Kumbe hata points 6 za Simba nazo ni ufadhili eti na awamu hii mtasema yote
@mathewmillanzi17002 ай бұрын
SIMBA AlIPIGWA TANO AMEDHAMINIWA NA YANGA
@Zubedarajabu-y6v2 ай бұрын
Tengezenu timu mbwa nyinyi
@jacobsadock35302 ай бұрын
Azam ni mdhamini mkuu wa ligi, GSM ni mdhamini mkuu wa club ya yanga lakini ni mdhamini mdogo wa club nyingine 6 ko mchungaji uko sawa
@jamilahjamilah41572 ай бұрын
Wee baba na hiyo simba sii mpe huyo GSM tuone simba sii mna moo
@issaisandeko62172 ай бұрын
Hata Azam ana timu ligi kuu kwa hiyo nayeye aondolewe udhamini
@razacklazaro66782 ай бұрын
Mchungaji wa watu au ng'ombe...angekua mchungaji wa din/ watu asieongea utopolo
@omarsadiki-vi1tl2 ай бұрын
Na kweli huna akili, kumbukumbu huna gsm alitaka kudhamini na miongoni mwa watu walokataa ni simba
@mussai.sillas37962 ай бұрын
Namungo ilipokuwa inadhaminiwa Mo hukuona. Unaona GSM tu? Kilaza,hujui hata maana ya unachosema. Simba wamefungwa mara nyingi. Je Simba wanafadhiliwa na GSM?
@GadafSalum2 ай бұрын
Shida hamujitambuwi
@azamsp0rtshd2kiangi32 ай бұрын
Neno la mungu lonasema wafitini mawanafiki wafanyweje walaaniwe jitafakari mchungaji.
@HajiJuma-oy1jy2 ай бұрын
Huyu hajielewi Simba nayeye pia kazaminiwa na GSM alikula 5
@clauschaula20502 ай бұрын
Hakuna Cha upangaji matokeo.Kinachoondelea ni kuwa Yanga ni timu inayoimarika Kila siku.Swali kama Yanga inapanga matokeo,inawezekanaje wanapokutana na simba au Azam Kwa nini wanashindwa kuifunga?Watanzania tumejinza kuwa na maneno Mengi sana kuliko kuzingatia hali halisi.Udhamini Kwa timu zetu ni muhimu sana Kwa maendeleo ya soka hapa nchini.Ongezeni umakini katika sajili za timu zenu,punguzeni porojo.
Huna elimu ya mpira ww shabiki maandaz kwanza huelewi a na achoongea mchungaj
@daudkondo40692 ай бұрын
Wee huna akili kweli, ivi una Aziz una Pacome Una Nzengeli unasema habari ya mashujaa bwege sana
@CastorNyondo2 ай бұрын
GSM adhami na Simba ili msipigwe misumari,Bomba makolo
@ElliamaniGodsoni-s7x2 ай бұрын
Watanzania acheni kuwa na mawazo mafupi na sportpesa anadhamini timu ngapi Tanzania na nje ya mipaka
@Tostao362 ай бұрын
Huyu jamaa hajui lolotee.Mbona Azam anafadhili timu zote na ana timu yake huko.Cheza ngoma yako brother
@patrinraura13972 ай бұрын
Ni kweli kabisa Fedha ndiyo kila kitu Kama udhamini Vilabu zaidi ya kimoja tayari kuna kila dalili ya kuua ushindani na Pia kuminya haki na kutopata Bingwa kihalali Tunakuunga mkono kabisa kwa kutoa Angalizo na kufumbua macho Vilabu vyote vya ligi kuu
@salummtumbukie88732 ай бұрын
Unataka vilabu vikose pesa video na ukqta vishindwe kujiendesha na kusafili na kuweka kambi bora kama ninyi.
@AthumaniKondo-y5r2 ай бұрын
Wagonjwa nyie dhamini nyie Simba nayo gsm
@bbanyikwa2 ай бұрын
Kolo acha makasiriko sajiri kikosi kizuri utajikuta kila mtu unamuona mchawi wako😂😂😂
@RajabuAlly-hn9lj2 ай бұрын
Azam mbona achukui kombe
@geofreymwaipopo14422 ай бұрын
Mwambie mwamed akadhamini zilizobaki
@josephlorri4312 ай бұрын
Kipindi Mo alidhamini singida United na simba mlikuwa kimya. Mo kafilisika
@AthanasMsangule2 ай бұрын
Hivi ni sawa na kusema kuwa timu 15 zinatakiwa kumpa pointi Azam FC ? Amwambie MO achague timu azifadhili Ili wampe points Ili Simba ishinde!
