Hii ni CNN ya Africa hongereni Sana SNS kwa uchambuzi wa kina kwa kweli unastahili pongezi na kupewa tunzo 😊😊😊😊😊❤❤❤❤
@magzeeee4 ай бұрын
Cnn ni tusi asee...wale jamaa wapo biased sana
@aminaali7924 ай бұрын
Yaani tuna enjoy sana kuskiliza SNS Asanteni sana Allah awabarik muko juu Love from UK 🤍🤍🤍
@AliNassor-qt6fm4 ай бұрын
Afe tu akalipwe alichokivuna mana anahusika umwagaji wa damu za wa watu, Laana ya Allah ( sw) amshukie
@BIGBOSS-hl3bu4 ай бұрын
Hizi mbiringe zote ni mungu anaonyesha kuwa hakuna mtu mwenye uwezo wakushindana na uwezo wake,na hayo ni matokeo ya damu za watu na dhulma walizofanya kama NCHI Kabla na baada ya uraisi wake
@Visionofeagle96894 ай бұрын
Mungu sio mungu.
@MichaelMathew-j3f4 ай бұрын
Hahahahahahahaha
@kamanapomo70294 ай бұрын
@@Visionofeagle9689MUNGU
@swalehejuma66114 ай бұрын
Damu za watu haziendi bure
@Shafikimanga74 ай бұрын
Mwinyi wetu kafa na tisini na kidogo tuu iwe mia ila kafa anakumbukumbu. Mungu walinde viongozi wetu
@juliusnyerere53934 ай бұрын
Nakuwaminini Sana kuliko online TV yoyote ile hapo Tanzania bug up brothers. Mtafika Kileleni tu inshallah
@EliaPastori4 ай бұрын
Kweli kabisa kazeeka cn
@brianbaltazar61984 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana
@SimuliziNaSauti4 ай бұрын
Asante sana
@patienceamuri35884 ай бұрын
From USA huo nawapata vizuri Kila siku
@MAHAN-SMART4 ай бұрын
Ukafika mda wake na yeye ataondoka kama anavoshadidia wenzake wafe kwa kuchochea vita kila pahali
@surusuru19944 ай бұрын
Wazee wakirangi wapo Good mno babu yangu 10 nazaidi ana tebea anaona kwaza liishe yao original hakuna poobe Dj sumaa penda tena hapo unapogusea dini wallah allah akusemamie one
Sisi kwetu Burundi 🇧🇮 tuna hishi mwaka mingi😊 kila Sunday warundi wengi tuna kimbiya kufaya exercise😊 asilimiya kubwa tuko ivo! Naki gine Sugar kwetu Burundi 🇧🇮 ni big deal now😊 Sukari sio zuri ata kidogo😊 labuda beers 🍻 na beers 🍺 nita tizo la Africa kama yote😊 mwili ni lifestyle kwaza 😊 na mengine family una toka ndani😊👊🏿🫵🏿🇧🇮🇨🇩🇹🇿
@hirsirashid37414 ай бұрын
ni mzee sana
@mathiaslaurent7564 ай бұрын
Ukitaka kujua wanyaturu wanaishi miaka mingi ingia ndani ndani kugonga Miaka mia ni kawaida sana unakuta bado wako fiti, na singida Kwa sasa ndio ina wazee wengi sana!
@GonaNzaro4 ай бұрын
Robot la marekani
@saimonifredi46534 ай бұрын
Mwaisa achana nae.....wazee wa ndizi parachichi na maziwa mgando
@zayumar29554 ай бұрын
Na bado Shenzi kabisa Mungu atamlipa kwa uovu wake dhidi ya viumbe wadhaifu
@MathewNathan-yb2bz4 ай бұрын
Uzee bwana.yaani Mungu bwana
@peterilimwa57544 ай бұрын
I sallut u guys
@allykwaya4 ай бұрын
Ally masubi umesema kweli. Warangi Mti mkavu.
@evansogutu41674 ай бұрын
Uku Kenya wakamba Na wataita hawazeeki
@musashaban43094 ай бұрын
Waha wagumu kuzeeka
@husseinkonz51924 ай бұрын
Robot itakua marekan hamna Rais
@MichaelMathew-j3f4 ай бұрын
Ni mzee sana!! Tumwombee tu!! Tusijenge chuki, visasi juu ya huyu mtu au juu ya hili taifa la marekani. Biblia inasema hivi, kisasi ni juu yangu asema Bwana, mimi nitalipa, ipisheni ghadhabu ya Mungu. Warumi 12:17-21. Uushinde ubaya kwa wema. Kwahiyo wapendwa, Mungu atamhukumu kwa yote aliyowatendea watu wengine. Ahsante.
@Gulfnas14 ай бұрын
Nikijatahidi sana sintomuombea kitu, ila kiuhalisia mungu amjaalie awe miongoni mwa makaa ya moto wa jahanam
@ramamabinda50634 ай бұрын
Baba kazeeka kuliko babu yangu. Baba ana miaka 86 na babu yangu ana miaka zaidi ya 110.
