mungu na atakuinua sana...an Ace that i can take home is that we need to understand Jesus deeply and not just a name..
@TithoYesse
@TithoYesse 10 күн бұрын
UR GOING TO BE A PASTOR in the name of JESUS, umenihubiria kwenye interview ad nimeamin upya be blessed
@wemachristian286
@wemachristian286 10 күн бұрын
Hakikaa
@rommyleen7400
@rommyleen7400 10 күн бұрын
He is already
@yasinimmbaga1061
@yasinimmbaga1061 10 күн бұрын
For sure, upo sahihi
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 10 күн бұрын
Wanaomjua mungu ndio wanamuelewa sana
@victormkello9575
@victormkello9575 10 күн бұрын
Exactly
@MariamuMamu
@MariamuMamu 10 күн бұрын
✍️
@officialmanlove8605
@officialmanlove8605 10 күн бұрын
True
@JudithAlly
@JudithAlly 10 күн бұрын
Sure
@RuthMalomo-p5e
@RuthMalomo-p5e 10 күн бұрын
Kweli
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 10 күн бұрын
Hiki ndo nilikuwa nakutegemea kutoka kwa Goodluck siyo mambo ya kuibiwa nyota.
@NaomiFahari
@NaomiFahari 10 күн бұрын
Kabisaa yupo really sana kwakwel ametufungua macho sisi tuliokuwa hatujui MUNGU am,bariki sana huyu Kaka kwakwel
@watchmansix
@watchmansix 9 күн бұрын
Zek 3:2 "...Je hiki si kinga kilichotolewa motoni" Namtukuza Mungu kwa madarasa aliyokupitisha na jinsi yalivyokutengeneza. Jina la Bwana lizidi kubarikiwa 🙏🏾
@asuminimtulia568
@asuminimtulia568 8 күн бұрын
Tunakataa premature death kwa jina la Yesu,hatutakufa mpk tuyasimulie matendo Ya BWANA👋
@Officialrockboy
@Officialrockboy 5 күн бұрын
Ameen❤
@IreneJohn-i5y
@IreneJohn-i5y 5 күн бұрын
Amen
@Kavuluku
@Kavuluku 10 күн бұрын
This brother is clearly well-grounded in scripture contrary to what we have heard of him. Keep seeking Him, brother!
@semwandambaza
@semwandambaza 10 күн бұрын
Nimekuelewa mtumishi🙏...hata wote wasimame kinyume na wewe mimi Niko upande wako Gozbert! YESU KRISTO akutunze baba🙏
@RichardOsward-w4j
@RichardOsward-w4j 10 күн бұрын
Interview yako ni ushuhuda na kwa aliye kusikiliza kwa umakini ninauhakika Mungu amepanda kitu chema ndani ya moyo wake. Binafsi interview yako/mahubiri yako yamenifungua. Amen
@esthernthenya4690
@esthernthenya4690 4 күн бұрын
The God who delivered Daniel from the burning fire He has already delivered you fro the enemy...we love you from Nairobi Kenya
@gladyassey9897
@gladyassey9897 9 күн бұрын
Mungu akubariki sana mnoo umeniongezea kitu kikubwa mnoo barikiwa sana mtumishi wa Mungu @Goodluck
@josephinemuhonja2812
@josephinemuhonja2812 10 күн бұрын
Kama hujajua njia za Mungu huwezi kumwelewa mtumishi anachokisema. More grace unto you.
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 10 күн бұрын
Hakika nakosa la kusema Mtumishi Damu ya Yesu tu izidi kunena mema kila siku💯🙏
@shukuranikenneth-mw3ne
@shukuranikenneth-mw3ne 10 күн бұрын
Umenifundisha kumuuliza Mungu kuhusu maisha yangu tunapambana hatuoni matokeo 😢😢😢😢😢😢😢😢
@JASTINSEZA
@JASTINSEZA 10 күн бұрын
Kabisa
@DeniceDeogratius
@DeniceDeogratius 10 күн бұрын
Hakika
@WiselightOfficial
@WiselightOfficial 10 күн бұрын
Kbisaaa😢
@AwardHakimu
@AwardHakimu 10 күн бұрын
Hilo ndio la msingi
@tracejeezy8917
@tracejeezy8917 10 күн бұрын
Humu humu katoa jibu kuwa lazima kufanya Toba ku restore + kufanya kazi kwa bidii na juhudi then kusubiri majira na nyakati ambayo Neema ama Bahati ya Mungu ikupitie.
@samuelndungu1019
@samuelndungu1019 9 күн бұрын
"Wachukue nyota, ntatumia ya Yesu"...this will keep me going the whole year knowing that everything is under the power of Christ 💗💯🙏,..God grant us the power of discernment coz where we have reach in this world it's a big war with principalities and spirituality💯
@happynessjames5404
@happynessjames5404 9 күн бұрын
Nimejifunza..kuitii sauti ya Mungu, no matter how it looks katika hali ya kibinadamu, and hakuna haja ya kusubiri Mungu ajieleze why ufanye hayo anayoelekeza
@Saidi-lx5sh
@Saidi-lx5sh 10 күн бұрын
Kama unamkubalia Godluck gong like apa
@Saidi-lx5sh
@Saidi-lx5sh 10 күн бұрын
@aikamasawe8133
@aikamasawe8133 10 күн бұрын
Nimejifunza kuisikiliza sauti ya Mungu si rahisi sana, kama tunavyofikiri kibinamu ni gharama kubwa na wanadamu wengi ni ngumu sana kuisikia na kutii. Hongera sana Goodluck!! Mungu atusaidie wote tuisikie sauti yake. Sauti ni nyingi ila sikiliza sauti ya Bwana Mungu wako.