@FetyzarMselemoАй бұрын
Mo Mtu na elimu yake anafadhil tim Moja usimgananishe na gsm wako anaharibu ushindan wa ligi yetu
@barakamtelani23132 ай бұрын
Kuna watu vichwa maji GSM alidhamin ligi yote madunduka wakakataa Azam anafadhili timu zote vip yeye hanufaiki je mbona Simba anagongwa nje ndan nae kadhaminiwa na GSM
@evaristgaspa60742 ай бұрын
Simba mnatafuta kwakuengemea hiyote nikwasababu hazamini Simba Azam nasimba niwareware _hata GSM abaki na yanga kipigo kikoparepare _mtu kwenyehera yake hapagiwi takukuru wapo pereka mararamiko yako ira uwena ushahidi
@chatnami2 ай бұрын
Hoja ingekuwa Azam hafadhili vilabu moja kwa moja. Azam anadhamini ligi kupitia TFF. GSM ana mkataba wa moja kwa moja na vilabu
@JumaKassimmazito2 ай бұрын
Akili huna kweli simba kazaminiwa na gsm
@MhojaFunuki2 ай бұрын
Mo.hajawahi kufazili tim zaidiyamoja
@simonnjovu5862 ай бұрын
Una umri gani?
@japhetmlowe53622 ай бұрын
Mbona sport pesa alikuwa na simba,yanga na singida
@AllyHassan-e2m2 ай бұрын
Tatizo wanatufanya watanzania nini mazuzu hawa GSM ni chama cha siasa kuna mapapa ndani yake we known watanzania ndio maana tifua tifua hawasemi kitu imetawaliwa wote hadi. Marefa wao hii sasa sio michezo ni jambia jambia eti kuikomoa Simba huu ni ujinqa
@allymtapera53702 ай бұрын
Muulize huyo ana muda gani ktk mpira muulize mo alizamini team ngapi,
@BarakaJapheti-p5k2 ай бұрын
Huyo jamaa anayo mapepo aombewee,,,mpira pesa, kama timu yake ipo tayari kuzaminiwa na Gsm aende waongee wasaini,mpira upo wazi,.sisi yanga hata akija huyo moo atuzamini tunataka pesa namoo atapata pesa mpira uwanjani,.
@bethmahela21822 ай бұрын
Wewe hujui tofauti ya mdhamini na mfadhili,ukielewa huu utofauti utaacha kulaumu tff na Gsm
@JumaKassimmazito2 ай бұрын
Hahahaha mzeeee zeze
@JonathanMGAIWA-ow4py2 ай бұрын
Jamani hili suala mbona liko wazi? Huyu anadhamini ili apate favour, ana uhakika wa kupata points 6 kwa kisingizio cha ufadhili. Hapa kunakosekana fair play
@elizabethkalinga08222 ай бұрын
Huyo Tayari kafungwa kwenye Match, ata wachezaji atawatoa Kwenye Mchezo. Mpeni Kanuni huyo, aache kukariri
@YusuphMdaki2 ай бұрын
Wewe hijui ball yanga imechukua ubingwa mara nyingi bila GSM kkiwa na wafadhili wengine acha hoja dhaifu
@boscomwangosi10422 ай бұрын
Simba acheni visingizio nyiewenyeww mmefungwa mala mbili mlidhaminiwa na GSM?
@simongshayo46782 ай бұрын
Yeah upo sahihi kabisa
@issapagali13302 ай бұрын
Hili linajiita Mchungaji😮. Si likasimamie "WANAKONDOO" huko. Tangu lini ukasimamia /kutumikia mabwana wawili. MAKOLO NYOKO yashaanza malalamiko na BADO. PAMBAF WAHED.
