Рет қаралды 151,925
GUMZO: UKWELI WA PUTIN KUISHI TANZANIA, SABABU ZA KUIPIGA UKRAINE, HATMA YA VITA, YERICKO AZUNGUMZA!
ISHU ya Rais wa Urus, Vladimir Putin kuwahi kuishi nchini Tanzania imezidi kuwa gumzo mara baada ya Global TV kurusha habari hiyo siku chache zilizopita.
Maswali yalikuwa mengi kuhusu jambo hilo huku kila mmoja akieleza anachokijua kuhusu jambo hilo. Kuna watu walikubaliana nalo lakini wengine walipinga.
Global TV imefunga safari mpaka Kigamboni jijini Dar es Salaam na kuzungumza na mwandishi Yerico Nyerere ambaye anaifahamu kinagaubaga ishi hiyo.
Mbali na suala hilo, Yerico ameichambua kiundani vita inayondelea kwa sasa inayohusisha mataifa mawili, Urusi pamoja na Ukraine.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...