@Visionofeagle96894 ай бұрын
😂
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Ukiangalia sababu inaweza kuwa ni nini?
@KassimKhalaid4 ай бұрын
Atoke aende tu shenzi kabisa muuwaji
@fidelismasaka27354 ай бұрын
Trump yuko vizury kwenye commenteg siasa
@JansanMokiwa4 ай бұрын
Ngoja apite uchaguzi ujao ndio mtaona akijikojolea kwenye mikutano live 😂😂😂
@gfvh72824 ай бұрын
Ahhh😂😂😂
@hamidyakoub68654 ай бұрын
😂😂😂kama robot flan la kidudu
@gfvh72824 ай бұрын
Da😂😂😂
@azizayassin36234 ай бұрын
Amejinyea kila mtu amesema😂😂😂😂😂😂😢
@jeilanikhamisi4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Pedeshee014 ай бұрын
Baby aziza🙈🙈hawa democratic hawajitaki yaani mzee hata hajiwezi eti wamemuweka agombee minne tena,wanampa njia nyeupe trump kwenda ikulu
@Is-hakaAbdallah4 ай бұрын
Waruguru
@awadhisarai43314 ай бұрын
Wamasaai
@EliaPastori4 ай бұрын
Wasukuma mti mkavu ilawakijijini
@SalumMajorhood4 ай бұрын
Dj sma amefanana na van disel
@ngendakumanajeanmarrie74904 ай бұрын
Babu apumzike imetosha
@hamzaally22834 ай бұрын
WAHA wagum sana hawa😂😂
@MoosaMoosaaltoby4 ай бұрын
Wanyaturu ndio watu wapo fit
@MustafaChinanda4 ай бұрын
K😂😂😂 vita inatisha putin kamchanganya mwezake
@King_Of_Everything4 ай бұрын
✌️👍👊.
@ezrahaloyce12304 ай бұрын
Eeeh😂
@duhuzebosco62074 ай бұрын
Makonde makonde
@Fadhilimwamlima4 ай бұрын
Umri nawo tatizo
@BIGBOSS-hl3bu4 ай бұрын
Singida ASILIMIA KUBWA wanakula mwakula vya asili hasa mafuta ya kula ,lakini pia asililimia kubwa wanalala saa mbili umezidi sana saa tatu washalala labda wazee town baadhi Yao kidogo
@happymrema74874 ай бұрын
Mmmm amekat tear
@giztony20093 ай бұрын
Waha ni hatari hawazeekii
@mtoobebe57784 ай бұрын
Wa furero wa kongo the don't old so easy
@hamicpina11514 ай бұрын
Dj smaa towa sns zako peke Yako apo haponogi bana ni xtory tuu ukiwa peke Yako unachimba down
@MustafaChinanda4 ай бұрын
😂😂😂😂 ana skrach
@hamisihasan28653 ай бұрын
Waparee😂😂
@mumyhendry29194 ай бұрын
Wachaga mtu mkavuuuuuuu😂😂😂😂
@animalchannel2964 ай бұрын
wazee wa kirangi hawaishagi nguvu
@hemedisufiani32194 ай бұрын
Kauwa watu wengi ndo maaaana wenge linamwingia kila wakati mizimu kila wakati inamjia akiona mzimu kama yuko kwenye kikao kuna hali inamkuta
@MaeBuromera4 ай бұрын
Waha na wasukuma niwagum kuzeheka
@joshuanjau34294 ай бұрын
Wasandaweé na wanyaturuu
@petrokayanda53614 ай бұрын
Wanyiraba Kuna babu wa miaka 100 anakata mti na shoka mm kijana wamiaka 15 sikuweza ilikua mwaka 2010
@MuzafarSaid-k8w4 ай бұрын
Wazanzibari peke yao ndo mti mkavu..yani kiufupi watu wanaoishi sehemu za visiwa hawazeeki haraka.maumbo yao Ni madogo lkn Wana miaka mingi,km wazanzibari..
@nyanyambuli81014 ай бұрын
Kama hizo zimetengenezwa walete original
@MohammedBwanga4 ай бұрын
Sky me nnahisi itawezekana serikali ya marekani wataweza wakatengeneza debate ila itakuwa recoded km debate itakuwa nzuri kw biden after wataitoa km live.ila muda utaongea.
@BONGOINMOTION4 ай бұрын
Fitness inaanzia kwenye genetic make up then environment ko it is possible kuwatofauti hata mkizaliwa pacha.