@omanbarka15882 ай бұрын
Umelazimishwa kukoment sasa matusi ya nini mtandaoni unataka tukufungie
@JohnKayamba-l9v2 ай бұрын
Tff sasahivi imekuwa msimamiz mkuu wa mwiko nyuma,,na mfadhili wao,,hata jukwaa kuu sasa viti vya Said na Karia vinatambulika
@KennedySamson-lo4pw2 ай бұрын
Mbona alipo dhamini timu zote makoloboi mulikataa mpaka tff wakarudisha mshiko Leo anadhamini wanaotaka mnapogakelele nanyie ombeni mdhaminiwe
@juliusmagoti56502 ай бұрын
This is hopelessness of the highest order. Watu wa Simba tengenezeni timu, acheni arguments za kitoto. Mpira ni mchezo wa wazi. Kama Yanga walifika fainali ya shirikisho, GSM alikuwa anadhamini timu gani huko? Wew mwenyewe unakubali Yanga wana timu nzuri, unatarajia afungwe na timu gani kwenye ligi yetu. Msitafute vichaka vya kujificha. Hata MO akitaka kufadhili timu afanye hivyo, timu ndogo zinahitaji sana ufadhili ili zijiendeshe. Mchungaji try to be scientific
@mohammedmdangwe20562 ай бұрын
GSM KAARIBU LIGI YA TANZANIA 🇹🇿 ANAONGA WACHEZAJI MAREFA
@boscomwangosi10422 ай бұрын
Katika watu wenye kichwa kibovu wewe unaongoza kwani timu gani inaitwaga Rozi Muhando.simba ndiotimu pekee inayobebwa na malefa,mechi ya juzi na yanga lefa amefikia mahalo anakataa mpaka magoli yaliofungwa,penat ndio usiseme. Mechi ya mwakajana pia lefa alikataa gori la yanga kwenye ngao ya hisani angalia mechi ya singida prison dodoma na zingine nyingi
@khamisrashidkhamis44902 ай бұрын
GSM aliingia kama mdhamin mwenza wa ligi kipindi yupo Barbra akaweka mgomo na wakatishia Hadi kuitoa Simba kwenye ligi mpaka akaacha gsm
@JumaKitutu-t4s2 ай бұрын
Gsm sio Yanga bali ni mzamini wa Yanga
@azamsp0rtshd2kiangi32 ай бұрын
Chuki tuu mbaka mchungaji jorekebishe mkuu
@abrahammwamlomba89222 ай бұрын
Za Simba mbona huzisemi
@khajihamisi50542 ай бұрын
Kolo Hilo limetokea wapi? Haelewi mpira unaendeshwa vipi? Nenda kanisani ! Peleka timu umuombe udhamini halafu uone kama atakukatalia! Uingereza Kuna mdhamini MAN BETX Anadhamini timu zaidi ya mbili EPL.
@REGIUSMWANAWIMA2 ай бұрын
Ww mjinga sana umesahau goli alofunga azizi ki,nalo vipi,pacome na penati ya azizi ki?
@augustinokessy2 ай бұрын
muwe mnackiliza mpk mwisho matako nyie...
@Joseph-i8x1d2 ай бұрын
Ww mchungaji bwege gsm aliweka hela tim zote nyie mlizigomea
@TwahirBurhan2 ай бұрын
ALAFU HIZO POINTS UMEZIPATA MISIMU MITANO ILIYOITA LKN YANGA NDANI YA MIAKA 2 KAKUSANYA POINTS 31
Kwani Simba mnaweza kumuzuia Yanga? Mawazo potofu hayo
@jimmyjoseph4800Ай бұрын
Hujui kitu
@rachelbujuli44872 ай бұрын
Visingizi vya Nyauuuuuuu
@AbdallahOnga2 ай бұрын
Azam anafadhili kupitia tff gsm apitie tff
@husseinmgalula58642 ай бұрын
Mpunga
@MohamedKaboza2 ай бұрын
Haiwezi ikawa ligi kuu tanzania
@josemassae2 ай бұрын
Wewe huna akili mbona Simba na Azam mmefungwa au na nyinyi ni vp
@AlphonceMbassah2 ай бұрын
Kwani Simba anafungwa na yanga kwasababu anadhaminiwa na Gsm
@majaliwabwitonde69002 ай бұрын
Kwa hiyo na zile 5 za simba Yanga alitoa pesa??😂😂😂😂
@RajabuAlly-hn9lj2 ай бұрын
Simba mbona awezi kutubania
@NyatseLogistics2 ай бұрын
Kweli kabisa
@issapagali13302 ай бұрын
TuliwaBAMANDA 5G a.k.a TABULELE RAAAAAAA so nanyi tuliwanunua?