@davidgodfrey964
@davidgodfrey964 10 күн бұрын
“Msiba wangu Rais atakayekuwa madarakani wakati huo ndiye atakayeutangaza” oh hallelujah masuta sakaya i feel like praying in tounges right there uhhh preach preach preach MOG
@berthaxiacharles2215
@berthaxiacharles2215 9 күн бұрын
Nmepata kitu kikubwa sana kupitia hii interview…asante Mungu 🙏🏻🙏🏻
@stephenmwanzake
@stephenmwanzake 4 күн бұрын
Amka uangaze❤! Kaka zidi na mbele!
@gracemkanta738
@gracemkanta738 10 күн бұрын
You are very deep servant of God, Mungu azidi kukupandisha na kukupa ulinzi wake. Nimepata majibu yoooote na ya ziada pia, Be Blessed.
@AngelMrosso-o6w
@AngelMrosso-o6w 10 күн бұрын
Daah pole sana Kaka kwa kipindi ulichopitia. This interview ni somo tosha katika maishi. This is really happening in life.
@shukraninzowa5315
@shukraninzowa5315 10 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu wew ni zaid ya muimbaji mi naona karama zaid ya uimbaji ndani yako Mungu akuinuee sanaa wew sio wa kawaida ongea yako tuu ina mungu ndani sauti yako tuu imejaa Roho mtakatifu Mungu aongezekee sana kwako
@MenaAnduto-d5v
@MenaAnduto-d5v 9 күн бұрын
Huu ni zaidi yaufunuo namuona mungu live ndani mwimbaji mungu anatupenda anatakatuludikwake
@Brainer55
@Brainer55 10 күн бұрын
Mungu zaidi kukupa nguvu my brother! Vita hii umeshinda
@shericktv509
@shericktv509 10 күн бұрын
Kuskiliza hii interview ni sawa na kwenda kanisani miez3 mfululizo....
@marymlowe5270
@marymlowe5270 10 күн бұрын
😅
@tatuisihaka6320
@tatuisihaka6320 10 күн бұрын
😂😂
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 10 күн бұрын
Nikweli😂
@AbuuuMwambus
@AbuuuMwambus 10 күн бұрын
😂😂😂😂 kbisaa
@SOPHIAJOVIN-o9w
@SOPHIAJOVIN-o9w 10 күн бұрын
uko sawa kabisa
@aishaa2930
@aishaa2930 10 күн бұрын
Haya anayo pitia Leo kaka yetu ni kama aliyopitia mama yetu rose muhamdo hawa meneja Wanashida sana
@sgjjkwbueow
@sgjjkwbueow 9 күн бұрын
Washirikina sana
@ammackdy1836
@ammackdy1836 10 күн бұрын
Sijaenda kanisan but this it's more than I've attended to church, thanks soo much 🤗
@JuliusYona-j8f
@JuliusYona-j8f 9 күн бұрын
Brother, Mungu akuinue sana. Nakubali unampenda huyu ,,,, "MIMI NIKO AMBAYE NIKO"
@RabaniRamadhani
@RabaniRamadhani 9 күн бұрын
Huyu ana kipawa cha uimbaji lakini pia ana kipawa cha uchungajii mungu ambaliki sana goodluck
@MwenyaFX
@MwenyaFX 10 күн бұрын
Eeh Mungu naomba unitengeneze kama huyu mtumishi wako Goodluck. The way alivyo sasa siyo kama mwanzo, amekuwa wa rohoni sana kila analoongea ndani yake kuna uhai unatoka. Ee baba naomba uniinue na mm🙏. All in all nimejifunza mengi sana, nahitaji kukaa chini na Mungu na kujenga mahusiano bora na Mungu. Kupitia hapo, Mungu atanifunulia yale yasionekana kwa macho ya nyama. Kuondoa kamba za ukoo na vizazi na vizazi. Mungu akubariki sana kaka Goodluck. Hii video kwangu ni mahubiri tosha.
@ThadieIsisa
@ThadieIsisa 10 күн бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@Olsabo
@Olsabo 10 күн бұрын
Amen
@sekelaisrael7675
@sekelaisrael7675 10 күн бұрын
Amen
@jeniphabutondo1448
@jeniphabutondo1448 10 күн бұрын
Ukitaka Mungu akuinue kama yeye ...je wataka akupitishe kwenye mapito yake aliyo pitiable?? Omba Mungu akuinue kama apendavyo yeye na akupe kuliishi kusudi lako la kuwepo hapa duniani.
@MonicaRayase
@MonicaRayase 10 күн бұрын
Hii sio interview bali ni Ministry,hakika nimejifunza , Mungu atusaidie na kuturehemu tusiwe tunahukumu
@grolyqueen5833
@grolyqueen5833 10 күн бұрын
Unajua ata ukimwangalia godluck kabisa now anaonekan ni mtumish wa Mungu ukitofautisha na interview zake za nyuma
@elers-d5q
@elers-d5q 8 күн бұрын
I love the fact that your pride is in the WORD.keep pushing Brother the joy of the LORD is your strength.see you at the top
@Soccereditzz1234
@Soccereditzz1234 4 күн бұрын
My brother you’re blessed. May God continue to increase and strengthen you, and may He cause His grace, mercy, and peace to abound to you yet more and more. Our God is faithful.
Жездуха 42-серия
29:26
Million Show
Рет қаралды 2,6 МЛН
Какой я клей? | CLEX #shorts
0:59
CLEX
Рет қаралды 1,9 МЛН
УНО Реверс в Амонг Ас : игра на выбывание
0:19
Фани Хани
Рет қаралды 1,3 МЛН
Goodluck Gozbert - WAONYESHE (Official Video)
3:40
Gozbert Ministries
Рет қаралды 269 М.