@BONGOINMOTION4 ай бұрын
Wafipa hawazeeki mapema ukimuona Mzee jua ana number ya kutosha
@JoachimFrancis-jm4xi4 ай бұрын
Dj Sma mzee wa facts and logic 😊😊😊Muongo huyo jamaa 😂😂😂😂😂
@RaymondPaul-bs7su4 ай бұрын
Sawaa basi thibitisha kauli yako tuamini
@BeatriceKalembwane4 ай бұрын
Huyu inawezekana ni Cloned au robot bhana
@saidkhatib91464 ай бұрын
Maiti inayotembea
@allykwaya4 ай бұрын
Wasukuma lainilaini
@MOSESIMCHUNGUZI4 ай бұрын
Hapo kwenye afya mnafeli,anaejua hatma ya afya yamtu nimungu,jikiteni kwenye uchambuzi muhimu
@saimonifredi46534 ай бұрын
We ni kichwa kibovu, hujui unachozungumza
@IdrissuHassan4 ай бұрын
Anaigiza bana, mbona mkutano wa G7 alkua mzima kbs na hapajapita muda
@selemanmussa34594 ай бұрын
Umri ukisogea hicho ni kitu cha kawaida, sasa mnataka mzee awe na akili zilezile kama alivyokuwa kijana? na waliomuweka wanajua wanao uwezo wa kum control coz huyo hata akiambiwa dk mbili kesha sahau...
@afromixstudios4 ай бұрын
Mi nna wasiwasi kuwa huyu sio mtu
@joselynesango44304 ай бұрын
waganda hawazekagi mbiyo
@daslamonline46654 ай бұрын
Kwisha khabari
@leahmgunda41544 ай бұрын
Nebukadreza amerejea.
@paschalsafari97474 ай бұрын
😂😂
@WilliamLuvanda4 ай бұрын
UNAJUA UKIANGALIA AKIVY BIDEN N KM LOWASSA EB ANGALIA VIZUR
@YusuphRashidi-b1j4 ай бұрын
Amerogwa waparesna
@aliomarali88904 ай бұрын
on my side I think putin yupo phisical zaid kuliko trump but issue ni behavior zao trump ni mchangamfu sana but putin ni mpole na mwenye akili nyingi hususan on decision making
@yordanyona12344 ай бұрын
Hata Trump yupo Smart sana japo Putin amezid uwezo
@sylvestermalelo97194 ай бұрын
He's old enough. Wamwache apumzike.
@Evance-d1n4 ай бұрын
Wapare
@JaphetJairos-n4l4 ай бұрын
Wazalamo mpo jaman lain sana
@azizayassin36234 ай бұрын
Hyu n zombiiii😂😂😂😂😂
@Yayouselim4 ай бұрын
Al😂😂😂😂 Ali pooop😅😅😅😅😅
@Mohamedmustafa-z9t4 ай бұрын
kama video hizo zimetengenezwa basi wa waonyeshe video zilizo halisia. Issue ya kuzeeka haraka NA kutokuzeeka inategemea NA udongo WA mtu alioumbwa nao . mambo ya unajimu au nyota ya MTU. Lakini vilevile MTU anayenyonya maziwa ya mama Kwa muda mrefu zaidi anayo chance ya kuishi umri mrefu zaidi.
@DullaJonson-dw4vy4 ай бұрын
mm naomba biden apite mana ntakosa kucheka
@Gulfnas14 ай бұрын
Hakuna mtuu humo ni picha #Biden
@evansogutu41674 ай бұрын
Uki mtaani kuna wazee wanamiaka kibao na hawana tabia za Biden
@husseinhemedi93144 ай бұрын
#Wasambaa hawazeek haraka
@asyajey34794 ай бұрын
Warangi watu wakondoa na wanyaturu singida hawa watu mfupa mgumu😂
@Calis24514 ай бұрын
Barr in mind i see america in yhe hand of mamas raris or hilary clinton posible micheal obama
@sammy-b62814 ай бұрын
Waha😂
@jkifutu79364 ай бұрын
Wazaramo
@kingpunzy1944 ай бұрын
Bro joe is run by Intel Celeron.
@Jibambeshow254k4 ай бұрын
Ndio maana anawatimikiaha Israel kuwauwa wengine kule Gaza hakilizake haziposawa 😂😂ye bora apeane makombora yakuwalipua wapalestina
@ayoubali-x6n4 ай бұрын
SMAA VP UMEPGA CHA ARUSHA AU NI HOMA
@jamilaathumani54814 ай бұрын
Bola wamuweke mke wa Obama ...atashinda kwakishindo..mke wa Obama..juu juu
@THEQUILLSTORY3 ай бұрын
MBONA KAMA NI ROBOTI AMA PENGINE IYO NI AI SII YEYE MAAK TECHNOLOGY TODAY IKO FAR SAAN
@ameirzapy13184 ай бұрын
Nahic ni mbinu tu maana uchaguzi ni vita 😂, trump akija kwenye mdahalo ajiangalie sanaa, suprise inakuja
@Grataaaaa4 ай бұрын
Dj smaa bora towa sns zako apo hapana jipya
@missp18144 ай бұрын
huyu Biden usikute anatumia ngada,maana ni mzee ndio ila tabia zake hazilingani na uzee wake dishi limeyumbaaaaa😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj4 ай бұрын
Uzuri kwa Marekani, Rais ni pambo tu Kuna wazalendo wa nchi ndo wanaongoza hio nchi Kuna CIA(nje ya mipaka), Kuna FBI(Ndani ya mipaka), na vyombo vingine vya usalama.Ila angekuwa huku nchi zetu ambazo rais ndo kila kitu na neno lake ndo Sheria basi Hali ingekuwa hatari sana tena sana.