@AwaziHinda2 ай бұрын
Sio kweli
@JumaHaroun-l4z2 ай бұрын
Mimi naona kudhamini tim sta(6) sio kosa , kosa kubwa ni kwamba injinia Heris kua mwenyekiti wa vilabu barani Africa maana ataendakupokea point sita kwa kila tim barani Afrika dah haya majanga!!!!
@EmmanuelMagugudi2 ай бұрын
Sio point 36 weka na point 6 za Simba
@JosephMwaitete2 ай бұрын
Kwani Simba kadhaminiwa na GSM?au hujui mada
@allymtapera53702 ай бұрын
Sport pesa England alikuwa na tim 4 ,we hujui chochote
@azamsp0rtshd2kiangi32 ай бұрын
Kumbe unaijua yanga nzuri unakiri Sasa unawachafua Gsm kwasanabu gani ongea ukweli kama hivo yanga ni Bora uashusha heshima Yako bwana kua mlweli kama hivo
Matopo yanachojua ni matusi tu manyau nyie huo uchawi wenu mwaka huu ubaya ubwela wanga nyie
@MwazoaMwazoaАй бұрын
Umesema la maana lkn huo ndio Mpira.Sasa kama timu yako haina uwezo wakupiga fitina za kimichezo umeumia Boss.Hata kombe la Dunia lazima siasa itembee
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg2 ай бұрын
Sasa timu alizodhamini angalieni matokeo. Mbona ambazo hajadhamini ndizo zimefungwa magori mengi? Ikiwemo Simba?
@jumakibasame32102 ай бұрын
Kweli baadhi ya madhabiki mambumbumbuu Sana mbona hamsemi Azam alie zamini ligi nzima na matanhazo yeye,
@hajikatanje59612 ай бұрын
Wewe subiri yatakayo tokea siku izo timu zenu mlizo zinunua zitakapo cheza na simba alafu refa afanye uzembe utakuja nisimulia utakiona wana simba walicho jiandaa nacho hapata kalika na mpira wa Tanzania hiyo siku ndio uta kuwa stop
@adamsonmwaisumo67912 ай бұрын
Pamoja na simba kaidhamini ndio maana nakula tano mbili moja
@simonzelote59982 ай бұрын
Zile tano katka uchunguzi Kuna watu walichukua pesa akiwepo manula
@mohammedmdangwe20562 ай бұрын
Ligi aijaanza utopolo ana pint 36 sasa hapo kuna ligi au upumbavu tu
@simonnjovu5862 ай бұрын
Sio pointing 36 tu, ongeza 6 kutoka simba ili ziwe 42.
@WaUkaye2 ай бұрын
GSM alipotaka kufadhili vilabu vyote Simba walikataa KUVAA logo ya GSM
@ThomasAssey2 ай бұрын
Nafurahi huyu jamaa amenielewa Tumeshuhudia uozo makubwa mno ndani ya soka letu Uozo huu ni ajabu viongozi wa shirikisho la soka halina watu wasomi ama watu wenye uelewa wa elimu ya darasa la saba kujua Nini maana ya conflicts of interest katika Sheria Mbaya zaidi Kuna timu inalipa posho marefa! Hii ni aibu kwa TFF na waziri wa wizara husika hawajui wajibu wao Nafikiri njia pekee ni kwenda kwenye vyombo vya sheria
@kafulirahillaryhabel67282 ай бұрын
Kwanini MO asidhamini timu zilizobaki?
@JumaHaroun-l4z2 ай бұрын
Sure boy, mkude faridi musonda, kibwana wanacheza simba panga pangua ubaya ubwela ,unyama mwingi slogun hiz hazisaidii bila kua na wachezaji bora
@khmissalum3881Ай бұрын
Msenge sana wewe nenda kazamini wewe mama Ako shenziiiiiiiiiiii
@geofreymapunda2 ай бұрын
Azam tv anadhamin vilabu vingapi?
@allyr.mavura78782 ай бұрын
Sio kweli, hakuna team inayotaka kufungwa ili ishuke daraja